UTACHEKA: BARNABA ALIVYOPANGILIA MATUMIZI YA SHILINGI MILIONI MOJA KWENYE FAMILIA YAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 06. 2023

Komentáře • 79

  • @PrinceNoah-rz1kw
    @PrinceNoah-rz1kw Před rokem +15

    Wenzangu na mm kama barnaba gonga like apoo

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Před rokem +18

    Mdogo wangu umetisha 🎉🎉🎉🎉 na bei anazijua on point robo ngano Chapati 7 umenikosha B 👏👏👏👏👏

  • @happynessdavid7921
    @happynessdavid7921 Před rokem +16

    IF MATURITY WAS A PERSON

  • @happynessdavid7921
    @happynessdavid7921 Před rokem +7

    NIMEMPENDA SANAA HUYU KAKA
    MTAMCHEKA LKN ANANUFAIKA SANAAAA

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Před rokem +5

    Nlikua naskiliza interview na mke wangu, zile dakika 5 za mwanzo nikaanza kuskia mtu anasonya tu. Yaan eti dah mbahili sana huyu. Namwambia huyu mbishi ndio maisha yanayopendeza

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před rokem +6

    Barnaba wewe ni noma 😂😂😂😂😂binadam hutakiwi KUJIFANYA unajua kutumia pesa Kwa kutaka sifa

  • @iddsaid3039
    @iddsaid3039 Před rokem +2

    Big up kuna somo hapa.
    REALISTIC

  • @nurdininanjota4056
    @nurdininanjota4056 Před rokem +5

    Nimeipenda hii safi👏👏

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 Před rokem +5

    Et kina vidox na huyo manz wanshangaa as if wao maisha Yao yako juu

  • @restitutaleshabari3451
    @restitutaleshabari3451 Před rokem +2

    Ni kweli kabisa .Barinabas umeweza unayosema ni yakweli.Mimi ni mama wa miaka 57.ninaunga mkono .Ml Moja ka matumizi ya nyumbani ni nyingi sana .unaweza it umia zaidi ya miezi mitano bila shida.

  • @tamashaally8049
    @tamashaally8049 Před rokem +5

    Nakupenda wewe nimkweli

  • @elijahbaraka9470
    @elijahbaraka9470 Před rokem +2

    😂😂😂😂 eti una ma effect naipendaiyo kaka

  • @SwidatyOmary
    @SwidatyOmary Před rokem +2

    Mfano mzuri wa kuiga❤

  • @hidayapaulo6752
    @hidayapaulo6752 Před rokem

    Safi Sana Boy hutafirisika huendesh na pesa ishi maisha hayo hayo utajir unakuhusu

  • @Markhomestz
    @Markhomestz Před rokem +1

    Big up sanaa Barnaba

  • @mwanah3643
    @mwanah3643 Před rokem +2

    Kweli kabisaaa

  • @OmanOman-ry5gw
    @OmanOman-ry5gw Před rokem +3

    Kama msani mwengine angesema one week one million

  • @katalinamvanga1199
    @katalinamvanga1199 Před rokem +2

    Safi Sanaa Mangi uko sawa

  • @merypetro5585
    @merypetro5585 Před 11 měsíci

    Mungu akubariki sna

  • @MohamedAhmed-ns5mi
    @MohamedAhmed-ns5mi Před rokem

    Nakubali bro

  • @DreamBoy26-ol1xd
    @DreamBoy26-ol1xd Před rokem

    Aaaah jamaa genius sanaaaa

  • @user-up2yn2lo9f
    @user-up2yn2lo9f Před rokem

    Umetisha baba sikwabajeti yiyo

  • @naomihaika538
    @naomihaika538 Před 11 měsíci

    Kila superstar angeishi maisha ya uhalisia kama Barnaba daa wasingeishi maisha fake na ya kujiumiza,,,,big up barnaba

  • @geeva99
    @geeva99 Před rokem +1

    Ila yuko sahihi matumizi ya nyumbani m1 nyingi sana hadi umeme na maji unalipa ya muda sana

  • @abdallahkamilagwa9655
    @abdallahkamilagwa9655 Před rokem +1

    Umenifurahisha Sana Kama "celebrity" badget unaijua😂😂😂

  • @IvanClassicke
    @IvanClassicke Před rokem +1

    ✊🏾✊🏾

  • @SubirahJamson-tu7vx
    @SubirahJamson-tu7vx Před rokem

    🔥🔥🔥

  • @Runkiller1
    @Runkiller1 Před rokem +1

    Really life sio licha ya uchaga tu mzee unazungumza ukweli
    Huna muda wa kudanganya jamii ✍️✍️ akili nyingi

  • @Runkiller1
    @Runkiller1 Před rokem +1

    Kuna watu wangesema sado ya nyanya laki mbili vitu ambavyo si vya ukweli 😢😁

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Před rokem +2

    Yani uyu barnaba anachekesha sana

  • @aishaz1
    @aishaz1 Před rokem

    ❤❤❤❤❤

  • @ebakeichinge7081
    @ebakeichinge7081 Před rokem

    Namkubali sana

  • @user-rv7zt6tj3d
    @user-rv7zt6tj3d Před rokem +1

    Nyie waandishi ndio mnachangia kuurudisha ukabila hata kichwa cha habar haikuwa na maana kuandika mchaga coz tz hatuna ukabila, sasa hiv ukabila unarud kwa kasi na madhara ya ukabila mnayajua oneni burundi, sudan, somalia n.k acheni ukabila umoja ni muhim kwa mtanzania, amani ni nguzo ya maisha acheni kupromot ukabila hakuna aliyebora juu ya mwenngine.

