EXCLUSIVE : KHADIJA KOPA ATOA NENO ZITO KWA MAMA DANGOTE ,DIAMOND | MZEE ABDUL AKASIRISHWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 01. 2021
  • EXCLUSIVE : KHADIJA KOPA ATOA NENO ZITO KWA MAMA DANGOTE ,DIAMOND | MZEE ABDUL AKASIRISHWA
  • Zábava

Komentáře • 392

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 Před 3 lety +62

    Huyu mama mzuri Jamani wa sura tuache unafiki😘😘😘😘😘

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 Před 3 lety +1

      Kwelii kbs

    • @mwannerajabu8688
      @mwannerajabu8688 Před 3 lety +2

      True Kisha hazeek

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 3 lety

      Cpati picha alivokuwa binti

    • @radhiaoman2454
      @radhiaoman2454 Před 3 lety +1

      @@jescajulius8023 alikuwa mzuri halafu hakuwa mnene sana kama hivyo nakumbuka tulikuwa tukienda kata 14 kuangalia ToT ikipiga alikuwa anacheza mpaka sarakasi miaka ya 90 - 95

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 3 lety

      @@radhiaoman2454 anaonekana tu sura shombe shombe

  • @haridimnimbo7377
    @haridimnimbo7377 Před 3 lety +4

    Kumbe ndio maana huyu mama dairly yuko on top kiukweli anajua kuongea kwa nidhamu sana na kuheshimu wana habari mungu amuweke aendelee kuwa mfano mzr wa kina mama wasiojua kuzungumza. Ningepata namba yake ningemtumia hata chochote kidogo nilichokua nacho nampenda tokea Achia ngazi bibi mchuma unaondoka huo hadi leo nikiskiliza top in Town napata feelings za hatar!👏👏👏👏👏

  • @queenofpersia8272
    @queenofpersia8272 Před 3 lety +54

    She is so so beautiful!!! Gorgeous woman 😍

  • @carolinemwamba8710
    @carolinemwamba8710 Před 3 lety +21

    Mtangazaji una heshima mpaka unakera dah big up bro✌

  • @bidallahamadi4076
    @bidallahamadi4076 Před 3 lety +17

    Sema In Shaa Allah mama🤲🤲🤲🤲....Afu upo vzr huongei kuhusu ishu za watu big up mama

  • @vincentkiprotich7959
    @vincentkiprotich7959 Před 3 lety +35

    Hongera mtangazaji interview mzuri sana ya heshima.

  • @gadssandrinechura4033
    @gadssandrinechura4033 Před 3 lety +5

    Huyo mama Daimond nimchawi kabisa Ila Léo sababu yapesa anaamuwa kumkana Mme wake uyo mama analaana sana pole baba Daimond mungu akulinde akusikiyee Kesho nisiku achana naule malaya

  • @shardalove1159
    @shardalove1159 Před 3 lety +6

    Mama wa hiari aso mdharau mtu 💞😍💝💗❤️💖😍😘😘

  • @joezeno8
    @joezeno8 Před 3 lety +46

    Wote wanao mtegemea Diamond Platnumz hawawezi kumsema vibaya mama Dangote, wote watakufa njaaa

  • @jovialke_update6940
    @jovialke_update6940 Před 3 lety +23

    Yupo sawa yeye si msemaji wa familia 😩😪❤️

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood4261 Před 3 lety +1

    Nampenda saana khadija kopa....naigiza hadi sauti akiimba toke niko 4 yrs.....daah...hachuji....yani mzuuri maashaaAllah....

  • @annievibes8794
    @annievibes8794 Před 3 lety +3

    Mama Mzuri huyu na rangi yake naipenda sana

  • @stargalke2625
    @stargalke2625 Před 3 lety +17

    Wapi like za Mamake Zuchu👍👍

  • @ramaaisha887
    @ramaaisha887 Před 3 lety +16

    I love her she ez always minding her business

  • @youngchua697
    @youngchua697 Před 3 lety +1

    Bi Khadija anaakili sana sanaaa unajuwa angelikuwa mtu mwengine ashaelezea mambo ya family za watu ata hayamuhusu ... au unasemaje mwanangu Sammisago

  • @roseatieno6691
    @roseatieno6691 Před 3 lety +32

    Unafikiri Hadija kopa ataongelea mama dangote vibaya ndio mtoto wake afukuzwe wcb anyanganywe na gari pia 😂😂😂😂

