DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2020
  • DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI
    Julai 2, 1925 katika ardhi ya Congo alizaliwa mtoto wa kiume katika viuno vya Mzee François Tolenga Otetshima na tumbo la Bi Julienne Wamato Lomendja, akaitwa jina lake Elias Okit’ Asombo yaani Mrithi wa Aliyelaaniwa, Asombo akakua katika kimo na akili, akasoma, akajielewa, akabadili jina lake na kujiita Patrice Lumumba, akafanya kazi sehemu mbalimbali nchini, akaingia kwenye siasa kuikomboa Kongo kutoka kwenye makucha ya Wakoloni wa Ubeligiji, Mabeberu wakamuua na kisha kumkatakata vipande na kumyeyusha kwenye pipa la tindikali, Lumumba akapotea Duniani lakini fikra zake zikabaki zikiwasumbua watu wanaoamini Afrika haiwezi kujilisha bila kuomba nje!
    JE,UNATAKA KUTANGAZA NA ANANIAS EDGAR TV?
    WASILIANA NASI KUPITIA: +255659982764 /+255629977724
    EMAIL: ananiasedgartv@gmail.com
    Follow Us On Instagram
    / ananiasedgartz
    / ananiasedgartv
    SUBSCRIBE
    bit.ly/2ZWGBXo
    Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
    ______________________________________________________________________________________________
    SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
    HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
    ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m

Komentáře • 234

  • @mrbweichum
    @mrbweichum Před 4 lety +78

    KAMA UNAMMPENDA MSIMULIZI ACHIA LIKE YAKO TAFADHARI

    • @daytonlennon9487
      @daytonlennon9487 Před 3 lety

      not sure if anyone cares but if you are bored like me atm you can stream all of the latest series on instaflixxer. Have been streaming with my brother these days xD

    • @arijohan3511
      @arijohan3511 Před 3 lety

      @Dayton Lennon Yea, I have been using instaflixxer for years myself :)

  • @tygertz181
    @tygertz181 Před 4 lety +39

    Kma unamkubal ananiasi Edgar gonga like

  • @vincentmaloba2290
    @vincentmaloba2290 Před 4 lety +48

    Pumuzika salama Patrice Lumumba.Afrika tunajulikana kuangamiza fikira nzuli.
    Nimefurahiya historia nikiwa Kenya..🇰🇪

    • @morangaqatar8963
      @morangaqatar8963 Před 4 lety +2

      Africa murdered Africa, that is how cheap we are

    • @annamacky5848
      @annamacky5848 Před 4 lety +1

      We've been brainwashed by the system since they brought it in form of edu..., Religion, politics way of life, the white lifestyle, for ages upon ages but we are awaking now we are getting out of the system out of the matrix💪🙏TUKO PAMOJA!!

    • @edwinkimani4557
      @edwinkimani4557 Před 4 lety +3

      It's very sad, to hear about people who sacrificed n gave their lives for the sake of us, the freedom that I enjoy this day came about through sacrifice. yet even to this day we don't learn anything from them. Mtu Mweusi Nikama alilaaniwa. Ni kuomba omba na kukopa Kopa toka nje. Kaangalie Congo umaskini umewavaa kama Nguo. Africa tumebarikiwa lakini hatuoni maana mzungu ametupofisha kwa ushenzi wetu.

  • @elizabethalphonce1081
    @elizabethalphonce1081 Před 3 lety +12

    Hakika Mungu akulaze maala pema kwa Mambo uliyotaka kuifanyia Congo ingawa mabeberu na wanyonyaji wakaikatisha kazi yako ila damu yako itanena mema kwa nchi ya Congo

  • @Elfuego257
    @Elfuego257 Před 2 lety +12

    Nafurahia sana usimuliaji wako, Endelea kutukumbusha tumetoka wapi!!

  •  Před 3 lety +7

    Ubarikiwe sana denis yaani nimejawa na furaha kubwa kusikia historia zako

  • @stevek8318
    @stevek8318 Před 4 lety +6

    Yeees, Ananias na Dennis mko wazee wa maana sana. Kutoka hapa marekani, wakenya wawavulia kofia! Edgar the gifted voice. Elimu ya hali ya juu sisi hupata hapa kutokana na kazi na utafiti nzuuri sana!

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 Před 4 lety +17

    Lumumba alikuwa mzuri jamaniii handsome wa zamani😋😋😘😘hata ingekuwa mm ni mke wake nisingeolewa tena 😊😊

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 Před 2 lety +3

    Ananias Edgar pongezi👍
    Kazi safi
    Mungu akuzidishie uvumbuzi🙏🏽

  • @babugsafari281
    @babugsafari281 Před 4 lety +30

    Ndungu Denis leo una nifikisha saana I love my country DRC

  • @enockcheruiyot5919
    @enockcheruiyot5919 Před 3 lety +9

    Wamarekani ni wahofu sana,haya makala yamenitia machonzi 😢,pumzika kwa amani PL 🙏

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 Před 2 lety +2

    I admired your memorial music...Lumumba wa Baba👍
    "Na kwa Afrika nzimaa muziki wake unabaki siku zotee👊👏👏👏

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 Před 8 měsíci +1

    Alikua kiongozi mkubwa aliyepitia mambo mengi magumu, Patrice Lumumba angeongoza nchi vizuri sana,pan Africanist original.

