RICARDO MOMO : MIMI NA DIAMOND BABA YETU MMOJA/ MZEE ABDUL SI BABA YAKE

Sdรญlet
Vloลพit
  • ฤas pล™idรกn 14. 01. 2021
  • ๐•Ž๐”ธ๐•‹โ„‚โ„ ๐•Ž๐”ธ๐•Š๐”ธ๐”ฝ๐•€ ๐•‹๐• ๐Ÿ“บ
    ๐—”๐—ญ๐—”๐— -๐Ÿฐ๐Ÿญ๐Ÿญ | ๐——๐—ฆ๐—ง๐—ฉ ๐Ÿฎ๐Ÿต๐Ÿฒ | ๐—ญ๐—จ๐—ž๐—จ-๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿด
    ๐—ฆ๐—ง๐—”๐—ฅ๐—ง๐—œ๐— ๐—˜๐—ฆ-๐Ÿฐ๐Ÿฐ๐Ÿฐ & ๐Ÿฏ๐Ÿฏ๐Ÿฏ | ๐—–๐—ข๐—–๐—ข๐—ก๐—จ๐—ง ๐—ง๐—ฉ-๐Ÿฎ๐Ÿฌ |๐——๐—ผ๐—ฑ๐—ผ๐—บ๐—ฎ๐—–๐—ฎ๐—ฏ๐—น๐—ฒ-๐Ÿญ๐Ÿญ๐Ÿฏ
    ๐‘ฐ๐‘ต๐‘บ๐‘ป๐‘จ๐‘ฎ๐‘น๐‘จ๐‘ด: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ถ๐—ป๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐‘ป๐‘พ๐‘ฐ๐‘ป๐‘ป๐‘ฌ๐‘น: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜๐˜„๐—ถ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐‘ญ๐‘จ๐‘ช๐‘ฌ๐‘ฉ๐‘ถ๐‘ถ๐‘ฒ: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ณ๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฏ๐—ผ๐—ผ๐—ธ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐•ƒ๐•€๐•Š๐•‹๐”ผโ„• ๐•Ž๐”ธ๐•Š๐”ธ๐”ฝ๐•€ ๐”ฝ๐•„ ๐Ÿ“ป
    ๐Ÿด๐Ÿด.๐Ÿต ๐——๐—”๐—ฅ ๐—˜๐—ฆ ๐—ฆ๐—”๐—Ÿ๐—”๐—”๐—  ๐Ÿ“ป | ๐Ÿญ๐Ÿฌ๐Ÿฐ.๐Ÿญ ๐——๐—ข๐——๐—ข๐— ๐—” ๐Ÿ“ป | ๐Ÿต๐Ÿฐ.๐Ÿฑ ๐—”๐—ฅ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—” ๐Ÿ“ป
    ๐”ฝ๐•†๐•ƒ๐•ƒ๐•†๐•Ž ๐•Œ๐•Š ๐•†โ„•:
    ๐‘ฐ๐‘ต๐‘บ๐‘ป๐‘จ๐‘ฎ๐‘น๐‘จ๐‘ด: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ถ๐—ป๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ/
    ๐‘ป๐‘พ๐‘ฐ๐‘ป๐‘ป๐‘ฌ๐‘น: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜๐˜„๐—ถ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ/
    ๐‘ญ๐‘จ๐‘ช๐‘ฌ๐‘ฉ๐‘ถ๐‘ถ๐‘ฒ: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ณ๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฏ๐—ผ๐—ผ๐—ธ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ
    ๐‘ช๐’๐’‘๐’š๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’• ยฉ2020 ๐‘พ๐’‚๐’”๐’‚๐’‡๐’Š ๐‘ด๐’†๐’…๐’Š๐’‚. ๐‘จ๐’๐’ ๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’•๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’†๐’“๐’—๐’†๐’….
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zรกbava

Komentรกล™e • 714

  • @stylinconceptkenya1160
    @stylinconceptkenya1160 Pล™ed 3 lety +4

    Kutoka kenya love kwa kuwona vitu mingi kwa maisha vile munafanya si vizuri kama kuweka mambo ya baba yake diamond kwa redio ama tv juwa leo ni nyinyi kesho ni yeye na pia usisahau kama mungu yuko leo munamdalilisha baba yake si poa kesho Hakera mutajibu nini hizi pesa zinafanya watu wasikubali baba dunia Inaisha walai Lakini fikirieni sana jama baba ni baba na mama ni mama tafakari hiyo we zangu ๐Ÿ™โค๏ธ

  • @khamismaulid6839
    @khamismaulid6839 Pล™ed 3 lety +22

    Ata huyo ricardo mwenyewe ana tabia ya kichawi chawi

    • @saudamkala1008
      @saudamkala1008 Pล™ed 3 lety

      Umuongo dada

    • @emilychichi7517
      @emilychichi7517 Pล™ed 3 lety +1

      unaweza fikiria diamond ni nduguwe utabaki kusema kaka yako kumbe hata DNA ndiyo kila kitu wanawake wa kulala na wanaume wakiwa kwa mahusiano๐Ÿ˜€mimi bila DNA najuwa ukweli. hauna undugu dear hata sura imekana alafu unaongea na uoga mbona diamond awe na kaka muongeaji kaa huyu๐Ÿคท๐Ÿพโ€โ™€๏ธ

