Katika miaka yote haijawahi kutokea watanzania wakawa na uelewa mkubwa hivi,kwanza wengi tulikua hatujui kabisa TLS ni nini wala umuhimu wake kwa watanzania,hii inadhihirisha kuwa watanzania wana mambo mengi ambayo yanawasibu lkn hawajui nani wakuwasemea,sasa ushindi huu ni wa watanzania wote.Na serikali itambue sasa kuwa watanzania wanataka mabadiliko na wakati ule uliotabiriwa na baba wa taifa umefika sasa,Alisema wasipoyapata ndani ya ccm watayatafuta nje ya ccm.Hiki ndicho ninachokiona sasa,watanzania wamechoshwa na rushwa,wamechoshwa na Ufisadi,wamechoshwa na utekaji n.k
Asante Mungu,uchaguzi umeisha vyema,nina imani nae nasubri mambo makubwa 3 kutoka kwake,1 bandari zetu,2 wamasai na maeneo yao asili,3 mikataba ya hovyo inayo pitishwa bungeni..
Mwabukusi, hapo umeshinda, lakini nakuomba utapoenda popote pale kikazi, mwambie mke wako akupikie chakula, na maji nunua ya kwako. Roho ya shetani imevamia utawala uliopo ukifanya uovu wa bila hata kuogopa kwamba Mungu aonaye sirini anawaona na hukumu inawasubiri. Mungu akulinde katika nyanja zote.
Achukuwe taadhari , lakini Mwabukusi usiogope yupo zaidi ya watawala anayekulinda kila dakika ,halal wala hapokea Rushwa Kumbuka ngedere na bundi walitumika kuzuia msafara wa rais kufika Dodoma mapema, amina Mungu tuu!.
Mungu atabaki kuwa Mungu siku zote. Alitakalo Mungu hutimia kwa wakati na majira yake. Asante Mungu. Tumetenda sana dhambi ya unafiki. Imetosha. Mwabukusi hongera katimize mapenzi Mungu kaka.
Halafu Nkuba unaenda mahakani kugomea ushindi wa Mwabukusi kwa Kura 1274 kwa 807 wapi na wapi ingekuwa tofauti ya kula 10 sawa lkn kwa utofauti wa kula hizi ungeendelea na mambo yako tu😂😂😂😂🙌
@@hajihassan5433 Sawa haina shida ila tunaamini waliomuengua mwanzo wakampa shida Mwabukusi kwenda mahakamani nawao waanze kwenda mahakamani tuone haki itendeke mdau😂😂🙌
Huyu jama alitumwa ila najua hata mkewake.anamzomea kwa kile anacho taka kufanya mana hata mke wake alimpigia mwambusi mana anajitambua kuliko ili lijama
Asante baba kwa makala nzuri, umetufungua macho kile ambacho tulikuwa hatukijui ,ila kwa Tz tulikuwa tumefungwa kwenye gereza la giza la sheria na kufungwa kamba humu , Mungu tuinulie wengine wengi wataosaidiana na Kaka yetu Mwambukusi ili tufike sehemu nzuri ya kujikomboa kutoka kwenye giza hili . Ee Mwenyezi Mungu tusaidie
Tunasubiri MABADILIKO MAKUBWA YA UONGOZI WA TLS NA MABADILIKO YA KIDEMOKRASIA NCHINI KWETU ,TUNATAKA NJIA YA KUTUONGOZA KUDAI MABADILIKO MAKUBWA ILI KUPATA KATIBA MPYA KWA HARAKA ,,MWABUKUSI HONGERA
*Mawakili wengi wa mahakama duniani hukimbilia palipo na 'fweza' na / au heshima; lengo lao ni kushinda kesi za wateja wao hata kama wanajua wazi, kwa mfano, wanayemtetea ni fisadi, mwuaji au mwizi.* *Baadhi ya mawakili wetu wameshiriki katika mikataba ya kimataifa ya kuinyonya Tanzania yetu kwa maslahi mafupi ya matumbo yao.* *Mawakili wa namna hiyo wanahujumu utu na haki, japo guapa kuilinda na kufanyakazi kwa mawakili ya juu.*
Kesi nyingi tunazoshitakiwa nazo na kushindwa washtaki hupeleka kesi zao mahakama za kimataifa na hutafuta mawakili wao huko huko nje ambao wengi huwa ni wazungu na mawakili wa serikali hushindwa kwenye kesi hizo.sasa hapa wa kuilaumu ni serikali na mawakili wa serikali kwa kuingia mikataba ya kinyonyaji kwa kutanguliza matumbo yao.Wakili kama wakili hana makosa yeye anatetea HAKI na anaongozwa na vifungu vya sheria na ndio kazi yake.Labda naomba uniambie kwa hapa Tanzania ni wakili gani unaemjua kwenye hizi kesi za kimataifa alikuwa anawatetea hawa wawekezaji wakubwa mfano kesi ya juzi tuliyopigwa dola elfu 90?Ukija ndani ya Tanzania kwenyewe,hawa watanzania wenzetu ndio hufanya ufisadi na ubadhirifu kwa makusudi huku wakijua kuwa hata wakishitakiwa watashinda kwa sababu washtaki huwa wanakosa mashahidi .
