THE CLASSSIC MARLAW PART 1 :KUTOKA KUSIMAMISHA NCHI MPAKA UKIMYA MKUBWA/BEMBELEZA ILIKUA HIT SIKUJUA
Vložit
- čas přidán 25. 05. 2023
- Moja ya wasanii wenye rekodi za kipekee kabisa Marlaw alifika kwenye The Classic na kupiga stories na kuvichaka kuhusu maisha yake ya kimuziki na mengine mengi
tafadhali usiache ku subscribe
Lakini umepotelea wapi ndugu Marlaw? Wewe unaimba vizuri sana. Hata kwetu Congo nyimbo zako zilipendwa kweli. Wimbo wako Rita kila wakati ninapo usikia machozi yana dondoka machoni kwangu!!!❤❤❤❤
Naikubali sana hiyooo ngoma
Namukubali marlaw
Natural talent
Huyu Chali alikuwa ni noma sana, kwangu Mimi huyu ni mwimbajii Bora kuliko akina Diamond , Ally Kibao na akina harmonize
Totally agree
i miss this guy
when i was in high school he used to be my icon lyrically magic very professional vocalist what more can i say
Jamaa anajua sana.. af ana nidhamu flan iv 😀😀
Rudi Mezee Baba
This guy is vocally super talented.
Aimbe na King 👑 kiba ni balaa sana
Kipindi hiki more than gold Ni Zaid ya heshima kwa malegend wetu na napata pure music the classic hii Ni nzuri sana. I'll be here listening
Bembeleza ilikuwa dedication song sana kwa warembo kipindi icho
Hyu alikua mnoma sana ukitoa mb doggy miaka hyo kulikua na hyu
Bembeleza international song tanzania
Yote Kwetu Lindi umetusumbua sanaa
Natokea Kenya but hii song ilitesa sana
+254 ilishika mwaka 2008 pale daa Marlow mda uo ndo sasa najiingiza kwa ujana mimi
😍😍😍😍😍😍😍🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Noma
Hujazeeka mzeee😂😂😂😂😂😂
🙌🔥🔥🙌
Wallai we miss him,,,
enzi zetu marlaw 🔥🔥🔥🔥
Kuvichaka
Upo vzr marlw ilove so much brother
Wakuchimba
🙏✌️👊.
Talented marlow!
Marlaw 2007 nlipitia magumu nikawa napenda huu wimbo wa Hellow ma' duuuh nakumbuka mbal sana
yaani ulikuwa una sauti nzuri kwakweli tunamshukuru Mungu kutupeleka mtwango sec.God bless you brother
Kama unajua muziki jamaa huyu ni hatari kuliko Ali kiba..
Wallai Tena
Ana sauti nzuri sio poa
Kabisa
@@TALLUBOY kabisa
Fyooo
Where is him
Marlaw umetuangusha kwenye mavazi hujakaa kisaniii bro, ume2pia kama mimi2 ani inakushusha hadhi hata huwez pata deals,
Mawazi sio usanii bro
Kuna watu wanavaa kushinda hao wasanii na hawana lolote kikubwa mziki mzuri mavazi sio issue
Jersey ya taifa sio nguo?
kina Ed Sheeran wanaimba vzr lkn mavazi huwa ni ya kawaida
2006 ulikua shule mbona umezeeka punguza ulabu
Kwan ni mlevi?
Ame sema alikuwa form 5