USHINDI WA MWABUKUSI NA ATHARI SABA ZA DHULUMA YA DOLA KWA WANATAALUMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Ni ushindi wa umma na wanataaluma wote.

Komentáře • 194

  • @rashiditembo1574
    @rashiditembo1574 Před měsícem +31

    Ushindi wa mwambukusi ni ushindi wa katiba mpya yenye tija kwa watanzania,hongera jemedari,Tuvushe kamanda, mwenyezi mungu akutangulie

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před měsícem +1

      Asali akirambishwa atanyamaza kimya

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 Před měsícem +1

      ​Amekwisha pita hiyo ngazi hiyo ,hakuna cha aslii ! Wale waliopewa fedha za campaign na mawakili wakakataa .hongera mawakili wa TLS.😂

    • @Joseph-lu4yj
      @Joseph-lu4yj Před měsícem

      @@KassimAlly-xp4dz Angetulia kwenye bandari

  • @magdalenanicholaus5459
    @magdalenanicholaus5459 Před měsícem +20

    Hongera sana mwabukusi ,,🙏🙏🙏🙏

  • @khalidmwakabuta5045
    @khalidmwakabuta5045 Před měsícem +26

    Nilikuwa nasubiria sana utaongea nin kuhusu uchaguzi huu wa TLS Pr Ngurumo kweli nimefarijika sana kusikia maoni yako

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Před měsícem +6

    Be blessed Kamanda Mungu akubariki Mno,Wewe ni Mchambuzi Mzuri sana

  • @juliuskitomari3057
    @juliuskitomari3057 Před měsícem +18

    Katika miaka yote haijawahi kutokea watanzania wakawa na uelewa mkubwa hivi,kwanza wengi tulikua hatujui kabisa TLS ni nini wala umuhimu wake kwa watanzania,hii inadhihirisha kuwa watanzania wana mambo mengi ambayo yanawasibu lkn hawajui nani wakuwasemea,sasa ushindi huu ni wa watanzania wote.Na serikali itambue sasa kuwa watanzania wanataka mabadiliko na wakati ule uliotabiriwa na baba wa taifa umefika sasa,Alisema wasipoyapata ndani ya ccm watayatafuta nje ya ccm.Hiki ndicho ninachokiona sasa,watanzania wamechoshwa na rushwa,wamechoshwa na Ufisadi,wamechoshwa na utekaji n.k

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Před měsícem

      Kafatilie pia uchaguzi wa Lissu kuwa rais wa TLS

  • @WigesaNyerere
    @WigesaNyerere Před měsícem +12

    Asante Mungu,uchaguzi umeisha vyema,nina imani nae nasubri mambo makubwa 3 kutoka kwake,1 bandari zetu,2 wamasai na maeneo yao asili,3 mikataba ya hovyo inayo pitishwa bungeni..

    • @simonMollel-rr3gb
      @simonMollel-rr3gb Před měsícem +2

      Ni kumwombea MUNGU pia maana watamwandama km Tundu lisu alivyopigwa risasi

    • @verdianabanabi2205
      @verdianabanabi2205 Před měsícem +3

      Hiyo ni kweli.

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 Před měsícem +2

      Kweli kabisa, mwabukusi OYEEEEEEEE.

    • @mahengepascal
      @mahengepascal Před měsícem +3

      Tumtangulize Mungu kwa kila kitu

    • @WigesaNyerere
      @WigesaNyerere Před měsícem +2

      @@simonMollel-rr3gb hii inch ilipo fika tukiendelea kuogopa kifo,ujinga hauta isha na ukifa unatetea ni kifo bora

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před měsícem +14

    Hongera sana mwambukusi

  • @PaulLukumbi-en3qd
    @PaulLukumbi-en3qd Před měsícem +13

    Mungu akulinde,ni ushindi kwa TAIFA mwabukusi na TLS endesha jahazi nahodha wa uhakika tutafika salama bandarini.

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +8

    Mwabukusi hongera sana kwa ushindi.Mungu azidi kukubariki na kukulinda.

