@@jescajulius8023 alikuwa mzuri halafu hakuwa mnene sana kama hivyo nakumbuka tulikuwa tukienda kata 14 kuangalia ToT ikipiga alikuwa anacheza mpaka sarakasi miaka ya 90 - 95
Kumbe ndio maana huyu mama dairly yuko on top kiukweli anajua kuongea kwa nidhamu sana na kuheshimu wana habari mungu amuweke aendelee kuwa mfano mzr wa kina mama wasiojua kuzungumza. Ningepata namba yake ningemtumia hata chochote kidogo nilichokua nacho nampenda tokea Achia ngazi bibi mchuma unaondoka huo hadi leo nikiskiliza top in Town napata feelings za hatar!👏👏👏👏👏
Huyo mama Daimond nimchawi kabisa Ila Léo sababu yapesa anaamuwa kumkana Mme wake uyo mama analaana sana pole baba Daimond mungu akulinde akusikiyee Kesho nisiku achana naule malaya
@@erastorjohn2756 ckia kaulizwa kuhusu alichokifanya mama diamond kasema kafanya vzr kusema vire! Lakn alipoulizwa kuhusu baba diamond ndio kakataa na kusema hayamuhusu kwa nn asingesema tangia mwanzo!? Ndio unafk wenyewe huo!
Swala la mama dagoti na aliekua mumewe mzee Abduli . Mimi ninaona ni jambo ambalo limeisha kwa sababu mwenye dhamana ya mtoto ni mama anaweza kumpa mtu yoyote Yule amtakae mimba ijapokua bado ndogo sana Au mtoto anapokea mchanga sana .hua inakua ni siri ya mama .lakini pia mama huyo huyo anaweza kukuvya ubaba.akitaka kwahiyo jambo Hilo sasa limeisha mzee Abduli afanye kazi ajitafutie ridhiki yake ya halali .kwamaa nyingine ni kwamba waswahili husema UShuzi Wangomani haukawii kupita. Mzee Abdul tafuta shughuli ya kufanya upate chako .ushakua ukweli inatosha
Kama umehisi Hadija Kopa ni mnafiki nyosha mkono....alipoulizwa maamuzi ya mama dangote hata bila kusita,kutafakari wala kujali akakurupuka kuwa alifanya vizuri na ni Jambo la kawaida. Baada ya kuulizwa kuhusu hatua ya Mzee nasibu akapinduka eti sitaki kuzungumzia mambo ya familia. Mbona asingekataa kulizungumzia tokea mwanzo?
Sema kweli bibi mana hpo mwanzo umesema bi Sandra amefanya vzr hulipo fika upanda wa baba Abdul wajitia ni mambo ya familiya c vzr kuingilia nyoo waogopa mwanayo sije akatolewa tonge mdomoni😂😂😂Nacheka kama mazuri vile
Huyu mama mzuri Jamani wa sura tuache unafiki😘😘😘😘😘
Kwelii kbs
True Kisha hazeek
Cpati picha alivokuwa binti
@@jescajulius8023 alikuwa mzuri halafu hakuwa mnene sana kama hivyo nakumbuka tulikuwa tukienda kata 14 kuangalia ToT ikipiga alikuwa anacheza mpaka sarakasi miaka ya 90 - 95
@@radhiaoman2454 anaonekana tu sura shombe shombe
Kumbe ndio maana huyu mama dairly yuko on top kiukweli anajua kuongea kwa nidhamu sana na kuheshimu wana habari mungu amuweke aendelee kuwa mfano mzr wa kina mama wasiojua kuzungumza. Ningepata namba yake ningemtumia hata chochote kidogo nilichokua nacho nampenda tokea Achia ngazi bibi mchuma unaondoka huo hadi leo nikiskiliza top in Town napata feelings za hatar!👏👏👏👏👏
Cyo km ma dangote hana busara ktk uongeaji wake
She is so so beautiful!!! Gorgeous woman 😍
yeahhhh!!!!!
Pendaaa
Hazeek mana hatumii mkorogo. Ona walojichubua sai wamezeeka rangi mbilmbil
Mtangazaji una heshima mpaka unakera dah big up bro✌
Sema In Shaa Allah mama🤲🤲🤲🤲....Afu upo vzr huongei kuhusu ishu za watu big up mama
Hongera mtangazaji interview mzuri sana ya heshima.
