Pt4_Jinsi ya kuwatambua na kuwadhibiti Mawakala wa shetani|USHUHUDA WA ALIYEKUWA WAKALA WA KUZIMU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Komentáře • 71

  • @MAONYOTVTANZANIA
    @MAONYOTVTANZANIA Před rokem +14

    Yesu anaendelea kujidhihirisha siku za mwisho kwa ulimwengu wa dhambi na kanisa lake pia ili ijiandae kwa unyakuo

  • @user-dz3rl1ki6u
    @user-dz3rl1ki6u Před rokem +8

    Asante Watumishi wa Mungu kwa kazi nzuri Mungu azidi kukutunza Binti ukapate kudumu katika kazi ya Mungu maana shetani hachoki kutufuatilia Ila Baraka za Mungu wa mbinguni aliye hai ziambatane na wewe nakupenda Sana katika jina la Yesu Kristo Amen

  • @MAONYOTVTANZANIA
    @MAONYOTVTANZANIA Před rokem +5

    Yote hayo Ni kweli tupu , wasioamini hayo hayahusu wao, wako walioandaliwa ufame wa Mungu wetu , ndio wale waaminio hayo , Basi

  • @ridiajofrey8276
    @ridiajofrey8276 Před 6 měsíci +2

    Ee Mungu nísaidie niache kuvaa sulual cjawai kupenda ele Wala Chen na kacha cpend najua Mungu utaniokoa na sulual

  • @MAONYOTVTANZANIA
    @MAONYOTVTANZANIA Před rokem +7

    Dada Asante Bwana Yesu akutunze daima endelea kuwa Nuru ya ulimwengu , damu yake ikufunike Kila siku

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 Před rokem +9

    Natamani Kaka jackitani utengeneze audio uwafikie watu wa vijijini wengine hawana simu janja lakini mbeleni

  • @baptistndunguru6126
    @baptistndunguru6126 Před rokem +4

    Nina muda mrefu kufuatilia chanel ya pro..Tv jactan mungu akubariki sasaana kazi njema.wengi watampinga huyu Binti lakini huu ni ukweli kwani neno la mungu liko wazi lakini walionaswa ni vigumu kujinasua wenyewe kwa kuwa hizo ni roho.ila walio WA Bwana yesu watamtii.mungu akubariki sana huo ndio ukweli WA mambo yalivyo na wengi wanazidi kufunguka.

  • @akilimatoto8171
    @akilimatoto8171 Před rokem +5

    YESU KRISTO Ni Mwema kabisa.

  • @billyisadia5651
    @billyisadia5651 Před 6 měsíci +1

    God really chooses the wise for His work (Mungu huwateuwa wenyi hekima kubwa kumfanyia kazi zake).

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Před rokem +3

    MUNGU AKUTUNZE SANA DADA YANGU, ILA TUNZA HUDUMA HII ULIO PEWA NA BWANA

  • @ridiajofrey8276
    @ridiajofrey8276 Před 6 měsíci +1

    Asante Múngu kwa kunifungia akili kujua machukizo yanayo kuchukiza

  • @hoseapatrick2435
    @hoseapatrick2435 Před rokem +3

    AMEN...

  • @user-cy7ff5ge2r
    @user-cy7ff5ge2r Před 9 měsíci +1

    Mtumishi wa yesu mungu wa mbi guni akuhifadhii kwa uweza wa nguvu zake ili vizazi hivi vifumguliwe

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 Před rokem +3

    Let's Jesus Christ protect you Mr jackitani forever more

  • @patrickmaina5459
    @patrickmaina5459 Před rokem +2

    Asante Kwa YESU

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp Před rokem +1

    Ubarikiwe sana dadaa kwa mafundisho mungu atusaidie tuachie kuvaa masuruali

  • @elizabethchiwamba8372
    @elizabethchiwamba8372 Před rokem +1

    YESU anatupenda, japo wanadamu wanatupiga vita vya kiroho kutukatisha tamaa, natiwa nguvu na ushuhuda huu, sitaacha kwenda kanisani sababu ya watu, namwangalia YESU TUU ndiye atakayenihukumu siku yangu ya mwisho na si mwanadamu.

