wallhai nalia kira nikiingia mtandaoni pole tht poleni wafiwa wote pole wasanii wote na viongozi pia poleni tz hiyo na waliyo guswa na msiba huu nikiwa omani me pia nimeumia angarau nimemuona kwa mitandao tu mungu amraze maali pema lnshallah
Bado ni ndoto jaman,Ruge Ruge wewe nenda baba kwa utu wako Nina Imani Mungu atakusamehe Yale uliomkosea atakufurahia. Ruge umeniuma jaman basi tu. Asante Mungu
Dah Ruge aliiona dhahab kwenye tope akaitoa akaiosha kisha akaifuta sasa inang,aa Barnaba uajua sana, hisia zako zinachoma sana ona watu walivyotulia wakitafakar maneno yako, rest in peace Ruge
Inalillah wainalillah rajun Daah it xo pain barnaba unaliza jmn km asihara ila ndo unavyosimulia nenda kapumzike kwa aman ruge umeacha pengo halitazibika nenda kaka wa taifa
Dhambi ndio chanzo cha kifo wengi tunawapoteza. Kazi yake Mungu ndivyo ilivyo leo kwake Ruge kesho wewe na mimi. Mungu amuweke mahara Pema ema Peponi Amina. Mbele yetu yuma yake twaja.
Poleni nyote mlio guswa na msiba wa ruge, mungu amueke pahali pema peponi. Ishaa Allah mungu atakupokea kama watu wanavywo kukutambua uzuri na humuhimu wako. Rip
Kwa imani, siku moja utaonana na ndugu wanaokulilia leo hii.Ila ni pale tu watakapodumu katika kuyatenda mapenzi yake Mola Wawapo duniani bado. Pumzika kwa amani
Eee mungu watie nguvu wana tht wotee na watanzania kwa ujumla maana hili no pigo kwao na taifa kwa ujumla mungu tusaidi e mana dunia mapito 2 r.I.p ruge
Waliomchukia Ruge hawapendi kuambiwa ukweli wanapokosea wachache walimsema vbaya lakini umati wa watu tumempenda Ruge japo wengine tunamuona kwenye tv tuu
Pole sana barnaba mdogo angu kweli umeumia sana baba
Fantastic lyrics from barnabas from his heart.bravi wewe ni muimbaji kwelikweli wala sio kuungaunga.
Jmn mcba huu unaumiza sana Mungu mpoke ruge wetu na umsamehe makosa yake inauma sana kukupoteza kipenz Mungu tutie nguvu watanzania
Ummulikher Zuberi
pole sana tht aisee barnaba unaniliza hakika pigo kwa tz pole kwa family ya ruge mutahaba kazi ya mungu aina makosa.
Daah!! Hi ngomaa Kila nikiangaliaa naliaaaa
Ni ngumu kuamini poleni tht na watu wote walioguswa na msiba huu ,pumziko LA milele RUGE tutakukumbuka daima
Regina Francis
wallhai nalia kira nikiingia mtandaoni pole tht poleni wafiwa wote pole wasanii wote na viongozi pia poleni tz hiyo na waliyo guswa na msiba huu nikiwa omani me pia nimeumia angarau nimemuona kwa mitandao tu mungu amraze maali pema lnshallah
I'm find crying, take heart tanzanians 🇰🇪🇰🇪
Same case here aki na ata cmjui bh it hurts 🇰🇪🇰🇪
I'm feel crying take heart Tanzanian
pole Barnaba umeumia sn Mungu akupe wepesi ktk hili.
Barnaba kiboko aiseeee unaimba mpaka raha nasahau kama kuna msiba
Wallae,#pia mimi apa
😭😭😭😭 Barnaba unaniliza jamani😭😭😭😭 Ruge baba daima tutakukumbuka upumzike kwa amani
Barnaba unaimbaa vizuriii,,R.I.P Rings
Mtoto anaimba huyu kipaji pia anacho.Pole my Son Insha'Allah Mungu akutie nguvu.
