Pt4_Jinsi ya kuwatambua na kuwadhibiti Mawakala wa shetani|USHUHUDA WA ALIYEKUWA WAKALA WA KUZIMU
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Yesu anaendelea kujidhihirisha siku za mwisho kwa ulimwengu wa dhambi na kanisa lake pia ili ijiandae kwa unyakuo
Asante Watumishi wa Mungu kwa kazi nzuri Mungu azidi kukutunza Binti ukapate kudumu katika kazi ya Mungu maana shetani hachoki kutufuatilia Ila Baraka za Mungu wa mbinguni aliye hai ziambatane na wewe nakupenda Sana katika jina la Yesu Kristo Amen
Yote hayo Ni kweli tupu , wasioamini hayo hayahusu wao, wako walioandaliwa ufame wa Mungu wetu , ndio wale waaminio hayo , Basi
Ee Mungu nísaidie niache kuvaa sulual cjawai kupenda ele Wala Chen na kacha cpend najua Mungu utaniokoa na sulual
Dada Asante Bwana Yesu akutunze daima endelea kuwa Nuru ya ulimwengu , damu yake ikufunike Kila siku
Natamani Kaka jackitani utengeneze audio uwafikie watu wa vijijini wengine hawana simu janja lakini mbeleni
Nina muda mrefu kufuatilia chanel ya pro..Tv jactan mungu akubariki sasaana kazi njema.wengi watampinga huyu Binti lakini huu ni ukweli kwani neno la mungu liko wazi lakini walionaswa ni vigumu kujinasua wenyewe kwa kuwa hizo ni roho.ila walio WA Bwana yesu watamtii.mungu akubariki sana huo ndio ukweli WA mambo yalivyo na wengi wanazidi kufunguka.
YESU KRISTO Ni Mwema kabisa.
God really chooses the wise for His work (Mungu huwateuwa wenyi hekima kubwa kumfanyia kazi zake).
MUNGU AKUTUNZE SANA DADA YANGU, ILA TUNZA HUDUMA HII ULIO PEWA NA BWANA
Asante Múngu kwa kunifungia akili kujua machukizo yanayo kuchukiza
AMEN...
Mtumishi wa yesu mungu wa mbi guni akuhifadhii kwa uweza wa nguvu zake ili vizazi hivi vifumguliwe
Let's Jesus Christ protect you Mr jackitani forever more
Asante Kwa YESU
Ubarikiwe sana dadaa kwa mafundisho mungu atusaidie tuachie kuvaa masuruali
YESU anatupenda, japo wanadamu wanatupiga vita vya kiroho kutukatisha tamaa, natiwa nguvu na ushuhuda huu, sitaacha kwenda kanisani sababu ya watu, namwangalia YESU TUU ndiye atakayenihukumu siku yangu ya mwisho na si mwanadamu.
ASANTE SAAANAA DADA YETU KWAKUTUONYA, YESU CHRISTO AKUBARIKI SAAANAAA!!!!! HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUAAAAAAAA ASANTE SAANAA YESU CHRISTO 📢📢📢📢📢👏👏👏👏👏👏👏
Amen
Ubarikiwe Mteule wa Bwana wetu Yesu Kristo
Tuned
Ubarikiwe wa yesu
Mbarikiwe Sana promover
Asante.
Bwana yesu akubaliki kwa ushuhuda mzuri
Ameeeeeeeen
Mtu akienda jehanamu amejitakia mwenyewe UKWELI upo wazi
Yesu tuwezeshe kushinda
Nimejufunza mengi thank s a lot but I have question inside me
Duu mmetuelimisha elim ambayo hupat pengine ni elim kubwa sana.