  • @horimberepeace7376
    @horimberepeace7376 Před rokem +1

    ASANTE SAAANAA DADA YETU KWAKUTUONYA, YESU CHRISTO AKUBARIKI SAAANAAA!!!!! HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUAAAAAAAA ASANTE SAANAA YESU CHRISTO 📢📢📢📢📢👏👏👏👏👏👏👏

  • @user-vc1hx7mw7c
    @user-vc1hx7mw7c Před rokem +2

    Amen

  • @dinaalfonsi1764
    @dinaalfonsi1764 Před rokem +1

    Ubarikiwe Mteule wa Bwana wetu Yesu Kristo

  • @agnestunu5527
    @agnestunu5527 Před rokem +2

    Tuned

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine1673 Před rokem +2

    Ubarikiwe wa yesu

  • @user-rd2pd8rz1q
    @user-rd2pd8rz1q Před rokem +1

    Mbarikiwe Sana promover

  • @rithersospeterkati3355
    @rithersospeterkati3355 Před rokem +2

    Asante.

  • @LucyJeremiah-sh2ly
    @LucyJeremiah-sh2ly Před 11 měsíci

    Bwana yesu akubaliki kwa ushuhuda mzuri

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 Před rokem +1

    Ameeeeeeeen

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 Před rokem +3

    Mtu akienda jehanamu amejitakia mwenyewe UKWELI upo wazi

  • @everlynemiriam5943
    @everlynemiriam5943 Před rokem +1

    Nimejufunza mengi thank s a lot but I have question inside me

  • @DavidDanken-uf7kp
    @DavidDanken-uf7kp Před 9 měsíci +1

    Duu mmetuelimisha elim ambayo hupat pengine ni elim kubwa sana.

  • @UsafiMichael-mc8kt
    @UsafiMichael-mc8kt Před rokem +1

    Damu Yesũ inanena mema

  • @elizabethmuli5911
    @elizabethmuli5911 Před rokem +1

    Jamani navile uku Uarabuni tuna vaa hizi visuruari kwa maana ni uniform 🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @zipporahmibei9007
    @zipporahmibei9007 Před rokem

    Asante sana promover tv kwa ujumbe huo, mubarikiwe sana

  • @sarabura8933
    @sarabura8933 Před rokem +1

    Bado kuzimu izo saba

  • @regnethmtemanyongo2237
    @regnethmtemanyongo2237 Před rokem +1

    Mambo mazuri jamani ungeni bando mje

  • @pinieliedward5992
    @pinieliedward5992 Před rokem

    Fata sheria dada uzima wa milele utadumu kuliko wa mwili

  • @aisha5775
    @aisha5775 Před 5 měsíci

    Mbona yye kavaa saa

  • @jesuspower2390
    @jesuspower2390 Před 3 měsíci

    Suruali sio mpango wa kuzimu, kama ni mpango wa kuzimu basi hata haya mavazi waliyotuletea ni ya kuzimu

  • @lilianachiengministries3386

    🙍

  • @user-cy7ff5ge2r
    @user-cy7ff5ge2r Před 9 měsíci

    Vipi ku husu motindo ya unyoaji, tunaomba kusikia hilo wapendwa

  • @aisha5775
    @aisha5775 Před 5 měsíci

    Asitafilulahi

  • @everlynemiriam5943
    @everlynemiriam5943 Před rokem

    Nashangaa ni vipi kusimu inamula mutu na bado ako na uhai

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 Před 9 měsíci

    Bwana asifiwe mtumishi wa Mungu? Umeolewa?

