TUNDU LISSU AICHARUKIA SERIKALI MAPENZI YA JINSIA MOJA-"TUMETUNGIWA SHERIA KALI, WAMEFUNGA WANGAPI?"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • TUNDU LISSU AICHARUKIA SERIKALI MAPENZI YA JINSIA MOJA-"TUMETUNGIWA SHERIA KALI, WAMEFUNGA WANGAPI?"
    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ametoa msimamo wake kuhusu masuala ya ushoga na kueleza kuwa haki za mashoga siyo haki za binadamu.
    Lissu ameyasema hayo katika mahojiano maalum na Global TV na kueleza kuwa sheria ya kupinga mapenzi ya jinsia moja imekuwepo tangu enzi za ukoloni lakini vyombo vya sheria vimeshindwa kuisimamia vizuri.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 186

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem +3

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před rokem +19

    Tundu lisu hata kama tunapingana kisela, maono, ila leo umesema ukweli.

  • @amlikendelwa8974
    @amlikendelwa8974 Před rokem +23

    Sijui kwa nini watu hawamuelewi Lisu,kwa sababu mara zote napotoa hotuba ama anapowasilisha maoni yake kuhusu jambo lolote,huwa anajikita sana kwenye sheria kuliko mitazamo na fikra zake binafsi,na kwa kawaida mtu anajadili au kutoa ufafanuzi wa jambo katika muktadha sheria,ni ngumu kuwa wrong, nafikiri chuki binafsi huwatia watu upofu wasione umakini na usahihi wake katika hoja na hotuba zake,na hili nalo ni tatizo kubwa. Haijalishi watu wangapi hawaoni umuhimu wa huyu mtu kwenye hili Taifa,ni wazi kwamba Lisu tumamhitaji sana na mtu makini sana niliyetokea kumfahamu nchini Tanzania. Pengine ndio sababu yuko hai hata sasa.

    • @drsumatz7539
      @drsumatz7539 Před rokem +3

      Kaka nataman tupate lunch yapamoja sku moja aseeee . Umenigusa sana kwa maoni yako

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 Před rokem +1

      Àsante sana kakaangu mwenye akili nyingi@Amlike

    • @amlikendelwa8974
      @amlikendelwa8974 Před rokem

      @@drsumatz7539 😃 Asante ndugu.

    • @amlikendelwa8974
      @amlikendelwa8974 Před rokem

      @@zuleyvendor6577 Asante

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Před rokem +1

      Nikukumbushe tu kwamba wengi ni wakurupukaji. Na hawawezi kupata dhana hapo. Uvivu wa kufikiri ni tatizo. Na hapo ndipo kwenye ilee 80% na 20% ya maamuzi ya waTz kufuata mfumo.

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Před rokem +12

    Leo ndo nmekuelewa lisu Sana. serikali yetu ipo kmy kwenye kkemea ushoga nchii inazinguwa inapenda misaada Sana ndo Mana awatak ktoa tamko Kali kuusu ushoga

  • @lubambilubambi8681
    @lubambilubambi8681 Před rokem +7

    Excellent Tundu Lisu

  • @hashakishabani4896
    @hashakishabani4896 Před rokem +14

    Mh.lisu ameongea ukweli kabisa ndugu mungu akubariki sana

  • @robsonlotyloy5678
    @robsonlotyloy5678 Před rokem +3

    Baba sisemi asante, bali nina sema tunakushukuru kwa hufafanuzi mzuri kwa wanetu.

  • @amlikendelwa8974
    @amlikendelwa8974 Před rokem +14

    Tulipofikia sasa kila binadamu anamhitaji MUNGU seriously,hali ni mbaya kuliko neno lenyewe,tuliowatazamia kusimamia na kutuongoza katika kuimarisha uadilifu na maadili katika jamii(viongozi wa dini mbalimbali) nao wamekengeuka wanafanya yaleyale waliyotakiwa kuyakataza,hakuna cha Askofu,mchungaji,Shekh,Imam,wala kiongozi wa ki-siasa,wote wana kashfa. Mtu pekee aliyebaki ni MUNGU/MUUMBA WA MBINGU NA DUNIA NA VYOTE VILIVYOMO. Ni wakati wa kumtafuta MUNGU binafsi bila kumuangalia wa kulia wala kushoto kwako maana hakuna wa kumwamini kati yetu.

