😢😢pole mwanangu..allah akupi kilema akakukosesha mwendo..kila jambo litaenda sawa kubwa kumshukuru muumba kwa kila jambo..kuondokewa kwa mzazi wenu sio mwisho wa kila kitu allah atakufanyieni wepesi kwa kila zito.
Pole Sana mwezangu ata mimi yalinipata mtoto akiwa na miezi 4 yani niliona Dunia imenichukia but nashukuru kwa uwezo WA Mungu nimemlea bila ata pesa ya mwanamume yoyote amekwa yuko 8years...
Mimi nimkenya ruge mtahaba simjuwi namfahamu kwa mitandao tu ila siku ya kifochake nililiya yani wacha tu kunawatu wakiondoka buniyani uwa pengo kwawengi hadi leo sikuhi ya ukumbusho naona nikama ile siku yakuzokwa kwake jmn hadi naliya nimenikumbusha mbali Sana unauma ikiwa sisi tu km majirani Zake ilitugusa hivyo je iyo family yake mungu awepe nguvu na marehemu aiweke roho yake mahale pema sote ni wamungu na kwake tutarudi 🤲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu akupatie nguvu zamaradi akuondoe machungu,pia huyo huyo mungu atawaonyesha mlango wakutokea ktk gumu mlipitialo!! Bwana ametoa na pia bwana mungu Ametwaa kiumbe wake!! Sifa na utukufu wapaswa kumrudishia alie juuuu!!
Shamsa ford nimekuelewaa...msiba uu unanitoa chozi kwa watoto tu wa zama jamani wamekosa mapenzi ya jemedari wao na nakumbuka kauli ya juju atiii mama sitaki dady ruge afe asee naumia hata cjui kwann eeh mungu pole dear zamarad mungu yupo na ana makusudi yaks
pole zamaradi ila nimejua kuwa Mungu alimaanisha kuwa anachukia kuachana Leo hii ulitakiwa umlilie kwa Uhuru ruge ila unashindwa unalilia tumboni lait ungevumilia kama ulivyoweza kumvumilia na ukaridhia kumzalia watoto 2 na kubebeana madhaifu yenu kwa upendo saizi watanzania wangekuwa wanakupa pole na wangukutazama kwa jicho la tatu hata viongozi WA nchi wangekutazama kwa jicho la tofaut.wanawake wenzangu kabla yakufanya maamuzi tujifikirie lengo letu ni nini na kwa nini ili kuepuka kukaa kikaangoni na kuwaweka watoto kigoda kisicho cha kwao.hasira haijengi
😢😢pole mwanangu..allah akupi kilema akakukosesha mwendo..kila jambo litaenda sawa kubwa kumshukuru muumba kwa kila jambo..kuondokewa kwa mzazi wenu sio mwisho wa kila kitu allah atakufanyieni wepesi kwa kila zito.
😢😢pole mwanangu..allah akupi kilema akakukosesha mwendo..kila jambo litaenda sawa kubwa kumshukuru muumba kwa kila jambo..kuondokewa kwa mzazi wenu sio mwisho wa kila kitu allah atakufanyieni wepesi kwa kila zito.
Pole sana mtoto wangu .Allah awape imani ktk hili
Pole Sana mwezangu ata mimi yalinipata mtoto akiwa na miezi 4 yani niliona Dunia imenichukia but nashukuru kwa uwezo WA Mungu nimemlea bila ata pesa ya mwanamume yoyote amekwa yuko 8years...
Mungu nikuzie wanangu ,,mtie nguvu mwana mke mwenzangu aweze kutunza watoto wake vyema
Najimah Rupiah Gomo Amiin
Amen
usiku mwema mama
pole sana mtoto mzuri mungu akukuze uje uwe muongozo kama baba ako pole sana
Mungu awakuze inshaalah kwa kweli inauma bado ni wadogo...
Pumzika kwa amani babake Jujuu!😢
Mimi nimkenya ruge mtahaba simjuwi namfahamu kwa mitandao tu ila siku ya kifochake nililiya yani wacha tu kunawatu wakiondoka buniyani uwa pengo kwawengi hadi leo sikuhi ya ukumbusho naona nikama ile siku yakuzokwa kwake jmn hadi naliya nimenikumbusha mbali Sana unauma ikiwa sisi tu km majirani Zake ilitugusa hivyo je iyo family yake mungu awepe nguvu na marehemu aiweke roho yake mahale pema sote ni wamungu na kwake tutarudi 🤲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kumbe mke wa Romy Jon's alizaa na Ruge.... Ndo nalijua lei
Mungu akupatie nguvu zamaradi akuondoe machungu,pia huyo huyo mungu atawaonyesha mlango wakutokea ktk gumu mlipitialo!! Bwana ametoa na pia bwana mungu Ametwaa kiumbe wake!! Sifa na utukufu wapaswa kumrudishia alie juuuu!!
