RICARDO MOMO : MIMI NA DIAMOND BABA YETU MMOJA/ MZEE ABDUL SI BABA YAKE
Vloลพit
- ฤas pลidรกn 14. 01. 2021
- ๐๐ธ๐โโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐๐ ๐บ
๐๐ญ๐๐ -๐ฐ๐ญ๐ญ | ๐๐ฆ๐ง๐ฉ ๐ฎ๐ต๐ฒ | ๐ญ๐จ๐๐จ-๐ฌ๐ฎ๐ด
๐ฆ๐ง๐๐ฅ๐ง๐๐ ๐๐ฆ-๐ฐ๐ฐ๐ฐ & ๐ฏ๐ฏ๐ฏ | ๐๐ข๐๐ข๐ก๐จ๐ง ๐ง๐ฉ-๐ฎ๐ฌ |๐๐ผ๐ฑ๐ผ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐ฏ๐น๐ฒ-๐ญ๐ญ๐ฏ
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐๐๐๐๐ผโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐ฝ๐ ๐ป
๐ด๐ด.๐ต ๐๐๐ฅ ๐๐ฆ ๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐ป | ๐ญ๐ฌ๐ฐ.๐ญ ๐๐ข๐๐ข๐ ๐ ๐ป | ๐ต๐ฐ.๐ฑ ๐๐ฅ๐จ๐ฆ๐๐ ๐ป
๐ฝ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐โ:
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ
๐ช๐๐๐๐๐๐๐๐ ยฉ2020 ๐พ๐๐๐๐๐ ๐ด๐๐ ๐๐. ๐จ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zรกbava
Kutoka kenya love kwa kuwona vitu mingi kwa maisha vile munafanya si vizuri kama kuweka mambo ya baba yake diamond kwa redio ama tv juwa leo ni nyinyi kesho ni yeye na pia usisahau kama mungu yuko leo munamdalilisha baba yake si poa kesho Hakera mutajibu nini hizi pesa zinafanya watu wasikubali baba dunia Inaisha walai Lakini fikirieni sana jama baba ni baba na mama ni mama tafakari hiyo we zangu ๐โค๏ธ
Ata huyo ricardo mwenyewe ana tabia ya kichawi chawi
Umuongo dada
unaweza fikiria diamond ni nduguwe utabaki kusema kaka yako kumbe hata DNA ndiyo kila kitu wanawake wa kulala na wanaume wakiwa kwa mahusiano๐mimi bila DNA najuwa ukweli. hauna undugu dear hata sura imekana alafu unaongea na uoga mbona diamond awe na kaka muongeaji kaa huyu๐คท๐พโโ๏ธ
Mimi nasubiri WAPO sehemu ya pili๐๐๐๐๐๐๐
Wapo no hatari imefukua makaburi
Daaah kweli haya maisha yako kas sana na binadam tuko resi sana Allah awazindue hawajui walitendalo
Kweli wame korogeka namaisha
Atar๐๐๐๐๐๐๐๐
Alafu kwa nn mwanzo walikua wanakili kwamba ni baba yake leo wanakana ndio maana Sisi wanaume uwa tunakataa watoto mapema tukiona mama mawenge
It's true
Waongo hawa walete dna, mzee Abdul ni pacha kabisa wa Daimond kuliko huyu momo hakuna hata
Mfanano mnalazimisha
Kiukwel maneno ya mzee Abdul yamenigusa kama mwanaume mwenzangu inauma xan kwann hawajalisema hili toka mapema mama mondi ni kahaba
Kwa sababu watu wanamtukana sana Naseeb bila kujua Ukweli
Hata yeye alimkataa,,,ndio maana mungu amekataza zinaa
Ile familia ya laana .. mama dangote nimemchukia kutoka leo nikiwa kenya ... fmly ya laana uuff .. maskini yule mzee Abdul na huyo boss wenu shoha nae anatawaliwana mama yke kupitiliza sheria ya mungu
Huyo mama dangote ni kicheche sana
Deal done , kesi kwisha. Asante Harmonize.
Afandali wameongea ukweli mzee wetu atulie sasa
Huyu mama mondi ni 1 ya wazaz wajinga xana dunian kama cyo mtoto wa Abdul mbona hujamueleza mapema mzee wa watu
@@kibindankoi9824 kisha walikua wanapiga hela wa2 kumchangia ili apate hela audio zake na Darlin zilivuja anasema tulia tupige pesa
Uongo mbaya unajipendekezaaaa leo amkatae baba yake ili iweje mbona wamefanana nauyo mzeeee
Time will tell
Mungu anawaona tuu ,
Ujingaujinga
Hii vita ni queen Dalin km umeona km mimi gonga na u like ila Mungu anamakusudi na kila jambo
Kikitu
Queen Darleen ndo uanze maisha tenaa washakukataa hivyoo dooh๐ค Wanawake sie..hatari tupu
Maskini Darleen.