  • @shariffmcleja9533
    @shariffmcleja9533 Pล™ed 3 lety +20

    Mimi nasubiri WAPO sehemu ya pili๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

  • @hajerjasem7981
    @hajerjasem7981 Pล™ed 3 lety +17

    Daaah kweli haya maisha yako kas sana na binadam tuko resi sana Allah awazindue hawajui walitendalo

    • @somoesaid7930
      @somoesaid7930 Pล™ed 3 lety +2

      Kweli wame korogeka namaisha

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 Pล™ed 3 lety +2

      Atar๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

  • @georgesimomgeleka2208
    @georgesimomgeleka2208 Pล™ed 3 lety +26

    Alafu kwa nn mwanzo walikua wanakili kwamba ni baba yake leo wanakana ndio maana Sisi wanaume uwa tunakataa watoto mapema tukiona mama mawenge

    • @joshuanoel5950
      @joshuanoel5950 Pล™ed 3 lety +1

      It's true

    • @navokisembo
      @navokisembo Pล™ed 3 lety +1

      Waongo hawa walete dna, mzee Abdul ni pacha kabisa wa Daimond kuliko huyu momo hakuna hata
      Mfanano mnalazimisha

    • @mdyegonyamkunga4846
      @mdyegonyamkunga4846 Pล™ed 3 lety +3

      Kiukwel maneno ya mzee Abdul yamenigusa kama mwanaume mwenzangu inauma xan kwann hawajalisema hili toka mapema mama mondi ni kahaba

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Pล™ed 3 lety +2

      Kwa sababu watu wanamtukana sana Naseeb bila kujua Ukweli

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Pล™ed 3 lety +2

      Hata yeye alimkataa,,,ndio maana mungu amekataza zinaa

  • @hashimhashin6432
    @hashimhashin6432 Pล™ed 3 lety +11

    Ile familia ya laana .. mama dangote nimemchukia kutoka leo nikiwa kenya ... fmly ya laana uuff .. maskini yule mzee Abdul na huyo boss wenu shoha nae anatawaliwana mama yke kupitiliza sheria ya mungu

  • @samtokarubandika387
    @samtokarubandika387 Pล™ed 3 lety +46

    Deal done , kesi kwisha. Asante Harmonize.

    • @mosekombo3657
      @mosekombo3657 Pล™ed 3 lety +1

      Afandali wameongea ukweli mzee wetu atulie sasa

    • @mdyegonyamkunga4846
      @mdyegonyamkunga4846 Pล™ed 3 lety +1

      Huyu mama mondi ni 1 ya wazaz wajinga xana dunian kama cyo mtoto wa Abdul mbona hujamueleza mapema mzee wa watu

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 Pล™ed 3 lety

      @@kibindankoi9824 kisha walikua wanapiga hela wa2 kumchangia ili apate hela audio zake na Darlin zilivuja anasema tulia tupige pesa

    • @aminamsuya1243
      @aminamsuya1243 Pล™ed 3 lety

      Uongo mbaya unajipendekezaaaa leo amkatae baba yake ili iweje mbona wamefanana nauyo mzeeee

    • @jabilingandule6621
      @jabilingandule6621 Pล™ed 3 lety

      Time will tell

  • @justineonline6556
    @justineonline6556 Pล™ed 3 lety +25

    Mungu anawaona tuu ,

  • @jacklinekatandula6534
    @jacklinekatandula6534 Pล™ed 3 lety +4

    Hii vita ni queen Dalin km umeona km mimi gonga na u like ila Mungu anamakusudi na kila jambo

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 Pล™ed 3 lety +23

    Queen Darleen ndo uanze maisha tenaa washakukataa hivyoo dooh๐Ÿค” Wanawake sie..hatari tupu

    • @sabihasalim942
      @sabihasalim942 Pล™ed 3 lety

      Maskini Darleen.

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns Pล™ed 3 lety

      Sasa jiulize mbona alikuwa anasema Darlin wameshea Baba inamaana hawakuwa wanajua au vipi.!?

    • @lucykanyopa5350
      @lucykanyopa5350 Pล™ed 3 lety

      Atulie kwa mumewe na amlee babake, aache kiki za mitandaoni

    • @seifmohamedseif9467
      @seifmohamedseif9467 Pล™ed 3 lety

      Soon tusishangae anajiunga na kondo boy ๐Ÿ˜‚

    • @seifmohamedseif9467
      @seifmohamedseif9467 Pล™ed 3 lety

      Soon tusishangae anajiunga na kondo boy ๐Ÿ˜‚

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 Pล™ed 3 lety +25

    Duniani watu wanafanana ,Ila lengo lenu Ni kumkataa mzee Abdul tu Ila mzee Abdul na diamond wanafanana kabisa