Jamani tutende mema na kuwasaidia wanao hitaji msaada hatujui siku wala saa pumnzika kwa Amani.mpendwa
Bado ni ndoto jaman,Ruge Ruge wewe nenda baba kwa utu wako Nina Imani Mungu atakusamehe Yale uliomkosea atakufurahia. Ruge umeniuma jaman basi tu. Asante Mungu
BURUNDI tuwaunge Mkono Tz kwa kuwafariji,
Huu Msiba unaumiza sana, Mungu awatie Nguvu, Naumia sana, Poleni sna. Barnaba aaaaa😧😧😧😩😩😩
Barnaba umeniliza sana poleni kwa msiba mungu awatie nguvu R. I. P RUGE😭😭😭😭
Yani me kila nikimuanga barnaba nalia tu
Barnaba pole kaka pigo kubwa sana kwa t h t
Barnaba unaniliza,Ruge kweli jaman why ameondoka
Dah Ruge aliiona dhahab kwenye tope akaitoa akaiosha kisha akaifuta sasa inang,aa Barnaba uajua sana, hisia zako zinachoma sana ona watu walivyotulia wakitafakar maneno yako, rest in peace Ruge
I DON'T KNOW HIM BUT IT'S VERY PAINFUL POLENI SANA NYOTE WALIOGUSWA REST IN PEACE MR RUGE 🇰🇪 🇹🇿
Nimeumia Sana kwann watenda mema huondka mapema.mungu itie nguvu familia yake
Inalillah wainalillah rajun
Daah it xo pain barnaba unaliza jmn km asihara ila ndo unavyosimulia nenda kapumzike kwa aman ruge umeacha pengo halitazibika nenda kaka wa taifa
Dah jmn mungu awape nguvu tht barnaba jamn so sad bro
😭😭😭Pumzika kwa Amani boss ruge mbele yko nyuma ytu barnaba unani Fanya nalia pekeangu😭😭
Daaaah toka juz nashindwa kuandka chochote ila naona kama najidhurumu nafs yang daaah pole barnaba
duuuh pole sana barnaba, mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amen
RIP ruge sote tuko njia moja nyimbo inasikitisha kwakiasi kikubwa
Nimejikuta natokwa na machozi
barnaba pole pole kery
Hvi wanaodislike huwa wanaakl gan
Mungu akupe pumziko la milele ruge .pole sana barnaba
Mwenyezi Mungu awape nguvu na uvumilivu wanafamilia wote ktk kpnd hichi cha msiba
Kakaaang barnaba umeniliza cn pole cn kakaaang
Kitu kingine watu hawajui kwenye misiba ya watu ww uliyeita watu uwaimbie watu leo watu wanakuimbia ww .
pole sana adi nmejikuta nalia maskin ruge pumzika kwa aman pole sana barnaba mchaga mwenzangu
Poleni sana jamaa na marafiki
Wasaka tonge wengi wataumia kwani hapa Kuna Siri kubwa nyuma ya pazia.
Hassan Kidisa 😭
Nimejikuta Nalia Kwa Uchungu! 😭😭😭#Barnaba Umenitow Machozi 💔💔
Pole sana barnaba na wa Tanzania wote🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Dah!!! Barnaba umejua kuniliza
Niko burundi barnaba nakupendasana umenitowa machozi nawakati Ruge simujuwi
Pole sana Barnaba na familia ya marehemu
R.I.P Ruge
Barnaba boy classic pole ndo mapito
Eeeee barnaba kaumia nyie acheni tu analiza watu kama ruge ni baba yake mzazi mung ampe subla sana😢😢😢😢😢
Ruge ruge niko mbali bt bado naota ivi kweli umetoweka kaka bado naota wallah radhim
Dhambi ndio chanzo cha kifo wengi tunawapoteza. Kazi yake Mungu ndivyo ilivyo leo kwake Ruge kesho wewe na mimi. Mungu amuweke mahara Pema ema Peponi Amina.
Mbele yetu yuma yake twaja.
