Part3_Ajali za meli na lori la Morogoro hakufa mtu tuliwachukua|ALIYEKUWA CHIFU WA KABILA LA KICHAWI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 115

  • @shamim6606
    @shamim6606 Před 2 lety +14

    BARIKIWA . NATAMANI ANGETUAMBIA MBINU ZA NAMNA WANAVYOWAFATILIA WALOKOLE NA KUWAANGUSHA

  • @blessedlovedandfavoured4129

    Hivi kuwa mkristo vuguvugu na bado hujachukuliwa msukule... Ni neema ya Bwana... Mungu tusaidie

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 Před 2 lety +7

    YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine

  • @baya7067
    @baya7067 Před 2 lety +10

    Yesu ni mfalme wa wafalme Moto ulao

  • @jonathanndururutse286
    @jonathanndururutse286 Před 2 lety +8

    Duuu! Mambo haya yanatisha, ila sasa Mwokozi wetu Yesu Kristu anatupenda na ana nguvu Sanaa

  • @marykilila8786
    @marykilila8786 Před 2 lety +6

    Eeeeeeeee kwa hiyi siri kubwa zaidi mwambie huyu ndugu asimame imara imara kweli ,akipepesuka kadogo tuu atajikuta wanamchukuwa tena.Mungu amjalie neema na ushindi. Asante JACKTAN

  • @peninahkariuki1136
    @peninahkariuki1136 Před 2 lety +10

    Damu ya Yesu itufunike aki. Asante kwa ushuhuda huu unazidi kutufungua Kiroho🙏🇰🇪

  • @milkahwambuinjengambothu6173

    And this man must be very bright. The way he is flawless in his Swahili speech. Very deep and insightful. To God be the glory and honor. Keep on brother, through you the Church should know a lot to be vigilant.

    • @kennethogonda2947
      @kennethogonda2947 Před 2 lety

      All of them are good Swahili speakers. I mean all Tanzanians.

  • @johnbosconiyibigira7811
    @johnbosconiyibigira7811 Před 2 lety +6

    Ina details nzuri na articulate safi hii itakuwa ya mwaka maaana imetufunza sana

  • @aaronswai6935
    @aaronswai6935 Před 2 lety +2

    Huyu mtumishi anaongea kweli sana na alikuwa kweli kwenye ulimwengu huu wa giza! Ni bahati mbaya sana Wakristo wengi hawafahamu vizuri nguvu ya Kristo. Kimsingi vitu vingi anavyovisema kama vile kubadilika kwenye roho, n.k vimeandikwa kwenye Biblia isipokuwa hatusomi. Mungu akubariki sana mtumishi🙏

  • @emmanuelhatangimana3431
    @emmanuelhatangimana3431 Před 2 lety +4

    Emungu wetu tunaomba utusaidie,kwasababu dunia hii inamambo mengii kabisa amina.

  • @daisymuthoni675
    @daisymuthoni675 Před 2 lety +11

    Asante Mungu kwa kuwa umetupatia Jina lilokubwa zaidi ya majina yote duniani
    Linalotushindia..Amen

  • @mariamgaya4206
    @mariamgaya4206 Před 2 lety +9

    MUNGU atusaidie Sana tuishinde Dunia ktk ulimwengu wa ROHO Kuna Mambo mengi sana.

  • @elizalaya7887
    @elizalaya7887 Před 2 lety +6

    Jina la YESU KRISTO jina lenye nguvu kupita majina yote,MUNGU atuwezeshe kumtumaini yeye peke yake katika maisha ya ulimwengu huu tukiongozwa na Roho mtakatifu hakika tutayashinda ya dunia hii iliyojaa kila aina ya uhalibifu

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 Před 2 lety +7

    Siri nzito za shetani ,zinafunuliwa. ASANTE YESU!!

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 Před 2 lety +7

    BWANA YESU ATUWEZESHE KUYASHINDA YA DUNIA HII .

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 Před 2 lety +6

    Mungu wangu nisaidie inua kiwango changu cha maombi hili nikaweze kushinda hila na nchama za muovu shetani,barikiwa kaka Jacktan

  • @UkweliMinistries
    @UkweliMinistries Před 2 lety +4

    Amen Mungu ni fundi.

