Safi Sana hapo jamaa kapitia mitihani kibao duniani, kipaji kikubwa alikuwa nacho he just needed one to inspire and promote his great talent to be on a positive side of history, a real linguistic man
Cjui kwanini Tanzania Makampuni makubwa Ya movie yanashindwa kuja kuwekeza.. Hz story za mabahalia n mzr mno.. Nataman Kuona hata movie moja yenye story hz.. Wenzetu ghana washatoa film kama hzo
@@luifdls6217 bongo nimeteseka sana Nikita historia yangu naweza kulia ilifikia kipindi nilikuwa nikatwe mguu hospital ya temeke kisa nimeteuka mguu lakini nikakimbia nasasa nipo ulaya nipo vizuri tu na ndio maana sitorudi tena
Story nzuri sana inavutiaaaaa.... ilaaa,Kuna vitu tumemiss kwenye hii story, reaction ilikuaje wakati anarudi kwa mara ya kwanza nyumbani baada ya kupotea ghafla....maisha yake kwa ujumla ukiachana na kusafiri na kufanya kazi uko ughaibuni yalikuaje?? A lot of important infos tunazi Miss
Ila ndugu ni wabaya sana.. watu wanaoishi ulaya mostly of them wametendwa wote🤦🏽♀️ plus mimi hapa🤨 kazi yao kudhumuru jasho la mtu.. dah kaka nimekuelewa kabisa pole sana i hope soon utatoka huko upate kuishi na familia yako iliyobakia hapa urope.
Ss hivi c km zamani kazi zenyewe hakuna , na port kuingia shida wengi wanakimbilia South na wakipata. bahati ukichukuwa trip ugiriki , aitaly , Canada.
STORRY NZUR ILA MTANGAZI KAHARIBU SANA KIPINDI BAADA YA KUULIZA MASWAILI YA KUJENGA WATU TUJIFUNZE YEYE KIPINDI KIZIMA ANATAKA KUSKIA LUGHA TUU TUMEKOSA MAMBO MENG SAANA KWA HUYU MZEE , Poor , POOR POOR MTANGAZI UMENIKERA SANA WEWE MTANGAZAJI HUFAI KABISA NI BORA SKY ANGEMHOJI HUY MZEE
Naona kama mtangazaji umechemka hivi mwishoni. Maswali yako yamekijikta kwenye kumuuliza maswali ya kutaka azungumze lugha za tofauti wakati baharia mahojiano yanatakiwa kujikita kwenye adventures alizopitia na si kuongea kwa lugha tofauti
Jamaa ana mengi sana ila ndugu mwandishi ajajua Jinsi ya kumuoji kuna seaman language mwandishi inabidi haijue asiwe anaoji kama anaongea na zito kabwe
Huyu ndio baharia sasa kwamb kashaacha chapa ugiriki na anarudi😂😂😂sio mabaharia wakisharud bongo ndio basi tena…2023 bado tunamcheki Rais wetu wa baharia Mzee Kaliope😊
Waza upya, huyo angekua anatumia madawa kwa umri alionao asingekua na afya hiyo. mzee kaishi maisha yakisela sana, na mazingira aliyoishi uhuni mwingi ndo maana anaongea kihuni sana 😅😅😅 Na uhuni sio kutumia madawa, kuna wahuni, ukauzu wote lakini wanaishia kwenye sigara.
@@davidpaschal778 Tatizo nilikua nasikiliza huku niko na story nyingine 😁😁😁nilisikia tu anatafutwa ndo maana karudi kwanza home then atarudi baada ya miezi 2. Ntairudia.
Tatizo kubwa linawaponza WaTanzani wengi ni kutothamini elimu na ndio maana wanatumika vibaya sana hususan wakiwa ughaibuni. Nimekutana nao wengi ughaibuni wanahangaika mno !!!!
@@dullyjabri8393 Ooooh...Poleni sana majirani zetu! Lazima watu wakubali kwenda na wakati na kuelewa ulimwengu ulivyo, uzalendo ni sawa ila ni muhimu pia kujua elimu haina cha uzalendo bora akili ijue inachokihitaji!
