AZAMIA Meli na kwenda ULAYA akiwa DARASA la tano, ATOSWA kati kati ya BAHARI, Gwiji la MABAHARIA Tz

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #bahariakaliope
    TAZAMA SEHEMU YAKE YA PILI KUPITIA LINK HII.... • Anusa KIFO akiburuzwa ...

Komentáře • 367

  • @vincentayua9435
    @vincentayua9435 Před 2 lety +10

    Safi Sana hapo jamaa kapitia mitihani kibao duniani, kipaji kikubwa alikuwa nacho he just needed one to inspire and promote his great talent to be on a positive side of history, a real linguistic man

  • @HashimShereem
    @HashimShereem Před 24 dny

    So Smart original sailor brother kaliope

  • @JustinSteven-be4cs
    @JustinSteven-be4cs Před 10 měsíci +6

    Cjui kwanini Tanzania Makampuni makubwa Ya movie yanashindwa kuja kuwekeza.. Hz story za mabahalia n mzr mno.. Nataman Kuona hata movie moja yenye story hz.. Wenzetu ghana washatoa film kama hzo

  • @peterswai391
    @peterswai391 Před 2 lety +8

    Haaa ikajipendekeza meli moja hivi, salute esco Nice exclusive interview

  • @nahishakiyeassuman5541
    @nahishakiyeassuman5541 Před 2 lety +12

    Tunafurai sana brother ani esco ani ayo ndio tuanitaji vipidi kama ivyo brother ani merci beaucoup Esco from France 🇨🇱🇾🇹🇾🇹🇾🇹🇾🇹

    • @kingalyeko7576
      @kingalyeko7576 Před 2 lety

      Frm France wewe tunakuja huko

    • @nahishakiyeassuman5541
      @nahishakiyeassuman5541 Před 2 lety +1

      @@kingalyeko7576 okay Sawa vizuri sema saivi nipo apa Mayotte nimekuja kumuona wife na yeye niende naye France

    • @majidhussen5576
      @majidhussen5576 Před 2 lety

      msalimie Jasco keko hapo mayote

    • @hugholinemmasi1671
      @hugholinemmasi1671 Před rokem

      @@kingalyeko7576 KUTEMBEA NI KUJIFUNZA ZAIDI YAKUSOMA.VIZURI SAANA.

    • @daynahringo3389
      @daynahringo3389 Před rokem +1

      Embu toka apaa kama hakunogei unaangalia ya nini kwendraaaaaaaaaaaaa

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Před 2 lety +6

    Ndiyoooo mwambaaaaa ndugu yangu Kaliope mwenteweee daaa tumekumisi sana Ugiriki ndugu yangu

  • @mahamud-tech-channel
    @mahamud-tech-channel Před 2 lety +12

    😂😂😂 yaani huyu mzee akiona meli tuu anachanganyikiwa akili

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Před 2 lety +11

    Huyu mwamba ampate zembwella ,babuuuuuu zebwela njooo umuhoji baaria tufurahi shooo esco bwana mabaharia wanastory hao anatakiwa muhun mwenzie zembwela

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před 2 lety +3

      Ampate Zuwena,hebu njoo unihoji na mimi zuwena.huyu siyo mzee ni maisha tu yamempiga apunguze majukumu abaki na mawazo

    • @abrahamfelix95
      @abrahamfelix95 Před 6 měsíci

      zembwela akuhoji ww unatosha,,,, kwani uyu alogundua fulsa kuhoji mabaharia ajitambua wabongo tupunguze ujuaji

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Před 2 lety +7

    Kaliope kweli kazeeka amesahau bandari ya kiamari ipo Karachi Pakistani na ndio alikoachwa. Hadith ya kweli kaliope nimeishi nae uko ushenzini.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Baharia mwenzangu huyo muhamedi kaliope nimeachanae mumbei mwaka 92 tukakutana tena Athens ugiriki baharia Og huyo 🇹🇿🇬🇷

    • @harunione19
      @harunione19 Před 2 lety

      nifanyie mpago nami

    • @stickyrhymes
      @stickyrhymes Před 2 lety +1

      Wapi baharia kinyale wa kinondoni moscow

    • @charlesgeorge9549
      @charlesgeorge9549 Před rokem +2

      Ivi kwanini mabaharia wengi wakirudi Tanzania wanakua hawana pesa tena?

