PARTTWO: KIJANA ALIYETOSWA MAJINI NA WAGIRIKI/ WAKATILI/TUKATUPA MAITI/BAHARI IKABADILIKA RANGI
Vložit
- čas přidán 5. 11. 2020
- --
#baharia #simulizizamaisha #mbanga
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
Uyu jamaa atafutiwe mazingira pow yakuojiwa anastor kibao nzur za kujifunza 👍👍👍👍👍👍
Story nzuri kweli na zinaflow
amini kaka
sure
Yes millard ayo anamfaa sana atamuhoji vingi na ana story nzuri huyu mtangazaji wa hapa hajui kuhoji
huyu anafaa kuunda show yake yakuhadisia maisha ya kwake mbugani na pia baharini haikosi pia ashakua mwizi lol
Sura ya Juma Nature sauti Dudu baya🤙💪🔥 umepambana Sana br
Wakala fungo bhana🤣
True
@@salimyunuss8940 💪
Hahahaaa afu kweli
Nikweli kabisa kama juma khasimu
oya kwwl lakini🤣
😂😅😅🤣😆uyu jamaa jamani kwenye kibwengo😂🙌🏼🙌🏼anajuaa vituu uyu jamaaa jamani!!hapo kwenye pakujifunza😞God bless you bro
ẞ
Nakusalimia
sure
sure
sure
Uko vizuri kwa, story. nafikiri angepewa Nafasi ya kuhadithia story mzima ya maish a aliyo pitia bila kumkatisha nadhani tungesikia mambo mengi. ni maoni yangu.
.
Daah kweli wanamkatisha hawajui kuhoji,jamaa ana story nzuri wameshindwa kumuhoji.Alitakiwa aelezee historia yote ya maisha yake
Apo kweli
Ukweli tupu
@@petermulauzi8872 mbona yupo vizuri 2 mimi sijaona makosa
@@petermulauzi8872 mtangazaj sio mzur
I wish hakutane na Millard ayo "Jonijo " au Lil ommy aiseee... Nadhani tungeshiba haswaaaa,jomba umejua kujieleza mzee
Mbona hii nzuri sana, unaleta mazoea
Mazoea
Yap ipo poa sana tu,then interview huwa mtu m'moja anaweza kuojiwa na wengi out na hao ambao nimesema mm,
Acha kukatisha tamaa
This Man is a great Story Teller... beautiful 💕💕
That's his Life Expirience Though
Huyu mwandishi wa habari mbona kama tin waiti 😂😂😂😂😂😂🙌
@Kabiona Mpenda noma 😆😆😆😆
We full nondo Tukutuku chawa to sea mvuvi wa samaki mwindaji msitu mkubwa big up mazee, story teller balia mvuvi mwindaji.
😄😂😃😅🤣😆😁😀😊😋 Mdingi nimecheka sipendi story ila huyu jamaa story zake nimependa sanaaaaa very much
Storry ya jamaaa tamu san dah!!
Bless up
Stand up
Sol-jah
Stragglers continue
Nilikua namuona bishoo sana nikajua ndezi tu kumbe mwana kapambana sana
Hiyo sound track iko moto 🔥🔥🔥🔥 sana....✊🏿✊🏿✊🏿❤️❤️❤️
Mbna mjuba kafanana na konki 3 mzee wa oil chafuu....kama umeona hii nipe likes zanguu💪✊
😃😃😃😃 dingi noma sana
namuona necha tofauti mwili
Itengenezwe filam ya hii stor jaman
Mshkaji ni good story taller,mfano nyangumi unaweza kudhani ni uzushi lakini nyangumi ndio kiumbe kikubwa zaidi duniani anafikisha mpaka tani 178 urefu wa meters 30,ingawa sio kweli anaweza kukaa sehemu mkapika mpaka mkamaliza,anaishi miaka 80 mpaka 90.