Sns mnaajili watu wasio na elimu ya kuhoji na kujua v2 vya msing kiufupi baharia ana meng san lakn mtangazaj anashindwa kuhoji anakazania lugha2 mamae zake
Presenter unazingua sana. Ulipaswa kua na maswal Mengi mazuri kuliko hayo ya kumaliza MB zetu ( ukizingatia bei ya bundle Saiz hapa tz) kwa maswala ya lugha hasa kuulza swal Alaf unataka ajibu kwa lugha ambayo watazamaji wako wengi Labda na wewe pia hujui. Hii unaonyesha hakukua na maandaliz kabsa. Next time andaa hata list ya maswal ya msingi. Hapa ulikua na uwezo wa kutengeneza content zaid ya hii mbovu
Baharia umecheza,vijana tunasema tafuta pesa jumapili siyo siku ya kufua nguo,halafu chengine Baharia ulikua na majukumu ndiyo tatizo bora uwe na mawazo mimi rafiki mwenye majukumu simtaki anaweza kuniua nataka mwenye mawazo.mimi nina mawazo sina majukumu.
Yasure capitanyo mudykaliope mwambie mtangazaji km mgiriki 'ndio mfalme wabahari mesakalave denekiproblema ola manga polio kaloo karisto polio (kaliope)
Daaah story nzuri pia ina fundisho kwa wana harakati za uzamiaji yaani storway.. halafu na nyie ndugu zetu mtu anatoa maisha yake halafu wewe ambae hata pantoni hujapanda unafanya mpango wa kudhurumu mali yani kuuza mali za watu waliotoa sadaka maisha yao... Hivi hamuoni kama mnakosea.!? Inauma sana na ndiomana wengine wanaangukia kwenye madawa ya kulevya sababu ndugu feki wachawi
kuboresha zaid mnapaswa kuhoji na mabaharia ambao kwa sasa wamefanikiw kimaisha. wengi mnaohoj wamepotea kias kwamb inaonekana kama harakat za mabaharia zilikuwa bure tu. wapo mabaharia weng ambao kwa sasa ni ma don kipitia harakat hizo hizo. slim slim, macheni n.k
Safi Sana hapo jamaa kapitia mitihani kibao duniani, kipaji kikubwa alikuwa nacho he just needed one to inspire and promote his great talent to be on a positive side of history, a real linguistic man
So Smart original sailor brother kaliope
Cjui kwanini Tanzania Makampuni makubwa Ya movie yanashindwa kuja kuwekeza.. Hz story za mabahalia n mzr mno.. Nataman Kuona hata movie moja yenye story hz.. Wenzetu ghana washatoa film kama hzo
Mwanangu umewaza kama mm
Haaa ikajipendekeza meli moja hivi, salute esco Nice exclusive interview
Tunafurai sana brother ani esco ani ayo ndio tuanitaji vipidi kama ivyo brother ani merci beaucoup Esco from France 🇨🇱🇾🇹🇾🇹🇾🇹🇾🇹
Frm France wewe tunakuja huko
@@kingalyeko7576 okay Sawa vizuri sema saivi nipo apa Mayotte nimekuja kumuona wife na yeye niende naye France
msalimie Jasco keko hapo mayote
@@kingalyeko7576 KUTEMBEA NI KUJIFUNZA ZAIDI YAKUSOMA.VIZURI SAANA.
Embu toka apaa kama hakunogei unaangalia ya nini kwendraaaaaaaaaaaaa
Ndiyoooo mwambaaaaa ndugu yangu Kaliope mwenteweee daaa tumekumisi sana Ugiriki ndugu yangu
Namm nataka kuja
😂😂😂 yaani huyu mzee akiona meli tuu anachanganyikiwa akili
wengine hulia haswa
Huyu mwamba ampate zembwella ,babuuuuuu zebwela njooo umuhoji baaria tufurahi shooo esco bwana mabaharia wanastory hao anatakiwa muhun mwenzie zembwela
Ampate Zuwena,hebu njoo unihoji na mimi zuwena.huyu siyo mzee ni maisha tu yamempiga apunguze majukumu abaki na mawazo
zembwela akuhoji ww unatosha,,,, kwani uyu alogundua fulsa kuhoji mabaharia ajitambua wabongo tupunguze ujuaji
Kaliope kweli kazeeka amesahau bandari ya kiamari ipo Karachi Pakistani na ndio alikoachwa. Hadith ya kweli kaliope nimeishi nae uko ushenzini.
