MZEE ABDUL MBELE YA JAKAYA KIKWETE AFUNGUKA MAZITO YA DIAMOND NA MARIOO,,,TAZAMA HAPA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • #diamondplatnumz #harmonize

Komentáře • 87

  • @mzalendowaasili1727
    @mzalendowaasili1727 Před rokem +8

    Mungu akuweke mzee Abdul

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 Před rokem +6

    Huyu Mzee anajiamini namkubali sana &

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před rokem +4

    Ubarikiwe Sana Zubeda

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Před rokem +3

    Hongera zubeda hii inatufundisha tuwspende na kuwajali watoto wa majirani ##wanawake cku iz hawaeleweki wanataka wawe wanalea watoto kama kuku na vifaranga vyake akinamama wanapandikiza watoto chuki

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před rokem +7

    Unajieleza mpaka nasikia kulia😍😍

  • @moviesmaster9493
    @moviesmaster9493 Před rokem +2

    Huyu zubeda amesemwa sana na huyu mzee ❤❤❤❤❤❤

  • @yasminally1015
    @yasminally1015 Před rokem +3

    Asallamalequ Maashalla Maashalla Pappa Ishaalla Ishaalla Allah helpe you Ishaalla allahmdulillah

  • @ibrahimmawazo5077
    @ibrahimmawazo5077 Před rokem +2

    Mzee akihojiwa anaongea vizur saana. ni mstaharabu sana

  • @nurunewz103
    @nurunewz103 Před rokem +12

    Ukimeza sumu ya mama unaweza kuwa mpumbavu.

  • @ramosizungu7432
    @ramosizungu7432 Před rokem +7

    Zubeda Mungu ampe maisha marefu!!

  • @amirimohammed2875
    @amirimohammed2875 Před rokem +1

    ✊respect mzee

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před rokem +20

    Uyu Ndie Baba Wa Daimond Kamili Akuna Ubishi Akuna Cha Jonh Wala Bakali Uyu Ni Baba Wa Daimondi Sema Umasikini Unapoteza Samani Kwa Watu Walioweka Mali Mbere Kuliko Mungu

  • @mrokay1time958
    @mrokay1time958 Před rokem +4

    Umependeza mzee andul Mungu akulinde na ampe zaid uyo naee

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 Před rokem +2

    yaani dunia mapito tu kuwa na pesa sio mwisho wa maisha ....

  • @OmbeniMlelwa
    @OmbeniMlelwa Před 11 měsíci

    Muzee uko vizur unatumia busara hutuendeshwi na mwir

  • @tembomlawa2065
    @tembomlawa2065 Před rokem +2

    Misikio kichwa sijui

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před rokem +8

    Huyu baba kafanana na Mond balaa yaan ni baba yake mzazi kabisa sema ndo hivyo 😭

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před rokem +6

    Baba mlezi wanafanana ivo

  • @jumamayunga7472
    @jumamayunga7472 Před rokem +2

    Majibu safi kabisa

  • @tembomlawa2065
    @tembomlawa2065 Před rokem +2

    Mond atapata raana daaa mbona kafanana na huyu mzee kabisa daaaaaaaa diamond Mungu anakuona angalia Domo angalia pua

  • @onwabilelutshetu
    @onwabilelutshetu Před rokem +2

    Mzee Abdul huyoooooo

  • @bovickpascal6554
    @bovickpascal6554 Před rokem +3

    Mbona pua yake and ya diamond same same ime fanana sana

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone Před rokem +2

    Sio baba mlezi nibaba mzazi wa nasibu

  • @sumuyaodawayao4775
    @sumuyaodawayao4775 Před rokem +3

    Mondi ana laana

  • @nurumwenkale3387
    @nurumwenkale3387 Před rokem +4

    Mond ipo siku utakuja kumkumbuka huyu Mzee akiwa hai au amekufa

  • @khadijayunus9289
    @khadijayunus9289 Před rokem +3

    Mzee abdulli ni mustarabu sana

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před rokem

    Tunakupenda Sana mzee abduli Sina uwezo ngekujengea golofa SS wananchi tunakupenda sana

    • @amanimapenzi571
      @amanimapenzi571 Před rokem

      🤣🤣🤣🤣jengea babako mwanzo uwezo ukiukija

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon5316 Před rokem +1

    Hivi kwani hamuelewi Nini inamaana amujuwi kwamba uyo mondj yupokwenye masharti. Anafata masharti Ila atakujakujuta baadayaizodawa zitakavyo Isha ndoatajua dunia

  • @chemstry409
    @chemstry409 Před rokem +1

    Duuuuhh dunia hii.....