  • @IMMAAUG
    @IMMAAUG Pล™ed 3 lety +2

    Wangapi mnataka tumsapoti mzee kwa kuchangia kwenye biashara zake? hii platform inaweza mpa pesa nzuri akawa na maisha mazuri, let's support mzee Abdul watanzania wenzangu. Tumfollow instagram kama anayo mpaka apate fame. Share na like

    • @saumually4804
      @saumually4804 Pล™ed 3 lety

      Hatakilamtu akitoa elfu kumitu huyumzee ataheshimika mm nipotayari

    • @yagalbyyaayuni7247
      @yagalbyyaayuni7247 Pล™ed 3 lety

      Kweli mm mkenya na niko tayari kumsaidia uyu mzee aki imeniuma sana anadharauliwa kisa nimaskini tafuta number ukiipata plz share hapa tujaribu musaidia

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko8767 Pล™ed 3 lety +1

    Wewe Ricardo Momo kujifanya MUISLAMU safi kama mimi kumbe sisi wote tuna dhambi ya Uongo. Nakwambia Hivi mimi nimetubu makosa yangu huku mtaani na kwenye familia yangu. Naomba na wewe ukitoka hapo kwenye Interview uende ukatubu huo uongo wako ili Madhambi yako yafutike kwa MWENYEZI MUNGU, kama mimi.

  • @filbertcarlos2946
    @filbertcarlos2946 Pล™ed 3 lety +1

    Damu ikiwa moja lazima watu mfanane ,lakini sioni mlichofanana acha upuuzi huo brother mnajidharirisha tu sio vizuri

  • @selemanmayala9374
    @selemanmayala9374 Pล™ed 3 lety +29

    Hii inapelekea queen dareen kumtenga sasa Kama mambo yameanza kuwa hivi hakuna undugu hapo hii Kama mama dangote alikuwa ameiweka siri tangu zamani basi angeendelea kuiweka siri

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 Pล™ed 3 lety +10

    Duuuh ๐Ÿ˜ฒ Dunia hii wacha tuendelee kuish tuone

  • @sizakhalfan8685
    @sizakhalfan8685 Pล™ed 3 lety +7

    Wewe mnafiki sana ,mond angekuwa masikini baba yako huyo nyange angekuwa tajili, usingesema hayo maneno na angekufata ungemkataa

  • @thabitisimba1143
    @thabitisimba1143 Pล™ed 3 lety +7

    Yaaan hapa nyie wote baba yenu ni Mzee Abdul mama yenu ndio kicheche alikuwa anakula huku na huku coz anaonekana ana tamaa tangu mwanzo hivo watoto alipewa Mzee Salum may be alikuwa vizur kwa uchumi

  • @manmill2444
    @manmill2444 Pล™ed 3 lety +20

    Hii ni familiar โŒ ,ndo maana sherehe zao wanahuzuria mashoga na hivyo nothing blessed from Allah

    • @chekatucomed9141
      @chekatucomed9141 Pล™ed 3 lety +1

      Usioyajua achana nayo mambo ya dunia usimuingize Mungu wewe๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰

    • @speciozadenis1800
      @speciozadenis1800 Pล™ed 3 lety

      Hakuna mkalifu . Kunawenye makosa kuzihayo

  • @aguerowakujidai6509
    @aguerowakujidai6509 Pล™ed 3 lety +13

    From Congo Brazzaville

  • @iwishtv7907
    @iwishtv7907 Pล™ed 3 lety +75

    Hii inamaanisha kuwa mama Dangote ni Kahaba

  • @josephchacha7497
    @josephchacha7497 Pล™ed 3 lety +4

    mama ake na diamond kaliwa na watu watatu...baba ake na diamond,baba ake na esma,na mzee Abdul kamla ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi542 Pล™ed 3 lety +10

    Mambo ni Moto kua uyaone gueen darlin ni Moto wa mzee Abdul so hanaundugu na diamond from now anatakiwa arudi kwao

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns Pล™ed 3 lety

      Ndo ushangae kama alikuwa anajua tangu mwanzo ilikuwaje wakawa ndugu au huyo Mama Diamond alimdanganya Mwanae alafu watu wa nje wote eti wanajua.!!!

    • @kakolaonlinetv7272
      @kakolaonlinetv7272 Pล™ed 3 lety

      Hivi diamond hutumii hakil kwa hili kutabuwa

  • @nishasalim2880
    @nishasalim2880 Pล™ed 3 lety +1

    Yaani Wewe Ricardo Momo ni muongo.
    Mnatengeneza dili.
    Mungu anawaona!

