Pt1_MCHUNGAJI ALINIINGIZA KWENYE MTANDAO WA KICHAWI WA KUTAFUTA PESA|USHUHUDA WA ALBOGAST BITEGA
Vložit
- čas přidán 17. 09. 2023
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp.com/DjZYNtGlQSE...
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp.com/Jzfy3pn4CyB...
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Asante kwa ushuhuda. Kwa ushauri wangu hayo makanisa mngekuwa mnayataja. Hao wachungaji mngekuwa mnawataja pia. Kwa Mungu hakuna siri. Mnaogopa nini. Tajeni kila kitu watu waokolewe kutoka kwenye hayo makanisa na wachungaji hao. Okoeni kondoo wa Bwana kwa ujasiri bila kuogopa mtu wala serikali.
Naomi from Kenya abarikiwe mungu aliye ileta promover tv tunakombolewa Kweli kweli
Kwa mtu atakae kumbuka ushuhuda wa Aston jamani yule baba ni mtumishi wa MUNGU kweli hallelujah
Barikiwa mtumishi kukitambuwa siri zao
Blessed promover tv❤
Blessed promover tv
Natokea Kigoma. Hapo pote anapoelezea napafahamu vyema kabisa. Ashukuriwe Mungu mwenye nguvu anayefunua haya.
Amina
Mi nangojea ushuhuda wa ule Mzee Ambae ulionyesha kidogo ukapotea
Glory to Jesus Christ,kwa ushuhuda huu mkubwa .
Shetani kweli hana uruma anapenda vilivyo vizuri sasa ona huyu kaka alikua kwA njia sawa yakumtumikia Mungu sasa ona kakutana na shetani alie vaa nguo ya mchungaji
Tatizo Tamaa Hawamogppe Mungu Wao Wanajari Tu Hela Tuamke Jamani Makamisa Jamani Muogopeni Mungu.
This must be an interesting country.
Jacktan upo vizur huna maswali mengi
Mtumish post sehm ya pili
Wadunguzangu
Shida kubwa Sana ya watumishi wengi wameingiwa na tamaa mbaya ya pesa hata wakiongea na washirika mawazo Yao ni vile washirika hao watawapa pesa
True
kabisaaa
Kweli kabisa...yaan mtu anawaza anapataje hela kwa waumini mimi sipendi kweli
Kwenye kutafuta hela za zamani hiyo ni kweli maana hata Mimi nilishawahi kukutana na mchungaji ambaye aliniambia nitafute hela za zamani hizo Rupia.
Zina nguvu gan
Vyakula vya misaada ni ibada aisee
😅😅😅😅😅
Good job
Mbona maswali mazuri tu jamani wapendwa? Asanteni Promover . Kazi nzuri
Hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙏 jina la BWANA YESU libalikiwe kwa kutuletea wateule kama Hawa Ili kututoa hatua 1 kwenda nyingine kupitia shuda
@@MonicaNestory ok
Pamojanawewe
@@helenamoshi602my cc
Jaman mungu atusaidie dunia inamazito
Yaani jamani humu duniani kuna mambo mengi ya ajabu sana, wakati mwingine tunasikia kama hadithi tuu, kumbe ni kweli kabisa uchawi upo, na misukule pia ipo, mhhh inasikitisha sana.
SHEILLAH from KENYA nimebadilisha Sana njia zangu za kiroho Na Hizi shuhuda 🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Dar ni kisiwa Cha watumushi matapeli kuweni makini
Naomba alitaje live
Hongera kwa kueleza watu yatawasaidia pindi wakikueleza
Naomba utaratibu wa kumsaport atoe shooting
Na kama yupo wa kuungana nami mm namsaport kwa elfu hamsini
Anitumie namba yake nimtumie sasa hivi
Tumsaport Albogast zipo baraka nyingi
Naomi Bonface alisema mamake alizaa watoto wawili
Mimi nimeshaibiwa dhahabu za watu kimiujiza hadi ni leo mwenyewe tumekuwa maadui anaamini nimemuibia nikajaibiwa tena pesa za watu hivyo hivyo kimiujiza uhusiano ulikufa kabisa na sasa sitaki kushika pesa kabisa
Kazi mzuri, ila nashauri kama itawapendeza maswali mngeyaweka mwishoni mwa ushuhuda, maana tunashindwa kuwa na mtiririko mzuri, ahsante na samahani.