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 Před měsícem +16

    Stay blessed Mkuu Ngurumo

  • @leonardinnocent9638
    @leonardinnocent9638 Před měsícem +6

    Makala nzuri sana hii. Umefanya uchambuzi yakinifu🙏🙏🙏

  • @saviomlelwa
    @saviomlelwa Před měsícem +22

    Umeongea vema Sana. Always stay blessed

  • @EddaKiputa-cz7gf
    @EddaKiputa-cz7gf Před měsícem +25

    Mawakili nimewakubali,mmetuonyesha kuwa inawezekana kwa msaada wa Mungu.

  • @user-dk3ou5yk2f
    @user-dk3ou5yk2f Před měsícem +19

    Nimeikubali TLS HALISI Imefufuka HAKI Imeshinda nchi yetu TANGANYIKA imefufuka Freedom is coming to day not tomorrow Thanks GOD Alta continue

    • @rommelmauma5872
      @rommelmauma5872 Před měsícem +1

      Vocē é menu melhor amigo [Vocē é melhor amiga]: "A Luta Continua!"

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 Před měsícem +7

    Mwabukusi, hapo umeshinda, lakini nakuomba utapoenda popote pale kikazi, mwambie mke wako akupikie chakula, na maji nunua ya kwako. Roho ya shetani imevamia utawala uliopo ukifanya uovu wa bila hata kuogopa kwamba Mungu aonaye sirini anawaona na hukumu inawasubiri. Mungu akulinde katika nyanja zote.

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 Před měsícem

      Achukuwe taadhari , lakini Mwabukusi usiogope yupo zaidi ya watawala anayekulinda kila dakika ,halal wala hapokea Rushwa Kumbuka ngedere na bundi walitumika kuzuia msafara wa rais kufika Dodoma mapema, amina Mungu tuu!.

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz Před měsícem +11

    Mungu atabaki kuwa Mungu siku zote. Alitakalo Mungu hutimia kwa wakati na majira yake. Asante Mungu. Tumetenda sana dhambi ya unafiki. Imetosha. Mwabukusi hongera katimize mapenzi Mungu kaka.

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před měsícem +46

    Halafu Nkuba unaenda mahakani kugomea ushindi wa Mwabukusi kwa Kura 1274 kwa 807 wapi na wapi ingekuwa tofauti ya kula 10 sawa lkn kwa utofauti wa kula hizi ungeendelea na mambo yako tu😂😂😂😂🙌

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem +2

      Haki haitegemei idadi hata huyu aliyeshinda alienguliwa na tume na kutafuta haki akarejeshwa.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před měsícem +4

      @@hajihassan5433 Sawa haina shida ila tunaamini waliomuengua mwanzo wakampa shida Mwabukusi kwenda mahakamani nawao waanze kwenda mahakamani tuone haki itendeke mdau😂😂🙌

    • @JohnPallangyo-k9n
      @JohnPallangyo-k9n Před měsícem +10

      Ni hivi Mwabukusi ni kichwa na tunamwamini ktk uongozi

    • @FrankNzombo-k3j
      @FrankNzombo-k3j Před měsícem +3

      Huyu jama alitumwa ila najua hata mkewake.anamzomea kwa kile anacho taka kufanya mana hata mke wake alimpigia mwambusi mana anajitambua kuliko ili lijama

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x Před měsícem +3

      Mamluki

  • @KasalamaAlly
    @KasalamaAlly Před měsícem +14

    Huyu anaepinga matokeo ndio wale wale mapandikizi kifupi ndo machawa wenyewe jemadari Mwambukusi pambana mwanangu Katiba mpya ndio ndio iwe kipaumbele

  • @NtamamiloGibson
    @NtamamiloGibson Před měsícem +16

    Huyu ambaye hakubali matokeo warudie wakiwa 2 tu aone atakavyo tandikwa.

