CHAVDA ALIYEFUKUZWA TANZANIA YUPO MASAKI 'ANAKULA MAISHA.' AIFUNGA SERIKALI MAGOLI 6-1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 09. 2023
  • Ni mfanyabiashara Vidyadhar Girdharlal Chavda aliyetimuliwa nchini mwaka 1996, kwamba hatakiwi kukanyaga ardhi ya Tanzania. Alirejea kijanja, yupo anakula maisha, na ana kibali cha ukazi daraja A, huku zuio lake halijaondolewa. Sikiliza.
  • Hudba

Komentáře • 136

  • @EmmanueliZani-ur9bi
    @EmmanueliZani-ur9bi Před 10 měsíci +9

    Ndiyo utegemee maendeleo yaletwe na Serikali inayopelekeshwa na wageni!!! Mungu atusaidie kuiponya Tanzania yetu.

  • @nestor384
    @nestor384 Před 10 měsíci +14

    Halafu mtu naye anawaza serikali hii ilete maendeleo.
    Hatari sana

    • @TeamKRX
      @TeamKRX Před 10 měsíci +1

      Rabda ile meli iko wapi mandeleo jamani huyu wengekuwa wao wahindi sasa ivi yuko jela ila sisi tunamfurahiya jitu SiO latanzania

  • @Rugeyogwanko2023
    @Rugeyogwanko2023 Před 3 měsíci +1

    Kwa kweli inatisha, hongera sana.

  • @songombingo108
    @songombingo108 Před 10 měsíci +5

    Nakumbuka Mwaka 1995 ilibaki kiduchu Mrema akamate nchi. Lakini Mwl. Nyerere Akaingilia Kati.

  • @itmasterofficial
    @itmasterofficial Před 10 měsíci +3

    You a'r so bright, nafuatilia presentation zako Mara kwa Mara, may God bless you.

  • @user-oj3fq4pi2u
    @user-oj3fq4pi2u Před 10 měsíci +13

    Ulosema mkuu, kama ni sahihi.Mkuu unatisha, ..nakuvulia kofia, kumbe tuna watu wanao uwezo mkubwa sana wa kuchunguza na kufuatilia mambo muhimu...Tunakuhitaji.

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 10 měsíci +10

    Mafisadi siku zote wanaacha mashimo makubwa ambayo yanakuja kujazwa na wananchi masikini na wenye uchumi wa kati.
    Matokeo yake yanajengeka matabaka ktk jamii kati ya walio na wasio nacho, huku wapigaji hao wanakula bata na kuwaona watu km hawana akili

  • @user-mc3du2rz8l
    @user-mc3du2rz8l Před 10 měsíci +4

    SAFI KWA UZALENDO WAKO 🇹🇿 TANZANIA .

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 Před 10 měsíci +4

    Serikali ya CCM hawana uwezo wa kufikiri mambo hapo ndipo uwezo wao wa kufikiri ulipofikia

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 Před 10 měsíci +4

    Kuna watu wana nguvu sana kwenye nchi hii🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 10 měsíci +3

    Mungu atuokoe na hawa watawala wanaoingia mikataba mibovu inayotugharimu kila Leo hatuvuki. Hayo ni magoli 6 ya miaka 60 tunakufa masikini kwasababu ya wachache! Hii katiba ndio upenyo wa watawala wetu wabinafsi.

    • @samuelmuthui4699
      @samuelmuthui4699 Před 10 měsíci +1

      Aliingia Tanzania wakati wa utawala wa Mkapa...

  • @johnnykrantz1658
    @johnnykrantz1658 Před 10 měsíci +3

    If possible compile your documentaries or findings in a book.this is part of our history.

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 10 měsíci +2

    Ana nguvu sn ya kucheza na serekali zote izo zilopita aise hii nchi inataka maombi sn

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Před 10 měsíci +2

    Nasikia uchugu wao India ukifanya kitu kidogo tu wanakunyonga muafrica sisi mabarga fresh walah duu

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 Před 10 měsíci +7

    Tunasubiri ujumbe huu kwa bashasha, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.

