Mtoto wetu atakuwa active Sana. Mimba ya kwanza ....Kama mama Hana shida yoyote ana afya nzuri tu. Hakuna haja ya kulala masaa mengi... Wenzetu nje na baadhi ya wengine ndani huku wanafanya workouts nyingi mno na hamna kibaya kinatokea. Hongera Sana. Mimba sio ugonjwa. Na hayo mazoezi unayofanya kwa kweli Mungu akutangulie ujifungue salama.
Vizuri sana mimba sio sababu yakubweteka na kudekadeka mimba ikikaa Vizuri hakuna stress lakini ikikujia Vibaya utaona Kama Dunia imekuzila kaza mamaaa nimoja ya zoezi iyoo safiiiii
Watu wenye asili ya uvivu na wasiojua kuwa afya na pumzi ni neema/fursa wataona Nandi ni wa ajabu/wa pekee.Kuna watu hata kutembea tu ni shida.Wanajivuta km Chatu na wakat ni wazima.
Sasa hapo kafanya nn cha kutishaa hizo si kazi za kawaida mimba cy ugonjwa labda kama ile ambayo umeshauliwa na dactari usifanye kazi lakin kama haina shida mie mwenyewe napambampana mpaka ck ya mwisho
Hiv live za hapa bongo zina siri gan? Live maana ake vyombo vipigwe na msanii aimbe live lkn hapa huwa naona mzik ulioimbwa studio unawekwa then msanii anafuatsha...Makubwa.
@@winfridagama5832 afadhali wewe ulie jaliwa na nehema ya kfunya dhambi ya kusudi,na tena mwenza siko hapa Kwa mabishano wala kutetea dhambi nitaikemea dhambi siku zote za uhai wangu,Kwa sababu Alie nikomboa na damu yake ni ya dhamana sana sitaenda jinsi ulimwengu unavyo enenda ilia Kwa njia zake Mwenyezi Mungu na kuakikisha na mpendeza si ni upendeze ulimwengu,kama wewe unatetea dhambi endelea kutete Acha Mimi niendele kukemea,IPO siku kilamtu atapata taji ya kazi yake mwenyewe.
@@user-hl2rt4hk3v wewe kila mtu na Imani yake, Sasa huku inatafuta nini,so utafute mihazara utazame.Zehebu lake limemruhusu,Sherie za dini yetu sisi tunajua na wewe.
@@humphreyvidonyi253 mimi ujauzito wa1 nilikuwa cna pakujidai Mme wangu alikuwa chuo hana pesa nilipiga kazi hospital moja ivi prvt awataki kujifuta umechoka pisha wengine nilipig kz ambazo adileo huwa najiuliza 😱 ila nilikuwa poa na nilijifungua bila shida mimba2 mmewangu alikuwepo nikadeka tupesa tupo niliona cha moto labour
Anajikaza tu kutaka kusifiwa Kama mimba wote tumebeba inafika mahali mimba Kama yake n kukaa kujipumzisha mazoez madogo dogo y Kaz za nyumbn Ila huyo nandi anaroho wa Ela n kujikaza kisabuni😏
KIUKWEL nandy anayafurahia maisha kwa Sasa mung kampa ki2 Ving magar majumba Pesa Ndoa mtoto anataria Afya pia amshukur mung sana
siku ya kujifungua mtt anaruka tu kule maan mama anafanya mazoezi si hab hongera mway
Kumbe wakina Zari tunao na sisi.Big up Nandy wengine Mimba za kwanza huwa tunakoma wanaume. Hadi chooni unampeleka
🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁😁
Kuna mimba ua zinakuja nashda sanaaa sidhan kama UA numakususi
😄😄😄😄
Hongera kipenzi mungu akusaidie ujifungue salama unajituma hongera umevaa vizuri nimependa ❤️
Mimba ya kwanza mtu hukuwa flexible 😉 sanaaa... nakupenda nandy 🥰🥰
Noooo sio Kila mtu
She is a supper woman
Anafanya vizuri sana kwasababu mama mjamzito hatakikani kukaa Hongera nandy Unapiga tizi vizuri Allah akujalie ujifungea salama Inshaallah 💕💕💕🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akubaliki sana kwakazi nzuli
Hapo hakuna haja ya baby mama dance ndio mtoto atoke, congrats nandy,we are in this together.pregnant too
Me too we r in the same lane
Nakapenda haka ka mama kijacho,,, utajifungua mtoto wa kiume💕
Mungu atakufanyia wepesi unafika2 osptali unajifungua kwa mazoezi uko fiti ishallaah
Is Mandy carrying twins? as per Bilnass message in the song
Kiukweli nandy n mrembo,kando na urembo wake she's very strong 💪💪
May God grant her more and more strength.