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Před rokem +14

    mimi pia nalia na serekali yetu kwa nini hawaweki sheria kali

    • @johnycavishe5207
      @johnycavishe5207 Před rokem

      Wanazinguwa

    • @geofreykapela3998
      @geofreykapela3998 Před rokem +1

      Washakul hela za mabeber wanao support ushog ndo maan hawawek Waz kipi kifanyike kwa mashoga zaid zinaendlea tu propaganda tu za kisiasa. Na nafikir hay ndo matokeo ya mikopo ya riba nafuu.

    • @barakadanieli1440
      @barakadanieli1440 Před rokem

      ​@@geofreykapela3998 kweli kabsa wapinga ushoga kwa Lugha ya kubembeleza Sana reaction za waz hawatoi cjui kwanini tu

    • @mathiaslyamunda2526
      @mathiaslyamunda2526 Před rokem

      Sheria Kali ipo ila haisimamiwi, na lingine iongezwe makali zaidi kuthibiti Mazingira mapya ya kueneza ushoga ambayo ymahitokeza Sasa.

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před rokem

    TRUE DR. TUNDULISU

  • @lucaspaulo5371
    @lucaspaulo5371 Před rokem +11

    Lisu leo nimekuelewa sana nilikuchukia tu kumtukana Magufuli ila kwa sasa nipo na wewe mpaka 2025

    • @paulokiwango21
      @paulokiwango21 Před rokem

      Alimtukana coz anaamini alikuw hasimu wake mkubwa ila anyway alimtukan maybe hasira ila anajtahdig kwa hoja sana yuko vzur

  • @ramadhanichuma7925
    @ramadhanichuma7925 Před rokem +4

    Genius

  • @pastor_mashimo
    @pastor_mashimo Před rokem +11

    Naitwa Mchungaji wa Taifa Daudi Mashimo, na chukua hatua hii kupongeza Mh Tundu Lisu. Kwa KUSEMA ukweli juu ya ushonga

  • @almostaphiqarlown158
    @almostaphiqarlown158 Před rokem +2

    Point Sana Baba Lissu

  • @TaitasBang-qi5lh
    @TaitasBang-qi5lh Před 11 měsíci

    Upo sahihi lisu

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před rokem +6

    HUYU ANATAKIWA AWE MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI

  • @otianasanga9106
    @otianasanga9106 Před rokem +1

    Asantee lisu.ndiomana MUNGU alikuepusha anakazi nawewe wewe nimpasua miamba Ile clip niwatu TU wenye roho mbaya kazi Yao nilichafua watu

  • @mwlpaulnghumbujanila6264

    Mm naona viongozi wengi na wanasiasa wanajikanyaga sana kwenye hili, aliyejaribu kulikemea nae alijaribu tu, ni Hayati Magufuli tu, lakin wengine wanawaogopa wazungu, na wanawaogopa wananchi wao sijui watawachukia pengine wawanyime kura mm sielew. Sasa anagalia Mh. Lisu amesema vizur kumbe tunasheria tena nzur tu, yeye wakati akiwa Mb. alifanya nini kwenye hili, kwan yeye hakuwa na nafasi ya kulizungumzia!!!???? Nampongeza amesema vizur kwamba, hakuna wa kumnyooshea kidole kwenye hili, basi nayeye asiwalaumu CCM, kwako studio🎤

    • @hoseastephen4508
      @hoseastephen4508 Před rokem

      Kiukweli kwa Tanzania ushoga haujawahi kukemewa/ kuchukuliwa hatua kwa dhati zaidi ya janjajanja kila mwenye macho anaona ndio maana hata Makonda serikali ilimkana kwamba ni msimamo wake binafsi na sio wa serikali.

