Mwachi Mutahaba- Sifanyi kwa ajili ya kuwa celebrity au kujulikana / Nitamuheshimu Nandy Kama Dada
Vložit
- čas přidán 5. 08. 2024
- Clouds E imepiga stori na mtoto wa Boss Ruge Mutahaba "Mwachi Mutahaba", amefunguka mipango mingi ya kufanya kazi na Nandy...tazama hapa.
- Zábava
Ruge's and Nandy's handsome humble son...God bless you Mwachi plus your other young siblings...
This guy So humble...and smart Brain...
Nashauri Media zimwite MWACHI RUGE ITAKUWA BRAND NZURI SANA. BABA YAKE ALIKUWA RUGE MUTAHABA
Hongera kwa majibu mazuri naukalimu kama wa marehemu baba yako.mungu akupiganie
Respect to this Young Man son of Ruge Mutahaba, so humble and Smarter ,,,,,,yani kiufupi atafika Mbali mnoo kimaisha.
Saf Sana Kaka mwachi clouds20 💪
He's so Smart jamani...MUNGU Akuongoze
Great speech work hard nwachi
Mungu akuzidishie kaka mwach huna kibur
I lov u mwachi
Very smart
Humble
He is so cool ad humble
Safi sana.Good Interview
Good Good ..big up
Mwachi we mstaarabu sanaaa big up bro
I real love you Mwachi, live long dear
keep the ball rolling brother..humble and smart.
Nampenda sana uyu Kaka
Kazi nzur
Handsome boy manchaAllah
Respect bro
Very humble
Nice,, now unaonekana kwa Media
Great Mwachi
Mwachi uko vizuri sana
Christopher mhangila nasema asante
Kijana mtaratibu san sana
Mungu azid kukupambania
Love u mwachi
Jamaa yupo honest kinoma nilidhania atamtaja Nandy ila kataja wakali wake
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umejua kunifrahisha na unakalilivibayaaaaaa😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁🙌🙌🙌🙌🙌
unajibu vizur bro
big up
Mwachi mtt mpole sn pia hongera sn pigana maisha magumu sn ma brother
Vizuri sana
Ukovzuri
Mungu atakusaidia broo
Ni mpole like father like son
cintah Kundy kabisa
Good Boy
Yuko sawa
Napenda Mwachi akismile...anakaa vzuri kuliko akikunja sura
mm nmependa2 anavicheka😀
Like father like son..........kichwa kimetulia bwana anajibu haropoki......
Like dad like son
💪💪💪💪💪
Mwachi handsome guy,hardworking,humble,loving and faithful.I wish mi ndo ningekuwa huyo dem wako❤😂
Tuma Juma hata mm ni mwaminifu mbona sema nina sifa sana.
@@mgunyajunior1565 Hahaha acha sifa basi😂😂😂
Ahahhahahaha
Tuma Juma 🤣🤣🤣
Hata ukiwa nae hautaweza kuseto
Good boy
Napenda ukicheka unazidi kuwa hb
mamae madem wa kibongo
Nic
Anafanana sana babaake jaman
kuzaa mapema raha unaishi na mwanao kama mdogo wako....nimecheka aliposema aliambiwa nina mahusiano na Nandy ukimuona home usishangae..
Umeona eee bora namm nilizarisha mapema
Safi dogo vaa viatu
Jamaa yuko na busara aisee
Anaongea kiutaratibu na anauelewa hadi raha
Nc interview
Nice brother 👏👏👏👏
Malaysia kumemwalibu bro wangu... Wewe vp ulimaliza salama?
Kama wewe ni mpenzi wa simulizi za kweli na riwaya za kusisimua Subscribe me hutajuta.....
Good
Marioo mm mwnyw namuelw
😘😘😘😘😘😘😘😍
Namuona ruge jamn,
Mtangazaji anafanana na juma lokole
Mwachi ni mtu mtuliv san
Mtoto wa nandy☺
Kama babaake .sauti.upole
Mwanaidy Ibrahimu 😂😂😂😂😂
@@albeleenalberto158 😉😉
@@jeniclemence2747 khaswaa
Huyu jamaa yupo real hata Nandy hajamtaja
Mwanchi mungu yuko pamoja nawe
List yake ya wasanii anaowapenda imekaa kinafki
I love him
haya wale mlio sema mwachi tutakubaka mwachi kamaliza kilakitu leo anamaanisha kwake kumejaa kuleni kwa macho
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥🏃🏻♂️🏃🏻♂️🏃🏻♂️🏃🏻♂️🏃🏻♂️🏃🏻♂️🏃🏻♂️
MUNGU azidi kukuongoza Mwachi, katika shughuli zako, nakupongeza kwa upole kwasababu baadhi yetu ndio jadi yetu wahaya.
Acha uongo waha wanapenda sifa mno
Sio kweli
@@amanbarack2784 MIMI SIO MUHA KIJANA.
@@asiazuberi9722 SIO KWELI KIVIPI?
C kwl
Twende swax
Mh we kaka ungejua unavyotesa viruka ukuta Waleeee wa kubandika mikucha kama majini wapya na mikope kama vipande vya wigi
@Agripa Rose 😂😂😂😂😂😂...mbavu zangu mieeeee
Agripa Rose KkKkk
Hahahahhahahha nimecheka kwa nguvu
hahahahaa mamae umeongea ukwelii
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Gud
yumpole kama baba sauti zao ndogo
Kiukweli huu kaka ni mustaarabu ubarikiwe kaka
Kweli kabisa ni mpole kama baba yake hadi sauti
254 🇰🇪🇰🇪🤗
Aya.
Congratulations for gd Job Dj....keep it up
Hivi anafanya kazi clouds nae?
Tps
Ruge copy rithi na hekma za kaka ruge
Wa kwanzaaa
Safi sana mwanangu
Hiki kijamaa hakina heshima mama juju na nandy ni mama zake wadogo!!!!!!,
Usiseme nandy . .sema mumy aka mamdogo lol
Uscheke mwachi du!
Mchukue Nandy, km mipango ya mzee ilikwama ikamilishe wewe!!
OG Joh kkkkkkkk
OG Joh acha ufala ko. ww unaweza pitia demu aloppita babaako? acha ukuma
Huna akili hata chembe
Ogwo mfelaa
Amani Manase tuliza tako ww
Tunahitaji vijana wenye akil na utash kama huyu, ili Tz isonge mbele.
Aya.