  • @chiddymovie5774
    @chiddymovie5774 Před 3 lety +104

    Like za khopa

  • @rahmaali3800
    @rahmaali3800 Před 3 lety

    Mtangazaji hongera upo vizur kwenye kz yako 🔥🔥🔥🔥😍😍😍

  • @habibasallah8139
    @habibasallah8139 Před 3 lety

    Mama yuko vizuri sana hapendi ku zungumziya mambo yatu mashaallah mama yetu hadija

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Před 3 lety +1

    MAMA LAO 🙌🥰🥰khadjakopa

  • @chumachakavu6664
    @chumachakavu6664 Před 3 lety +4

    Bibi naipenda ile nyimbo top in town yan huwa nikiisikilizaga kama vile uliimba jana haichujagi

  • @saphiashomarysalum5010
    @saphiashomarysalum5010 Před 3 lety +39

    Sasa mlitaka aseme nn ...hayo hayamuhusu yeye sio msemaji wa familiaya diamond

  • @mariammali4396
    @mariammali4396 Před 3 lety +4

    Mnathamin vyaduniani kuliko mungu juen vitawangamiza kwakukosa kumucha mungu

  • @tarajirashid5752
    @tarajirashid5752 Před 3 lety +18

    Mama mirushoo.🔥🔥

  • @rubeyasalim3658
    @rubeyasalim3658 Před 3 lety +5

    Allah akuongoze mama yetu, upate kurudi kwa Allah na akupokee

  • @AishaAli-lk7gh
    @AishaAli-lk7gh Před 3 lety +3

    Natural beauty mama khadija Masha aa Allah

  • @pricillahwanjiru8965
    @pricillahwanjiru8965 Před 3 lety +2

    Napenda huyu mama sana

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 Před 3 lety +41

    Khadija nahisi Nimpe Kopa

  • @kngshassan5202
    @kngshassan5202 Před 3 lety +70

    Mama hapo huwezi kuongea kitu mana ukiongea utumbo basi kitumbua kitaingia mchanga

    • @salamagat4784
      @salamagat4784 Před 3 lety +1

      😂😂😂😂😂

    • @sharonchristian3711
      @sharonchristian3711 Před 3 lety +9

      Kwanza hayamuhs na nyie acheni kushadadia mambo yasio wahus ayo Ni mambo ya family waachen wenyew

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 Před 3 lety +5

      @@sharonchristian3711 kwanza hata hapendagi kuongea mambo ya watu

    • @kinyamal8201
      @kinyamal8201 Před 3 lety

      😂😂😂umeonaee

    • @joezeno8
      @joezeno8 Před 3 lety +3

      Wote wanao mtegemea Diamond Platnumz hawawezi kumsema vibaya mama Dangote, wote watakufa njaaa

  • @jumamiraji3081
    @jumamiraji3081 Před 3 lety +4

    Dah mama unasapoti kwa kuwa mwanao yupo wasafi ila moyoni sio kweli ni upuuz mkubwa sana kafanya mwanamke mwenzenu

  • @mwanahalimamwachili9679

    Kabsaaaa Mama Khadija Yasiyo Kuhusu Usiyadadisi,

  • @masundelwa
    @masundelwa Před 3 lety +1

    I love you Mama ❤️

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 Před 3 lety +1

    Mamaake uyoo nakupenda bure

  • @hudamohamhed4897
    @hudamohamhed4897 Před 3 lety +2

    🙄🙄sasa ni wapi khadija kopa ametoa Zito kwa mama dangote jamani....
    Pppphhhoooo... mnaweza kutudanganya kweli

  • @zullyfarafan6204
    @zullyfarafan6204 Před 3 lety

    Bravooo Bi Khadija unasema ukweli

  • @elit3_furor517
    @elit3_furor517 Před 3 lety +4

    Looh mama mdangaji mama mdangaji mama diamond alidanga saana inaonekana 👃🏿👃🏿👃🏿👃🏿👃🏿

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 3 lety +1

      Hata baba mondi alikuwa mdangaji kila mtoto na mama ake! Lol

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 Před 3 lety +2

      @@MsAggie5 harafu hajaoa anawapa mimba tu😃😃😃

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 3 lety

      @@naamohamed9964 ndo hivyo hivyo, lakini watu hawaoni

  • @derickydeniz583
    @derickydeniz583 Před 3 lety +2

    kopa kopa ntalipa ☺️

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 Před 3 lety +5

    MashaaAllah mama khadija mungu awenawe

    • @piusacademic3256
      @piusacademic3256 Před 3 lety

      Huyu mama awez kumkosoa daimond wala mama daimond cause maisha yao wanamtegemea diamond

  • @hawaali8107
    @hawaali8107 Před 3 lety +3

    Habibty urudi kwa mola wako tena umsujudie Allah dunia tunapita achana nayo ya dunia miaka 30 bado hujachoka tu na ya dunia

  • @azaabdallah3186
    @azaabdallah3186 Před 3 lety +21

    Khadija Umemkosea mungu sana sema stghafirullah, yaani we ukiambiwa uchague kati ya Allah na pesa utachagua pesa. Laana tulllah.