  • @simbamtoto7530
    @simbamtoto7530 Pล™ed 3 lety +2

    Ila ayo yote yanatokea sababu diamond ana pesa kama angekua choka mbaya wala tusingeyasikia hayo

  • @hollojuma9538
    @hollojuma9538 Pล™ed 3 lety +9

    Acheni kumpa jaka lamoyo Monday nassb, naamini nassb nimwanaume hatofata chuki za mama yake, jamani wanake tuacheni kupandikiza chuki watoto

    • @lucykanyopa5350
      @lucykanyopa5350 Pล™ed 3 lety

      Thubutu mama yake anaitwa LAST SAY, hao kina Zari wote wanafyata mikia, mama ndiye mwenye uamuzi kwa Naseeb, akisema yes or no ndivyo inavyojuwa

  • @rozeypwizzy6472
    @rozeypwizzy6472 Pล™ed 3 lety +2

    dah!! dah!! cna Iman tena na wasafi kuanzia leo.ss nyiny wafanya kaz mjiandae na kufukuzwa bila sabab maana kama mtu hamtak baba ake atakutaken nyinyi pia

  • @Mrpeace1900
    @Mrpeace1900 Pล™ed 3 lety +1

    Huyu mama na kuvua chupi asee, balaa tupu....... Mzee Abdul ndiye baba Diamond, hamtatupumbaza

  • @khalidhamka9567
    @khalidhamka9567 Pล™ed 3 lety +12

    Hii imetengenezwa aiseeee mwisho wasiku tutakuta diamond anaundugu na dayna nyange

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 Pล™ed 3 lety +16

    Ngoja nimtafte dada wa taifa. #mange

    • @jasinkai6326
      @jasinkai6326 Pล™ed 3 lety

      ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคญ๐Ÿ’ƒ

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 Pล™ed 3 lety

      ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

    • @fatmaothmanally9416
      @fatmaothmanally9416 Pล™ed 3 lety +1

      Mange kinambi km sikosei๐Ÿคฃ

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Pล™ed 3 lety

      ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

    • @hamidayanga8224
      @hamidayanga8224 Pล™ed 3 lety

      ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 Pล™ed 3 lety +1

    Asiwadanganye kwa kanzu na kofia. Kizazi cha familia chafu, wote hao wamepanga pamoja kumdhalilisha Mzee Abdul.Mungu atawadhalilisha nyote, ni muda tu....

    • @jumaseif2452
      @jumaseif2452 Pล™ed rokem

      MUDA WA NINI KUMA WEWE MBONA KAMA MWANAE HAKUMJALI MWANZONI AU KWAKUWA KATOBOA UKITELEKEZA MTOTO AKITOBOA NDIO UNAMTAKA UTAPIGWA BORO KUMA WW

  • @jsabood
    @jsabood Pล™ed 3 lety

    Mungu yupo anajuwa kinacho ingiya duniani na kinachotoka. Na anahukumu zake. Naomba huyu mtangazaji asijione kuwa ana Kubri ya kuchunguza ya watu. Arudi kwa mungu ili aelewa maelekezo yake kuhusu suala hili. Wizara husika ichunguze na kuwachukuliya hatua ya shariah kama imebainika kuwa habari zinazo tangazwa ni uwongo.

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 Pล™ed 3 lety +24

    Ww Mohamed acha ujinga unanunuliwa kwa kutowa ushahidi wa uongo mjinga kweli ww

    • @lucykanyopa5350
      @lucykanyopa5350 Pล™ed 3 lety

      Hata maelezo anayotoa anaagizwa kupitia msgs za cm c unaona hapo?

    • @somoesaid7930
      @somoesaid7930 Pล™ed 3 lety

      Aky nifala uyu jamaa

    • @kennedyngusa8890
      @kennedyngusa8890 Pล™ed 3 lety +1

      Huyu jamaaa kanunuliwa

    • @namirihamisi3899
      @namirihamisi3899 Pล™ed 3 lety

      @@kennedyngusa8890 Haswa hili wamelifanya kwa kumkomowa.baba Baba na Nasseeb asipate haki zake na wapate kutunyamazisha walimwengu ili tusizungumzie hizi habari lakini hawajui hawamkomoi huyu mzee na wala hawatukomoi ss mtihani utampata huyu mama pale mwanae atakapo vaa chupi kichwani au atakapo poromoka ki mziki na kibiashara hao wanaomdanganya atawalaumu.

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Pล™ed 3 lety +6

    Labda huyo Ricardo ndo mtoto wa huyo mze aliyeoneshwa but diamond nononono ni wa mze abdul

    • @navokisembo
      @navokisembo Pล™ed 3 lety

      Haswaa hebu angali sioni mfanano wowote na momo. Daimond anafanana saana na mzee Abdul acheni kulazimisha

  • @abdihassanomar5701
    @abdihassanomar5701 Pล™ed 3 lety +3

    Hii ni movie inatengenezwa kummaliza mzee Abdul lakini mungu ndio anajuwa ukweli uko wap

  • @boykasaidi7842
    @boykasaidi7842 Pล™ed 3 lety

    Momo umetumwa muogope mungu juu hata huyo mondi ana fanana sana na Mzee abdhuli

  • @fredygeorge1941
    @fredygeorge1941 Pล™ed 3 lety +4

    Acha uongo mzee Abdul ndie baba

    • @deleadwa720
      @deleadwa720 Pล™ed 3 lety

      Ukikuwepo wakati wanapeana mimba?

  • @patricklembeli8523
    @patricklembeli8523 Pล™ed 3 lety +11

    Kasikilize nyimbo ya best nasolo inaitwa wanawake wabaya ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜™๐Ÿค—๐Ÿ˜…

  • @misrahmisrah8761
    @misrahmisrah8761 Pล™ed 3 lety +2

    Mualikeni bi Sandra kwenye studio yenu aongee yote kuhusu watoto yeye ndo kabeba mimba ukweli anatujuwa mwenyewe.