    • @blacknesaya744
      @blacknesaya744 Před rokem

      ​@@charlesgeorge9549kwasababu Wana kuwa huku na kule hawatulii sehem moja kufanya maendekeo

    • @blacknesaya744
      @blacknesaya744 Před rokem

      Mawasiliano na wewe broo

  • @youngsizarama7161
    @youngsizarama7161 Před 2 lety +10

    Salute mkuu sisi tupo sana uku aturudi tena....

    • @johnmichaellukindo21
      @johnmichaellukindo21 Před 2 lety +2

      Nasisi pia kutokea Spain!

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před 2 lety +2

      🤣🤣🤣🤣

    • @leoncjohn4515
      @leoncjohn4515 Před 2 lety +2

      Uko nchi gan kaka

    • @luifdls6217
      @luifdls6217 Před 2 lety +1

      kwanini ?😂😂

    • @youngsizarama7161
      @youngsizarama7161 Před 2 lety +3

      @@luifdls6217 bongo nimeteseka sana Nikita historia yangu naweza kulia ilifikia kipindi nilikuwa nikatwe mguu hospital ya temeke kisa nimeteuka mguu lakini nikakimbia nasasa nipo ulaya nipo vizuri tu na ndio maana sitorudi tena

  • @rashidialiuwali939
    @rashidialiuwali939 Před 2 lety +2

    nimefulahi sana hii story salute Kaka yetu baharia

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 2 lety +8

    Hawa ndio mabaharia kweli, sio unajiita baharia hata Bahari huijui... discharge book huna...!...unasafiri Nchi kavu unajiita baharia..!

  • @Marzzzzzz20
    @Marzzzzzz20 Před 2 lety +8

    Story nzuri sana inavutiaaaaa.... ilaaa,Kuna vitu tumemiss kwenye hii story, reaction ilikuaje wakati anarudi kwa mara ya kwanza nyumbani baada ya kupotea ghafla....maisha yake kwa ujumla ukiachana na kusafiri na kufanya kazi uko ughaibuni yalikuaje?? A lot of important infos tunazi Miss

    • @mwafrikaelcapitano6669
      @mwafrikaelcapitano6669 Před 2 lety +1

      Anahitaji kuimprove sana katika kupata taarifa pindi anapomuhoji mtu, kwa bahati mbaya ni msiba wa watangazaji wengi vijana; hawajifunzi.

    • @ulimbombonaulindi5088
      @ulimbombonaulindi5088 Před 2 lety

      Uandishi siyo profession, na hana kipaji tumsamehe tu.

    • @user-ds7ho1my4u
      @user-ds7ho1my4u Před 6 měsíci

      Karimela Kariope tikanisi es manga puisele, egho Ngariba esi kache mazi Man

  • @mariandesario6468
    @mariandesario6468 Před rokem +4

    Duh! Umezunguka dunia asee! Kama mimi Kigoma kibondo, kilimanjaro, Arusha, shinyanga, mara, Singida na Dar 🤣🤣🤣🤣🤣yaani eti ndio nimetembeea

  • @bonita329
    @bonita329 Před 2 lety +13

    Ila ndugu ni wabaya sana.. watu wanaoishi ulaya mostly of them wametendwa wote🤦🏽‍♀️
    plus mimi hapa🤨
    kazi yao kudhumuru jasho la mtu..
    dah kaka nimekuelewa kabisa pole sana i hope soon utatoka huko upate kuishi na familia yako iliyobakia hapa urope.

