PATANISHO : KAMA TUNAZOZANA ANANIULIZANGA TU KAMA NISHAI LALA NJAA HAKUNA KITU INGINE - MARIAM
Vložit
- čas přidán 23. 03. 2024
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghostasubuhi
Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - Zábava
Waaah mapenzi iko na wenyewe....tangu nianze kudate pesa kamwili kamenona....TEAM fulus msininyime likes😂😂
😂😂Naomba unipitieko please nafanyako comedy 😂😂
Mimi hapa pia fulus baas mafi mushikilah habibty 😅
Mwanamke apotezagi,je wanaume yenu ni ipi,
Usiootunza bibi atatunzwa na jirani bila waaaas🙏🙏😋
Kumbe umelindwa vyema wacha tunyama tuje
Hapo hakuna bwana..mine too was a mama boy..hao watu wakishikana utakula nyama daily but unapoteza kilo tano kwa week moja tu
For me! it's Ghost's laughter it's so infectious 😂😂😂.
Nyinyi Muna sema huyo mdem ndio akona makosa hamjui kuishi na mtu anafanya vitu na ma sisters wake,mama yake behind your back vile inauma, I've taste it before i know the pain.the Man is the problem there.
Thats true, ningumu sana, kwanza the man is very arrogant. Let him go and marry his sisters.
@@ambinya yes, and here they're busy saying the lady I the problem.let the girl leave and he marry the sisters and the mother nonsense.
@@fashionKalmahousewanawake hamjai kubali makosa.
I support this
@@user-ul8xh7dk5p makosa gani,nga nga nga ATI unaambia sister yako hadi vile umelala na Bibi yako.mpaka vile unaplan kubuy shamba.usseles.
Hawa n damu mbili tofauti hawawezi iishi vizuri
That marriage is already damaged beyond repair,I would advise them wapeane break everyone is tired and very bitter na hawaelewani ataa.Two different people in the same house in the name of marriage
Gidi is very Patient wueh!
Kabisa 😂
Walae huyu jamaa ni njaa ya kitanda sio ya mapenzi ama family
Huyo mwanaume lazima ni mmeru! Hawasemangi "I love you"! 😂😂
😂😂😂😂
Amesema ni mkamba wewe 😂
Akuna mwanamke hana kelele aki mwanamke ni mwanamke
unachokitaka arudi kitandani nishakijuaa😂😂
We ni mbea kweli😁😂😂
Drought and famine😂😂
@@doricecyprian7246 hahahaaaaa ugwadu umemshika
Nendeni mlalalane... Mapenzi ya kitanda haipo
Alafu kuna vile hamko compatible 😊
Kuna huyu wangu anategemewa kwao😮ndugu zake watoto wa dada zake mama yake... Sijui nimpe time amalizane nao kwanza... They might be stress to me .. na ndio twataka kuoana😮
Yaani ata I love you hawezi sema😂😂😂😂😂 weuhhhh huyu hapana 😅😅
Radio jambo haipatikani kendu bay
Uyu muzee nimubaya na familiar yake ni wabaya I know some people who have the same problem
Hawa wanajuana wenyewe 😂😂😂😂😂
Wueeeee ku date ama kuoana ma breadwinner ni tricky😮
Alafu nyumbani anakufuga kama kondo 🐑 🐑.
Mum jitume kabisa huyu mwanaume asikukule akili ikiwezekana pia wewe jifanyie vitu zako za siri since pia yeye anafanya vitu zake kwa siri.hapa hakuna ndoa
Ukweli mtoto wake hawezi kumpeleka hospital lkn watu wao kioawa mbele
Basi si aodoke kuliko kuumizana roho,italipuka.
Some marriages need separation for individuals to search their souls. Especially if there is blame.
Men should understand ndoa si kitanda tu...kuna mambo mengi Sana.
