Wkt Ruge alikuwa hai ulikuwa ukiulizwa hbr zake na mahusiano ulitukana sana watu na ukafikia kusema huyo ni baba yako, sasa haya mahaba unayoonyesha ktk media wkt kishakufa na hakuoni hayana faida kwani hayupo tena ungeonyesha wazi kipindi kile nadhani hata stress zingempungua Rip Ruge
Huyu dogo jaman hata walio zaa nae wametulia unadhan ulikuwa mtam sana kuliko wao ? Muda wa yeye kukushusha thaman ulikuwa mbele yako mfikirie Zama kama alishushwa utakuwa wewe? Kaa pemben na hio familia tena Wahaya hauwajui wanakushangaa sana kimbele mbele chako unajiaibisha sana.
Nyambele winfrida jamani huyu alikuwaga tayari ni mchumba wake tofauti na akina zama ndo maana kipaumbele alichopewa yeye siku ya msiba ni tofauti na mama watoto alozaa nao marehemu
Nandy am so proud of you gal keep the spirit and the candle burning. Cause l know Ruge is watching over you. God Bless you and follow your heart.
Nandy uokoke, uanze kumwimbia Mungu saut unayo nzuri sana
Very true fanya vzur kwa kumuimbia Mungu tengeza kesho yako ya mbingun
Kwa kweli Nandi acha Haya mambo
Pole sana mjane
😂😂
Sorry Nandy. You will meet someone along your way
Pole kwa msiba dadangu
Nandy dear wanasema acha utumwa kwenye family ya ruge yasije kukuta ya lulu sabb ck ukitaka kuishi maisha yako hawatapenda
Sio wote vigeugeu kua karibu nao nivizuri zaidi usisahau kama wasinge mkubali nandi asingekua hapo
@@salmangassu1011 Kabisaa
RIP Rugeee
amelaniwa yeye yule amtegemeaye mwanadamu.....
Duuuuh mtumishi wetu mwamposa namkubali sana
yaan huyu Nandy na Ruge jmn kaaah!!!
Wkt Ruge alikuwa hai ulikuwa ukiulizwa hbr zake na mahusiano ulitukana sana watu na ukafikia kusema huyo ni baba yako, sasa haya mahaba unayoonyesha ktk media wkt kishakufa na hakuoni hayana faida kwani hayupo tena ungeonyesha wazi kipindi kile nadhani hata stress zingempungua Rip Ruge
xxx vedeo
Poleni familiya yarunge jembe rime tutoka
Kilichobaki kumuombea tu
Huyu dogo jaman hata walio zaa nae wametulia unadhan ulikuwa mtam sana kuliko wao ? Muda wa yeye kukushusha thaman ulikuwa mbele yako mfikirie Zama kama alishushwa utakuwa wewe? Kaa pemben na hio familia tena Wahaya hauwajui wanakushangaa sana kimbele mbele chako unajiaibisha sana.
Nyambele winfrida jamani huyu alikuwaga tayari ni mchumba wake tofauti na akina zama ndo maana kipaumbele alichopewa yeye siku ya msiba ni tofauti na mama watoto alozaa nao marehemu
Yule nyuma kwenye mgomba ni mlinzi wa Nandy!
mbombo ngafu
Uketile