MALAIKA amjibu ESMA: Mimi sikuchepuka na MSIZWA, Niko tayari kuapa, Akili zimemruka ananichafua

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Malaika mke wa Ricardo Momo afunguka baada ya kushutumiwa na Esma kuwa aliivunja NDOA yake kwa kuingia kwenye mahusiano na Msizwa, Kwenye exclusive interview hii ametueleza mwanzo mwisho kuhusu ukweli wa shutuma hizi. Enjoy!

Komentáře • 962

  • @babyhamisi5331
    @babyhamisi5331 Před 3 lety +98

    Momo umepata mke mwenye hekma hongera

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Před 3 lety +21

    Hongera Ricardo momo heshima yako,umesimama na mkeo na kumjengea heshima kama mke, napenda ulivyo mlinda na endelea kumlinda na shutuma za watu na family, esma alizoea kucheza na mahusiano ya naseeb,safari hii amekutana na kisiki cha mpingo,unamke mzuri maashaaallah,Allah ailinde ndoa yenu,huyu esma ni wivu unamsumbua hata ktk mahusiano yake hayadumu ni vile awatendea watu ubaya humrudia mwenyewe,hasbi'allah wanaimal wakil

  • @fatmaali7605
    @fatmaali7605 Před 3 lety +11

    She’s vry wise mashallah keep going gurl May God bless u Malaika

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 Před 3 lety +91

    Ahsante malaika unajielewa hongera dada namna hio nimekupenda bureee

  • @olivemwamengonakilimombeya6951

    One of the best interview chris

  • @ikrammahonda4566
    @ikrammahonda4566 Před 3 lety +11

    Asante sana nimekuelewa malaika esma amezid. Mdomo anajifanya kaxoea mitandao

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 Před 3 lety +257

    Kama mmeona malaika kafanana na wolper like

  • @zahrasulaiman8827
    @zahrasulaiman8827 Před 3 lety +21

    Nakupenda Maraika kiukweli ww umemzidi ESMA iyo ndio tatizo

  • @marianakapeller4699
    @marianakapeller4699 Před 3 lety +30

    Pole Malaika Allah akupe subra na uishi na mumeo vizuri

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 Před 3 lety +9

    Umependeza Malaika.
    God bless you sis 💞

  • @azaabdallah3186
    @azaabdallah3186 Před 3 lety +66

    Esma kivuruge ,mama yake nae yaleyale ,mtu mzima ovyo...malaika angalia familia yako. Nimeipenda uko strong

    • @nasrimohamed7556
      @nasrimohamed7556 Před 3 lety

      Dah ile familia jamn

    • @mymunamymuna4807
      @mymunamymuna4807 Před 3 lety

      Esma ni mchawi wa ndugu zake ana wivu na mawifi zake coz niwazuri kumliko ndio maana domo hakai na wanawake coz anawasikiliza sana esma na mamake

    • @saumushabani3170
      @saumushabani3170 Před 3 lety

      Hahaha

  • @marywamaitha
    @marywamaitha Před 3 lety +11

    I salute this lady 💪💯

  • @salmanyangasa1171
    @salmanyangasa1171 Před 3 lety +5

    Nimempenda Sana huyu dada yan anajielewa Sana wallah...hongera Ricardo una mke anaejielewa

  • @jasnafkiser4211
    @jasnafkiser4211 Před 3 lety +24

    Daah Ricardo momo ongera kwakupata mwanamke mwenye hekima 😍🪝

  • @chundemayala6641
    @chundemayala6641 Před 3 lety +9

    Kama umemsikia huyu malaika kamwambia esma ni mpumbavu shule hakna gonga like nataka kuzipeleka sokon

  • @lovvy854
    @lovvy854 Před 3 lety +10

    That's great your 💯👌 write sure may God bless you and your family

  • @elizabethsakina9987
    @elizabethsakina9987 Před 3 lety +48

    That’s why I love SNS awachelewi kumtafuta muhusika good job

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    SO BEAUTIFUL

  • @medaihatungimana107
    @medaihatungimana107 Před 3 lety +5

    Nilikupenda juu hawuna mikucaaa kama watanzania wengine❤️❤️❤️❤️aace kukupanikisha uyooo esma ashacoka na maishaa😳

