MALAIKA amjibu ESMA: Mimi sikuchepuka na MSIZWA, Niko tayari kuapa, Akili zimemruka ananichafua
Vložit
- čas přidán 29. 08. 2024
- Malaika mke wa Ricardo Momo afunguka baada ya kushutumiwa na Esma kuwa aliivunja NDOA yake kwa kuingia kwenye mahusiano na Msizwa, Kwenye exclusive interview hii ametueleza mwanzo mwisho kuhusu ukweli wa shutuma hizi. Enjoy!
Momo umepata mke mwenye hekma hongera
Kabda ya kubadil mwil alikuwa mzur😢
Hongera Ricardo momo heshima yako,umesimama na mkeo na kumjengea heshima kama mke, napenda ulivyo mlinda na endelea kumlinda na shutuma za watu na family, esma alizoea kucheza na mahusiano ya naseeb,safari hii amekutana na kisiki cha mpingo,unamke mzuri maashaaallah,Allah ailinde ndoa yenu,huyu esma ni wivu unamsumbua hata ktk mahusiano yake hayadumu ni vile awatendea watu ubaya humrudia mwenyewe,hasbi'allah wanaimal wakil
She’s vry wise mashallah keep going gurl May God bless u Malaika
Ahsante malaika unajielewa hongera dada namna hio nimekupenda bureee
Hunishindi Mimi marafiki Hawa mmmmh
One of the best interview chris
Asante sana nimekuelewa malaika esma amezid. Mdomo anajifanya kaxoea mitandao
Kama mmeona malaika kafanana na wolper like
Yaan sanaaa hata m nilikua nataka nicomment hvo
Kweli wanafanana mnoo na wolper
👍👍👍👍
Wolpa Hana uzuri huu, angekuwa nao tungekoma
@@catherinemsoffe8366 naunga hojaaaa
Nakupenda Maraika kiukweli ww umemzidi ESMA iyo ndio tatizo
Pole Malaika Allah akupe subra na uishi na mumeo vizuri
Umependeza Malaika.
God bless you sis 💞
Esma kivuruge ,mama yake nae yaleyale ,mtu mzima ovyo...malaika angalia familia yako. Nimeipenda uko strong
Dah ile familia jamn
Esma ni mchawi wa ndugu zake ana wivu na mawifi zake coz niwazuri kumliko ndio maana domo hakai na wanawake coz anawasikiliza sana esma na mamake
Hahaha
I salute this lady 💪💯
Nimempenda Sana huyu dada yan anajielewa Sana wallah...hongera Ricardo una mke anaejielewa
Daah Ricardo momo ongera kwakupata mwanamke mwenye hekima 😍🪝
Kama umemsikia huyu malaika kamwambia esma ni mpumbavu shule hakna gonga like nataka kuzipeleka sokon
That's great your 💯👌 write sure may God bless you and your family
That’s why I love SNS awachelewi kumtafuta muhusika good job
Hii ndiyo Tz🤣🤣🤣
Ila esma ni muongo jaman
@@dianamadege1703
L
L
P
L
Ppp L
L
L
L
Ppp l
L
L
Ll
P
P
L
Ll l
P
L
L
P
Power
@@dianamadege1703
L
L
P
L
Ppp L
L
L
L
Ppp l
L
L
Ll
P
P
L
Ll l
P
L
L
P
Power
@@salomewandya7257 yaan wanaichangamsha nchi ady raha
SO BEAUTIFUL
Nilikupenda juu hawuna mikucaaa kama watanzania wengine❤️❤️❤️❤️aace kukupanikisha uyooo esma ashacoka na maishaa😳
Mmmm esma kiboko jina la yuda linamfaa sana 🙄 anafanya uyuda mpaka ktk familia 🙆♀️ da! Kiboko, malaika mrembo sana mashallah ❤🇹🇿🇨🇭
Mmmmh ngoja ninywe chai nirudi🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️
Wow wewe dada ni mzuri pia una roho nzur sana mungu akubariki Mimi nimekupenda hongera sana 🌹 yani
Huyu Dada mzuri MWe!