Poleni sana Mungu awape subira 🙏🏿
Allah mtie nguvu mama wa watoto hawa, Ameen yarrab 🙏
Mungu nipe maisha marefu niwalee watoto wangu wawili peke yangu hata Mimi nimelia sana na nimeumia sana.
Allah akusamehe sana dhambi za siri na dhahiri
Poleni sana kazi ya Mungu haina makosa 🙏
Pole dogo mungu akujalie uslim uwemuislam njia siyo iyo
Duuuh pole mwananguuu Mungu nipe maisha nipeee maisha
Pole juju mwanangu vaa viyatu via baba pole sana
da pole sana zama mungu akusimamie kipindigimu kwako akupe nguvu
Daaaah imenigusa sana kiukweli
Pole ni sana
Poleni Sana Wafiwa
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 poleni sana
poleni sana kwa family
Mungu awepamoja nawe amiin.
Pole sana zamaradi
pole mdog wang
Pole sana mtoto kwakuondokewa nababa
Allah Atamfanyia Wepesi Inshaallaah
Pole totoo Allah awatie ngv
Izi pic zimeniliza sana sana jmn da!😭
Mungu mkubwa tuseme Innalilah waina Ilah rajiuon
Poleni nyote watoto wa marehemu mungu awe nanyi daima
duuuuuuhhh juju jamani jamani jamani mungu awape nguvu familia yote poleeeni nimeumia sana
Pole sana Zamaradi pole kwa kubeba majukumu yote mapema
Pole sana mtoto wetu
Pole mtt mzr
Poleni sana sana
Inaumiza sana nimemwaga machozi na hata simjui rugee jamni😭😭RIP
God the father of fatherless
Poleni sana sana 😢😢
Dd shamsa unaniliza sana ukiongea ivywo
Polen sana 😢😢😢😢
Pole toto yangu
Pole kwa watoto
Alhamdulilah 🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭
Wasafi
M/mwezi mungu ampe nguvu jamani
Daaaah inauma kabisa
Mungu ailaze roho yake mahali pema mbinguni
😭😭😭
Pole mtoto
Ata mm imenitoa machozi poleni sana wafiwa na watanzania kwa ujumla pia rest in peace boss ruge
Mungu awatie nguvu
M'Mungu a2cmamie Yarabbi maana inauma mno.
Inasikitisha sana
Juh juh wangu
😢😢🙏🙏🙏💔
so sad juju
😭😭😭😭
Mung akupe wepes mwanang
Mungu atawapa nguvu kila nafsi inaonya umauti
Kifo kifo kifo hwkisimuliki
Shamsa ford nimekuelewaa...msiba uu unanitoa chozi kwa watoto tu wa zama jamani wamekosa mapenzi ya jemedari wao na nakumbuka kauli ya juju atiii mama sitaki dady ruge afe asee naumia hata cjui kwann eeh mungu pole dear zamarad mungu yupo na ana makusudi yaks
Kweli inauma sana
Sio rahisi 😥
Dah mtihan
Kwan chd mapenz umeachana nae
mtangazaji una sauti nzuri ya kutangaza
Ngoja gigy akuskie
Daa imeniumiza sn wtt bado wadogo
hamisa Ni kijipendekesa tu mbona amekata kuchukua mtoto wake Na anateseka
Do inauma yn nalia utasema yn ndio kazikwa leo kumbe ni jn nalia km nn nakumbuka mbali
Imenitoa machozi😭😭
Daaar
Poleni sana 😭😭😭😭😭
Pole yao
Unaongea kama Millard Ayo
Usiombe yakukute
Pole sana Juh juh 😢😢
Ji
Hi
pole zamaradi ila nimejua kuwa Mungu alimaanisha kuwa anachukia kuachana Leo hii ulitakiwa umlilie kwa Uhuru ruge ila unashindwa unalilia tumboni lait ungevumilia kama ulivyoweza kumvumilia na ukaridhia kumzalia watoto 2 na kubebeana madhaifu yenu kwa upendo saizi watanzania wangekuwa wanakupa pole na wangukutazama kwa jicho la tatu hata viongozi WA nchi wangekutazama kwa jicho la tofaut.wanawake wenzangu kabla yakufanya maamuzi tujifikirie lengo letu ni nini na kwa nini ili kuepuka kukaa kikaangoni na kuwaweka watoto kigoda kisicho cha kwao.hasira haijengi
Kwakwel inaumiza bs tu😪
Pore sana dog kuondokewa na babaako sio mwisho
@@estermsafilimsafili7973 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
😢😢pole mwanangu..allah akupi kilema akakukosesha mwendo..kila jambo litaenda sawa kubwa kumshukuru muumba kwa kila jambo..kuondokewa kwa mzazi wenu sio mwisho wa kila kitu allah atakufanyieni wepesi kwa kila zito.
daah nimejikuta nalia