  • @re.emmanuelmdoe3345
    @re.emmanuelmdoe3345 Před 3 měsíci +1

    ☑️☑️☑️☑️😋 hallelujah Hallelujahs hallelujah ‼️

  • @user-co6nm5fk1g
    @user-co6nm5fk1g Před 8 měsíci +1

    Mungu akubariki mtumishi napenda sana shuda zako tangu nimeanza kusikiliza ushuda wako much amieli nimejifunza mengi kuhusu maisha ya kiroho

  • @miria659
    @miria659 Před 2 lety +6

    Huu ushuhuda ni wa maana Sana kwangu nazidi kuelewa vita za kiroho Asante Sana promoter TV mkiongozwa na jactan God bless you

  • @lukresiajohn3939
    @lukresiajohn3939 Před 2 lety +2

    Ushuhuda mzuri sana ubarikiwe mtumishi wa Mungu jactan kutuletea ushuhuda

  • @nundebeats6754
    @nundebeats6754 Před 2 lety +3

    Habari Inasisimua,nimejifunza vitu vingi

  • @naomimunanga6363
    @naomimunanga6363 Před 2 lety +4

    Waah ulimwengu wapili unamambo kweli mungu atusaidie, nami sitawai kumwacha mungu hata siku moja, alafu Jacktan haya mambo yanatisha kwani wewe hauogopi jamani mimi nimeanza kuogopa sana, kumbe warogi wanatuchunguliaga kama tumelala, waa maajabu hayo.

  • @jossyayielo7576
    @jossyayielo7576 Před 2 lety +1

    Asante Jacktan naendelea kujifunza Sana......Bibi yangu ameaga juzi lakini kifo chake naamini si cha kweli.....🇰🇪🇰🇪

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 Před 2 lety +2

    utukufu kwa Bwana Yesu mwokozi wa maisha yetu hakika nisingeokolewa na BABA ningekua nyama ya shetani ila Yesu ashaniokoa eee Mungu utusaidie

  • @batulimabewa6953
    @batulimabewa6953 Před 2 lety +3

    Ushuhuda wa sheikh Omar niliuona kweli

  • @carolinederi5690
    @carolinederi5690 Před 2 lety +4

    The world is weaked...May God help us

  • @isaacsenaji6065
    @isaacsenaji6065 Před 2 lety +1

    Ushuhuda mkubwa, ambia mtumishi utuonyeshe mbinu za kupambana na wachawi,barikiwa

  • @jackstanley8029
    @jackstanley8029 Před rokem

    Mungu akulinde mtumishi wa mungu.

  • @violethbagila905
    @violethbagila905 Před 2 lety +2

    Mungu akubariki endelea kutufundisha tunaomba party 4

  • @irineochieng2455
    @irineochieng2455 Před 2 lety +2

    Ahsante kwa mtumishi wa Mungu. Lakini usitucheleweshe sana hivyo

  • @ezekieljob8679
    @ezekieljob8679 Před 2 lety +1

    Asante Yesu kufunua sri za adui

  • @helmashimba7761
    @helmashimba7761 Před 2 lety +2

    Much love💖

  • @florencendatila9183
    @florencendatila9183 Před 2 lety +2

    Uwiii jamani ningetamani izo mbinu 21 nizijue wachawi wanazo tumia kuturaghai walokole

  • @francoisecirezi672
    @francoisecirezi672 Před 2 lety +1

    Yesu Christo ananguvu zakuokowa anayependwa

  • @maxmillahnafula8279
    @maxmillahnafula8279 Před 2 lety +1

    Eeeeeh MUNGU wangu tusaidie kwa kila jambo,,mbona ii inatisha🙏🙏🙏🇰🇪

  • @lilymwashumbe4890
    @lilymwashumbe4890 Před rokem +1

    Mungu akutie nguvu

  • @JosephatJohn-qr7lx
    @JosephatJohn-qr7lx Před rokem

    Ndgu watumishi wa mungu nisaidieni kujua kutokana na mafundisho haya ni nini faida na hasara ya kuwapa vichaa na wale omba omba pesa Kwa huruma

  • @egospeltz9486
    @egospeltz9486 Před 2 lety +4

    Mwambie atuambie kuhusu mbinu za kupambana na walokole, atatusaidia tuliokoka kuwashinda.