    • @minaelkiangi-nq5kf
      @minaelkiangi-nq5kf Před 10 měsíci +6

      Inchi haiko poa kabisa, maana wazawa ndio wanao nyanyaswa katika inchi yao tofauti na wageni . Inawezekana hao wageni ndio wenye hii ichi

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 10 měsíci +3

    Tangu enzi za Amiri Jamal wahindi waliteka uchumi wa nchi hii kwa biashara za ujanjaujanja,wengi wametajirikia kwetu wakahamia Canada, Uingereza,na India na leo bado wameshikilia ukurugenzi katika biashara na makampuni makubwa kwa mitaji ya wakubwa waliojifichia humo.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 10 měsíci +4

    Unaona ajabu ya Chavda au hongo yake .Ushangai wanachota mahela Serekalini na hakuna anaechukuliwa hatua ,Raisi mwenyewe anajua anatamka uwizi mkubwa Serekali lakini hachukui hatua yeyote yeye ni kulalamika tu kama sisi 😢utadhani hana mamlaka

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 10 měsíci

    Tundu lissu hata hana habari au anakula naye.Ahsante sana

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Před 10 měsíci +3

    Tanzania serekali ipo kwà ajili ya kunyanyasa watu maskini, sio kwà ajili ya kusimamia haki,

  • @jumamohamedy731
    @jumamohamedy731 Před 10 měsíci +1

    Huyo tindu lisu nae ni matako tu

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Před 10 měsíci +1

    Alikula hizo hela na vigogo, he very safe!

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 10 měsíci +2

    Shamba la Bibi

  • @rehemashabhay8946
    @rehemashabhay8946 Před 10 měsíci +5

    Nchi yangu..Mungu tusaidie kuwa na kumbukumbu ..

  • @georgeobute724
    @georgeobute724 Před 10 měsíci +7

    Mimi kitu kikubwa viongozi wote mafisadi ili tanzania ijengwe inatakiwa tuwe na uamzi mgumu kunyonga viongozi wote walioingiza taifa ktk kashifa bila kufanya hivyo tutabaki masikini 5ufanye kama stal8n alivyo fanya urusi

    • @smarty1064
      @smarty1064 Před 10 měsíci +1

      Umeongea kizalendo sana

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 10 měsíci

      Hatari! Danger 😮

    • @stanlymwizarubi8871
      @stanlymwizarubi8871 Před 10 měsíci

      Nimakosa kuomba mungu mafisadi wasiendelee kutawala, tutoe ujinga tuandamane. Bila ivyo tutakumbuka tumeshauzwa!! Gharama za Ali Ni damu kumwagika, (bila damu ya yesu kumwagika tusinge kombolewa) ukijitoa kwako Ni Eli tu

    • @georgeobute724
      @georgeobute724 Před 10 měsíci

      @@stanlymwizarubi8871 some afew days I was in German where I saw how people are really committed to develop there nation without corruption all people aeons equal income atthesame time no people who claim to be leaders loiting all national funds by being given allowance which are finishing the country plus an necessary trips of our constitutional president who think this country is a monarch imagine how so called mps what is the work if not clumping hands to support the consumption of national wealth

  • @user-oj3fq4pi2u
    @user-oj3fq4pi2u Před 10 měsíci +1

    Dah....alaaa bongo, wajanja wanapenya tuu

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Před 10 měsíci +1

    Muchambuzi wakweli afilika safi

  • @babudingi-gd7pz
    @babudingi-gd7pz Před 10 měsíci

    Endereeni kuishi mengi tuya juwe mungu zidi kutu weka waja wako tuji funze ongera mzee wangu 🙏🙏🙏🙏

  • @ThomasIkerra
    @ThomasIkerra Před 10 měsíci

    Haishangazi sana,ni nchi ya kufikirika hii.

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Před 10 měsíci +3

    Wapumbavu ndio waliwao. Ufisadi uliokomaa.

  • @judicatendengerio-ndossi1583
    @judicatendengerio-ndossi1583 Před 10 měsíci

    Super intelligent or super rich. Kama hela anazo atafia na kuzikwa Tanzania. If you can't beat them join them. Mwacheni tu mzee huyo akiishiwa na hela atafukuzwa. Akiwa nazo atabaki.

