Pt1_MCHUNGAJI ALINIINGIZA KWENYE MTANDAO WA KICHAWI WA KUTAFUTA PESA|USHUHUDA WA ALBOGAST BITEGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 09. 2023
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Komentáře • 90

  • @swahilimagnet
    @swahilimagnet Před 9 měsíci +7

    Asante kwa ushuhuda. Kwa ushauri wangu hayo makanisa mngekuwa mnayataja. Hao wachungaji mngekuwa mnawataja pia. Kwa Mungu hakuna siri. Mnaogopa nini. Tajeni kila kitu watu waokolewe kutoka kwenye hayo makanisa na wachungaji hao. Okoeni kondoo wa Bwana kwa ujasiri bila kuogopa mtu wala serikali.

  • @user-re4iu4vu3b
    @user-re4iu4vu3b Před 10 měsíci +8

    Naomi from Kenya abarikiwe mungu aliye ileta promover tv tunakombolewa Kweli kweli

  • @SelestinaJoshua-pn4zv
    @SelestinaJoshua-pn4zv Před 10 měsíci +5

    Kwa mtu atakae kumbuka ushuhuda wa Aston jamani yule baba ni mtumishi wa MUNGU kweli hallelujah

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 Před 10 měsíci +4

    Barikiwa mtumishi kukitambuwa siri zao

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Před 10 měsíci +3

    Blessed promover tv❤

  • @marycianasylvester
    @marycianasylvester Před 10 měsíci +3

    Blessed promover tv

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori9911 Před měsícem

    Natokea Kigoma. Hapo pote anapoelezea napafahamu vyema kabisa. Ashukuriwe Mungu mwenye nguvu anayefunua haya.

  • @JumaStanslaus-ds1qu
    @JumaStanslaus-ds1qu Před 9 měsíci +2

    Amina

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 Před 10 měsíci +4

    Mi nangojea ushuhuda wa ule Mzee Ambae ulionyesha kidogo ukapotea

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 Před 10 měsíci +8

    Glory to Jesus Christ,kwa ushuhuda huu mkubwa .

  • @rerisamba
    @rerisamba Před 10 měsíci +3

    Shetani kweli hana uruma anapenda vilivyo vizuri sasa ona huyu kaka alikua kwA njia sawa yakumtumikia Mungu sasa ona kakutana na shetani alie vaa nguo ya mchungaji

  • @EsterBernardoVumo
    @EsterBernardoVumo Před 10 měsíci +4

    Tatizo Tamaa Hawamogppe Mungu Wao Wanajari Tu Hela Tuamke Jamani Makamisa Jamani Muogopeni Mungu.

  • @yushuaissa467
    @yushuaissa467 Před 9 měsíci +1

    This must be an interesting country.

  • @RebecaMaloda-xx2qm
    @RebecaMaloda-xx2qm Před 5 měsíci +1

    Jacktan upo vizur huna maswali mengi

  • @littlelunie.7653
    @littlelunie.7653 Před 10 měsíci +3

    Mtumish post sehm ya pili

  • @marcelineshanga9811
    @marcelineshanga9811 Před 10 měsíci +2

    Wadunguzangu

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 Před 10 měsíci +8

    Shida kubwa Sana ya watumishi wengi wameingiwa na tamaa mbaya ya pesa hata wakiongea na washirika mawazo Yao ni vile washirika hao watawapa pesa

  • @mosesjohnswilla9926
    @mosesjohnswilla9926 Před 10 měsíci +4

    Kwenye kutafuta hela za zamani hiyo ni kweli maana hata Mimi nilishawahi kukutana na mchungaji ambaye aliniambia nitafute hela za zamani hizo Rupia.

  • @viousa
    @viousa Před 10 měsíci +3

    Vyakula vya misaada ni ibada aisee

  • @user-dy2id4mz3k
    @user-dy2id4mz3k Před 10 měsíci +1

    Good job

  • @catherineangaufoo2530
    @catherineangaufoo2530 Před 10 měsíci +14

    Mbona maswali mazuri tu jamani wapendwa? Asanteni Promover . Kazi nzuri

    • @MonicaNestory
      @MonicaNestory Před 9 měsíci

      Hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙏 jina la BWANA YESU libalikiwe kwa kutuletea wateule kama Hawa Ili kututoa hatua 1 kwenda nyingine kupitia shuda

    • @helenamoshi602
      @helenamoshi602 Před 8 měsíci

      @@MonicaNestory ok

    • @helenamoshi602
      @helenamoshi602 Před 8 měsíci

      Pamojanawewe

    • @user-dy1kf6ng8t
      @user-dy1kf6ng8t Před 8 měsíci

      ​@@helenamoshi602my cc

  • @user-fr2vz6hq5w
    @user-fr2vz6hq5w Před 10 měsíci +3

    Jaman mungu atusaidie dunia inamazito

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Před 10 měsíci +7

    Yaani jamani humu duniani kuna mambo mengi ya ajabu sana, wakati mwingine tunasikia kama hadithi tuu, kumbe ni kweli kabisa uchawi upo, na misukule pia ipo, mhhh inasikitisha sana.