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před 3 lety +6

    Mmmm esma kiboko jina la yuda linamfaa sana 🙄 anafanya uyuda mpaka ktk familia 🙆‍♀️ da! Kiboko, malaika mrembo sana mashallah ❤🇹🇿🇨🇭

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 3 lety +12

    Mmmmh ngoja ninywe chai nirudi🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️

  • @elizabethjames2693
    @elizabethjames2693 Před 3 lety +3

    Wow wewe dada ni mzuri pia una roho nzur sana mungu akubariki Mimi nimekupenda hongera sana 🌹 yani

  • @judithgeofrey1107
    @judithgeofrey1107 Před 3 lety +31

    Huyu Dada mzuri MWe!

  • @zaraannabell3195
    @zaraannabell3195 Před 3 lety +8

    Uko mzuri dada kama namuona dada jacky wolpa❤❤ acana na esma. hananyota ule domo tu la bure. Kacoka

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Před 3 lety +7

    nakupenda sana Malaika iyo nikweli mumewako anakupenda sana

  • @zaitunimohd3617
    @zaitunimohd3617 Před 3 lety +88

    Jamani familia hii tutaona mengi

    • @khdijaahmed8458
      @khdijaahmed8458 Před 3 lety +3

      Umeonaeeh

    • @mercyndujilo5363
      @mercyndujilo5363 Před 3 lety +6

      Tutaambiwa uncle shamte anatembea na Esma sasa😂

    • @kibongobongo4608
      @kibongobongo4608 Před 3 lety +3

      😁 😁 Kama Egoli vile
      Kwa kupenda Kiki wapo tayari kwa chochote. Sasa mpaka kumkataa baba mzazi Sio kitu kidogo

    • @mamukassim4075
      @mamukassim4075 Před 3 lety

      Esma. Kachanganyikiwa na kuachwaaaaaaaaaaaa

    • @awezayesu1779
      @awezayesu1779 Před 3 lety

      😅😅😅😅😅😅

  • @salmafikirini4899
    @salmafikirini4899 Před 3 lety +3

    Mungu atakulipia dada nimekuonea mpaka huruma na mwenyezi mungu ataisimamia ndoa yako itadumu milele inshaallah

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita Před 3 lety +35

    Keeping up with the Chibus is sooo juicy than the Kardashians kwakweli😆🤣

  • @hamedaabdultaleb5341
    @hamedaabdultaleb5341 Před 3 lety +139

    Huyu mdada nimzur kweli lazima aonewe wivu

  • @azaabdallah3186
    @azaabdallah3186 Před 3 lety +11

    Ukoo ilitolewa pesa malimbukeni, unajua ukitoka kwenye maisha ya tabu ukipata unawapanda watu wote vichwani kwao

  • @aminalupetu3647
    @aminalupetu3647 Před 3 lety +7

    Malaika nakupenda bure mam na maneno yak ya busara 💖

  • @mwasimbega8712
    @mwasimbega8712 Před 3 lety +36

    Kuanzia leo MIMI nishakua mteja wa malaika jamani....!ebu pambana na duka lako mpauko ESMA😏😏

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 Před 3 lety +31

    Piga kelele kwa Malaika wake love bby girl

  • @chauabdalah3311
    @chauabdalah3311 Před 3 lety +5

    Nimekupenda unajielewa na una hofu ya mungu safi endelea kusimama kwenye iman

  • @user-vr1cq9mt2r
    @user-vr1cq9mt2r Před 3 lety +53

    This is is keeping up with diangotess family episode 2...😂😂😂

  • @btylove1870
    @btylove1870 Před 3 lety +43

    Kweli naamini now kuwa Esma nitatizo kwenye hii familia. That's why hata kaka yake hadumu na wanawake, na yeye Esma hatodumu na ndoa kabisa mpaka aache fitna na roho mbaya!