  • @user-vp4mb1me6x
    @user-vp4mb1me6x Před 3 dny +1

    Asante sana mwalimu iyi historia wa kokomani hawana faamu

  • @nellymwangilwa4288
    @nellymwangilwa4288 Před 4 lety +27

    Forever you live long Mr.Patrice Lumumba,may you rest in peace

    • @manirihotheigenedelphine6027
      @manirihotheigenedelphine6027 Před rokem

      Jama kazungumuza sana ila maskio kama hatuna hivi wewe comment zakingereza hapa kunazungumuzwa kingereza au wewe nimwingereza?.

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 Před 2 lety +2

    Napenda sana sauti yako na utafiti wako mpagaze👊👍

  • @farukiabass5020
    @farukiabass5020 Před 2 lety +5

    Afrika yetu Ina paswa kua na watu hao namini katika maisha napia kutekeleza haya anayo ya fanya nami naichukia zarau na ubaguzi katika maisha yangu nanyi mulie itafsiri hii stori munaweza vijana Mimi ni faruok abass haji mtoto ninayo itaka historian ya afrika Nina umri was miaka12

  • @zigashaneadvice3977
    @zigashaneadvice3977 Před 2 lety +3

    Nashukuru kwakunikumbusha tareki ya 30.06.1960 #listening u from S.A@blood Congolese

  • @joaoonesmocumaio2362
    @joaoonesmocumaio2362 Před rokem +1

    The legacy of this man is immensurable, the true pan africanist. He suffered a lot to make Congo free of Begium domain. My his soul rest forever.

  • @wataifab.7790
    @wataifab.7790 Před 3 lety +9

    Siyo ww tu pamoja na mm apa baba uyo jama lumumba na mwalimu nyerere walikuwa ni zawadi pekehe kabisa kutoka kwa Mungu watu wa haki akika wakumbukwe milele

  • @zawadimbusa3472
    @zawadimbusa3472 Před 2 lety +4

    Vraiment nous sommes contents de vous, que Dieu vous bénisse

  • @fahadfaraj1822
    @fahadfaraj1822 Před 4 lety +7

    Ni stori ambayo muda wote nashindwa kuiskiliza, inakuaje mzalendo kama lumumba, wabelgiji na cia katika hili hawastahili msamaha wa wana congo

  • @bernardmukinji3065
    @bernardmukinji3065 Před 3 lety +6

    Like nyingi kweny comment hiyi ajili ya Lumumba

  • @byishimoobednday779
    @byishimoobednday779 Před 4 lety +37

    As a Congolese, I really honor the sacrifice of Emery Patrice Lumumba

  • @nathanaelshombana645
    @nathanaelshombana645 Před 4 lety +9

    The Hero never die✊✊

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 Před 4 lety +11

    Mpagaze tunaomba historia ya laurent nkunda na yuko wapi mpaka sasa

  • @MozesKalikumbi
    @MozesKalikumbi Před 9 dny

    Well done Dennis Mpagaze and Anannias Edgar

  • @abdallahmgotto7865
    @abdallahmgotto7865 Před 4 lety +17

    Ulipo tupo 😍

  • @situsengadiego3662
    @situsengadiego3662 Před 4 lety +11

    Vraiment nous sommes heureux de vous que Dieu vous bénisse✌✌✌✌

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 4 lety +5

    Well done once again Mpagaze Denis Ananias Edgar you are the best guys👏👏👏👏👏👏

    • @OmanOman-nz2bg
      @OmanOman-nz2bg Před 2 lety

      👏👏👏👏👏👏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 Před 4 lety +11

    I found myself speaking in tongues while listening to your story bro Congratulations SIR

  • @tanzanianchiyangu8984
    @tanzanianchiyangu8984 Před 4 lety +4

    Safi sana mpagaze

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao Před 4 lety +3

    Asante kwa Makala....Nzuri hapa Elimu bora aisee,⚡👏

  • @musasimba3689
    @musasimba3689 Před 4 lety +3

    Msimuliaji bora kwangu wa simulizi kuwahi tokea hawa wengine wanaiga tu Asante bro Ananias Edgar