Nyimbo,kihind
Baharia mwenzangu huyo muhamedi kaliope nimeachanae mumbei mwaka 92 tukakutana tena Athens ugiriki baharia Og huyo 🇹🇿🇬🇷
nifanyie mpago nami
Wapi baharia kinyale wa kinondoni moscow
Ivi kwanini mabaharia wengi wakirudi Tanzania wanakua hawana pesa tena?
@@charlesgeorge9549kwasababu Wana kuwa huku na kule hawatulii sehem moja kufanya maendekeo
Mawasiliano na wewe broo
Salute mkuu sisi tupo sana uku aturudi tena....
Nasisi pia kutokea Spain!
🤣🤣🤣🤣
Uko nchi gan kaka
kwanini ?😂😂
@@luifdls6217 bongo nimeteseka sana Nikita historia yangu naweza kulia ilifikia kipindi nilikuwa nikatwe mguu hospital ya temeke kisa nimeteuka mguu lakini nikakimbia nasasa nipo ulaya nipo vizuri tu na ndio maana sitorudi tena
nimefulahi sana hii story salute Kaka yetu baharia
Hawa ndio mabaharia kweli, sio unajiita baharia hata Bahari huijui... discharge book huna...!...unasafiri Nchi kavu unajiita baharia..!
Mabaaharia wetu wa Mbagala hao
Story nzuri sana inavutiaaaaa.... ilaaa,Kuna vitu tumemiss kwenye hii story, reaction ilikuaje wakati anarudi kwa mara ya kwanza nyumbani baada ya kupotea ghafla....maisha yake kwa ujumla ukiachana na kusafiri na kufanya kazi uko ughaibuni yalikuaje?? A lot of important infos tunazi Miss
Anahitaji kuimprove sana katika kupata taarifa pindi anapomuhoji mtu, kwa bahati mbaya ni msiba wa watangazaji wengi vijana; hawajifunzi.
Uandishi siyo profession, na hana kipaji tumsamehe tu.
Karimela Kariope tikanisi es manga puisele, egho Ngariba esi kache mazi Man
Duh! Umezunguka dunia asee! Kama mimi Kigoma kibondo, kilimanjaro, Arusha, shinyanga, mara, Singida na Dar 🤣🤣🤣🤣🤣yaani eti ndio nimetembeea
Ila ndugu ni wabaya sana.. watu wanaoishi ulaya mostly of them wametendwa wote🤦🏽♀️
plus mimi hapa🤨
kazi yao kudhumuru jasho la mtu..
dah kaka nimekuelewa kabisa pole sana i hope soon utatoka huko upate kuishi na familia yako iliyobakia hapa urope.
ndugu noma wanafikilia watu wanaoishi nje sijui upata pesa kirahisi.
Iyo kwl dada
Vizuri umegunduwa usitumie ndugu
tatizo njaa na kutokujielewa
Same here..nimetengwa
Napenda sana story za mabahalia
Baada ya miezi miwili tutaomba urudi kinondoni ukamuangalie kama ameondoka au bado yupo na gamba lake mkononi.😂😂😂😂😂
Ss hivi c km zamani kazi zenyewe hakuna , na port kuingia shida wengi wanakimbilia South na wakipata. bahati ukichukuwa trip ugiriki , aitaly , Canada.