    • @qilil7
      @qilil7 Před 3 lety +2

      Miaka 30 kamtumikia sheitwaan na bado hajazinduka,ALLAH ATUHIDI

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      Msimlaani, muombeeni!

    • @liliansingenda7492
      @liliansingenda7492 Před 3 lety +2

      hiv hawa watu wanaotoa laaana kwabinadam wenzao wanajua Kama hiyo nidhambi kubwa kumlaan binadam mwenzio

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 Před 3 lety +3

    HAWEZI TIA MCHANGA KITUMBUA CHA MWANAE.KHADIJA ANAJIELEWA BABA ZUCHU NI MMOJA TU.

  • @leeldavid3712
    @leeldavid3712 Před 3 lety +1

    Top in town,big up my best taarab artist

  • @annerafaela407
    @annerafaela407 Před 3 lety +33

    Mama zuchu anatetea ugali wake jamani

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety +1

      No, hekima inaongoza kuacha kuingilia mambo ya watu

    • @erastorjohn2756
      @erastorjohn2756 Před 3 lety

      We jamaa unazingua anatetea ugar kwa lipi anatetea kwa Nani mama ametumia akili za utu uzima we ndo ___xaana

    • @sigifridaloyce6515
      @sigifridaloyce6515 Před 3 lety

      hatare

    • @festokomba4694
      @festokomba4694 Před 3 lety

      Hapana hana njaa huyo

    • @yustingirl2711
      @yustingirl2711 Před 3 lety

      @@erastorjohn2756 ckia kaulizwa kuhusu alichokifanya mama diamond kasema kafanya vzr kusema vire! Lakn alipoulizwa kuhusu baba diamond ndio kakataa na kusema hayamuhusu kwa nn asingesema tangia mwanzo!? Ndio unafk wenyewe huo!

  • @anitakamene5073
    @anitakamene5073 Před 3 lety +1

    Nice

  • @aishanassor8041
    @aishanassor8041 Před 3 lety +8

    Neno gani zito muongo mkubwa kutaka kutufanya tu View tu mxieeeeee

  • @valeriansixbert9428
    @valeriansixbert9428 Před 3 lety +3

    Missago umekula Mb's zangu Bure. Title ya video na kilichozungumzwa vitu viwili Tofauti... dadeq😒😒😒😒

  • @adammjomba7112
    @adammjomba7112 Před 3 lety

    Swala la mama dagoti na aliekua mumewe mzee Abduli . Mimi ninaona ni jambo ambalo limeisha kwa sababu mwenye dhamana ya mtoto ni mama anaweza kumpa mtu yoyote Yule amtakae mimba ijapokua bado ndogo sana Au mtoto anapokea mchanga sana .hua inakua ni siri ya mama .lakini pia mama huyo huyo anaweza kukuvya ubaba.akitaka kwahiyo jambo Hilo sasa limeisha mzee Abduli afanye kazi ajitafutie ridhiki yake ya halali .kwamaa nyingine ni kwamba waswahili husema UShuzi Wangomani haukawii kupita. Mzee Abdul tafuta shughuli ya kufanya upate chako .ushakua ukweli inatosha

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid5393 Před 3 lety +1

    Nakumbuka enzi za nasma hamisi na bi khadija

    • @jesusmyeverything9179
      @jesusmyeverything9179 Před 3 lety

      😂😂😂kile kipindi cha naona mambo yako huku taarabu IMO,tarabu IMO,utaumiza moyo wako.