Jamaa yupo vizuri kwenye kuongea anajua kuhadithia 💯
Good story::: I like it but
Æ nn
If he gets a good script writer his story can be a movie Netflix can buy the movie.
Nimemskiza huyu jamaa for almost 2hours. Good story teller bro.
Jamaa anastory nzuri sana tens hadi zinasisimua.ningeomba nawengine ziwafikie kwa midia zingine zimchukue pia
Thank you bro!!
Nimekuelewa sana hapo kwenye Hatua 3 za maisha #LatinoMaster
Leo ndo nimejua fisi ako na jinsia mbili duh Ase Asante kaka
Huyu jamaa amefanya siku yangu imekuwa nyepesi sana.. nimecheka siku nzima 😂😂😂😂
Jamaa muongo kamuelezea fisi kwa uongo nime Google vitu vingi fis hana jinsia mbili
@@lewismpangala927 wewe nawe tahira kweli unasema muongo mwezako kayapitia na hao Google unao wamini huwo mtandao tu wa mtu binafsi usitegemee kila jambo ukaamini
Very interesting story aisee
Wale wasenge wakasavaiv
Umenifurahisha sana na mengine umenifungua. big up
Dah anasimulia vzr
Kunawatu tunavunga tumepitia visanga ila we ninomaa mwamba bg up 💪💪💪💪💪💪🏿
Story nzr sana...kuna la kujifunza hapa..Big up #LATINO
Jamaa anaongea kma dudubaya
Story kali sana nimejifunza fisi anajinsia mbili na anae muwahi mwenziwe ndo anakula mzigo daaaah hatariii sn.
Sio kweli ntafute ntakwelezea
Jamaa anajua Mambo mengi Sana!👍big up KWAKE💪
Eti wale wasenge walisavive🤣
Thanks brooo kwa kutuletea ilo dalasa
Bro we kweli baharia nakukubali ila hapo kwa nyangumu kupika juu ya mgongo wake tuache kidogo
Huyu Jamaa anaesimulia story amefanana sana na Mlela halafu sauti ya Konki master
Great man..story nzuri
Bagamoyo home, 😊
Nime enjoy sn na stori ya huyu Fighter!!
👏👏👏
Noma sana 💣
😂😂😂😂😂😂Eti niligonga fisii
Jamaa yuko vizuri sana natamani story isiishe
Baba jangili mtoto bahalia daaaa mungu hakika yupo kakusmamia
Nyangumi lazima azute pumzi sasa atakaaje chini ya bahari mwaka mzima .uyo jamaa hadithi zake noma sana.
Nyangumi na dolfin hawana matamvua hupumua juu ya maji hawapumui ndani ya maji
Pole sana brother wangu endelea kupambana
Atali sana mzee wake alikua jangilili noma sana bro😀😀😀😀😀
Apo Kwenye Nyoka Nimekuamini Mana Yuko Mzee Na Wezie Waliwai Kuwasha Moto Juu Ya Gogo Kumbe Nijoka Kubwa Sana La Ajabu Na Ndege Sorwe Anakuonesha Nyoka Zaidi
Jua laleo limemshtua mr nyangumi
Uyu kaka mpambanaji Ase nimekupenda bureee bro mtangazaji tafadhari niombee namba apo
ahsante kwa elimu
Story ipo juu big up from 254
Much love 🇰🇪
Big up sana kaka story tamu Mungu azidi kukulinda
Mpeni kipindi kwa media yenu..
💯💯💪
Jamaa noma sana
Huyu chali mkali nimemkubali baharini mpaka porini kweli we original
Fisi anaemuwah mwenzie ndio anamtia mimba🤣🤣🤣🤣
Huyu bro.ni very intresting kumsikiliza na kujifunza...
