PATANISHO : KWANI HIZO MIAKA ZOTE NIMEKULETA KWANGU ULIKUA UNAKULA MAWE? - KINGSLEY
Vložit
- čas přidán 20. 03. 2024
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho #ongeausikike
Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - Zábava
Nimekiwa wakwanza nipeni like zangu 🎉🎉🎉
Zimetosha
@@josephngolaapana😂😂😂😂😂😂
Huyu ni nani mwenye tabia za watanzania kutaka likes😊
@@ChristineNasambuWekesa-is9qx wee achana na mimi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@lisazainabu3626 mm nataka nikuongezee kwa tikitok ndio upate kakitu huko
wakisii na wakikuyu is the hardest patanisho
Kwani were ni kabira gani?
Ghost yuko wapi leo,lazima akue anacheka kwa kila sentense,hapo kwa kulewa akiwa mdogo Ghost umetuangusha,ungecheka ndio story ikue tamu.
First time kusikia patanisho y mkisii any kisii in the room pita n likes😂❤
Zinakuwanga,ukisikiza live utashangaa ni mob
Hapo kuna shinda , uache 24 year old wife kwa nyumba peke yake mpaka saa sita usiku, kijana huna bahati , hii shamba lazima utalimiwa
Ghost. You always make this patanisho lively. Yaani unacheka hata kwa matanga😂😂😂
Team hammam like zikam kama zote😂😂
Team fulus😂😂
😂😂😂
Tuma kakitu
Here
Mawe wa just chilling then boom💥💥😂😂😂
😂😂😂😂panya was just chilling
Radio Jambo saidieni wakaanji wa langata na phenom . watu wa motorbike wamekuwa mungiki wanakataza matatu ziingie kwa estate tunawekwa langata road eti dio wabebe watu kuingia kwa estate na wanatulipisha bei kali sana (sh70) of which all routes za langata kutoka town ni 70. walisema hiyo stage ni yao na hakuna matatu itaingia huko. tusaidieni vile mnaweza coz ata watoto kwenda shule wanaumia sana na sisi wazazi tunateseka pia.
Wah, seriously?
This is very serious and unsafe
Hope mlisadika jameni
Aki hii Kenya imeshakua balaa
Ata mi siezi rudi kwa mwanaume kama uyu
Wakisii na makasiriko wakiwachwa
Team fulus mpo
Tuko ndakas
Tuko sana🤣
Tuko kallas jibi
Kingsley ako n maneno
Patanisho ya leo kiboko 😂😂 mafuta 10 litre kwa mwezi.
Wakisi stingy hoyeee😂😂😂
😂😂😂
Wueh Chosphat 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwanamke atakuja kuregret later
Huyu jamaa makosa n yake mwanamke kama hanachakula lazima chat aombe kwa mchepuko
Kweli
This simp will see fire.
Aki ghost
Hadi unaclap
Am kuff 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mapenzi ya mtandao ... Hatari sana
Bwana Gidi, job yako ya kuokoa uhusiana ni ngumu kuliko ya Yesu alikuja kuokoa watu. Jihadhari usisulubiwe Calvary kama Yesu.
😂😂😂😂😂huyu ni ule jamaa wa tittok ako na dreadlocks 😅
Gidi unaongea mingi ati AI wewe pata bibi yako aki chat na jamaa kwa FB uone vile uta feel.
Eti mafuta ltrs ndio kitu unaambia watu, wakati wengine wana suprise bibi zao na magari jinga sana.
Wapil leo
Supposed to be Luhya prince wa facebook.
😂😂😂kwani unamjua?
😂😂😂😂😂😂
😂😂
Giddi is so biased when it comees to men
Thank you...saana
Bibi akimjatisha mwanaume ni kubaya sana si wewe pekee unafanyiwa hivyo kaka but kitu nakuambia umjabe huyo bibi then ufukuxe kwao.
nimeskia ati panya.
Wueeeh 😅😅😅😅😂😂😂
10 litres for a month aiiii
Kijana wachana na simu ya mwanamke tafadhari kwa amani
Chips fry😅😅😅😅1 litre ama 10 litres😅😅😅😅
Ghoodt mleeii god will gudge you wewe job ni kicheka tuuu
Very petty couple
😅😅😅😅
Nakumbuka nikua na date na mkisii tulipowachana akaniambia nataka palupu 💡 yangu na Arielya tifi hawa watu they don't take device easily 😅😅😅😅😅
Palupu😂😂😂😂
Hizo ni mawhat unatuandikia,fafanua tuelewe😂😂
😂😂😂atii alitaka nini?palupuu🤣🤣🤣 nimecheka yangu yote
😂😂😂😂😂😂 niue vile wataka
😅😅😅😅😅😅😅aty palupu....eeeeh!
Gidi wewe uko na bahati kubwa ndoa yako iko sawa,nyweeee.Unataka kusema upate bibi yako akichat na mwanamume mwingine utafurahi,Cheka tu?
huyu mtu ni mjinga sana... yeye huwa wanawake wake anawapatanga tuu kwa barabara na anawaleta nyumbani...sheny sana, i am sure ata simu yake haikosi ma-chats he isnt innocent
pia