PATANISHO : KWANI HIZO MIAKA ZOTE NIMEKULETA KWANGU ULIKUA UNAKULA MAWE? - KINGSLEY

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 03. 2024
  • Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
    #RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho #ongeausikike
    Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
    Mitandao ya Kijamii
    Instagram - rb.gy/e154d1
    Facebook - rb.gy/09d1b9
    Twitter - rb.gy/e23220
  • Zábava

Komentáře • 75

  • @lisazainabu3626
    @lisazainabu3626 Před 4 měsíci +22

    Nimekiwa wakwanza nipeni like zangu 🎉🎉🎉

    • @josephngola
      @josephngola Před 4 měsíci

      Zimetosha

    • @lisazainabu3626
      @lisazainabu3626 Před 4 měsíci +1

      ​@@josephngolaapana😂😂😂😂😂😂

    • @ChristineNasambuWekesa-is9qx
      @ChristineNasambuWekesa-is9qx Před 4 měsíci +1

      Huyu ni nani mwenye tabia za watanzania kutaka likes😊

    • @lisazainabu3626
      @lisazainabu3626 Před 4 měsíci

      @@ChristineNasambuWekesa-is9qx wee achana na mimi🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @josephngola
      @josephngola Před 4 měsíci

      @@lisazainabu3626 mm nataka nikuongezee kwa tikitok ndio upate kakitu huko

  • @Waziri77
    @Waziri77 Před 4 měsíci +17

    wakisii na wakikuyu is the hardest patanisho

  • @irineadisa7289
    @irineadisa7289 Před 4 měsíci +15

    Ghost yuko wapi leo,lazima akue anacheka kwa kila sentense,hapo kwa kulewa akiwa mdogo Ghost umetuangusha,ungecheka ndio story ikue tamu.

  • @lucinahmoranga2358
    @lucinahmoranga2358 Před 4 měsíci +3

    First time kusikia patanisho y mkisii any kisii in the room pita n likes😂❤

  • @user-cw6yt5yu4p
    @user-cw6yt5yu4p Před 4 měsíci +8

    Hapo kuna shinda , uache 24 year old wife kwa nyumba peke yake mpaka saa sita usiku, kijana huna bahati , hii shamba lazima utalimiwa

  • @lukasobiria7912
    @lukasobiria7912 Před 4 měsíci +2

    Ghost. You always make this patanisho lively. Yaani unacheka hata kwa matanga😂😂😂

  • @BridgitNafula-xq7xe
    @BridgitNafula-xq7xe Před 4 měsíci +12

    Team hammam like zikam kama zote😂😂

  • @susanmuthoni5482
    @susanmuthoni5482 Před 4 měsíci +1

    Mawe wa just chilling then boom💥💥😂😂😂

  • @norahmatheka
    @norahmatheka Před 4 měsíci +3

    😂😂😂😂panya was just chilling

  • @sallybethany8460
    @sallybethany8460 Před 4 měsíci +3

    Radio Jambo saidieni wakaanji wa langata na phenom . watu wa motorbike wamekuwa mungiki wanakataza matatu ziingie kwa estate tunawekwa langata road eti dio wabebe watu kuingia kwa estate na wanatulipisha bei kali sana (sh70) of which all routes za langata kutoka town ni 70. walisema hiyo stage ni yao na hakuna matatu itaingia huko. tusaidieni vile mnaweza coz ata watoto kwenda shule wanaumia sana na sisi wazazi tunateseka pia.

    • @b.3940
      @b.3940 Před 4 měsíci

      Wah, seriously?

    • @beryl804
      @beryl804 Před 4 měsíci

      This is very serious and unsafe

    • @karimimiriti3827
      @karimimiriti3827 Před 25 dny

      Hope mlisadika jameni
      Aki hii Kenya imeshakua balaa

  • @rhodamueni2275
    @rhodamueni2275 Před 4 měsíci +4

    Ata mi siezi rudi kwa mwanaume kama uyu

  • @consolatamusavi6783
    @consolatamusavi6783 Před 4 měsíci +7

    Wakisii na makasiriko wakiwachwa

  • @user-dj4vq4ry6z
    @user-dj4vq4ry6z Před 4 měsíci +5

    Team fulus mpo

  • @maryannrose683
    @maryannrose683 Před 4 měsíci +3

    Kingsley ako n maneno

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Před 4 měsíci +3

    Patanisho ya leo kiboko 😂😂 mafuta 10 litre kwa mwezi.