  • @ndaganoanastazia2658
    @ndaganoanastazia2658 Před 3 lety +12

    Siyo Esma ... Msizwa kiboko kaja kuwavuruga familia nzima.... ona mama dangote amemvuruga mzee.... malaika kavurugwa na Esma.... na msipo kaaa kufamily 2021 mtaparangana sana ... yetu 👀👀👀🇧🇪

  • @judithsidi1087
    @judithsidi1087 Před 3 lety +20

    We dangote family mtatuonyesha mambo mengi basi huyu esma ame chukua tabia za mamake

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 Před 3 lety +45

    Umetisha, alithan we ni akina Hamisa,wale anawapanda mgongo na kushuka

  • @wahiduitsverycommentmane5421

    uyoo malaya esma kakomaaa kama jinii majii anamuonea huyu malaika wivu mdada wa watu mremboo mashallah dumu na ndoa yako mamy achana na huyo malaya changudoa kama alizoea kina tanasha,hamissa na wengine akuache ukae kwenye ndoa yako kwa amanii na mungu atakufunika inshallah 🙏🏻

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 Před 3 lety +20

    Esma ana matatizo amezoea kufukuza wake wa diamondplantinamz sasa hawako ameanza warecardomomo thats not good malaika usijali hayo yasikujalishe endelea na kazi zako mama.

  • @louisedusabe825
    @louisedusabe825 Před 3 lety +9

    I love your dress 👗

  • @chibandamwende3676
    @chibandamwende3676 Před 3 lety +16

    Huyo mtu wa Familia I hope si Diamond juu wewe ni type Yake unafanana sana na Zari jamani 😜😂😂😂

  • @nasrahsamwely6871
    @nasrahsamwely6871 Před 3 lety +19

    Maskin Dada wawatu mtarabu mwenyew 😢😢😢

  • @happynicholaus6474
    @happynicholaus6474 Před 3 lety +28

    Sema huyu dada ajui kujipendekeza nimempenda

  • @lucyheigre1974
    @lucyheigre1974 Před 3 lety +27

    ALIYESKIA WHAT is GOES On!!!!! GONGA LIKE

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 Před 3 lety +34

    Be humble malaika.

  • @sonialand2646
    @sonialand2646 Před 3 lety +3

    Nimeipenda hiyo nimefundwa! Safi sana!

  • @hellenalex9541
    @hellenalex9541 Před 3 lety +17

    You’re so beautiful

  • @selestineosoo5045
    @selestineosoo5045 Před 3 lety +34

    Esma, wacha mambo mob, hiyo ndiyo malipo ya Diamond kuchezea wasichana wa watu, wembe ni ule ule

  • @ukhtynaa1096
    @ukhtynaa1096 Před 3 lety +23

    1.esma alikua na mimba akawa hapendi harufu , esma kasharudiana na baba taraj weuweee piga kelele

  • @khalossalim213
    @khalossalim213 Před 3 lety +35

    Esma kavurugwa na msizwa bas anataka awavuruge na wenzie

  • @fatnahsaleh860
    @fatnahsaleh860 Před 3 lety +10

    Wallah you are soooooo cute 😘🌹

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Před 3 lety +6

    Hii series naitaka season 2!🤣🤣

  • @didaamohsin6594
    @didaamohsin6594 Před 3 lety +6

    YAANI TODAY..IS TODAY...DANGOTEE FAMILY..MAMBO NI🔥🔥🔥

  • @angelinaomare3055
    @angelinaomare3055 Před 3 lety +17

    Good girl Msamaha yes to make things Right....but with such a Person keep distance with Dangerous pple

  • @scolanalle7503
    @scolanalle7503 Před 3 lety +3

    Live your life Malaika

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 3 lety +45

    Kweli Esma hafai kuwa rafiki ana uswahili mwingi sn,ata Tanasha alishaliongea hili

