PATANISHO : GIDI SI UMCHUKUE! WACHA KUNISUMBUA
Vložit
- čas přidán 1. 10. 2023
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghost
Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - Zábava
Aki kuna wanaume wengine walai..... Mungu tu ndio Anaweza kutatua mambo yao 😢😢😢😢
Pole sana Gidi,hii kazi ni. Ngumu. Lakini. We as. Our. Fans tunawapenda sana, and much appreciated ❤❤,💪💪💪
Khai kutoka Leo nimejua masomo ni muhimu na nimeapa ya kwamba nitasomesha mtoto wangu kwa Hali na Mali so help me God
Amen 🙏
Na ni ukweli Benjamin hakuenda shule. Maaa! This is hard small. 😂
Dada sana dada ninachokushauri huyo mwanaume hakuna ndoa kosa ulilofanya ni kuacha mtoto .Mimi nilitoka kwa mwanaume niliondoka na watoto wangu 2 mmoja alikuwa anaingia darasa la tano mdogo alikuwa anaingia la pili.Nitafuta tu uhamisho bila yeye kujua na nikasema naenda home kula kirismas ndiyo mpaka leo ukiona maisha hayaendi kuwa mpole fanya mambo polepole .hakuna mwanaume utakaemwambia naondoka na watoto akakubali
Huyu mwanaume jeuri gidi, nakwambia mwanadada a move on, hata Mimi ni victim. Gidi, tutaongea simu moja.
The moment u find yourself with immature man ..imagine the type of men we women deal with everyday🙃
Enyewe Benjamin hakusoma😂😂😂😂 thinking capacity is low , mrembo waja kujiforce kwa NDOA kuna wenye wako na 5 kids single 🙄🙄🙄
😂😂😂😂😂😂😂😂kimewaramba leo secondly huyo jamaa hana hata akili ya kuzaliwa 😂😂😂to the lady tafuta njia upate mtoto move on linda watoto Mungu atukupa ubavu wako and for my heroes gidi na coaches hio ni kawaida hukuna njia ndefu yenye haikosi kona😂😂😂kesho mutaweza 😂😂 love you guys for your good work
Huyu mwana dada namuomba tu asirudi kwa hiyo doa hata kidogo mutoto atamutafuta tu akiwa mukubwa
illetracy ni kitu mbaya sana ................ ati sijui kiswahili
Enyewe kimekuramba, west land na kajiado yote ni Nairobi 😂😂😂😂😂😂😂
Pole sana bwana gidi bt you're really strong keep up uyo kijana ni mjinga na he will regret later don't judge him
Ati unapenda 😢😢mwadhani kuja Nairobi tu hustle baby girl
Wiuuuu that man is rude na niwa bagi. The woman she's stupity wacha mginga aende.
She's very stupid and she doesn't need advice. She'll do what her mind tells her.
Pejaminiii pejaminii nimekuita malaa ngapi peja ukirabwa usiletee gidi ujinga 😂😂😂😂
Pole sana Gidi na Ghost. You have a nible calling ya kuoatanisha waliokosana. Kazi hiyo si rahisi wakati mwingine.
Nilitafuta hii patanisho Jana nikakosa but finally, but poleni gidi na ghost kwa kazi ngumu kaa hii
This lady needs someone support.
The man is rude
.
Gidi kimekuramba Leo😂😂,pole akii
Weeh! This has made my day! Why would anyone want to be with a crude man like this??
I think Winfred desperate to join mtoto wake mdogo
Hahaha This one will be goated bana. Leo Gidi amepata pwaguzi 😂 😂
😂😂😂😂😂😂😂
Ako kwa nyumba ya changaa na kuna mtu anamchocha
😂😂😂😂😂😂 Benjamin ni chizi kweli
Hayuko serious
Kiburi ya upuzi
The lady needs the adviser bcoz love nowdays have eye
But yake ni blind
Mimi siwezi hata better single mother that toxic marriage
Huyu ni mjinga sana....