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Před 10 měsíci +1

    "Persona non grata" kwa lugha ya kigeni.

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale Před 10 měsíci

    LAKINI mzee, Mrema alipanda ndege ya CHAVDA kukagua mashamba yake. Watu wakahisi amepewa kitu. Katika kesi HII MREMA hakuwa shujaa kama usemavyo!

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Před 2 měsíci

    Huyu anezulumu kipawa oil com dare salamu eneo lote kachukuwa na anasema wskazi wa pale hawatambui

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 Před 10 měsíci

    Apewa uraia maalum kwa ufisaidi bora na kuwa mwaini bora wa karne 21 na tunu bora kutoka CCM CCM CCM

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Před 2 měsíci

    Nikweli chavda yupo na hata mali alizokuwanazo zikataifishwa alizirudisha lkn kwa njia nyengine sio chavda chavda anambiwa alikuwa wakala lakini sio muhusika amewapokonya mali zote

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 Před 10 měsíci

    Ah! Kumbe tokea 1976 acha aendelee kuishi tu huwenda alisamehewa

  • @LishaPasha
    @LishaPasha Před 10 měsíci +6

    This is massive.
    Great piece of investigative journalism. Saafi sana.
    We are patiently waiting follow-up episode ya "majibu"...inshallah!
    Please do an extensive piece about Loliondo pia....thanks in advance.

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Před 2 měsíci

    Hiyu anavitu vingi vya dhulma

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před 10 měsíci

    Tanzania nchi tanu sana aliezaliwa na kukulia au hata kuishi tu Tanzania hawezi ondoka kwenye nchi nyingine akawa na furaha na Raha kama akiwa tanzania

  • @Hussein_Mustafa_Parmar
    @Hussein_Mustafa_Parmar Před 10 měsíci +1

    Chavda ni jina la Kihindu hivyo alikuwa Muhindi Mhindu. Na Azim Jamal, Waziri wa uchumi, zama za Nyerere, alikuwa Muhindi wa kundi la Agakhani Ismaili, na zama hizo za Rais Nyerere, wahindi wa Agakhani Ismaili ndio waliokuwa wameshika sehemu kubwa ya uchumi wa Tanzania. Miaka hizi Mashia wahindi Khoja Ithnasheri wameshika uchumi mkubwa wa Tanzania, watu kama Mo Dewji, Yusuf Manji, Fida Rashid, n.k, na wanafanya mengi na makubwa, na wanafanya watakalo, na katika wao kina Azim Dewji na Mo Dewji wanaingia ikulu na kufanya wanavyotaka, na ni watu hatari na wanaweza kumfunga mtu au kumuua maana katika wenye nguvu na usalama wa kawaida wanawatii na wanafadhili kila mahali kwa njia tofauti wakiwa tofauti katika hali tofauti

  • @shabanikavula1304
    @shabanikavula1304 Před 10 měsíci

    CHAVDA ALITOROKA AU aliamrishwa kutoka nchini?

  • @user-lx9oi1zh1d
    @user-lx9oi1zh1d Před 10 měsíci +1

    UFISADI

  • @EdwinMeta-nh1vv
    @EdwinMeta-nh1vv Před 3 měsíci

    "nji gani hii inakumbatia matajiri Tena wahindi? sasa nasema Mohamed enterprises akamatwe na afukuzwe njini, Chavda akamatwe anyang'anywe leseni ya biashara na afukuzwe njini! Pumzika Kwa amani Augustine Lyatonga Mrema, waziri wa mambo ya ndani enzi zile za sakata la mo na chavda

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Před 10 měsíci

    🙈😢😢😢😳🙈

  • @alibalushi4691
    @alibalushi4691 Před 10 měsíci

    Haya mr. Ngurumo umeyakoroga bora uanza kunywa ww kwanza

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 Před 10 měsíci

    Atakoka kwa duwa tuu ya Watanzania tuu 😂😂😂 chadema kazi hiyo

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 10 měsíci

    Hongo.Rushwa.😢

  • @mwanahamisimombeki6872
    @mwanahamisimombeki6872 Před 10 měsíci

    Eeeeh mungu wangu.mlowezi analindwa hatari.hiii

    • @Zaburi-
      @Zaburi- Před 10 měsíci +1

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před 10 měsíci +1

    Ukiwa na fedha utakwama wapi Kwa serikali hii ya mafisadi?