Wanaoihujumu nchi sio mawakili bali viongozi wa serikali walioingia mikataba hiyo ambayo haina tija kwa nchi.Hata ukienda Afrika kusini na umefanya kosa kweli ni lazima serikali ikutafutie wakili wa kukutetea.Kuanzia leo naomba uondoe dhana iliyojengeka kichwani mwako kuwa eti mawakili kuwatetea wawekezaji wa kimataifa ni kuhujumu nchi.Wewe ushalishwa ujinga na umeaminishwa ujinga ila mimi nakufumbua.
@@MathewNathan-yb2bz Eti, toka leo......[zaidi,] eti nimelishwa ujinga.... *Yakhe, nisipotekeleza hilo la "kutoka leo"...utafanya nini?Wewe Mungu? Nimelishwa ujinga na nani? Silishwi; ninajilisha. Na kamwe sili ujinga! Inaonekana una uelewa na hayo ya mawakili. Nimesena wapo mawakili wetu wanaoshirikiana na makampuni ya me yanayotunyonya. Mifano ipo mingi katika michakato ya usajiri wa makampuni hayo nchini.
Huyu Nkuba masikio na macho yake hayaoni tu vifijo vilivyotawala ukumbi?? Kura 807 nalizopata Nkuba wapi na wapi alizozipata Mwambukisi kura 1270wapi na wapi?? Nkuba aache chuki ajaribu tena miaka ijayo
Wakili Mwabukusi atafarijika sana kama WaTanzania wenye haki ya kupiga kura watajiandikisha na kujitokeza kupiga kura ! Tutaonyesha Nguvu ya kura kama TLS.
Nimemuona mungu hapa kweli ametenda yale yamoyoni unajua mungu anaongea naloho zake ushindihuu mungu ameanza moja badae lingine hutashindana namngu binadam ww unyang.anyae haki zawatu
Kwa nini asiseme kaibiwa😂😂 Hata uchaguzi wa magu 2020 ulimpa kura zote 99.9% pamoja na wabunge wake, ati kama uchaguzi wa kuchagua malaika asiye na mpinzani.
Wanasheria wa nchi hii wakisimama kizalendo, hakutakuwa mikataba mibaya kwa sirikali hata mingine inavunjwa kiholela nchi inalipa mapesa kibao kwa wazungu huko, inauma sana kwangu mtanzania mvuja jasho, ninayekatwa tozo kila pahali katika kuuza na kununua kila kitu.😭😭😭🇹🇿
Asante leo umeongea points isipo kuwa siku nyingine huwa unapinga vitu vingine ambavyo si vya kupingwa wewe ni binadamu hujakamilika kwa leo nakupa maua yako
Upo sahihi mkuu lakin nawanasheria wenyewe watende hak maana wenyepesa wanawatumia mawakil kutudidimiza sisi tusio na pesa unamkuta mtu katenda kosa kwer labda kauwa lakin wakil anamtetea na anakuwa hana hatia sasa haki ikowap isije ikawa tunaluka matope tunakanyaga maj taka sheria hio hio inaweza ikamnyima mtu hak yake ikitumika vibaya
@@festokemibala5832 Si ping Hilo ila ndungu ukimpeleka mtu mahakaman alafu huyo mtuhumiwa awe na pesa zake unatwanga maj kwenye kinu hata makonda alishasema watu wenye pesa wananamna yao Jin's wanavyochezesha mahakaman
Huu ni mwanzo tu tuvusheni wanasheria wetu na nchi isiliwe na vijitu vichache vinavyotumia kodi zetu kuonyesha kuwa watupenda kumbe ni ulaghai tu wa kutufanya sisi tusiwe nacho wapate upenyo wa kutuhonga.