  • @annalyabandi4899
    @annalyabandi4899 Před 3 lety

    Mamy I love you so much

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 Před 3 lety

    Mama mashallah sio mbea

  • @husseinabdallah5718
    @husseinabdallah5718 Před 3 lety +3

    Khadija kopa mpuuzi sana wewee

  • @engzuberir.akilenza1764

    Huyu mwanamke na yeye mwenyewe ni mwendawazimu kwasababu alishajitangaza kutoa mimba nyingi kwahiyo hawezi kuwa tofauti na Bi SANDRA

  • @myfetty1960
    @myfetty1960 Před 3 lety +25

    Ajawai kuzeeka Tangia nasoma yupo ivyo ivyo

  • @africanchocolate4216
    @africanchocolate4216 Před 3 lety +2

    😳 Daah! Hii ni hatari sana ...
    “Duniani mnayo dhiki, jipeni moyo, mimi nime ushinda ulimwengu 🥺🙏🏽
    Hasira hasara 😢
    Wapime DNA 🧬

  • @mary5162
    @mary5162 Před 3 lety

    Hawuna hakiri kama mama dangote tena mungu agusameh ukweli utabaki ukweli🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 3 lety

      Yeye si msemaji wa familia ya mama dangote unataka aseme nn?

  • @saidmohamed3808
    @saidmohamed3808 Před 3 lety

    Uko vizuri

  • @mohammedkitcarson697
    @mohammedkitcarson697 Před 3 lety

    🙏

  • @ephrahimmtafya4480
    @ephrahimmtafya4480 Před 3 lety

    Upo sawa mno kopa

  • @rajabuseleman9686
    @rajabuseleman9686 Před 3 lety

    We mama sema kweli mama dangot kakosea sana sana

    • @meaningoflife651
      @meaningoflife651 Před 3 lety

      Yy sio mungu mtoa hukum sorry! Pia hayamuhusu ayo yy sio msemaji wa familia za watu😪

    • @kindandakudingwa7514
      @kindandakudingwa7514 Před 3 lety

      Kila Mtu na mawazo yake, huwezi kile unawaza ww na wote waongee kilekile

  • @mohammedali-yj6wv
    @mohammedali-yj6wv Před 3 lety +1

    Mambo mengine yote umesema Ila la mama diamond unaogopa zuchu atafkuzwa 🤔

  • @zashairbathandbody2009

    Huyu ndo mama. C wale wa wamama wanaobabaika na dunia. Hapo mama kopa

  • @olivernathereth8088
    @olivernathereth8088 Před 3 lety +2

    Mmmh!

  • @zahorrashid5459
    @zahorrashid5459 Před 3 lety

    Bi hadija ww nimuislam mwezangu.nakushauri.utubie tubia ww mja waallah .utakujakujutia sn ww mwanamkee achaa laana zako tn dunia inamwisho pesa nimichezo michafu tu.

  • @natashahospicious2554
    @natashahospicious2554 Před 3 lety

    Jamani menyo mazuri waaaw

  • @specialminds23
    @specialminds23 Před 3 lety +27

    Hacha mama zuchu asifukuzwe WCB, ishiiiiiiiii

  • @user-en6qq3rs8j
    @user-en6qq3rs8j Před 3 lety

    Nice mma hadija

  • @ashulamusin9811
    @ashulamusin9811 Před 3 lety

    Ww bi khadija hawez sema muache bhana

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 Před 3 lety +2

    Kujisifu tu misifa kutuonesha eti mtoto wangu nimemsomesha .waliosomesha watoto wao hawajitangazi..

  • @khadijaali3688
    @khadijaali3688 Před 3 lety +1

    Sasa uvaa nn mama jamani mtu mzima

  • @nipolive..2745
    @nipolive..2745 Před 3 lety +4

    Upumbavu MTU. Mama diamond karewa sifa mari kitugani anazani ataish milele

  • @sofiajames8908
    @sofiajames8908 Před 3 lety

    Kazi

  • @lbfiregames9516
    @lbfiregames9516 Před 3 lety +1

    hi

  • @yassinm69
    @yassinm69 Před 3 lety +2

    Mama lao

  • @medissavero
    @medissavero Před 3 lety

    👌👏👏👏👏💯🥰

  • @khadijaomar7529
    @khadijaomar7529 Před 3 lety

    Mhh mama mungu anakuona wewe hebu chukua nafasi ya mzee Abdul au awe ni kaka yako ungemsapoti mama dangote kweli ?

  • @fatumahalifa4636
    @fatumahalifa4636 Před 3 lety +1

    Unaleta mwanao asije Shushan Web

  • @villagelife_0034
    @villagelife_0034 Před 3 lety

    Kama umehisi Hadija Kopa ni mnafiki nyosha mkono....alipoulizwa maamuzi ya mama dangote hata bila kusita,kutafakari wala kujali akakurupuka kuwa alifanya vizuri na ni Jambo la kawaida. Baada ya kuulizwa kuhusu hatua ya Mzee nasibu akapinduka eti sitaki kuzungumzia mambo ya familia. Mbona asingekataa kulizungumzia tokea mwanzo?

