UNABII VITA YA ISRAEL NA PALESTINA:Ni wivu wa Mungu kwa miungu|Upanga uongezwe mara 3|Korea atainuka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Komentáře • 25

  • @samwelimwanja4105
    @samwelimwanja4105 Před 10 měsíci +3

    Dada ni kweli kabisa unachofindisha ni ukweli maana nimekusikiliza kwa makini umefafanua vizuri sana na hata kujistiri kwako inaonyesha Roho mtakatifu yuko ndani yako na Hongera sana PROMOVER TV

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Před 10 měsíci +2

      Mwambie ajistiri Zaid. Bibilia inasema mwanamke asipofunika kichwa ajiaibisha mwenyewe, sio nywere, hapo anatakiwa kufunika kichwa sio nywere

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Před 10 měsíci +2

    Blessed mtumish n promover tv ❤.....kwa kutukumbusha kujiandaa unyakuo umeshafikaa tayari

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 Před 10 měsíci +2

    Mungu atusaidie kiongozi mmoja anatoa tamko msitaje jina YESU taifa Zima linaangamia nawengi Viongozi wanaoongoza na utawala wa Giza tuwaombee na watawala wa nchi

  • @neemamwalende9740
    @neemamwalende9740 Před 10 měsíci +2

    Uinuliwee mfalme wa falme YESU kristo.

  • @its_keziah77
    @its_keziah77 Před 10 měsíci +2

    Kweli kabisa mtumishi, hata mimi niliwaambia wanangu kua ni sababu walisema kusitajwe jina la Yesu huko Israel, Mungu atusaidie sana sote.

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před 10 měsíci +1

    Ujumbe huu umerthibitika sio mara moja au mbili ni mara nyingi, amen

  • @samwelimwanja4105
    @samwelimwanja4105 Před 10 měsíci +3

    Ni kweli kabisa sisi ni waizraeli tunapaswa kujitafakari zaidi maana ukiwa mkristo unakuwa outomatic ni mwizrael vita vinavyoendelea ni kati ya kristo na Mhamadi ndio maana vita hivo havitaisha kamwe mpaka Dunia itaisha.

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Před 10 měsíci +1

    Amina

  • @DoricEverist
    @DoricEverist Před 10 měsíci +1

    Mungu atusaidie mana nimazito kwakweli

  • @rosendanshau2674
    @rosendanshau2674 Před 10 měsíci +2

    Dada mi naona waambie watu wajiandae.kumlaki Yesu kwani dalili zote zinaonesha

  • @samwelimwanja4105
    @samwelimwanja4105 Před 10 měsíci +1

    Ni kweli kabisa huu ni mwanzo wa utungu

  • @christinephilip5043
    @christinephilip5043 Před 10 měsíci

    Bwana atuhurumie ni nyakati za mwisho😭😭

  • @JacklineMoti
    @JacklineMoti Před 10 měsíci +1

    Mungu utusaidie tuweze kuelewa Haya atupe macho ya kiroho

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul Před 10 měsíci +1

    Unahubir vizur mama lakin usijiite nabii😢, waachie wanaume wajiite hivyo ww ni mwanamke na mwanamke hana mamlaka ya kusimama na kufundisha mbele ya wanaume 1 TIMOTHEO 2:12

    • @dagnatordo-fe6nh
      @dagnatordo-fe6nh Před 10 měsíci +2

      Mbona asijiite nabii kama mola wake amemfanya kuwa nabii hata katika bibilia manabii wakike mbona wako kibao: luka 2:36 " palikuwa na nabii mke jina lake ana,binti fanueli " mbona wewe mkatazi asiitwe nabii? Wachungaji wakike bibilia imeharimisha bali manabii wakike wako!

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Před 10 měsíci +1

      @@dagnatordo-fe6nh . Nabii mke iliyotumika kwenye bibilia ni watoto au mke wa nabii, nabii mke , eidha huyo mwanamke ametoka kwenye ukoo wa unabii, au Mtoto wa nabii, au mke wa nabii..... Lkin sasa mbona bible imekataza mwanamke kufundisha, bali akae kwa kutulia

    • @mazulacelestine3038
      @mazulacelestine3038 Před 10 měsíci +1

      Nabii si mfundishaji km mchungaji, nabii Ni muonaji

    • @magdalenapeter6106
      @magdalenapeter6106 Před 10 měsíci

      Kasome biblia vizur kama hakuna nabii wa kike
      Mwanamke mchungaji ndo hakuna na hairuhusiwi kasome vizur biblia mpendwa

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 Před 10 měsíci +1

    Ujinga! Kufasili Maandiko vibaya, tena kwa makusudi, ni dhambi. Eti, tuombe kwa ajili ya Israel, wauaji?

    • @samwelimwanja4105
      @samwelimwanja4105 Před 10 měsíci +1

      Wauwaji ni wakina nani kati ya waizrael na palestina

    • @HildaPaul-hm4jk
      @HildaPaul-hm4jk Před 10 měsíci +1

      Waombee wasiwe wauaji

    • @Werema3760
      @Werema3760 Před 10 měsíci

      ISRAELI🇮🇱WOTE WATAOKOKA SIKU YA KIAMA NI TAIFA TEULE LA MUNGU😂
      ➡️Warumi 11 (Biblia Takatifu)
      ²⁶ Hivyo ISRAELI WOTE WATAOKOKA; kama ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake
      ³² Maana Mungu amewafunga wote pamoja katika kuasi ili AWAREHEMU WOTE.
      ■SIO WENZENU HAO. MUNGU WAO SIO JIWE JEUSI LA MACCA😃😃😃😃🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱
      ■GAZA ISHATABILIWA KIBIBLIA.
      👉Amosi 1 (Biblia Takatifu)
      6:Haya ndiyo asemayo Bwana; Kwa makosa matatu ya Gaza, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu waliichukua katika hali ya kufungwa kabila nzima, wawatie katika mikono ya Edomu;
      ➡️7: lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake.

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc Před 10 měsíci +1

      Kufa kwa waovu c tabu Mbona hulalamiki Musa na waisrael walivuka bahari ya Shamu salama lkn farao na jeshi lake walikufa.

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc Před 10 měsíci +1

      Na kikubwa tulio pemben tufanye matendo yanayompendeza MUNGU Dunia c yetu tutaiacha na tuendako Kuna maisha yataendelea mabaya au mazuri tuyaandae muda ndo huu.