  • @Felix-sc8ku
    @Felix-sc8ku Pล™ed 3 lety

    Hizi si tabia za kiafrika , mama Dangote ana roho ya kishetani

  • @deobenedictakyoo3140
    @deobenedictakyoo3140 Pล™ed 3 lety +13

    Jmn , hyu jamaa hafanan mbona HT na diamond????

  • @KenyaExposeTV
    @KenyaExposeTV Pล™ed 3 lety +18

    Alaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ”ฅ

    • @justineonline6556
      @justineonline6556 Pล™ed 3 lety +4

      Mpasuko wa familia umeanza ,

    • @salamajuma5481
      @salamajuma5481 Pล™ed 3 lety +1

      Wapo wenye kuruka baba zao juu ya wimbo wa Konde#WAPO so sad ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

  • @greatiq7835
    @greatiq7835 Pล™ed 3 lety +3

    Kwa hiyo "jibaba" anaitwa Nasib Nyange! a.k.a. Diamond Nyange!

  • @brandinampagama8718
    @brandinampagama8718 Pล™ed 3 lety

    Hahahahaha haya hahahahaha ukooo unaendeeleeeeee kujipendekezaaa munguuu anawaonaaaa

  • @aishamusumba8469
    @aishamusumba8469 Pล™ed 3 lety +2

    Huyo ata afanani na diamond waaa siku dunia yote

  •  Pล™ed 3 lety +6

    recardo afanani ata na diamond kabisaaaaa...mungu anawaona kama mmeshea baba

  • @alidaiz9578
    @alidaiz9578 Pล™ed 3 lety +9

    Kwahiyo queen darling hausiki kwenye familly ya diamond? Au ni uhuni wa mama diamond ?

    • @Planett_Asiri
      @Planett_Asiri Pล™ed 3 lety

      Mambo VP ndugu yangu hope uko poa mzima kabisa ausio
      Kula tano kishkaji ๐Ÿ‘Š๐Ÿฟ ausio
      Daah bhana mwaangu mi naitwa jah wist ni msaani WA bongo fleva kutokea arusha mwaangu sa ujue nini rafiki angu MI naomba support yako unisapoti kwa KUSUBSCRIBE CZcams CHANNEL YANGU NI MPYA kabisa uezi amini bonyeza apa tu uende ukanisapoti naomba ๐Ÿ™๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
      czcams.com/channels/SHu3GQ3ytCjuF5i783gzXg.html

    • @jeyshillyjack4470
      @jeyshillyjack4470 Pล™ed 3 lety

      ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃEti uhuni wa nani

  • @abdallahsaidi2300
    @abdallahsaidi2300 Pล™ed 3 lety +1

    Mm nadhan wasafi TV itazame utaratibu wa kuajiri atu wenye akili timamu na tabia ya kila jambo la family kuliweka kwenye TV wa ache mm kama mm ningewafuta kazi wote walie usika sakata la nani baba wa diamond

  • @iddydaruwesh8650
    @iddydaruwesh8650 Pล™ed 3 lety +1

    Chanzo ni nyimbo aliyoimba msanii harmonies ili kuepuka aibu sema sio baba yangu. Hapa duniani tunapita mali na pesa tutaviacha. Akiwa ni baba yake au sio baba yake watajuwana wenyewe kwanza mtoto wa nj'e ya ndoa ni wa mama. Usione wenye pesa ukajipeleka wana siri kubwa sana. Kwa mimi ningesahau siku moja kwa sababu si halali yangu

  • @navokisembo
    @navokisembo Pล™ed 3 lety +1

    Ricardo unaongea sana uongo na kanzu lako huogopi hata Mungu. Last time uliongea uongo wa Zari na Daimond. Zari akakushushua hadharani sasa umerudi tena kuongopa. Hivyo kweli unajiona unafanana na Daimond? Baa miwani aisee. Daimond anamfanana mzee Abdul kama pacha hadi sauti. Wewe tulia tuu wcb fanya kazi acha uongo. Ur lying too much. Well naona na mama anaona adanganye ili baba asisaidiwe thatโ€™s a shame and sad

  • @mementoramadhani5
    @mementoramadhani5 Pล™ed 3 lety +2

    Inalilah wainailaih ilaiih rajiun

  • @townnews9792
    @townnews9792 Pล™ed 3 lety +5

    Mbona maerezo yanakaywa khaaaaaaaaaaa

  • @weslaus7750
    @weslaus7750 Pล™ed 3 lety +14

    Hamnakitu hapa yani huyu jamaa anaongea anajichanganya mwenyewe haelewek kabisa , nani kaliona Hilo Kama Mimi.