From tuko nimeland hapa juu nilishangaa nani huyo ametusi Gidi😅 na huyu msichana anataka kurudi wapi surely wueh😢
Much appreciation from uganda Gidi kweli ni changa moto sana nothing is easy anyway some that man he don't have respect imagine let that lady be patient God with give her good husband vile huyo mwanaume anaongea jamani sijui ana vuta bangi ana megu ya bangi coz hajieshimu ata in public
Ww mwana dada endea mtoi urudi kwenu. Mungu atafungua kwengine
They say women love toxic men today I have proved it.
Aky Gidy minapotia mambo mengi mnatusiwa mnakejeliwa lkni muwe na moyo wa kufanya kazi na mungu atawabariki
Huyo mwanamke ajifanye mjinga aende achukue mtoto arudi kwao,huyo mwanaume ni mjinga sana
😅😅
Hata mwanamke ni mjinga. Seems amefanyiwa worse, if he can talk like this on live radio then what can he do in secret.
@@paulysutsiey649sio mjinga ni kuwa desperate
When the marriage is forcused Inthe name of mtoto.. Acha nisugue haman nikiwalea watoto wangu, kama Mungu alipata I will definitely get my rib the first hell on earth is a grieving marriage 😣 halafu emisatsa emiluyia chiayoma amakosi😅😅
Wanaume waluhya wanakuwanga na mambo especially wenye wako na mentality ya ushago wacha tu🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Awa wanawake wajinga ivo utokaga wap kubembeleza mwanaume wah
Kibe graduate's 👏
Education is important
Gidi..mambo ya watu wana share bed usiingilieeeeee
Wah! Benjamin ana hasira kali kuliko Ruto na hakusoma kama Ruto.
Noma aky
Tulikosana.na.mtu.kwa.miaka..tatu.hatujawai.patana.tena.nita.mpata.aje.anaitwa.herny.ogoR..Rambeka
❤
Ladies, you have to think twice before marriage. Be educated and have your own job, something to do for yourself
Kabisa 💯
You are right.....ukiingia Kwa ndoa kwanza kuwa na uwezo Wa kujitegemea ndio atlist wakueshimu
With the way they are being pressed to get married before 25 with nothing to get oppressed in this manner with no job. This man will be rude even to her parents.
Hashwa mtu mwenye yuko na mtoi mwenye si wa huyo mume ni poa uwe na job ndio uingie kwa ndoa
Huyu ameskiza Kibe sanaa😂😂
Weee pia Mimi kuna relationship yenye najiforce nimeachana nayo kuanzia Leo staki kujuta🏃🏃🏃
jipe moyo Hakuna kazi haina changa moto musichoke👍👍
Gidi umepewa bibi by fire by force 😂
Leo kimewaramba jameni sema Ghost kuingiza baridi😂😂😂.. poleni sana Gidi na Ghost kazi ngumu kweli.
Is this the kind of man this lady anataka kurudia!! Young woman jipende kwanza.
Roho ya Winfrey ni chuma jamaa ako na matusi but Winfrey bado anamupenda anataka kurudiana na yeye wueeh!
Awache kuwa desperate hakuna maisha hapo
@@lilian2660 yeah sure
Waaaah 🙆🏽♀️ Gidi kunywa soda upoeshe koo this lady should move on ata kama mulisema ati mnaforce issues hii apana live from south arebia 😢
kura ikiwa rejected kwa polling Station. wenye kura ndio hao.sasa
😂😂😂😂 Benjamin ni mkora
Poleni sana ndugu zangu 😂😂😂,,,, Gidi pole,,,, the guy is under the influence of something very very strong
Huyu mtu ako rude n very illiterate..wewe Wilfred huyo mume wako waa kweli wapitia.Pole Gidi kazi yenu ngumu jamani😂😂
Ata sio lazma aendee mtoto wacha atafutie aliyenaye
immaturity at top notch .hawa ndo watu mnazaa nawao 😏😏😏😏😏
Na mpewe 'psychology allowance' wueehhh😮
Pole Gidi hii si kazi. Mimi hii siwezi fanya aki
Ng'ombe ni ng'ombe.
