PATANISHO : NARUDI KWANGU KWA LAZIMA, NA SITAKI MKE MWENZA
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2023
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghost
Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - Zábava
My dear Ladies know your worthy don't show a man that you're desperate,no one will beat you for being single not unless you get a man who loves you & respects you, plz believe in yourselves.
Nlijua tu ghost atacheka ndio approve ni gidy 😂😂😂😂
Am sorry kwani hii kipindi ni ya waluhya??? I have been following for many years,this tribe make this show lit.....much love my luyha people...
😂😂😂😂😂😂aki waluhya na wakisiii😂
We! Ati bado unampenda😂😂😂 kichwa haiko sawa, but I understand you,
Aki huyu gidy na ghost hunitoa stress 😄 🤣 😂 ghost aki hunibaba. 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 mch love from saud Arabia
Hey
Magaidi tuko ndani😅😅
Anakubambia wapi haswa
Muko aje naona patanisho inawapeleka na rieng
Pambaneni na kazi, wale mnaezana na hao. Na tafathali mjipe nguvu ya kujizuia kutumatuma pesa yenu kwa wanaume wenu.
Ni wao wa kuwapatia nyinyi, as the head of the house.
Mkituma na kukuta mambo yameenda mrama, msirudi hapa kulialia. Protect your own future, mambo sikuhizi yamekua mbaya.
😂😂😂Wafula ulioa 😂😂Sasa Ruth awe second wife aje 😂😂😂. Mambo ni Matatu ukae single, ue second wife, au ukaolewe kwingine. 😂😂
Tachoni in the house,,,Ruth ww ni mwanamke wa nguvu💪💪
No boby has died of being single/ not having sex but many have died in wrong marriages ...ladies please know ur worth its very important
Wanawake tafuteni pesa muuache ujinga wa kuforce things banaa...weeeh mi xhaiz mwanaume aezi nisumbua😂😂
Me too
Ruth plzzzzzzz tafuta passport mapenzi achana nayo kuja tupambane na warabu
@@PeninaOnyango-hl8sb
Hayo ndio mapambano afathali. Km mapambano ni lazima.
Acha kupambania *bholo.
Women love yourselves.....
Tuko pamoja na radio jambo show Iko juu💪
ww Ni mjinga sana, nenda akate kinchwa😢😢
😂😂😂😂 waaah hii Kali 🔥🔥🔥
The laughter of ghost is on another level 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mambo n moto moto ,yapikwe yaive sawasawa,ndoa n ngumu watu wangu,kuna kupanda kushuka,madam jipange kama saa bado,hapa hakuna nyota ya ndoa,😢
Good question Gidi. Poor girl has no idea what love is. 😢
Ruth ukiwachwa achika,anaee kuwacha wachana naye move on, mbona masingle tuko wengi sana na tunachipenda
Huyu mtu ako na bibi, uongo anamtangana, Ruth wewe wachana na huyu mtu
😂😂😂😂gidi na coaches love you guys aende
Coaches ni akina nani?
Jipange mamii hakuna upendo kabsaaa
Witching life from south arebia I always get company from this side
Mapenzi ya kujilazimisha,huishia na kifo
Waluhya hupatana wapi mimi nipitie opposite direction, juu Wueeh 😊 nguvu ya kupanda pikipiki nitatoa wapi 😢
Gidi,hongera Kwa KAZI nzuri ya kupatanisha watu.Hua unanichanganya tu sometimes,na ni pale mtu analeta hoja ufanye patanisho lakini kama vile we unakua na mawazo kwamba makosa ni makubwa sana kiasi kwamba watu hawapaswi kurudiana,Kauli Yako inakua ya kuvunja zaidi na sio ya kujenga,Kama hapo huyo mdada anataka kitu chake na wewe unaona hafai kumufuatilia mume wake!!!Wewe hayo hayakuhusu hata kama makosa ni makubwa kiasi Gani,we patanisha tu bila ktoa judgement.
Hata km makosa ni ya kukata shingo? Wewe zaa wako uwaoze kichinjioni na kwa maafa yote duniani wakufe.
Don't advise watu wengine wafanye hivyo.
Sasa unarudi kufanya nini surely 😢 mimi siwezi
Akikufa utarudi kama ground inakupenda
Ukosefu wa pesa ndio inaleta hizi shida
Ukosefu wa wasichana kukosa kuzingatia elimu yao barabara. Na kukimbilia mapenzi kabla hujajisimamisha MADHUBUTI.
