Ni kipisi cha Exclusive Interview aliyoifanya mwimbaji Mtanzania Diamond Platnumz na Mtangazaji Millard Ayo kwenye studio za TZA (millardayo.com na AyoTV)
Big up platinumz ,usikubali mtu agudanganye ila ukimwamini mwenyezi bungu utafika mbali na pia mimi diamond na wasapoti familia yako na W.C.B Mwenyezi mungu awabariki na awape nguvu sana
yanii sijui nisemeje ila diamond yo very genius,,napenda sana unavyo handle intervews zako,,kaka uko very smart...musik wko huwa natamani sana uwe unafanyiwa interview zako kila siku...................
Anayoyaongea diamond platinum Ni kweliiii kabisaaa na kwann utengeneze bifu na MTU, jmn diamond kasema hana kinyongo na MTU pia mfanye kazi vizuri tuu jmn... Mpendane
Siku zote ukweli unauma sanaaaaa ila usiwache kusema ukweli ww ni mume wakisawa sawa,Mr President Diamond waache waharibu jina ila lakini ukweli uko wazi...
Yaan baba tiffah,umeingea point sana. Kwel nimeamin ww ni msanii mkubwa kwa Tz. Weredi na akili Ya kujielezea ndo silaha kubwa ya kumtambua mtu aliepevuka ktk kila jambo. Keep it up!!!
Diamond fanya kazi wewe unakitu nikwambie kitu mti wenye matunda ndo unapingwa mawe kwaiyo usiwaze bro we fanya kaz apa bongo nakufananisha kama kanumba aito tokea tena nafasi yenu tena ata ukiondoka leo duniani amini ivyoo bro🙏🙏🙏
Wee daimond kumbuka we nimuisilamu mambo unayoyafanya ujue ikosiku utakufa Fanya urudi Kwa mungu wako hayo in mambo ya kiduniatu pesa zina mwisho rudi tRNA Kwa mola wakoo
Ujuee mondi huwa ni mtu mwenye nidham sana na ndioo maana huwa cjawai kuacha kukupenda kwanza hata unavyo ongeaa broo unaonekana umefunzwa na kulelewa kwenye maadil bora
Big up platinumz ,usikubali mtu agudanganye ila ukimwamini mwenyezi bungu utafika mbali na pia mimi diamond na wasapoti familia yako na W.C.B Mwenyezi mungu awabariki na awape nguvu sana
Hongera sana Millard kwa kazi nzuri, nahofia tu majirani zetu wasije sema unatokea nnchini kwao
Una nini wewe? Una maanisha nini?
2020 naangalia Mond enzi zao na Clouds saivi chui na paka
Pamoja👒😁🤣🤣✔️🙏
fanya mambo yako na mungu atakuelekeza manake binadamu ni wale wale tu
i love the confidence in you
Poa poa br
diamond you're simply the best.... keep it up!!!
like you bro
keep it up Diamond you r really humble God blessed you on your work from Doha irene
Na mpenda sana millar diayo na daimond pia so love you somuch
so lovely keep it up lov yo
very talented musician plus akili nzuri, very humble,...hamna namna utashuka chini.unaenda mbali sana Diamond Platnums
mature . I love his mindset
big up diamond luv u sana!!!
inspired man... keep it up chibu
Baba tiffah, nimeipenda hii khasante sana NASEEB, uko juu big up sana umetisha.
nakuelewa sana Diamond....... hivyo hivyo bro.... mungu akurinde mda wote
Nice.much love
Ommy &pltnmz are back🎉
I love diamond. ..
Team mond were here!!!
sana sana bro thank for uploading
Had November-2019
No one like you , I like your simplicity that's the only way to live with people who don't understand your characters.
diamond xafi xana baki na moyo wa hivo
yanii sijui nisemeje ila diamond yo very genius,,napenda sana unavyo handle intervews zako,,kaka uko very smart...musik wko huwa natamani sana uwe unafanyiwa interview zako kila siku...................