Watu w mumias n kichwa
Watching live from Saudi Arabia 😂😂😂😂 Winfred seems to be desparate
😂
You guy do good work 💪💪
Go get your child Mama and run
Pole sana bwana Gidi,hapo ni ngumu
Hii ni ngumu kwakuwa aliichagua mwenyewe acha apambane nayo😂😂😂 from Tz
Benjamin ni mjinga takataka. Winfred usiende kwa huyo takataka.
Very rude🙄🙄..Na bado Winnie anataka kurudi🙆🏽♀️
SAD
😅😅 Education is important
Hiyo ulikuwa unataka Mr Gidi na ghost siku ya leo duh huyo jamaa Bern
Elewa huyo jamaa hakuenda shule..
Anyway I love your work @Giddy and Ghost.
Good job
Hii ilifanya hadi nikamfeel gidi walai yenyewe kazi ya utangazaji sio rahisi inaitaji uwe na roho chuma😢but we love you all guys #gidi#ghost 😊
This is why we must educate our daughters.
Hii mahusiano ya kujilazimisha ndio mwishowe huleta maafa kama si kuuwana na kuambukizana magonjwa mm ningekuwa huyu dem ningeenda kwa serikali nipewe mtoi wangu
Knowledge is power this guy has nothing on the head
Never mind every thing has a challenge
Hii nayo Ni Kali.. yaani Mara nyingi unaachiwa wanawake Gidi. Si uko na wengi sana unigawie.. Heheheeeee
thi's the man
Huyu hata wakiisha soko hapana
😢😢 msichana junga maisha yako , wacha akae na mtoto , nenda Saudi tafuta pesa ununue plot ,
Maasai akijifanya mjinga ni ngori. Anaanza kusema SUNJUI badala ya sijui...
😂😂😂
Walai mmi nakuwanga brathe 😂😂 kuna situationship zingine kama hizi can never ever be mee eyyy
Honestly am crying for the baby.
Heeee 🙆🏾🤔🤭 an believable 😢 Gidi pole sana 🙏🏼💛 this man same to be depressed or something else we never know
❤😂Best patanisho ever
Pole gidi,mwanaume Hana haya uyo
Wanawake hawapatikani rahisi bro 😢
Alipe mamorio watatu, wachukue mtoi na wanyoroshe jamaa
Ww haukutaka kutoka na mtoi.. Mtu c uwa anahepa... Wacha kujivuta kwa mwanaume... Tafuta kitu ufanye cha kukuletea income sikuizi hatubeg.
😅😅😅 Winfred you are not okey in your head
Gidi anajifanyanga taliban leo kimemramba😂
Pole Gidi😂😂😂but huyo mwanamke poa kichwa yake si mzuri
Na Alisha wawon.hakuenda shule
😂😂Leo kimekupata Gidi,,,,, challenges za kazi,hajui ni watu wangapi umesaindia😂😂😂😂hii kenya.pole lakini
Benjamin is Okay,,, he's just a student of Andrew kibe.
Atleast alishasema hakusoma 😂😂😂😂 and it's evidence
Ajielewi
Wawanga wana madharau na nimikundu bure nkt
Huyu ni mluhya wanapenda kubebewa majukumu yao especialy marachians
Wueehh!!
Kuna bwana kweli hapa
For sure let couples handle their issues alone
Nani amepiga simu....Ni mmoja wao
Na wakiuwana we start asking why were they not seeking help.
Alafu wakiumizana ndio utasikia mbona hawakutafuta usaidizi alafu kuna watu wengine hata mkikaa na yeye kuongea hawasikii kbx ni must utafute usaidizi ila wengine huwa hawasikii kbx