Siku nyingine maswali yawe sehemu kubwa kuliko story ndeeeefu yani mda ni mali pia 🫂
Uyu mze kwell msafir 🏆💯
Ulitusahau kwerl tuna penda sana hizi store
Tukutane bandarini dar es salaam kiongozi tule Melissa chaap na baharia wetu
mzee katembea sehem nying sanaaa
Story Nzuli Jamaa Kuoji Ajui
Huyu mzee katembea sanaa 🙌
STORRY NZUR ILA MTANGAZI KAHARIBU SANA KIPINDI BAADA YA KUULIZA MASWAILI YA KUJENGA WATU TUJIFUNZE YEYE KIPINDI KIZIMA ANATAKA KUSKIA LUGHA TUU TUMEKOSA MAMBO MENG SAANA KWA HUYU MZEE , Poor , POOR POOR MTANGAZI UMENIKERA SANA WEWE MTANGAZAJI HUFAI KABISA NI BORA SKY ANGEMHOJI HUY MZEE
Ni kweli kazngua
safili upate ayo mengi
Aliyesikia sa hiv naruka ila wakinichelewesha nakamata meli🤣
Story Yake Nzur Sanaa
Uko sahihi baharia wafilipino ndiy roho chafu sanaa
THE PIRATE OF BONGO
Nimecheka sana
Barnaba moto kweli🤩
Naona kama mtangazaji umechemka hivi mwishoni. Maswali yako yamekijikta kwenye kumuuliza maswali ya kutaka azungumze lugha za tofauti wakati baharia mahojiano yanatakiwa kujikita kwenye adventures alizopitia na si kuongea kwa lugha tofauti
Naomba uondoke namimi Mombasa..dada wa kazi za nyumbani. Na usindoke na kina Abdul wanatafuta na mama zao zanzibar
Mmmmmh sijaelewa
mimi najisikia poa
kinoma nomaaa nnavyo
sikia story kama izo
maana kama naangalia movie
Story nzuri, ila ni vyema kama utatumia mic mbili kwa clarity nzuri ya sauti
...hakika
Na maswali ya msingi....zaidi
Asante kwa kurudi hapa gulf tulikuwa tumeboeka sana
Mtangazaji mpaka ukawa unaboa... sasa akijibu kwa lugha nyingine una unachokijua?
Uzuri ukifananisha Mara nyingi na wengi huyu mzee alikua akiwashawishi tu wenye meli anapiwapiga lugha, sio kujificha kwenye meli na kuibuka
Jamaa ana mengi sana ila ndugu mwandishi ajajua Jinsi ya kumuoji kuna seaman language mwandishi inabidi haijue asiwe anaoji kama anaongea na zito kabwe
😂😂😂
Binadam mnajua kukosowa sna
kwel tena ana stry ndefu sana
My favorite job
Et kamekufa katoto kenyew, mzee kavu sana😅
Hii kauli ya kishujaa
Mr kaliope huyo baharia kitambo tulikutana Moldova na Russia Mara ya mwisho nakutanae Italy
Mchawi ndugu by tundaman
Ndugu lawamaa wengi wa mtoni wamefelishwaa na ndugu zao
Huyu ndio baharia sasa kwamb kashaacha chapa ugiriki na anarudi😂😂😂sio mabaharia wakisharud bongo ndio basi tena…2023 bado tunamcheki Rais wetu wa baharia Mzee Kaliope😊
Wallah kaka yuhu mzee asa ana stor nzuri san kuliko wooote
Mtangazaji hapa hujachimba inavyotakiwa ilitakiwa akupe experience ya kutosha lugha za nn sasa
Wwe ulikua wapi uje umsaidie
@@dangotee5051 jifunze kukubali makosa na kufanyia kazi ushauri
Baharia mwenzangu OG kitambo saana
Napenda sana story za safar km hv mala dizonga,turkey,Greece co poa
Oya naomba namba ya huyo baharia
48:34 🤣🤣😂😂🤣🤣🤣 baaariaaa kalewaaa dah kwell watoto jau
😂 hata mi nimecheka ila jamaa ana akiri nyingi.
