PATANISHO : HIYO MIMBA SI YANGU..NI YA HUYU MWALIMU...
Vložit
- čas přidán 1. 11. 2023
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghostasubuhi #gidinaghost
Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - Zábava
Gidy na Ghost kusema ukweli you guys make us happy here in Germany hearing those voices i always feel at home thanks a lot
Genau!!!
Achana na huyu mwanaume kama unajiamini ipo wakati atakutafuta lea mtoto wako mungu akufungulie milango tu
Kuolewa na mwanaume mjinga ni kama laana😢
🥲
Si kama laana ni laana...
May God help us....
Wasichana wajitafutie kwanza, na wajifunze kitu ya kuendesha maisha yao. Huyu mtu hasikiki kama mtu mzuri, anasikika mkali mkali.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂pia kuoa mwanamke mpumbavu ni laana kubwa
That's how wanaume huruka mimba alafu ukisha lea mtoto afanikiwe wanaanza kuji rudisha
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Ni wapumbavu sana😢
Don't judge , what if DNA itasema si ya huyo mwanaume ????
@@shakilamasoud2983 yes kwanza babako ni mpumbavu saaaaana 😂
@@bensonathewa5956HANA PESA HATA YA KULA?? PESA YA DNA ATATOA WAPIIIIIIIII???? MEN IN AFRICA HIO NI NORMAL!!!!
Watching front Doha Qatar...my fav show
Any woman who sleeps outside marriage jua kitakuumania...respect men
Huyo mtu ni wale hupeleka bibi ocha na anamuacha huko bila kitu na mother in law controlling everything. Hapo hakuna ndoa
If the girl was having an affair with the uncle, the aunt could not have recalled her to work there again
A man can not even afford a phone for you na unamfuata tu bado 😂😂😂😂girl move on
Waaah wanaume wakisii wanafanana tu....
i love this show it teaches us alot and what we dont know,Guys you're doing good job
That's my ex husband😂😂uko na mimba but huezi tumiwa kitu,you have to rely on your parent in-laws 😂😂💔 it's hard being pregnant and jobless with no money.
Gidi u r wise like king Solomon,that's why unapatanishanga watu wenye walikuwa mbali na kupatana
@Radiojambokenya naweza kuwapata aje Meru
halo radio jambo uķunisaidia pia namkewe nitafurai Sana na yup tz
Huyu jamaa ana mwanamke nairobi
PATANISHO : HIYO MIMBA SI YANGU..NI YA HUYU MWALIMU
Mwanaume mjinga Sana ametupa bibi shenzi sana
Hello Gidi. Mwambie Ghost anitafute.
Here for the udaku again, watching from London na ni 6 am..hii tabia nilitoa wapi 🤣!
Si utume tu pounds magwagwa... Huku hakulwti shangwe ni udaku tu
Nikopeshe niede aghalau Nairobi
@@mwametallic7668 Pia Sisi tunatafuta ,maisha imetukalia sana!
@@lewilewi2397 Pia Mimi sina fare ya Kufika Nairobi!😂
@@magwagwa uko kwa streets of landan
Kuolewa na MTU mjinga ni umaskini na laana
Zaa mtoto ulee hapo hakuna ndoa
This man will regret one day
Ata mimi hii mimba siezi kubali....kilimramba
Gidy na gost Ali mkhwana na Rose muhando munaeza wapatanisha kuna MTU alikula fare mahali
The man is cheating anataka tu kuharibia huyu msichana usiano wake na aunty yake
elias ni noma pole EZNA
Salamu za mwezi mpya. Fan wenyu watching from Lake Nona, Florida 🇺🇸 …. Salimia Ghost!!!
Ht
Hy
Florida kule Mimi husikia kuna pythons hula wazungu? Jihadhari usimezwe.
with all your garden that you have your 🎉🎉🎉😮😢
Sa dame atakuwa na husiano aji na bwana ya wenyewe na hyu bibi amuajiri kw duka,,, hyu mbaba ni muongo
Ezna jikaze jilelee mtoto wako uyu jamaa will actually regret one day
Hell me, aruke mimba nimlee mwenyewe alafu akifanikiwa ajirudie? My foot! Ntalala jela ama niende mbinguni na mguu.
big up Gidi and Gost always filling at home watching from Saudi Arabia
Uko Saudi riyadh ama
Me too ady nasahau Niko saudi
😢😢😢😂yani hehee
Wacha mtoto azaliwe tuone masikio inafanana ya nani.
Huyu ameshaona wapoa wa Nairobi saa hii anaruka huyu.i don't know who raised this irresponsible men out here.
Dream killer ,
naskia kuna msemo wa wakisii unasema " usitajie mtoto akufanane kama hua unaacha mia:"
Huyo mwanaume NI mujinga tubu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂thats how ladies are mtu anakuaja anaenda kwa mwingine mambo yakiumana unatudi nkt. I like vile ghost anasema kuhusu hii story aruudishie mwqlimu mimba yake
Huyu mwanaume ni muongo wakupindukia😢
Ezna lea mtoto wako kiviako.
Wachana na yeye..Na mfanye DNA ya mtoto.
DNA haisaidii yeye alee tu mtoto hasara ni Kwa huyu fala mwanaume
kwani ni lazima ukae na mume wacha ujinga 😢
Mamaa zaaa ukuje gulf pls stry mob wachana nazo
Gidi wacha mambo wanaume sai zii
Job ni job
Sijawahi elewa part ya Ghost kwa patanisho ,huskia tu vicheko
Kenyan men pliz ogopeni mungu...hii gjaidi imeona wapoa wanachora eyebrows na kuvaa heels
Gini ni uongo juu yule aunty hangeitikia kurudisha dem kazi kama alijua huyu dem alidate bwanake.mm naunga Ghost mkono
Ukweli gaidi anaruka tu
Hakuna ndoa hapa nzaa na ulee mtoi 😢
Hawa ni types of men who don't empower their wives. Angekua anashugulikia kila kitu huyo dem hangeenda job..The guy is stingy, gal kama umesoma ukijifungua jitafutie kazi uheshimiwe na wakwe
The lady is so matured, that mongrel will regret it's entire life
Mumewahi jaribu kupatanisha wakikuyu😂
Ivo ndo mtu huruka mimba. Shame on this man
Gidi mbona siwaoni online
Kwani wewe ULIKUWA na Nani mbereni mwanaume UBWA mwitu
Nimemuonea 16😅😅
That is the begging of your troubles
Uyu jamaa ni mkisii anapenda moshene, kutafuta advice ya ndoa kwa kila mtu utapotea, be a man achana na moshene 🤣
Mwanamke hawachanangi na ex wake. There is a possibility huyu mwanamke anabeba mimba ya mwanaume mwingine.
Gidi huyu Dem amechanganyikiwa hiyo abroad do you know ni Saudi Arabia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani Saudi sii abroad 😂😂😂😂
Wewe ndio umechanfanyikiwa Sasa unaongea unasema nn?
Saudi no desert
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Hiki kimzee kinanikera,anataka tu kuruka mimba.
huyo ni dame mang'aaaaa
Wacha mtoto azaliwe tuone masikio inafanana ya nani.