Nlikua naskiliza interview na mke wangu, zile dakika 5 za mwanzo nikaanza kuskia mtu anasonya tu. Yaan eti dah mbahili sana huyu. Namwambia huyu mbishi ndio maisha yanayopendeza
Ni kweli kabisa .Barinabas umeweza unayosema ni yakweli.Mimi ni mama wa miaka 57.ninaunga mkono .Ml Moja ka matumizi ya nyumbani ni nyingi sana .unaweza it umia zaidi ya miezi mitano bila shida.
Nyie waandishi ndio mnachangia kuurudisha ukabila hata kichwa cha habar haikuwa na maana kuandika mchaga coz tz hatuna ukabila, sasa hiv ukabila unarud kwa kasi na madhara ya ukabila mnayajua oneni burundi, sudan, somalia n.k acheni ukabila umoja ni muhim kwa mtanzania, amani ni nguzo ya maisha acheni kupromot ukabila hakuna aliyebora juu ya mwenngine.
Barnaba hafake life huwa anaenda straight kabsa huo ndo UHALISIA WA Maisha ya kawaida,kazungumza ukweli kabsa maana MILIONI Moja ni mtaji WA mangi mtaani
Bajeti nimeielewa vzr, watu tunaoishi au tuloisha maisha ya hali zote hapa tunaelewana Na pesa ukiwa unaitafuta wewe mwenyewe, kama bado uko nyumban huwezi elewa
Barnaba anacho sema ni ukweli mtupu sio matani mpaka soko la mwana nyamara nisha mwona sio kama huyo sister anajishauwa na kujifanya boss wakati hana kitu tena amfikii barnaba kipesa huyo mama miyeyusho .anaonekana mwigiza maisha
😂😂😂😂, hautumii gesi, 60,000 , umeme,??! haujamlipa dada, sabuni, mafuta ya kula, Lita tano sasa ni karibia 40,000 na... laki mbili Kwa mwezi kweli?! Hauna mtoto anaekwenda shule kila siku umpe ela ya nauli na kula shule?! Kwa vitu vya sokoni Tu kweli laki mbili sawa, lakini si matumizi yote ya nyumbani
Heehehehehe hawa ndo wale wanaume wachoyo😂😂😂😂😂pole kwa mke wake Hakuna chapati 7 kwenye robo😂😂😂umeona..iyo ni kilo. wanaume wachoyo..wanaume wenye fitna na figisu,kwenda sokoni mwanaume ni sawa kabisa,lakini kwa style hii mmmh Huyu ndo mwanaume anakupimia hadi sukari 😂😂😂😂
Wenzangu na mm kama barnaba gonga like apoo
Mdogo wangu umetisha 🎉🎉🎉🎉 na bei anazijua on point robo ngano Chapati 7 umenikosha B 👏👏👏👏👏
IF MATURITY WAS A PERSON
NIMEMPENDA SANAA HUYU KAKA
MTAMCHEKA LKN ANANUFAIKA SANAAAA
Nlikua naskiliza interview na mke wangu, zile dakika 5 za mwanzo nikaanza kuskia mtu anasonya tu. Yaan eti dah mbahili sana huyu. Namwambia huyu mbishi ndio maisha yanayopendeza
😂😂
Barnaba wewe ni noma 😂😂😂😂😂binadam hutakiwi KUJIFANYA unajua kutumia pesa Kwa kutaka sifa
Yupo so really hakuna kufekisha maisha.. nimezidi kupenda
Big up kuna somo hapa.
REALISTIC
Nimeipenda hii safi👏👏
Et kina vidox na huyo manz wanshangaa as if wao maisha Yao yako juu
Ni kweli kabisa .Barinabas umeweza unayosema ni yakweli.Mimi ni mama wa miaka 57.ninaunga mkono .Ml Moja ka matumizi ya nyumbani ni nyingi sana .unaweza it umia zaidi ya miezi mitano bila shida.
Nakupenda wewe nimkweli
😂😂😂😂 eti una ma effect naipendaiyo kaka
Mfano mzuri wa kuiga❤
Safi Sana Boy hutafirisika huendesh na pesa ishi maisha hayo hayo utajir unakuhusu
Big up sanaa Barnaba
Kweli kabisaaa
Kama msani mwengine angesema one week one million
Safi Sanaa Mangi uko sawa
Mungu akubariki sna
Nakubali bro
Aaaah jamaa genius sanaaaa
Umetisha baba sikwabajeti yiyo
Kila superstar angeishi maisha ya uhalisia kama Barnaba daa wasingeishi maisha fake na ya kujiumiza,,,,big up barnaba
Ila yuko sahihi matumizi ya nyumbani m1 nyingi sana hadi umeme na maji unalipa ya muda sana
Umenifurahisha Sana Kama "celebrity" badget unaijua😂😂😂
✊🏾✊🏾
🔥🔥🔥
Really life sio licha ya uchaga tu mzee unazungumza ukweli
Huna muda wa kudanganya jamii ✍️✍️ akili nyingi
Kuna watu wangesema sado ya nyanya laki mbili vitu ambavyo si vya ukweli 😢😁
Yani uyu barnaba anachekesha sana
❤❤❤❤❤
Namkubali sana
Nyie waandishi ndio mnachangia kuurudisha ukabila hata kichwa cha habar haikuwa na maana kuandika mchaga coz tz hatuna ukabila, sasa hiv ukabila unarud kwa kasi na madhara ya ukabila mnayajua oneni burundi, sudan, somalia n.k acheni ukabila umoja ni muhim kwa mtanzania, amani ni nguzo ya maisha acheni kupromot ukabila hakuna aliyebora juu ya mwenngine.