Huyo mama Daimond nimchawi kabisa Ila Léo sababu yapesa anaamuwa kumkana Mme wake uyo mama analaana sana pole baba Daimond mungu akulinde akusikiyee Kesho nisiku achana naule malaya
Mama wa hiari aso mdharau mtu 💞😍💝💗❤️💖😍😘😘
Wote wanao mtegemea Diamond Platnumz hawawezi kumsema vibaya mama Dangote, wote watakufa njaaa
Kabisaaa
Ni kweli hata ningekuwa mm ila moyoni namshangaa ila kwa watu namtetea
@@dionestermwinuka7520 kweli
Ni kweli kabisa
😂😂😂wamseme vibaya diamond😂😂😂😂 wafe njaa weeh🤣🤣🤣
Yupo sawa yeye si msemaji wa familia 😩😪❤️
Nampenda saana khadija kopa....naigiza hadi sauti akiimba toke niko 4 yrs.....daah...hachuji....yani mzuuri maashaaAllah....
Mama Mzuri huyu na rangi yake naipenda sana
Wapi like za Mamake Zuchu👍👍
I love her she ez always minding her business
True
Bi Khadija anaakili sana sanaaa unajuwa angelikuwa mtu mwengine ashaelezea mambo ya family za watu ata hayamuhusu ... au unasemaje mwanangu Sammisago
Unafikiri Hadija kopa ataongelea mama dangote vibaya ndio mtoto wake afukuzwe wcb anyanganywe na gari pia 😂😂😂😂
Ety😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Aliulizwa kuhusu mzee yussuf hakusem pia na Wala mtoto wako hafanyi kazi uko ni ustaarabu tu mwenyew kwakua kila mtu Anachangamoto zake katika maisha
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂
Like za khopa
Miminapenda rangiyake choklet madhallah hajiharibu kwamikorogo
@@sulemohd4812 1AM qqllqqry
Tundl
Mtangazaji hongera upo vizur kwenye kz yako 🔥🔥🔥🔥😍😍😍
Mama yuko vizuri sana hapendi ku zungumziya mambo yatu mashaallah mama yetu hadija
MAMA LAO 🙌🥰🥰khadjakopa
Bibi naipenda ile nyimbo top in town yan huwa nikiisikilizaga kama vile uliimba jana haichujagi
Hata full stop nayo kali
Sasa mlitaka aseme nn ...hayo hayamuhusu yeye sio msemaji wa familiaya diamond
Ndo hapo sasa😂
achana nao kuna mijitu inapend umbay kuchunguz watu wengin yao yanawashind
Mnathamin vyaduniani kuliko mungu juen vitawangamiza kwakukosa kumucha mungu
Mama mirushoo.🔥🔥
Allah akuongoze mama yetu, upate kurudi kwa Allah na akupokee
amiin
Natural beauty mama khadija Masha aa Allah
Napenda huyu mama sana
Khadija nahisi Nimpe Kopa
B
Mama hapo huwezi kuongea kitu mana ukiongea utumbo basi kitumbua kitaingia mchanga
😂😂😂😂😂
Kwanza hayamuhs na nyie acheni kushadadia mambo yasio wahus ayo Ni mambo ya family waachen wenyew
@@sharonchristian3711 kwanza hata hapendagi kuongea mambo ya watu
😂😂😂umeonaee
Wote wanao mtegemea Diamond Platnumz hawawezi kumsema vibaya mama Dangote, wote watakufa njaaa
Dah mama unasapoti kwa kuwa mwanao yupo wasafi ila moyoni sio kweli ni upuuz mkubwa sana kafanya mwanamke mwenzenu
Uliingia kwenye moyo wake? Jielewe kaka
Kabsaaaa Mama Khadija Yasiyo Kuhusu Usiyadadisi,
I love you Mama ❤️
Mamaake uyoo nakupenda bure
🙄🙄sasa ni wapi khadija kopa ametoa Zito kwa mama dangote jamani....
