Ivi wewe nad huoni hata kukaa unazungumzia MTU ambae ajichokea hata kwakumtazama unajiaibisha Hata wazizi wako unawaibisha mlizowea kubebwa sasa aza upya
Nandy umekuwa mpweke kwakweli unaonekan una fulaha tofaut nahapo awali ila unatakiwa uwe nanguvu t yalio pita yamepita alie kwenda ndiy kaenda t akuna njia yakufanya ila unatakiwa uwe nanguv t ufanye mambo mengine
Jm Technology tz mie nataka niko asia lkn nitanunua kwa ajili ya kijana wangu yuko mwanza. nitamtumia whatsap yako atawasiliana nawe. kukuliza uwezo na vingine
Jm Technology tz hivo mwanza mnatuma tu au kuna ofisi au mtu atakaeonana nae? hapa natafuta kuuona uaminifu maana mambo ck hiz ni mengi utapeli. usikasirike lkn ni mambo yapo. nihakikishie inakuwaje
Umependeza Nandy, Mwenyezi Mungu azidi kukupa nguvu mwanangu.
Nandy masikini hana raha kabisa, Mungu akulinde usihofu utakuwa imara, nakupenda sana+
nandy nampenda anaweza tembea bila make up ila wengine hawawezi
Hizo nywele za ufiwa bhana msituzingue maana huyu mwembamba ila nakukonda kakonda kufiwa na mpenz mtihani jamani
You look cool
Maskini nandy hana raha kabiisa tangu boss RUGE afariki pole mumy
Thinking before you talk nandy i like that ur a grownup mpaka kwa mawazo
kanyoa coz alifiwa then amekonda saana pole saana nandy mung akutie Nguvu ktk hil ttzo wabongo maswal kama yote
Big up Nandy unaweza mamii
Nandy Love. Nairobi umependwa sana dada.
Unamajumbe mazr sn kuringan na maswali yake good nandi
Nmependa ulivyonyoa babe#Nandy
As long as fikra yako haijakuathir bhas Baki nayooo big point
love u Nanderaaa babe😘😘😘😘
Mjane wa luge kanyoa kuomboleza kifo cha bwana ake mwenyewe
Mtangazajii anashindwa kwenda kwenye point bhas nikuongea upuuz
Kweli kabisa.
beauty with brain
Sio amechoka mawigi mfiwa jamani mwacheni alie msiba kwanza
Huyu dada mungu amlekeze tu ila mipango yake
nampenda huyu dada duh
Nandy mama 👏👏👏👏
Nan kaona akiyoa Pete kidole flan na kuweka kidole gumba like kama zote
Mwacheni mapenzi hayana udogo ci mtoto WA shule hayawahusu mwacheni
Nakupenda nandy
Lv u Nandy
So nice Nandy
It's so sad jmn bado nandy bado hujakaa sawa
Unajibu vzr nandy
Amependeza sana
Nandy kivu-Ruge🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ivi wewe nad huoni hata kukaa unazungumzia MTU ambae ajichokea hata kwakumtazama unajiaibisha
Hata wazizi wako unawaibisha mlizowea kubebwa sasa aza upya
Napenda talle yako nandy
Nandy umekuwa mpweke kwakweli unaonekan una fulaha tofaut nahapo awali ila unatakiwa uwe nanguvu t yalio pita yamepita alie kwenda ndiy kaenda t akuna njia yakufanya ila unatakiwa uwe nanguv t ufanye mambo mengine
Mtangazaji Muulize Nandy vitu vingine usimkumbushe Machungu🤷♀️🤷♀️
❤❤❤❤
Naomba namba ya nandy
Big up nandy
Nmependa NANDY anavyojibu maswali kwa hekima na busara
Pete pia ashaivua du ✋
Hamependeza halivyo nyoa
MAFUNDI waaminifu sana wa kukutengenezea COMPUTER , PROJECTOR , PRINTER na PHOTOCOPY piga 0684757049
Kwni alikua anahusiana vpi na Marehemu BOSS RUGE??
Alikuwa bwana ake
Kashazoea mwenyewe kulalwa na wazee sikuiz hata ataki vijanaa
Nandy amekuwa mpole kweli
Kwel kabisa yaan inaonyesha kaumia sana!
Hata ukinyoa unapendeza mwaya nakupenda nandy
mtoto wa nandi
Usimtoneshe kidonda bwana aliumia sana..
Nanderaaa penda xana weye
Nandy unakaa na huzuni mpenzi
Huyu binti hana raha.
mwai joram maskini hadi huruma
Uko vizur dada akeeeee
Nyumba alijenga........e
Kumbe anafanana kawaida tu
Rose Nogo na makengeza anayo. kwel makeup inafcha vng
Saf kabisa
huyu dem wakawaida tyu lakn anavojiweka sasa da,,,,
umekunja sura u look bad nah
Muvi kanumba
Amekua mpole jamni dah
Mbona ruge amekura mzigo tangu Tht?
Unaharibu sura unavyoikunja
jaman mmh
Mungu akutunxe
Jikaze wifi yangu Nandy M/Mungu akupe nguvu na uzidi kusonga mbele
Pata laptop za bei poa laki moja na elfu tisini tu (190000) na mikoani tuna tuma WhatsApp 0684757049
Jm Technology tz mie nataka niko asia lkn nitanunua kwa ajili ya kijana wangu yuko mwanza. nitamtumia whatsap yako atawasiliana nawe. kukuliza uwezo na vingine
@@naomilemi4717 sawa Boss Naomi namba zetu ni 0678616861 na WhatsApp 0684757049 karibu boss huduma zetu za huhakika sana
Jm Technology tz asante mkuu ngoja nimtumie hizo namba zenu atawasiliana nanyi.
OK boss wetu
Jm Technology tz hivo mwanza mnatuma tu au kuna ofisi au mtu atakaeonana nae? hapa natafuta kuuona uaminifu maana mambo ck hiz ni mengi utapeli. usikasirike lkn ni mambo yapo. nihakikishie inakuwaje
Nan kaona akiyoa Pete kidole flan na kuweka kidole gumba like kama zote