  • @mahamudunangalapa4933
    @mahamudunangalapa4933 Pล™ed 3 lety

    Hiii ni movie yaani hata aumuogopi mungu unavyo ongea tu kwamtu mkamilifu wahakili unajuwa 2 maneno yakupangwa hili kumpa machungu mzee abdul

  • @billstraiker7931
    @billstraiker7931 Pล™ed 3 lety +1

    Huyu b mkubw wa nyota wetu ni shetwani kiukweli ni kwel sio vzr kumuita mzazi wa mwenzio jina hilo ila kwa matendo yake yanadhihilisha na kajidhalilisha pia.

  • @alexmussa2598
    @alexmussa2598 Pล™ed 3 lety

    Njia rahisi na salama ya ASILIA kumaliza tatizo la kiba100.
    -
    Kama wewe ni kijana au baba na umekuwa na changamoto ya kiba100, na umesha tumia vitu vingi kumaliza changamoto hii bila mafanikio, basi ninahabali njema kwako ๐Ÿคฉ
    -
    Hii sio changamoto inayo weza kutatuliwa hospital bali unahitaji kutambua chanzo cha tatizo hili kwako, kama ni la kuzaliwa nalo au limetokana na mabadiliko ya mwenendo wa maisha yako.
    -
    Kama lakuzaliwa nalo jibu ni kuwa unahitaji pacha wako kufurahia tendo, kama sio unahitaji kutambua aina ya vyakula na kutumia kisha kufanya zoezi la kuboresha msuli wako na kwa muda wa siku 15 mpaka 60 ukizingatia unamaliza tatizo hili.
    -
    kama wewe upo na changamoto hii, basi usisite kuwasiliana nami WhatsApp au sms ama kwa kupiga simu, kisha nami nitakupa tiba kamili na ya asilia isio na madhara/wala chemical yeyote mwilini baadae
    Mawasiliano yetu
    ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
    Number- 0744481111
    Instagram- @Afya Mkononi

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 Pล™ed 3 lety +18

    Haya tulikuwa tuna yasikia mitaani tu lakini Leo mmeyathibitisha bas vizur

    • @sinzoshabani6855
      @sinzoshabani6855 Pล™ed 3 lety +1

      Ni kweli kabisa hata mm kunasiku boss wangu kazini alishawahi kuniambia daimondi yule si baba mzazi nikabisha

    • @Planett_Asiri
      @Planett_Asiri Pล™ed 3 lety +1

      Mambo VP ndugu yangu hope uko poa mzima kabisa ausio
      Kula tano kishkaji ๐Ÿ‘Š๐Ÿฟ ausio
      Daah bhana mwaangu mi naitwa jah wist ni msaani WA bongo fleva kutokea arusha mwaangu sa ujue nini rafiki angu MI naomba support yako unisapoti kwa KUSUBSCRIBE CZcams CHANNEL YANGU NI MPYA kabisa uezi amini bonyeza apa tu uende ukanisapoti naomba ๐Ÿ™๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
      czcams.com/channels/SHu3GQ3ytCjuF5i783gzXg.html

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Pล™ed 3 lety +9

    Mimi nilikuwa nimemusoma mama dangote,mama wa kiislam na heshima zake unaona jinsi anavyovinjali mtandaoni,ila malipo hapa hapa duniani mahesabu kwa Allah tu๐Ÿฅธ๐Ÿฅธ๐Ÿฅธ

  • @athumanmarekano2454
    @athumanmarekano2454 Pล™ed 3 lety +1

    Amjafanana sio kweli

  • @jydon8405
    @jydon8405 Pล™ed 3 lety +1

    Huyu Jamaa Anadanganya Tu Anatunga la kutuambia Kalipwa huyo

  • @sirqiutaislaamahambe1535
    @sirqiutaislaamahambe1535 Pล™ed 3 lety +2

    Kipindi choote ulikua wapi na kuidanganya vazi la kanzu na kofia kwenye kess za uongo ipo wapi D.N.A yenu ili Allah (Subhaanahu Wataala)apitishe uo ukweli wako

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns Pล™ed 3 lety

    Huyo Mama si kila siku alikuwa anasema alimtelekeza au ndo alikuwa amewabambika wanaume wengi kwa pamoja.!?
    Kila siku alinitelekeza na mtoto.... Duuuh!

  • @bbully5643
    @bbully5643 Pล™ed 3 lety

    Mshkaji anababaika sana unajua asaa kama kuna mchezo hapa unachezekaa

  • @SKYPROMAX
    @SKYPROMAX Pล™ed 3 lety +2

    Moja ya laana kubwa wamejitaftia WCB ni hii huwez kuongea huongo kiasi iko muangalien yule mzee kafanan na mond sema tushazizoea kiki mtafungiwa mbk mkome

  • @adamusururu4013
    @adamusururu4013 Pล™ed 3 lety

    Kama mama mwendawazimu na kizazi chake ni ivyoivyo man mzazi mwenye kujitambua huwa anahekima ktk kinywa chake siy kulopoka miaka yote ulikuwa wap hukusema hay we mama mungu anakuon

  • @josephatmitimingi3016
    @josephatmitimingi3016 Pล™ed 3 lety +1

    Wasituumize vichwa hawa wasenge mamaake mond na mond mwenyewe pamoja na hyu momo wote wasenge tu.kisa mziki ndo mama anabadilisha mababa

  • @dittorashidi2214
    @dittorashidi2214 Pล™ed 3 lety +4

    Kujisingizia baba aliye fariki ni sinema Tim kiba like hapa

    • @bongelabwana7523
      @bongelabwana7523 Pล™ed 3 lety

      TIM KIBA unafanya nini wasafi fm? au unataka KUFIRWA?