Ikiwa unapata nafasi ya kwenda shule and later masomo mengine, kazana dada mdogo. Au, utalilia chooni.
Tayari humu nnchini, bwana aruhusiwa kuoa bibi wengine, but si wewe.
So akikudanganya na ma promise na hata kuhapa Mungu umuamini, kosa ni lako. Wewe jimudu, ndipo, akija vunja promises, wewe unaeza kuendeleza maisha yako bila yeye.
Masomo pia yanakuerevusha kuhusu kile utafanya, should ur marriage collapse.
Na wewe km bibi, ukiolewa na bwana wawili, utafungwa. But, bwana wanaruhusiwa.
Hata hawajali sheria za ndoa za kanisa.
Ama atume fair be4 patanisho iishe good job gidi na ghost u really make my day always ❤❤❤
Aki wa mama tujipende Mimi Na jileleya watoto wangu wa nneana ata sitakangi kujuwa kama baba Yao ako ama alikufa sitakangi ata kujuwa Bora watoto wangu wasome , wakule wavaye Na wajuwe wazima Mimi Upendo ya mwanaume nilikata 2017 Madina streets ju namimi Mungu peke
Alaah, tena matusi kwa mamaa
Mbna mnajiforce kwa mtu jamani😮😮
Wafula man up bro ....na uko n kiburi miingi
Desperation is real
Ngoja kwanza,umemuita ati wafula,😂😂😂😂😂si semi kitu lakini Kwa sisi wenye tumeonja maisha ya ndoa na awa watu tunawaelewa ,na wakisema ukweli pia tunawaelewa ju wao kukuwekea lawama si kazi pia,ao tunawaachianga Mungu
Hahaha huyu mwanaume siwezi rudiana na yy ako na wife
😂😂😂😂😂😂bado naomba mrefushe kiasi tusikie maoni ya wananchi jameni tuko gulf tunamiss alot
You can live stream for free
Wanawake hupenda bad boys.... It's nature.
Very true nikiwa mmoja wao 😂😂
Wale akili kombo. Yes of course.
Imeandikwa wapi? Au ni kwa bibilia ya Mackenzi Shaka-Horror. Au
Labda wale wanaugonjwa wa akili.
True
That guy is a liar he thought she'll come begging. I pray she makes it big in life and leave this joker
Kabisa👏🏾👏🏾 huyu wafula anajiskia anadhania yeye ni oxygen🙄
Keep praying kabisaa,utangoja saana Kama HUYO madam atakuwa na mdomo ivo😅😅😅
@@susanmuthoni5482
Oxygen? Huyo ni Carbon monoxide. Au hata Sulfuric acid. Na arudi achomwe mpaka mifupa.
Gidi hiyo upendo anaongelea huwezi elewa😂😂
Msimamo ndio Ruth anataka 😂😂
Hizi ni gani sasa.Wafula ana mchezo mwingi sana.sidhani anampenda Ruth.Ruth arudi tuu kwake ajenge familia yake lakini akae rada na huyu mjamaa na hao mashemeji wake.
Ruth ajijengee. Sio ajenge kwa bwana. Kwa bwana si kwa bibi atakapo fukuzwa. Hata si kwa bibi 3 or 4...
Anaeza fukuza wote akitaka.
Acha siasa nyingi kina dada, jijengeni. Fullstop. Angalieni kina Waiguru, Martha na wengineo. Hawa gari zao haziendi reverse.
Unless ni kibahati mbaya beyond their control. Hao wamejimudu km. MATINGATINGA. Wamejijengea Shock absorbers TIMAMU.
MATHUBUTI.
@@VeronicaDunbar okay sawa.tumekupata vizuri dada 💯
Huyu Ruth ajifunze kujipenda!!
Akufukuzae hakwambie toka.
❤
Yuwajua hapendwi, ni basi tu. Acha akanyo...
Shauri yake. Awache watoto wakilia for the rest of their life.
dada wewe jipee shuguli na uombee mungu
Waaaa😮😮
Mimi sina uwezo mimi sina nguvu ya wanaume Kuni stress.....life ni fupi utakufa stress uwache watoto wako wakiteseka mimi NO
We should redefine love, whats wrong with people loving themselves,yawa
So you want peolle to marry themselves? Can they have children?
@@muzina618
Yes they can have children. Kwani 'huko' kuna kufuli?
