BAHARIA YUZO: MAISHA YA MELINI/ NILICHOMWA MOTO/ WALIJUA NIMEKUFA/ NILIENDESHA MELI PEKEE YANGU-03
Vložit
- čas přidán 28. 11. 2023
- Ni historia ya kustaajabisha ya kijana aliyepata misukosuko ya kimaisha tangu akiwa nchi kavu, baba yake mzazi alimtamanisha maisha, kutokana na hali ngumu ya kiuchumi ya nyumbani kwao.
Aliishi na mama yake kwa kipindi kirefu huku baba yake mzazi akipotea kwa zaidi ya miaka miwili, alisoma kwa tabu mpaka alipoamua kujitoa kafara kwa ajili ya familia yake, ili iishi vizuri.
Maisha yake ya shule hayakuwa rafiki sana, kutokana na uhalisia wa kilichokuwa kikimsibu tangu nyumbani kwao, endelea kuifuatilia story hii kwa undani, ili kujua nini kilimtokea kijana huyu aliyependa maisha ya melini tangu akiwa na umri mdogo!
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#baharia #mbanga #dupamdupange
Kwa mahitaji ya nguo zenye chapa ya "Kabunyau" wasiliana nasi popote ulipo kupitia namba zetu,...0764368113...na ..0717 066207...&..0653127761
mama kaongea vizuriiii sanaaa
Ii historia INSPIRATION ..BIG UP DUPA KWA SAILOR
Akuna kama mama Love ❤❤♥️♥️🙌
Katika stori hii sijasikia akizungumziwa yule demu wake ukweli ni kuwa mama zetu wanafasi kubwa sana japo sometimes tunajisahau
Mama ni mama
Story inaumiza sana😢😢😢😢
Mama ni mama❤
Dah pole sana broo😢
Life lessons..pamoja saana as long upo hai bro
Mama ni mama upendo wa mama ❤
Mama pokea maua yako kwa ujasiri❤❤
Aisee pole sana duuu nawachukia sana wezi
Salute NYINGI SANA SIMBA WA BAHARINI
Ihii story imenipain Mm natokea pande izo za madafu ukonga" Ata mmi ili waigi kunikuta Ila kwa upande wangu ni kweli nilikua mwizi Na nilitAka kuchomwa moto maeneo ya msongora" Mungu mwema tusiache ibada
Daaaaaah duniaa😢😢😢😢😢
Mbanga hatari sana hii 😔
Inshallah Mungu atamlipia
Dah sio poa aiseeeh😢😢😢
MORE LIFE CHAMPION. ALWAYS GOD DID.
😭😭😭Hii story imeniliza sana
Inagusa sana aisee mwamba amepitia magumu sana ila Mungu ni Mungu tu Mwamba yupo hai
Pole Baharia.
Umechelewa Leo mzee wangu dupa wa kwanza
Dupa Embu fanyeni kitu kwa Bob cut 😊
Daaaaa Allah akuweke kkaa
MAMA
Sound track ya hovyo
Machozi hayaishi yan
🥺🥺
Keep up brother
Mama hakuna kama mama
😭😭😭
Nyengine
😭😭😭😭
Jifunze kupokea cm
Yoyote geni inayo ingia
Kwenye cm NA PIA CM
YA MKONONI UWA AIZIMWI
MUDA WOTE SAWA WE MAMA UKIIYANGALIA INTERVIEW IH KUPITIA SMS
Bro pole sana😢
😢😢😢😢
Dah🤦♂️
Mitihani ya dunia
Nuff Respect Sebo
Kaleeee ssebo