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před 10 měsíci +5

    Wazaliwa wana nyimwa uraia, wageni wanapewa uraia na ndugu zao.

  • @user-zb5qz6fk1v
    @user-zb5qz6fk1v Před 10 měsíci

    Ccm na mahakama shida tupu
    Raia wazawa wanao ishi nje ya nchi hawakubaliwi kwenye nchi yao lakini fisadi hili ilnahaki zaidi ya wazawa
    Aibu ya serikari ya ccm

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Před 2 měsíci

    Huyu mwandishi anamadini makubwa sana na mada zake ni zaukweli tupu

  • @charleslukumai7875
    @charleslukumai7875 Před 10 měsíci +1

    Ndugu Ngurumo, umesema mlienda uhamiaji kuulizia hayo unayohoji. Uhamiaji waliwapa majibu gani?

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 10 měsíci

      Neno la mwisho katika sentensi ya mwisho la husika. Vita subira.

  • @alibalushi4691
    @alibalushi4691 Před 10 měsíci

    Mungu tusaidie tumalize kwanza hawa waarabu na bandari halafu tuwatafute wahindi baadaye tuwaingilie wa chaga na mwisho tumalizane ss wenyewe.marehemu baba wa taifa alituonya tuepukane na hii balaa ambayo wengi hawaioni.

    • @charleslukumai7875
      @charleslukumai7875 Před 10 měsíci

      Marehemu Baba wa taifa hakuzungumzia ubaguzi kwa watu wanaoliangamiza taifa. Elewa wewe.

  • @raymondmchuma1717
    @raymondmchuma1717 Před 10 měsíci +2

    Huyu mwamba anaweza kuwekea Password ambayo inaweza isitoleqw hata na watalaam wa Israel,
    By the way nimekuvulia kofia wewe ni ni mwamba ina interagency ya Cuba

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 10 měsíci

    Chavda aondoke😢

  • @rehemashabhay8946
    @rehemashabhay8946 Před 10 měsíci +2

    Nimrod ni mh. Tujiulize huyu mbunge alimteteaje mtu aliyeamriwa kuondoka...money talks..

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 10 měsíci +1

      Nimrod Mkono ni marehemu sasa. Amefariki dunia mwaka huu.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 10 měsíci +1

    Fedha fedheha😅

  • @johnkwambaza8019
    @johnkwambaza8019 Před 10 měsíci +2

    Mrema hakufukuzishwa kazi na Chavda, hoja ya kufukuzwa ilikuwa dhahiri ni baada ya yeye kuamua kukaa upande wa wabunge na kuanza kuishutumu serikali. Alikosa kucomply na uwajibikaji wa pamoja kwa kuwa hoja ilianzia kwenye cabinet na huko alikuwa na nafasi ya kutetea msimamo wako na hakuweza kuwashawishi mawaziri wenzake. Tukumbuke kwamba Mrema alikuwa anajiandaa kugombea urais na kwa nature ya CCM watu aina ya Mrema Huwa hawapewi nafasi na yeye alishasoma alama za nyakati. Chavda anaipenda Tanzania ndo maana anaminyana kuishi hapa. Ufisadi unaozungumzwa ni ule wa kukopeshwa fedha na serikali ili kufufua mashamba ya mkonge. Hii ndio ilikuwa hoja ya Mrema kwenye kampeni yake ya urais

    • @ulomirabiel6980
      @ulomirabiel6980 Před 10 měsíci +8

      Issue hapa mtu alishafukuzwa kwa amri ya serikali miaka mingi iliyopita bado yupo baada ya kurdish kinyemela. Jee vyombo vya serikali vinafanya nini. Kama serikali zetu zinashindwa jambo dogo kama hili zitaweza makubwa kama mkataba wa bandari? Aibu tupu.