  • @cristinasofla5090
    @cristinasofla5090 Před 2 lety +5

    Napenda sana story za mabahalia

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 Před 2 lety +8

    Baada ya miezi miwili tutaomba urudi kinondoni ukamuangalie kama ameondoka au bado yupo na gamba lake mkononi.😂😂😂😂😂

    • @aminumengo2123
      @aminumengo2123 Před rokem +1

      Ss hivi c km zamani kazi zenyewe hakuna , na port kuingia shida wengi wanakimbilia South na wakipata. bahati ukichukuwa trip ugiriki , aitaly , Canada.

  • @reginakirway3626
    @reginakirway3626 Před 2 lety +6

    Siku nyingine maswali yawe sehemu kubwa kuliko story ndeeeefu yani mda ni mali pia 🫂

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Před 2 lety +6

    Uyu mze kwell msafir 🏆💯

  • @batungwanayojonathan3009
    @batungwanayojonathan3009 Před 2 lety +5

    Ulitusahau kwerl tuna penda sana hizi store

    • @herbertygeofrey2724
      @herbertygeofrey2724 Před 2 lety +4

      Tukutane bandarini dar es salaam kiongozi tule Melissa chaap na baharia wetu

  • @johnngowi8334
    @johnngowi8334 Před 2 lety +5

    mzee katembea sehem nying sanaaa

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 2 lety +4

    Story Nzuli Jamaa Kuoji Ajui

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 Před 2 lety +20

    Huyu mzee katembea sanaa 🙌

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Před 2 lety +5

    STORRY NZUR ILA MTANGAZI KAHARIBU SANA KIPINDI BAADA YA KUULIZA MASWAILI YA KUJENGA WATU TUJIFUNZE YEYE KIPINDI KIZIMA ANATAKA KUSKIA LUGHA TUU TUMEKOSA MAMBO MENG SAANA KWA HUYU MZEE , Poor , POOR POOR MTANGAZI UMENIKERA SANA WEWE MTANGAZAJI HUFAI KABISA NI BORA SKY ANGEMHOJI HUY MZEE

  • @dionsangoa1428
    @dionsangoa1428 Před 2 lety +5

    Aliyesikia sa hiv naruka ila wakinichelewesha nakamata meli🤣

  • @kheriramadhan4603
    @kheriramadhan4603 Před 2 lety +5

    Story Yake Nzur Sanaa

  • @jumalakers7832
    @jumalakers7832 Před 2 lety +5

    Uko sahihi baharia wafilipino ndiy roho chafu sanaa

  • @benhamza5649
    @benhamza5649 Před 2 lety +6

    THE PIRATE OF BONGO

  • @Smithdaob1
    @Smithdaob1 Před 2 lety +8

    Barnaba moto kweli🤩

  • @Baba_Ben.
    @Baba_Ben. Před rokem +2

    Naona kama mtangazaji umechemka hivi mwishoni. Maswali yako yamekijikta kwenye kumuuliza maswali ya kutaka azungumze lugha za tofauti wakati baharia mahojiano yanatakiwa kujikita kwenye adventures alizopitia na si kuongea kwa lugha tofauti

  • @christercheru8328
    @christercheru8328 Před 2 lety +3

    Naomba uondoke namimi Mombasa..dada wa kazi za nyumbani. Na usindoke na kina Abdul wanatafuta na mama zao zanzibar

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 2 lety +4

    mimi najisikia poa
    kinoma nomaaa nnavyo
    sikia story kama izo
    maana kama naangalia movie

  • @Re-Post1
    @Re-Post1 Před 2 lety +22

    Story nzuri, ila ni vyema kama utatumia mic mbili kwa clarity nzuri ya sauti

  • @elijahm.muthini
    @elijahm.muthini Před 2 lety +2

    Asante kwa kurudi hapa gulf tulikuwa tumeboeka sana

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Před 2 lety +4

    Mtangazaji mpaka ukawa unaboa... sasa akijibu kwa lugha nyingine una unachokijua?

