BAHARIA BALOZI:NILIAGA KIAINA MTAANI/ NINGETOSWA BAHARINI/SOKA LIKANIOKOA/KOMBE LA DUNIA!/BASTOLA.13

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 05. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #safari #baharia #dupamdupange

Komentáře • 65

  • @Bombom-ze1sj
    @Bombom-ze1sj Před rokem +5

    Sema Uwe unaweka ATA namba zake MWANA Tuweze kumuungia 📌📌

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před rokem +6

    Ananipa Raha Sana huyu jamaa, ni mwanadarisalama og

  • @abdulazizbrek4980
    @abdulazizbrek4980 Před rokem +3

    Big up baharia balozi...kabanyau

  • @abdulahmanmahalufu9524
    @abdulahmanmahalufu9524 Před rokem +7

    Wazee wa mbanga leo mapema sn tuwape maua yao

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 Před rokem +1

    Nakukubali sana BALOZI....na mwanangu dupa safi sana

  • @Byme6434
    @Byme6434 Před rokem +1

    Yaaani Huyu kaka Anaongea Kama Kaka Yangu Hivihivi Ungepata Interview nae Ungeinjoy Wallah Lugha zote Nitolee Alizamia Akafanikiwa Hamza Msingapori a.k.a Anakwambia Muite Mwache Apotee!Daaaah Apumzike Kwa Amani Kaka yangu GOD PLAN.

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před rokem +1

    Aisee nimejifunza sanaaa

  • @gabrielTz5
    @gabrielTz5 Před rokem +2

    Mwana wa kwetu huyu bhana Balozi "Mibati meusiiii na mitofali🤣🤣🤣" TMK

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Wabongo noma 😂 unamwambia nikatae Anakwambia bongo mambo mazuri🤣🤣🇹🇿🇬🇷

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg4390 Před rokem +1

    Nime enjoy sana hii story aiseee 😂😂, huchoki kumsikiliza

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Před rokem

    Good story big up bahalia wangu jah bress you

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan8526 Před rokem +1

    Story nzuri

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps Před rokem

    Huyo rafiki david niko naye UK pole sana nitamjulisha david

  • @ZebidahLawrence-fs9sg
    @ZebidahLawrence-fs9sg Před rokem +1

    Najiona navorudishwa tz mkukumkuku 🤣🤣

  • @biglizer
    @biglizer Před rokem +2

    29:42 ikwiriri kwa manjenga😂

  • @abdallahhamed5784
    @abdallahhamed5784 Před 5 měsíci

    Mitairi kwenye bati😂😂

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Před rokem

    THE- stering' 👍

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 Před rokem

    Respect

  • @t.jsaidia2047
    @t.jsaidia2047 Před rokem

    Ila pole sana mwana pambana tu

  • @t.jsaidia2047
    @t.jsaidia2047 Před rokem

    Mwana 2007 mimi ndiyo fresh yangu kwangu natural Bongo.

  • @abdallahmanula1627
    @abdallahmanula1627 Před rokem +1

    Wale wanajua kiswahili Sema mikausho mikali

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977 Před rokem +1

    Nimecheka kwa sauti sana...
    Eti mibati juu mipira ya gari, sasa hii ya nini!!!???? Hahahhahaha

  • @Bombom-ze1sj
    @Bombom-ze1sj Před rokem

    Kabinyau Bro Kalibu tena kiwanjani Ujachelewa … Jeni bye bye😂😂 Nainjoy kipindi 🫡🫶🏿

  • @obadiafredy4499
    @obadiafredy4499 Před rokem

    Dah Balozi bn😅😅😅

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977 Před rokem

    Aaaaaaaaah.... Home sweet home

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 Před rokem

    Avalon hiyo uwamihaji kule chini kuna mafahili ya kumwaga Mzee kabinyau,Nimeingia hapo 1997

  • @luogafrank3205
    @luogafrank3205 Před rokem

    Story nzur sana baharia lakin ulifeli kitu kimoja tu ulipokua kule ungejitahidi kila njia either uzae mtoto na demu mwenye ulaiya wa kule au uoe demu mwenye ulaia wa kule hzo njia lahisi hazimtupi baalia