    • @ghettoboysmusic7118
      @ghettoboysmusic7118 Před rokem

      Magufuri alikemea lini na aliwafunga wangap?

  • @yohanamkunga6790
    @yohanamkunga6790 Před rokem +1

    Kumbe tulitungiwa. SHERIA ya 90

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Před rokem +1

    Nakukubali sana lisu

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Před rokem +2

    Upo sawa ifatwe shetia aseme uwaz samia

  • @epafraditopajenga4650

    Kwanini Sheria Tutungiwe Na Wazungu, Kwanini Kila Jambo Tuambiwe Na Wazungu,Mimi Maisha Yangu Saizi Sitaki Kujiita Nina Viongozi,Nina Viongozi Vipofu Tu,Na Wasinishawishi Kwachochote Wala Kuniongoza Nitaomba Mungu Aniongoze Pekee Yake.Kwa Wanadamu Hakuna Msaada Ila Kumechafuka Natamani Hata Arudi Leo Kuihukumu Dunia Juu Dhambi Hii.

  • @nahumumgwama2280
    @nahumumgwama2280 Před rokem +2

    Selikaliya ya Hii inchi wanatuona mandondosha Sana laia wake

  • @mabagaplatnum8307
    @mabagaplatnum8307 Před rokem

    Hatujachelewa bado safar ipo ila tuwe tayar kukabiliana najanga hili laushoga

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 Před rokem

    Lissu

  • @honestmsigwa920
    @honestmsigwa920 Před rokem

    Mwanahabari kakutana na kichwa cha msomi aliyebobea,Sheria zipo na viongozi wa dini wapo wanafanya nini swali zuri sana

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn Před rokem +1

    Namuelewa sanaa huyu jamaa

  • @PastorHenryAluodo.
    @PastorHenryAluodo. Před 2 měsíci

    hatimaye nimekuelewa kiongz

  • @kitumainikubatu3182
    @kitumainikubatu3182 Před rokem

    Nilisema wakati mwingine, congo ikipata watu kama Lissu tusingekuwa kama tulivyo. lakini baadhi ya wa tanzania wanamudharau.

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Před rokem +2

    Huyo nd'o Tundu lisu bwana hakwepeshi,anatandika kwenye mshono paaaap!😂😂😂

  • @charlesjoseph1081
    @charlesjoseph1081 Před rokem +2

    Kweli Tundu wamechelewa kalamata weye muuza tako

  • @zakariakashiri7082
    @zakariakashiri7082 Před rokem +7

    Lisu ulianza kudadavua vizuri sana,juu ya sheria yetu ambayo unadai kwamba tume copy kutoka kwa uingereza sikatai lakini swali la msingi unalikimbia hapo,uwezi kusema eti kwasababu wazungu ndio waliotunga sheria kali juu ya vitendo vya kishoga leo washindwe kuwa sehemu ya kuupigia chapuo huo ushoga,mi ninachofahamu ukisema ufate historia ata shetani alikuwa Malaika wa heri kabisa aliitwa Lucifer,lakini leo amekuwa mbaya sana kwa sisi wanadamu kwaiyo atakama wazungu ndio waliotunga hizo sheria hivi uwezi kuamini kwamba watu ubadilika??? Ukiulizwa swali kwanini usitoe majibu unaanza kujiumauma,kuna nini Chadema mbona mnakuwa wazito kuonyesha msimamo wetu katika hili janga????

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Před rokem +7

      Swali kalijibu tangu aentensi ya kwanza bila kutafuna maneno. USHOGA SIO HAKI ZA BINADAMU. Au hukumsikia. Alafu tangu lini iki kichwa kikashindwa na swali

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Před rokem +2

      Jitahidi kujifunza na kuelewa kabla hujatoa maoni.