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 10 měsíci +3

      Wewe na mimi tunazungumza kitu kimoja kwa maneno tofauti.

    • @johnkwambaza8019
      @johnkwambaza8019 Před 10 měsíci +2

      ​@@AnsbertNgurumosawa kabisa

    • @johnkwambaza8019
      @johnkwambaza8019 Před 10 měsíci

      ​@@ulomirabiel6980sidhani Kama Chavda ni target ya state apparatus Kama tunavyoaminishwa

    • @Ngongongalimedia
      @Ngongongalimedia Před 10 měsíci +1

      Pindua hoja kwa hoja na ushahindi Kama sk anavyofanya watu watakuelewa saaana

  • @johnnykrantz1658
    @johnnykrantz1658 Před 10 měsíci +1

    😢 Kazi yako iendelee,elimu inahitajika

  • @user-cv2ke1ic6t
    @user-cv2ke1ic6t Před 10 měsíci +1

    Kwa taarifa hii tunayopewa kumhusu bwana Chavda ambae hatakiwi kuwepo hapa nchini kisheria kwani aliondolewa na serikali yttetu ama sivyo kama mahakama ilimwondolea agizo hilo au Rais alimpa msamaha vinginevyo uwepo wake ni kinyume cha sheria na mamlaka husika zimtafute akamatwe. Na kupelekwa mahakamani apewe adhabu na baadae aondolewe apelekwe kwao India.

    • @user-cv2ke1ic6t
      @user-cv2ke1ic6t Před 10 měsíci

      Sheria ya nchi ipo wazi in black $ white, kama aliondolewa na baadae akarudi hilo ni kosa la jinai na kama mamlaka husika wanajua yupo na hamchukulii hatua ya kumkamata na kumpeleka mahakamani basi nao wamevunja sheria ya nchi na wahusika sheria ichukuliwe dhidi yaao, hakuna mtu aliye juu ya sheriawisho, nasisitiza kukua bwana Chavda akamatwe haraka sana na afikishwe mahakamani ili aadhibiwe kwa kkukiuka kukiuka sheria na baada ya adhabu yake arudishwe kwao(deportation) India point blank fullstop.

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 10 měsíci

    Nchi hii ina ujambazi mwingi msingi wa uovu huu ni ufisadi uliokithiri

  • @cpn456
    @cpn456 Před 10 měsíci +1

    Yatajibiwa lini Ngurumo?

  • @myself4128
    @myself4128 Před 10 měsíci

    NASIKIA PIA GAVANA WA BOT 2008 Balali walidai alifia Marekani baada ya matuhuma Kuzidi lakini mwili wake haujawahi Kurudi Tanzania Nawasi wasi kama Alikufa au Ni Changa La Macho Tu!!! Nchi imeoza

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Před 2 měsíci

    Chavda nimtu wa rushwa na amewadhibiti viongozi wengi wa ccm na serikali

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Před 2 měsíci

    Maneno yako dhahabu na serikal ifanye uchunguzi na chavya na watu anao dili nao mawakala wake wote wa mali zake

  • @valerianmtowe7822
    @valerianmtowe7822 Před 10 měsíci

    Inchi yetu kwa rushwa cjui lini itaisha

  • @Hassan-ot1mc
    @Hassan-ot1mc Před 10 měsíci

    Posta yote imeuziwa wahindi hakuna mbongo posta

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 10 měsíci

    Tanzania madhalimu afadhali hawakumuuwa

  • @oswaldtemba2770
    @oswaldtemba2770 Před 10 měsíci

    Huu ni kweli mtupu.huyu jamaa ana akili sana kanikumbusha mbali. Niombe vyombo vya usalama viingie kazini vimng'oe hili jambazi

  • @myself4128
    @myself4128 Před 10 měsíci

    CCM IMEJAA VILAZA WANACHAGUANA KICHAWI CHAWI NI GENGE LA WANGA NA WAHUNI NA MAJUHA,BUNGE LIMEJAA MISUKULE NA TUNAONGOZWA NA VIONGOZI WASIO NA DIRA WALA UZALENDO NA HAWANA UWEZO HATA WA KUFIKIRI ZAIDI WANAKUZA MATUMBO TU,NCHI YETU INATIA AIBU!!