Pppphhhoooo... mnaweza kutudanganya kweli
Bravooo Bi Khadija unasema ukweli
Looh mama mdangaji mama mdangaji mama diamond alidanga saana inaonekana 👃🏿👃🏿👃🏿👃🏿👃🏿
Hata baba mondi alikuwa mdangaji kila mtoto na mama ake! Lol
@@MsAggie5 harafu hajaoa anawapa mimba tu😃😃😃
@@naamohamed9964 ndo hivyo hivyo, lakini watu hawaoni
kopa kopa ntalipa ☺️
MashaaAllah mama khadija mungu awenawe
Huyu mama awez kumkosoa daimond wala mama daimond cause maisha yao wanamtegemea diamond
Habibty urudi kwa mola wako tena umsujudie Allah dunia tunapita achana nayo ya dunia miaka 30 bado hujachoka tu na ya dunia
🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Khadija Umemkosea mungu sana sema stghafirullah, yaani we ukiambiwa uchague kati ya Allah na pesa utachagua pesa. Laana tulllah.
Miaka 30 kamtumikia sheitwaan na bado hajazinduka,ALLAH ATUHIDI
Msimlaani, muombeeni!
hiv hawa watu wanaotoa laaana kwabinadam wenzao wanajua Kama hiyo nidhambi kubwa kumlaan binadam mwenzio
HAWEZI TIA MCHANGA KITUMBUA CHA MWANAE.KHADIJA ANAJIELEWA BABA ZUCHU NI MMOJA TU.
Top in town,big up my best taarab artist
Mama zuchu anatetea ugali wake jamani
No, hekima inaongoza kuacha kuingilia mambo ya watu
We jamaa unazingua anatetea ugar kwa lipi anatetea kwa Nani mama ametumia akili za utu uzima we ndo ___xaana
hatare
Hapana hana njaa huyo
@@erastorjohn2756 ckia kaulizwa kuhusu alichokifanya mama diamond kasema kafanya vzr kusema vire! Lakn alipoulizwa kuhusu baba diamond ndio kakataa na kusema hayamuhusu kwa nn asingesema tangia mwanzo!? Ndio unafk wenyewe huo!
Nice
Neno gani zito muongo mkubwa kutaka kutufanya tu View tu mxieeeeee
Missago umekula Mb's zangu Bure. Title ya video na kilichozungumzwa vitu viwili Tofauti... dadeq😒😒😒😒
Swala la mama dagoti na aliekua mumewe mzee Abduli . Mimi ninaona ni jambo ambalo limeisha kwa sababu mwenye dhamana ya mtoto ni mama anaweza kumpa mtu yoyote Yule amtakae mimba ijapokua bado ndogo sana Au mtoto anapokea mchanga sana .hua inakua ni siri ya mama .lakini pia mama huyo huyo anaweza kukuvya ubaba.akitaka kwahiyo jambo Hilo sasa limeisha mzee Abduli afanye kazi ajitafutie ridhiki yake ya halali .kwamaa nyingine ni kwamba waswahili husema UShuzi Wangomani haukawii kupita. Mzee Abdul tafuta shughuli ya kufanya upate chako .ushakua ukweli inatosha
Nakumbuka enzi za nasma hamisi na bi khadija
😂😂😂kile kipindi cha naona mambo yako huku taarabu IMO,tarabu IMO,utaumiza moyo wako.
Mamy I love you so much
Mama mashallah sio mbea
Khadija kopa mpuuzi sana wewee
Huyu mwanamke na yeye mwenyewe ni mwendawazimu kwasababu alishajitangaza kutoa mimba nyingi kwahiyo hawezi kuwa tofauti na Bi SANDRA
Ajawai kuzeeka Tangia nasoma yupo ivyo ivyo
Amezeeka!!
@@jumakapilima5674 🙄😱😁🤪
Asiwe na makeup ndio utajua amezeeka au hajazeeka.
Kabisa
😳 Daah! Hii ni hatari sana ...
“Duniani mnayo dhiki, jipeni moyo, mimi nime ushinda ulimwengu 🥺🙏🏽
Hasira hasara 😢
Wapime DNA 🧬
Hawuna hakiri kama mama dangote tena mungu agusameh ukweli utabaki ukweli🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Yeye si msemaji wa familia ya mama dangote unataka aseme nn?
Uko vizuri
🙏
Upo sawa mno kopa
We mama sema kweli mama dangot kakosea sana sana
Yy sio mungu mtoa hukum sorry! Pia hayamuhusu ayo yy sio msemaji wa familia za watu😪
Kila Mtu na mawazo yake, huwezi kile unawaza ww na wote waongee kilekile
Mambo mengine yote umesema Ila la mama diamond unaogopa zuchu atafkuzwa 🤔
Huyu ndo mama. C wale wa wamama wanaobabaika na dunia. Hapo mama kopa
Mmmh!