mzuri wapi
Uko mzuri dada kama namuona dada jacky wolpa❤❤ acana na esma. hananyota ule domo tu la bure. Kacoka
nakupenda sana Malaika iyo nikweli mumewako anakupenda sana
Jamani familia hii tutaona mengi
Umeonaeeh
Tutaambiwa uncle shamte anatembea na Esma sasa😂
😁 😁 Kama Egoli vile
Kwa kupenda Kiki wapo tayari kwa chochote. Sasa mpaka kumkataa baba mzazi Sio kitu kidogo
Esma. Kachanganyikiwa na kuachwaaaaaaaaaaaa
😅😅😅😅😅😅
Mungu atakulipia dada nimekuonea mpaka huruma na mwenyezi mungu ataisimamia ndoa yako itadumu milele inshaallah
Keeping up with the Chibus is sooo juicy than the Kardashians kwakweli😆🤣
😄😅🤣
🤣🤣🤣
😂😂
Huyu mdada nimzur kweli lazima aonewe wivu
Umeona
Ni wivu tu
Kwanza anaongea ukweli mtu ukimwangalia tu
Wallah
Lazima awone wivu anamzidi uzuri ndo mana anaamuwa kumchafuwa hivo
Ukoo ilitolewa pesa malimbukeni, unajua ukitoka kwenye maisha ya tabu ukipata unawapanda watu wote vichwani kwao
Malaika nakupenda bure mam na maneno yak ya busara 💖
Kuanzia leo MIMI nishakua mteja wa malaika jamani....!ebu pambana na duka lako mpauko ESMA😏😏
Pambe tuu😁😁😁😁😁
Piga kelele kwa Malaika wake love bby girl
Weweeee
Nimekupenda unajielewa na una hofu ya mungu safi endelea kusimama kwenye iman
This is is keeping up with diangotess family episode 2...😂😂😂
😀😀😀😀absolutely
True
So true😊😊😊
🤣🤣🤣🤣
Sio dangotess ni nyangezzzzz
Kweli naamini now kuwa Esma nitatizo kwenye hii familia. That's why hata kaka yake hadumu na wanawake, na yeye Esma hatodumu na ndoa kabisa mpaka aache fitna na roho mbaya!
Siyo Esma ... Msizwa kiboko kaja kuwavuruga familia nzima.... ona mama dangote amemvuruga mzee.... malaika kavurugwa na Esma.... na msipo kaaa kufamily 2021 mtaparangana sana ... yetu 👀👀👀🇧🇪
Fact
🤣🤣shikamoo msizwa
We dangote family mtatuonyesha mambo mengi basi huyu esma ame chukua tabia za mamake
Umetisha, alithan we ni akina Hamisa,wale anawapanda mgongo na kushuka
uyoo malaya esma kakomaaa kama jinii majii anamuonea huyu malaika wivu mdada wa watu mremboo mashallah dumu na ndoa yako mamy achana na huyo malaya changudoa kama alizoea kina tanasha,hamissa na wengine akuache ukae kwenye ndoa yako kwa amanii na mungu atakufunika inshallah 🙏🏻
Esma ana matatizo amezoea kufukuza wake wa diamondplantinamz sasa hawako ameanza warecardomomo thats not good malaika usijali hayo yasikujalishe endelea na kazi zako mama.
Alifuza wa Diamond Nyange wa kwanza sasa amesonga kwa wa Ricardo Nyange wa pili
Pole mamy
I love your dress 👗
Huyo mtu wa Familia I hope si Diamond juu wewe ni type Yake unafanana sana na Zari jamani 😜😂😂😂
Maskin Dada wawatu mtarabu mwenyew 😢😢😢
Sema huyu dada ajui kujipendekeza nimempenda
ALIYESKIA WHAT is GOES On!!!!! GONGA LIKE
I laughed my ass silly.she is guilty af*
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Ila wew mnaaa😂
😂😂😂
Be humble malaika.
Hawa wanavituko
Nimeipenda hiyo nimefundwa! Safi sana!
You’re so beautiful
Mashallah
Esma, wacha mambo mob, hiyo ndiyo malipo ya Diamond kuchezea wasichana wa watu, wembe ni ule ule
1.esma alikua na mimba akawa hapendi harufu , esma kasharudiana na baba taraj weuweee piga kelele
Esma kavurugwa na msizwa bas anataka awavuruge na wenzie
Kweli hujakosea
Wallah you are soooooo cute 😘🌹
ata wy u are cute
Hii series naitaka season 2!🤣🤣
YAANI TODAY..IS TODAY...DANGOTEE FAMILY..MAMBO NI🔥🔥🔥
Hahaha fireee
Good girl Msamaha yes to make things Right....but with such a Person keep distance with Dangerous pple
Yeeesss
Live your life Malaika
Kweli Esma hafai kuwa rafiki ana uswahili mwingi sn,ata Tanasha alishaliongea hili
Ndio mana daymond hakai na wanawake kwa tabia za mamaake na dadaake
Creez never disappoints...thanks #sns
Dada wewe nikiboko ya yuda(Esma)alizoweya wakina Amissa tanasha anawo onea
Point🔥❤❤
Ni kweli huyu dada anaakili Sana akiamua kuchukulia hatua anaeza mlipa
Mbona Esma anasema hajabeba mimba ya msizwa? Hichi ni kizungumkuti🤣🤣
Duh esma n muongo..alidai ana mimba...kumbe aliitoa huyu demu amechukua mama dangote
Mungu azidi kukupa hekima nimekupenda mungu awatunze mama uwe mwanake mwelevu mama angu
Esma hapa amegonga mwamba kashazoea kuwasumbua wakina Tanasha
Hii ni karma mungu halali
🤦🙆😲Drama kama drama ,but what's wrong with that family?? I'll pray for them.