    • @dittorashidi2214
      @dittorashidi2214 Pล™ed 3 lety

      @@bongelabwana7523 ndio shuguri zenu wasafi kufilwa kama bx

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 Pล™ed 3 lety

    Ata DNA inadanganya ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ kweli ni huu hakuna ndoa baina ya Mama nasibu na Mzee Dula kwa hio moja kwa moja Mama wa mtoto anaruhsa ya kujichagulia mwenyew Baba wa mtoto. Maana mtoto aliye zaliwa bila ndoa ni wa Mama kwa mujibu wa mafunzo ya kiislam na wote ni waislam sasa hakuna cha DNA wala DNB mtoto ni Wa mama Nasibu na mzee Dula ao Abdul apewe Jiwe. Imekwisha ivo โœ๐Ÿป

  • @kaburaakbar4838
    @kaburaakbar4838 Pล™ed 3 lety

    Daah kweli kabisa juu momo na nassibu jr wanafanana sana

  • @khamisabdallah4007
    @khamisabdallah4007 Pล™ed 3 lety +2

    Yani ww rikado Huma ata haya mtu umesoma umepangiwa maneno na mama diamond ili uje uwongee muogope mungu ww

  • @barakamushi4530
    @barakamushi4530 Pล™ed 3 lety +4

    Daaaaa mzeee yule

  • @masikalagetrude472
    @masikalagetrude472 Pล™ed 3 lety

    Hii familia aki musishage kama hi familia yote siku moja iko pepooni .vituko viao ni mingiii

  • @senguloally8016
    @senguloally8016 Pล™ed 3 lety +2

    Kwenye pesa pana Mengi,watu wameanza kuwakana wazazi wao!!mnatuletea Kiki!!!

  • @christofamarka9331
    @christofamarka9331 Pล™ed 3 lety +8

    Mzee Abduli ndo bas tena

    • @muungujaunguja8609
      @muungujaunguja8609 Pล™ed 3 lety +1

      Christofa marka sasa tufanye nini jamani Mungu akipenda tutaonana naye tena

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 Pล™ed 3 lety +1

      @@muungujaunguja8609 ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

    • @shaymaashameem3145
      @shaymaashameem3145 Pล™ed 3 lety

      @@muungujaunguja8609 ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

  • @leonardkabuti6932
    @leonardkabuti6932 Pล™ed 3 lety +1

    Mama diamond hapa hamtudanganyi hata iweje ABDUL ni kajizaa kabisa kwa mondi na hii ni dunia tu yatawakuta niwaambie maana laana sio ya mzee ABDUL tu bali ni ya watanzania wote afu bora niludi kuwa team tembo tu maana mond huna sifa za kuwa kioo cha jamii

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Pล™ed 3 lety +1

    Kingine nimekiwaza kama kweli sio Babaโ€™ke yule mzee katolewa kafara ili wafanikiwe,na hili lifuatiliwe๐Ÿฅฑ๐Ÿฅฑ๐Ÿฅฑ

  • @mwandishiwawatu2033
    @mwandishiwawatu2033 Pล™ed 3 lety +6

    Saikolojia inasema mtu akiwa anaongea ukweli, anausisitiza sana vitendo vya mikono. Huyu chalii anaongea ukweli kidogo na uongo sana

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 Pล™ed rokem

    WAONGO SANA NYIE MNAMTUPA MZEE ABDUL LAKINI HAIWEZEKANI

  • @bernadphilipo1013
    @bernadphilipo1013 Pล™ed 3 lety

    Wotewalipangwaa, munguu anawaona

  • @deogratiashaule5224
    @deogratiashaule5224 Pล™ed 3 lety

    Baba mzazi wa Diamond angekuwa tajiri wala leo asingekanwa na hao wanaojifanya kuwa huyo siyo baba yao,lakini pia huyo adiamond angekuwa masikini hata mababa hao wakuchomekea wasingejitokeza,sinema nzima imejaa. Unafiki na uchu wa mali.

  • @pilikheri670
    @pilikheri670 Pล™ed 3 lety

    Mimi simuoni Momo aki fanana na Diamond, Diamond ame fanana zaidi na babake Abdul.