💯
This family just need a prayer
Waombewe kama wako kando kando
Napenda patanisho kwa sababu ya Ghost venye anachekanga tu hakuna kitu nyingine 😂😂😂
Waa mapemzi yawaa Tano tena
Nipitie leo please I do comedy 😂😂
😂😂😂😂
😂😂
@@a.k.a-rokila Naomba unipitie please I do comedy 😂😂
comedy gani unatangaza?@@worrylesstv
Kama hujawahi pitia hayo huwezi kujua. Mimi hata one of his parents passed na nikapata news from neighbours. Mpaka outsiders waliambiwa about it but mimi hakuna mtu aliniambia being far from home
uyu mwanamke anaroho mbaya na familia ya mumewe nimemsoma ila na mwanaume wasaidiye na wakwe zako kidogo kidogo wanawake tuna wivu juu ya hilo na ndio huleta kuto kuelewana na wakwe na mawifi
Yes the lady ndio shida hapa
Please bro si Leo hata uniwahi Support please I do comedy 😂😂
Shida iko both sides hakuna vile mwanaume atafanya vitu kisiri na familia yake then mwanamke akose kukasirika,eti amenunua shamba na hata mke hajui,mtoto scanning alikataa kutoa pesa eti ni mapepo,mwanaume mwenye anaside na watu wake ndoa kusimama ni shida ju wanamcontrol,ni arekebishe tabia hata yy
Jamaa ataacha familia yake. Dio asaidie ya mamake he will one day regret
Keshi na mwanamke utaweza kweli bro
Hapa hakuna ndoa,hadi shamba limenunulia bla wife kua involved. Neno I love u haliko
Hahahaaaa hapo akuna Ndoa pls,,, hawa ndio Wanaume unasikianga hawajui Romance yaa their are not Romantic
Romance wachia wazungu sisi yetu nikuuza uji
Apa akuna ndoa,mzee ako tu na njaa ya kitanda
Huyu jamaa hayuko romantic, hata maneno matamu hana, cha maana anajua ni urudi kwa bed... NONSENSE
Aaai, nilikuwa na bibi kama huyu muamerika alikuwa hataki nisaidie watu wangu Kenya na hiyo ni shida kubwa.
Enda shtaki kwa Gidi wa America
@@barygarcia3128😂😂😂 we mzee
😅😅😅😅😅😅😅
@@barygarcia3128 😊😊😊😊
Awa waachane for better life
nimepitia kaa ii 15year ago,hapa hakuna ndoa baadae wataachana tu kaa munda umeyoyoma,ruuuun dada mm wachie watu wao
Leo gaidi ameamua kulalia kwa huyu bwana mwenye ana future kabisa😂😂😂
this is surely hilarious🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa wamezoea hio lifestyle bana 😂😂😂
Ndoa imekuwa ndoano wueeh 😅😅😅😅
Ila bibi anaonyesha anaweza sana kwa kelele. Hata mimi hapa sitaki bibi ya kelele.
Communication is very important in marriage.
That's not marriage.
Kindly frequency ya 100.1 kericho ilipotea it is like a month now please
Why do people rush into marriage without thinking that they're acquiring another family and if you can't provide for both your people and hers, it might not be a good idea kuoana yet.
Mi ni Helen wangu hakuwasaidia watu wakwao bt alikuaga fisi 5:51
Hii nayo ni ngumu Gidi hapa hakuna ndoa
Ndoa ngumu sana. Wacha nikae sungle
Hapa hakuna ndoa kabisa😢
These 2 need to see a therapist. A marriage counselor would be of great help. Love is still there, they just need to work on things
anarudi ju ameskia siri, shamba imenunuliwa
Mwanamke kihelehele
huyu jamaa hakuli bibi, simple
Huyu mwanaume anadhani ni mambo ya chakula peke yake ndio hutengeneza ndoa?shame on him
KWANI HUYU JAMAA,,,AKILI YAKE NI VITU MBILI TUU ZA MHIMU MAISHANI?? HUJAWAI LALA NJAA NA KUJA KWA KITANDA
Ukioyesha bibi hana siri yako inakuagumu atakama Halali njaa.
Toxic relationship
🤣🤣🤣🤣
Huyu Jamaa ni sex tu anataka nothing else
Dryspell ni noma
But sio poa kuwa under one roof kila mtu alale kivyake.
lack of communication.
Mwanamke ako Sawa...... Siezi jenga kwenye sioni future.... Huyu jamaa aoe Familia yake
❤ like back guys
Huyu ako na njaa ya sex tu, Hapendi wife yake. The man is very arrogant na mshamba..
Rudi kitandani uongezwe mimba plus shida huyu jamaa anataka sex tu upendo hamna run for your life the early the better
Ukweli kabisa, alikuwa ashaweka kauli kuwa atatoka kwenye hiyo ndoa, lakini aliposkia Kuna Shamba tuu....baaaas, kitamramba
This man is the problem.
He is unable to manage a family.
Mlei is fool , Giddy I don't know why you choose this man as your work mate , his laughter is very irritating. He should style up
You're just bitter with everything, go heal
It irritates me as well