    • @zakariakashiri7082
      @zakariakashiri7082 Před rokem +1

      @@richardnganya2311 we nawe hivi kweli umesoma vizuri nilichokiandika au unajibu tu pasipo kusoma na kuelewa??? rudia rudia kusoma comment yangu hope utaelewa vizuri.

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 Před rokem +4

      Unajitahidi kutaka kumhusisha unavyojua wewe lakini kwa huyu , umefeli anauwezo ambao kwa udogo wa akili zako ukijitahidi kumkosoa lazima uonekane mjinga tu, kwahio pumzika tu,

    • @zakariakashiri7082
      @zakariakashiri7082 Před rokem +1

      @@zawadimbwambo1091 anhaaa,hii comment inaonyesha ni kwa namna gani Taifa hili Lina watu wengi wenye changamoto ya Akili ikiwemo wewe zawadi Mbwambo,,badala ya kujibu hoja kistarabu unaanza kutukana haya mambo hayataki hasira kuwa makini na mwanasiasa ndugu yangu huyu ndie yule ambae alituaminisha na kuwataja mafisadi papa pale kiwanja cha mwembe yanga,alafu badae akasimama kutetea yule alie mtuhumu kuwaelewa wanasiasa unatakiwa uwe na upeo mkubwa sana wa kufikiri,mimi nilitamani Aseme moja kwa moja kwa mtazamo wake kwamba ushoga ni mbaya na autakiwi kwa Taifa hili.

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 Před rokem

    Super gurus.

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Před 11 dny

    Maaskofu wamelaumiwa kila sehemu duniani.

  • @jumangozi2720
    @jumangozi2720 Před rokem

    Huyu muandishi sijui kama vip

  • @manilabonalumanula9210

    Kwa kuwa hakuna waliofungwa, maana yake ni kuogopa kukosa misaada ama serikalini nako kuna mashoga?

  • @Christvoicechannel
    @Christvoicechannel Před rokem

    Anajua hatapata uraisi , akisema , aasubiri aingie, ama kweli nyoka anapovunga kufa, unaweza ukafikiri kafa

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko2546 Před rokem

    Asante Lissu kwa hili nimekuelewa Vema.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před rokem

    Si kweli kama sheria ilikuwa grand fathered ina maana haikuwa sheria baada ya kupata Uhuru. Swali lingekuwa je kabla ya Uhuru wangapi walifungwa?

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 Před rokem

    Lisu

  • @wanainchitvrdc6705
    @wanainchitvrdc6705 Před rokem

    Excellent

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před rokem +1

    Tunamashoga ndani ya serikali. Ndo maaana makamu wake marekani walisain kimya kimya.

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Před rokem +3

    Hilo ndio tatizo la Mtanzania!!? watu Tanzania wana njaa kwa sbb ya mapenzi ya jinsia moja?? inabidi sasa tuanze kudili na matatizo ya mtanzania ambayo ni wizi wa mali za umma unaofanywa na serikali ya CCM..watu wanakufa mahospitalini kwa kukosa huduma kwa sbb pesa zinaibiwa na wezi ambao ni vuongozi wa ccm??

  • @dullahkalanjedullahkalanje1422

    Mheshimiwa nakuelewa sana

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 Před rokem +1

    Shida nchi hii usalama wa taifa upo kwa kulinda viongozi wa mcc tu bcz mpaka taasisi isajiliwe na serikali ianze kufanya mambo kinyume na sheria serikali ipo tu haisemi kitu.

  • @shabanadam4476
    @shabanadam4476 Před rokem +1

    Too much learner

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Před rokem +1

    Tundulisu uchambuzi naufafanuziwako niwakisomizaidi pia uko makini kuliko maviongozi mabunju yaliopo kwenyemadalaka kwakubebwa mugongoni

  • @paulsamuel5691
    @paulsamuel5691 Před rokem +2

    Ushoga ni raana kubwa

  • @JoshuaKaru-ub5nb
    @JoshuaKaru-ub5nb Před rokem

    Apo tundulisu nimekuerewasana viongoziwetu wanaupamba ushoga

  • @JoramKasenga-ig2gk
    @JoramKasenga-ig2gk Před rokem +1

    Wambie ukweli

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 Před rokem

    Walewale

  • @Christvoicechannel
    @Christvoicechannel Před rokem

    Tundu lissu , hukuwa unasema hiyo ni haki ya faragha? , hukuwa ukituhubiria kuwa serikali haina haki ya kuingilia haki ya faragha? , sasa leo mbona unaruka?