KWELI USHINDI WA MWABUKUSI NI USHINDI WA UMA WOTE WA WATANZANIA HASA WANYONGE AMBAO WAMEBANWA NA MFUMO MBOVU WA HILA ZA WADAU WA CHAMA KIMOJA WANAONG'ANG'ANIA UTAWALA KWA MBINU ZOTE LAKINI WAJUE PIA UKOMBOZI UTAKUJA KWA NJIA ZOTE NA TUTASHINDA TU
Mwambukusi anaaminika kwani kunakundi lilikuwa linafanyadhuruma,kumbe walikuwa hawajui kuwa wanamtengenezea nji ya ushindi Sasa wanabwabwaja na midomo kuwa wazi,mwambukusi anasimamia ukweli na apindishi Sheria,ndio maana walimunyofolea uwakili na wameshindwa.
Ushindi wa mwambukusi ni ushindi wa katiba mpya yenye tija kwa watanzania,hongera jemedari,Tuvushe kamanda, mwenyezi mungu akutangulie
Asali akirambishwa atanyamaza kimya
Amekwisha pita hiyo ngazi hiyo ,hakuna cha aslii ! Wale waliopewa fedha za campaign na mawakili wakakataa .hongera mawakili wa TLS.😂
@@KassimAlly-xp4dz Angetulia kwenye bandari
Hongera sana mwabukusi ,,🙏🙏🙏🙏
Nilikuwa nasubiria sana utaongea nin kuhusu uchaguzi huu wa TLS Pr Ngurumo kweli nimefarijika sana kusikia maoni yako
Be blessed Kamanda Mungu akubariki Mno,Wewe ni Mchambuzi Mzuri sana
@@emmanuelsulle911 Asante!
Katika miaka yote haijawahi kutokea watanzania wakawa na uelewa mkubwa hivi,kwanza wengi tulikua hatujui kabisa TLS ni nini wala umuhimu wake kwa watanzania,hii inadhihirisha kuwa watanzania wana mambo mengi ambayo yanawasibu lkn hawajui nani wakuwasemea,sasa ushindi huu ni wa watanzania wote.Na serikali itambue sasa kuwa watanzania wanataka mabadiliko na wakati ule uliotabiriwa na baba wa taifa umefika sasa,Alisema wasipoyapata ndani ya ccm watayatafuta nje ya ccm.Hiki ndicho ninachokiona sasa,watanzania wamechoshwa na rushwa,wamechoshwa na Ufisadi,wamechoshwa na utekaji n.k
Kafatilie pia uchaguzi wa Lissu kuwa rais wa TLS
Asante Mungu,uchaguzi umeisha vyema,nina imani nae nasubri mambo makubwa 3 kutoka kwake,1 bandari zetu,2 wamasai na maeneo yao asili,3 mikataba ya hovyo inayo pitishwa bungeni..
Ni kumwombea MUNGU pia maana watamwandama km Tundu lisu alivyopigwa risasi
Hiyo ni kweli.
Kweli kabisa, mwabukusi OYEEEEEEEE.
Tumtangulize Mungu kwa kila kitu
@@simonMollel-rr3gb hii inch ilipo fika tukiendelea kuogopa kifo,ujinga hauta isha na ukifa unatetea ni kifo bora
Hongera sana mwambukusi
Mungu akulinde,ni ushindi kwa TAIFA mwabukusi na TLS endesha jahazi nahodha wa uhakika tutafika salama bandarini.
Mwabukusi hongera sana kwa ushindi.Mungu azidi kukubariki na kukulinda.
Stay blessed Mkuu Ngurumo
Makala nzuri sana hii. Umefanya uchambuzi yakinifu🙏🙏🙏
Umeongea vema Sana. Always stay blessed
Mawakili nimewakubali,mmetuonyesha kuwa inawezekana kwa msaada wa Mungu.