Hongera take anajitahid sanaaa
Nandy kafungua ukurasa mpya, wa kuwafanya wanawake waone Mimba siyo sababu ya kumfanya mtu ajione kama kabeba Bomu, full kulala.
Hahahahahaa eti bomu
Kabisaa kabisaa kipenzi nawashangaa wanaomtukana
Kwakwel
Mkeo alikuwa analala sana nini😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mtoto wetu atakuwa active Sana. Mimba ya kwanza ....Kama mama Hana shida yoyote ana afya nzuri tu. Hakuna haja ya kulala masaa mengi... Wenzetu nje na baadhi ya wengine ndani huku wanafanya workouts nyingi mno na hamna kibaya kinatokea. Hongera Sana. Mimba sio ugonjwa. Na hayo mazoezi unayofanya kwa kweli Mungu akutangulie ujifungue salama.
Kweli kabisaa😍
Yaani mm nalalaga masaa24 .namshangaa yeye aise...kiruu
Angalie asizae kabichi
@@husseinyappi9330 Hilo nalo neno.... But trust me... Sisi tunaona anatoil Sana hapo kumbe anapata muda wa kupumzika mwingi tu.
@@masalakulwa7601 poleee. Ni mtu na mtu sio kosa.
Time wapambanaji tujuane hakuna cha honeymoon wala kupambana ni ahadi yetu, go baby girl 🥰
It's part of mazoezi na hospitali wanaambiwa wakafanye mazoezi hivo kuzaa kwake kutakua Kwa rahisi sana
M/Mungu akipenda. In Sha Allah
That's cute ndo mazoezi hayo
Nandy hongera sana bado uko strong ndio inavyotakiwa safi sana
Hongersa. sana Nandii. Kuwa MKIRISTO kuolews kanisani👍
Hahahaha billnenga anaangalia anajua alichosababisha kwa Nandy
😃😃😃😃
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 true
She’s trying her best no one let her down in the name of Jesus
Mara paap juukwaa linashuka sijui mtaniambia nini wifi yangu akiumia mtalipa
Pambe sana🙌🙌🙌🙌🙌
Ama kweli...mwanamke kujiamn...bg lv kwako sister nandy
Safi mazoez muhim my mungu akujarie ujifungue salama
Vizuri sana mimba sio sababu yakubweteka na kudekadeka mimba ikikaa Vizuri hakuna stress lakini ikikujia Vibaya utaona Kama Dunia imekuzila kaza mamaaa nimoja ya zoezi iyoo safiiiii
Dj umeharibu Saunde
Salalaaaa 🙆♀️
Strong Mama mtoto mda wote anacheza tyuuuuuu
❤ uko poaw Sana we dad
Watu wenye asili ya uvivu na wasiojua kuwa afya na pumzi ni neema/fursa wataona Nandi ni wa ajabu/wa pekee.Kuna watu hata kutembea tu ni shida.Wanajivuta km Chatu na wakat ni wazima.
Kipo imara chenyew
Wow. Mungu akuongeze kipenz.
Waoooo
Hongera
Nandy tupo pamoja sana
Wapare kazini safi
😋😋😋
Love nandi😍😍😍😍
Manshallah
Good job
Mpaka maji yamwagike akiwa jukwaani anapiga show
Kipenz changu nakupenda ila usichoke Sanaa
Ikobyekabisa namimba good
Tunakuombea sana najisikia furaha mimi jamani
Mtoto akizaliwa atakuwa kisheru 😃🏃
Kazi kazi mama ila haka kawimbo napona hatari 🥰
Amejitahid Sana hongera
Sasa hapo kafanya nn cha kutishaa hizo si kazi za kawaida mimba cy ugonjwa labda kama ile ambayo umeshauliwa na dactari usifanye kazi lakin kama haina shida mie mwenyewe napambampana mpaka ck ya mwisho
😂😂😂😂
Ila anajitahidi jamani mmmh
Mungu azidi kumpigania
Kanacheza Hadi rahaaa
Safi mama kija
Pumnzika nandi mtoto atachoka sana
Wajitegemea mwenyewe Na mume wako dada ,siyo kwamba mumeo Ana vuma Ila wewe ni zaidi mama
Mnaweza kuona hii iko sawa nisema tu kwahili hiyo kwa afya ya mtoto sio sawa
YOTE NJEE HIYO
Nandy kidogo awe Kama Kora Obid lol
huyo mtoto atazaliwa amechoka sana
Apana
Ongera nandy akika ww ni shupavu
Huyu mtoto ni msanii mkubwa sana haya mambo yuayapenda ndo mana hasumbui...alafu ni mtoto wakike huyu mtakuja nambia ..
Mimi naona wa kiume maana mvumilivu hasumbui.