  • @shamzone388
    @shamzone388 Před rokem

    Mama dangote ndie aliyemlisha mwanae sumu juu ya baba yake
    Dunia mapito tu🚶🏻‍♂️🚶🏻‍♂️🚶🏻‍♂️

  • @rodriguekalubandika535
    @rodriguekalubandika535 Před rokem +2

    Mariposa ni apa apa duniani maesabu mbinguni we aca tu mungu akuongezeye maisha marefu mzee wawatu

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 Před rokem +1

    Hivi huyo kikwete utoto utamwisha lini? Sasa namwelewa Prof. Limpumba ambaye mwaka 2015 alisema kuwa hajawahi kumwona kikwete akiwa serious kwenye Jambo lolote.

  • @abdulharri8175
    @abdulharri8175 Před rokem +2

    Wanafanana na diamond mpk sauti huyu mzee lol

  • @doubless79
    @doubless79 Před rokem

    Hi I huyu kweli ni mzee wake nasibu mbona wanafanana, diamond boya sana akuchuja maji na mafuta

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před rokem +1

    Wewe Kuhoji Ujui Kuuliza Maswali Ujui We Mwana Habari Gani Kwanza Maswali Yako Ya Kichonganishi Inamana Wewe C Kitu Ujui Kitu

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Před rokem +5

    Media nyengine kama hizi zina watu wa Hovyo kabisa! Maswali gani yakinafkii wamuuliza Mzee? Kwani yy sio Binaadamu haruhusiwi kujifurahisha Roho" Ajipendekeze na nanii kwamfano kama huna maswali ya msingi haina haja kumuhojii mtu kama huyu ni wakuzabwa vibao Bogass" kabisa amenikera sana kwa unafik mzee asaidiwa pia hamutaki! nyinyi mbona hamumsaidii? Kazi kumfwata mzee mukimuhoji utumbo.

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Před rokem +1

    Kwa maneno ya huyu baba inaonekana Bado hawako sawa na mondi

  • @Amisikashindi.
    @Amisikashindi. Před rokem +1

    ✌️✌️

  • @mzamirmfuruki6668
    @mzamirmfuruki6668 Před rokem

    Watangazaji wengne ni uchonganishi tu inakupa nn??

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před rokem

    Nyie watangazaji hata kama hujasomea kazi basi jifunze maswali yakuuliza

    • @mbarakarajabu8748
      @mbarakarajabu8748 Před rokem

      Yaani! Maswali ya kipuuziiii, bongo hatuna kabisa journalist, bora Ali kamwe alimshushua yule mmoja kwa kumwambia unakutana na msemaji afu unauliza vitu vya kijinga.

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před rokem +1

    Hadi leo hujamsahau Naseeb we mzee utakufa mapema hebu achana nae kama hutakiwi siutulie

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Před rokem +1

    Kwani kikwete yeye nani

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Před rokem +1

    Duu kopi kabisa aseee .domo kama mondi

  • @agnesagnes2911
    @agnesagnes2911 Před rokem +1

    Mmmmh mama dangote alimdharau mwenzie ila diamond mtupu paka kuongea

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před rokem

      Mwenziwe kwani walikua katika ndoa?

  • @naufalmustafa565
    @naufalmustafa565 Před rokem +4

    we nayee mzee hunaga dogo mzee mzma bad unamlaum chibuuu taft hela ww

    • @stellahsimon4460
      @stellahsimon4460 Před rokem

      🤔

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před rokem

      Wanatafuta Kiki kupitia Mzee

    • @charzykazimilymajahasy703
      @charzykazimilymajahasy703 Před rokem +7

      Hapo Mzee Hana kosa, na kumulaumu ni lazima maana kamlea, huyu Mzee ni wakutafta hela Sasa hivi? Sema huyu chib wako akili hamnamo, Mzee kamlea mimba, umezaliwa, usiku unalia baba hasinzii, dawa, nguo Leo mtoto unapata unasahau hata kile kidogo? Hivi wewe unamtoto ambae umezaa ukalea na Wala Si kulea tu halafu wewe uko mbali unalala nae from 0-1mwaka? Ndo ungeongea hayo, halafu na wewe ni mpuuzi tu kama huyo mpuuzi mwenzio chib

    • @nicholauskilosa5336
      @nicholauskilosa5336 Před rokem +6

      Mwambie Baba yako na wewe atafute hela jinga wewe

    • @kitwanashem3272
      @kitwanashem3272 Před rokem +4

      @@charzykazimilymajahasy703 chib na mama yake hawana shukran na hawana utu kwa mfano hata kama siyo baba yake lkn mzee alikuwa na bwana mama yake kubinadamu tu siuta kuwa na imaani na abada kwa baba mlezi

  • @esromkanubo815
    @esromkanubo815 Před rokem

    Mwandishi unazingu na mondi haoni kapigwa za uso