  • @JoshuaSabu-r2p
    @JoshuaSabu-r2p Před 29 dny +1

    Mwenyezi mungu akubaliki sana ndg Ngulumo hakika unatoa darasa zuri xna katika mambo mbalimbali

  • @JamesAbel-ig8wb
    @JamesAbel-ig8wb Před měsícem +17

    Hongera Mawakili wote Kwa kujitambua, hivi mwanasheria mkuu alikuwepo? Amejifunza Nini?

  • @ChristinaKilianNyoni-xb7lk
    @ChristinaKilianNyoni-xb7lk Před měsícem +5

    Hata sisi wanakijiji tumefurahi saaaana viva Mwabukusi

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 Před měsícem +1

    Asante baba kwa makala nzuri, umetufungua macho kile ambacho tulikuwa hatukijui ,ila kwa Tz tulikuwa tumefungwa kwenye gereza la giza la sheria na kufungwa kamba humu , Mungu tuinulie wengine wengi wataosaidiana na Kaka yetu Mwambukusi ili tufike sehemu nzuri ya kujikomboa kutoka kwenye giza hili . Ee Mwenyezi Mungu tusaidie

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv Před měsícem +13

    PIGA KAZI MUZAZI TUKO NYUMA TUNAKUOMBEA MUNGU AKUTANGULIE

  • @davidsamson8204
    @davidsamson8204 Před měsícem +3

    Mungu mwema Ongera sana Mwabukusi Mungu akuongoze kuisimamia TLS ongera sana Mmetufurahisha watanzania hii inatutia Moyo sana.

  • @user-tt9bp2id5p
    @user-tt9bp2id5p Před měsícem +3

    Daaaa nimefurahi sana mwamba mwabukusi woooyoooooooooooo❤❤❤❤

  • @pdaxofficial3144
    @pdaxofficial3144 Před měsícem +3

    Mwabugusi namkubali sana yule jamaa anajua Sheria kiukweli Yuko vzr sana sana kiukweli..

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Před měsícem +13

    Unanielimisha Sana Mzee

  • @user-wc1bw4wt2g
    @user-wc1bw4wt2g Před měsícem +3

    Hongera sana kaka mkubwa Kwa ushindi mkubwa uliopata

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Před měsícem +4

    Kweli kabisa. Ushindi wa mwabukusi. Si. Wanashelia peke yake. Na sisi wananchi tupo tumefurahi saaaana. Pigania tanganyika yetu. Hongera saaana. Mwabukusi.

  • @veronicanabina3380
    @veronicanabina3380 Před měsícem +2

    Sijapiga kura ila naona nimeshinda, maana niliyekuwa natamani na kumuombea kwa Mungu ashinde ameshinda . ASANTE SANA MUNGU

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před měsícem +2

    Mungu baba, popote Mwabukusi aliyo naiomba uwe mlinzi wake, tunakuomba MUNGU.

  • @FrankNzombo-k3j
    @FrankNzombo-k3j Před měsícem +4

    Mungu amejibu maombi ya kilio Cha watanzania kumpata shuja

  • @user-eo4bl3do8k
    @user-eo4bl3do8k Před měsícem +5

    Tunasubiri MABADILIKO MAKUBWA YA UONGOZI WA TLS NA MABADILIKO YA KIDEMOKRASIA NCHINI KWETU ,TUNATAKA NJIA YA KUTUONGOZA KUDAI MABADILIKO MAKUBWA ILI KUPATA KATIBA MPYA KWA HARAKA ,,MWABUKUSI HONGERA

  • @isayaerasto7550
    @isayaerasto7550 Před měsícem +2

    Tunataka, vyama vya madaktari,ma engineer, waalim,na vingine wakatae kutumika na serikali

  • @TampeBra
    @TampeBra Před měsícem +1

    Hongera sana Mwabukusi boniface. Kapige kazi kwa weledi

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před měsícem +1

    Hongera SK media kwa kutoa Elimu. Tutakukumbuka kama Lucky Dube wa Tanzanian, keep it up!!

