Poleni sana Ndugu zetu watanzania.We Ugandans grieve with you and we pray God to strengthen the family of Ruge in this difficult moment.We have lost a hero.
@Tracy Shad I am reading your comment just now. It's a year late, however my heart is touched to say sorry to you, to wish you strength, healing and restoration. God is with you.
Jikaze mummy dah inauma sana wallah ila hatuna budi kumshukuru ALLAH kazi ya mungu haina makosa Allah ndo mpangaji mbele etu nyuma ake njia etu sote Allah kareem Allah amlaze mahal pema pepon Insha Allah ewe Allah tusamehe waja wako dhaifu
Nandy mdogo wangu it is so painful ila hata mm I'm crying much after to see u ur crying to the mass ruge rest in peace even us were are passengers in that land
Inauma sana Ruge sijawahi kukuona live na nimeshachdlewa kukuona bro nitaendelda kukujua zaidi kupitia cm interview ulizofanya kipindi bado unapumua R.I.P bo tangulia nasi twaja njia ya wrote hiyo
Poleni wafiwa wte mbele yetu nyuma yake ni njia yetu sote ila inauma kuna mtu anapewa heshima zote na sifa zote ilihali mwenyewe haoni tuwe na utamaduni wakumpa heshima na sifa mtu akiwa bado hai nae akatambua anaumuhim kwa jamii nzima
Ukiitazama hii video kwa Makini Utagundua kweli Mungu hufanya Maamuzi yake Wakati wowote, Senior Emphrahim Kibonde alikuwa ndio Mstari wa mbele kwenye mazishi ya JasiriMwongozaNjia siku kadhaa tuu zilizopita.
😂khaaaa! Makubwa haya nacheka km mazuri! Kwamba RM angemuoa? Like serious? Mwanaume mwenye watt 5, kila mtt na mama ake? Aki Nandy sio mzima! Btw,pole sana nilikuwa najiuliza kwann ww ndo unaonekana na uchungu sn,kumbe!
R.I.P Kibonde juzi kwa Ruge Leo zamu yako akika mlikuwa mnapendana ila mungu kamipenda zaidi safal yenu ikawe na nuru mwendapo
Pole sauna nady
Nandi, you're a powerful gospel musician. Be increased by the Lord Nandy. Sorry for the loss.
Alie muona madam Rita akilia kavaa mtandio mweus na miwan gonga like twende sawa
a tip: watch movies at Flixzone. Been using it for watching all kinds of movies these days.
@Raphael Zion Yup, I've been watching on flixzone for years myself =)
@Raphael Zion yup, I have been using flixzone for months myself :D
Kama bado unajikuta apa ukimkumbuka ruge 2021 gonga like twende sawa
Mimi 2024 nipo
hadi huruma jamn pole sana Nandy Mungu awatie nguvu bt umenifanya nami nimelia
Maria Joseph
Poleen jamani inasaktisha xn
Km umemuona huyo aliyempa nandy maiki nae hayupo duniani nipe like yangu
Jmni si wote tutaondoka au,? Cha msingi we tengeneza njia yako
kibonde jamani
Like ya nn
Daaaaah eee mungu tupe mwsho mwema.hatujui cku sekunde saaa wal dakik ya kuondoka
Hahaaa
Poleni sana Ndugu zetu watanzania.We Ugandans grieve with you and we pray God to strengthen the family of Ruge in this difficult moment.We have lost a hero.
Dont cry, I lost my son and it has never been the same,I love God
@Tracy Shad I am reading your comment just now. It's a year late, however my heart is touched to say sorry to you, to wish you strength, healing and restoration. God is with you.
R.I.P shujaa wa kimataifa Ruge mungu akupunguzie adhabu ya kabur AMINA....
Pole sana Nandy Mungu Akupe wepesi katika kipind Hiki KiGumu &Familia ya marehemu...R.I.P RUGE MUTAHABA!!!
