NANDY BADO YUPO FITI AONESHA ANAVYOWEZA KUCHEZA NA KU-PERFOM KWENYE STAGE AKIWA MJAMZITO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 07. 2022

Komentáře • 150

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 Před 2 lety +28

    KIUKWEL nandy anayafurahia maisha kwa Sasa mung kampa ki2 Ving magar majumba Pesa Ndoa mtoto anataria Afya pia amshukur mung sana

  • @stelabrent6056
    @stelabrent6056 Před 2 lety +16

    siku ya kujifungua mtt anaruka tu kule maan mama anafanya mazoezi si hab hongera mway

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Před 2 lety +41

    Kumbe wakina Zari tunao na sisi.Big up Nandy wengine Mimba za kwanza huwa tunakoma wanaume. Hadi chooni unampeleka

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 Před 2 lety +2

    Hongera kipenzi mungu akusaidie ujifungue salama unajituma hongera umevaa vizuri nimependa ❤️

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Před 2 lety +9

    Mimba ya kwanza mtu hukuwa flexible 😉 sanaaa... nakupenda nandy 🥰🥰

  • @samwelmagita7744
    @samwelmagita7744 Před 2 lety +12

    She is a supper woman

  • @fatmaqhta8528
    @fatmaqhta8528 Před 2 lety +27

    Anafanya vizuri sana kwasababu mama mjamzito hatakikani kukaa Hongera nandy Unapiga tizi vizuri Allah akujalie ujifungea salama Inshaallah 💕💕💕🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 Před 2 lety +8

    Hapo hakuna haja ya baby mama dance ndio mtoto atoke, congrats nandy,we are in this together.pregnant too

  • @mongeramatondo1320
    @mongeramatondo1320 Před 2 lety +3

    Nakapenda haka ka mama kijacho,,, utajifungua mtoto wa kiume💕

  • @selinaemanuel1877
    @selinaemanuel1877 Před 2 lety +2

    Mungu atakufanyia wepesi unafika2 osptali unajifungua kwa mazoezi uko fiti ishallaah

  • @janepherkhisa1801
    @janepherkhisa1801 Před 2 lety +9

    Is Mandy carrying twins? as per Bilnass message in the song

  • @janerandu2622
    @janerandu2622 Před 2 lety

    Kiukweli nandy n mrembo,kando na urembo wake she's very strong 💪💪
    May God grant her more and more strength.

  • @mwanaishamkindi7763
    @mwanaishamkindi7763 Před 2 lety +6

    Hongera take anajitahid sanaaa

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 Před 2 lety +48

    Nandy kafungua ukurasa mpya, wa kuwafanya wanawake waone Mimba siyo sababu ya kumfanya mtu ajione kama kabeba Bomu, full kulala.

  • @dr.sarahbusongo
    @dr.sarahbusongo Před 2 lety +55

    Mtoto wetu atakuwa active Sana. Mimba ya kwanza ....Kama mama Hana shida yoyote ana afya nzuri tu. Hakuna haja ya kulala masaa mengi... Wenzetu nje na baadhi ya wengine ndani huku wanafanya workouts nyingi mno na hamna kibaya kinatokea. Hongera Sana. Mimba sio ugonjwa. Na hayo mazoezi unayofanya kwa kweli Mungu akutangulie ujifungue salama.

    • @menzalydia535
      @menzalydia535 Před 2 lety +2

      Kweli kabisaa😍

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Před 2 lety +2

      Yaani mm nalalaga masaa24 .namshangaa yeye aise...kiruu

    • @husseinyappi9330
      @husseinyappi9330 Před 2 lety +1

      Angalie asizae kabichi

    • @dr.sarahbusongo
      @dr.sarahbusongo Před 2 lety +1

      @@husseinyappi9330 Hilo nalo neno.... But trust me... Sisi tunaona anatoil Sana hapo kumbe anapata muda wa kupumzika mwingi tu.

    • @dr.sarahbusongo
      @dr.sarahbusongo Před 2 lety +1

      @@masalakulwa7601 poleee. Ni mtu na mtu sio kosa.