Bi hadija ww nimuislam mwezangu.nakushauri.utubie tubia ww mja waallah .utakujakujutia sn ww mwanamkee achaa laana zako tn dunia inamwisho pesa nimichezo michafu tu.
Kwani kakosea nn tena jamani?
Jamani menyo mazuri waaaw
Hacha mama zuchu asifukuzwe WCB, ishiiiiiiiii
Si utakuwa unafiki ukiacha
Kufukuzw kwa zuchu watakua wanatak ivo tu
Ila hana kosa lolote
Ehee! Hacha kabisa 😁
Nice mma hadija
Ww bi khadija hawez sema muache bhana
Kujisifu tu misifa kutuonesha eti mtoto wangu nimemsomesha .waliosomesha watoto wao hawajitangazi..
Acha wivu
Kajibu swali aliloulizwa ulitaka aseme hajamsomesha?
Unawasha wewe
Sasa ulitaka ajibuje
Sasa uvaa nn mama jamani mtu mzima
Upumbavu MTU. Mama diamond karewa sifa mari kitugani anazani ataish milele
Kazi
hi
Mama lao
👌👏👏👏👏💯🥰
Mhh mama mungu anakuona wewe hebu chukua nafasi ya mzee Abdul au awe ni kaka yako ungemsapoti mama dangote kweli ?
Unaleta mwanao asije Shushan Web
Kama umehisi Hadija Kopa ni mnafiki nyosha mkono....alipoulizwa maamuzi ya mama dangote hata bila kusita,kutafakari wala kujali akakurupuka kuwa alifanya vizuri na ni Jambo la kawaida. Baada ya kuulizwa kuhusu hatua ya Mzee nasibu akapinduka eti sitaki kuzungumzia mambo ya familia. Mbona asingekataa kulizungumzia tokea mwanzo?
Khadija kopa mbona unamuunga mkono Mzee mwenzio alivyojtudhalilisha wanawake dunia nzima unamsapot? Ah ama kweli dunia kwishnehi
Ingetokea kwako ingekuaje udangaji upo tangu zman ayo ndo maisha mama mond alopitia anetoa hukm Ni Mungu peke ake so achen kupayuka
Wewe mama jaribu kuvaa kuatu cha mzee Abdul ndo utajua kunakubanaje?usiogope kusema ukweli sababu ya maisha ya Dunia
Ila wew jamaa nae akili zako sio mzr Sasa yeye uyo Yana muusu Nini Sasa yeye ataki mambo mengi na ataki matatzo na mtu
Seema uone mwanao Kama ajafukuzwa kazi
Busara za malkia ila lingekuwa jitu jingine lingefunguka kam linaishi ndani ya familia ya wahusika
Niogopenini kwani naenda kupigwa mikwaju kule imekaa poa sana
Unasupport mabaya juu mutafukuzwa wcb.
Mama zuchu ❤️✅
Sijaskia maneno mazito...
Sema kweli bibi mana hpo mwanzo umesema bi Sandra amefanya vzr hulipo fika upanda wa baba Abdul wajitia ni mambo ya familiya c vzr kuingilia nyoo waogopa mwanayo sije akatolewa tonge mdomoni😂😂😂Nacheka kama mazuri vile
Ila wauni saiz mnakula views nyingi toka mama dangote atrend 😂😂😂😂
Hahaaa sana wamekula pesa zetuu
Saiz n one day interviews zina over 150K dadeq alaf ngoma za chege kule hazijafika😂😂
Eheheheyaa
Welcome kuskiliza nyinbo zangu
Zikiwambaya nakuruhusu nitukane
Maeva wengiiii.ok
yaan we ach tu
Hi
Ongea !! zuchu alale njaa au mlale njaa
Mama ndangote anatafuta kiki kwenye media mjinga sana hii ishu imesukwa waoate kiki ujinga mkubwa
*Munaharibu mahojiano yenu kwa kuuliza maswali ya watu yasiyo wahusu*
Ukoo sio apafai ata kuowa wala kuolewa awana maadili familia sio
Aho
Umasikini huo sasa remote huachii 24/7
yh