WAZIRI JERRY SILAA ASHTUKIZA OFISI ZA ARDHI JIJINI DODOMA, ATOA MAELEKEZO KWA NCHI NZIMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2023
  • Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi, Jerry Silaa amefanya ziara ya kushtukuza katika ofisi za kitengo cha Ardhi za halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa ajili ya kujionea hali ya utendaji kazi ambapo amefika na kukuta baadhi ya watendaji hawajafika ofisini majira ya saa moja na nusu.
    Waziri Jerry amewahimiza watumishi wa jiji la Dodoma na Tanzania kwa ujumla kuwa hasa watendaji wa ardhi kufika ofisini kwa muda uliopangwa na inapofika saa moja na nusu asubuhi huduma zianze kutolewa na si watu kuanza kuingia ofisini kwa wakati huo.

Komentáře • 203

  • @saidulaya7308
    @saidulaya7308 Před 11 měsíci +48

    KAMA UNAMKUBALI JERRY SLAA TUJUANE✊✊

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Před 11 měsíci +8

    Safi sana Mh Waziri Slaa njoo na Morogoro please ofisi ya ardhi Mvomero Morogoro ni hovyo kweli kweli hawafuatilii kazi wala kumaliza kila cku nenda rudi nenda rudi

  • @stephanomafuta415
    @stephanomafuta415 Před 11 měsíci +25

    Ziara za kushtukiza kama hizi ni nzuri sana, zinasaidia wafanyakazi kuwa active, Hongera sana Mh. Jerry Slaa. Mungu akuongoze.

  • @c75923
    @c75923 Před 11 měsíci +5

    “nikisema kuna mambo ya hovyo ni hovyo kweeri kwerii”! RIP Chuma

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Před 11 měsíci +1

    Safi kabisa chapa kazi Waziri. Maana wafanya kazi wazembe saa moja na nusu hakuna mtu mh...... HONGERA WAFANYA KAZI WA MHIMBILI MOI DRS AND NURSES WANAFIKA SAA 12 NA NUSU NA SAA HIZO KAZI ZINAANZA MMungu awabariki sana

  • @alexandermanase8956
    @alexandermanase8956 Před 11 měsíci +2

    Good start Mr minister,,, ila tukuomba usibadilikie njian kuwa makapi. Idara ya ardhi inahitaji sana kufunga mkanda, usiweke njaa mbele, yaaan ukila tu Hela ya mtu ndo mwanzo wa haki haramu.

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Před 11 měsíci +7

    Safi sana apa ndo wana jionaga miungu watu yn apa ndo shidaa sana kwenye hati

  • @willymwasakyeni4393
    @willymwasakyeni4393 Před 11 měsíci +4

    Huu mfumo wa kushtukiza muda mwingine ni mzuri sana

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 Před 4 měsíci

    Shukran sana Waziriwetu wanyooshehao kaziyaonikuzulumu maskin aridh zao hawajuininimaana ya mtanzania.

  • @allyhassan7169
    @allyhassan7169 Před 11 měsíci +6

    Nakufuatilia kwa Makini sana kaka nakuamini piqa kazi

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 Před 11 měsíci +11

    Yaani inasikitisha sana! Watu wako maofisini hawana akili ya kutatua changamoto zinazolikabili Taifa na watu wake, lakini wana vyeti vya madigrii na wamepewa vitengo, yaani wanatakiwa kutumia akili zao na kufikiri sawasawa kwa ajili ya kutatua changamoto zinazolikabili Taifa na watu wake na basically hawafanyi hivyo! Ajabu sana, halafu hatari sana!

    • @mosesmagoto2299
      @mosesmagoto2299 Před 11 měsíci

      Umeongea ukweli wote. Tatizo ni uwezo mdogo wa maafisa kutatua changamoto za ardhi.

    • @MrA24G
      @MrA24G Před 11 měsíci

      Tunaelekea ni kubaya.Viongozi wetu hawana wasaidizi wazuri viongozi wazuri ila watendaji wa ovyo kbsaa.Marais wetu ni wazuri tuu Samia suluhu na Dr Hussein Mwinyi wote ni good leaders but baadhi ya watendaji wa ovyoo.Sisi tuna shida hapaa znz hayo hayo.

    • @checkchannel3876
      @checkchannel3876 Před 11 měsíci

      @@MrA24G Tena kama Rais Mwinyi ni mzuri mno. Poleni sana!