  • @Asiamohammed1317
    @Asiamohammed1317 Před 2 lety +1

    Time wapambanaji tujuane hakuna cha honeymoon wala kupambana ni ahadi yetu, go baby girl 🥰

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 Před 2 lety +8

    It's part of mazoezi na hospitali wanaambiwa wakafanye mazoezi hivo kuzaa kwake kutakua Kwa rahisi sana

  • @elilumbakenneth4273
    @elilumbakenneth4273 Před 2 lety +5

    That's cute ndo mazoezi hayo

  • @assaabdulla1031
    @assaabdulla1031 Před 2 lety +2

    Nandy hongera sana bado uko strong ndio inavyotakiwa safi sana

  • @princemozes9923
    @princemozes9923 Před 2 lety

    Hongersa. sana Nandii. Kuwa MKIRISTO kuolews kanisani👍

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 Před 2 lety +13

    Hahahaha billnenga anaangalia anajua alichosababisha kwa Nandy

  • @aaliyahholden9282
    @aaliyahholden9282 Před rokem +1

    She’s trying her best no one let her down in the name of Jesus

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 2 lety +4

    Mara paap juukwaa linashuka sijui mtaniambia nini wifi yangu akiumia mtalipa

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 2 lety

    Pambe sana🙌🙌🙌🙌🙌

  • @halemamoon1782
    @halemamoon1782 Před rokem

    Ama kweli...mwanamke kujiamn...bg lv kwako sister nandy

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Před 2 lety

    Safi mazoez muhim my mungu akujarie ujifungue salama

  • @neemabatraham1073
    @neemabatraham1073 Před 2 lety

    Vizuri sana mimba sio sababu yakubweteka na kudekadeka mimba ikikaa Vizuri hakuna stress lakini ikikujia Vibaya utaona Kama Dunia imekuzila kaza mamaaa nimoja ya zoezi iyoo safiiiii

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Před 2 lety +2

    Dj umeharibu Saunde

  • @lifeingermanywithirene
    @lifeingermanywithirene Před 2 lety +4

    Salalaaaa 🙆‍♀️

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Před 2 lety

    Strong Mama mtoto mda wote anacheza tyuuuuuu

  • @EreswidaNyaki-gv3gi
    @EreswidaNyaki-gv3gi Před rokem

    ❤ uko poaw Sana we dad

  • @nataemsuya
    @nataemsuya Před 2 lety +3

    Watu wenye asili ya uvivu na wasiojua kuwa afya na pumzi ni neema/fursa wataona Nandi ni wa ajabu/wa pekee.Kuna watu hata kutembea tu ni shida.Wanajivuta km Chatu na wakat ni wazima.

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Před 2 lety +3

    Kipo imara chenyew
    Wow. Mungu akuongeze kipenz.

  • @ShadhiraHasani
    @ShadhiraHasani Před 3 měsíci

    Waoooo

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Před 2 lety +2

    Hongera

  • @martharugwana2130
    @martharugwana2130 Před 2 lety +1

    Nandy tupo pamoja sana

  • @leilaassey1726
    @leilaassey1726 Před 2 lety +2

    Wapare kazini safi

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 Před 2 lety +2

    Love nandi😍😍😍😍

  • @babunuru5397
    @babunuru5397 Před 2 lety

    Manshallah

  • @sarahfrancis3955
    @sarahfrancis3955 Před rokem

    Good job

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 Před 2 lety +1

    Mpaka maji yamwagike akiwa jukwaani anapiga show

  • @saraphinajoely7047
    @saraphinajoely7047 Před 2 lety

    Kipenz changu nakupenda ila usichoke Sanaa

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 Před 2 lety

    Ikobyekabisa namimba good

  • @ashurahaji4794
    @ashurahaji4794 Před 2 lety +8

    Tunakuombea sana najisikia furaha mimi jamani

  • @bahatiagape731
    @bahatiagape731 Před 2 lety

    Mtoto akizaliwa atakuwa kisheru 😃🏃

  • @happinessjohansen5707
    @happinessjohansen5707 Před 2 lety +2

    Kazi kazi mama ila haka kawimbo napona hatari 🥰

  • @mandelasway3930
    @mandelasway3930 Před 2 lety

    Amejitahid Sana hongera

  • @yakobolusasu1821
    @yakobolusasu1821 Před 2 lety +2

    Sasa hapo kafanya nn cha kutishaa hizo si kazi za kawaida mimba cy ugonjwa labda kama ile ambayo umeshauliwa na dactari usifanye kazi lakin kama haina shida mie mwenyewe napambampana mpaka ck ya mwisho