  • @ZabronJonathan-b5s
    @ZabronJonathan-b5s Před měsícem +1

    Mungu ambarikina kumlinda.

  • @nicholaussizya8054
    @nicholaussizya8054 Před měsícem +1

    Uchaguzi sahihi kwa Wanasheria wote 1274/941. Hongereni !

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 Před měsícem +5

    Duuuuuuh hatamimi Nampa kura yangu, ijapo mimi ni fundi ujenzi

  • @malindimalindimerinyo1632
    @malindimalindimerinyo1632 Před měsícem +4

    Waumini wa haki na kweli hawawezi kukukejeli labda kichaa tuu

  • @AbuuMtamike
    @AbuuMtamike Před měsícem +1

    Hakuna giza lililo shinda nuru hata waludie mara 10 Mungu yupo pamoja na Mwabukusi(Musa dhidi ya farao)

  • @FloraGervase
    @FloraGervase Před měsícem +2

    Mungu akufunike kwa damu yake yakatifu

  • @user-zn7vw3pj6p
    @user-zn7vw3pj6p Před měsícem

    Hongera mwambukusi.hakika tusiojua sheria tunaimaninawewe.tumepatamtuwauhakika ninyotayetu watanzaniawote.

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 Před měsícem +3

    Hongera mwabukusi oyee

  • @MonicaTimotheo
    @MonicaTimotheo Před měsícem +2

    VIVA MWABUKUSI VIVA TANZANIA

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 Před měsícem +2

    Asanteni wanzania wote wapenda Aki,

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 Před měsícem +1

    Kabisaaa ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri🙏

  • @richardrenatus9582
    @richardrenatus9582 Před měsícem +3

    tayari watanganyika tumechukua risasi moja ya ushindi paleeee TLS, Bado Risasi lingine 2025 ili tuishi kwa rahaaaa

  • @karolinchimani5316
    @karolinchimani5316 Před měsícem

    Congratulations Mwabukusi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @user-jc1do5gf3w
    @user-jc1do5gf3w Před měsícem

    Hongera sana Mwabukusi,ushindi wako ni wa Watanzania wote,piga kazi Taifa hili tunahitaji kiongozi kama wewe.Hongera sana,sana

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před měsícem +3

    Vibaraka wanaturudisha nyuma sana nchi hii

  • @rommelmauma5872
    @rommelmauma5872 Před měsícem +3

    *Mawakili wengi wa mahakama duniani hukimbilia palipo na 'fweza' na / au heshima; lengo lao ni kushinda kesi za wateja wao hata kama wanajua wazi, kwa mfano, wanayemtetea ni fisadi, mwuaji au mwizi.*
    *Baadhi ya mawakili wetu wameshiriki katika mikataba ya kimataifa ya kuinyonya Tanzania yetu kwa maslahi mafupi ya matumbo yao.*
    *Mawakili wa namna hiyo wanahujumu utu na haki, japo guapa kuilinda na kufanyakazi kwa mawakili ya juu.*

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem

      Kesi nyingi tunazoshitakiwa nazo na kushindwa washtaki hupeleka kesi zao mahakama za kimataifa na hutafuta mawakili wao huko huko nje ambao wengi huwa ni wazungu na mawakili wa serikali hushindwa kwenye kesi hizo.sasa hapa wa kuilaumu ni serikali na mawakili wa serikali kwa kuingia mikataba ya kinyonyaji kwa kutanguliza matumbo yao.Wakili kama wakili hana makosa yeye anatetea HAKI na anaongozwa na vifungu vya sheria na ndio kazi yake.Labda naomba uniambie kwa hapa Tanzania ni wakili gani unaemjua kwenye hizi kesi za kimataifa alikuwa anawatetea hawa wawekezaji wakubwa mfano kesi ya juzi tuliyopigwa dola elfu 90?Ukija ndani ya Tanzania kwenyewe,hawa watanzania wenzetu ndio hufanya ufisadi na ubadhirifu kwa makusudi huku wakijua kuwa hata wakishitakiwa watashinda kwa sababu washtaki huwa wanakosa mashahidi .

