NANDY ATAJA VITU ANAVYOVI-MISS KWA RUGE, NENO LA MWISHO ALILOMWAMBIA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 05. 2019

Komentáře • 24

  • @joram3119
    @joram3119 Před 5 lety +7

    Nandy am so proud of you gal keep the spirit and the candle burning. Cause l know Ruge is watching over you. God Bless you and follow your heart.

  • @swahilitheafricantongue7041

    Nandy uokoke, uanze kumwimbia Mungu saut unayo nzuri sana

    • @kacheali4777
      @kacheali4777 Před 5 lety

      Very true fanya vzur kwa kumuimbia Mungu tengeza kesho yako ya mbingun

  • @beatricehenry7101
    @beatricehenry7101 Před 5 lety +1

    Kwa kweli Nandi acha Haya mambo

  • @kiki-ko8vi
    @kiki-ko8vi Před 5 lety +3

    Pole sana mjane

  • @mathewleakonoleakono1682
    @mathewleakonoleakono1682 Před 5 lety +2

    Sorry Nandy. You will meet someone along your way

  • @youngrapperfadhili805
    @youngrapperfadhili805 Před 4 lety

    Pole kwa msiba dadangu

  • @peterjohn8745
    @peterjohn8745 Před 5 lety +10

    Nandy dear wanasema acha utumwa kwenye family ya ruge yasije kukuta ya lulu sabb ck ukitaka kuishi maisha yako hawatapenda

    • @salmangassu1011
      @salmangassu1011 Před 5 lety

      Sio wote vigeugeu kua karibu nao nivizuri zaidi usisahau kama wasinge mkubali nandi asingekua hapo

    • @fatmarashid2384
      @fatmarashid2384 Před 5 lety

      @@salmangassu1011 Kabisaa

  • @lilianrozio6588
    @lilianrozio6588 Před 5 lety +1

    RIP Rugeee

  • @zackrichard3617
    @zackrichard3617 Před 5 lety +6

    amelaniwa yeye yule amtegemeaye mwanadamu.....

  • @roidatadey8656
    @roidatadey8656 Před 5 lety +3

    Duuuuh mtumishi wetu mwamposa namkubali sana

  • @bethadickson5242
    @bethadickson5242 Před 5 lety +2

    yaan huyu Nandy na Ruge jmn kaaah!!!

  • @halimasaleh5705
    @halimasaleh5705 Před 5 lety +2

    Wkt Ruge alikuwa hai ulikuwa ukiulizwa hbr zake na mahusiano ulitukana sana watu na ukafikia kusema huyo ni baba yako, sasa haya mahaba unayoonyesha ktk media wkt kishakufa na hakuoni hayana faida kwani hayupo tena ungeonyesha wazi kipindi kile nadhani hata stress zingempungua Rip Ruge

  • @kweliumesemailanaowangetul1933

    Poleni familiya yarunge jembe rime tutoka

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 Před 5 lety +1

    Kilichobaki kumuombea tu

  • @nyambelewinfrida9074
    @nyambelewinfrida9074 Před 5 lety +2

    Huyu dogo jaman hata walio zaa nae wametulia unadhan ulikuwa mtam sana kuliko wao ? Muda wa yeye kukushusha thaman ulikuwa mbele yako mfikirie Zama kama alishushwa utakuwa wewe? Kaa pemben na hio familia tena Wahaya hauwajui wanakushangaa sana kimbele mbele chako unajiaibisha sana.

    • @elizabethjoseph981
      @elizabethjoseph981 Před 5 lety +5

      Nyambele winfrida jamani huyu alikuwaga tayari ni mchumba wake tofauti na akina zama ndo maana kipaumbele alichopewa yeye siku ya msiba ni tofauti na mama watoto alozaa nao marehemu

    • @janewandelini3607
      @janewandelini3607 Před 5 lety

      Yule nyuma kwenye mgomba ni mlinzi wa Nandy!

  • @bestermwaikenda3675
    @bestermwaikenda3675 Před 5 lety +1

    mbombo ngafu