WAZIRI SILAA AINGILIA KATI JENGO LA BAKWATA LILILOPORWA, LAGEUZWA KUWA DANGURO, KATIBU MKUU AONGEA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Waziri wa Ardhi Mheshimiwa Jerry Silaa amefanya ziara le Jan 18,2024 ya kukagua jengo linalodaiwa ni mali ya Bakwata
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    CZcams: / @babdeomiladu

Komentáře • 56

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 Před 7 měsíci +3

    Nyinyi bakwata mnashangaza sana, mnachokifanya hata hakijulikana, poleni sana

  • @user-tz9nb8tx9j
    @user-tz9nb8tx9j Před 6 měsíci +3

    Waziri upo vizuri sana okoa mali za watu

  • @allymnyenye8109
    @allymnyenye8109 Před 5 měsíci +1

    Kwa ushauri wangu namuomba Mama Ampe ulinzi mkubwa Muheshimiwa manake kwa akili na upeo wa kawaida tu ipo mijitu itatumwa kumdhuru

  • @bakarishekigenda731
    @bakarishekigenda731 Před 5 měsíci +1

    Hiisasa nzuri hatahukukwetu maeneo mengi ya bakwata yamehodhiwa na viongozi wasio waadilifu

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před 7 měsíci +3

    ,taasisi zilizo Chini ya bakwata zinadhulumu Sana waislam kuihujumu serikali

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před 5 měsíci

    Nimeangalia hili waislam tumshukuru mungu ndiye hakim

  • @Bashitetako
    @Bashitetako Před 4 měsíci

    Samia sijui alifkiria nini kumteuwa slaa kwenye hii wizara maana anaimudu sana

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Před 7 měsíci +1

    Bakwata majizi mitupu,
    Waporaji za ummah,
    Eti leo nao wameporwa eneo😅😅😅

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 7 měsíci +3

    Wanakudanganya hao malizote wamepena wenyewe kwenyewe

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 Před 7 měsíci

      Ndio walipenaa kindezi sasa imekula kwao litarudi

  • @ismailabbas4197
    @ismailabbas4197 Před 5 měsíci

    Kuna eneo kubwa sana pale Chang'ombe Dar, hata Sheikh Ponda Issa Ponda aliwahi kusema mali nyingi sana za waislam zimehodhiwa na viongozi wa bakwata, na nyumba za WAQFU nyingi tu zimeuzwa ama kutumiwa visivo halali.
    Tena kama Dar ni maeneo mengi sana hawa viongozi wa bakwata njaa sana

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata170 Před 7 měsíci +1

    Hizi ndio harakati sasa za kuleta maendeleo kwa waislam. INSHAALLAH ALLAH awaongoze vyema.

    • @ismailsoud3634
      @ismailsoud3634 Před 7 měsíci

      Maendeleo ya uislamu hayapatikani kwa kuhozi mali za wakfu, uislam unajengwa kwa IMANI NA MATENDO MEMA. Hayo ndio maendeleo ndani ya uislam. Uislam ni chombo SALAMA . Vinginevyo ni kumuudhi Allah ambaye mjuzi asiye danganyika.

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Před 7 měsíci

      @@ismailsoud3634 Soma dini uache kuwa zuzu na mjinga na kukariri mambo, Wewe unajua maana ya wakfu? Au kurejesha kilicho tolewa wakfu haifai? Kwaio Wewe ulitaka waendelee kulifanya jengo hilo dangulo? Kurudisha kilicho ibwa au tapeliwa haifai? Au Wewe ulitakaje kwa mfano yani!?

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Před 7 měsíci

      @@ismailsoud3634 Uislam halisia lazima apinge udhalimu ,Wizi, utapeli na kusimamia misingi yake na ndio maana wanarejesha kilicho tapeliwa, Hakuna taasi iliyoanzishwa na binadamu iliyokamilika na wala huwezi wapata watu walio kwenye taasisi hizo wakawa wakamilifu, Kama binadamu tunamapungufu na madhaifu mengi,Na hata taasisi zetu pia zina madhaifu na mapungufu mengi, Taasisi isiyo na mapungufu wala madhaifu ni ile ilio anzishwa na MUNGU mwenyewe sio binadamu. Kama huna mapungufu au madhaifu wakupe uongozi Wa waislam uongoze tuone wema wako.

  • @user-re3zo7ie5e
    @user-re3zo7ie5e Před 7 měsíci +2

    Bakwata kazi yao nikula mali za wakf na kuuza mali zao

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k Před 6 měsíci +1

    BAkwata Wao ndio wana shirikiana na Matapeli kutapeli Mbona RC Hawana Hayo kwanini? Waotu

  • @ibnkhaldoun9694
    @ibnkhaldoun9694 Před 6 měsíci +2

    NGOMA INOGILE, JE MALI ZOTE ZA WAISLAM TANZANIA ZITARUDI? TUNAOMBA FUPA LA CHAN’GOMBE LIWEKWE WAZI”.

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Před 6 měsíci

    Hilo Bakwata lenyewe mtihani mkubwaa kwa waislamu wa Tanzania

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Před 4 měsíci

    Huhu Waziri kila siku yuko Site sidhani kama ana kaa ofisini. Big up Waziri Sla.