  • @karloladislaus45
    @karloladislaus45 Před rokem +2

    Ndugu mwana habari amekutawanya sanaaa.... Kama ukitumwa basi umeonja joto😂😂

  • @asedymbwilo7216
    @asedymbwilo7216 Před rokem

    Lisu tusaidie maana sauti yako ni fimbo ya tz

  • @mymuamsrrr7884
    @mymuamsrrr7884 Před rokem

    Mabasha ndio wanatakiwa kushikwa ???mhh!!!!! Hapooo sasa Ngoma Italia jiruuuuuu

  • @faraigarincha2136
    @faraigarincha2136 Před rokem

    Tatizo lissu kila kitu siasa badala ya maoni wew serikali na ccm ndio ulicho kalili

  • @islamseyffden7723
    @islamseyffden7723 Před rokem

    mama,samia toa sheria tujue mojaa uganda washatoa sheria kwa mishoga iuliwe

  • @saidymsensemi1783
    @saidymsensemi1783 Před rokem

    Tundurissureo

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Před rokem

    Mimi nadhan hili swala mnavyozidi kuliongelea na kulifanyia media tour ndo linazidi kutangazwa na kilipa nguvu hadi vizazi vidogo vilijuwe,mtazamo tu nadhan lingepuuzwa lingepotea.

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 Před rokem

    Ni kweli lakini hatujui mazingira yalikuwaje pia hatujui akili za hao waliopenyezewa hio sheria leo sisi kwetu kama tumeona ni mbaya sio kosa kurekebisha kwani ni dhambi kurekebisha

  • @amirymdee4259
    @amirymdee4259 Před rokem

    ***Ana unguli gani?***

  • @angiringalyimo365
    @angiringalyimo365 Před rokem

    ushoga ni ushenzi!!
    ni upumbavu
    ni ushetani
    mwanamume mwenye akili timamu huwezi kukubali kufanyiwa ushenzi wa aina hiyo!
    wanaume wanaofanyiwa ushenzi huo akili zao haziko sawa

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 Před rokem

    Lisu nimekuelewa sana

  • @masoudymichael
    @masoudymichael Před rokem +1

    Hapo sema watu wanapindisha wanasema siyo utamaduni wetu wasema Tanzania hatutaki ushoga

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Před rokem

      Ndio Wana vyosema hivyo, na Sheria hairuhusu.

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk Před rokem

    Mbona nahisi kama mnakigugumizi kuhusu issue ya ushoga? Si useme tu haufai na huaikubaliki.

  • @geofreynyigo-qy1hu
    @geofreynyigo-qy1hu Před rokem

    Wanasiasa wengine bn ,sura vinyonga...ushoga hapana!!!!

  • @ANDREWKAZUNGU-gt7lb
    @ANDREWKAZUNGU-gt7lb Před rokem +1

    Nimeipenda hyoo

  • @wilbertjosephat1615
    @wilbertjosephat1615 Před rokem

    UNA NIFAHAMU!😀😀

  • @tinolutonja8932
    @tinolutonja8932 Před rokem

    hii

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před rokem

    Ooh OK, sasa tumegundua kumbe serikali nayo inapenda ushoga, la sivyo wange fanya kama Uganda. Kesho mtatukoma mnao jiita serikali.

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg Před rokem

    😢

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před rokem

    Watueleze wamefunga wangapi? Ni unafki tu Makanda walimgeuka akawekewa marufuku kwenda Marekani

  • @gaspercharles4242
    @gaspercharles4242 Před rokem

    Huyo mtangazaji hatoshi anasemaje eti kunawazazi wanaleawatoto ktka malezihayo machafu yaushoga;,kunawatu mlm na akilizaotimamu wakikopi nakupesiti eti hakizabinadamu .