    • @salmaseif8755
      @salmaseif8755 Před 3 lety +1

      Ndio mana daymond hakai na wanawake kwa tabia za mamaake na dadaake

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 Před 3 lety +9

    Creez never disappoints...thanks #sns

  • @Agnes-qq4np
    @Agnes-qq4np Před 3 lety +74

    Dada wewe nikiboko ya yuda(Esma)alizoweya wakina Amissa tanasha anawo onea

  • @bumeplatnumz8445
    @bumeplatnumz8445 Před 3 lety +9

    Point🔥❤❤

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 Před 3 lety +5

    Ni kweli huyu dada anaakili Sana akiamua kuchukulia hatua anaeza mlipa

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Před 3 lety +12

    Mbona Esma anasema hajabeba mimba ya msizwa? Hichi ni kizungumkuti🤣🤣

  • @haikha-vn8sb
    @haikha-vn8sb Před 3 lety +15

    Duh esma n muongo..alidai ana mimba...kumbe aliitoa huyu demu amechukua mama dangote

  • @scolamwanisasu8499
    @scolamwanisasu8499 Před 3 lety +1

    Mungu azidi kukupa hekima nimekupenda mungu awatunze mama uwe mwanake mwelevu mama angu

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 3 lety +9

    Esma hapa amegonga mwamba kashazoea kuwasumbua wakina Tanasha

  • @umutoni-roussel5233
    @umutoni-roussel5233 Před 3 lety +7

    🤦🙆😲Drama kama drama ,but what's wrong with that family?? I'll pray for them.

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Před 3 lety +7

    R.I.P English..... "What is Goes On???" Malaika Cute baby

  • @mohhamedmasai3911
    @mohhamedmasai3911 Před 3 lety +3

    Mwanamke Huyu kakomaa kweli kweli Mungu Amoungoze vyema......Katika Maisha yake

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 Před 3 lety +5

    Malaik mungu akutangulie

  • @salmaseif8755
    @salmaseif8755 Před 3 lety +1

    Huyu Esma kwani yupojee hii familia kiboko inapenda ugomvi km wanamajini cheketu vile🙌

  • @azaabdallah3186
    @azaabdallah3186 Před 3 lety +4

    Malaika jina nzuri dada kama malaika kweli wa peponi nakushauri more shekh me yamini umkomeshe huyo esma yamezidi sana mdomo yy na mama yake

  • @activestudios.
    @activestudios. Před 3 lety +3

    Shout out kwa MSIZWA PELEKA MOTO BRO WATOTO WENYEWE WAKALI HAWA

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 Před 3 lety +5

    Waongo hawa wanatafuta contents tu na view kuipaisha media ya boss wao

  • @nunniznurcky9724
    @nunniznurcky9724 Před 3 lety +5

    Yani vitimbi na frmly ya dangonte nivingiii daaaah huyu dada kailinda ndoayake wamuache jamani nimempenda wakwanza mrembo tz kuona amedumu kwandoa yake wallai 😊👊

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Před 3 lety +16

    Malika, esma alitaka ufukuzwe na Ricardo momo

    • @salmasaid7058
      @salmasaid7058 Před 3 lety +1

      @@adijaniyonkuru9731 umeonaee taratibu utashangaa wameachana

    • @uwimanauwimana7692
      @uwimanauwimana7692 Před 3 lety +1

      @@salmasaid7058 hachiki mtu hapo 🤣🤣

  • @nahiaabdallah5871
    @nahiaabdallah5871 Před 3 lety +1

    Kama kweli Kaku shafuwa pole mamangu Allah Ata kusa fisha inshallah 🙏

  • @everrineanyango7410
    @everrineanyango7410 Před 3 lety +38

    Esma wivu na roho mbaya itampasua ubongo

  • @pizzaz4333
    @pizzaz4333 Před 3 lety +9

    Sky ongeza Creez na Esco mshahara. Si kwa hustles hizi za kutuletea habari 😂

  • @evergreenmagingila8756
    @evergreenmagingila8756 Před 3 lety +4

    Ofcoz momo ana mke cute and smart woman ..

  • @pizzaz4333
    @pizzaz4333 Před 3 lety +22

    Mmmhh, na mlidhani shida ni Hamisa! Kumbe familia yote full vituko!