Nimeikubali TLS HALISI Imefufuka HAKI Imeshinda nchi yetu TANGANYIKA imefufuka Freedom is coming to day not tomorrow Thanks GOD Alta continue
Vocē é menu melhor amigo [Vocē é melhor amiga]: "A Luta Continua!"
Mwabukusi, hapo umeshinda, lakini nakuomba utapoenda popote pale kikazi, mwambie mke wako akupikie chakula, na maji nunua ya kwako. Roho ya shetani imevamia utawala uliopo ukifanya uovu wa bila hata kuogopa kwamba Mungu aonaye sirini anawaona na hukumu inawasubiri. Mungu akulinde katika nyanja zote.
Achukuwe taadhari , lakini Mwabukusi usiogope yupo zaidi ya watawala anayekulinda kila dakika ,halal wala hapokea Rushwa Kumbuka ngedere na bundi walitumika kuzuia msafara wa rais kufika Dodoma mapema, amina Mungu tuu!.
Mungu atabaki kuwa Mungu siku zote. Alitakalo Mungu hutimia kwa wakati na majira yake. Asante Mungu. Tumetenda sana dhambi ya unafiki. Imetosha. Mwabukusi hongera katimize mapenzi Mungu kaka.
Honger sana Mwabukusi
Halafu Nkuba unaenda mahakani kugomea ushindi wa Mwabukusi kwa Kura 1274 kwa 807 wapi na wapi ingekuwa tofauti ya kula 10 sawa lkn kwa utofauti wa kula hizi ungeendelea na mambo yako tu😂😂😂😂🙌
Haki haitegemei idadi hata huyu aliyeshinda alienguliwa na tume na kutafuta haki akarejeshwa.
@@hajihassan5433 Sawa haina shida ila tunaamini waliomuengua mwanzo wakampa shida Mwabukusi kwenda mahakamani nawao waanze kwenda mahakamani tuone haki itendeke mdau😂😂🙌
Ni hivi Mwabukusi ni kichwa na tunamwamini ktk uongozi
Huyu jama alitumwa ila najua hata mkewake.anamzomea kwa kile anacho taka kufanya mana hata mke wake alimpigia mwambusi mana anajitambua kuliko ili lijama
Mamluki
Huyu anaepinga matokeo ndio wale wale mapandikizi kifupi ndo machawa wenyewe jemadari Mwambukusi pambana mwanangu Katiba mpya ndio ndio iwe kipaumbele
Huyu ambaye hakubali matokeo warudie wakiwa 2 tu aone atakavyo tandikwa.
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
Mwenyezi mungu akubaliki sana ndg Ngulumo hakika unatoa darasa zuri xna katika mambo mbalimbali
Hongera Mawakili wote Kwa kujitambua, hivi mwanasheria mkuu alikuwepo? Amejifunza Nini?
Hata sisi wanakijiji tumefurahi saaaana viva Mwabukusi
Asante baba kwa makala nzuri, umetufungua macho kile ambacho tulikuwa hatukijui ,ila kwa Tz tulikuwa tumefungwa kwenye gereza la giza la sheria na kufungwa kamba humu , Mungu tuinulie wengine wengi wataosaidiana na Kaka yetu Mwambukusi ili tufike sehemu nzuri ya kujikomboa kutoka kwenye giza hili . Ee Mwenyezi Mungu tusaidie
PIGA KAZI MUZAZI TUKO NYUMA TUNAKUOMBEA MUNGU AKUTANGULIE
Mungu mwema Ongera sana Mwabukusi Mungu akuongoze kuisimamia TLS ongera sana Mmetufurahisha watanzania hii inatutia Moyo sana.
Hongera zake.
Daaaa nimefurahi sana mwamba mwabukusi woooyoooooooooooo❤❤❤❤
Mwabugusi namkubali sana yule jamaa anajua Sheria kiukweli Yuko vzr sana sana kiukweli..