  • @suntzu8959
    @suntzu8959 Před 2 lety +14

    Uzuri ukifananisha Mara nyingi na wengi huyu mzee alikua akiwashawishi tu wenye meli anapiwapiga lugha, sio kujificha kwenye meli na kuibuka

  • @boblatino3899
    @boblatino3899 Před 2 lety +6

    Jamaa ana mengi sana ila ndugu mwandishi ajajua Jinsi ya kumuoji kuna seaman language mwandishi inabidi haijue asiwe anaoji kama anaongea na zito kabwe

  • @user-zk8pd6wq1z
    @user-zk8pd6wq1z Před 11 měsíci

    My favorite job

  • @benjaminmike9778
    @benjaminmike9778 Před 2 lety +7

    Et kamekufa katoto kenyew, mzee kavu sana😅

  • @anuaryhussenihussen8074
    @anuaryhussenihussen8074 Před 5 měsíci

    Mr kaliope huyo baharia kitambo tulikutana Moldova na Russia Mara ya mwisho nakutanae Italy

  • @sinaloa5698
    @sinaloa5698 Před 2 lety +2

    Mchawi ndugu by tundaman
    Ndugu lawamaa wengi wa mtoni wamefelishwaa na ndugu zao

  • @Bob-kz2ql
    @Bob-kz2ql Před rokem +1

    Huyu ndio baharia sasa kwamb kashaacha chapa ugiriki na anarudi😂😂😂sio mabaharia wakisharud bongo ndio basi tena…2023 bado tunamcheki Rais wetu wa baharia Mzee Kaliope😊

  • @dullahgsm1002
    @dullahgsm1002 Před 2 lety +2

    Wallah kaka yuhu mzee asa ana stor nzuri san kuliko wooote

  • @traderramakhalifa
    @traderramakhalifa Před 2 lety +4

    Mtangazaji hapa hujachimba inavyotakiwa ilitakiwa akupe experience ya kutosha lugha za nn sasa

    • @dangotee5051
      @dangotee5051 Před 2 lety

      Wwe ulikua wapi uje umsaidie

    • @EstherMedda
      @EstherMedda Před 2 lety

      @@dangotee5051 jifunze kukubali makosa na kufanyia kazi ushauri

  • @ramadhaningazi9105
    @ramadhaningazi9105 Před rokem +1

    Baharia mwenzangu OG kitambo saana

  • @ngido255
    @ngido255 Před rokem +1

    Napenda sana story za safar km hv mala dizonga,turkey,Greece co poa

  • @dicktv8762
    @dicktv8762 Před 2 lety +6

    Oya naomba namba ya huyo baharia

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Před 2 lety +6

    48:34 🤣🤣😂😂🤣🤣🤣 baaariaaa kalewaaa dah kwell watoto jau

    • @Project1986p
      @Project1986p Před 2 lety +2

      😂 hata mi nimecheka ila jamaa ana akiri nyingi.

    • @salim02tv24
      @salim02tv24 Před 2 lety +1

      @@Project1986p Sanaaa alaf story yke ndef saana ilaa mdaa autosh 👏👏

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Před 2 lety +3

    Nic

  • @majdmbonde6716
    @majdmbonde6716 Před rokem +1

    Father WA mtaaa big up sana gogo street

  • @amirimuhsin560
    @amirimuhsin560 Před rokem +2

    Anapatikana wap huyu mzee mm pia natamani niende nae stolwey

  • @mwasa_tv
    @mwasa_tv Před 2 lety +2

    mabaharia ni noma

  • @irmgardsamia1827
    @irmgardsamia1827 Před 2 lety +2

    Aiseee ni noma

  • @jeromejosiah7292
    @jeromejosiah7292 Před rokem +1

    Ngoja nitafute namna ya kuzamia huko mm nitajifanya msomalia

  • @lucianoluciano6795
    @lucianoluciano6795 Před 2 lety +2

    ...lkn pia sky huyu mwamba anajua sana usiegemee sana kwa Chris

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 Před 2 lety +2

    Mwandishi pls jaribu kila swali ulize na mwaka ndio inakoleza storry

  • @salimjahdhami7184
    @salimjahdhami7184 Před 2 lety +2

    Salaam

  • @kipsangpeter8126
    @kipsangpeter8126 Před rokem

    Natamani nikuone kaliope .....story nzuri Sana 😊

  • @barakaekuro
    @barakaekuro Před 2 lety +3

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Před 2 lety +4

    Hongereni SnS,hiv vipindi vikali sana vya story za kuzamia mamtonii🤣,endeleeni kutuletea hiz stori za waliozamia au wanotaka kuzamiaa

