WENZANGU WALICHINJWA KAMA KUKU: MAFUVU YAO/DULA MBABE NI SABABU, S02EP01"B"
Vložit
- čas přidán 16. 09. 2021
- Ni kumbu kumbu ya mwenyekiti wa chama cha Mabaunsa na ma Bodigadi Tanzania (BBT), akihadithia tukio la kutisha na kusisimua lililopelekea vifo vya Mabaunsa takribani 20.......hii ni "MBANGA"
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#S02EP01 #Storiyangu #Mbanga
Kipindi chako ni kizuri lakini jaribu kuweka namba hizi story yani kwa mfano kama story namba moja story namba mbili mpaka mwisho wa story sasahiv mtu hawez kujua kty ktk mlolongo huu hipi namba moja hipi ya kati hipi ya mwisho sababu kuna watazamaji wengine wata angalia kwa siku za mbele so utakuwa ume rahisisha mtu kujua story na mwenendo wake asante
Real mfano mm
Dunia ina mitihani mingi sana, kwa hakika tunakutana na mitihani mingi
Uyu mtangazaji nampendaga sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kilichomsaidia ndgu yetu nikumueka mungu mbele
Noma aseeh 🙌🏻
Stori zinachanganya sana kujua ya kwanza ni ipo hadi ya mwisho ni issue. Wekeni namba
Nalikumbuka lile timbwili la viwanja kule wazohill. Balaa halafu sasa ni mji mkubwa tu walishauziana viwanja wale wavamizi. Yule mama aliyeita mabaunsa aliamua tu kusamehe eneo lake licha ya kushinda kesi mahakamani. Kuna mwenyekiti wa mtaa eneo lile alikua akiitwa Deo alikaa ndani muda mrefu kwa kuhamasisha mauaji
Mbona hamuonyeshi prt 2
Pole Sana bro
Polen sana,kaka mkubwa! Mungu Mkubwa kwa kweli. Polen sana!
Jamani hii stor muipange vizuri basi ni nzuri ila haina mpangilio watu tunaweka mabando kwaajili ya historia kama hizi
Pole.. Sana MUNGU anakusudi nawe
God bless
Duh hatar sana mzee wangu
Pole sana home boy, pande za kino
Pole sana, huyo mama na familia yake si wa kuoa hawafai
Mbona mpangilio wa hii habarii tofauti hauja pangiliwa?Baunsa wali uwawa na nani na sababu ni nini?Pia una ongelea familia zaidi mi sijaelewa kabisaaaaa!!
anaehoji ndio hamrudishi bro katika reli !
pole sana bro na pia tumejifunza SoMo mengi tunayapitia na umenikumbusha maumivu
Kumbe nawewe ulikuwepo lile tukio lakukwatw mapanga nilishudia mimi pole sana
Tupe story ya ulioyashuhudia
Huyu mshikaji tulikua nae kinondoni biafra
Hii story ya kilitengenezea movie Mie nilikuwepo nilishuhudia Kwa macho aseeh ilikuwa patashika
Daah sio poa
Ooi! Mbanga hatari Sana hii
Wanaweke wanazingua san da pole san kaka
Msiweke Picha mbaya hizi haifai
czcams.com/video/kAItG2m77s0/video.html
Duniani tunapita mengi sana
Duuh! Alikimbia mbali🤣🤣🤣🤣🤣
Hee
Kweri kabisa kaka ss wanawake sijui kwani hatuna siri
Pop
Daa mtihani huu no 2 pls
Dah wanawake sisi
😭😭😭😭😭😭
Kha omg jamani uchawi tena
Pat one iko wap
Ka mkubwa atari sana
Tunashindwa kukufatilia kwasabab unaweka vipolo mda mrefu
Hiyo sitosahau balaa kubwa
Mbona huandiki part one, or two inatuchanganya tuanzie story wapi Kama unaweza ku edit pls tuandikie ipi ni part one, two,three etc.
Kweli anatuchanganya
Muendelezo upo wap sasa Argh
Inaendelea lini?
czcams.com/video/kAItG2m77s0/video.html