Sasa jiulize mbona alikuwa anasema Darlin wameshea Baba inamaana hawakuwa wanajua au vipi.!?
Atulie kwa mumewe na amlee babake, aache kiki za mitandaoni
Soon tusishangae anajiunga na kondo boy ๐
Soon tusishangae anajiunga na kondo boy ๐
Duniani watu wanafanana ,Ila lengo lenu Ni kumkataa mzee Abdul tu Ila mzee Abdul na diamond wanafanana kabisa
tena wamefanana mpaka uso wa mifupa
Familia hii ni mtihani sana kesho kwa Mwenyezi Mungu sijui watasema nini
Umeona eee. Yaani ni pacha wa mzee Abdul mpaka sauti. Huyu momo hana hata mfanano na Daimond
Hata hawafanani
Hawafanani
Wangapi mnataka tumsapoti mzee kwa kuchangia kwenye biashara zake? hii platform inaweza mpa pesa nzuri akawa na maisha mazuri, let's support mzee Abdul watanzania wenzangu. Tumfollow instagram kama anayo mpaka apate fame. Share na like
Hatakilamtu akitoa elfu kumitu huyumzee ataheshimika mm nipotayari
Kweli mm mkenya na niko tayari kumsaidia uyu mzee aki imeniuma sana anadharauliwa kisa nimaskini tafuta number ukiipata plz share hapa tujaribu musaidia
Wewe Ricardo Momo kujifanya MUISLAMU safi kama mimi kumbe sisi wote tuna dhambi ya Uongo. Nakwambia Hivi mimi nimetubu makosa yangu huku mtaani na kwenye familia yangu. Naomba na wewe ukitoka hapo kwenye Interview uende ukatubu huo uongo wako ili Madhambi yako yafutike kwa MWENYEZI MUNGU, kama mimi.
Damu ikiwa moja lazima watu mfanane ,lakini sioni mlichofanana acha upuuzi huo brother mnajidharirisha tu sio vizuri
Hii inapelekea queen dareen kumtenga sasa Kama mambo yameanza kuwa hivi hakuna undugu hapo hii Kama mama dangote alikuwa ameiweka siri tangu zamani basi angeendelea kuiweka siri
Duuh awa watu bna awa
Dah kwel
huyo mama muongo bwana mzee abdul kathibitisha ila kasema anamuachia mungu
Duuuh ๐ฒ Dunia hii wacha tuendelee kuish tuone
Wewe mnafiki sana ,mond angekuwa masikini baba yako huyo nyange angekuwa tajili, usingesema hayo maneno na angekufata ungemkataa
Yaaan hapa nyie wote baba yenu ni Mzee Abdul mama yenu ndio kicheche alikuwa anakula huku na huku coz anaonekana ana tamaa tangu mwanzo hivo watoto alipewa Mzee Salum may be alikuwa vizur kwa uchumi
๐๐๐
Hii ni familiar โ ,ndo maana sherehe zao wanahuzuria mashoga na hivyo nothing blessed from Allah
Usioyajua achana nayo mambo ya dunia usimuingize Mungu wewe๐๐๐๐
Hakuna mkalifu . Kunawenye makosa kuzihayo
From Congo Brazzaville
Hii inamaanisha kuwa mama Dangote ni Kahaba
Sema likahaba
๐๐๐๐
Njaa hii tu wewe ulikuwapo wakati wanafanya mapenzi
Nimesikiya kuliya๐ฐ๐ญnakucheka๐namama dangote๐ nyuma na mbele
Itakuwa kiongozi
mama ake na diamond kaliwa na watu watatu...baba ake na diamond,baba ake na esma,na mzee Abdul kamla ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Umemsahau na mmewe wa sahizi.....na ambao hakubahatika kuzaa nao๐
Hahahahaa
Mambo ni Moto kua uyaone gueen darlin ni Moto wa mzee Abdul so hanaundugu na diamond from now anatakiwa arudi kwao
Ndo ushangae kama alikuwa anajua tangu mwanzo ilikuwaje wakawa ndugu au huyo Mama Diamond alimdanganya Mwanae alafu watu wa nje wote eti wanajua.!!!