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina Před 2 lety +6

    Mzee anaongea kama anatumia dawa za kulevyaa 🤔 nawaza tuuu...

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 Před 2 lety +4

      Waza upya, huyo angekua anatumia madawa kwa umri alionao asingekua na afya hiyo.
      mzee kaishi maisha yakisela sana, na mazingira aliyoishi uhuni mwingi ndo maana anaongea kihuni sana 😅😅😅
      Na uhuni sio kutumia madawa, kuna wahuni, ukauzu wote lakini wanaishia kwenye sigara.

    • @ibraton4071
      @ibraton4071 Před 2 lety +1

      @@khadijajuma7142 kwani hujamsikia alikua anavuta madawa skiza paka mwisho

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 Před 2 lety

      @@ibraton4071 Sawa ntairudia sijasikia

    • @davidpaschal778
      @davidpaschal778 Před 2 lety

      Ujaskia kwamba kz zake ni mambo yetu yle na anataftwa miak7

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 Před 2 lety +1

      @@davidpaschal778 Tatizo nilikua nasikiliza huku niko na story nyingine 😁😁😁nilisikia tu anatafutwa ndo maana karudi kwanza home then atarudi baada ya miezi 2.
      Ntairudia.

  • @kapondomanda2654
    @kapondomanda2654 Před 2 lety +11

    Please naweza nikapata number yake??

  • @brunofernandez6608
    @brunofernandez6608 Před 2 lety +3

    Big up leta mastory mengine

  • @salumufx1851
    @salumufx1851 Před 2 lety +7

    Meli ili jipendekeza kwa baharia😂😂

  • @haniffa9024
    @haniffa9024 Před 2 lety +6

    czcams.com/video/X4WuktNJEl0/video.html
    DAWA YA KUFARAKANISHA..*#*# czcams.com/video/X4WuktNJEl0/video.html

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 Před 2 lety +6

    Tatizo kubwa linawaponza WaTanzani wengi ni kutothamini elimu na ndio maana wanatumika vibaya sana hususan wakiwa ughaibuni. Nimekutana nao wengi ughaibuni wanahangaika mno !!!!

    • @dullyjabri8393
      @dullyjabri8393 Před 2 lety

      Tatizo sio kutothamini elimu. Tazama mfumo wa tz wa elimu wengi tumienda kanumba school. Lugha tumejifunza nchi za watu

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 Před 2 lety

      @@dullyjabri8393 Kanumba School ndio ipi hebu nielekeze mimi mKenya lugha hio siipati!

    • @dullyjabri8393
      @dullyjabri8393 Před 2 lety

      Shule za watoto masikini mnafundishwa kiswahili tu .

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 Před 2 lety

      @@dullyjabri8393 Ooooh...Poleni sana majirani zetu! Lazima watu wakubali kwenda na wakati na kuelewa ulimwengu ulivyo, uzalendo ni sawa ila ni muhimu pia kujua elimu haina cha uzalendo bora akili ijue inachokihitaji!