  • @user-ul8xh7dk5p
    @user-ul8xh7dk5p Před 4 měsíci +6

    Wakisi stingy hoyeee😂😂😂

  • @sadieglam5454
    @sadieglam5454 Před 4 měsíci +3

    Wueh Chosphat 😂😂😂

    • @oudesusan
      @oudesusan Před 2 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @cliffnyariki1513
    @cliffnyariki1513 Před 4 měsíci +2

    Mwanamke atakuja kuregret later

  • @user-kp9ll1qu5n
    @user-kp9ll1qu5n Před 4 měsíci +2

    Huyu jamaa makosa n yake mwanamke kama hanachakula lazima chat aombe kwa mchepuko

  • @tomkiptenai9756
    @tomkiptenai9756 Před 3 měsíci +1

    This simp will see fire.

  • @karimimiriti3827
    @karimimiriti3827 Před 25 dny

    Aki ghost
    Hadi unaclap
    Am kuff 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @realjrstewart
    @realjrstewart Před 4 měsíci

    Mapenzi ya mtandao ... Hatari sana

  • @b.3940
    @b.3940 Před 4 měsíci +1

    Bwana Gidi, job yako ya kuokoa uhusiana ni ngumu kuliko ya Yesu alikuja kuokoa watu. Jihadhari usisulubiwe Calvary kama Yesu.

  • @emilywangui
    @emilywangui Před 4 měsíci

    😂😂😂😂😂huyu ni ule jamaa wa tittok ako na dreadlocks 😅

  • @shamimaoko
    @shamimaoko Před 4 měsíci +1

    Gidi unaongea mingi ati AI wewe pata bibi yako aki chat na jamaa kwa FB uone vile uta feel.

  • @MaryMatereadvicer011
    @MaryMatereadvicer011 Před 4 měsíci

    Eti mafuta ltrs ndio kitu unaambia watu, wakati wengine wana suprise bibi zao na magari jinga sana.

  • @user-gd8ye4ir6c
    @user-gd8ye4ir6c Před 4 měsíci +2

    Wapil leo

  • @erickmanyara53
    @erickmanyara53 Před 4 měsíci +1

    Supposed to be Luhya prince wa facebook.

  • @namasopoannete1571
    @namasopoannete1571 Před 4 měsíci +2

    😂😂

  • @charlesmaina4560
    @charlesmaina4560 Před 4 měsíci +2

    Giddi is so biased when it comees to men

  • @user-wq5pz1er5o
    @user-wq5pz1er5o Před 4 měsíci

    Bibi akimjatisha mwanaume ni kubaya sana si wewe pekee unafanyiwa hivyo kaka but kitu nakuambia umjabe huyo bibi then ufukuxe kwao.

  • @solomonoduor
    @solomonoduor Před měsícem

    nimeskia ati panya.

  • @beryl804
    @beryl804 Před 4 měsíci

    Wueeeh 😅😅😅😅😂😂😂

  • @janemulwa1059
    @janemulwa1059 Před 4 měsíci +1

    10 litres for a month aiiii

  • @wakiama9609
    @wakiama9609 Před 4 měsíci

    Kijana wachana na simu ya mwanamke tafadhari kwa amani

  • @rebeccasongony-ih8iz
    @rebeccasongony-ih8iz Před 4 měsíci

    Chips fry😅😅😅😅1 litre ama 10 litres😅😅😅😅

  • @user-vk7qb2zm3c
    @user-vk7qb2zm3c Před 4 měsíci +1

    Ghoodt mleeii god will gudge you wewe job ni kicheka tuuu

  • @cindy8588
    @cindy8588 Před 4 měsíci +2

    Very petty couple

  • @tatujuma8781
    @tatujuma8781 Před 4 měsíci +1

    😅😅😅😅

  • @linetkhavugwi209
    @linetkhavugwi209 Před 4 měsíci +1

    Nakumbuka nikua na date na mkisii tulipowachana akaniambia nataka palupu 💡 yangu na Arielya tifi hawa watu they don't take device easily 😅😅😅😅😅

  • @user-pn1dp2ee9x
    @user-pn1dp2ee9x Před 4 měsíci

    Gidi wewe uko na bahati kubwa ndoa yako iko sawa,nyweeee.Unataka kusema upate bibi yako akichat na mwanamume mwingine utafurahi,Cheka tu?

  • @webcamkay
    @webcamkay Před 4 měsíci

    huyu mtu ni mjinga sana... yeye huwa wanawake wake anawapatanga tuu kwa barabara na anawaleta nyumbani...sheny sana, i am sure ata simu yake haikosi ma-chats he isnt innocent
    pia