Damu Yesũ inanena mema
Jamani navile uku Uarabuni tuna vaa hizi visuruari kwa maana ni uniform 🙆♂️🙆♂️
Asante sana promover tv kwa ujumbe huo, mubarikiwe sana
Bado kuzimu izo saba
Mambo mazuri jamani ungeni bando mje
Fata sheria dada uzima wa milele utadumu kuliko wa mwili
Mbona yye kavaa saa
Suruali sio mpango wa kuzimu, kama ni mpango wa kuzimu basi hata haya mavazi waliyotuletea ni ya kuzimu
🙍
Vipi ku husu motindo ya unyoaji, tunaomba kusikia hilo wapendwa
Asitafilulahi
Nashangaa ni vipi kusimu inamula mutu na bado ako na uhai
Bwana asifiwe mtumishi wa Mungu? Umeolewa?
Ooh kama hiii mafuta ya nywele imetoka ya NOW HAIR OIL 🤔🤔🤔🙆♂️
Tuleteeni na shuhuda za waliopona magonjwa sio habari za kuzimu tuu mnautangaza ufalme wa giza sana kuliko ufalme wa Mungu
Asante sana dada kwa ujumbe but nauliza ni mafuta gani ya kujipaka ambayo haitajiki kwa mkristo tafadhali nataka kuchua ili niepuke nayo
Tengeneza Mafuta Ya Nazi
mm nauliza kwann hawa waislamu humuwaelezei vizuri kama mawamo nakatia kushikwa kwao na maomviyao hayawakwamishi hao mashetani?
Lakini dada Umevaa saa na kuzimu pia ziko ama nimekosea? Kaa chain ziko vile umeleza, Ni Mungu tuu atausadie. Kwa sababu hata mavazi iko ya kuzimu.
Mungu atusaidie kwa kweli maana shetani nae amejiingiza kwenye vitu vingi,swali langu kama tunataka kutumia mafuta ya kujipaka tutumie yepi?mie na watoto wangu tunatumia Vaseline je yapo sawa?
Kazi ipo hapo itabidi tusipake mafuta
Tengeneza Mafuta ya Nazii
Walivyo mula Huyo mama mchungaji ikawaje ?
Number kosoa mumeandika vibaya
Kutoka Uvira Drc
Halafu kwa habari ya kuepuka jasho tuwe tunatumia nini?maana hata kama utakoga mara nyingi kwa siku jasho linatoka tu
Paka limao
Paka sabuni hiyo hiyo unayoogà nayo baada ya kujifuta na towel jipake sabuni hata wanaume wanuka kwapa hiyo itamaliza hutasikika vibaya harufu ya beberu itaisha
Sasa tupake mafuta yapi
Akiongea aangalie mbele ata choka chingo
😂😂😂Munamambo nyie walokole
Niko na swali nje kusuka nywele zako ni ndhambi
soma Biblia omba Rohomtakatifu akuongoze utafahamu soma Sanaa Biblia MUNGU anajibu mim nilionywa Ereni mapamboo Si njema. kwenye nywele nilikuwa na dred rock Zangu Mwenyewe Ila Roho ilinishuhudia Ni nyoe now kichwa Cheupe tufuge nywele natural tubane Ila sinjema kusukwaa ndugu Maana Mbinguni amna fashion mafuta ya nazi Mazur Sana Kwa nywele tubane na kujisitiri kufunika kichwa Safi .kusuka Nywele Ni chukizo Kwa MUNGU
Ndio ni zambi niliwai kuonywa nisisuke nywele
@@lydiamwampashi6907 kwahyo mwanamke anatakiwa kuwekaje nywele
@@UsafiMichael-mc8ktchana na mafuta ya Nazi zibane na zifunike
Watu wa Mungu jihadharini na TV na Manabii wa uwonga, mlokole anaokoka kunywa pombe na mambo yanayoonekana kwa macho ya kibinadamu. Uwongo na hadithi za kutunga kwao si dhambi.
Kama uongo wasikiliza ya nini?
Sasa tupake mafuta yapi
Tengeneza Ya Nazi Mazur mnoo
@@kapingalucy2707nitajaribuo