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 2 lety

      @@lenniefei6710 Elimu ya aina gani ebu fafanua vizuri hapa ,

  • @yuscostainless5770
    @yuscostainless5770 Před 2 lety +6

    Absolutely sea power

  • @iradukundamike5370
    @iradukundamike5370 Před 2 lety +3

    Uyu mze kweri ari zunguka inci sns tunaka vipindi kama hivyo japo ata kwa wiki mara moja ao 2

  • @MrErick100000
    @MrErick100000 Před 2 lety +1

    Sijui stori hii kama mtanzania au kipidi ndani ya tv ya kitanzania inasaidia nn, tuanza kujifunza kuwa wazalendo kwanza. Am proud tanzanian 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem +1

      mpumbavu wewe unauzarendo gan viongozi wenyewe hawana uzare ndo wewe unazungumzia uzalendo gan? kama huwezi kusikiliza pita kule

    • @8pistons194
      @8pistons194 Před rokem

      Umeshakata tamaa ya maisha ww

    • @MrErick100000
      @MrErick100000 Před rokem

      @@sifatiiman ukikuwa utapata akili

    • @MrErick100000
      @MrErick100000 Před rokem

      @@8pistons194 zamia na wewe

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem

      @@MrErick100000 kwendaaaaaaa mbwa wewe

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před rokem +1

    Jitahid kuuliza maswali ya msingi bro..but good work

  • @vairasiv4228
    @vairasiv4228 Před 2 lety +4

    Msamatika...

  • @peterahure3851
    @peterahure3851 Před 2 lety

    Sns mnaajili watu wasio na elimu ya kuhoji na kujua v2 vya msing kiufupi baharia ana meng san lakn mtangazaj anashindwa kuhoji anakazania lugha2 mamae zake

  • @drmalley483
    @drmalley483 Před 2 lety +2

    Presenter huijui bunge primary kweli we mjini mgeni hata maswali nayo huijui kuhoji

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 Před 2 lety +3

    Esco unafanya kazi nzuri sana Mungu akubariki sana tunakumiss kwenye Recap nakupenda kukufatilia sana nikiwa Belgium

  • @aliyissa9857
    @aliyissa9857 Před 11 měsíci

    Bhot achaye

  • @nacmentodanca6498
    @nacmentodanca6498 Před 2 lety +2

    Mtangazaji kapagawa na luga 😂😂

  • @PatsonPius
    @PatsonPius Před 2 lety +3

    Presenter unazingua sana. Ulipaswa kua na maswal Mengi mazuri kuliko hayo ya kumaliza MB zetu ( ukizingatia bei ya bundle Saiz hapa tz) kwa maswala ya lugha hasa kuulza swal Alaf unataka ajibu kwa lugha ambayo watazamaji wako wengi Labda na wewe pia hujui.
    Hii unaonyesha hakukua na maandaliz kabsa. Next time andaa hata list ya maswal ya msingi. Hapa ulikua na uwezo wa kutengeneza content zaid ya hii mbovu

    • @immmkiety9000
      @immmkiety9000 Před 2 lety +1

      Niltamani angemuuliza vp alikuwa anaishi kwenye meli na anatumia madawa? Au alikuwa anaacha kwa muda?

  • @Project1986p
    @Project1986p Před 2 lety +5

    48:50 kivuruge 😂😂

  • @hugholinemmasi1671
    @hugholinemmasi1671 Před rokem +2

    NAWEZA PATA NAMBA YAKE?

  • @wapesahdavydoh2415
    @wapesahdavydoh2415 Před 2 lety +2

    Nimependa sana ya Leo....

  • @safarichui8551
    @safarichui8551 Před rokem +1

    Nani kakuambia ukitaka kusafiri nchi zingine lazima uwe na pasipoti?? Mcheki kaliope amesafiri kote duaniani bira pasipoti😂

  • @janeongala6684
    @janeongala6684 Před 2 lety +2

    Waindi noma awatoi watoto

  • @koburungomubahasha2207
    @koburungomubahasha2207 Před 2 lety +4

    Midiocle king 👑 kiba

  • @jovovichmedia9424
    @jovovichmedia9424 Před 2 lety +1

    Rastanura Saudi Arabia

  • @HashimShereem
    @HashimShereem Před 24 dny

    Ndio kaliope Mimi Baharia mwenzio Hashim mabenz nakupa hay

    • @HashimShereem
      @HashimShereem Před 24 dny

      Brother mohd kaliope Tum bara achaa admii abi tumkedere ? hee Dar es salaam me ?