    • @millicentnaliaka
      @millicentnaliaka Před 2 lety +2

      Neno linasema kesheni mukifunga na kuomba kwa kumaanisha hakuna jambo gumu na lolote muombalo kwa JINA LA,YESU mtapewa na BABA YANGU WA MBINGUNI sasa hapa nikukaa karibu kwa MUNGU kwa uwaminifu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 2 lety

      Unataka ukaloge??omba saana

    • @egospeltz9486
      @egospeltz9486 Před 2 lety +1

      @@trophywilson7211 nikamroge nani.? Nataka kuwashinda wachawi kama wewe😂😂 rudia kusoma uelew sio kukurupukia kujibu, yy kasema walifundishwa mbinu zaidi ya 30 za kuwashinda walokole, biblia inasema watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa sio kukosa kuomba. Binafsi hizo mbinu zingenisaidia kuzijuwa hila za shetani na kuziepuka.

  • @frankinspired6486
    @frankinspired6486 Před 2 lety +1

    Ungesema hizo mbinu 30 Za kujikinga na walokole, pia ni vyema kueleza kila jambo pasipo kusita, elimu hio itatusaidia jinsi ya kupambana kimaombi, kama hio jini vina saba vile latengenezwa, kafara ya hio meli ilkua ya tawala gani etc

  • @sharonwalubengo7628
    @sharonwalubengo7628 Před 2 lety +1

    Mara nyingi watu wanasema ooh ng'ombe pia analia marehemu kumbe ni haya

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 Před rokem +1

    Yaan anaongea ukweli mtupu juzi juzi nilisikia watu wanalalamika maiti inatokwa jasho

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Před 2 lety +1

    Amen nawafuatilia sana watumishi BWANA awabariki

  • @dadaz4653
    @dadaz4653 Před 2 lety +2

    Funguka mtumishi tunaendelea kujifunza

  • @janethmalando4086
    @janethmalando4086 Před 2 lety +1

    Hakuna Jambo lisilostirika ambalo halitafunuliwa yesu ni jiwe kuu Lina ponda ponda

  • @mgangaruban9383
    @mgangaruban9383 Před 2 lety

    asante Mungu kwa uxhuhuda unaojenga

  • @starluzenja9861
    @starluzenja9861 Před 2 lety

    Kwa muda mrefu nimekua nkiota dada flani tulisoma pamoja.Aliaga 2018 but kwenye ndoto kila nikimtambua ama nikigundua amekufa.Anakimbia mbio sana haniangaali Mara mbili.Hunisumbua sana.

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 Před rokem

    Endelea kuwadanganya baba😅

  • @user-qo8qy8zv1f
    @user-qo8qy8zv1f Před 4 měsíci

    Promover mbarikiwe Sana kwa kuturushia habari hizi zimetufungua macho ya kiroho lkn shetani hapendi tuzijue nimeshagundua lkn Damu ya Yesu Kristo ni moto,napenda kujua Mch Amiel sasa hivi anasubiri wapi ili niendeko

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 2 lety

    Ajali ya roli Morogoro lwanda magere ndie aliyeisababisha. Malori na mabus mengi ni ya mawakala wao

  • @Deedee88110
    @Deedee88110 Před 2 lety +3

    Anaongea vitu vya kweli mno
    Ndugu tuombe

  • @sophiarichard8469
    @sophiarichard8469 Před 2 lety

    Mungu atusaidie

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 Před 2 lety +3

    Au ni yule Omary mnyashani

    • @simonnsengiyumva1000
      @simonnsengiyumva1000 Před 2 lety

      Kweki kabisa niyuleyule Mnyeshani Omari !!!