Never seen you again RUGE😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 alway we remember you
pole Sana nandy mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumi
Hakika ila kikubwa ni kumuomba Mungu ampokee mpendwa wetu Ruge
Pole xana nandyyy
Rip kibonge aliyempa Nandy kipaza sauti kama umemuona gonga like
Oum isha Baby kama namuona bado Yuko hai
Yaani nimelia zaidi
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 My heart is broken. And I didn't even know him apart from the media
just imagine the man who fix the mic now his dead ,lord I respect you
To sad
Polen wote waloguswa na mcba huu nandy pole sn huo wimbo wa huzun mno ata mejikuta niko kwenye machoz cjui mefikaje😢
Ashery Issa
Ashery Issa poleni
Ashery Issa gai heart , almost finished ,take heart my sister
Only God who can define love. .pole
What hurts more than being left by the loved ones??😭😭😭
Poleni ndugu zetu...Rwanda tunawapa pole
DEBORA UMWIZA Amiini
Amen
Asante sana mpenz
DEBORA UMWIZA asante sanaa
Ahsante
Poleni ndugu zetu. Kenya twawapa pole sana
Asanteni Wakenya
Pole mommy inaumiza sana BT mungu atupe moyo wa uvumilivu ktk kpnd kigum, pole Tz
I'm so sad on this one.I never met Ruge,but his demise has put me so down.May God rest him in eternal peace
All we should pray for him
nikumbushe mungu umenikung,uta mavumbi hakika ruge umwafungulia njia watu wengi
Nyimbo ya nani
Kumbe band alikua mtarajiwa wa boss jamani pole mama
Band ndo Nan?
😭😭😭😭E mungu msamehe madhabi yake
Shamsa Hussen amiini
Amen ninapenda San Hii wimbo wako
Pole kwakupoteza mpenzio inauma sana najua vumilia muombee alale kwa amani
Jikaze mummy dah inauma sana wallah ila hatuna budi kumshukuru ALLAH kazi ya mungu haina makosa Allah ndo mpangaji mbele etu nyuma ake njia etu sote Allah kareem Allah amlaze mahal pema pepon Insha Allah ewe Allah tusamehe waja wako dhaifu
R.I.P shujaa Ruge mtu wawatu😥😥😥
Hakika tutakumbuka Ruge daima
Please, i want the traduction french for the song. Sorry, i speek franch only
Pole sana mpenzi wang Nandy, kila nafsi itaonja umauti 😭😭😭
Oooooh ! Oooiii!😥 so painful indeed ,poleni sana
Rip ruge tutaenderea kukuombea n a kukumbuka kwa mchango wako mkubwa
Asanteni
Nakpenda sana Nandy
Kenya apa tuna sema pole 😭
🇰🇪
Daah poleni sana wafiwa wote kiukweli msiba umewagusa watanzania wite
I'm Muslim bt daaaaaaaaaah huruma sana cz kifo n kifo tu😭
Kweli maana mwanadamu
pole my nandy R.I.p ruge
Poleni sana familia na watanzania kwa kuondokewa na shujaa ruge
Polen sana watanzania tuko pamoja,, RIP RUGE
aki pole sana nandy mungu akutie nguvu jamani,ila usichoke na maisha msanii
M/mungu akulaze akulaze maala pema
Pole mdogo wangu
oooi so sad kibonde hangejua ni yy next may he rip
Nandy mdogo wangu it is so painful ila hata mm I'm crying much after to see u ur crying to the mass ruge rest in peace even us were are passengers in that land
True
Inauma sana Ruge sijawahi kukuona live na nimeshachdlewa kukuona bro nitaendelda kukujua zaidi kupitia cm interview ulizofanya kipindi bado unapumua R.I.P bo tangulia nasi twaja njia ya wrote hiyo