  • @nyashabanihema4593
    @nyashabanihema4593 Před 11 měsíci +5

    Hongera sana mheshimiwa

  • @jumamtunze3372
    @jumamtunze3372 Před 11 měsíci +1

    GOOD, utumishi mzuri ni kutoka ofisini na kwenda kwa wananchi kwani kiongozi vitendea kazi yake ni wananchi na sio meza na mafaili tu

  • @salumally663
    @salumally663 Před 11 měsíci +10

    Hata aibu hawana kazi kutapelii watu...na fidiaa udai ulipweee ..

  • @DottoChobwi
    @DottoChobwi Před 4 měsíci

    Waziri unafanya kazi nzuri najua hauna njaa kama ni maisha mwenyzi mungu amekbariki simamia haki wanainchi wanakukubali

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před 11 měsíci +8

    KUMEKUCHA KAZI IENDELEE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před 6 měsíci +1

    Hawa watumishi ukiwapa Muda wa kujieleza ujue watakupoteza tu..yaani ni Wezi hatari...MH. SLAA PIGA KAZI BABA UNATISHA SANA MKUU..

  • @user-uy1df5so8c
    @user-uy1df5so8c Před 10 měsíci

    Ofisi za ardhi kumegubikwa na majambazi sana, dodoma watu wananyanganywa viwanja hovyo tu,,,😢,,,Hongera sana mhe.

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 Před 11 měsíci +2

    Mh umefanya Vzur sana,
    Ungewashkisha adabu kdogo

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Před 11 měsíci +2

    Ndo kazi yao ao washezi sana na mimi takuja kwajili silaaa yupo mtetez takuja dodoma nishida wana ingia sanne ofisin

  • @cosmasmwanalinze3716
    @cosmasmwanalinze3716 Před 11 měsíci +2

    Hawa watu wa ardhi ni wasumbufu sana, Mh. JERRY slaa mm pia hawajanipatia Hati yangu 2021

  • @gracemunthali7945
    @gracemunthali7945 Před 11 měsíci +6

    ASANTE SANA BABA.

  • @methodmsokele2704
    @methodmsokele2704 Před 11 měsíci +1

    Mungu awe pamoja nawe siku zote, Utaratibu huo utasaidia sana kutatua migogoro ambayo haina hata sababu ya kutotatuliwa.

  • @mrromeo760
    @mrromeo760 Před 11 měsíci +1

    Tangu 2021.????? MHESHIMIWA chukua hatua....

  • @FatumaBenitho
    @FatumaBenitho Před měsícem

    ❤ Mungu aendelee kukuinua

  • @mimimoop2617
    @mimimoop2617 Před 11 měsíci +1

    Km Magufuli hongera sana

  • @MrA24G
    @MrA24G Před 11 měsíci

    Aiseei jerry mungu akutangulie hizii ni shida.

  • @nurumwenkale7278
    @nurumwenkale7278 Před 11 měsíci +4

    Tumbua wazembe kazini na hapa mama hajakosea kumteua huyu mwamba piga kazi kaka

  • @mwinyimustafa3227
    @mwinyimustafa3227 Před 11 měsíci +5

    Kuna watu ndo kazi yao kuzungusha watu hivo. na kama huamini. mtume mtu asiseme katumwa na wewe uone atavozungushwa

  • @zephaniasalumsenga3441
    @zephaniasalumsenga3441 Před 11 měsíci +1

    Wewe unaweza kuwa mfano Wa jembe ambalo lilitangulia mbele za haki mungu akupinganie

    • @shaamemchauru1365
      @shaamemchauru1365 Před 4 měsíci

      KWELI KABISA AWE NA MAISHA MAREFU, MUNGU AMJAALIE.....

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085 Před 7 měsíci

    Safi sana waziri hiyo wizara inachangamoto sana ila nina imani teuzi ya mama imempata mtu sahihi kuna vimeo hususani baadhi ya watumishi,Mawaziri fanyeni ziara za kustukikiza wengi wa watumishi wanajisahau sana humo maofisini

  • @kanoa645
    @kanoa645 Před 11 měsíci +2

    Duh Hadi aibu Baraka kujieleza kapata kigugumizi

  • @allymsafi1716
    @allymsafi1716 Před 4 měsíci +1

    Hapo kinacho takiwa hazina watume list ya wateja wote hao 200 walio walipia na kila mmoja na amount yake aliyo lipia...mfano hata sisi bank wakitulipa wanalipa amount moja huwa tuna waomba list ya mchanganuo wanatuma then kila mteja tuna muingizia kiasi chake alicho lipiwa

  • @kawawakitangara5604
    @kawawakitangara5604 Před 11 měsíci +4

    HONGERA HONGERA HONGERA MHESHIMIWA SLAA KAZA BUTI KWA PAMOJA TUTAFIKA

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 Před 11 měsíci +2

    Hicho kitengo cha Ardhi kinapaswa kuundwa upya hapo dodoma tena takukuru cjui wanang'ata wapi nao wachunguzwe hakuna process utafanikiwa hapo pasipo kutoa rushwa utarudi mara 30 hapo

  • @mrromeo760
    @mrromeo760 Před 11 měsíci +2

    Safi sana kama Hayati JPM taratibu tutafika tuu.....