    • @noelashaoona
      @noelashaoona Před 2 lety

      @@simonnsengiyumva1000 uyo uyo

    • @faze_narq6890
      @faze_narq6890 Před 2 lety

      😂😂I Never heard about that one, Mnyeshani could be Mushetani 😁, I am still learning! Thanks Odhia odhia!

    • @Mazoea
      @Mazoea Před 2 lety

      Yes ndio yeye

  • @josephinanikwelimdacki3330

    Mmh simama sana

  • @gestinabunganiekuya6300
    @gestinabunganiekuya6300 Před 2 lety +2

    Amina nimebarikiwa na nimejifunza ila jactan mwambie huyu mtumishi avue hiyo shanga mkononi ili huu ushuhuda ufike moyoni mwetu moja kwa moja bila shaka lolote

    • @millicentnaliaka
      @millicentnaliaka Před 2 lety

      Haha atisikue anakumulika Yesu ni mkuu atatutetea hawatatuona wataona moto vile alisema hehee

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 2 lety

      @@millicentnaliaka wanaona saana tu walokole tunajichanganya mno hivyo kupotexa line ni vyepesi tu ,uongo tu unafuta nguvu

    • @millicentnaliaka
      @millicentnaliaka Před 2 lety +1

      @@trophywilson7211 kweli kaka

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 2 lety

      @@millicentnaliaka ni Mama mimi,Barikiwa

    • @millicentnaliaka
      @millicentnaliaka Před 2 lety

      @@trophywilson7211 ooh samahani mama asante kwa kunifahamisha

  • @dianawebala9381
    @dianawebala9381 Před 2 lety

    Waaah

  • @estasage498
    @estasage498 Před 2 lety +1

    Mungu wangu, mbona dunia hii ni mtego?

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 Před 2 lety +2

    Huu ndo ushuhuda wa maana

  • @IANA2030
    @IANA2030 Před 2 lety +1

    Eeeh Yesu tutetee

  • @mariosbunguko4145
    @mariosbunguko4145 Před 2 lety +1

    Sasa kutokana na hayo mafundo uliyokuwa unawafunga watu,kwasasa unaweza kuwasaidia VP?

  • @marykilila8786
    @marykilila8786 Před 2 lety +3

    Sasa muulize zile shanga anazozivaa mkono wa kulia zinamaanisha nini ??? Mambo makubwa anayaeleza lakini anabaki na kachombo ka ibilisi? wachawi watampata tena kwa hako hako.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 2 lety

      Hahahaha anasali makanisa yanayotumia vifaa vya Kiroho kwanza hao huwa wengine wametumwa ili mjimwage

    • @Faraja2023
      @Faraja2023 Před 2 lety

      Amesema ni nembo ya kuipenda Tanzania

    • @marykilila8786
      @marykilila8786 Před 2 lety +1

      @@Faraja2023 Asante ila maandiko yanatueleza upendo unaonekana kwa matendo sio nembo .Na nembo ya MKRISTO ni BIBLIA . Waganga , wachawi na wale wasio mwamini YESU ndio vitu vyao . Na wengine waliisha shuhudiaga shanga zinatumika kuzimu.

  • @user-me3ee4fu8w
    @user-me3ee4fu8w Před 2 lety +1

    Jacktan mwambie aandike kitabu asije akayasahau mambo haya na siri hizi nilimsikia sheikh Omar akisema amesahau mambo mengi

  • @augustinetarimo8031
    @augustinetarimo8031 Před 2 lety

    shetani anatesa watu sana lakini Yesu anaweza hakika

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga7378 Před 2 lety +1

    Du kumbe kuna siri kubwa hivi wakati wa msiba?

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 2 lety +2

    Waislamu wanabisha tu kumbe dini yao inafundisha na kufuga uchafu wa Roho

    • @kennethogonda2947
      @kennethogonda2947 Před 2 lety +5

      Ni dini ya Shetani. Kwani hujawahi kujua. Mohammed alikuwa nabii wa Shetani na Allah si Mungu wa kweli wa Israeli.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 2 lety +1

      @@kennethogonda2947 sasa wafuasi zinawatosha kweli??