  • @philipomwasha5325
    @philipomwasha5325 Před 10 měsíci

    Ndio maana hata vyama tulivyonavyo avina uwezo mbona hata chadema hawaongelei maswali hayo

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 10 měsíci

      One thing at a time. Hakuna mtu anaweza kujua na kusema kila kitu tena kwa wakati mmoja

  • @myself4128
    @myself4128 Před 10 měsíci

    WAHINDI NA WACHINA NA WAARABU NA SASA WAKURDISH NA WATURUKI WANAIAHI NCHI HII BILA VIBALI NI KAMA WANAINGIA CHOONI NA KUTOKA!!UHAMIAJI NA POLISI HAWANA HABARI ZAIDI WANATAFUTA RAIA WEMA WA KUWAONEA TU ILI KULINDA MASLAHI YA WALANCHI

  • @josephwilliammnyune5464
    @josephwilliammnyune5464 Před 10 měsíci +3

    Alaa, kumbe. Mambo hayo yapo hapa hapa Tanzania?

  • @kisangageorgethomasi2830
    @kisangageorgethomasi2830 Před 10 měsíci

    Kama kwa magu ilishindikana basi magu alikua mnafiki alilenga asiye wapenda tu kisiasa

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 Před 10 měsíci

    CHADEMA wanamweza na wazee wa MBEZA wana mapinduzi kazi nyingine iyo Ngorongoro Bandari na CHAVDA uyo wa CCM chadema wanamapinduzi mtusaidiye jamanii

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 Před 10 měsíci

    Basi umeshamaliza? Alikutapeli? Nilizani utaleta picha yake na anachofanya Tz, hawezi kukaa tu nyumbani. Ungemkodi private detective.

  • @myself4128
    @myself4128 Před 10 měsíci

    YAANI wahindi Wanatafuna Nchi Vibaya mno!wanaishi Upanga na Kariakoo Nyumba Za Serikali wamenunua Kwa bei ya Bure kabisa hii nchi Tunaongozwa Na viongozi Wabovu sana na hawajielewi!!Ni shamba la Bibi

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk Před 10 měsíci

    Mahakama zetu ni corrupt sana. Bahati mbaya Majaji wakubwa na wanaoheshimika sana nao wamehusika kwenye njama za kifeshuli kama hizi

  • @zonko0488
    @zonko0488 Před 9 měsíci

    Haya mambo ya kuilalamikia serikali ifike wakati tuiache. Nani asiejua nchi haina serikali bali genge la wezi wasio hata na akili ya kuzaliwa. Swali linakuja sisi tunaolalamika tunafanya nini? Maneno mengi sana

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 10 měsíci +1

    NIMEUPENDA WIMBO HUO 2. SWALA LA SHAVDA LINAHITAJI WATAALAM

  • @user-hf3hq4nf9o
    @user-hf3hq4nf9o Před 10 měsíci

    INAONEKANA MAGOLI YOTE 6 UNAYOONGLEA NI MAGOLI HALALI..SABABU ANAFUATA TARAIBU ZA KISHERIA... KWAHYO WEWW ENDELEA KUTAFUTA MAGOLI YA KUSAWAZISHA.. ILI MRADI YAWE HALALI ..KAMA YAKE

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 10 měsíci +1

    Hawa ni wale waliosema wameweka serikali mfukoni kwa vyovyote wapo watu waliomsaidia Chavda wasaliti Nyerere tu ndiyo aliyewaweza kwa kuwapga viboko

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 Před 10 měsíci +2

    Gurumo umenikumbusha mbili sana wakati huo nilikuwa na miaka 22 bado Niko shule ilitikisa sana Kwa mate do yake mabovu ya utapeli wa fedha za mikonge kama nakumbuka millioni miatisa akapewa PI ya kiondoka nchini da nchi zetu ni hatari sana uzalendo wanaoubiri ni ipi

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 Před 10 měsíci

    Mrema kuondoka chama cha mapinduzi alisigina katiba kwa mguu wake mwenyewe BUNGENI KULE DODOMA na akaondoka .na kuanzisha chama chake cha NCCR MAGEUZI...

