PATANISHO : ANANIPENDAJE NA AKONA MKISII - FEDY
Vložit
- čas přidán 28. 02. 2024
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghostasubuhi
Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - Zábava
Team gulf 💪 wapi likes ❤❤❤😊
Qatar 🇶🇦
Wakwanza hapa pita na like
I like you...fromUS
i like you from Kenya😂😂😂😂😂@@georgeogumogum837
@@georgeogumogum837 mmmh
@@agneswanjihia13832
@@agneswanjihia1383
mmmh ? !!! Hujui kizuri cha jiuza, kibaya cha jitemveza ?
Finally I here the kales wakiongea😂
Aki mapenzi 😂😂Ati ii miaka n mingi atuezi wachana 😅watu wanaishi ata miaka50 na wanaachana
Huyu jamaa ni fala sana 😂😂😂
Woiye..Fedy chukua watoto😢😢 wanateseka💔
After kuteswa ma bwana yake, watoto pia wakokua, bado watalaumu mama. I have witnessed this more than once, twice..
Alikuuma inself defence
The type of man I was married to
Sorry
Any Tanzanian here 👋
Niko
Tupo
Helloo🇹🇿
Hii,,,,dar mpaka mologolo
This is chairman of nersccist 😅
Truuuue
Bureeeee!
wakalee tumefikiwa😂😂😂
Robert ni mbwa tu
Nugu mzee pia 🚮🚮🚮🚮
Mama ndie Mbwa Kubwa. Ataka kurudi aendelee kuteswa. Pia na watoto wake.
Abusers pia hugeukia watoto at the same time or baadae. Usidangamwe, abuser
-s ni Shetani. Hajui mtoto wala mtu mzima
Yeye ufyeka fyeka wot
-e, akihadaa watu; "Mwaona vile napenda watoto wangu?" Na kumbe, hata pia ashaanza kuwalala. Even girls wa chini ya miaka 5. I promise u this. Hili ni aibu zaidi, hata familia hujaribu juu chini kuficha mambo hayo.
Me acha nibakie kuskia ndoa na mapenzi na kuonea view sasa juu wee single ni life tamu sana .
Tusidanganyane nobody is of age and enjoying singlehood. We’ve been there we know no matter how rich one is..
@@Prisca.W now a days no true love kheri mtu abaki single juu wah .
I doubt that@@zahraabdul9652
@@Prisca.W
*True* Better be a punching bag than solo. JINGOoo Hii.
yes Bwana Gidi, that's respect 😂😂😂😂😂
Kamtu kajeuri kweli kweli!
Mkisii was chilling😂
😂😂then joined gaaki ntige pii
Tuache sisi ndo tuko
Vihiga locked 🔒
Bungoma county locked in
Punngoma locked
Wakale mko kwa redio bana😅😅
❤gidi nataka patanisho Aston na make wangu Asenal
It can never be me
Hili chupa hatari.
Mko vizuri jamaa.
Ety mkisii 😢😢😢😢😢
Kweli hawa watu... wanajiharibia jina.
Busia county locked in
Kwanza nani aliambia hawa wanaume kuchapanga wanawake round hii mtati
This not the first Kissii wala wa tano. What's wrong with these people? Pia Meru muache ujinga.
Mkisii was just chilling 😂😂😂😂
Waaah
Force by fire 🔥🔥
hasira ya mkisi wachia chui
Hahahaaa. Hasira ya mkizi * furaha ya mvuvi. For those who don't know or hawakumbuki. Ni kama; "Mpiga ngumi ukuta, huumiza mkonowe".
Wakaleeee😮😮😮😮😮
Wah
Huyu ni ngombe ya binadamu
Kwani ni by force, cool down man
Forgive each other please. You have along way to go in your marriage. You have children & they should not suffer because of your differences, they need you🙏
Unataka anyongwe.
Nashangaa huyo mwanaume ni gaidi kwanza anaongea vibaya sana na ni hatari.
Alafu aka uwawe😢😢😡
Huyu mtu ni shetani😡😡 Fedy dont go back.Go take youre childern please
Huu mwaka ni wakufosi kweli 😅😅😂😂😂
Wakalee
Huyu mwanaume ni mshenzi sana
Anakaa na id na hajalipa hata mahari😅
Audacity😂😂😂
Ati utamwendea by force.zile enzi za mababu zetu😕
Mkale kwa vita ,ni nomaa ata sometimes wao uuma kwa kutumia meno
Wao huruma bila kutaka😂😂 akikukaribia meno ulifika mbele yake😅
Ati mtu anaita mwengine propertie yake ata panya hajapeleka kwao 😮run huyu atakunyonga
Ghost mkisii😅 usicheke
Me napita tu 😂😂😂
Udaku ya ploti.....ngoriiii😂😂
Ati udaku si ni ukweli hata yeye mwenyewe amesema ukweli.
Na vita, na kunyongwa, na kunyanganywa pesa umefanyia kazi, na kunyanganywa ID?
@@carolinenjoroge9092 😂😂 Caroline sijakataaa
Hawa waturudiana
kipsigis,koroom
This marriage is toxic
Mali yko na ujalipa mahari
Kichwa yko mbya ama
By force???😂😂😂
ATI HUYU NI BIBI YANGU HAWEZI ENDA MAHALI NITAMWENDEA BY FORCE .WEEE 😢😢😢
Why he still talking with mpanga wakanda. The solution to stop talking with that mama. And asked the forgiveness. Children are innocent please mama
Kimbia dadangu hakuna amani kichapo kunyongwa mwisho guess what next na bado kazi ngumu mjengo nooo
Na anajua I'd ruto alipandishia ni 2k hii ni punda na mwanaume,feddy labat kabsa koroom jiji
Nyinyi ni watoto mnatesha na hio ujinga yenu
Mwanaume pumbavu kabisa
Kwani unajukua I'd ndio amzuie, utakaa na ao watoto, pia atafute mume mwenye mpenzi, kwenda huko
Hii ni ng'ombe ya mwanaume
😂😂😂, wacha huyo jamaa achukue mchana wa president ,juu akna mtu atamdai mali
Kwa kimila lazima ulipe mahari...
Mipango ya kando ni kitu kitakufanya umwache mume wako bora anipe kila kitu sipanduki labda amue kuniacha pekee yake.
😢😢
Kuchapwa vita za mwili akinyongwa akae afe...tujifunze kujipenda
😂😂 Ngoja uletewe ukimwi
@@ruththatcher577huyu hajielewi anafaa aheal ndio ajue thamani yake😂
Akupe kaswende or HIV bado uko nae? Endelea basi, kama unajichukia hivyo. Na hivyo hivyo ndivyo utafunza watoto wako; kwa mifano mibaya.