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Před 2 lety

    Ila anajitahidi jamani mmmh

  • @suzansechonge8497
    @suzansechonge8497 Před 2 lety

    Mungu azidi kumpigania

  • @angelmumy1178
    @angelmumy1178 Před 2 lety

    Kanacheza Hadi rahaaa

  • @emanuelkamangu6500
    @emanuelkamangu6500 Před 2 lety

    Safi mama kija

  • @nellykahandiro4278
    @nellykahandiro4278 Před rokem

    Wajitegemea mwenyewe Na mume wako dada ,siyo kwamba mumeo Ana vuma Ila wewe ni zaidi mama

  • @ireneathuman5227
    @ireneathuman5227 Před 2 lety +2

    Mnaweza kuona hii iko sawa nisema tu kwahili hiyo kwa afya ya mtoto sio sawa

  • @saidhassan7779
    @saidhassan7779 Před 2 lety +1

    YOTE NJEE HIYO

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 Před 2 lety +1

    Nandy kidogo awe Kama Kora Obid lol

  • @ridhiwanikhalifa9036
    @ridhiwanikhalifa9036 Před 2 lety +2

    huyo mtoto atazaliwa amechoka sana

  • @wandengatare9036
    @wandengatare9036 Před 2 lety

    Ongera nandy akika ww ni shupavu

  • @timanyere9052
    @timanyere9052 Před 2 lety +3

    Huyu mtoto ni msanii mkubwa sana haya mambo yuayapenda ndo mana hasumbui...alafu ni mtoto wakike huyu mtakuja nambia ..

  • @raphaelpaul3280
    @raphaelpaul3280 Před 2 lety

    Huyo aangalie misifa na kutafuta pesa vitamfanya uchungu umshike jukwaani aendelee tu ,

  • @husseinyassin1026
    @husseinyassin1026 Před 2 lety +5

    Mtot atazaliwa akiwa amechoka mama mapitoa anayo pitia anajuta huko tumboni

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Před 2 lety

      Mazoezi hayo kwani muda wote anacheza.mpk anafanya hivyo kashaenda hospital nakupwa maelekezo

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 Před 2 lety

    Safi sana,hayo ni Moja ya mazoezi

  • @nuratyyatima5707
    @nuratyyatima5707 Před 2 lety

    Ndio vizuli mazoez ayo pia

  • @joachimompesh7387
    @joachimompesh7387 Před 2 lety

    Ajiangalie asije jifungulia jukwaani maana pesa haina mwisho.

  • @nduwimanadidjaaimee5964

    Aki nandy nakukubal wamoja hata coooni tunapelekwa 🤣🤣🤣🤣kuoshwa kama watoto 😂😂😂

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 Před 2 lety +1

    Watu mbona n wachache lkn?

  • @ablashaffy2860
    @ablashaffy2860 Před 2 lety

    Hiv live za hapa bongo zina siri gan? Live maana ake vyombo vipigwe na msanii aimbe live lkn hapa huwa naona mzik ulioimbwa studio unawekwa then msanii anafuatsha...Makubwa.

  • @harmonymattondo4042
    @harmonymattondo4042 Před 2 lety

    Jamaa hayuko confortable kabisa

  • @marymchonji9479
    @marymchonji9479 Před 2 lety

    Msichana amevaaa white aiii apana ni nani

  • @ndayushimiyerungarunga8712

    Mimba ya ujana bado ananguvu

  • @hawaaomar5148
    @hawaaomar5148 Před 2 lety

    Huyu nae apumzike sasa majukwaa yenu hayo mara yaangusha watu😅❤️🙏

  • @user-hl2rt4hk3v
    @user-hl2rt4hk3v Před 2 lety +5

    Huyu alifanya harusi akiwa na mimba? Majabu ya kizazi hiki

    • @winfridagama5832
      @winfridagama5832 Před 2 lety +1

      Wewe Hauna dhambi mbona umesengenya hapo

    • @EK-kp2np
      @EK-kp2np Před 2 lety +1

      Dini yako siyo ya wote, fuata yako

    • @user-hl2rt4hk3v
      @user-hl2rt4hk3v Před 2 lety

      @@winfridagama5832 afadhali wewe ulie jaliwa na nehema ya kfunya dhambi ya kusudi,na tena mwenza siko hapa Kwa mabishano wala kutetea dhambi nitaikemea dhambi siku zote za uhai wangu,Kwa sababu Alie nikomboa na damu yake ni ya dhamana sana sitaenda jinsi ulimwengu unavyo enenda ilia Kwa njia zake Mwenyezi Mungu na kuakikisha na mpendeza si ni upendeze ulimwengu,kama wewe unatetea dhambi endelea kutete Acha Mimi niendele kukemea,IPO siku kilamtu atapata taji ya kazi yake mwenyewe.