Hivi diamond hutumii hakil kwa hili kutabuwa
Yaani Wewe Ricardo Momo ni muongo.
Mnatengeneza dili.
Mungu anawaona!
Ila ayo yote yanatokea sababu diamond ana pesa kama angekua choka mbaya wala tusingeyasikia hayo
Acheni kumpa jaka lamoyo Monday nassb, naamini nassb nimwanaume hatofata chuki za mama yake, jamani wanake tuacheni kupandikiza chuki watoto
Thubutu mama yake anaitwa LAST SAY, hao kina Zari wote wanafyata mikia, mama ndiye mwenye uamuzi kwa Naseeb, akisema yes or no ndivyo inavyojuwa
dah!! dah!! cna Iman tena na wasafi kuanzia leo.ss nyiny wafanya kaz mjiandae na kufukuzwa bila sabab maana kama mtu hamtak baba ake atakutaken nyinyi pia
Huyu mama na kuvua chupi asee, balaa tupu....... Mzee Abdul ndiye baba Diamond, hamtatupumbaza
Hii imetengenezwa aiseeee mwisho wasiku tutakuta diamond anaundugu na dayna nyange
๐คฃ๐คฃ
๐๐๐ mara utasikia anaundugu na man fongo!
Si ukoo mmoja!?
Harmonize achia msumar mwengine tayar washachanganyikiwa
au magufuli, we ona inavyoenda hii
Ngoja nimtafte dada wa taifa. #mange
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คญ๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mange kinambi km sikosei๐คฃ
๐๐๐๐๐๐
๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐คฃ๐คฃ
Asiwadanganye kwa kanzu na kofia. Kizazi cha familia chafu, wote hao wamepanga pamoja kumdhalilisha Mzee Abdul.Mungu atawadhalilisha nyote, ni muda tu....
MUDA WA NINI KUMA WEWE MBONA KAMA MWANAE HAKUMJALI MWANZONI AU KWAKUWA KATOBOA UKITELEKEZA MTOTO AKITOBOA NDIO UNAMTAKA UTAPIGWA BORO KUMA WW
Mungu yupo anajuwa kinacho ingiya duniani na kinachotoka. Na anahukumu zake. Naomba huyu mtangazaji asijione kuwa ana Kubri ya kuchunguza ya watu. Arudi kwa mungu ili aelewa maelekezo yake kuhusu suala hili. Wizara husika ichunguze na kuwachukuliya hatua ya shariah kama imebainika kuwa habari zinazo tangazwa ni uwongo.
Ww Mohamed acha ujinga unanunuliwa kwa kutowa ushahidi wa uongo mjinga kweli ww
Hata maelezo anayotoa anaagizwa kupitia msgs za cm c unaona hapo?
Aky nifala uyu jamaa
Huyu jamaaa kanunuliwa
@@kennedyngusa8890 Haswa hili wamelifanya kwa kumkomowa.baba Baba na Nasseeb asipate haki zake na wapate kutunyamazisha walimwengu ili tusizungumzie hizi habari lakini hawajui hawamkomoi huyu mzee na wala hawatukomoi ss mtihani utampata huyu mama pale mwanae atakapo vaa chupi kichwani au atakapo poromoka ki mziki na kibiashara hao wanaomdanganya atawalaumu.
Labda huyo Ricardo ndo mtoto wa huyo mze aliyeoneshwa but diamond nononono ni wa mze abdul
Haswaa hebu angali sioni mfanano wowote na momo. Daimond anafanana saana na mzee Abdul acheni kulazimisha
Hii ni movie inatengenezwa kummaliza mzee Abdul lakini mungu ndio anajuwa ukweli uko wap
Momo umetumwa muogope mungu juu hata huyo mondi ana fanana sana na Mzee abdhuli
Acha uongo mzee Abdul ndie baba
Ukikuwepo wakati wanapeana mimba?
Kasikilize nyimbo ya best nasolo inaitwa wanawake wabaya ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐ ๐๐๐๐ค๐
Mualikeni bi Sandra kwenye studio yenu aongee yote kuhusu watoto yeye ndo kabeba mimba ukweli anatujuwa mwenyewe.
Hizi si tabia za kiafrika , mama Dangote ana roho ya kishetani
Jmn , hyu jamaa hafanan mbona HT na diamond????
Ww na kaka ako mmefanana ?