Unanielimisha Sana Mzee
Hongera sana kaka mkubwa Kwa ushindi mkubwa uliopata
Kweli kabisa. Ushindi wa mwabukusi. Si. Wanashelia peke yake. Na sisi wananchi tupo tumefurahi saaaana. Pigania tanganyika yetu. Hongera saaana. Mwabukusi.
Kweli ushindi huu si wa wanasheria tu.
Sijapiga kura ila naona nimeshinda, maana niliyekuwa natamani na kumuombea kwa Mungu ashinde ameshinda . ASANTE SANA MUNGU
Mungu baba, popote Mwabukusi aliyo naiomba uwe mlinzi wake, tunakuomba MUNGU.
Mungu amejibu maombi ya kilio Cha watanzania kumpata shuja
Tunasubiri MABADILIKO MAKUBWA YA UONGOZI WA TLS NA MABADILIKO YA KIDEMOKRASIA NCHINI KWETU ,TUNATAKA NJIA YA KUTUONGOZA KUDAI MABADILIKO MAKUBWA ILI KUPATA KATIBA MPYA KWA HARAKA ,,MWABUKUSI HONGERA
Tunataka, vyama vya madaktari,ma engineer, waalim,na vingine wakatae kutumika na serikali
Hongera sana Mwabukusi boniface. Kapige kazi kwa weledi
Hongera SK media kwa kutoa Elimu. Tutakukumbuka kama Lucky Dube wa Tanzanian, keep it up!!
Mungu ambarikina kumlinda.
Uchaguzi sahihi kwa Wanasheria wote 1274/941. Hongereni !
Duuuuuuh hatamimi Nampa kura yangu, ijapo mimi ni fundi ujenzi
Waumini wa haki na kweli hawawezi kukukejeli labda kichaa tuu
Hakuna giza lililo shinda nuru hata waludie mara 10 Mungu yupo pamoja na Mwabukusi(Musa dhidi ya farao)
Mungu akufunike kwa damu yake yakatifu
Hongera mwambukusi.hakika tusiojua sheria tunaimaninawewe.tumepatamtuwauhakika ninyotayetu watanzaniawote.
Hongera mwabukusi oyee
VIVA MWABUKUSI VIVA TANZANIA
Asanteni wanzania wote wapenda Aki,
Kabisaaa ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri🙏
tayari watanganyika tumechukua risasi moja ya ushindi paleeee TLS, Bado Risasi lingine 2025 ili tuishi kwa rahaaaa
Tunasubiri mwamba
Congratulations Mwabukusi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Hongera sana Mwabukusi,ushindi wako ni wa Watanzania wote,piga kazi Taifa hili tunahitaji kiongozi kama wewe.Hongera sana,sana
Vibaraka wanaturudisha nyuma sana nchi hii
*Mawakili wengi wa mahakama duniani hukimbilia palipo na 'fweza' na / au heshima; lengo lao ni kushinda kesi za wateja wao hata kama wanajua wazi, kwa mfano, wanayemtetea ni fisadi, mwuaji au mwizi.*
*Baadhi ya mawakili wetu wameshiriki katika mikataba ya kimataifa ya kuinyonya Tanzania yetu kwa maslahi mafupi ya matumbo yao.*
*Mawakili wa namna hiyo wanahujumu utu na haki, japo guapa kuilinda na kufanyakazi kwa mawakili ya juu.*
Kesi nyingi tunazoshitakiwa nazo na kushindwa washtaki hupeleka kesi zao mahakama za kimataifa na hutafuta mawakili wao huko huko nje ambao wengi huwa ni wazungu na mawakili wa serikali hushindwa kwenye kesi hizo.sasa hapa wa kuilaumu ni serikali na mawakili wa serikali kwa kuingia mikataba ya kinyonyaji kwa kutanguliza matumbo yao.Wakili kama wakili hana makosa yeye anatetea HAKI na anaongozwa na vifungu vya sheria na ndio kazi yake.Labda naomba uniambie kwa hapa Tanzania ni wakili gani unaemjua kwenye hizi kesi za kimataifa alikuwa anawatetea hawa wawekezaji wakubwa mfano kesi ya juzi tuliyopigwa dola elfu 90?Ukija ndani ya Tanzania kwenyewe,hawa watanzania wenzetu ndio hufanya ufisadi na ubadhirifu kwa makusudi huku wakijua kuwa hata wakishitakiwa watashinda kwa sababu washtaki huwa wanakosa mashahidi .
