MAGUFULI ALIVYOKUTANA NA MZEE ALIYEMUINGIZA KWENYE SIASA AKIWA HOSPITALI...
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- MAGUFULI ALIVYOKUTANA NA MZEE ALIYEMUINGIZA KWENYE SIASA AKIWA HOSPITALI...
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewataka viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato Mkoani Geita kuanza mara moja upanuzi wa majengo ya Hospitali ya Wilaya ya Chato kwa kuwa Serikali imeshatoa shilingi Bilioni 1 kwa ajili ya ujenzi huo..
Mhe. Rais Magufuli ambaye hakufurahishwa na taarifa za viongozi wa halmashauri hiyo kupoteza muda mwingi wakibishana juu ya upanuzi huo licha ya fedha za ujenzi kutolewa tangu mwezi Julai 2019, ameonya kuwa Serikali haiwezi kuvumilia kuona watu wakipata shida kwa uzembe wa viongozi wachache wa Halmashauri.
Amemuagiza Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Selemani Jafo na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato Bw. Eliud Mwaiteleke kuhakikisha ujenzi wa majengo hayo unafanyika na kwa gharama zinazostahili.
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
Najifunza mengi kutoka kwa sir JPM , thank you sir, hope watanzania wote tukiwa hivo nchi yetu itakuwa Nzuri sanaaaa,
Hongera rais wetu mpendwa magufuli wa tanzania yetu
Upendo ✊🏽🇹🇿👏🏼
asante san mwenyez MUNGU mkuu kwa muongozo wako mwema kwa raisi wetu
rip sir magufuli
Safi sana huyu raisi nikiboko.
Hadi raha, wamama wamefurahi kutembelewa na rais, na amewapa hela ya chakula na soda!! Penda Sana rais wetu JPM.
Asante mh rais kwakumbuka baba mkwe
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
True
afadhali wewe rais unawakumbuka wenye walikushawishi kuingiya kwenye siasa.
sijui Kama tutakuja kupata rais Kama huyu
@@lazaropetro1866 hαчupσ ítkuwα ní ndσtσ😭😭
Baba watu wanakuelewa sana
Kapate nguvu nyingine wapate watoto wengine
😭😭😭😭😭
Story na mzee wa mji
Mzee wa rushwa mwaga pesa maana pesa zetu za kodi unkusanya wewe. Unafanya kampeni na kodi zetu lakini nasikitoka 2020 hutaiona labda uruhusi wapinzani nao wafanye Siasa.
Mzee Kanoge, Misungwi na Mbasa.
Baba lao
Busara kwanza
Mzee magufuli kila nikimsikia basi na hisi raha tupu lala pema mzee
Mzee Kanoge kumbe bado yupo Dunia hii🤔😂nimeshangaa kweli
Mi hata nilikuwa simjui. Alikuwa ni nani ukiacha hilo la Magufuli?