PATANISHO : JAFRED - NILIKOSANA NA BIBI YANGU BAADA YA KUMTUSI MAMA YANGU MZAZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 07. 2024
  • Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
    #RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho
    Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
    Mitandao ya Kijamii
    Instagram - rb.gy/e154d1
    Facebook - rb.gy/09d1b9
    Twitter - rb.gy/e23220
  • Zábava

Komentáře • 55

  • @julianamalinda2357
    @julianamalinda2357 Před 25 dny +13

    Mimi ni mama but jameni tuwache ku control wake wa watoto wetu lets give them peace,..wewe funga domo the way u talk i feel like grrrrrr

  • @solomonoduor
    @solomonoduor Před 25 dny +11

    First coment kutoka Israel wapi likes ❤

  • @thomasmwathe8575
    @thomasmwathe8575 Před 25 dny +8

    Mamas boy😂😂

  • @chullakoi8803
    @chullakoi8803 Před 25 dny +8

    Mm siwezi weka mke wangu kwa mamangu.

  • @carloswekesa254
    @carloswekesa254 Před 19 dny +1

    "Akamuliza mama, unapika mboka kani, mama akasema, leo nimeunda mishebebe"..................🤣🤣🤣

  • @linetkhavugwi209
    @linetkhavugwi209 Před 25 dny +3

    Mama mama mama mama
    .wangu mpaka tv alikua anauliza mama tununue gani , 😅😅😅

  • @AnnahNzoka
    @AnnahNzoka Před 23 dny +1

    Hii ndunia ya mungu Ina mambo.

  • @Ndakui
    @Ndakui Před 17 dny

    Waaah.mimi siwezi tusi mother in law hta afanye aje.mungu uko

  • @BridgitNafula-xq7xe
    @BridgitNafula-xq7xe Před 20 dny +1

    😂😂😂mm nangoja mother in-law apass ndo niolewe ju boyfriend yangu n kitinda mimba...kilakitu n mamake..hata naogopa kumuolekea ju mamake alifukuza father in-law...na mm sasa nitafaulu hayo maisha

  • @cathynaliaka5285
    @cathynaliaka5285 Před 25 dny +1

    MIL wants to control things but wife hataki ...... truth be told the wife didn't keep quiet pia yeye Ali react

  • @sekanicanory9915
    @sekanicanory9915 Před 25 dny +1

    👍👍👍👍👍👍👍

  • @sharonelekisha2722
    @sharonelekisha2722 Před 20 dny

    But dating mama’s boy is not easy

  • @mumbentahthomas9954
    @mumbentahthomas9954 Před 25 dny +2

    I saw this post FB. The wife ako too much. Kumtusi mama ya mtu sio poa. Respect matters alot.

    • @marrieann5278
      @marrieann5278 Před 25 dny +2

      Kuna evil mother inlaws wanapush mtu kwa ukuta especialky Luhyas,kama hujawai kuwa kwa hiyo shoe you can't judge,wamama wanacontrol mtu hadi kwa bedroom yake,hadi anataka ajuwe nywele umesuka ni pesa ngapi aih shindwe

    • @lilianambete1361
      @lilianambete1361 Před 25 dny +1

      Mother inlow should have some respect too you can't own your sons wife nop

    • @MargaretAwinja-ls7hx
      @MargaretAwinja-ls7hx Před 25 dny

      ​@@marrieann5278weee c waluhya wote plis😂😂😂😂

    • @marrieann5278
      @marrieann5278 Před 25 dny

      @@MargaretAwinja-ls7hx Majority kwanza mm huyo nakhufiala alikuwa Mluhya mbaya sana alifanya nikachukia wanaume waluhya😂😂😂

    • @marrieann5278
      @marrieann5278 Před 25 dny

      @@MargaretAwinja-ls7hx majority ni wabaya sana,nimeona wakifukuza mabibi za vijana😂😂😂

  • @vivianagolla5124
    @vivianagolla5124 Před 25 dny +5

    Mamas boy hahaha

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b Před 25 dny +2

    Mother in-law especially wa sai sio rahisi kudeal now ni kama mnacompe now,my sister use to tell me ukitaka ndoa mzuri tafuta penye mama mkwe alishapass😢😢