  • @Pedeshee01
    @Pedeshee01 Před 2 lety +2

    Baharia umecheza,vijana tunasema tafuta pesa jumapili siyo siku ya kufua nguo,halafu chengine Baharia ulikua na majukumu ndiyo tatizo bora uwe na mawazo mimi rafiki mwenye majukumu simtaki anaweza kuniua nataka mwenye mawazo.mimi nina mawazo sina majukumu.

    • @jimmykitura5803
      @jimmykitura5803 Před 2 lety

      Oyaa mwamba Ngoma ngumu hiyo kitambo lakini poa ndio hivyo yaani tunnel life

    • @hafidhimuadham9976
      @hafidhimuadham9976 Před 2 lety

      Yasure capitanyo mudykaliope mwambie mtangazaji km mgiriki 'ndio mfalme wabahari mesakalave denekiproblema ola manga polio kaloo karisto polio (kaliope)

    • @hafidhimuadham9976
      @hafidhimuadham9976 Před 2 lety

      Kweli mchizi boti kaliope mwambie cyo kihindi mwambie kigiriki ndio usiseme Aftoine polio melai alelenikaa

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 Před 2 lety +5

    Mzee kavu huyu anapenda kuzara vifo vya wenzake eti kimekufa kale katoto.🤣🤣😂😂😂😂

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 Před rokem +2

      😂😂😂😂😂😂😂 katoto kakigamboni kamekufa kale katoto ,huyu chuma kanimaliza apo

  • @mwaserarashid5451
    @mwaserarashid5451 Před 2 lety +1

    Mashallah mzee pia kiarabu anakijua

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 Před 2 lety +1

    Sasa mtangazaji hata akikuongepea unajua hizo lugha?

  • @kakabarracks9456
    @kakabarracks9456 Před rokem

    Essco long time
    Keep pushing this channel
    Was wondering where you went

  • @hashimkunambi7460
    @hashimkunambi7460 Před 7 měsíci

    Fadher Kaliope heshima yko mzee mwanao ninashida sana na namba yko ya cm ninashida privet fadher msaada wako.

  • @AllexanderBieber
    @AllexanderBieber Před 4 měsíci

    Safi sana

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 9 měsíci

    Daaa mzeee umetembea sana aise unajua LUGHA 7 UWIIII MIE HIKI KISWAHILI CHANGU KWELI NITATOBOA KWELI LIFE UWIIIIII

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Před 2 lety +2

    Baba mwenye sanaaa

  • @babasanwar8112
    @babasanwar8112 Před rokem +1

    Daaah story nzuri pia ina fundisho kwa wana harakati za uzamiaji yaani storway.. halafu na nyie ndugu zetu mtu anatoa maisha yake halafu wewe ambae hata pantoni hujapanda unafanya mpango wa kudhurumu mali yani kuuza mali za watu waliotoa sadaka maisha yao... Hivi hamuoni kama mnakosea.!? Inauma sana na ndiomana wengine wanaangukia kwenye madawa ya kulevya sababu ndugu feki wachawi

  • @zahravitabu2907
    @zahravitabu2907 Před 2 lety +1

    kuboresha zaid mnapaswa kuhoji na mabaharia ambao kwa sasa wamefanikiw kimaisha. wengi mnaohoj wamepotea kias kwamb inaonekana kama harakat za mabaharia zilikuwa bure tu. wapo mabaharia weng ambao kwa sasa ni ma don kipitia harakat hizo hizo. slim slim, macheni n.k

  • @dedsecmalis2005
    @dedsecmalis2005 Před 2 lety +2

    Achana na lugha kuna vingi vya kuuliza

  • @amidonassoro7982
    @amidonassoro7982 Před 2 lety +3

    Kireno hajui

  • @dullahgsm1002
    @dullahgsm1002 Před 2 lety +1

    Kaka hili video umetisha