MAPENZI YAKIISHA ISIWE SABABU YA KUZUA CHUKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 01. 2022

Komentáře • 34

  • @mariamalex8934
    @mariamalex8934 Před 2 lety

    Umetisha kak

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před 2 lety +1

    Da Sophia ushungi wakupendeza zaid my

  • @gracejonh4022
    @gracejonh4022 Před 2 lety +1

    😃😃😃😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hapo kwenye yebo yebo tangia nov yaani huyo ni mimi

  • @rizikiabdalla3308
    @rizikiabdalla3308 Před 2 lety +1

    Yani hata nikichwa sijitiii usingo mazaaaa loo sijitwishii majukumu loo pooo Ahsante kaka angu

  • @ashudahiza7871
    @ashudahiza7871 Před 2 lety +5

    Wakwangu nachukulia.t kashakufa hajui mtoto anakula nn wala kaamka vip wala kala nn hajui.hivyo mm najihesabia. mtoto wangu ni yatima.hana baba yuko na mama yake tunaish tumewaacha watu wale bata

  • @OmanOman-um1ct
    @OmanOman-um1ct Před 2 lety +3

    Vipenzi vyamungu niwachamungu nawale wanao tubia kila wakikosea.

  • @jamilahabdalah6228
    @jamilahabdalah6228 Před 2 lety +1

    On points

  • @stelamwakatulile174
    @stelamwakatulile174 Před 2 lety

    Asante kumbuka umenigusa sana Leo kunywa soda nitalipa

  • @lillianbarongo2807
    @lillianbarongo2807 Před 2 lety +1

    🤣🤣🤣🤣🤣Prof Kumbuka

  • @evaristkiiza5071
    @evaristkiiza5071 Před 2 lety +2

    Doctor kumbuka io mada naomba please uirudie tena uiongelee kwa mapana zaid yan wanawake wanatunyanyasa kwa watt wetu tunapowahtaji kuwa nao kwa mda mchache,, nakukubal doctor

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před 2 lety +2

    Wanaume wa sasa wapo kwa ajili ya mbegu tuu

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 Před 2 lety +1

    Kumbuka bhana eti hicho kisamvu chako cha kutia kitunguu swaumu!😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @nowelaraymond5986
    @nowelaraymond5986 Před rokem

    Maneno kuntuu🧐🧐

  • @donmonda7150
    @donmonda7150 Před 2 lety

    🤣🤣🤣🤣.... Thumps up. Sisi wanaume tuko

  • @sylviermuhonjah8411
    @sylviermuhonjah8411 Před 2 lety +2

    Kuna wanaume wengine hata salamu za bure hawaleti itakua robo ya unga

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před 2 lety +1

    Hao wanaume wa ivyo walikufa zamani kumbuka leo hapana kumbuka siungi mkono zay wa ughaibuni

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Před 2 lety

    Swadakta joogoo

  • @nassirmasoud2545
    @nassirmasoud2545 Před 2 lety

    Hpo umenimaliza.nipo kwa mtihani huo.mtto wngu cfai hta kumuona nkipeleka nguo zarudishwa.

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu1444 Před 2 lety +1

    Nakuna wanaume ambao unawaachiq watt lakini ukimtaka mtt mbinde

  • @khadijacali8142
    @khadijacali8142 Před 2 lety +1

    🤣🤣🤣🤣

  • @fatialamri2258
    @fatialamri2258 Před 2 lety +1

    Uyo dada mwislam gani mgomgo wote wazi mpa sidilia yote ina onekana sub hana Allah

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Před 2 lety

      Halafu hajjat huyu jamani,Leo amenishinda,naomba Allah anisamehe Kama nimemsema vibaya Ila uislamu ni kuusiana

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před 2 lety

      Mm. Nimeshangaa ujue mpaka nimemwambia a jistili dijada matangazo daaa mtihani

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 Před 2 lety

    Odo wangu inamuhusu hii anawachamba wazazi wenzie mpaka aibu

  • @laymashabani832
    @laymashabani832 Před 2 lety

    Wenye mabwana zetu majina ya shabani jamani mbona mnatuonea

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 Před 2 lety

    🤣🤣🤣

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety

    Mimi mbona sijakataa nae na wala sisaidiwi majukumu.

  • @beatricemmbaga3772
    @beatricemmbaga3772 Před 2 lety

    Nakupenda bure kumbuka 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sophiabryson2735
    @sophiabryson2735 Před 2 lety

    😷🛀

  • @evaristkiiza5071
    @evaristkiiza5071 Před 2 lety +1

    Kumbuka doctor yaan mada io km nimekuadithia yanayonikumbuka watt wang nanyimwa kuwa nao japo wiki moja ya likizo wanawake wengne nuksi

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před 2 lety

    Ww dada mwenye mawani hiyo sijida au nini kama ni sijida mbona unaitangaza nahichokilemba ujistili ila kama siyo basinisamee

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Před 2 lety

      Sio sijida tu,amehiji huyu hapa sijui anatufundisha Nini tunaohangaika tupate wasaa wa kwenda kuhiji

  • @fatialamri2258
    @fatialamri2258 Před 2 lety

    🤣