  • @Unkown30476
    @Unkown30476 Před 8 měsíci

    Ipo siku MWENYEZI MUNGU MTUKUFU MWENYE HAKI ata iinua AFRICA IN SHAA ALLAH

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 Před 2 lety +2

    Kwa kweli uzarendo ni Imani ngumu Sana inatakiwa kujitoa sadaka Kwa kweli 😭😭😭😭😭

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry8011 Před 4 lety +16

    Laaaah kunawatu walipigwa mishale kwenye iyi dunia Allah awalipe mashuja wetu kwayote walio pigania

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 Před 4 lety +15

    Ulipo tupo ....sauti ya utangazaji yaani mpaka nikiwa nakula roho tuliii umenifanya kujua historia za Africa

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Před 4 lety +1

      Sijaona hata Jamal Mustafa hampati huyu jamaa fundi

    • @abuusufian6506
      @abuusufian6506 Před 3 lety +1

      @@fasterwalker1464 kaka Jamal ,mtiga wote wanatulia

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Před 3 lety +1

      @@abuusufian6506 nachomkubali anaongelea reality

  • @lulu8206
    @lulu8206 Před 2 lety +6

    Thank you so much ananias u helped me a lot with what to write on my essay we were doing an project about people who helped black people out of the hands of slavery from white people I dint want to write a essay about martin Luther because it is a famous story about slavery so I came here because I know u had this video and ya it helped me so much thank u and God bless u

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 Před 4 lety +12

    I love your voice vocalist bro Congratulations Excellent content keep them coming brother worth it Greetings from Santa Monica's California USA

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 Před 4 lety +2

    Asante sana, kwetu Lumumba sio tu hero ila pia ni prophet.

  • @kakozialbert2482
    @kakozialbert2482 Před 3 lety +2

    Thank you for this history

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 Před 4 lety

    Asante kwastory zamaana

  • @charo.mukarebugo5778
    @charo.mukarebugo5778 Před rokem +2

    Rest in peace,wazalendo wa Africa, lala salama duguyangu lumumba

  • @Nuyama1
    @Nuyama1 Před 4 lety +8

    ananias edgar & denis mpagaze.

  • @emmanuelbawili2104
    @emmanuelbawili2104 Před 3 lety +4

    Lumumba R I P Brother

  • @salimramadhani740
    @salimramadhani740 Před 2 lety +1

    Asante 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @malakoasaniasani2249
    @malakoasaniasani2249 Před 4 lety +2

    Mpagaze umeniacha hoiii kwakupachika kibao iile🙏

  • @themagnet4236
    @themagnet4236 Před 2 lety +1

    Asanteni sana,tutafutiye na Habari za Hayati Gregoire Kayibanda wa Rwanda!!!nitakushukuru sana!!

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 Před 4 lety +2

    Ahsante sana na kalimanzira alikuwa nani imenikumbusha kuma mwendazimu miaka ya utoto wetu alikuwa akijiita hili jina na maana yake sijui.
    Shukran kwa historia Kwa kweli lazima tusome ili tujue.

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před 2 lety +2

    Hakika wasio ma unafiki hawaishi maisha marefu.lazima kum.parura parura na kumuua

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Před 2 lety +1

    Mabeberu ni mbwa Sana Tena mbwa kweli kweli wanamuua ndugu yetu halafu wanakuleteeni jino mbwa Hawa sisi hapa mabeberu tunaikumbatia tu pumbavu

  • @anthonywilliamjohn6696
    @anthonywilliamjohn6696 Před 4 lety +3

    Yaani unanikoshaga Sana br,,, stay blessed

  • @monikasteven3064
    @monikasteven3064 Před 4 lety +3

    Be blessed bro

  • @tresorsamson9200
    @tresorsamson9200 Před 4 lety +9

    Notre lidere reste en paix

  • @babamarc4325
    @babamarc4325 Před 3 lety +4

    R.I.P. lumumba,from USA

  • @alainonge7752
    @alainonge7752 Před 4 lety +1

    Big up saana mpagaze na Ananias

  • @mbayomaikoakzahi9400
    @mbayomaikoakzahi9400 Před 4 lety +13

    Nilikuwa kazini nikato roka kwa dakika kadhaa ili kuisikiliza hili 💪💪

  • @osm721
    @osm721 Před 4 lety +6

    Sauti yako bro☆MOTO☆

  • @user-qe8ln1gm7y
    @user-qe8ln1gm7y Před 5 měsíci

    Napenda sana iyi

  • @josephatraymond4902
    @josephatraymond4902 Před 4 lety +2

    Hapo sawa kbc kuwa mwana harakati lkn usijiingiz kwenye siasa

  • @Topnews6148
    @Topnews6148 Před 4 lety +6

    RIP my leader Patrice

    • @samsonhumbe8220
      @samsonhumbe8220 Před rokem

      Hongera sana ndugu Denis na Ananies Edger. Mungu awabariki.