  • @azaabdallah3186
    @azaabdallah3186 Před 3 lety +2

    Khadija kopa mbona unamuunga mkono Mzee mwenzio alivyojtudhalilisha wanawake dunia nzima unamsapot? Ah ama kweli dunia kwishnehi

    • @sharonchristian3711
      @sharonchristian3711 Před 3 lety

      Ingetokea kwako ingekuaje udangaji upo tangu zman ayo ndo maisha mama mond alopitia anetoa hukm Ni Mungu peke ake so achen kupayuka

  • @sumayahfathi9413
    @sumayahfathi9413 Před 3 lety +2

    Wewe mama jaribu kuvaa kuatu cha mzee Abdul ndo utajua kunakubanaje?usiogope kusema ukweli sababu ya maisha ya Dunia

    • @samsonbabalao4158
      @samsonbabalao4158 Před 3 lety

      Ila wew jamaa nae akili zako sio mzr Sasa yeye uyo Yana muusu Nini Sasa yeye ataki mambo mengi na ataki matatzo na mtu

  • @jacksbukuku3200
    @jacksbukuku3200 Před 3 lety +1

    Seema uone mwanao Kama ajafukuzwa kazi

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 Před 3 lety +2

    Busara za malkia ila lingekuwa jitu jingine lingefunguka kam linaishi ndani ya familia ya wahusika

  • @mustaphambwana7944
    @mustaphambwana7944 Před 3 lety +2

    Niogopenini kwani naenda kupigwa mikwaju kule imekaa poa sana

  • @everlineeverline105
    @everlineeverline105 Před 3 lety

    Unasupport mabaya juu mutafukuzwa wcb.

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 Před 3 lety +2

    Mama zuchu ❤️✅

  • @hildahmilanoi1446
    @hildahmilanoi1446 Před 3 lety

    Sijaskia maneno mazito...

  • @aminasaid7657
    @aminasaid7657 Před 3 lety

    Sema kweli bibi mana hpo mwanzo umesema bi Sandra amefanya vzr hulipo fika upanda wa baba Abdul wajitia ni mambo ya familiya c vzr kuingilia nyoo waogopa mwanayo sije akatolewa tonge mdomoni😂😂😂Nacheka kama mazuri vile

  • @timothyshadrack1465
    @timothyshadrack1465 Před 3 lety +2

    Ila wauni saiz mnakula views nyingi toka mama dangote atrend 😂😂😂😂

  • @timothyshadrack1465
    @timothyshadrack1465 Před 3 lety +4

    Saiz n one day interviews zina over 150K dadeq alaf ngoma za chege kule hazijafika😂😂

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid5393 Před 3 lety

    Eheheheyaa

  • @dpainofficial5256
    @dpainofficial5256 Před 3 lety

    Welcome kuskiliza nyinbo zangu
    Zikiwambaya nakuruhusu nitukane

  • @josephsebe5857
    @josephsebe5857 Před 3 lety

    Maeva wengiiii.ok

  • @mu-crzymahez9229
    @mu-crzymahez9229 Před 3 lety +1

    yaan we ach tu

  • @JONATHANKAPUKU
    @JONATHANKAPUKU Před 3 lety

    Hi

  • @pamphiliagapitius2686
    @pamphiliagapitius2686 Před 3 lety

    Ongea !! zuchu alale njaa au mlale njaa

  • @masalagulangwa3702
    @masalagulangwa3702 Před 3 lety +4

    Mama ndangote anatafuta kiki kwenye media mjinga sana hii ishu imesukwa waoate kiki ujinga mkubwa

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 Před 3 lety +1

    *Munaharibu mahojiano yenu kwa kuuliza maswali ya watu yasiyo wahusu*

  • @salimlupatu8307
    @salimlupatu8307 Před 3 lety +1

    Ukoo sio apafai ata kuowa wala kuolewa awana maadili familia sio

  • @maryammarham2862
    @maryammarham2862 Před 3 lety +1

    Aho

  • @shangweyussuf640
    @shangweyussuf640 Před 3 lety +1

    Umasikini huo sasa remote huachii 24/7

  • @mu-crzymahez9229
    @mu-crzymahez9229 Před 3 lety

    yh