@@Project1986p Sanaaa alaf story yke ndef saana ilaa mdaa autosh 👏👏
Nic
Father WA mtaaa big up sana gogo street
Anapatikana wap huyu mzee mm pia natamani niende nae stolwey
Utakufa nyumbu wewe😂😂😂
mabaharia ni noma
Aiseee ni noma
Ngoja nitafute namna ya kuzamia huko mm nitajifanya msomalia
...lkn pia sky huyu mwamba anajua sana usiegemee sana kwa Chris
Mwandishi pls jaribu kila swali ulize na mwaka ndio inakoleza storry
Salaam
Natamani nikuone kaliope .....story nzuri Sana 😊
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongereni SnS,hiv vipindi vikali sana vya story za kuzamia mamtonii🤣,endeleeni kutuletea hiz stori za waliozamia au wanotaka kuzamiaa
Dah mzee kwann ussingebaki Los Angeles
Dah mzee kwann ussingebaki Los Angeles
Mzee anaongea kama anatumia dawa za kulevyaa 🤔 nawaza tuuu...
Waza upya, huyo angekua anatumia madawa kwa umri alionao asingekua na afya hiyo.
mzee kaishi maisha yakisela sana, na mazingira aliyoishi uhuni mwingi ndo maana anaongea kihuni sana 😅😅😅
Na uhuni sio kutumia madawa, kuna wahuni, ukauzu wote lakini wanaishia kwenye sigara.
@@khadijajuma7142 kwani hujamsikia alikua anavuta madawa skiza paka mwisho
@@ibraton4071 Sawa ntairudia sijasikia
Ujaskia kwamba kz zake ni mambo yetu yle na anataftwa miak7
@@davidpaschal778 Tatizo nilikua nasikiliza huku niko na story nyingine 😁😁😁nilisikia tu anatafutwa ndo maana karudi kwanza home then atarudi baada ya miezi 2.
Ntairudia.
Please naweza nikapata number yake??
Tulia kwenu utakufa nyumbu wewe😂
Big up leta mastory mengine
Meli ili jipendekeza kwa baharia😂😂
🤣🤣🤣
Hiyo lugha ina maana meli ilikuja.
czcams.com/video/X4WuktNJEl0/video.html
DAWA YA KUFARAKANISHA..*#*# czcams.com/video/X4WuktNJEl0/video.html
Tatizo kubwa linawaponza WaTanzani wengi ni kutothamini elimu na ndio maana wanatumika vibaya sana hususan wakiwa ughaibuni. Nimekutana nao wengi ughaibuni wanahangaika mno !!!!
Tatizo sio kutothamini elimu. Tazama mfumo wa tz wa elimu wengi tumienda kanumba school. Lugha tumejifunza nchi za watu
@@dullyjabri8393 Kanumba School ndio ipi hebu nielekeze mimi mKenya lugha hio siipati!
Shule za watoto masikini mnafundishwa kiswahili tu .
@@dullyjabri8393 Ooooh...Poleni sana majirani zetu! Lazima watu wakubali kwenda na wakati na kuelewa ulimwengu ulivyo, uzalendo ni sawa ila ni muhimu pia kujua elimu haina cha uzalendo bora akili ijue inachokihitaji!
@@lenniefei6710 Elimu ya aina gani ebu fafanua vizuri hapa ,
Absolutely sea power
Uyu mze kweri ari zunguka inci sns tunaka vipindi kama hivyo japo ata kwa wiki mara moja ao 2
Sijui stori hii kama mtanzania au kipidi ndani ya tv ya kitanzania inasaidia nn, tuanza kujifunza kuwa wazalendo kwanza. Am proud tanzanian 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
mpumbavu wewe unauzarendo gan viongozi wenyewe hawana uzare ndo wewe unazungumzia uzalendo gan? kama huwezi kusikiliza pita kule
Umeshakata tamaa ya maisha ww
@@sifatiiman ukikuwa utapata akili
@@8pistons194 zamia na wewe
@@MrErick100000 kwendaaaaaaa mbwa wewe
Jitahid kuuliza maswali ya msingi bro..but good work
Msamatika...