  • @nanyamasheilah5695
    @nanyamasheilah5695 Před 9 měsíci +3

    SHEILLAH from KENYA nimebadilisha Sana njia zangu za kiroho Na Hizi shuhuda 🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @sarafinamwandi2444
    @sarafinamwandi2444 Před 10 měsíci +2

    Dar ni kisiwa Cha watumushi matapeli kuweni makini

  • @fitinamarando
    @fitinamarando Před 10 měsíci +4

    Naomba alitaje live

  • @bless-vn4gf
    @bless-vn4gf Před 10 měsíci +3

    Hongera kwa kueleza watu yatawasaidia pindi wakikueleza

  • @HesboneMalangalila-ek6te
    @HesboneMalangalila-ek6te Před 8 měsíci +2

    Naomba utaratibu wa kumsaport atoe shooting
    Na kama yupo wa kuungana nami mm namsaport kwa elfu hamsini
    Anitumie namba yake nimtumie sasa hivi
    Tumsaport Albogast zipo baraka nyingi

  • @rerisamba
    @rerisamba Před 10 měsíci +2

    Naomi Bonface alisema mamake alizaa watoto wawili

  • @fatumatandika6220
    @fatumatandika6220 Před 10 měsíci +4

    Mimi nimeshaibiwa dhahabu za watu kimiujiza hadi ni leo mwenyewe tumekuwa maadui anaamini nimemuibia nikajaibiwa tena pesa za watu hivyo hivyo kimiujiza uhusiano ulikufa kabisa na sasa sitaki kushika pesa kabisa

  • @georgevicent6849
    @georgevicent6849 Před 10 měsíci +3

    Kazi mzuri, ila nashauri kama itawapendeza maswali mngeyaweka mwishoni mwa ushuhuda, maana tunashindwa kuwa na mtiririko mzuri, ahsante na samahani.

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 10 měsíci +3

      Ahsante kwa ushauri mwenyewe ushuhuda hakuwa mzuri katika mtiririko wa kusema alitegemea maswali ndio maana unaona ushuhuda umekufikia.

    • @neemakillango4126
      @neemakillango4126 Před 10 měsíci +1

      Kabisa.maswali katikati yanaboa

  • @eliethmwanguya7118
    @eliethmwanguya7118 Před 10 měsíci +5

    Mungu atusaidie ili watumishi wasipoteze kanisa la Mungu

    • @CherieDeDieu
      @CherieDeDieu Před 10 měsíci

      Kwa kweli! Mbona tumemuachia shetani mpenyo kanisani?! Bwana Yesu Kristo turehemu na utupe maarifa tuweze kumshinda shetani na kazi zake zote.

    • @rosendanshau2674
      @rosendanshau2674 Před 10 měsíci

      Sasa havi ndo hi you wanapotosha neno mno na warming wengi huelekea huko

    • @nyamogafamily9549
      @nyamogafamily9549 Před 10 měsíci

      Amina na tuzidi kuwaombea

  • @AlexG-hl7en
    @AlexG-hl7en Před 9 měsíci +2

    Kwanin usimtaje watu wapone

  • @fitinamarando
    @fitinamarando Před 10 měsíci +2

    Daaah Mungu atusaidie, agitate hilo kanisa ili watu waelewe wajiepushe---Dsm

  • @littlelunie.7653
    @littlelunie.7653 Před 10 měsíci +1

    Mungu aturehem

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 Před 10 měsíci +2

    Ndio maana watu wanatafuta sana hizo hela

  • @GroriminaVenancempua-fe1xi
    @GroriminaVenancempua-fe1xi Před 10 měsíci +2

    Kaka tunaomba mwendelezo tafadhali

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 Před 9 měsíci +1

    Kumbe kama kuna makanisa ya kiroho ! Una maanisha kuwa kuna na makanisa ya kimwiri??? Nyie ni mashetani na ubatizo wenu wa kishenzi

  • @HesboneMalangalila-ek6te
    @HesboneMalangalila-ek6te Před 8 měsíci +1

    Mimi nimemwelewa hata mm gueen ya 1955 niliipeleka kuuza tukapata ila ni hatari

    • @jayjoe5160
      @jayjoe5160 Před 8 měsíci

      kwanini kuna hatar brother

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani Před 10 měsíci +1

    Mjumbe wa agano Duniani atafanya semina kwa Mathias Ujumbe UNABII WA MWISHO WA DUNIA. usikose tarehe 20/9 mpaka tarehe 30. Unakaribishwa.