This guy is genius
Safi sana broo kuanzia leo nakupigia debe
Unaakili sana.brother
Diamond of cause it doing good job keep it up men
Hwo view this in 2019
Salute!
i like this interview
Safi sana mondi una jielewa baba
NANI YUPO HADI LEO 2020
Noma bro🔥🔥
2020 ndio tunaendelea kujenga taifa letu
Gudy thanaa broh 👊👊👊keep it up
Hadi 2020 bado namixx diamondi ktk ubora wke
january 4 2020 nani yupo?
Mimi 👌
tupoooooo
04/10/2020
that's y I love u Chibu unajuwa kuonge na media
Mambow
nice interview
excellent
Nice broo
big up broo uko juu sn
safiii kak nakubali
Soo humble
Wemkali sana brother
woooow
kushikamana wenyewe itakuwa imekaa kibinafsi time to raise others
Huyu jamaa anachosema ni kweli
big up Diamond
Love you The Lion Of Africa
Hadi 2020 bado Benjamin platinumz ktk ubora wake
good mond
Diamond platinum keep it up broo,,,them bro millard kazi nzuri ila kwanini unapenda kuvaa white headphone kwenye interview?...
Kupata sauti nzurii,ila akuna ubaya wowote
Nakupenda ga sana diamond
Ww fanya kazi bwana
Feb 2019?
May 2021, who is there whatching d'is interview
dee ur a mazing kip it up mtoto wa tandale
Anayoyaongea diamond platinum Ni kweliiii kabisaaa na kwann utengeneze bifu na MTU, jmn diamond kasema hana kinyongo na MTU pia mfanye kazi vizuri tuu jmn... Mpendane
Ukibaki hivyo utafika mbali sana wasafiiiii!!!!!
Safi.
Na amefika mbali
Huwa nakuerewa mondinyo
Bg up mnoo broo
ukweli
Mm nko hapa 2021
Kweli
Makini sana broo d
Nan yupo 2021
Siku zote ukweli unauma sanaaaaa ila usiwache kusema ukweli ww ni mume wakisawa sawa,Mr President Diamond waache waharibu jina ila lakini ukweli uko wazi...
Mahsnir Mohammed hu
Big up ma brother Chib de Simba waambie "Jongoo amepewa miguu mingi ila mbio kapewa Njoka"
Don't give a dem meeeeen.
Umenchekesha sana
Simbaaaaa💪
Tell them......
Live all
Good sana d
Good
Respect diamond,,
2021
Wewe diamond ni noma umejua kumruka milad swali la ommy dimpoz umejibu kisomi big up
2020
nice
Daa nakubali mond
Kali
diamond anajielewa sana mdogo wa umri Lkn una mawazo makubwa sn kaka hongera.
Here today
Yaan baba tiffah,umeingea point sana.
Kwel nimeamin ww ni msanii mkubwa kwa Tz. Weredi na akili Ya kujielezea ndo silaha kubwa ya kumtambua mtu aliepevuka ktk kila jambo. Keep it up!!!
Vzr sana.
🍀
Diamond fanya kazi wewe unakitu nikwambie kitu mti wenye matunda ndo unapingwa mawe kwaiyo usiwaze bro we fanya kaz apa bongo nakufananisha kama kanumba aito tokea tena nafasi yenu tena ata ukiondoka leo duniani amini ivyoo bro🙏🙏🙏
Me 2021
Duuu nani mwingine alie angalia hii ,interview 2023?
😂
dad ake ti uko vxr xna kwenye interviews ndio npndaga nymbo xako bro😘
Safii
Mammito Mohamed mwenye hela haongei
Ila 2017umeanza maugomvi c poa
we ndo simba bana
Kweri bro Simba
d i say u r nbr one. ...penda sana ww hadi basi
lina gakii we
Kweli mond ,,
Simbaaaaa
simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa
D aliona maisha kweli
Habari wameipokea
Wee daimond kumbuka we nimuisilamu mambo unayoyafanya ujue ikosiku utakufa Fanya urudi Kwa mungu wako hayo in mambo ya kiduniatu pesa zina mwisho rudi tRNA Kwa mola wakoo
Taila wew
Ujuee mondi huwa ni mtu mwenye nidham sana na ndioo maana huwa cjawai kuacha kukupenda kwanza hata unavyo ongeaa broo unaonekana umefunzwa na kulelewa kwenye maadil bora
I like that hahaha baba tee baelezee
diamond anatisha jmn
Hygien simba 2021