    • @user-hl2rt4hk3v
      @user-hl2rt4hk3v Před 2 lety

      Kwa nini unaumwa na mambo yasio kuku husu ninafahamu ulimwengu ni makao yako Mimi ni mpitaji Tu endelea kutamba na kutawala,kila mahali.

    • @winfridagama5832
      @winfridagama5832 Před 2 lety

      @@user-hl2rt4hk3v wewe kila mtu na Imani yake, Sasa huku inatafuta nini,so utafute mihazara utazame.Zehebu lake limemruhusu,Sherie za dini yetu sisi tunajua na wewe.

  • @khadijaothman990
    @khadijaothman990 Před 2 lety

    Weka na mda Wa mapumziko

  • @kulwastima3993
    @kulwastima3993 Před 2 lety +1

    Hapa ndo utaona utofauti wa mke wa Dar na mikoani mimba kubwa unapga misele unataka uzalie njian

  • @irakozekurusum8116
    @irakozekurusum8116 Před 2 lety +1

    😀😀😀😀😀😀😀

  • @hellenpaul2149
    @hellenpaul2149 Před 2 lety

    ❤❤❤🌹🌹🙏🙏

  • @user-qm6uw7cy8v
    @user-qm6uw7cy8v Před rokem

    F

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 Před 2 lety +2

    Huyu nahisi anaona kama hyo mimba inamuharbia tu

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 Před 2 lety

      Jamani kwani kabakwa cnimamuzi usimpe mtu majibu yako wewe

    • @humphreyvidonyi253
      @humphreyvidonyi253 Před 2 lety

      @@edinakyaruzi9226 edna hvi kweli ni sahihi anavyofanya

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před 2 lety

      @@humphreyvidonyi253 ni moja ya mazoez pia

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před 2 lety

      @@humphreyvidonyi253 ata siku akiwa labor anaweza asipate shida sana.

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 Před 2 lety +1

      @@humphreyvidonyi253 mimi ujauzito wa1 nilikuwa cna pakujidai Mme wangu alikuwa chuo hana pesa nilipiga kazi hospital moja ivi prvt awataki kujifuta umechoka pisha wengine nilipig kz ambazo adileo huwa najiuliza 😱 ila nilikuwa poa na nilijifungua bila shida mimba2 mmewangu alikuwepo nikadeka tupesa tupo niliona cha moto labour

  • @ticasitegeta5809
    @ticasitegeta5809 Před 2 lety

    Mimba siyo ugonjwa

  • @ip_header
    @ip_header Před 2 lety +1

    Lol

  • @Official83640
    @Official83640 Před 2 lety +2

    Nandy ana tumbo kubwa pengine ht miezi 7 haijafika wengine tumbo km hilo tunaenda leba 9 ishafika

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Před 2 lety

      Duh bas una tumbo zuri..mm hapo.minne tu🤣

    • @Official83640
      @Official83640 Před 2 lety

      @@masalakulwa7601 Duh pole sie wengine matumbo yetu tunajulikana mimba zina miezi 5 ndy mtu ana gundua tena kwakukuhisi akija kutaamaki tayri

    • @josephinepeters909
      @josephinepeters909 Před 2 lety

      Billnas kasema mapacha

    • @user-fv2sn7js7g
      @user-fv2sn7js7g Před 2 lety

      @@masalakulwa7601 mmmmhhh mm hata kuiona mpaka my8 njo uone imevimba kabisa

  • @festoobadia7364
    @festoobadia7364 Před 2 lety

    Mimba ya taifa

  • @shukranndeleye1844
    @shukranndeleye1844 Před rokem

    .

  • @abuubakarkichimbo9957
    @abuubakarkichimbo9957 Před 2 lety

    Ngoja huyo mtoto achuke uanze kulia hapo

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 Před 2 lety

    Anajikaza tu kutaka kusifiwa Kama mimba wote tumebeba inafika mahali mimba Kama yake n kukaa kujipumzisha mazoez madogo dogo y Kaz za nyumbn Ila huyo nandi anaroho wa Ela n kujikaza kisabuni😏

    • @magrethkasunzu9578
      @magrethkasunzu9578 Před 2 lety

      unataka akae nyumban mbona tupo wengi sasa namkubali mazoez tosha