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 Před 7 měsíci +1

    Tatizo ht wakirudishiwa wanayauza ht magufuli aliwahi kuwaambia haya bakwata

  • @mohamedmhina6
    @mohamedmhina6 Před 5 měsíci

    Ni waziri anaeupiga mwingi
    Laminitis waziri kuna siri gani na shati nyeupe

  • @ibrahimsaad617
    @ibrahimsaad617 Před 7 měsíci +1

    Mimi nita furai mkaenda Na markazi chang'ombe kiwanja chetu

  • @kaidiSaid-ot9nl
    @kaidiSaid-ot9nl Před 6 měsíci

    Allah awape afya njooni na singida ilongero waislam tumetapeliwa shule ambae tulijengewa kwa msaada wa mfti wa kwanza wa Tanzania baadaya mufti kufariki aliekua ktb wake akajakuibinafsisha ikawa ya familia yake na habari hizi ofisiya mufti sasa inahabari lakini imenyamza haija chukua hatua yeyote,,

  • @Mkonkotolyo
    @Mkonkotolyo Před 5 měsíci

    Jamani hizi simu za kutoka China zipigwe marufuku zina kelele saana

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Před 7 měsíci +2

    Wewe nuhu mruma na mufti wako ni wezi watupu, ushahidi tunao waislam

  • @alimaulid9543
    @alimaulid9543 Před 6 měsíci

    Ndo maana bakwata watu wengi hawaikubali kutokana mambo yao

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Před 7 měsíci +1

    Msimtapeli alie uziwa mmeuza wenye we mnadai wenyewe.

    • @ismailabbas4197
      @ismailabbas4197 Před 5 měsíci

      Alieuziwa nyumba ya WAQFU nae mwehu tu, unanunuaje mali za taasisi vichochoroni?
      Hiyo imekula kwake

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před 7 měsíci

    15:55 kama hii ya Ansar NI kitega uchumi cha kikundi kinachojiita baradha wadhamini haiwasaidii waislam na kumdhulumu mjane mayatima na kumfungulia kesi ya uvamizi pamoja kudhulumu watashinda wao kwakuwa mjane ni mnyote hana wansema wazi wao wenye tanga 😊

  • @user-zo4mj5yk6p
    @user-zo4mj5yk6p Před 7 měsíci +1

    BAKWATA Mataperi Wameuza Mali Nyingi Za Waislam

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 Před 5 měsíci

    Eti mali yauma wapen wauze hao bakwata

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu Před 6 měsíci

    hao bakwata ni vibaka wezi watupu shenzi hao

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před 6 měsíci

    Mnaficha nani anaemiliki hiyo nyumba sasa ? Kati ya hao hao, wakfu wa nyumba hiyo hawakupewa Bakwata, ilikuwa kwa taasisi nyingine, serikali ndio iliwapa Bakwata. Hapo kulikuwa na wapangaji na walikuwa wanalipa kodi. Baadae wakaondolewa wakampa mtu mmoja, wanamjua. Wajanja wengi Bakwata.

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s Před 6 měsíci

    Nchi ina mabeberu hii kisha vilemba vikubwa mbele ya kibla.

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk Před 6 měsíci

    Mahakama vipi Tena? Kuna haja ya kuwa na Mahakama kweli? Itabidi tutafute chombo mbadala was hizi Mahakama, Hizi Mahakama ndizo zimetufikisha hapa tulipo sasa! Mawaziri sasa wamekuwa Mahakimuu,

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před 7 měsíci

    Bakwata ni wale wale😢

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 7 měsíci +3

    Acha usanii wewe hao bakawta walopita nanyinyi wa sasa munatofauti gani?

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 7 měsíci

      Kwa hiyo waziache zizidi kuporwa na zitumike vibaya kwa kufanywa madangulo kama hivi au vipi?!

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 Před 7 měsíci

      ...watu wengine hawajiwlewi kakaa​@@rayisadesigns2646

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Před 7 měsíci

      Wewe jinga Sana Kabisa

    • @user-ul7jc8ll4n
      @user-ul7jc8ll4n Před 7 měsíci

      Kazi inapofanyika ki uwazi kama hv ,na kuonekana ktk vyombo vya habari ni kuwapongeza viongozi wote kwani ni ushahidi na vizazi kwa vizazi vyetu vijavyo,HONGERENI BAKWATA HONGERENI SERIKALI,

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 Před 7 měsíci

      Upewe wewe uongoze ulie msafi na mtakatifu na usie msanii.

  • @mussakiligaliga4348
    @mussakiligaliga4348 Před 6 měsíci

    Kwa waziri ww nnaiman utayaweka sawa

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 Před 6 měsíci

    Bakwata ndio wakulaumiwa

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před 6 měsíci

    AIBU NA FEDHEHA KUBWA KWA BAKWATA.

  • @RichardAugustino
    @RichardAugustino Před 5 měsíci

    Hv huyu waziri ana shati moja tu?? Maana kila siku ni hilo hilo tu

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 Před 5 měsíci

      Mpe msaada

    • @zubeiramlanzi2480
      @zubeiramlanzi2480 Před 5 měsíci

      Anayo mengi na yote yanafanana ata akibadilisha we utaona ni kama lile lile

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 Před 5 měsíci

      @@zubeiramlanzi2480 lkn hata hvy yy yamuhusu nini maisha ya mtu Jmn

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Před 7 měsíci

    Wakfu