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi542 Před rokem

    Shida inakuja sehemu moja labda watu wanahidi misaada ambayo tunakopeshwa wao hawafaidiki kabisa wakati c kweli unapaotaka Umeme ukufikie Kijijini kwenu na maji lazima tukope leo hii mlimani cty ambayo mnajivunia nayo Ile imejengwa kwa mkopo na bado tunaendelea kulipia na maeneo mengi tunayotumia tumekopa

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 Před rokem

    Sina itikadi ya kuipenda CHADEMA hata siku moja ila Lissu akiwa na moyo wa haki na uzalendo ndani ya hii nchi ni mtu makini sana kikubwa tu Mungu amsimamie sana asikengeuke.

    • @YohanaPetro-xv9tp
      @YohanaPetro-xv9tp Před 11 měsíci

      Kwani Hana uzarendo au ndoyaleyale ya ccm Kila mwana ccm ni Zilo unataka Uzarendo Gani Sasa ukweli ampendi kuambiwa

  • @johnjoycemalusu4886
    @johnjoycemalusu4886 Před rokem

    Naitwa Mario malusu, nampongeza lissu kupinga vikali maswala ya ushoga na usagaji.

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před rokem

    AKIRUDI,,ANAINANGA TU CCM AFU ANASEPA,,SINA INTEREST NA VIONGOZI DIZAINI HII,,

  • @teddymashells2601
    @teddymashells2601 Před rokem

    kwa sababu na hao wamo katika kuusapoti ushoga.

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 Před rokem

    Lissu raisi

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před rokem

    Mjukuu wa chief KESHO FANYA BREAKING NEWS

  • @gessanabuu2099
    @gessanabuu2099 Před rokem

    Kwahyo ww lisu Unasemaje kuhusu Ushoga? Unaunga mkono sheria kweli?

  • @epafraditopajenga4650

    Fedha Ni Sawa Na Ile Namba Ya Uasi 666,Ili Uishi Lazima Uwe Mtumwa Wao,Bora Kufa Masikini

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před rokem

    Mheshimiwa ungeongeza na kuwa MUNGU anachukia Sana vitendo hivyo

  • @EagleCrown-pb9qv
    @EagleCrown-pb9qv Před rokem

    Chadema mkiulizwa swali linalohusu ushoga Kwa nn Huwa mnakwepa kwepa Sana.?? Lena alivyohojiwa alikwepa na wewe Leo unakwepa Kwa nn msinyooke tu msimamo wenu pasipokupindisha???

  • @eatlawe
    @eatlawe Před rokem

    Mimi nimependa uchanmbuzi wa kisomi na kihoja wa Lissu kama mwanasheria. Mwandishi naye amekuwa mtu wa kutaka ndio au hapana. Hii fani ya uandishi nafikiri imejaa unprofessionals wengi. Serikali inataka fedha za wafadhili hivyo sheria iko ili wapate kura. Kunyamaza kwao kutofunga watu inawapa kibali kwa washoga ili wawape fedha. By the way, mashoga wanazo hela za kutosha kwa sababu hawana akiba ya kuwekea watoto. Wanasubiri kufa na kupotea milele!

  • @happyodran4347
    @happyodran4347 Před rokem

    Nimekusoma leo Lissu ... ukweli mtupu tusiingizie wazungu sana

  • @hashakishabani4896
    @hashakishabani4896 Před rokem +2

    Mh.lisu anaumuhimu mkubwa sana katika taifa hili akipewa nafasi .huyu jamaa huwa kwenye ukweli hapendishi hana unafiki ndani yake

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 Před rokem

    Wamarekan wanaprint macontena ya karatasi zinazoitwa dollar na kuzileta kwetu kwa mashart sana hebu tukatae tusimame wenyewe

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Před rokem

    Lisu akili nyingi sanaaaa

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp Před rokem

    Hakuna vyauchambuz wawe wanauwawa kumamaezao

  • @annaniasbyarugaba5788

    Kuna kampeni inaendelea kuhusu wazungu hususani wamarekani na ulaya inaendeshwa na vikundi flani (siwezi taja hapa). Watu wanashindwa kuelewa Marekani pia ni Taifa lenye watu washenzi (Democrat) Kama ilivyo Tanzania (CCM).
    Unaeza kukumbuka Trump alisema nn kuhusu Ushoga?

