Wakwangu nachukulia.t kashakufa hajui mtoto anakula nn wala kaamka vip wala kala nn hajui.hivyo mm najihesabia. mtoto wangu ni yatima.hana baba yuko na mama yake tunaish tumewaacha watu wale bata
Doctor kumbuka io mada naomba please uirudie tena uiongelee kwa mapana zaid yan wanawake wanatunyanyasa kwa watt wetu tunapowahtaji kuwa nao kwa mda mchache,, nakukubal doctor
Umetisha kak
Da Sophia ushungi wakupendeza zaid my
😃😃😃😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hapo kwenye yebo yebo tangia nov yaani huyo ni mimi
Yani hata nikichwa sijitiii usingo mazaaaa loo sijitwishii majukumu loo pooo Ahsante kaka angu
Wakwangu nachukulia.t kashakufa hajui mtoto anakula nn wala kaamka vip wala kala nn hajui.hivyo mm najihesabia. mtoto wangu ni yatima.hana baba yuko na mama yake tunaish tumewaacha watu wale bata
Tuko wengi ndugu
Vipenzi vyamungu niwachamungu nawale wanao tubia kila wakikosea.
On points
Asante kumbuka umenigusa sana Leo kunywa soda nitalipa
🤣🤣🤣🤣🤣Prof Kumbuka
Doctor kumbuka io mada naomba please uirudie tena uiongelee kwa mapana zaid yan wanawake wanatunyanyasa kwa watt wetu tunapowahtaji kuwa nao kwa mda mchache,, nakukubal doctor
Wanaume wa sasa wapo kwa ajili ya mbegu tuu
Kumbuka bhana eti hicho kisamvu chako cha kutia kitunguu swaumu!😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Maneno kuntuu🧐🧐
🤣🤣🤣🤣.... Thumps up. Sisi wanaume tuko
Kuna wanaume wengine hata salamu za bure hawaleti itakua robo ya unga
Hao wanaume wa ivyo walikufa zamani kumbuka leo hapana kumbuka siungi mkono zay wa ughaibuni
Swadakta joogoo
Hpo umenimaliza.nipo kwa mtihani huo.mtto wngu cfai hta kumuona nkipeleka nguo zarudishwa.
Nakuna wanaume ambao unawaachiq watt lakini ukimtaka mtt mbinde
🤣🤣🤣🤣
Uyo dada mwislam gani mgomgo wote wazi mpa sidilia yote ina onekana sub hana Allah
Halafu hajjat huyu jamani,Leo amenishinda,naomba Allah anisamehe Kama nimemsema vibaya Ila uislamu ni kuusiana
Mm. Nimeshangaa ujue mpaka nimemwambia a jistili dijada matangazo daaa mtihani
Odo wangu inamuhusu hii anawachamba wazazi wenzie mpaka aibu
Wenye mabwana zetu majina ya shabani jamani mbona mnatuonea
🤣🤣🤣
Mimi mbona sijakataa nae na wala sisaidiwi majukumu.
Nakupenda bure kumbuka 🤣🤣🤣🤣🤣
😷🛀
Kumbuka doctor yaan mada io km nimekuadithia yanayonikumbuka watt wang nanyimwa kuwa nao japo wiki moja ya likizo wanawake wengne nuksi
Ww dada mwenye mawani hiyo sijida au nini kama ni sijida mbona unaitangaza nahichokilemba ujistili ila kama siyo basinisamee
Sio sijida tu,amehiji huyu hapa sijui anatufundisha Nini tunaohangaika tupate wasaa wa kwenda kuhiji
🤣