  • @fredialfredi202
    @fredialfredi202 Před 4 lety

    Hongera sana best.

  • @user-qg2sw9bj2i
    @user-qg2sw9bj2i Před 2 lety +4

    Maskini lumumba,Allah akurehemu

  • @nyotadjuma5172
    @nyotadjuma5172 Před 2 měsíci

    god bless you

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe4057 Před 4 lety +3

    Atr sana

  • @marcelin_hd
    @marcelin_hd Před 4 lety +2

    A hero

  • @estherawa1885
    @estherawa1885 Před 3 lety +3

    Rip lumumba

  • @manirihotheigenedelphine6027

    Jama alikua shuja wa Africa kweli, nazikubali fikra zake huu kigogo haswa, japo nimarehemu, Mungu kamupumuzishe kwa amani, shuja wa Africa, Africa tunaria machoji yadamu😭😭😭😭😭, ila chakufurahisha, naye mubutu kafa km ubwa, bwege mtu, Ananias ukatusimulie muzoga wake kama uko wap.

  • @dicksonmwangi5499
    @dicksonmwangi5499 Před 4 lety +2

    Big up sana

  • @hancepopessau2527
    @hancepopessau2527 Před 4 lety +1

    He was the hero

  • @juliuskulokhoma8020
    @juliuskulokhoma8020 Před 3 lety +2

    Hawa wanakuja ku dislike Wana akili timamu kweli

  • @mikomomalombi2987
    @mikomomalombi2987 Před 3 lety +4

    asante ndugu kwa kutu kumbusha sisi wa congo drc

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah4599 Před 4 lety +7

    Voice of Ananias 🔥🔥

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 Před 2 lety +1

    "Emery wa Mama Lumumba wa Babaa"👍

  • @user-qe8ln1gm7y
    @user-qe8ln1gm7y Před 5 měsíci

    Naipenda

  • @hassanmsuya6692
    @hassanmsuya6692 Před 4 lety +5

    Simba wa Afrika🙏🏿🙏🏿

  • @erickrichard4292
    @erickrichard4292 Před 4 lety

    Nzuri sanaaa

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 Před 2 lety +1

    Nakweli malkom
    X!!" Anafanana na Lumumba aiseee!!"

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 Před 4 lety +3

    Eti alivunja yai la kiswahili 😂😂😂😂😂😂😂we jamaa nakupenda

  • @mosesharerimana278
    @mosesharerimana278 Před 4 lety +4

    Tunakulewa sn
    Kaka much lov

  • @winifridamushi1341
    @winifridamushi1341 Před 4 lety +13

    Hawa wazungu! Tuwaangalie tu hawatupendi

  • @mkobelwaprosper5832
    @mkobelwaprosper5832 Před 4 lety +5

    Nikiskia story kama hizi uwa natamani sana niende ikulu siku moja aice ila tena nikiskiliza mangoma ndo nasaau kbs 🤔🤔🤔

  • @kondosaid216
    @kondosaid216 Před 2 lety +1

    R.i.p Magufuli

  • @munyarubugaismailally111

    Hongera

  • @laurentzacharia1563
    @laurentzacharia1563 Před 4 lety +4

    Limumba forever

  • @nimrodsigulu2053
    @nimrodsigulu2053 Před 4 lety +3

    Kumbe hizi kesi za uchochezi waanzilishi ni mabeberu?

  • @toweman6484
    @toweman6484 Před 3 lety +1

    Nakubal mkuu

  • @tryphonet.sagilo-vm1gs
    @tryphonet.sagilo-vm1gs Před měsícem

    Big up

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 Před 4 lety +1

    Mobutu msenge Sana 😥

  • @mkuuhapingwi
    @mkuuhapingwi Před 4 lety

    Dah!hii sauti hii

  • @mack_vita_onyango8409
    @mack_vita_onyango8409 Před 3 lety +2

    Dah. Binadamu sio watu believe me.

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 Před 2 lety

    Good

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu5658 Před 4 lety +4

    Dah watu hawana utu mpumzka kwa Amani Lumumba.

  • @nadikuabdul598
    @nadikuabdul598 Před 4 lety

    SHUKRAN SAANA BRO

  • @aloycekimario6177
    @aloycekimario6177 Před 4 lety +1

    afrika nikwetu naipenda afrika naipenda nchi yangu Tanzania tuwewazalendo jamani

  • @ZadokAsaph
    @ZadokAsaph Před 2 měsíci +1

    Bigup

  • @bedatv5634
    @bedatv5634 Před 11 měsíci

    Safi

  • @ChristophMcThe
    @ChristophMcThe Před 3 lety +1

    11:19 Kanyama

  • @abdallahsuleimani7416
    @abdallahsuleimani7416 Před 2 lety +1

    Mabutu ndie alieizamisha Kongo Kwa story hii anapaswa alainiwe