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před měsícem

      Wanaoihujumu nchi sio mawakili bali viongozi wa serikali walioingia mikataba hiyo ambayo haina tija kwa nchi.Hata ukienda Afrika kusini na umefanya kosa kweli ni lazima serikali ikutafutie wakili wa kukutetea.Kuanzia leo naomba uondoe dhana iliyojengeka kichwani mwako kuwa eti mawakili kuwatetea wawekezaji wa kimataifa ni kuhujumu nchi.Wewe ushalishwa ujinga na umeaminishwa ujinga ila mimi nakufumbua.

    • @rommelmauma5872
      @rommelmauma5872 Před měsícem

      @@MathewNathan-yb2bz Eti, toka leo......[zaidi,] eti nimelishwa ujinga....
      *Yakhe, nisipotekeleza hilo la "kutoka leo"...utafanya nini?Wewe Mungu? Nimelishwa ujinga na nani? Silishwi; ninajilisha. Na kamwe sili ujinga!
      Inaonekana una uelewa na hayo ya mawakili. Nimesena wapo mawakili wetu wanaoshirikiana na makampuni ya me yanayotunyonya. Mifano ipo mingi katika michakato ya usajiri wa makampuni hayo nchini.

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 Před měsícem

    Mmh ipo tofauti kubwa sana kati ya taaluma ya Sheria na taaluma ya Wahandisi Makandarasi

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 Před měsícem +3

    Mwabukusi ni mtetezi wetu wa rasili Mali za Tanzania #

  • @user-tm6bk4dz6j
    @user-tm6bk4dz6j Před měsícem +2

    Hongera sanaaa mwabukusi hataningekua Mimi wakili ningekupigia kura upo vizuri

  • @emmanuelmashishanga7141
    @emmanuelmashishanga7141 Před měsícem +2

    SALAMU ZAO ZIWAFIKIE

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg Před měsícem +1

    Mungu smemsimamia mwabugusi haki itasimama dhulma itatoweka wastafu tupo naye pamoja

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 Před měsícem +2

    Huyu Nkuba masikio na macho yake hayaoni tu vifijo vilivyotawala ukumbi?? Kura 807 nalizopata Nkuba wapi na wapi alizozipata Mwambukisi kura 1270wapi na wapi?? Nkuba aache chuki ajaribu tena miaka ijayo

  • @OlosekiLokoy-sy6qg
    @OlosekiLokoy-sy6qg Před měsícem +2

    Tangu me nijielewe Leo ndo nimeona uchaguzi Tanzania hongera wakili hongera kaka hongera jembe hongera Tanzania ngorongoro tumepona

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 Před měsícem

      Wakili Mwabukusi atafarijika sana kama WaTanzania wenye haki ya kupiga kura watajiandikisha na kujitokeza kupiga kura ! Tutaonyesha Nguvu ya kura kama TLS.

  • @EzekiaKabuje
    @EzekiaKabuje Před měsícem

    Nimemuona mungu hapa kweli ametenda yale yamoyoni unajua mungu anaongea naloho zake ushindihuu mungu ameanza moja badae lingine hutashindana namngu binadam ww unyang.anyae haki zawatu

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 Před měsícem +2

    Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)

  • @mosesmwaisumo2838
    @mosesmwaisumo2838 Před měsícem +4

    Kumbe wasomi ndio mbuzi yaan kwa tofauti ya kula karibia 400 et umeibiwa kula nkuba nilijua msomi kumbe duh

    • @akilimalindevu520
      @akilimalindevu520 Před měsícem

      😂😂

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před měsícem

      Kwa nini asiseme kaibiwa😂😂
      Hata uchaguzi wa magu 2020 ulimpa kura zote 99.9% pamoja na wabunge wake, ati kama uchaguzi wa kuchagua malaika asiye na mpinzani.