  • @rizoibrahimovich605
    @rizoibrahimovich605 Před rokem +1

    Barnaba hafake life huwa anaenda straight kabsa huo ndo UHALISIA WA Maisha ya kawaida,kazungumza ukweli kabsa maana MILIONI Moja ni mtaji WA mangi mtaani

  • @naomchristopher
    @naomchristopher Před rokem

    Saf San broo nimekuelewa.

  • @mpangampanga1609
    @mpangampanga1609 Před rokem

    Hamna mume hapa

  • @tasukutechnologies2573

    Hii ni kweli kabisa

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Před rokem

    Bajeti nimeielewa vzr, watu tunaoishi au tuloisha maisha ya hali zote hapa tunaelewana Na pesa ukiwa unaitafuta wewe mwenyewe, kama bado uko nyumban huwezi elewa

  • @estermahenge-ks3dr
    @estermahenge-ks3dr Před rokem

    anajua kweli hatarii😂😂😂😂

  • @yusuphkayuni8188
    @yusuphkayuni8188 Před rokem

    Izi nguo kaludia koz naona interview znapishana miezi afu nguo ni zile zile

  • @ndogolofadhila6203
    @ndogolofadhila6203 Před rokem

    Unyama

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Před rokem

    Barnaba Yuko sahihi

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 Před rokem +1

    Safi chaliii bajeti muhimu, sio uchaga hat ni kujua maana ya maisha

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Před rokem

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂uweeeeeh

  • @fredrickmaitha4427
    @fredrickmaitha4427 Před rokem +1

    Ndimu moja mia????😂😂😂😂😂uku Kenya 🇰🇪 tatu ni shilingi kumi😂😂😂

  • @nuruyusuph5562
    @nuruyusuph5562 Před rokem

    😂😂😂 katisha sana hapo kwenye unga robo chapati saba kweri kabisa jana tu nimepika na zimetoka saba chapati za maji

  • @edwinamos9734
    @edwinamos9734 Před rokem

    Barnaba anacho sema ni ukweli mtupu sio matani mpaka soko la mwana nyamara nisha mwona sio kama huyo sister anajishauwa na kujifanya boss wakati hana kitu tena amfikii barnaba kipesa huyo mama miyeyusho .anaonekana mwigiza maisha

  • @vickyadrian1503
    @vickyadrian1503 Před rokem +1

    HUJAWAHI NIANGUSHA MDOGO WANGU NAKUPA CHIMBO LA NYAMA MOMBASA MACHINJIONI

  • @mmn7480
    @mmn7480 Před rokem

    Ajakosea nikweli kbsa

  • @allytwalibuhusseni9339

    Muongo huyu haiwezekani vitu vya miez 3 au mi2 nyanya gani itadumu miez hyo au kuku gani huyo

  • @amjudith
    @amjudith Před rokem

    😂😂😂😂😂😂

  • @frederickekyombo-pj3lc

    Wasanii wengi Tz Wana fake Maisha ili kuonekana Wana pesa Kumbe awana

  • @amenamen9752
    @amenamen9752 Před rokem +1

    😂😂😂😂, hautumii gesi, 60,000 , umeme,??! haujamlipa dada, sabuni, mafuta ya kula, Lita tano sasa ni karibia 40,000 na... laki mbili Kwa mwezi kweli?! Hauna mtoto anaekwenda shule kila siku umpe ela ya nauli na kula shule?! Kwa vitu vya sokoni Tu kweli laki mbili sawa, lakini si matumizi yote ya nyumbani

    • @salimalaquimane3077
      @salimalaquimane3077 Před rokem

      Kwan ges ni kila cku au hiyo shule ana lipa naur kila uki tulia uta muelewa zaid

    • @westcijosh
      @westcijosh Před rokem

      Vtu unavyo zungumzia havitokei kila sku

  • @silvergold5855
    @silvergold5855 Před rokem

    Siyo sifa wala mapenzi mpe hela mkeo acha ubahili

  • @bonphacearon2428
    @bonphacearon2428 Před rokem

    Xwala la mecup naona frida kabak anatoa macho tu🤣🤣hana namna kimya, achen hayo makitu ndo mnakua bomba zaid mtu unaweka kope unakua kma mtt wa jini😃

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Před rokem +1

    Sio kweli robo ya unga ya ngano chapati 7 hapana kilo moja ndio chapati 14

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před rokem

    Ww na mwambs

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 Před rokem +1

    Hamna kitu wewee 😸😸😸

  • @GabrielManjura-bm9se
    @GabrielManjura-bm9se Před rokem

    Ebhanaee huyu jamaa Ni genius kama Mimi

  • @hyacintagugu7
    @hyacintagugu7 Před rokem +1

    Alooo...Pokea maua yako

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před rokem

    INTERVIEW ILISHAPITA,,

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem

    Heehehehehe hawa ndo wale wanaume wachoyo😂😂😂😂😂pole kwa mke wake
    Hakuna chapati 7 kwenye robo😂😂😂umeona..iyo ni kilo.
    wanaume wachoyo..wanaume wenye fitna na figisu,kwenda sokoni mwanaume ni sawa kabisa,lakini kwa style hii mmmh
    Huyu ndo mwanaume anakupimia hadi sukari 😂😂😂😂

  • @DM_15
    @DM_15 Před rokem

    Nikweli kabisa sisi ndio tunaishi hivyo mshahara wetu laki tatu kwa mwezi

  • @johnnytravo
    @johnnytravo Před rokem

    Mmoja tuu? czcams.com/video/OhoDrsxAQlg/video.html

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před rokem +3

    Kwenye kukopesha nikamimi bora nikupe bure kuliko kukopesha🙌

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Před rokem

    Mzee wa Kongoro- "Chapti, " Kinondoni, kwa Makala!