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Před 10 měsíci +2

    Alitaje kanisa

  • @AinekishaGodwin-ru8bn
    @AinekishaGodwin-ru8bn Před 10 měsíci +2

    Maswali mengi nimekosa kuelewa

  • @YudasChondwa
    @YudasChondwa Před 9 dny

    Duuu natamani nisikie part3

  • @marywanjiru1831
    @marywanjiru1831 Před 10 měsíci +2

    Naomba ..tuwe na muendlezo...andika maswali..uliza baadaye....tafadhali

  • @priscampanda7820
    @priscampanda7820 Před 9 měsíci +2

    MUNGU TULINDE

  • @HappyJohn-kk1pr
    @HappyJohn-kk1pr Před 2 měsíci

    Mbna unamswali meng sana bs simulia ww😅

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 Před 10 měsíci +1

    Watu wanatafutz sana pesa ya queen Elizabeth na Huyu queen ni waanzilishi wa wajenzi huru

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 Před 10 měsíci +3

    Achia tu mwenyewe aongee

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před 10 měsíci +3

    Ila ngoja niulize kwanini watu wa kigoma ni wachawi Sana

    • @wardawarda6109
      @wardawarda6109 Před 10 měsíci

      Hata mie hilo ni swali najiuliza sana.

    • @catherineangaufoo2530
      @catherineangaufoo2530 Před 9 měsíci

      Kanda ya ziwa yote wanatisha.. mm nilikuwa najua Tanga ndio bingwa kumbe kuna mabingwa aiseee. Dunia hii ina mambo. Waaaah

    • @LodvolaLameck-jl5vs
      @LodvolaLameck-jl5vs Před 7 měsíci

      Usiwaogope watu wa Kigoma ila miongoni mwa maeneo yemnye malango ya kuzimu katika ziwa Tanganyika ni huko Kigoma tena malango makubwa

  • @myself4128
    @myself4128 Před 10 měsíci +1

    First Born King Charles born 14/11 /1948,Second born Princess Anne was Born 15/08/1960! Queen Hakuwa na Mimba mwaka 1956 walikuongopea

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 Před 10 měsíci +2

    Sasa kuna mtumishi anae aminika??

  • @user-tx2lu2ps9b
    @user-tx2lu2ps9b Před 10 měsíci +2

    Hiyo password ni li jini anawekewa

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 10 měsíci

    Watu wa kigoma wanamambo mazito sana ndo maama ule mkoa ulibaki nyuma sana kimaendeleo daah wanasema sumbawanga haifii kigoma

  • @neemamassame8183
    @neemamassame8183 Před 10 měsíci +2

    Je hao misukule wanapotumwa wanakuwa au wanaweza kuw kama panya au chochote kile ili kuiba?

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 10 měsíci +1

    Hivi hawa wanaopitia kwenye mambo mazito kama haya wanatubu na toba yao inakubalika mbele za Mungu mwenye haki!!?? Maana haya ni mambo yakutisha

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry Před 10 měsíci

      Watatubu wapi wakati huko walikoamini ndiko wanakoamini. Labda waende kwenye dini ya Mohammad hapo ndipo wataokoka. Ashahadu ann laa ilaha ila Allah. Happy tu ndipo ataokoka kila aliyepotea.

    • @abelianraphili5150
      @abelianraphili5150 Před 9 měsíci +2

      ​@@MwanaishaShattrydini ya Mohamed..ndio nini .. sasa..kwaYesu ndio kila kitu

    • @happymvula
      @happymvula Před 9 měsíci

      Hakuna dhambi isiyosamehewa maadamu umetubu, ukiwa hai,umegeuka na kuacha kabisa....

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km Před 10 měsíci +1

    Naomba kuuliza swali huyo malkia wa uingereza ni yule halisi au ni kivuli chake

  • @evangelistdanielsenyagwa4018
    @evangelistdanielsenyagwa4018 Před 10 měsíci +2

    Muendelezo Mtumishi jactani