Wakiume angalia alivyovimba uso
Wa kike huyo😂
Nakuunga mkono ni wa kike kweli
Huyo aangalie misifa na kutafuta pesa vitamfanya uchungu umshike jukwaani aendelee tu ,
Mtot atazaliwa akiwa amechoka mama mapitoa anayo pitia anajuta huko tumboni
Mazoezi hayo kwani muda wote anacheza.mpk anafanya hivyo kashaenda hospital nakupwa maelekezo
Safi sana,hayo ni Moja ya mazoezi
Ndio vizuli mazoez ayo pia
Ajiangalie asije jifungulia jukwaani maana pesa haina mwisho.
Aki nandy nakukubal wamoja hata coooni tunapelekwa 🤣🤣🤣🤣kuoshwa kama watoto 😂😂😂
Watu mbona n wachache lkn?
Ushaambiwa wanajaribu
Hiv live za hapa bongo zina siri gan? Live maana ake vyombo vipigwe na msanii aimbe live lkn hapa huwa naona mzik ulioimbwa studio unawekwa then msanii anafuatsha...Makubwa.
Jamaa hayuko confortable kabisa
Msichana amevaaa white aiii apana ni nani
Mimba ya ujana bado ananguvu
Huyu nae apumzike sasa majukwaa yenu hayo mara yaangusha watu😅❤️🙏
Huyu alifanya harusi akiwa na mimba? Majabu ya kizazi hiki
Wewe Hauna dhambi mbona umesengenya hapo
Dini yako siyo ya wote, fuata yako
@@winfridagama5832 afadhali wewe ulie jaliwa na nehema ya kfunya dhambi ya kusudi,na tena mwenza siko hapa Kwa mabishano wala kutetea dhambi nitaikemea dhambi siku zote za uhai wangu,Kwa sababu Alie nikomboa na damu yake ni ya dhamana sana sitaenda jinsi ulimwengu unavyo enenda ilia Kwa njia zake Mwenyezi Mungu na kuakikisha na mpendeza si ni upendeze ulimwengu,kama wewe unatetea dhambi endelea kutete Acha Mimi niendele kukemea,IPO siku kilamtu atapata taji ya kazi yake mwenyewe.
Kwa nini unaumwa na mambo yasio kuku husu ninafahamu ulimwengu ni makao yako Mimi ni mpitaji Tu endelea kutamba na kutawala,kila mahali.
@@user-hl2rt4hk3v wewe kila mtu na Imani yake, Sasa huku inatafuta nini,so utafute mihazara utazame.Zehebu lake limemruhusu,Sherie za dini yetu sisi tunajua na wewe.
Weka na mda Wa mapumziko
Hapa ndo utaona utofauti wa mke wa Dar na mikoani mimba kubwa unapga misele unataka uzalie njian
😀😀😀😀😀😀😀
❤❤❤🌹🌹🙏🙏
F
Huyu nahisi anaona kama hyo mimba inamuharbia tu
Jamani kwani kabakwa cnimamuzi usimpe mtu majibu yako wewe
@@edinakyaruzi9226 edna hvi kweli ni sahihi anavyofanya
@@humphreyvidonyi253 ni moja ya mazoez pia
@@humphreyvidonyi253 ata siku akiwa labor anaweza asipate shida sana.
@@humphreyvidonyi253 mimi ujauzito wa1 nilikuwa cna pakujidai Mme wangu alikuwa chuo hana pesa nilipiga kazi hospital moja ivi prvt awataki kujifuta umechoka pisha wengine nilipig kz ambazo adileo huwa najiuliza 😱 ila nilikuwa poa na nilijifungua bila shida mimba2 mmewangu alikuwepo nikadeka tupesa tupo niliona cha moto labour
Mimba siyo ugonjwa
Lol
Nandy ana tumbo kubwa pengine ht miezi 7 haijafika wengine tumbo km hilo tunaenda leba 9 ishafika
Duh bas una tumbo zuri..mm hapo.minne tu🤣
@@masalakulwa7601 Duh pole sie wengine matumbo yetu tunajulikana mimba zina miezi 5 ndy mtu ana gundua tena kwakukuhisi akija kutaamaki tayri
Billnas kasema mapacha
@@masalakulwa7601 mmmmhhh mm hata kuiona mpaka my8 njo uone imevimba kabisa
Mimba ya taifa
.
Ngoja huyo mtoto achuke uanze kulia hapo
Anajikaza tu kutaka kusifiwa Kama mimba wote tumebeba inafika mahali mimba Kama yake n kukaa kujipumzisha mazoez madogo dogo y Kaz za nyumbn Ila huyo nandi anaroho wa Ela n kujikaza kisabuni😏
unataka akae nyumban mbona tupo wengi sasa namkubali mazoez tosha