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Před 3 měsíci

    Waziri wangu mbunge wangu mimi kura yangu nimeitumia kihalali. Mungu aendelee kukutunza mwanangu

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u Před 4 měsíci +1

    Waziri hatari halali! Huyu Waziri APEWE TUZO YA WAZIRI BORA WA mda Wote

  • @samuelmwangu3301
    @samuelmwangu3301 Před 11 měsíci +1

    Aibu sana

  • @mathewpeter4192
    @mathewpeter4192 Před 11 měsíci

    Mweshimiwa kama hili swala ukilifuatilia sana utakuta hao viongozi ndio sababu kuu ya migogoro na wana fahamu hizo propabanda zote mm pia ninayo changamoto kama ya huyo Mama kiwanja Ntyuka na sababu ni Mtendaji kata Mungu akusaidie katka hii wizara ina laana sana kwakuwa wamejaa wazulumaji

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Před 11 měsíci

    Hawajibu barua hawa wafanyakazi wa ardhi kwa kweli mimi nina changamoto toka 2018 Morogoro

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 Před 11 měsíci +7

    Mkuu wa mkoa wa dodoma ni mzigo,

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 Před 10 měsíci

    Dada yupo very smart nimependa anajua kufatilia jambo.

  • @joellumala3206
    @joellumala3206 Před 11 měsíci

    Safi kabisa

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Před 10 měsíci

    Hongera Mhe Rais kwakumteuwa huyu MTU

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu Před 11 měsíci +3

    Wanajifanya hawajui chochote kumbe wanajua Kila kitu.

  • @user-td9zr7ur5h
    @user-td9zr7ur5h Před 7 měsíci

    Waziri umenikumbusha lukuvi uko vizuri

  • @Maulambo
    @Maulambo Před 11 měsíci +4

    Tunaanza upyaaaa hakikisha bando unalo

  • @adyaalawy8764
    @adyaalawy8764 Před 11 měsíci

    Hapa kazi tuu

  • @paulmkai2043
    @paulmkai2043 Před 5 měsíci

    anapiga kazi anajitahidi 🙏

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 11 měsíci +1

    Daah watu wanaishi watakavyo bila kufanya kazi 😢😢

  • @nyassorajabu628
    @nyassorajabu628 Před 11 měsíci +2

    Mheshimiwa hata sisi tunazungushwa na eneo ni letu kila siku ni wasumbufu sana ao watu wajiji

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Před 11 měsíci

    Au bhasi

  • @bushirihamisi3819
    @bushirihamisi3819 Před 11 měsíci +2

    Watu wa ardhi Wana matatizo sana uje na kongwa

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 4 měsíci

    Kichaa amekabidhiwa rungu guys,kuweni makini ccm mtajikuta mpo uchi maana mungu huwa hachelewi wala hacheleweshwagi

  • @user-nr3uw7bq1r
    @user-nr3uw7bq1r Před 11 měsíci +2

    Futa kazi Hao walaji tu hao

  • @babalao910
    @babalao910 Před 11 měsíci

    Njoo KATESH-HANANG' MANYARA.

  • @softrock7155
    @softrock7155 Před 11 měsíci

    Mawaziri wengine waige mfano wa W AR Mhe. Jerry Silaa. Mtu mwenye malalamiko apate majibu ya moja kwa moja. Hii inaleta uwajibikaji

  • @nyakitalidaud2806
    @nyakitalidaud2806 Před 11 měsíci +1

    Mkuu hao huwa wanapenda kukwapua maeneo ya watu kisha wanajiweka majina ya ndugu zaa

  • @humaidalnaamani7859
    @humaidalnaamani7859 Před 11 měsíci

    Ziara kama hii nzuri sana ila imetoka bila uhakika wa dada kiwanja chake kipo au hakipo na inaonyesha atakaa miaka mingine 7 kisha Baibai hakuna kiwanja wala pesa kwani pesa indayo kwa mganga hairudi

  • @jumbekipeme1441
    @jumbekipeme1441 Před 10 měsíci

    Hatuna kwa kukimbiria waziri wetu mtetezi

  • @bilid4128
    @bilid4128 Před 11 měsíci +1

    Waziri hapo ulikuwa unaongea na Wala rushwa hao ...Yani huyo mtumishi ardhi anajifanya hamtambui huyo Mama karatasi ni ngeni kwake wakati Huyo mama anasema alikuwa anachat nae ..