  • @chainbre275
    @chainbre275 Před 3 lety +6

    Msizwa kaleta balaa kwa hii family hakika

  • @albertdoherty9394
    @albertdoherty9394 Před 3 lety +1

    Mm nimekuelewa niwivu2 kwanza ww mzuri ma sha Allah

  • @nelsonmpolochacha5035
    @nelsonmpolochacha5035 Před 3 lety +3

    nimekupenda bure dada piga kazi as long as mume wako anakusapoti

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli7224 Před 3 lety +8

    🤭🤭Mpe huyo Yuda

  • @onlytecna9498
    @onlytecna9498 Před 3 lety +38

    “What is goes on” 😂😂😆😆

    • @gracemamuu5937
      @gracemamuu5937 Před 3 lety

      😂😂😂😂😂yani hata mimi nimecheka😂

    • @annedavienyamhanga4738
      @annedavienyamhanga4738 Před 3 lety

      😂😂😂

    • @jamilajuma3811
      @jamilajuma3811 Před 3 lety +2

      😂😂😂sikukuelewa mpaka kipande kilipofika 🙌

    • @hanifaally4694
      @hanifaally4694 Před 3 lety

      😂😂😂 aibu kubwa kwan kwenye familia yenu hakuna wakubwa mkayaongea mpk mlete huku duh mnachekwa nyie mxiiiw

    • @zainshaban9730
      @zainshaban9730 Před 3 lety

      q,,,,p@@annedavienyamhanga4738

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Před 3 lety

    Esma mungu hamuachi mtu mbaya akaishi umezidi ubaya kwa wanawake wa diamond tena unajitapa kabisa kua we na mama ako mkilipanga lenu juu ya mwanamke wa dai hamsindwi...wallah Esma kutokua na maisha marefu kwa kujutia umungu na kusumbua wanawake wenzako kisa pesa na jina la kaka ako..Esma Bora ufe kina tanasha na wengine waishi vizuri na mzazi mwenzao Daimond na yule mama akifuate nyuma dai awe na maamuzi yake na kuweza kuishi na mke.

  • @officialmariecongo8026
    @officialmariecongo8026 Před 3 lety +4

    Dada mzuri

  • @sanuraissa3834
    @sanuraissa3834 Před 3 lety

    Endelea kumshukuru Mungu kwakukupa mume mwenyemapenzi ya dhati maana siokitu cha kawaida inshallah kwauwezo wamungu mtazeeka pamoja🙏🙏🙏

  • @mariammwiso
    @mariammwiso Před 3 lety +8

    She has even shown proof. That is enough, even in the eyes of God, Proof is a must.

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Před 3 lety +2

    Mzuri sana naona kam kafanana na jack kidogo

  • @marynoella1752
    @marynoella1752 Před 3 lety +4

    Jamani family iyi inanini kweli esma mimba kutowa mama kunyanganya mtoto baba yake kwani laana gani iyo

  • @jamilahathumani4222
    @jamilahathumani4222 Před 3 lety

    Safi malaika nimekupenda sana inaonekana huna shobo na unajiamin sana na unajitambua sana bishost,,safiiiiiii

  • @euniceandibo4686
    @euniceandibo4686 Před 3 lety +5

    I like her principles

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 Před 3 lety

    Upo sawa dada umesha muumbuwa wew pig kaziii mama wasikuletee useng maisha yot ukitaka uhasama udai chako

  • @salisali174
    @salisali174 Před 3 lety +14

    Hii Familia sijuwi ina nini, si mama si watoto duh!!!

  • @zaraannabell3195
    @zaraannabell3195 Před 3 lety

    Unajielewa dada God bless u . Urafik aca ata ikitokea akuombe msama

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 Před 3 lety +27

    🙆🙆Karudi Kwa petman huyo pet man nae ngombe tu

  • @mbarikiwambarikiwa3988

    Sasa hapa Mama Dangote kapata mwenga anaejua kumuchamba bint yake Kutoka familia aliyoitaka. Hongera queen Darlline kuwa kimya.

  • @morineakinyi1116
    @morineakinyi1116 Před 3 lety +13

    Drama continues 😀😀😀😂😂