Mtu anaeumia unamjua anae act unamuona tht wote wameumia lkn barnaba ameumia zaidi..pumzika baba pumzika kipenz cha watu
Co kuumia tu Bali amewehuka pia mungu ampe nguvu tu
Uko sahihi barnaba yuko km kachanganyikiwa kwa huzun na maimiv
kwenye misiba ulikua unakusanya watu wawaimbie watu na leo wanakuimbia ww ruge haya maneno yameniliza sana pumzika kwa amani ruge wetu
Pole sana barnaba pole Tz😭😭Umetunyoosha kweli pumzika kwa amani Ruge
Daaah barnaba umeniliza sana hadi kichwa kinauma daaah R.I.P Ruge
Barnaba inaonyesh ameumia sana pole kaka mana unavyolia na mimi nalia
Hakuna dem mwenye anajua kuimba akapumzika you barnaba anaumia ila anajikaza tu..nyie mpo nakisema imba imba imba barnaba. Ivi hamuoni anaumia😭😭😭
Yaan inauma mno jamaani..wanasema tu imba hadi mtu adondoke
@@eveelia8424 wasema...anajikaza tu uyo barnaba ila anaumia sana
Poleni sana wapendwa nimejikuta nalia kwauchungu Ee mungu ilaze roho yake pema peponi baba yetu kipenzi Amina😭😭😭😭😭
Poleni nyote mlio guswa na msiba wa ruge, mungu amueke pahali pema peponi. Ishaa Allah mungu atakupokea kama watu wanavywo kukutambua uzuri na humuhimu wako. Rip
Poleni watanzania kwa ujumla..kazi yke mola haina makosa poleni sana
poleni sana wan tht mungu ailaze roho ya marehemu RUGE mahala pema peponi amen!
Duuuuh!!! barnaba umeniliza sana polen xana mungu awatie nguvu kipindi hik kigumu kwenu
Pore sana barinaba
It's So Painful Wallah 😭😭😭Allah Awape Nguvu Kwa Wakati Huu Mgumu Inshaallaah
pore sana Barnabas mains website mungu amaze maalipa pepon ruge amin
Daaa pole
pole broh kweli mmetoka mbali na Ruge pole sana
Niangaliaa hii nymbo huwa na lia sana😭
Poleni ndugu zetu wa TZ 😭😭
Jikaze barnaba jamani nashindwa kujizuia 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kwa imani, siku moja utaonana na ndugu wanaokulilia leo hii.Ila ni pale tu watakapodumu katika kuyatenda mapenzi yake Mola Wawapo duniani bado. Pumzika kwa amani
Dah! Roho inauma sana jamani poleni sana
RIP GENIUS
Inalilah waina ilah raajuun poleni sana
Amina Rashid
poleni wote mungu aiweke roho Pali pema
pumzika kwa amani baba mwanga was milele umwangazie pole sana barnaba
Nimejikuta nalia, pole sana kijana, poleni watanzania
Machozi yananitoka kila nikiusikiliza huu wimbo jaman
Aki ameniliza
Kichwa chahabari tofauti
Nimejikuta nalia
bele yako Yuma yetu lala salama kiongozi
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi ,Amin
@@fainesysota1293 Amiin
Poleni sana THT kwa kipindi hichi kigumu mnacho pitia
B boy umerudisha sana wema ule uliotendewa
RIP Ruge stay strong Tanzanians
I am from United States
dah barnaba so sad uliita watu waimbe Leo unaimbiwa we we du inaumiz rip ruge
Eee mungu watie nguvu wana tht wotee na watanzania kwa ujumla maana hili no pigo kwao na taifa kwa ujumla mungu tusaidi e mana dunia mapito 2 r.I.p ruge
dah inauma sana,pole sana jmn
Mimi simjui Ruge ila nimeliaa sana rip poleni sana tz
Ruge pumzika pema peponi...kenya
dudu baya alikua wapi akupata upako wa rugge
Waliomchukia Ruge hawapendi kuambiwa ukweli wanapokosea
wachache walimsema vbaya lakini umati wa watu tumempenda Ruge japo wengine tunamuona kwenye tv tuu
Ooooh jamani inaumaaaa amka please ruge
inaumiza sana.Machozi hayaishi kutiririka machoni.
Umelia kihalali kumbe aliyagusa kwa kiasi kikubwa maisha yako ya muziki
Pole sana Barnaba R.I.p Ruge
Nawapa ple Sana kwa wakati mlionao sasa
Pole familia, Pole Tanzania
Poleni saanaa saanaaa saanaaa Rest In Peace Ruge Mutahaba
Mmmmm inaumaaaa
R.I.P. kaka yetu ruge mutahaba
Dunia mapito sote tunapita mungu ailaze roho yake mahali pema panapo stahiki ad machozi yantoka
Inauma sana 😢😢
Polen sana
Dah........🙏🙏🙏
inauma sana, tenaaa sanaa
nimejikuta nalia sana r. I p ruge