  • @Jmwanse
    @Jmwanse Před 10 měsíci

    Waziri uje na huku kwetu King'azi kata ya Kwembe. Kuna mgogoro wa mpaka kati ya Wilaya ya Ubungo vs Wilaya ya Kisarawe. Yaani wananchi hatupati huduma za kiserikali kwa muda mrefu sana mpaka barabara za mtaani hazipitiki, tumechanga mpaka tumechoka ili kutengeneza miundombinu hii.

  • @RabihuHussein
    @RabihuHussein Před měsícem

    Wanabahati sana JPM amepumzika!

  • @ASHAFAAABUU
    @ASHAFAAABUU Před 27 dny

    namba ya silaa ntaipataje jaman mm niko nashinda kwenye kiwanja changu

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 4 měsíci

    Rushwa oyeeeee

  • @catherinemasiga6666
    @catherinemasiga6666 Před 11 měsíci +1

    Tunaomba na waziri anaeshugulikia malipo ya mifuko ya ppf naye awe kama huyu pesa psssf hakuna na watu walikatwa private hawapeleki maboss

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Před 4 měsíci

    Hii nchi Mawaziri wana kazi ngumu mno.Kila mahali wanakuta uzembe na mazoea.

  • @shaamemchauru1365
    @shaamemchauru1365 Před 4 měsíci

    HAO WACHAWI TUUUU😮😮😮

  • @nkenemalulu1330
    @nkenemalulu1330 Před 4 měsíci

    Mh. Waziri chapa lkazi lakini Wizara ya Aridhi sawa na ''MFUPA ULIOMSHINDA FISI KUULA''. Mh. Waziri ongeza mmsisitizo wa uondoshaji wa matatizo yasababishwayo na watumishi wasio waaminifu la sivyo ukiondoka Uwe na dialog ya matatizo uliyoyapitia na wakupe mrejesho. Tunakutakia uwajibikaji mwema

  • @cesiliasulle8798
    @cesiliasulle8798 Před 3 měsíci

    Naomba kupata contacts za ofisi ya waziri Jerry Silaa Dodoma

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 Před 11 měsíci

    Tatizo LA watumishi walioko kwenye ofisi za umma hawafanyii kazi barua Bali ni mpaka aliyeandika barua aende akatoe maelezo ya mdomo wakati barua inajieleza.Tatizo hili lipo. Serikali ione sasa mifumo ya ajira zake. Ajira za kujuana sio weledi.

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa Před 10 měsíci

    Mtanuwe ofisi ziende kata zote Tanzania msongamano unanyanyasa raia na kumnyima haki yo umiliki nenda Rudi maendeleo yanaduma lakini kama Bado huu uozo tujipange kuiondoo madarakani ccm 2025

  • @waziriuledi6322
    @waziriuledi6322 Před 11 měsíci

    Hatuna Akili sisi

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Před 11 měsíci

    Ofisa atapaje kigugumizi, si angempa maelezo kama ya kwako? Kwa nini azidi kumdanganya , subiri subira ya Tanzania 🇹🇿 inaumiza kwa kweli☹️☹️☹️☹️

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 Před měsícem

    Hawa wanaoitwa watumishi wa serikari hata sielewi erimuyao hovyo kwa hovyo🤔🤔

  • @consorathajames2693
    @consorathajames2693 Před 4 měsíci

    Ningeomba wazili anaehusika na NSSF sikumoja ashtukize atayaona mengi

  • @PLAYPROGAMING568K
    @PLAYPROGAMING568K Před 11 měsíci

    Hawa wako hawako sawa karibu nchi nzima kwenye ardhi na wengi siyo wasomi watu wako wa ardhi na halmashauri na watendaji wako

  • @eddyrich.3312
    @eddyrich.3312 Před 11 měsíci +2

    Kama huyo Mama kamwona Waziri na bado anakwama je sie tusiojua hata Mkuu wa wilaya anafananaje utaishia wapi?

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 Před 11 měsíci

      Hapo sasa nani mtumishi mwenzao wa umma,mimi na wewe jee inakuwaje?

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 Před 10 měsíci

    Waziri umeanza vizuri lakini utalambishwa asali na kuwa nguvu za soda. Nchi hii imejaa majangili ya ardhi. Hao ulionao wanamiliki viwanja kama pelemende kazi yao ni kutapeli wananchi.