Wanaoihujumu nchi sio mawakili bali viongozi wa serikali walioingia mikataba hiyo ambayo haina tija kwa nchi.Hata ukienda Afrika kusini na umefanya kosa kweli ni lazima serikali ikutafutie wakili wa kukutetea.Kuanzia leo naomba uondoe dhana iliyojengeka kichwani mwako kuwa eti mawakili kuwatetea wawekezaji wa kimataifa ni kuhujumu nchi.Wewe ushalishwa ujinga na umeaminishwa ujinga ila mimi nakufumbua.
@@MathewNathan-yb2bz Eti, toka leo......[zaidi,] eti nimelishwa ujinga....
*Yakhe, nisipotekeleza hilo la "kutoka leo"...utafanya nini?Wewe Mungu? Nimelishwa ujinga na nani? Silishwi; ninajilisha. Na kamwe sili ujinga!
Inaonekana una uelewa na hayo ya mawakili. Nimesena wapo mawakili wetu wanaoshirikiana na makampuni ya me yanayotunyonya. Mifano ipo mingi katika michakato ya usajiri wa makampuni hayo nchini.
Mmh ipo tofauti kubwa sana kati ya taaluma ya Sheria na taaluma ya Wahandisi Makandarasi
Mwabukusi ni mtetezi wetu wa rasili Mali za Tanzania #
Hongera sanaaa mwabukusi hataningekua Mimi wakili ningekupigia kura upo vizuri
SALAMU ZAO ZIWAFIKIE
Mungu smemsimamia mwabugusi haki itasimama dhulma itatoweka wastafu tupo naye pamoja
Huyu Nkuba masikio na macho yake hayaoni tu vifijo vilivyotawala ukumbi?? Kura 807 nalizopata Nkuba wapi na wapi alizozipata Mwambukisi kura 1270wapi na wapi?? Nkuba aache chuki ajaribu tena miaka ijayo
Tangu me nijielewe Leo ndo nimeona uchaguzi Tanzania hongera wakili hongera kaka hongera jembe hongera Tanzania ngorongoro tumepona
Wakili Mwabukusi atafarijika sana kama WaTanzania wenye haki ya kupiga kura watajiandikisha na kujitokeza kupiga kura ! Tutaonyesha Nguvu ya kura kama TLS.
Nimemuona mungu hapa kweli ametenda yale yamoyoni unajua mungu anaongea naloho zake ushindihuu mungu ameanza moja badae lingine hutashindana namngu binadam ww unyang.anyae haki zawatu
Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
Kumbe wasomi ndio mbuzi yaan kwa tofauti ya kula karibia 400 et umeibiwa kula nkuba nilijua msomi kumbe duh
😂😂
Kwa nini asiseme kaibiwa😂😂
Hata uchaguzi wa magu 2020 ulimpa kura zote 99.9% pamoja na wabunge wake, ati kama uchaguzi wa kuchagua malaika asiye na mpinzani.
Hongerasana mwambukusi
Nakuelewa kaka
Wanasheria wa nchi hii wakisimama kizalendo, hakutakuwa mikataba mibaya kwa sirikali hata mingine inavunjwa kiholela nchi inalipa mapesa kibao kwa wazungu huko, inauma sana kwangu mtanzania mvuja jasho, ninayekatwa tozo kila pahali katika kuuza na kununua kila kitu.😭😭😭🇹🇿
TLS mpyà Tanzania mpya je saa njema imefika?
Asante leo umeongea points isipo kuwa siku nyingine huwa unapinga vitu vingine ambavyo si vya kupingwa wewe ni binadamu hujakamilika kwa leo nakupa maua yako
Upo sahihi mkuu lakin nawanasheria wenyewe watende hak maana wenyepesa wanawatumia mawakil kutudidimiza sisi tusio na pesa unamkuta mtu katenda kosa kwer labda kauwa lakin wakil anamtetea na anakuwa hana hatia sasa haki ikowap isije ikawa tunaluka matope tunakanyaga maj taka sheria hio hio inaweza ikamnyima mtu hak yake ikitumika vibaya
On technical grounds! Kinachoshinda ktk kesi ni ushahidi bayana na siyo hisia😮
@@festokemibala5832 Si ping Hilo ila ndungu ukimpeleka mtu mahakaman alafu huyo mtuhumiwa awe na pesa zake unatwanga maj kwenye kinu hata makonda alishasema watu wenye pesa wananamna yao Jin's wanavyochezesha mahakaman
@@festokemibala5832 wewe kama ni wakil na ni muumin wa hak kwanini umtete mtu unayejuwa kafanya kosa kwer ? Muogopen mungu jaman
Simba kashinda kuwongoza Simba wenzake 😊😊😊 Mwabukusi oyeeeeee........