Ahsante kwa ushauri mwenyewe ushuhuda hakuwa mzuri katika mtiririko wa kusema alitegemea maswali ndio maana unaona ushuhuda umekufikia.
Kabisa.maswali katikati yanaboa
Mungu atusaidie ili watumishi wasipoteze kanisa la Mungu
Kwa kweli! Mbona tumemuachia shetani mpenyo kanisani?! Bwana Yesu Kristo turehemu na utupe maarifa tuweze kumshinda shetani na kazi zake zote.
Sasa havi ndo hi you wanapotosha neno mno na warming wengi huelekea huko
Amina na tuzidi kuwaombea
Kwanin usimtaje watu wapone
Daaah Mungu atusaidie, agitate hilo kanisa ili watu waelewe wajiepushe---Dsm
Mungu aturehem
Ndio maana watu wanatafuta sana hizo hela
Kaka tunaomba mwendelezo tafadhali
Kumbe kama kuna makanisa ya kiroho ! Una maanisha kuwa kuna na makanisa ya kimwiri??? Nyie ni mashetani na ubatizo wenu wa kishenzi
Mimi nimemwelewa hata mm gueen ya 1955 niliipeleka kuuza tukapata ila ni hatari
kwanini kuna hatar brother
Mjumbe wa agano Duniani atafanya semina kwa Mathias Ujumbe UNABII WA MWISHO WA DUNIA. usikose tarehe 20/9 mpaka tarehe 30. Unakaribishwa.
Alitaje kanisa
Maswali mengi nimekosa kuelewa
Duuu natamani nisikie part3
Naomba ..tuwe na muendlezo...andika maswali..uliza baadaye....tafadhali
MUNGU TULINDE
Mbna unamswali meng sana bs simulia ww😅
Watu wanatafutz sana pesa ya queen Elizabeth na Huyu queen ni waanzilishi wa wajenzi huru
Ndo story za kijiweni kwn
Achia tu mwenyewe aongee
Ila ngoja niulize kwanini watu wa kigoma ni wachawi Sana
Hata mie hilo ni swali najiuliza sana.
Kanda ya ziwa yote wanatisha.. mm nilikuwa najua Tanga ndio bingwa kumbe kuna mabingwa aiseee. Dunia hii ina mambo. Waaaah
Usiwaogope watu wa Kigoma ila miongoni mwa maeneo yemnye malango ya kuzimu katika ziwa Tanganyika ni huko Kigoma tena malango makubwa
First Born King Charles born 14/11 /1948,Second born Princess Anne was Born 15/08/1960! Queen Hakuwa na Mimba mwaka 1956 walikuongopea
Pengine ilitoka
Sasa kuna mtumishi anae aminika??
Hiyo password ni li jini anawekewa
Watu wa kigoma wanamambo mazito sana ndo maama ule mkoa ulibaki nyuma sana kimaendeleo daah wanasema sumbawanga haifii kigoma
Kigoma kubaki nyuma kimaendeleo sababu yake kubwa ni nyingine ,uchawi upo kila eneo
Lkn huko kumezidi
Je hao misukule wanapotumwa wanakuwa au wanaweza kuw kama panya au chochote kile ili kuiba?
Hata kuwa sisimizi inawezekana
Hivi hawa wanaopitia kwenye mambo mazito kama haya wanatubu na toba yao inakubalika mbele za Mungu mwenye haki!!?? Maana haya ni mambo yakutisha
Watatubu wapi wakati huko walikoamini ndiko wanakoamini. Labda waende kwenye dini ya Mohammad hapo ndipo wataokoka. Ashahadu ann laa ilaha ila Allah. Happy tu ndipo ataokoka kila aliyepotea.
@@MwanaishaShattrydini ya Mohamed..ndio nini .. sasa..kwaYesu ndio kila kitu
Hakuna dhambi isiyosamehewa maadamu umetubu, ukiwa hai,umegeuka na kuacha kabisa....
Naomba kuuliza swali huyo malkia wa uingereza ni yule halisi au ni kivuli chake
Mpigie
@@HesboneMalangalila-ek6te Sina no zake
@@HesboneMalangalila-ek6te Sina no zake
Pepo
Muendelezo Mtumishi jactani
czcams.com/video/GOOy0ecUatg/video.html
@@PromovertvTz ubarikiwe sana
Alitaje kanisa