Gidi nawapenda sana na ghost but mnasaidia watu Sana ata mm mnisaidie
panda pilipili teketeka were atajua hajui 😂😂😂
😂😂😂😂 we need ladies kama hao congrats Ruth
Move on mama achana na huyu mzèe
😂Akufukuzae hakwambii toka...lakini huyu anaambiwa toka na hatoki😂...atakuja kulazimishwa kutoka..😅😅😅
I was looking 4 this methali. Further more, hata hakumwambia rudi. Ni yeye ataka kujirudisha.
@@VeronicaDunbar 🤣🤣😅
😂😂😂 weuh if u are having stress,listen to this show and the stress will be relieved
Wafula ni mjinga Sana..utoto na pride ya ushamba..Wafula ako na mke.😂😂😂
Cheei jehovah lord never allow me to be this desparate
Ruth ako na ujinga, after hizo madharau zote?? 🚮 huna akili unapenda nini hapo 🧟🧟
Na sasa nguvu ya kurudi unatoa wapi surely anyway all the best 😮😮😮😮
Move on mama
Ruth ameamua Wafula kwisha
nakumbuka nikiwa holiday ya ushagoo tunaskia patanisho na time ya kuenda shamba imefika mum could chase us😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂pikipiki was chilling then booom
Trauma bound
Woii jesus Ruth una nguvu
This is not love woman just move on with life .huyu bwana hana mapenzi ukirudi utateswa zaidi
A woman in love cannever be advised
Eeh kwenda uko ulikuwa wafikiria Ruth atakupembeleza...pia Ruth ugemwambia aoe do asiwai kudharau tena...
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Noma
Hivyo,watu wao wakikuchokoza hufai kuongea,inafaa ujiweke apo kama dongo wakufanyie vile wanataka wao wako sawa ,hahaaa, sweetie move on, utapata bwana
But sometimes hatupari daily show mbona mwaruka ruka
True
Eyy its not funny , she should never go back to that man jamani and if ni must adudi ,it should have been the mans efforts to get her back jeeezzz ladies ,when will we ever learn ?? This made sick arrrrrrgh
Waoh she is a gd woman though lakini wafula cheeii
😂😂😂 Ruth mapenzi aachie diamond na zuchu aanze kujipenda 😅😅😅
Nimependa hii comment ya 🔹 na Zuchu.
Nimecheka Hadi machozi ikatoka🤣🤣🤣🤣🤣
Good job
Mapenzi aki Ruth hujuwi kumove on
We! Mambo imechemka kweli
Hii wangeweka to be continued .....
Hii patanisho nikali buy forced 😅
Wafula....owngoal.
Mapenzi 😢
Heri no mpambane na mwarabu nisaidie wana angu kushinda mwanaume joker
Will you do that forever?
@@sirmburujohn8622
Na abusive husband ni lazima forever? Wewe funza watoto wako wauwawe kwa ndoa. Sio hapa.
Ruth ulipikiwa dawa Rudi huko Kwa kina Wafula ndio uone mateso sawasawa ata huyo Wafula hajakomaa akili vile namsikia 😅
Mambo ni matatu wafula naona kimekuramba😊😅😅😅😅😅
Huyu mtu ni ghaidi, ukweli
Ruth we tafuta job ule mtoi wako here we uko na mmoja
Angoja azalishwe 3 ndio ashike akili.
The power of doshi 😢😂
@juneakech4987. ww Sasa ndio umekula uzito WA chuma
😂😂😂 otek nyamin
Yaani kwani mliumbiwa roho ya mawe jameni ju mimi ata sina shughli na mtu si mnateseka kwa hizi ndoa zenu
watatu leo nawapata vyema nikiwa Pemba zanzibar
Pemba oyeee!
Haki Giddy anaweka finyo, na Gost anacheka tuu
Mapenzi shikamoo 😂😂😂
🤣🤣🤣🏋️
ALITUSI MAMAKO KWANINI??? ANA WAZIMUUUUUU?????
Mimi atamimi nigenda kama ni vita hiyo nyumba ichomeke.
Why you looking for excuses kila corner mama please move on this is not love
Nisiwahi fika hii level ya desperation mungu wangu 😢
Na ukifika na uanguke, jiokote na uanze tena from 0⃣.
Contract ju ya contract team Saudi halloo
Wa kwanza
Huyu jamaa ako confused sana!.
This was hilarious
❤ 6:32
😂😂😂😂😂😂😂hii ndoa inakaa tu vituko
Women know your worth .Hii desperation ni mbaya
Hilo dada ni pumbavu,kifo kinalisubiri, jinga kabisa.
Lord forbid. But tunakatazwa kurudi na wataalamu.
Silly woman.. he doesn't love you.. stop insisting