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk Před 10 měsíci +1

      Mrema alianzisha NCCR? Wewe ulizaliwa mwaka gani?

    • @dismaslalubare4196
      @dismaslalubare4196 Před 10 měsíci

      Hapa ujue unaongea mkongwe 1961 na hata alip0anzisha chama kuna mchimba madini wa mererani ana hoteli inaitwa palsons hotel iliopo hapa mjini arusha lakini kwa sasa ni marehemu na alikuwa na timu inayoitwa palsons sport club na ilishacheza ligi.kuu ya tanzania alinunua land rover 110 shot cheses akampa mrema kwa ajili ya kugombea urais kwenye chama chake na mimi niikuwa kwenye kampeni alitingisha chama cha mapinduzi mpaka nyerere akaja kusaidia kampeni pale moshi.. hakufika arusha sababu mwanae nyerere alikuwa anaitwa makongoro nyerere alikuwa anagombea ubunge kupitia chama charema na akashinda akawa mbunge lakini ccm walienda mahakamani na wakamuengua makongoro na alishatumikia ubunge miaka mitatu..... stori ni ndefu tuishie hapo

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk Před 10 měsíci +2

      @@dismaslalubare4196 Unaleta stori mingi kwa swali rahisi tu. Mrema ndiye muasisi wa NCCR? Marando asemaje?

    • @dismaslalubare4196
      @dismaslalubare4196 Před 10 měsíci

      @@Joe-tr2vk yaishe mkuu

  • @derickcowly6681
    @derickcowly6681 Před 10 měsíci

    Siyo Bandari peke yake fisadi jingine kesi miaka kumi na zaidi tena ya uwizi wa mapato ujumu uchumi

  • @alibalushi4691
    @alibalushi4691 Před 10 měsíci

    Mr.Ansbert,kama mmetumwa kwa malipo tafadhalini hali ya hewa hivi sasa nchini kwetu sio nzuri.kama uzalendo pls stay the course.kipachi ulicho nacho ni kikubwa sana kumbuka umepewa na mungu.dalili zinaonyesha brother upo upande mmoja.haupendezi brother.hakuna tatizo kuwa Chadema au CCM au kutokuwa chama chochote,tatizo ni kutafuta mada ambazo zinaweza zikaleta sintofahamu na furugu nchini.

    • @jonasmushi5145
      @jonasmushi5145 Před 10 měsíci

      Usiuvae ujinga kwa kiwango hicho

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk Před 10 měsíci +1

      ​@@jonasmushi5145 Jamaa ni kenge kweli. Linaendekeza ukondoo huku nchi inatafunwa,acha watoto wake wakute nchi imebaki kama Somalia ndiyo atajipongeza kwa ukondoo wake😂

    • @erickwerema7843
      @erickwerema7843 Před 10 měsíci

      Endelea kuwaogopa hao wezi acha ndugu awanange ushetani wao

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Před 10 měsíci +1

    Sasa kama anaipenda Tanzania wewe inakuudhi Nini. Kama Kuna uhalifu anafanya tufahamishe zaidi ya historian za zamani. Usituchoshe bwana

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 10 měsíci

      😆 😂 😆 tunazidiana upeo, ndugu yangu. Nawe maoni yako yameheshimiwa tu, usijali.

    • @Hassan-ot1mc
      @Hassan-ot1mc Před 10 měsíci

      Kwa ulivyo mjinga unaona hili halina maana

  • @omarikessy2339
    @omarikessy2339 Před 10 měsíci +2

    Kama mpaka John Magufuli kashindwa basi ,huyo hawezekani tena,mwacheni tuu yeye ni bingwa

  • @user-bz2nd3bm1w
    @user-bz2nd3bm1w Před 10 měsíci +1

    Kumbe magu bae alikuwa mnafiki akiwachukia wanaompinga CCM ni ileile