Sns mnaajili watu wasio na elimu ya kuhoji na kujua v2 vya msing kiufupi baharia ana meng san lakn mtangazaj anashindwa kuhoji anakazania lugha2 mamae zake
Presenter huijui bunge primary kweli we mjini mgeni hata maswali nayo huijui kuhoji
Esco unafanya kazi nzuri sana Mungu akubariki sana tunakumiss kwenye Recap nakupenda kukufatilia sana nikiwa Belgium
Nakufatilia kutoka dubai
Bhot achaye
Mtangazaji kapagawa na luga 😂😂
Presenter unazingua sana. Ulipaswa kua na maswal Mengi mazuri kuliko hayo ya kumaliza MB zetu ( ukizingatia bei ya bundle Saiz hapa tz) kwa maswala ya lugha hasa kuulza swal Alaf unataka ajibu kwa lugha ambayo watazamaji wako wengi Labda na wewe pia hujui.
Hii unaonyesha hakukua na maandaliz kabsa. Next time andaa hata list ya maswal ya msingi. Hapa ulikua na uwezo wa kutengeneza content zaid ya hii mbovu
Niltamani angemuuliza vp alikuwa anaishi kwenye meli na anatumia madawa? Au alikuwa anaacha kwa muda?
48:50 kivuruge 😂😂
NAWEZA PATA NAMBA YAKE?
Nimependa sana ya Leo....
Nani kakuambia ukitaka kusafiri nchi zingine lazima uwe na pasipoti?? Mcheki kaliope amesafiri kote duaniani bira pasipoti😂
Waindi noma awatoi watoto
Midiocle king 👑 kiba
Rastanura Saudi Arabia
Ndio kaliope Mimi Baharia mwenzio Hashim mabenz nakupa hay
Brother mohd kaliope Tum bara achaa admii abi tumkedere ? hee Dar es salaam me ?
Baharia umecheza,vijana tunasema tafuta pesa jumapili siyo siku ya kufua nguo,halafu chengine Baharia ulikua na majukumu ndiyo tatizo bora uwe na mawazo mimi rafiki mwenye majukumu simtaki anaweza kuniua nataka mwenye mawazo.mimi nina mawazo sina majukumu.
Oyaa mwamba Ngoma ngumu hiyo kitambo lakini poa ndio hivyo yaani tunnel life
Yasure capitanyo mudykaliope mwambie mtangazaji km mgiriki 'ndio mfalme wabahari mesakalave denekiproblema ola manga polio kaloo karisto polio (kaliope)
Kweli mchizi boti kaliope mwambie cyo kihindi mwambie kigiriki ndio usiseme Aftoine polio melai alelenikaa
Mzee kavu huyu anapenda kuzara vifo vya wenzake eti kimekufa kale katoto.🤣🤣😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 katoto kakigamboni kamekufa kale katoto ,huyu chuma kanimaliza apo
Mashallah mzee pia kiarabu anakijua
Sasa mtangazaji hata akikuongepea unajua hizo lugha?
Essco long time
Keep pushing this channel
Was wondering where you went
Fadher Kaliope heshima yko mzee mwanao ninashida sana na namba yko ya cm ninashida privet fadher msaada wako.
Safi sana
Daaa mzeee umetembea sana aise unajua LUGHA 7 UWIIII MIE HIKI KISWAHILI CHANGU KWELI NITATOBOA KWELI LIFE UWIIIIII
kweri Philippine roho mbaya nawabaguz
Baba mwenye sanaaa
Daaah story nzuri pia ina fundisho kwa wana harakati za uzamiaji yaani storway.. halafu na nyie ndugu zetu mtu anatoa maisha yake halafu wewe ambae hata pantoni hujapanda unafanya mpango wa kudhurumu mali yani kuuza mali za watu waliotoa sadaka maisha yao... Hivi hamuoni kama mnakosea.!? Inauma sana na ndiomana wengine wanaangukia kwenye madawa ya kulevya sababu ndugu feki wachawi
Fact
kuboresha zaid mnapaswa kuhoji na mabaharia ambao kwa sasa wamefanikiw kimaisha. wengi mnaohoj wamepotea kias kwamb inaonekana kama harakat za mabaharia zilikuwa bure tu. wapo mabaharia weng ambao kwa sasa ni ma don kipitia harakat hizo hizo. slim slim, macheni n.k
Vipi Zahra umenyoa mavuzi?
Achana na lugha kuna vingi vya kuuliza
Kireno hajui
Kaka hili video umetisha