  • @WadhifHajji
    @WadhifHajji Před měsícem

    Hongerasana mwambukusi

  • @user-ym4bp9wl6t
    @user-ym4bp9wl6t Před měsícem +1

    Nakuelewa kaka

  • @user-vi1ds6gw9g
    @user-vi1ds6gw9g Před měsícem

    Wanasheria wa nchi hii wakisimama kizalendo, hakutakuwa mikataba mibaya kwa sirikali hata mingine inavunjwa kiholela nchi inalipa mapesa kibao kwa wazungu huko, inauma sana kwangu mtanzania mvuja jasho, ninayekatwa tozo kila pahali katika kuuza na kununua kila kitu.😭😭😭🇹🇿

  • @MuganyiziJudex
    @MuganyiziJudex Před měsícem +3

    TLS mpyà Tanzania mpya je saa njema imefika?

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 Před měsícem

    Asante leo umeongea points isipo kuwa siku nyingine huwa unapinga vitu vingine ambavyo si vya kupingwa wewe ni binadamu hujakamilika kwa leo nakupa maua yako

  • @IddyMustapha-tj4du
    @IddyMustapha-tj4du Před měsícem +3

    Upo sahihi mkuu lakin nawanasheria wenyewe watende hak maana wenyepesa wanawatumia mawakil kutudidimiza sisi tusio na pesa unamkuta mtu katenda kosa kwer labda kauwa lakin wakil anamtetea na anakuwa hana hatia sasa haki ikowap isije ikawa tunaluka matope tunakanyaga maj taka sheria hio hio inaweza ikamnyima mtu hak yake ikitumika vibaya

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 Před měsícem +1

      On technical grounds! Kinachoshinda ktk kesi ni ushahidi bayana na siyo hisia😮

    • @IddyMustapha-tj4du
      @IddyMustapha-tj4du Před měsícem

      @@festokemibala5832 Si ping Hilo ila ndungu ukimpeleka mtu mahakaman alafu huyo mtuhumiwa awe na pesa zake unatwanga maj kwenye kinu hata makonda alishasema watu wenye pesa wananamna yao Jin's wanavyochezesha mahakaman

    • @IddyMustapha-tj4du
      @IddyMustapha-tj4du Před měsícem

      @@festokemibala5832 wewe kama ni wakil na ni muumin wa hak kwanini umtete mtu unayejuwa kafanya kosa kwer ? Muogopen mungu jaman

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o Před měsícem

    Simba kashinda kuwongoza Simba wenzake 😊😊😊 Mwabukusi oyeeeeee........

  • @AnteloSanga
    @AnteloSanga Před měsícem

    Mungu yu mwema tumepokwa vyakutosha wameona aibu hadharani.

  • @clevermgedzi4708
    @clevermgedzi4708 Před měsícem

    🎉🎉🎉🎉❤❤❤ unaongea kweli upo vema

  • @zaydamos874
    @zaydamos874 Před měsícem +1

    Kweli kabisa father

  • @dbamwenzaki
    @dbamwenzaki Před měsícem +1

    Sasa tunaomba katiba mpya ya Jaji Warioba.

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před měsícem +1

    Huu ni mwanzo tu tuvusheni wanasheria wetu na nchi isiliwe na vijitu vichache vinavyotumia kodi zetu kuonyesha kuwa watupenda kumbe ni ulaghai tu wa kutufanya sisi tusiwe nacho wapate upenyo wa kutuhonga.

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v Před měsícem +1

    Uko sahihi Ngurumo!

  • @claudesimukoko1436
    @claudesimukoko1436 Před měsícem +1

    Wewe ni zaidi ya mwalimu #mchambuzi

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před měsícem +1

    Kusoma,sio kuelimika.

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 Před měsícem +4

    MWABUKUSI NAMKUBALI SANA NI MPIGANIA HAKI NA AMEIPAMBANIA HIYO NAFASI

  • @godwinmbwambo3316
    @godwinmbwambo3316 Před měsícem +3

    Ana haki ya kupinga!