Wanafanana kwa uzushi
Duniani wawili wawili
Alaa๐๐๐ฅ
Mpasuko wa familia umeanza ,
Wapo wenye kuruka baba zao juu ya wimbo wa Konde#WAPO so sad ๐ญ๐ญ
Kwa hiyo "jibaba" anaitwa Nasib Nyange! a.k.a. Diamond Nyange!
Hahahahaha haya hahahahaha ukooo unaendeeleeeeee kujipendekezaaa munguuu anawaonaaaa
Huyo ata afanani na diamond waaa siku dunia yote
recardo afanani ata na diamond kabisaaaaa...mungu anawaona kama mmeshea baba
Kwani wewe umefanaa na dada ako
Kwahiyo queen darling hausiki kwenye familly ya diamond? Au ni uhuni wa mama diamond ?
Mambo VP ndugu yangu hope uko poa mzima kabisa ausio
Kula tano kishkaji ๐๐ฟ ausio
Daah bhana mwaangu mi naitwa jah wist ni msaani WA bongo fleva kutokea arusha mwaangu sa ujue nini rafiki angu MI naomba support yako unisapoti kwa KUSUBSCRIBE CZcams CHANNEL YANGU NI MPYA kabisa uezi amini bonyeza apa tu uende ukanisapoti naomba ๐๐๐
czcams.com/channels/SHu3GQ3ytCjuF5i783gzXg.html
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃEti uhuni wa nani
Mm nadhan wasafi TV itazame utaratibu wa kuajiri atu wenye akili timamu na tabia ya kila jambo la family kuliweka kwenye TV wa ache mm kama mm ningewafuta kazi wote walie usika sakata la nani baba wa diamond
Chanzo ni nyimbo aliyoimba msanii harmonies ili kuepuka aibu sema sio baba yangu. Hapa duniani tunapita mali na pesa tutaviacha. Akiwa ni baba yake au sio baba yake watajuwana wenyewe kwanza mtoto wa nj'e ya ndoa ni wa mama. Usione wenye pesa ukajipeleka wana siri kubwa sana. Kwa mimi ningesahau siku moja kwa sababu si halali yangu
Ricardo unaongea sana uongo na kanzu lako huogopi hata Mungu. Last time uliongea uongo wa Zari na Daimond. Zari akakushushua hadharani sasa umerudi tena kuongopa. Hivyo kweli unajiona unafanana na Daimond? Baa miwani aisee. Daimond anamfanana mzee Abdul kama pacha hadi sauti. Wewe tulia tuu wcb fanya kazi acha uongo. Ur lying too much. Well naona na mama anaona adanganye ili baba asisaidiwe thatโs a shame and sad
Inalilah wainailaih ilaiih rajiun
Mbona maerezo yanakaywa khaaaaaaaaaaa
Hamnakitu hapa yani huyu jamaa anaongea anajichanganya mwenyewe haelewek kabisa , nani kaliona Hilo Kama Mimi.
Kala rushwa
Hiii ni movie yaani hata aumuogopi mungu unavyo ongea tu kwamtu mkamilifu wahakili unajuwa 2 maneno yakupangwa hili kumpa machungu mzee abdul
Huyu b mkubw wa nyota wetu ni shetwani kiukweli ni kwel sio vzr kumuita mzazi wa mwenzio jina hilo ila kwa matendo yake yanadhihilisha na kajidhalilisha pia.
Njia rahisi na salama ya ASILIA kumaliza tatizo la kiba100.
-
Kama wewe ni kijana au baba na umekuwa na changamoto ya kiba100, na umesha tumia vitu vingi kumaliza changamoto hii bila mafanikio, basi ninahabali njema kwako ๐คฉ
-
Hii sio changamoto inayo weza kutatuliwa hospital bali unahitaji kutambua chanzo cha tatizo hili kwako, kama ni la kuzaliwa nalo au limetokana na mabadiliko ya mwenendo wa maisha yako.
-
Kama lakuzaliwa nalo jibu ni kuwa unahitaji pacha wako kufurahia tendo, kama sio unahitaji kutambua aina ya vyakula na kutumia kisha kufanya zoezi la kuboresha msuli wako na kwa muda wa siku 15 mpaka 60 ukizingatia unamaliza tatizo hili.