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před rokem

    Acha kuitana waheshimiwa.Muite Ndugu

  • @bettykasase1267
    @bettykasase1267 Před rokem

    Wale Wale

  • @fikiriseleman3460
    @fikiriseleman3460 Před rokem +2

    Ila miaka kazaa nyuma ulikuwa unasema serikali haipaswa kuingilia yanayotendeka vyumbani Leo hii umekuja kivingine, sote tujumuike kulijenga taifa letu tusitupe lawama sana

    • @godlistengodlisten7552
      @godlistengodlisten7552 Před rokem +2

      WEWE ALISEMA KWA MWAJIBU WA SHERIA,

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 Před rokem +1

      sheria yetu ndivyo inavyo agiza kutokuingilia mambo ya faragha za watu.

    • @saidzuberi6097
      @saidzuberi6097 Před rokem

      @@godlistengodlisten7552 elim ndogo uyo ndo wale wakurupukaji awawezi mweliewa risu inaitajika vichwa kumwelewa tundu risu

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk Před rokem

    Nilichogundua ni kwamba Hawa watu wanakwepa swali la msingi LEMA kakwepa LISSU naye kakwepa mtafute na MBOWE pia na watu WA serekalini watafute WA sisiem bila kumsahau ZITTO KABWE.

  • @fransicmushenyera9302

    daa kumbe ukipewa pesa unabadirika ulichosema BBC Hard talk leo unabadirika sababu rais amekulipa pesa yako yote

  • @lilianmakwati5228
    @lilianmakwati5228 Před rokem

    Chadomo Sera yao ni ushoga ukiwauliza kuhusu ushoga hawana jibu sahihi

    • @severinmagwaya6453
      @severinmagwaya6453 Před rokem

      Wao ni nchi? CCM wanasemaje? ACT mmewauliza? vyama vingine? Makanisa yanayofungisha ndoa mmewauliza maaskofu wao?

  • @dullahkalanjedullahkalanje1422

    serikali itende vitendo sio kuleta siasa wakati vizazi vinaharibika

  • @mohammedkilaly2770
    @mohammedkilaly2770 Před rokem +1

    WHAT IS UR POINT MR LISSU U JUST DONT UNDERSTAND WHAT TALKING ABOUT😂😂

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Před rokem +1

      How many people have been jailed for being gays or lesbian in Tanzania?? it is a smoke screen to hide their failure in improving people's lives.

  • @rahimmasoli5369
    @rahimmasoli5369 Před rokem

    Jibu swali umeulizwa nn maoni yako sio ooh ccm jibu sawali nn maoni yako

    • @jambo3751
      @jambo3751 Před rokem +1

      Hapa hajadiliwi mtu tunajadili hoja
      Ndio maana anafafanua Sheria ya nchi inasemaje kuhusu mapenzi ya jinsia moja.Sheria ya nchi inawahusu watu wote watakaokuwa ndani ya nchi husika lakini maoni ya mtu yanamhusu mwenyewe.Nashangaa kwanini muulizaji maswali hakumuuliza CHADEMA inasemaje kwasababu CHADEMA ni taasisi lakini eti anamuuliza yeye Kama yeye!Sasa sisi inatuhusu nini ikiwa anaunga mkono au anapinga! Au hata awe shoga itatusaidia nini sisi Kama nchi.
      Waandishi wetu wajaribu kuwa na uweledi katika kazi zao.