R I P ndugu yetu sote njia moja mungu akuweke njia ilo njooka amina
Nandy amelia hadi amepiga weusi chini ya macho..kwel kaumia sana
Mungu hakulaze mahali pema peponi shujaa ruge 😣😣
Pole sana Nandy pumzika kwa amani boss Ruge
Jamani nimemuona kibonde uuuuwi Nini hiki eee Mungu😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭
Polen San Nandy,rip ruge
Mungu awape subra ktk kipndi hik kigumu dunia mpitoo
Asante
Poleni saana kazi ya mungu haina makosa
Nadya Nadya p
Poleni wafiwa wte mbele yetu nyuma yake ni njia yetu sote ila inauma kuna mtu anapewa heshima zote na sifa zote ilihali mwenyewe haoni tuwe na utamaduni wakumpa heshima na sifa mtu akiwa bado hai nae akatambua anaumuhim kwa jamii nzima
Nandy iyo nyimbo inatia uchungu sanaa
unaimba kwa usiya dia,,,poleeee,rip rugeeee
poleni sana wafiwa mungu awatie nguvu kipindi hiki kigumu
Poleni sana mungu yupo pamoja Nas ame
Pesa na mapenzi lazima chozi likutoke
Daha pole san nandy njia ya kila mtu hii sawa mama
Pole Sana rafiki yangu zamaladi
Pengo lako alizibiki ruge 😭😭😭😭 2022
You feet gospel songs dear sister
Sure
Pole Nandy wangu
am really affected about this whole thing,from Kenya wish you peace ,rest in peace ruge.dearly loved
Anne Gichuki so sorry my sis nandi
Rest in peace Ruge 😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭rip ruge
Duh! Pole Nandy
Ukiitazama hii video kwa Makini Utagundua kweli Mungu hufanya Maamuzi yake Wakati wowote, Senior Emphrahim Kibonde alikuwa ndio Mstari wa mbele kwenye mazishi ya JasiriMwongozaNjia siku kadhaa tuu zilizopita.
Yaumiza😥😥😥 laiti angejua yumo safarini pia naye
Acha tu kaka
Kibonde nae kaenda daaar
It's too painful rest in peace 😢😢😢😢😢😭😭😭😭
Pole saana Nandy
Shukran nakijua hichi kinavyo chomoza from holland mifuko yakufungia wanunuwa wapi dear
Pole sanaa nandy
Kuuliza tu ... nasoma comment nyingi tu sana hapa wengi wanampatia Nandy pole kwani alikuwa mke wa marehemu??
Mke mtarajiwa
@@faybaibe9023 thx for the reply
Masikini
Hahahahahahaha umenifanya nicheke Kama mazur na mm sielew
😂khaaaa! Makubwa haya nacheka km mazuri!
Kwamba RM angemuoa? Like serious? Mwanaume mwenye watt 5, kila mtt na mama ake? Aki Nandy sio mzima!
Btw,pole sana nilikuwa najiuliza kwann ww ndo unaonekana na uchungu sn,kumbe!
pole sana nandy
Pole sana nandy 😭😭😭😭😭😭
Umeumia sana dd kwakwel polee
Pole sana Nandy
Nice nandy.
pole sote
Polen sanaaa daaah
Dah Nandy unaumia sana kumpoteza mpenz wako
Kibonde rip so sad indeed
2024 ruge kibonde gardna 😢😢😢
Nandy ana mapenzi ya dhati
Nyie wenzetu maombolezo yenu mazur hadi nyimbo,huu msiba au?
wakristo ndiyo vilio vyao vilivyo
Na Kibonde hakurud nyumban jmn.. Waleze pema pepon
Mola awatie nguvu dah! Nandy uneniliza sana jamani.
Poleni sana wafiwaa
Umoja wa 🇨🇩WAKONGOMANI- Houston- Texas/ USA🇨🇩 tunawapa pole jamihi nzima la watanzania kwamsiba huo. RIP RUGE 🙏
Asanteni
Rip from 254
Jamani huo wimbo unaliza Nandy
Pole Nandy
Nandy unajua sana kuimba rip ruge
am bleeding 😭😭😭
Mungu am ulaze mahali pema peponi
daaah ruge umetunyima ucngizi,,
Very painful
2024 rip ruge 😢
pole nandy na familia
Nakupenda Sana nandy natamani nije kukuona