PATANISHO : ALINISHIKA KWA SHINGO STAKI MANENO YAKE ANAEZA NIUA SAA YOYOTE....
Vložit
- čas přidán 17. 01. 2024
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghostasubuhi #ongeausikike
Subscribe to RadioJambo CZcams - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
😂😂😂😂😂😂😂😂gidi na ghost hamuwezi elewa utamu yenye inakuwanga hapo ukienda kusherekea chrisi kwenu karibu na mamako inakuwanga tu tamu yani ile upendo na bond inakuwanga very strong ❤❤❤❤only ladies can understand this
Alafu unapewa mushene wa familia, na majirani, wee tiga tu
@@user-jk4od9vv3c nakwambia Wacha TU😅😅😅😅😅
I am a lady and I can't relate nor understand😂😂
Mimi ata ngumi moja tunaachana asubuhi me aiwezii tulia rudi home uoge ukae smart 😊
That's why mmejazaa ma single mother Kenya
Ukiwa na adabu utaishi kwa raha ila ukikosa adabu kwangu utachapwa kweli hadi unyoroke. ukienda kweeeenda zako tena ukaolewe na bwege mwenzio.
Patanisho needs to stop helping men and women who are aggressors in domestic violence! They always sorry and they don’t again until the victim is dead! Domestic Violence Kills!
I agree with this. Let's not encourage our girls/boys to go back to violent husbands/wives.
Hata mimi since my EX husband aambie mum aty when i go buck kwake he will cute me like skuma wiki😢😢 sijai kanyaga huko na life iko sawa,,,,, dear usibahatishe life yako.😢😢
Asirudi mwanamke si wa kupigwa ...man up
NOOOOOOO GIDI!!!!!!! FAMILY NI MBILI!!!!!! CHRISTMAS KWETU!!!! NEW YEAR KWA BWANAAAAA
Huyu jamaa anaongea kama mluyha 😂 walai huyu si mkalee
Pia me nilikuwa najiuliza ka ni mkalee kweli
Angekuwa ni binti wangu siwezi mruhusu arudiane na pumbafu kama wewe. Katili tu😮😮😮
Exactly
Swrthrt ruuuun,never entertain domestic violence
My dear sister, if it's a 'kip' n you come from a different place, murife run for your life kitakuramba kale men are not easy to deal with
Please ladies, no matter what, please find something to do that generates income. Hii maneno ya kutegema mwanaume kwa kila kitu hadi kiberiti is nauseating. It also demeans you and makes you vulnerable to disrespect and embarrassments. Please, it's 2024. If you are physically fit, kindly get something, anything to do that generates income. Itakusaidia pia kujenga familia yako na kuwa mfano mzuri kwa your daughters.
Nahurumiaa boychild aki. Hii generation ni nomaa 😂. Unaoa mwanamke Alafuu anakufanyaa ati WEWE ndio babake,na bwanake,anataka uchukue majukumu pia ya babake. Ata heri mtu akae pekee yake,na kama ni lazimaa uoe inabidi uoe mtu anajieza kama wewe,usianze kupewa majukumuu hayakuhusuu
Wanawake waache kubebesha wanaume mizigo ya kwao na wanaume waruhusu wanawake wafanye kazi,bibi akienda kwao mfanyie tu kashopping apelekee wazawi wafurahie but hii ya mikono tupu hapana
Wakale maakasiriko😂 heri mtu aoe kwa mlango yao.mtu akifikia hapo kwa kukushika kwa shingo anaweza kukunyonga hasira yao inakuwanga kwa level ingine🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Mapenzi bila pesa ilo ni kongamano la wanyonge
My grandmother told i should never wait for a second slap
Na hivo ndio ulikuwa brainwashed na utakufa na hio ujinga
@@barygarcia3128 umasikini na ujinga ya kupiga bibi isikulete kwangu nugu
Mm n mwanamke lakini unataka vpe mume wako akusaidie familia yko hilo si jukumu lake ,hata sisi wanawake tumezidi sasa
Correct
😂😂😂😂😂😂ukishikwa na hasira piga ngumu ukuta.
Aaai, na nikihisi uchungu?
😂😂 ujui kuna inchi inaitwa Saudi ,tafuta mwingine😂😂
NEVER BACK!!!!!!!
Kama Kevin hataki bibi afanye kazi kwa hoteli si akubali afanye job kwa Airbnb. Lakini shida ya hapo ni raia wa Nigeria.
😂😂😂😂😂tulisema hakuna chills
Kip kemboi😂😂😂gidi naijua ivo
Huyu ghost mulee hucheka nini
Aki mapenzi weweee😂😂😂Nakupenda kama nyama choma 😅😂ii imeenda😂😂😂
Hiyo kicheko "heeeeeeee😂😂😂"
😢mapenzi uweeh😅
Gidi Christmas ni shere mtu ee.Gid kuka na mwanaume mwaka mzima ni kazi lazim ujifanyie sherehe.kwanza mwana wamakelele..na mlevi..na wakupiga mke..Gid ..mimi pia lazma nijipe sherehe
wakelee wanaonanga kupiga bibi ni kitu normal go go go gal
Akienda naomba wampeleke kwa kona ingine wambembeleze kidogo 😂😂
Mkuru family pia huku tuko 😅😅
Mandonga huyo
Unanipenda kama nini?😂😂😂😂😂😂
Aki usirudi sweetheart..that man doesn't even know your worth..RUNNNN
Mwanamke kama huna pesa humuwezi
Kemboi wa Saudia ama
🤣🤣
Bibi kakenboi nae 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.the only name gulf Lady miss using 😂😂😂😂😂😂
Bibi kakenboi nae 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.the only name gulf Lady miss using 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Ni kama ni lazima nizaidie mashemeji buana
😂😂😂😂😂😂😂kevo 😂😂😂stingy
Unachapa mwanamke aje?
Sasa asaidiaje familia yake. Kwani aoe jamii nzima? Kevin amwache bibi afanye kazi
Charity ni fast talker
Mbona huyu jama anaongea kaa watu wa pungumaa😂😂
Pungumaa watu ......
@@beatriceomino6266 🤣🤣watu wa pungoma
Bungoma
Tare 35
Don’t go back once bitten twice shy
Mume wa kumpiga bibi iyo ni haramu.
😂😂😂
Pole ukirudi kitazidi kukuramba huyu mr stingy wako hawezi ku change
As a woman try to have your own money 💰...stop behaving like pests....this is 21st century not 19th century...