Video není dostupné.
Omlouváme se.

JESHI LA POLISI LAHUSISHWA NA UTEKAJI, NAIBU KATIBU MKUU BARA AMTAKA IGP KUJIBU HOJA SIO KUKANUSHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 27

  • @user-pw8ci6rg4y
    @user-pw8ci6rg4y Před měsícem +4

    Hapa suluhu ni kuwapeleka mahakaman ingekua inawezekana nikwenda lcc washtakiwe huko

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 Před měsícem +1

    Hatua nzuri

  • @michaelmwambije3603
    @michaelmwambije3603 Před měsícem +3

    Hakuna ambae hajui kuwa jeshi lapolic niwatekaji ten nimajambaz

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi Před měsícem +1

    Samia ameonga watu wakuiba kura chadema tuko tayari kwa shari

  • @jaanjaan111
    @jaanjaan111 Před měsícem +1

    Shida sio polisi shida iko kwenu mapimbi mawaziri wote family zao ziko mitaani mali zoa zinajulikana tumalizane nao siku kumi zinatosha kuleta heshima kwa kila mtu

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před měsícem

    Ukileta matukio aya alafu unaona Peter Msigwa anatoa menooo njeee kama chiliku

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u Před měsícem

    Awajamaa wanafanyavibaya sana mungu atakuja kulipa

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y Před měsícem +1

    Jeshi la polisi linahusika asilimia mia moja kwa sababu watu wanajua kila kitu unajua Dunia ya sasa hivi huwezi kuficha chochote kile watu wanauelewa mkubwa sana kuliko hata IGP

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Před měsícem

    Jeshi la Polisi Tz ni Majambazi na Watekaji wote

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před měsícem

    Kwa matendo haya hata hiyo katiba mpya ikipatkana nina was was haitafwata mana hata hzo sheria ambazo zipo hazifwatwi waz waz na hakuna kinachoendelea pole mzee wangu Kigaira

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u Před měsícem

    Akuna utawala washelia wanafanyamambo kiuonevu iposiku wataondoka kama alivondoka mkoloni

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 Před měsícem

    icc ndowatenda haki ila hii mahakama yetu rostm mwazz ashasema hio ni ya maagizo2 hivo tz, hamna haki

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem +1

    Hapa kuna fumbo! Wananchi tukisema juu ya mzunguko woote kisha anatokea kaimu kusema tuko naye,kwamba polisi ni waongo,bado ntatekwa, kufichwa,kuteswa,baada ya muda kupita patatokea tena utekwaji kisa nimesema polisi waongo?!

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka Před měsícem +1

    Police TANZANIA 🇹🇿

  • @frankSamwel-rg3lz
    @frankSamwel-rg3lz Před měsícem

    No rule of law no one is safe

  • @user-pw8ci6rg4y
    @user-pw8ci6rg4y Před měsícem +1

    Chadema tatzo mnaishia kulalamika tu, ifike mahala chukueni hatua ili wanachama wenu wawe na Imani na chadema

    • @samuelmakara1475
      @samuelmakara1475 Před měsícem

      Ungana nao au wewe sio Tanganyika

    • @raymondnlelwa427
      @raymondnlelwa427 Před měsícem

      Unataka tuanze kuwachinja tunaoishi nao mitaani sasa? Hii haifai; tunawaachia wenye mamlaka waamue na Mungu wetu aingilie kati.

    • @dionismutayoba3542
      @dionismutayoba3542 Před měsícem +1

      Shauri wafanye nn?

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 Před měsícem

      Suala hili ni la wananchi wote watanzania ingekua wananchi wanauwezo wangemkataa Samia tangia sakata la wamasai kutoka ngorongoro, bandari kupigwa mnada, sukari kupanda bei ,nape nauye kusema kua kuiba kula kwao ni halali Mungu atawasameee😊😊😊😊

  • @Jeremiahlukumay
    @Jeremiahlukumay Před měsícem

    Jeshi la polisi tz kwasasa limekua hatari zaidi Kwa usalama wa raia tanzania,hususan wapinzani wa serikali.

  • @user-fu6qv4ug2v
    @user-fu6qv4ug2v Před měsícem

    Vyama pinzani vinatuangusha sana avina msimamo

    • @samuelmakara1475
      @samuelmakara1475 Před měsícem

      @@user-fu6qv4ug2v wanaotekwa ni vyama vya upinzani au raia. Wewe unasemaje

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi Před měsícem

    Police ni mbwa wa ccm

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465 Před měsícem

    Tunajitawala vbaya Sisi kwa Sisi police wa bongo wakiundiwa tume kuna uovu mwingi Sana