Brother Salam zangu kutoka USA marekani Mimi storwway Africa marekani
Bro inabid na ww utupe story
@@ladslausgomel2089 story ya.kufukua.makabury.nduguzagu.wa.tanzania.nikikubuka..inauma.sana.somen.brather.lost.life.tru.story.never.for.get.us.today
Vp
Yan story n nzur sana ee mm pia ilikua sjui kama fisi anajinsia mbili
Stori nzuri 🌼
Kuhusu maisha kiukweli latinobumeyapitia,na mimi nimejifunza mengi kwa maisha ulopitia.
Latino master big up bro umetisha 😏
Jamaa nimemmaind kinoma natamani ningekuwa nakaa mtaani kwao daah
Hahaha
Jamaaa anasimulia poa sana
Hapo kwenye mafanikio nimekubali vere goooooooood history
History vere gooooood
👍
ETI SIMBA ANAMWONA FIS KAMA TEMBO🤣🤣
Mbona unafanana sana na jumanecha.mpk sautiyan
Hahahahhahaha sauti ya uteja
Good story baharia imetufundisha kitu
Kibwengo, Miyeyusho😀😀
Salut broo
Brother hii si ni movie unayoelezea yaitwa voyager
Ila wale alifika mmoja
Nakuku bariiiiii kaka
Safi
Pole sana
Pole sana kaka mana umeongea adi sauti imekukauka
Huyu jamaa noma
😀😀😀😀story ya MWANA TAMU SANA
Hahahah rasta mpambanajiji ni bonge la stor najifunza nafurah pia ila fisi kazinguwa hahahah
Jamaa apelekwe kwenye Mgahawa wa wasafi FM maana anamzidi baba levo ujinga😄😄😄
Kweli yuko vizuri na ana story nzuri ile mbayaa
Wale waswnge walikuep uchi🤣🤣
Uuuwwwiiii nilikua najiona nayapitia mengi kumbe kuna watu wamepitia mazito kabisa aki me sijui chochote 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
😯nyokaten duuh polen saan
Daaa Jamaa anaonekana Hustle Sana ,,,,,Ila Anaonekana Bangi Sana Pia 😀😀😀😀😀😀
Kwa hayo alio pitia kazima awe bangi
Anachokisema ni hali Halisi ya uindaji na porini - Ananikumbusha mbali sana nimeshafanya kazi hiyo 😂
Et Jua laleo kali sana
Nyangumi bwana
Huyu jamaa ni mtu mwenye kipaji cha kuzaliwa. Kipaji cha Ujasiri wa kupambana na maisha. Ana nyota siri kubwa kuona mengi. Kuna mafundisho mengi sana ndani ya hadithi yake. Jasiri mashallah. Akipata nafasi kiasi hadithi yake itungwe kitabu maana Kuna mengi sana ya kusoma
Story yake inaweza kufanyiwa movie nzuri
Safi sana kaka mkubwa hilo neno Pagal kweli wanalitumiaga sana wahindi huku na kweli kabisa kupata nimajaariwa
Kummke story tam lakn kweny nyangum umenilusha na kwenye kuchkua hasal umenidangany pia mm pia tulisha wai vna hasali nyuki lazma akuguse blooo hahahaha
Kweli aisee hata mm nimeona kwenye nyangumi katupiga!!
Hapo kwenye pisi nimecheka sana😂, so fisi atakaempa mwenzake mbele anamtia mimba
Huyu Jamaa anafaa sana naona apewe sapoti ya kuchapisha kitabu manaake sijapata kuona kijana umuliweke kuweza kupambanua habari namuna hii.Tena mwenye opeo wakujua majina mengi ya viumbe wabaharini.Sifa kwako jina
Dah ad raha
Jamaa anafurahisha sana kumsikiliza
Nakubali
mtangazi achaa sbob bhna unakatishaa
I have like the story
Ndo una maanisha nini😀😀
Kibwengo mpumbavuuu
Hahahahhaha
Bedui na subiani wako kwa shereheee
😂😂😂😂😂😂 waliarisha hii kali
Dah mwamba kidunda chimbo moja kali sana 😎