    • @kennethogonda2947
      @kennethogonda2947 Před 2 lety +3

      Wafuasi wao wote hawataingia mbinguni wasipotubu na kuwa wafuasi wa Yesu Kristo

    • @faze_narq6890
      @faze_narq6890 Před 2 lety

      @@kennethogonda2947 preach my brother!! That’s nothing but the TRUTH!! John 14:6!! Jesus is the WAY, THE TRUTH AND THE LIFE!! Blessings always in Jesus name Amen 🙏

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Před 8 měsíci

      Uislam ni dini ya ibilisi hyo Haina ubishi. Watakuja kugunduwa muda ushaenda

  • @milkahwambuinjengambothu6173

    Waaah!! This is an eye opener. Walokole needs to be in prayer in and out of season.
    Msukule should be a zombie right?

    • @kennethogonda2947
      @kennethogonda2947 Před 2 lety +1

      Msukule si zombie. Ni mtu aliyedhaniwa amekufa ila huwa hajafa, amechukuliwa kichawi hadi kuzimu kuenda kuteswa. Huko kuzimu mara nyingi wanakatwa ulimi na kufanyishwa kazi usiku. That is what msukule means.

    • @kennethogonda2947
      @kennethogonda2947 Před 2 lety

      But even zombies are as a result of the work of the Devil. They have been bewitched.

    • @faze_narq6890
      @faze_narq6890 Před 2 lety

      So you can pray for the captives and Our Lord Jesus Christ can bring them back? So is it right to pray and fast for some of our family members who died in mysterious situations? You wonderful man of God,the Lord had hand picked you to educate us for the Bible says that my people perish for lack of knowledge!! God bless you mightily! like why didn’t we know this before Lord? Why nobody ever said pray for the dead because some of them aren’t even dead they’ve been taken into captivity? But you know what God makes everything beautiful in His Time. Maybe we still have a chance to pray for them. I always stood with this word, that it is ordained for a man to die then judgment! So now this is a game changer in our prayer life, the lord will always leave for himself a witness who comes to reveal the great and unsearchable things we do not know! So glory be to His name for His mercies endures forever!

    • @emmanuelsamwel741
      @emmanuelsamwel741 Před 2 lety

      Msikilize josephat gwajima

    • @milliardere9177
      @milliardere9177 Před 8 měsíci

      no

  • @christinamsigwa804
    @christinamsigwa804 Před 2 lety +1

    Jesus Christ

  • @samuelkasamba226
    @samuelkasamba226 Před 10 měsíci

    Mnisaidie na namba yake

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 2 lety

    Je shetani akishindwa mtu wako anaweza rejea duniani??Namtaka Baba mkwe wangu jamani

  • @lugendodaniel5266
    @lugendodaniel5266 Před 2 lety

    Maneno mazuri Sana

  • @reginanyabenda5378
    @reginanyabenda5378 Před 2 lety

    Shalom pasta nahitaji namba yako

  • @Priscakihiyo4352
    @Priscakihiyo4352 Před 2 lety +1

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏 naomba namba ya mtumishi wa Mungu

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Před 2 lety +1

    Nitapataje namba ya huyu mtumishi wapendwa?

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 2 lety

      Endelea kufuatilia mpaka tamati ya ushuhuda wake atataja

  • @millicentnaliaka
    @millicentnaliaka Před 2 lety

    Waah makubwa hayo vipi mimi baba yangu kakufa 2008 ila jana nikamuota eti alikua amekufa na ako kwenye sanduku sasa anasema mikono yake yaugua na mimi nikimgusa hiyo mikono anaskia afadhali ama mama yangu mzazi nikawa nimeamka hivo na pia alipokufa watu wa upande wake walikua wakiingia kuona mwili angefura afike kwa kioo hivi wakitoka tu anarudi kuwa wa kawaida inamaana pia alichukuliwa msikule?

  • @susanmuthiani9213
    @susanmuthiani9213 Před 2 lety

    Vina saba ni nini?

  • @josephonkendi1906
    @josephonkendi1906 Před 4 měsíci

    Number yako please