  • @geraldadolf4928
    @geraldadolf4928 Před 3 měsíci

    Fukuza ayo mandunduka mhe.waziri

  • @felixmwinami4295
    @felixmwinami4295 Před 11 měsíci

    kuna uozo sana kwenye hizi taasisi inawezekanaje toka 2021 mpaka leo mtu bado analalamika??

  • @furahamandai6628
    @furahamandai6628 Před 11 měsíci

    Aiseee huyu ndiye jeri slaaa ana akili nyingi uwezi kumdanganya bado kijani tunamjua vizuri

  • @PLAYPROGAMING568K
    @PLAYPROGAMING568K Před 11 měsíci

    Njoo mhe na Dar es. Salaam watu wako wako tu ofisi za kata na kujimilikisha nafasi za ardhi za watu na kudai hii ni open space ukimwambia niandikie karatasi niende ardhi inakuwa kimya halafu wana kwambia nimesafiri au nipo kwenye kikao

  • @ConfusedDaisies-rb5
    @ConfusedDaisies-rb5 Před 4 měsíci

    Haya mambo ya kushtukiza ndo mom hayataki, anataka mwendo wa danadana kama zama zileeee za unanijua mie nani?

  • @smartworld6153
    @smartworld6153 Před 11 měsíci +1

    Tarime huku watu mpaka wanazeeka shida sana

    • @smootkizy_jr
      @smootkizy_jr Před 10 měsíci +1

      Tarime sehemu gani ndugu me pia natokea Tarime

  • @allenmdota4820
    @allenmdota4820 Před 11 měsíci

    Safi kuwatembelea mataperi wakubwa wajiji Sina hamu nao nimezunguka zaidi yamwaka moja sijapata mafanikio

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před 11 měsíci +1

    Daaah watu hawa fanyi KAZI aisee

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 Před 11 měsíci

    He, mulimueleza mhusika Kama hivyo mnavyomueleza mh. Wazizi? Vipi hiyo document iliyokutwa ktk Hilo file iwe kikwazo Cha kutoa haki haliyakua Haina mkataba wa mauziano? Muwemakini msicheleweshe haki za watu kwa maslahi yenu

  • @EdnaMuro-tx8os
    @EdnaMuro-tx8os Před měsícem

    MH anauliza hujaiona muda mrefu😅😮

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 Před 11 měsíci

    Nilisimamia ununuzi wa kiwanja kikaja kuuzwa hapo ofisini tena mtu kapewa documents zote pasipo cc kujua huo ninaumia mno nikipita kwenye kile kiwanja

  • @jumbekipeme1441
    @jumbekipeme1441 Před 10 měsíci

    Kuna kaimu mkurungezi anaitwa faziri na kamishina anaitwa hamisi wameshindwa kumariza mngogoro wa arizi mbezi kwa msunguri msingwa

  • @paterinishayo-ef4sx
    @paterinishayo-ef4sx Před 4 měsíci

    Kupata hati ni kipengele duuu nilifuatilia ya kwangu toka mwaka2005 miaka mitatu nasumbuliwa njoo kesho week ijayo mpka nikaachana nayo mpka leo cna huo mda wa kupoteza

  • @willydugilo3258
    @willydugilo3258 Před 5 měsíci

    Mfano wa mawaziri tunao wataka!!

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Před 11 měsíci +1

    Kidogo kama naanza kukuelewa wazili mana SS wanaichi tuna shida sana

  • @jamilahsakina1561
    @jamilahsakina1561 Před 3 měsíci

    😂😂😂baraka anajifanya ajui

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před 11 měsíci

    Mazoea ynakujisahau ndio hyo sasa.Huu ndio uongozi jmn.Sio unaandaliwa mahali kufika watu wanajipanga kwanza Ili uyajue Madudu yawatenda kazi wako nikushtukiza tu.hpo ndio shida.

  • @rudiaeliakim2172
    @rudiaeliakim2172 Před 11 měsíci

    mheshimiwa waziri nakukubali lakini utukumbuke na sisi wa nchi wako wa chanika kata ya buyuni mgeule juu hatuna maji tumechoka wamama kubeba ndooo kichwani tunakuomba utuone baba

  • @karimhasham8259
    @karimhasham8259 Před 2 měsíci

    Matapeli wa ardhi wamejaa kwenye wizara ya ardhi hao wote wanaelewa huyo mama wanamsumbua tu ukiwaangalia usoni unaona tu walivyo waongo

  • @abubacarsobo8981
    @abubacarsobo8981 Před 2 měsíci

    Hivi ndio watanzania tunavyotaka