R.I.P English..... "What is Goes On???" Malaika Cute baby
What is goes on? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umetisha
@@timothmwakakusyu4563 ujamsikia Malaika hapo kasema hivyo??
Hahahaha
Piga like zote R.I.P English
What about "educator"😅😅😅🏃🏃🏃🏃😅😅😅
Mwanamke Huyu kakomaa kweli kweli Mungu Amoungoze vyema......Katika Maisha yake
Malaik mungu akutangulie
Huyu Esma kwani yupojee hii familia kiboko inapenda ugomvi km wanamajini cheketu vile🙌
Malaika jina nzuri dada kama malaika kweli wa peponi nakushauri more shekh me yamini umkomeshe huyo esma yamezidi sana mdomo yy na mama yake
Shout out kwa MSIZWA PELEKA MOTO BRO WATOTO WENYEWE WAKALI HAWA
Waongo hawa wanatafuta contents tu na view kuipaisha media ya boss wao
Yani vitimbi na frmly ya dangonte nivingiii daaaah huyu dada kailinda ndoayake wamuache jamani nimempenda wakwanza mrembo tz kuona amedumu kwandoa yake wallai 😊👊
Malika, esma alitaka ufukuzwe na Ricardo momo
@@adijaniyonkuru9731 umeonaee taratibu utashangaa wameachana
@@salmasaid7058 hachiki mtu hapo 🤣🤣
Kama kweli Kaku shafuwa pole mamangu Allah Ata kusa fisha inshallah 🙏
Esma wivu na roho mbaya itampasua ubongo
Sky ongeza Creez na Esco mshahara. Si kwa hustles hizi za kutuletea habari 😂
Tena exclusive kabisa very hot
Ofcoz momo ana mke cute and smart woman ..
Mmmhh, na mlidhani shida ni Hamisa! Kumbe familia yote full vituko!
🤣🤣🤣🎤
😄😄wale mashabiki madazi ndo waelewe hiii family niyadizaini geni
Atari na nusu😅😅😅
😆😆😆
Msizwa kaleta balaa kwa hii family hakika
Wanawake tuna mambo mengi jaamaniii haya ya nini lakin
Mm nimekuelewa niwivu2 kwanza ww mzuri ma sha Allah
nimekupenda bure dada piga kazi as long as mume wako anakusapoti
🤭🤭Mpe huyo Yuda
“What is goes on” 😂😂😆😆
😂😂😂😂😂yani hata mimi nimecheka😂
😂😂😂
😂😂😂sikukuelewa mpaka kipande kilipofika 🙌
😂😂😂 aibu kubwa kwan kwenye familia yenu hakuna wakubwa mkayaongea mpk mlete huku duh mnachekwa nyie mxiiiw
q,,,,p@@annedavienyamhanga4738
Esma mungu hamuachi mtu mbaya akaishi umezidi ubaya kwa wanawake wa diamond tena unajitapa kabisa kua we na mama ako mkilipanga lenu juu ya mwanamke wa dai hamsindwi...wallah Esma kutokua na maisha marefu kwa kujutia umungu na kusumbua wanawake wenzako kisa pesa na jina la kaka ako..Esma Bora ufe kina tanasha na wengine waishi vizuri na mzazi mwenzao Daimond na yule mama akifuate nyuma dai awe na maamuzi yake na kuweza kuishi na mke.
Dada mzuri
Endelea kumshukuru Mungu kwakukupa mume mwenyemapenzi ya dhati maana siokitu cha kawaida inshallah kwauwezo wamungu mtazeeka pamoja🙏🙏🙏
She has even shown proof. That is enough, even in the eyes of God, Proof is a must.
Mzuri sana naona kam kafanana na jack kidogo
Jamani family iyi inanini kweli esma mimba kutowa mama kunyanganya mtoto baba yake kwani laana gani iyo
Safi malaika nimekupenda sana inaonekana huna shobo na unajiamin sana na unajitambua sana bishost,,safiiiiiii
I like her principles
Upo sawa dada umesha muumbuwa wew pig kaziii mama wasikuletee useng maisha yot ukitaka uhasama udai chako
Hii Familia sijuwi ina nini, si mama si watoto duh!!!
kweli mwanangu ,familia hii ina laana tupu
Unajielewa dada God bless u . Urafik aca ata ikitokea akuombe msama
🙆🙆Karudi Kwa petman huyo pet man nae ngombe tu
0+0=petiman
🤣🤣🤣🤣
Hahahaha 😅😅
😂😂😂
🤔🤔🤔
Sasa hapa Mama Dangote kapata mwenga anaejua kumuchamba bint yake Kutoka familia aliyoitaka. Hongera queen Darlline kuwa kimya.
Drama continues 😀😀😀😂😂
🤣🤣🤣🤣