PATANISHO : NAMPENDA MKE WANGU LAKINI MPANGO WANGU WA KANDO BADO AKO LAKINI SINA NAMBA YAKE
Vložit
- čas přidán 30. 07. 2023
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #gidinaghost #patanisho
Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - Zábava
Siku nitasikia eti "Hello nakupigia kutoka Radio jambo" nitazima simu hadi iishe
😂😂😂
😂😂😂😂
Atarudia tena na tena a cheat is always a cheat ukimsamehea ones jitayalishe kumsamehee ten times
Msamaha NI mala sabini per day😂😂😂
@@dicksonkiraithe6369 time ya kumgoja mala Saba ndio MTU achange ndio hakuna
😂😂😂wayab😂
Always think before you act
Namesake heheheeeee
Kienyeji Barida...
Haiii shalon msamehe tu atajinyonga huyu😂😂😂Rudi tu
😂😂😂😂
Nimefikiria nimerauka kumbe watu ulala studio😅😅
Mpango wakando alafu sa zingine ako na nyash size 44 kuwacha ningumu thooo
😂😂😂 omera
😂😂😂😂Tunned
This kind of begging for relationships... issa no... 😮😮.
Tafuta kitulizo cha roho😅😅
Ati ting, ting, ting mpesa😂
Sameheaneni mkaanze maisha upya! kukosea ni sehemu katika maisha ya viumbe binadamu, wengi tuna mspungufu sana.
Waluya na patanisho😂😂😂
wewe usituingilie hivo bana😂😂
Waluhya na patanisho aaih mumezidi
Hawa watu hunyenyekea hivi they revenge
Hiii siwezi taka hata kua karibu na wao
Mpesa 😅😅😅😅
Waaa niko sawa sana patanisho 1st tena 😅😅 nawakilisha watu wa NLD
Sitakufanyia Tena matarau 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Albert ni kama anamtegemea Sharon kimaisha yaani parasite 🦠
😂😂😂😂 uyo manaume aji chocha .
Mpee tuu time but apo kwa roho utulie 😂 😂
ooh namesake, umeniuzaaa
😂😂
Naskia jina Albert na Sharon nashtuka kama ni mimi naitwa hehe, my ex ni sharon, ama hii ni future?
Sasa anataka number ya mupango wa kando ama😂😂
MISAMAHA YAZIDISHI UKIMWIIIIII!!!!! NEVER
Maybe itatulia in the next election 😂😂😂😂
Watu hutoa nguvu wapi na hii uchumi kuwa na mpango wa kando 😂😂😂😂
I hope my husband amesikia hii patanisho 😅😅
Nime skiya
Alaaaa
@@StephenOdhiambo-kn4md wacha mipango ya kado yawa 😂😂😂
Is this thing normally staged? Jamaa ako boring sana huyu 😂😂😂😂
😅😅😅
Mimi tuu niskie tuu sauti ya gidi na gosti ni kuwekaa block Mara that,,,
simp of all simps
Creme DE creme😂
Mwanaume nayo ku simp ni kitu ya kawaidaaa Sanaaaaa
Mwanamke ni maringo Wacha kuomba. kaa mwanaume kamili na uache kulia kaa mtoto.tell her to hell with her.