  • @oscarmatapila6937
    @oscarmatapila6937 Před rokem

    bado kabisa element za kisouth anaish nazo

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před rokem

    Watuwasafali wanaroho ngumu sana tz maisha siopoa ndomana watuwanajaribu kuzamia

  • @isayamayogu8229
    @isayamayogu8229 Před rokem

    Daaah kabunyau anamaliza 😂😂

  • @user-gw6zg5yx9e
    @user-gw6zg5yx9e Před 11 měsíci

    Hahahaha walikuchanganya

  • @JumaKatundu-wb6cl
    @JumaKatundu-wb6cl Před 8 měsíci

    Hhhhhhh

  • @aishayasin5400
    @aishayasin5400 Před rokem

    Jamani mbona hatupati sehemu ya 14

  • @salimgharib9888
    @salimgharib9888 Před rokem

    Ahhhh😂😂😂😂😂 huyu Jamaa anamisemo sio ya kawaida ’’za kichwa ni kesi ya muaji’’ na ‘’ Ndosi ni Maumivu ya Kichwa’’ halaf ukikosea hakuachi atakama unamuinterview 😅😅😅

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem

    Haha bati juu nyeusi kuna mataili

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +1

    😂 nmekumbuka nlitaka kuingiaga Japan tukanasa Airport tukarudishwa

  • @user-zc1xq8xk1i
    @user-zc1xq8xk1i Před 5 měsíci

    Hawa wahuni unawapekua nchi ipi,eti baharia balozi

  • @mrishoidd8920
    @mrishoidd8920 Před rokem

    Balozil mbavu zangu jamani nakupata kutoka+250

  • @furahamandai6628
    @furahamandai6628 Před rokem

    Nataka namba ys huyu mwamba ana maneno sumu 😅😅😅😅

  • @isaacherman
    @isaacherman Před rokem

    😅😂😂 Ugali bambia minyanyachungu rundo😂😂😂😂😂😂

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před rokem

    Ugali, dagaa tembele 😂😂😂

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Před 11 měsíci

    😂😂😂

  • @khamisbk8569
    @khamisbk8569 Před rokem

    Yaan matifali juu ya Bati......mipira ya gar....

  • @samfundo_impression
    @samfundo_impression Před rokem

    😅😅😅

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před rokem

    Leteni stor nyingine

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před rokem

    kabunyai mibatiii meusiii😅😅😅

  • @fabiantanzania5795
    @fabiantanzania5795 Před rokem

    Maelezo machache

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Před rokem

    Jembe yule joberg alikuwa mtamu sana alikuwa wamalawi wakimwona kama Rais mbona alijisahau hakujenga Home sweets Bt is life no balance

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem

    Uhamiaji avalon hiyo baharia unanigusa mwanaoooo

  • @xingho3990
    @xingho3990 Před rokem

    Weweee Ikeiriri kwa Manjenga kkkkkkkkkkkk

  • @johnrambo9642
    @johnrambo9642 Před rokem

    Yote tosa baria nomekubali story na ulifanikiwa kuzama fresh kule na mambo meng kwako naona yakawa ilee mteremko ila ulishindwaje kua mwanarakat mana ulikua unalata mda wa kwenda kilub na ukachagua ile sehem waliko kua wazungu tuu hatimae ukafanikowa kuwepo pali kwann haukuamua kuomba raman zakufanya kujishulisha na pia hata maaskar hao na yule mwanao alikua anakubadilishia sehem zakuish kwann usingeomba raman kwake kikaz kuna wale walikua wakikupa mtonyo ulishindwa vp kuomba bwana nataka kz sio ela tu bt unaonekana ulikua na zal la bahat sn kuanzia bandar

    • @reeckstar931
      @reeckstar931 Před rokem

      Ukisha kataliwa kupewa document ulaya uluhusiwi kufanya kazi

  • @Mtukazi98
    @Mtukazi98 Před rokem

    Baharia balozi yeye sio mtu wa ngoma yeye ni mtu wa wali jogooo

  • @samwelkaguo5640
    @samwelkaguo5640 Před rokem

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah balozi mchizi wa wana

  • @KulwaSonda-rl9ue
    @KulwaSonda-rl9ue Před rokem

    Story kali xn

    • @wazirisalum8227
      @wazirisalum8227 Před rokem

      Nafurahi kumsikiliza huyu jamaa lakini kuna huruma hv inanijia,najikuta namuonea huruma sana huyu mwamba.

  • @gmanyota1
    @gmanyota1 Před rokem

    😂😂😂😂

  • @sharomaburudan
    @sharomaburudan Před rokem

    Kabunyau mtu Mbad

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před rokem

    panadol dawa au.sio.dawa...tuletee wazee wa meli bana kabunyau anaua hvyo

  • @rajabsaria8466
    @rajabsaria8466 Před rokem

    Swali langu ni hivi,inakuaje mtu alikuwa dingi mbele mbele miaka mingi, ulaya au South Africa, alafu inatokea la kutokea anarudi nyumbani hana chochote matokeo yake mtu anadata Dupamdupange???????