  • @subiraboi9397
    @subiraboi9397 Pล™ed 3 lety

    Mmmmm haiyaaa kwa mungu c kwa mzungu tutafika tu leo au ssa hivi na ndo cju ya hukumu yatatokea kama huu mfano ndo kila mma aliyethubutu kuuficha ukweli atatafunwa magoti mungu mwezi tuhurumie yaarab yaarab yaarab ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ

  • @bobchanda2460
    @bobchanda2460 Pล™ed 3 lety +14

    ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ WASHAMBA nyie Leo ngoma ya HARMONIZE (WAPO) imewafanya muongee ya moyoni๐Ÿ™Š๐Ÿ™Š

    • @liliankitty6188
      @liliankitty6188 Pล™ed 3 lety +1

      Umeona hiyo kumbe harmo hangeimba huo wimbo Abdul angeishi kujua tu diamond mtoto wake kumbe sivyo "what goes around comes around" โค๏ธโค๏ธโค๏ธ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช

    • @hatibhatib5760
      @hatibhatib5760 Pล™ed 3 lety

      diamond alikua anajua kua yule sio baba ake wa kumzaa. watu ndo walikua hawajui

    • @getrudemusimbi6115
      @getrudemusimbi6115 Pล™ed 3 lety +3

      Jesus yaani watoto hawezi kutulia kwa ndoa kumbe kafata tabia za mama yao, it's shame

    • @liliankitty6188
      @liliankitty6188 Pล™ed 3 lety

      @@getrudemusimbi6115 Dadangu Dunia ina mambo

    • @josephkiwale3495
      @josephkiwale3495 Pล™ed 3 lety

      Jeshi gani yule alitua na matako kwa mkapa

  • @bienvenumasnattv3283
    @bienvenumasnattv3283 Pล™ed 3 lety

    kwa ku tazama na ku sikiya jinsi uyu Ricardo anaongeya imeonekana wazi kama kapatiya maneno ya kuongeya . kiukweli mama nasibu ka tafuta tu kiki. kwa ku tazama diamond na mzee nasibu kiukweli wame fanana tu. uyu Ricordo ame kwama kwama kwa maneno

  • @kibongobongo4608
    @kibongobongo4608 Pล™ed 3 lety +24

    Familia nyengine ni mtihani mtupu ๐Ÿ˜ข

    • @lucykanyopa5350
      @lucykanyopa5350 Pล™ed 3 lety +1

      Tatizo mwanamke mwenzangu in limbukeni, c mnaambiwa alivyokuwa anaishi tandale!?

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 Pล™ed 3 lety

    Kwa hii hali inavyoendelea naanza kuamini sasa kwamba mtoto daindomo na mamaake sandra wa tentemente wamepewa masharti ya kukanyagana, na wanakanyagana mtu na mamaake maana hali hii sio ya kawaida mama na mwanae wanatafunana naanza kuamini kabisa, ila pesa hizi zina mwisho wake.

  • @hopechidera
    @hopechidera Pล™ed 3 lety +3

    No wonder mzee Abdul hawamjaligi๐Ÿค”

  • @Gab217
    @Gab217 Pล™ed 3 lety

    Mzee Abdul anafanana sana na diamond acheni ufara
    Msidhani sisi hatujui kuangalia
    Huyu jamaa aliingizwa cha kike

  • @salamajuma5481
    @salamajuma5481 Pล™ed 3 lety +1

    Wapo ya Harmonize hiyo imetoboa siri na bado muta turn left right mpk zilipike 500m

  • @kelvinaudax8287
    @kelvinaudax8287 Pล™ed 3 lety +7

    Story za kuunda unda uwa zinaumbua sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

  • @jonasjohn1384
    @jonasjohn1384 Pล™ed 3 lety +1

    Uyo mzee Malaya tyuuu uyoo Kwanzaa sio Shee uyoo kuma mak

  • @neemaderick8248
    @neemaderick8248 Pล™ed 3 lety

    Allah atakupipa nilikuamini sana shee da haya bhana

  • @jumamiraji3081
    @jumamiraji3081 Pล™ed 3 lety +2

    Mama enu nae malaya

  • @prospemyfuture
    @prospemyfuture Pล™ed 3 lety +2

    Guys on your life, don't hate people but hate what's inside of them, caz it's part of life ok

  • @eunicewambui4645
    @eunicewambui4645 Pล™ed 3 lety +1

    Dah watzd mna mambo mengi

  • @samniza1763
    @samniza1763 Pล™ed 3 lety +5

    Bongo suing is not in their vocabulary! hapo mtu anapigwa zinga la sue, misleading old man. What is queen going to say next? To be cont......

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Pล™ed 3 lety +1

      Yatafika huko just watch... they will end up being sued

    • @athumanmasoud2223
      @athumanmasoud2223 Pล™ed 3 lety +1

      ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ NACHEKA ILA WAMEMVUA HIJAB QUEEN DARLEEN

  • @lemmykenga3816
    @lemmykenga3816 Pล™ed 3 lety

    Mama Dangotte mbona wajitangaza kuwa wee ni kahaba kumbe ulikuwa wamwuendea kinyume mzee Abdul

  • @paulalphonce5848
    @paulalphonce5848 Pล™ed 3 lety +3

    Mimi naona ishu ya DNA inafaa ili kudhibitisha hili. Busara itumike.

  • @seanwest9655
    @seanwest9655 Pล™ed 3 lety

    Watoto wa kiislamu waji bandika majina za kikafiri..sababu pesa.. Mungu awape nuru.

  • @athumaniddi5736
    @athumaniddi5736 Pล™ed 3 lety

    Huwezi aminisha watu kwamba mzee Abdul sio baba mzazi wa diamond mungu atawalani mtajuta