-
kama wewe upo na changamoto hii, basi usisite kuwasiliana nami WhatsApp au sms ama kwa kupiga simu, kisha nami nitakupa tiba kamili na ya asilia isio na madhara/wala chemical yeyote mwilini baadae
Mawasiliano yetu
๐๐
Number- 0744481111
Instagram- @Afya Mkononi
Haya tulikuwa tuna yasikia mitaani tu lakini Leo mmeyathibitisha bas vizur
Ni kweli kabisa hata mm kunasiku boss wangu kazini alishawahi kuniambia daimondi yule si baba mzazi nikabisha
Mambo VP ndugu yangu hope uko poa mzima kabisa ausio
Kula tano kishkaji ๐๐ฟ ausio
Daah bhana mwaangu mi naitwa jah wist ni msaani WA bongo fleva kutokea arusha mwaangu sa ujue nini rafiki angu MI naomba support yako unisapoti kwa KUSUBSCRIBE CZcams CHANNEL YANGU NI MPYA kabisa uezi amini bonyeza apa tu uende ukanisapoti naomba ๐๐๐
czcams.com/channels/SHu3GQ3ytCjuF5i783gzXg.html
Mimi nilikuwa nimemusoma mama dangote,mama wa kiislam na heshima zake unaona jinsi anavyovinjali mtandaoni,ila malipo hapa hapa duniani mahesabu kwa Allah tu๐ฅธ๐ฅธ๐ฅธ
Lanaitawafata apapa atapewaazabukaliuyooo mama
Amjafanana sio kweli
Huyu Jamaa Anadanganya Tu Anatunga la kutuambia Kalipwa huyo
Kipindi choote ulikua wapi na kuidanganya vazi la kanzu na kofia kwenye kess za uongo ipo wapi D.N.A yenu ili Allah (Subhaanahu Wataala)apitishe uo ukweli wako
Huyo Mama si kila siku alikuwa anasema alimtelekeza au ndo alikuwa amewabambika wanaume wengi kwa pamoja.!?
Kila siku alinitelekeza na mtoto.... Duuuh!
Mshkaji anababaika sana unajua asaa kama kuna mchezo hapa unachezekaa
Moja ya laana kubwa wamejitaftia WCB ni hii huwez kuongea huongo kiasi iko muangalien yule mzee kafanan na mond sema tushazizoea kiki mtafungiwa mbk mkome
Weee ndo mtoa laana babu...๐
Weee ndo mtoa laana babu...๐
Kama mama mwendawazimu na kizazi chake ni ivyoivyo man mzazi mwenye kujitambua huwa anahekima ktk kinywa chake siy kulopoka miaka yote ulikuwa wap hukusema hay we mama mungu anakuon
Wasituumize vichwa hawa wasenge mamaake mond na mond mwenyewe pamoja na hyu momo wote wasenge tu.kisa mziki ndo mama anabadilisha mababa
Kujisingizia baba aliye fariki ni sinema Tim kiba like hapa
TIM KIBA unafanya nini wasafi fm? au unataka KUFIRWA?
@@bongelabwana7523 ndio shuguri zenu wasafi kufilwa kama bx
Ata DNA inadanganya ๐คฃ๐คฃ๐คฃ kweli ni huu hakuna ndoa baina ya Mama nasibu na Mzee Dula kwa hio moja kwa moja Mama wa mtoto anaruhsa ya kujichagulia mwenyew Baba wa mtoto. Maana mtoto aliye zaliwa bila ndoa ni wa Mama kwa mujibu wa mafunzo ya kiislam na wote ni waislam sasa hakuna cha DNA wala DNB mtoto ni Wa mama Nasibu na mzee Dula ao Abdul apewe Jiwe. Imekwisha ivo โ๐ป
Daah kweli kabisa juu momo na nassibu jr wanafanana sana
wanafanana
Yani ww rikado Huma ata haya mtu umesoma umepangiwa maneno na mama diamond ili uje uwongee muogope mungu ww
Daaaaa mzeee yule
Hii familia aki musishage kama hi familia yote siku moja iko pepooni .vituko viao ni mingiii
Kwenye pesa pana Mengi,watu wameanza kuwakana wazazi wao!!mnatuletea Kiki!!!