Mungu yu mwema tumepokwa vyakutosha wameona aibu hadharani.
🎉🎉🎉🎉❤❤❤ unaongea kweli upo vema
Kweli kabisa father
Sasa tunaomba katiba mpya ya Jaji Warioba.
Huu ni mwanzo tu tuvusheni wanasheria wetu na nchi isiliwe na vijitu vichache vinavyotumia kodi zetu kuonyesha kuwa watupenda kumbe ni ulaghai tu wa kutufanya sisi tusiwe nacho wapate upenyo wa kutuhonga.
Uko sahihi Ngurumo!
Wewe ni zaidi ya mwalimu #mchambuzi
Kusoma,sio kuelimika.
MWABUKUSI NAMKUBALI SANA NI MPIGANIA HAKI NA AMEIPAMBANIA HIYO NAFASI
Ana haki ya kupinga!
Akapinge wazazi wake waliomzaa
Ahaki hiyo iwe unapinga tofauti ya kura 2 au zilizoharibika. Kura zaidi ya 400😂
Mbogamboga akili zenu hovyo sana
😢Hakika Mungu Ameona na Kuonesha Haki
Taaluma muhimu inayojidhalilisha na inayohitaji Mwabukusi wao ni taaluma ya HABARI. "JOURNALISM" IACHE UNAFIKI!
Naiona tanganyika yetu inapatikana duh mungu mkubwa
Naamini kuna siku haki itapatikana nchi hii tukaze buti
KWELI USHINDI WA MWABUKUSI NI USHINDI WA UMA WOTE WA WATANZANIA HASA WANYONGE AMBAO WAMEBANWA NA MFUMO MBOVU WA HILA ZA WADAU WA CHAMA KIMOJA WANAONG'ANG'ANIA UTAWALA KWA MBINU ZOTE LAKINI WAJUE PIA UKOMBOZI UTAKUJA KWA NJIA ZOTE NA TUTASHINDA TU
Unachosema nikweli hongera kwahilo
👊👍✌️.
Walizoea kubebwa tls ni chama Cha wasomi
Mwambukusi anaaminika kwani kunakundi lilikuwa linafanyadhuruma,kumbe walikuwa hawajui kuwa wanamtengenezea nji ya ushindi Sasa wanabwabwaja na midomo kuwa wazi,mwambukusi anasimamia ukweli na apindishi Sheria,ndio maana walimunyofolea uwakili na wameshindwa.
Ngoja tuone figisu sasa .inabidi ajilinde kwelikweli. Aache kulakula ovyo kwenye hafla za kiserikali
Nchi hii wezi wengi
NKUBA NENDA KAKATE RUFAA MAKAMANI UAIBIKE MWIZI NA HAKI MUNGU ANASIMAMIA HAKI.WACHA INYESHE TUONE PANAPOVUJA. MWABUKUSI OYEEEE3
Mungu mkubwa sana
💯🙏✔️
Huyu mpumbavu anaekataa matokeo waende kwenye uchaguzi wakiwa wawili aone huo moto
😅😅😅kuna mmoja wao hapo kakaaa kichawa kabisa
Sasa ni nafasi ya kuahirisha hata UCHAGUZI katiba irekebishwe KWANZA HATA kama Kwa MIAKA 2 ZAIDI
Wanao mpa nguvu huyo bwaana ya kukata rufaa ni lile lile lililotakaka kuengua jina la mwabukusi kwa maslahi binafs
UMENENA VEMA BWANA NGURUMO
Mwambukusi ni mtu na nusu Taifa linaenda kukombolewa tunakuamini 100%