Barnaba hafake life huwa anaenda straight kabsa huo ndo UHALISIA WA Maisha ya kawaida,kazungumza ukweli kabsa maana MILIONI Moja ni mtaji WA mangi mtaani
Saf San broo nimekuelewa.
Hamna mume hapa
Hii ni kweli kabisa
Mimi ni mchaga. Mimi mwenyew naban mpak penati
Bajeti nimeielewa vzr, watu tunaoishi au tuloisha maisha ya hali zote hapa tunaelewana Na pesa ukiwa unaitafuta wewe mwenyewe, kama bado uko nyumban huwezi elewa
anajua kweli hatarii😂😂😂😂
Izi nguo kaludia koz naona interview znapishana miezi afu nguo ni zile zile
Unyama
Barnaba Yuko sahihi
Safi chaliii bajeti muhimu, sio uchaga hat ni kujua maana ya maisha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂uweeeeeh
Ndimu moja mia????😂😂😂😂😂uku Kenya 🇰🇪 tatu ni shilingi kumi😂😂😂
Kumi ya Kenya ni 2k ya tz😅
@@lexusnambasita3086oooooh 😂😂😂
@@fredrickmaitha4427uchumi wenu n ovyo sana
😂😂😂 katisha sana hapo kwenye unga robo chapati saba kweri kabisa jana tu nimepika na zimetoka saba chapati za maji
Barnaba anacho sema ni ukweli mtupu sio matani mpaka soko la mwana nyamara nisha mwona sio kama huyo sister anajishauwa na kujifanya boss wakati hana kitu tena amfikii barnaba kipesa huyo mama miyeyusho .anaonekana mwigiza maisha
HUJAWAHI NIANGUSHA MDOGO WANGU NAKUPA CHIMBO LA NYAMA MOMBASA MACHINJIONI
Ajakosea nikweli kbsa
Muongo huyu haiwezekani vitu vya miez 3 au mi2 nyanya gani itadumu miez hyo au kuku gani huyo
😂😂😂😂😂😂
Wasanii wengi Tz Wana fake Maisha ili kuonekana Wana pesa Kumbe awana
😂😂😂😂, hautumii gesi, 60,000 , umeme,??! haujamlipa dada, sabuni, mafuta ya kula, Lita tano sasa ni karibia 40,000 na... laki mbili Kwa mwezi kweli?! Hauna mtoto anaekwenda shule kila siku umpe ela ya nauli na kula shule?! Kwa vitu vya sokoni Tu kweli laki mbili sawa, lakini si matumizi yote ya nyumbani
Kwan ges ni kila cku au hiyo shule ana lipa naur kila uki tulia uta muelewa zaid
Vtu unavyo zungumzia havitokei kila sku
Siyo sifa wala mapenzi mpe hela mkeo acha ubahili
Xwala la mecup naona frida kabak anatoa macho tu🤣🤣hana namna kimya, achen hayo makitu ndo mnakua bomba zaid mtu unaweka kope unakua kma mtt wa jini😃
Sio kweli robo ya unga ya ngano chapati 7 hapana kilo moja ndio chapati 14
za mayai znatoka 7
Ya maji
Kweli za mayai ni 7 za kusukuma 4
Itakuw wanakula chapati za maji hao😁
Ww na mwambs
Hamna kitu wewee 😸😸😸
Ebhanaee huyu jamaa Ni genius kama Mimi
Alooo...Pokea maua yako
INTERVIEW ILISHAPITA,,
Heehehehehe hawa ndo wale wanaume wachoyo😂😂😂😂😂pole kwa mke wake
Hakuna chapati 7 kwenye robo😂😂😂umeona..iyo ni kilo.
wanaume wachoyo..wanaume wenye fitna na figisu,kwenda sokoni mwanaume ni sawa kabisa,lakini kwa style hii mmmh
Huyu ndo mwanaume anakupimia hadi sukari 😂😂😂😂
Tunajbana il mbelen tuje kula mboga 7
Nikweli kabisa sisi ndio tunaishi hivyo mshahara wetu laki tatu kwa mwezi
Mmoja tuu? czcams.com/video/OhoDrsxAQlg/video.html
Kwenye kukopesha nikamimi bora nikupe bure kuliko kukopesha🙌
Mzee wa Kongoro- "Chapti, " Kinondoni, kwa Makala!