UNABII VITA YA ISRAEL NA PALESTINA:Ni wivu wa Mungu kwa miungu|Upanga uongezwe mara 3|Korea atainuka
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Dada ni kweli kabisa unachofindisha ni ukweli maana nimekusikiliza kwa makini umefafanua vizuri sana na hata kujistiri kwako inaonyesha Roho mtakatifu yuko ndani yako na Hongera sana PROMOVER TV
Mwambie ajistiri Zaid. Bibilia inasema mwanamke asipofunika kichwa ajiaibisha mwenyewe, sio nywere, hapo anatakiwa kufunika kichwa sio nywere
Blessed mtumish n promover tv ❤.....kwa kutukumbusha kujiandaa unyakuo umeshafikaa tayari
Mungu atusaidie kiongozi mmoja anatoa tamko msitaje jina YESU taifa Zima linaangamia nawengi Viongozi wanaoongoza na utawala wa Giza tuwaombee na watawala wa nchi
Uinuliwee mfalme wa falme YESU kristo.
Kweli kabisa mtumishi, hata mimi niliwaambia wanangu kua ni sababu walisema kusitajwe jina la Yesu huko Israel, Mungu atusaidie sana sote.
Ujumbe huu umerthibitika sio mara moja au mbili ni mara nyingi, amen
Ni kweli kabisa sisi ni waizraeli tunapaswa kujitafakari zaidi maana ukiwa mkristo unakuwa outomatic ni mwizrael vita vinavyoendelea ni kati ya kristo na Mhamadi ndio maana vita hivo havitaisha kamwe mpaka Dunia itaisha.
Amina
Mungu atusaidie mana nimazito kwakweli
Dada mi naona waambie watu wajiandae.kumlaki Yesu kwani dalili zote zinaonesha
Ni kweli kabisa huu ni mwanzo wa utungu
Bwana atuhurumie ni nyakati za mwisho😭😭
Mungu utusaidie tuweze kuelewa Haya atupe macho ya kiroho
Unahubir vizur mama lakin usijiite nabii😢, waachie wanaume wajiite hivyo ww ni mwanamke na mwanamke hana mamlaka ya kusimama na kufundisha mbele ya wanaume 1 TIMOTHEO 2:12
Mbona asijiite nabii kama mola wake amemfanya kuwa nabii hata katika bibilia manabii wakike mbona wako kibao: luka 2:36 " palikuwa na nabii mke jina lake ana,binti fanueli " mbona wewe mkatazi asiitwe nabii? Wachungaji wakike bibilia imeharimisha bali manabii wakike wako!
@@dagnatordo-fe6nh . Nabii mke iliyotumika kwenye bibilia ni watoto au mke wa nabii, nabii mke , eidha huyo mwanamke ametoka kwenye ukoo wa unabii, au Mtoto wa nabii, au mke wa nabii..... Lkin sasa mbona bible imekataza mwanamke kufundisha, bali akae kwa kutulia
Nabii si mfundishaji km mchungaji, nabii Ni muonaji
Kasome biblia vizur kama hakuna nabii wa kike
Mwanamke mchungaji ndo hakuna na hairuhusiwi kasome vizur biblia mpendwa
Ujinga! Kufasili Maandiko vibaya, tena kwa makusudi, ni dhambi. Eti, tuombe kwa ajili ya Israel, wauaji?
Wauwaji ni wakina nani kati ya waizrael na palestina
Waombee wasiwe wauaji
ISRAELI🇮🇱WOTE WATAOKOKA SIKU YA KIAMA NI TAIFA TEULE LA MUNGU😂
➡️Warumi 11 (Biblia Takatifu)
²⁶ Hivyo ISRAELI WOTE WATAOKOKA; kama ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake
³² Maana Mungu amewafunga wote pamoja katika kuasi ili AWAREHEMU WOTE.
■SIO WENZENU HAO. MUNGU WAO SIO JIWE JEUSI LA MACCA😃😃😃😃🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱
■GAZA ISHATABILIWA KIBIBLIA.
👉Amosi 1 (Biblia Takatifu)
6:Haya ndiyo asemayo Bwana; Kwa makosa matatu ya Gaza, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu waliichukua katika hali ya kufungwa kabila nzima, wawatie katika mikono ya Edomu;
➡️7: lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake.
Kufa kwa waovu c tabu Mbona hulalamiki Musa na waisrael walivuka bahari ya Shamu salama lkn farao na jeshi lake walikufa.
Na kikubwa tulio pemben tufanye matendo yanayompendeza MUNGU Dunia c yetu tutaiacha na tuendako Kuna maisha yataendelea mabaya au mazuri tuyaandae muda ndo huu.