  • @elizabethmuli5911
    @elizabethmuli5911 Před rokem

    Ooh kama hiii mafuta ya nywele imetoka ya NOW HAIR OIL 🤔🤔🤔🙆‍♂️

  • @successeliya7755
    @successeliya7755 Před rokem

    Tuleteeni na shuhuda za waliopona magonjwa sio habari za kuzimu tuu mnautangaza ufalme wa giza sana kuliko ufalme wa Mungu

  • @roselynnanyenijackson5081

    Asante sana dada kwa ujumbe but nauliza ni mafuta gani ya kujipaka ambayo haitajiki kwa mkristo tafadhali nataka kuchua ili niepuke nayo

  • @manjikichinita4248
    @manjikichinita4248 Před rokem

    mm nauliza kwann hawa waislamu humuwaelezei vizuri kama mawamo nakatia kushikwa kwao na maomviyao hayawakwamishi hao mashetani?

  • @Crusader9717
    @Crusader9717 Před rokem

    Lakini dada Umevaa saa na kuzimu pia ziko ama nimekosea? Kaa chain ziko vile umeleza, Ni Mungu tuu atausadie. Kwa sababu hata mavazi iko ya kuzimu.

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 Před rokem +1

    Mungu atusaidie kwa kweli maana shetani nae amejiingiza kwenye vitu vingi,swali langu kama tunataka kutumia mafuta ya kujipaka tutumie yepi?mie na watoto wangu tunatumia Vaseline je yapo sawa?

  • @Geofrey-Martin-Kaputa

    Walivyo mula Huyo mama mchungaji ikawaje ?

  • @NduwimanaNoella-rj7tm

    Number kosoa mumeandika vibaya

  • @akilimatoto8171
    @akilimatoto8171 Před rokem

    Kutoka Uvira Drc

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 Před rokem +1

    Halafu kwa habari ya kuepuka jasho tuwe tunatumia nini?maana hata kama utakoga mara nyingi kwa siku jasho linatoka tu

    • @kapingalucy2707
      @kapingalucy2707 Před rokem

      Paka limao

    • @queenesther2639
      @queenesther2639 Před rokem

      Paka sabuni hiyo hiyo unayoogà nayo baada ya kujifuta na towel jipake sabuni hata wanaume wanuka kwapa hiyo itamaliza hutasikika vibaya harufu ya beberu itaisha

  • @rebekamwimi1394
    @rebekamwimi1394 Před rokem

    Sasa tupake mafuta yapi

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine1673 Před rokem

    Akiongea aangalie mbele ata choka chingo

  • @aisha5775
    @aisha5775 Před 5 měsíci

    😂😂😂Munamambo nyie walokole

  • @bettykyambi724
    @bettykyambi724 Před rokem +1

    Niko na swali nje kusuka nywele zako ni ndhambi

    • @kapingalucy2707
      @kapingalucy2707 Před rokem

      soma Biblia omba Rohomtakatifu akuongoze utafahamu soma Sanaa Biblia MUNGU anajibu mim nilionywa Ereni mapamboo Si njema. kwenye nywele nilikuwa na dred rock Zangu Mwenyewe Ila Roho ilinishuhudia Ni nyoe now kichwa Cheupe tufuge nywele natural tubane Ila sinjema kusukwaa ndugu Maana Mbinguni amna fashion mafuta ya nazi Mazur Sana Kwa nywele tubane na kujisitiri kufunika kichwa Safi .kusuka Nywele Ni chukizo Kwa MUNGU

    • @lydiamwampashi6907
      @lydiamwampashi6907 Před rokem

      Ndio ni zambi niliwai kuonywa nisisuke nywele

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Před rokem

      @@lydiamwampashi6907 kwahyo mwanamke anatakiwa kuwekaje nywele

    • @kapingalucy2707
      @kapingalucy2707 Před rokem +1

      ​@@UsafiMichael-mc8ktchana na mafuta ya Nazi zibane na zifunike

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 Před rokem +1

    Watu wa Mungu jihadharini na TV na Manabii wa uwonga, mlokole anaokoka kunywa pombe na mambo yanayoonekana kwa macho ya kibinadamu. Uwongo na hadithi za kutunga kwao si dhambi.

  • @rebekamwimi1394
    @rebekamwimi1394 Před rokem +1

    Sasa tupake mafuta yapi