    • @gililwise
      @gililwise Před měsícem

      Akapinge wazazi wake waliomzaa

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 Před měsícem +1

      Ahaki hiyo iwe unapinga tofauti ya kura 2 au zilizoharibika. Kura zaidi ya 400😂

    • @mwamakaassely2260
      @mwamakaassely2260 Před měsícem

      Mbogamboga akili zenu hovyo sana

  • @majutojohn5598
    @majutojohn5598 Před měsícem

    😢Hakika Mungu Ameona na Kuonesha Haki

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 Před měsícem

    Taaluma muhimu inayojidhalilisha na inayohitaji Mwabukusi wao ni taaluma ya HABARI. "JOURNALISM" IACHE UNAFIKI!

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Před měsícem +1

    Naiona tanganyika yetu inapatikana duh mungu mkubwa

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 Před měsícem +1

    Naamini kuna siku haki itapatikana nchi hii tukaze buti

  • @MonicaTimotheo
    @MonicaTimotheo Před měsícem +1

    KWELI USHINDI WA MWABUKUSI NI USHINDI WA UMA WOTE WA WATANZANIA HASA WANYONGE AMBAO WAMEBANWA NA MFUMO MBOVU WA HILA ZA WADAU WA CHAMA KIMOJA WANAONG'ANG'ANIA UTAWALA KWA MBINU ZOTE LAKINI WAJUE PIA UKOMBOZI UTAKUJA KWA NJIA ZOTE NA TUTASHINDA TU

  • @hadijasufiani6167
    @hadijasufiani6167 Před měsícem +1

    Unachosema nikweli hongera kwahilo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem

    👊👍✌️.

  • @lucksonsikaona505
    @lucksonsikaona505 Před měsícem +2

    Walizoea kubebwa tls ni chama Cha wasomi

  • @MathiasSongoyi
    @MathiasSongoyi Před měsícem

    Mwambukusi anaaminika kwani kunakundi lilikuwa linafanyadhuruma,kumbe walikuwa hawajui kuwa wanamtengenezea nji ya ushindi Sasa wanabwabwaja na midomo kuwa wazi,mwambukusi anasimamia ukweli na apindishi Sheria,ndio maana walimunyofolea uwakili na wameshindwa.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před měsícem +2

    Ngoja tuone figisu sasa .inabidi ajilinde kwelikweli. Aache kulakula ovyo kwenye hafla za kiserikali

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před měsícem +2

    Nchi hii wezi wengi

  • @user-qe5cb7vy6o
    @user-qe5cb7vy6o Před měsícem

    NKUBA NENDA KAKATE RUFAA MAKAMANI UAIBIKE MWIZI NA HAKI MUNGU ANASIMAMIA HAKI.WACHA INYESHE TUONE PANAPOVUJA. MWABUKUSI OYEEEE3

  • @user-tv1ei3nc1n
    @user-tv1ei3nc1n Před měsícem +1

    Mungu mkubwa sana

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 Před měsícem +1

    💯🙏✔️

  • @user-su3zd6mz6d
    @user-su3zd6mz6d Před měsícem

    Huyu mpumbavu anaekataa matokeo waende kwenye uchaguzi wakiwa wawili aone huo moto

  • @RebeccaKamwela
    @RebeccaKamwela Před měsícem

    😅😅😅kuna mmoja wao hapo kakaaa kichawa kabisa

  • @bonaventureshango4911
    @bonaventureshango4911 Před měsícem +1

    Sasa ni nafasi ya kuahirisha hata UCHAGUZI katiba irekebishwe KWANZA HATA kama Kwa MIAKA 2 ZAIDI

  • @bonifacekalima5273
    @bonifacekalima5273 Před měsícem

    Wanao mpa nguvu huyo bwaana ya kukata rufaa ni lile lile lililotakaka kuengua jina la mwabukusi kwa maslahi binafs

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem +2

    UMENENA VEMA BWANA NGURUMO

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj Před měsícem

    Mwambukusi ni mtu na nusu Taifa linaenda kukombolewa tunakuamini 100%