Mzee Abduli ndo bas tena
Christofa marka sasa tufanye nini jamani Mungu akipenda tutaonana naye tena
@@muungujaunguja8609 ๐๐๐๐๐๐๐
@@muungujaunguja8609 ๐๐
Mama diamond hapa hamtudanganyi hata iweje ABDUL ni kajizaa kabisa kwa mondi na hii ni dunia tu yatawakuta niwaambie maana laana sio ya mzee ABDUL tu bali ni ya watanzania wote afu bora niludi kuwa team tembo tu maana mond huna sifa za kuwa kioo cha jamii
Kingine nimekiwaza kama kweli sio Babaโke yule mzee katolewa kafara ili wafanikiwe,na hili lifuatiliwe๐ฅฑ๐ฅฑ๐ฅฑ
Saikolojia inasema mtu akiwa anaongea ukweli, anausisitiza sana vitendo vya mikono. Huyu chalii anaongea ukweli kidogo na uongo sana
Huyu muongo sana ametumwa tuu
WAONGO SANA NYIE MNAMTUPA MZEE ABDUL LAKINI HAIWEZEKANI
Wotewalipangwaa, munguu anawaona
Baba mzazi wa Diamond angekuwa tajiri wala leo asingekanwa na hao wanaojifanya kuwa huyo siyo baba yao,lakini pia huyo adiamond angekuwa masikini hata mababa hao wakuchomekea wasingejitokeza,sinema nzima imejaa. Unafiki na uchu wa mali.
Mimi simuoni Momo aki fanana na Diamond, Diamond ame fanana zaidi na babake Abdul.
Mmmmm haiyaaa kwa mungu c kwa mzungu tutafika tu leo au ssa hivi na ndo cju ya hukumu yatatokea kama huu mfano ndo kila mma aliyethubutu kuuficha ukweli atatafunwa magoti mungu mwezi tuhurumie yaarab yaarab yaarab ๐ญ๐ญ
๐๐๐ WASHAMBA nyie Leo ngoma ya HARMONIZE (WAPO) imewafanya muongee ya moyoni๐๐
Umeona hiyo kumbe harmo hangeimba huo wimbo Abdul angeishi kujua tu diamond mtoto wake kumbe sivyo "what goes around comes around" โค๏ธโค๏ธโค๏ธ๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช
diamond alikua anajua kua yule sio baba ake wa kumzaa. watu ndo walikua hawajui
Jesus yaani watoto hawezi kutulia kwa ndoa kumbe kafata tabia za mama yao, it's shame
@@getrudemusimbi6115 Dadangu Dunia ina mambo
Jeshi gani yule alitua na matako kwa mkapa
kwa ku tazama na ku sikiya jinsi uyu Ricardo anaongeya imeonekana wazi kama kapatiya maneno ya kuongeya . kiukweli mama nasibu ka tafuta tu kiki. kwa ku tazama diamond na mzee nasibu kiukweli wame fanana tu. uyu Ricordo ame kwama kwama kwa maneno
Familia nyengine ni mtihani mtupu ๐ข
Tatizo mwanamke mwenzangu in limbukeni, c mnaambiwa alivyokuwa anaishi tandale!?
Kwa hii hali inavyoendelea naanza kuamini sasa kwamba mtoto daindomo na mamaake sandra wa tentemente wamepewa masharti ya kukanyagana, na wanakanyagana mtu na mamaake maana hali hii sio ya kawaida mama na mwanae wanatafunana naanza kuamini kabisa, ila pesa hizi zina mwisho wake.
No wonder mzee Abdul hawamjaligi๐ค
Mzee Abdul anafanana sana na diamond acheni ufara
Msidhani sisi hatujui kuangalia
Huyu jamaa aliingizwa cha kike
Wapo ya Harmonize hiyo imetoboa siri na bado muta turn left right mpk zilipike 500m
Story za kuunda unda uwa zinaumbua sana ๐๐๐
Uyo mzee Malaya tyuuu uyoo Kwanzaa sio Shee uyoo kuma mak
Allah atakupipa nilikuamini sana shee da haya bhana
Mama enu nae malaya
Guys on your life, don't hate people but hate what's inside of them, caz it's part of life ok
well said
Dah watzd mna mambo mengi
Bongo suing is not in their vocabulary! hapo mtu anapigwa zinga la sue, misleading old man. What is queen going to say next? To be cont......
Yatafika huko just watch... they will end up being sued
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ NACHEKA ILA WAMEMVUA HIJAB QUEEN DARLEEN
Mama Dangotte mbona wajitangaza kuwa wee ni kahaba kumbe ulikuwa wamwuendea kinyume mzee Abdul
Mimi naona ishu ya DNA inafaa ili kudhibitisha hili. Busara itumike.
Watoto wa kiislamu waji bandika majina za kikafiri..sababu pesa.. Mungu awape nuru.
Huwezi aminisha watu kwamba mzee Abdul sio baba mzazi wa diamond mungu atawalani mtajuta