"DIAMOND NA ZARI, KWENYE NDEGE, PENZI LIKAKOLEA" - RICARDO MOMO APASUA UKWELI WOTE...
Vložit
- čas přidán 29. 08. 2024
- "DIAMOND NA ZARI, KWENYE NDEGE, PENZI LIKAKOLEA" - RICARDO MOMO APASUA UKWELI WOTE...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Daimond plantumz et Zari Hassan
C'est pour la vie est super famille Dangonte ❤️❤️❤️ n'a famille Zari Hassan bravo papa latifha 👍👏👏👏👏
😂😂🤣ila ricardo mom Iko na sauti ya kuita mwanamke 🥰❤️❤️🙈🙈
Hayo yameandikwa n'a . Mungu hakuna wakuyapinga
So zari alimtongoza diamond🤣🤣🤣🤣🤣no wonder he said she loved him more than he did🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Asili ya waganda hupenda wanaume sana 👌👌😁
Kwanzo uku Dubai hata awana maana wala sifa
@@laurarose1521 kabisa,
Sifa zao ni mbaya sana .....cz awana breaak ya mbele waume mpaka wake
@@laurarose1521 nakupata wanaume wakwao sio raisi kutokana natabia zao mbaya 😄
@@uwimanauwimana7692 mm naishi uku Dubai...yani mtu wa patan utaskia waki uliza Uganda...nlikua tukiishi na dem wa kiganda...yani huyo hatar
Huyo Momo msanii msanii sana, hizo stori inaonekana katia chumvi sana 😂.
😂😂😂💥
Piga kelelee weweeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣rikado umenimaliza sanaa
Ricado umenifanya nicheke kwa sauti mno acha let me enjoy my day off 😂😂😂😂🤣🤣😄😃😀😀😃
Kisha Team zari wanamtusi Tanasha na Hamisa eti ni wadangaji kumbe mama yao zari ndie mdangaji mkubwa Asante momo kwaku tukumbusha hiyo Istoria.
Jaman si alishawah kuchambwa na Zari uwii nyiee huyu mbea 🤣🤣🤣🤣
Kumbe ndomana daimond hamuheshimu zari Mana zari ndo alijirahisisha kwa daimond,Bali daimondi alimpenda wema
Saut ya momo na mond zinafanana kweli
Zari alisemaje kumhusu Ricardo?
Zari hashtuliwi na ujinga muite danga lakini bado Yuko sawa hamumzimi go gal be a go getter
Ohoo kumbe dimpoz ndo alichokosana na mond
Zandaaaan kbs daaah ila momo🤣🤣
Zari mwanamke wa nguvu of course sometimes mtu unafall in love soon mkionana so it was love in the spot vitu vya kawaida msimnage bure Zari we all do that.
Mwanamke unaempenda unasahauje kuchukua namba ya simu!!
Dai rudi kwa zari
Kabisa
Nikweli ila Ricardo Katia mafuta sana 😂😂
That's why Father Abraham will continue using her,
Hii story asinyi kila ikizungumzwa nafurahi tu Hahaha
Familia hii wote kama wanawake aibu khaa wanaume mzima kusimulia mausiano ya wenzako wakat yako yamekushinda
🤣🤣🤣🤣🤣 mkewe anapakuliwa nigeria
@@zaydelabay9776 hapo sasa 😂😂😂
Wewe kijana ni mwongo . Wala ilikosa bya kusema. Wala alikuwa hawajuwi jamani.ukisikiya njisi una ongeya unagunduwa ni story ua uwongo
Mondi alikuwa haja move on,kumbe ndio maana matukio daily😃😂😂😃
Diamond alikuwa hajamalizana na wema ,ghafla zari mimba
@@3Dshoez kweli.... alikua hajajipanga kupata familia na zari basi....ikawa imetokea akawa hana namna😂😂😂😂😂😂
Ricardo si ana sauti tamu 🤣🤣🤣madem hoyeeee ...
Babu unaongeya kama shoga!! yako yamekushinda mke wako kakusepa ummshindwa, unatiya aibu Baba 😂😨😨
Zari pls don't get drunk🤣🤣🤣🤣so after drinking she started becoming 🤔🤔🤔🤔🤔🤔Ricardo🤣🤣🤣🤣🤣etc alikuwa anasumbua waende kwa hotel....Zari, you have right to call women danga, while you forced yourself into Diamond.🤣🤣🤣🤣
Remind her
Bala
Au ndiomaan omi d na diamond platnumz kugomban?
Mdaku uyu kaka sijui anatumwa ama hahaa
zari awezi mpenda mondi.alitaka umaarufu.kama mondi hana umaarufu.zari hawezi hatakumsemesha
😀😀😀😀😀😀
Siku zote huwa na sema Diamond hakuwa kamalizana na wema,alianza na zari kumuumiza wema.Ghafala mara zari mimba,ikabidi diamond atulie
Ndiyo maaana diamond bado anampenda wema alikuwa haja move on na hizi drama mwisho wa siku atarudi kwa wema
Nouma na nusu
Ila momo😂😂😂😂😂😂
Mnatafuta kiki kwa shida, afu zari mwenyewe anajuta kukutana na wachawi
Mchawi humjua mwenzie kumnamchawi kama huyo korosho 😒😒
😀😀😃😃😃😃😃😃
Nipe mkono.... nipe mkono .. hakumuweza kiserekali pia hakumuweza kuichawi 😂😂.. dah.. ila hata uchawi wa firaoun ulikuwa na mwisho... tusubiri tu waandishi wa habari
Zari atajibu tu
Huyu anaongelea ya wenzie yake vipi? mbona yeye kaachwa na uyo malaika au sio huyu?
Zari alishawahi kukana hili swala la kakake Chibu
Zari alijua kapata mume kumbe kapatikana
😂😂😂
Simba
😏😏😏😏😏
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Uwachi upoooo
Nyie hivi mna nini ama kuna kitu haija kaa sawa
Sijawahi kuona mwanaume ana ombea kama wewe 🤔
Barbaric
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂
Simbaa
Haaaaaaa
Haha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Now that she knows that Richardo is diamond step brother, she will not clap back due to her insecurity. Before clapped back the moment he said same shit about her. Diamond really have full control of this woman sad tho
Gfbgg😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂cyt🎉kjtyy
Hj Huyu y
10:49 ccccccccccccctrr. I 6😂@😅😅mmmmmmbn Wasalimie my hhh km
I🤯🤯🤯🤯🤯🤯🤯🤯
@Hakimata and she clapped back !! Chezea Zari wewe!!
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤦♀️
🤣🤣🤣🤣momo umeuwa mzee wangu 🤣 👇👇👇👇
czcams.com/video/nN5nO8QElXI/video.html
Ukiwa katika shida angalia hii
czcams.com/video/NNafKCBkKeI/video.html
Kinacho trend Kwa sasa czcams.com/video/uSkVq7ZgkW8/video.html
czcams.com/video/-iHnihcaB2w/video.html
Utam
🤣🤣🤣
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣😂😂😂🤣🤣
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