PATANISHO : JAFRED - NILIKOSANA NA BIBI YANGU BAADA YA KUMTUSI MAMA YANGU MZAZI
Vložit
- čas přidán 10. 07. 2024
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho
Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - Zábava
Mimi ni mama but jameni tuwache ku control wake wa watoto wetu lets give them peace,..wewe funga domo the way u talk i feel like grrrrrr
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Kabisa
First coment kutoka Israel wapi likes ❤
Nimekuona
Mimi ni Hamas😂😂
Umeuwa watoto wangapi Gaza?
Unafanya nn uko man
@@solomonoduor karibu NLD
Mamas boy😂😂
Mm siwezi weka mke wangu kwa mamangu.
NEVER
@@kaninamargaret8025 watatembeleana wakisalimiana kukaa pamoja zii....
"Akamuliza mama, unapika mboka kani, mama akasema, leo nimeunda mishebebe"..................🤣🤣🤣
Mama mama mama mama
.wangu mpaka tv alikua anauliza mama tununue gani , 😅😅😅
Pole
Hii ndunia ya mungu Ina mambo.
Waaah.mimi siwezi tusi mother in law hta afanye aje.mungu uko
😂😂😂mm nangoja mother in-law apass ndo niolewe ju boyfriend yangu n kitinda mimba...kilakitu n mamake..hata naogopa kumuolekea ju mamake alifukuza father in-law...na mm sasa nitafaulu hayo maisha
MIL wants to control things but wife hataki ...... truth be told the wife didn't keep quiet pia yeye Ali react
👍👍👍👍👍👍👍
But dating mama’s boy is not easy
I saw this post FB. The wife ako too much. Kumtusi mama ya mtu sio poa. Respect matters alot.
Kuna evil mother inlaws wanapush mtu kwa ukuta especialky Luhyas,kama hujawai kuwa kwa hiyo shoe you can't judge,wamama wanacontrol mtu hadi kwa bedroom yake,hadi anataka ajuwe nywele umesuka ni pesa ngapi aih shindwe
Mother inlow should have some respect too you can't own your sons wife nop
@@marrieann5278weee c waluhya wote plis😂😂😂😂
@@MargaretAwinja-ls7hx Majority kwanza mm huyo nakhufiala alikuwa Mluhya mbaya sana alifanya nikachukia wanaume waluhya😂😂😂
@@MargaretAwinja-ls7hx majority ni wabaya sana,nimeona wakifukuza mabibi za vijana😂😂😂
Mamas boy hahaha
yes
@@sekanicanory9915 bt mama nae aachane na bibi ya kijana
Mamas boy bure kabisa
@@charitykamau4785 nakwambia my dear ni noma saana huuezi ongea mamake Amekufikia wee
Mama ni mama ata kama Ako na makosa ni mama hapewe heshima yake akuna mwengine zaidi ya mama
Mother in-law especially wa sai sio rahisi kudeal now ni kama mnacompe now,my sister use to tell me ukitaka ndoa mzuri tafuta penye mama mkwe alishapass😢😢
wewe ukiolewa...funga mdomo kwa mama ya mtu.
coz hata wewe utakuja kuwa mother inlaw....siku moja.
wasichana wa sikuhizi hawana heshima na mama za bwana.
ju yule mama yule ni kijana wake,,,amekuzalia mume,,,so nilazima ufunge mdomo...huwezi peleka mdomo kwa boma la wenyewe.
ju ukitusi tu mama mkwe,,,nawe pia utakuja tusiwa na bibi ya kijana wako
@@softymoha5484mawaitha hayo kampe mamako na mkeo na bintiyo,sijakuuliza ushahuri nyoko wewe
@@user-cg3vf2bl6b sasa matusi ya nini?
matusi hayana maana yeyote...
duniani sisi wapita njia....
hatutaishi milele,,,so ukitusi mwenzako...kaa chini ujiulize mbona unamtusi bila sababu
@@user-cg3vf2bl6b sasa matusi ya nini?
matusi hayana maana yeyote...
duniani sisi wapita njia....
hatutaishi milele,,,so ukitusi mwenzako...kaa chini ujiulize mbona unamtusi bila sababu.
mimi nimekujibu kwa sababu uliandika comment...usingeliandika....singelikujibu...bt nimekwambia ukweli....
@@softymoha5484Kwani mama mkwe akukosee heshima anataka akucontrol kwako,what is that? Si ako na nyumba yake hiyo ni yangu,niliolewa ndoa kama hiyo nilitoka unakuta bro na sis inlaws wanakucontrol hadi umepanga nyumba yako wanakuuliza nani amekwambia upange hivi,napewa pesa niende saloon mama ananipiga mkono ili pesa ianguke aone ni ngapi nimepewa then anacomplain eti sio lazima nishuke nywele,hai mabro na masiz wote wanakuja hapo muishi na wao,na mm kumbe kuna wawili walienda mm ni watatu na ni mama na watoto wake wanafukuza,nilienda bila kuangalia nyuma hata mtoto niliacha,saa hii analea kijana yangu hadi kijana yake alimwambia ju ulifukuza beba huo mzigo na ilikuwa makelele na kijana eti ulifukuza bibi yangu,alinifuatilia nirudi nilikataa,saa hii am happy married kijana hana mama wala baba sina stress,huko hata kijana alioa akatoka kwa boma saa hii bibi yuko hawamwongeleshi,kisa na maana eti amekalia kijana yao,sasa hao ndio mnawaita mother inlaw tuwaheshimu ndio sisi tuheshimiwe🙄🙄
Ukiona mtu ako na kiherehere ya kupinga sim jua yeye ndo mkosaji
Mamas boy
Hyo sio ndoa wee
Watafute nyumba yao..otherwise there will never be peace.
The mother should leave the daughter of law alone.
Hapa dawa nikueka baka gate
Mimi wangu ukitaka kuuuxa mbuzi lasima mama akuambie ni mbizi ngani utauza
Tell your mother to mind her own business.
mwanaume wa aina ii ni punguwani tu
STOP MARRIYING WIVES FOR YOUR MOTHERS, KAA NA WIFE WAKO
Huyo jamaa ndo fala. Unaachia bibiako kazi ya mjengo aje. Stupid
Sikuizi mothers-in-law and sisters-in-law are destroying marriages 😂