    • @softymoha5484
      @softymoha5484 Před 25 dny

      wewe ukiolewa...funga mdomo kwa mama ya mtu.
      coz hata wewe utakuja kuwa mother inlaw....siku moja.
      wasichana wa sikuhizi hawana heshima na mama za bwana.
      ju yule mama yule ni kijana wake,,,amekuzalia mume,,,so nilazima ufunge mdomo...huwezi peleka mdomo kwa boma la wenyewe.
      ju ukitusi tu mama mkwe,,,nawe pia utakuja tusiwa na bibi ya kijana wako

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b Před 25 dny +3

      @@softymoha5484mawaitha hayo kampe mamako na mkeo na bintiyo,sijakuuliza ushahuri nyoko wewe

    • @softymoha5484
      @softymoha5484 Před 25 dny

      @@user-cg3vf2bl6b sasa matusi ya nini?
      matusi hayana maana yeyote...
      duniani sisi wapita njia....
      hatutaishi milele,,,so ukitusi mwenzako...kaa chini ujiulize mbona unamtusi bila sababu

    • @softymoha5484
      @softymoha5484 Před 25 dny +1

      @@user-cg3vf2bl6b sasa matusi ya nini?
      matusi hayana maana yeyote...
      duniani sisi wapita njia....
      hatutaishi milele,,,so ukitusi mwenzako...kaa chini ujiulize mbona unamtusi bila sababu.
      mimi nimekujibu kwa sababu uliandika comment...usingeliandika....singelikujibu...bt nimekwambia ukweli....

    • @marrieann5278
      @marrieann5278 Před 25 dny

      ​​@@softymoha5484Kwani mama mkwe akukosee heshima anataka akucontrol kwako,what is that? Si ako na nyumba yake hiyo ni yangu,niliolewa ndoa kama hiyo nilitoka unakuta bro na sis inlaws wanakucontrol hadi umepanga nyumba yako wanakuuliza nani amekwambia upange hivi,napewa pesa niende saloon mama ananipiga mkono ili pesa ianguke aone ni ngapi nimepewa then anacomplain eti sio lazima nishuke nywele,hai mabro na masiz wote wanakuja hapo muishi na wao,na mm kumbe kuna wawili walienda mm ni watatu na ni mama na watoto wake wanafukuza,nilienda bila kuangalia nyuma hata mtoto niliacha,saa hii analea kijana yangu hadi kijana yake alimwambia ju ulifukuza beba huo mzigo na ilikuwa makelele na kijana eti ulifukuza bibi yangu,alinifuatilia nirudi nilikataa,saa hii am happy married kijana hana mama wala baba sina stress,huko hata kijana alioa akatoka kwa boma saa hii bibi yuko hawamwongeleshi,kisa na maana eti amekalia kijana yao,sasa hao ndio mnawaita mother inlaw tuwaheshimu ndio sisi tuheshimiwe🙄🙄

  • @florencemutuku6797
    @florencemutuku6797 Před 13 dny

    Ukiona mtu ako na kiherehere ya kupinga sim jua yeye ndo mkosaji

  • @justuskemboi2322
    @justuskemboi2322 Před 25 dny +2

    Mamas boy

  • @rachelmuch5788
    @rachelmuch5788 Před 24 dny

    Hyo sio ndoa wee

  • @susanmuthoni5482
    @susanmuthoni5482 Před 24 dny

    Watafute nyumba yao..otherwise there will never be peace.

  • @bettyauma349
    @bettyauma349 Před 15 dny

    The mother should leave the daughter of law alone.

  • @wakiama9609
    @wakiama9609 Před 25 dny +1

    Hapa dawa nikueka baka gate

  • @elisabethmbatha4245
    @elisabethmbatha4245 Před 20 dny

    Mimi wangu ukitaka kuuuxa mbuzi lasima mama akuambie ni mbizi ngani utauza

  • @bettyauma349
    @bettyauma349 Před 15 dny

    Tell your mother to mind her own business.

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 25 dny +1

    mwanaume wa aina ii ni punguwani tu

  • @Waziri77
    @Waziri77 Před 14 dny

    STOP MARRIYING WIVES FOR YOUR MOTHERS, KAA NA WIFE WAKO

  • @moreh462
    @moreh462 Před 24 dny

    Huyo jamaa ndo fala. Unaachia bibiako kazi ya mjengo aje. Stupid

  • @diackomwansu660
    @diackomwansu660 Před 21 dnem

    Sikuizi mothers-in-law and sisters-in-law are destroying marriages 😂