WENZANGU WALICHINJWA KAMA KUKU: MAFUVU YAO/DULA MBABE NI SABABU, S02EP01"B"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 09. 2021
  • Ni kumbu kumbu ya mwenyekiti wa chama cha Mabaunsa na ma Bodigadi Tanzania (BBT), akihadithia tukio la kutisha na kusisimua lililopelekea vifo vya Mabaunsa takribani 20.......hii ni "MBANGA"
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24news@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24Tz
    ⚫️ Facebook: @dar24news
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #S02EP01 #Storiyangu #Mbanga

Komentáře • 47

  • @timotimo5501
    @timotimo5501 Před 2 lety +8

    Kipindi chako ni kizuri lakini jaribu kuweka namba hizi story yani kwa mfano kama story namba moja story namba mbili mpaka mwisho wa story sasahiv mtu hawez kujua kty ktk mlolongo huu hipi namba moja hipi ya kati hipi ya mwisho sababu kuna watazamaji wengine wata angalia kwa siku za mbele so utakuwa ume rahisisha mtu kujua story na mwenendo wake asante

  • @hassanhamidubarwany
    @hassanhamidubarwany Před 2 lety +4

    Dunia ina mitihani mingi sana, kwa hakika tunakutana na mitihani mingi

  • @joselynesango4075
    @joselynesango4075 Před 2 lety +3

    Uyu mtangazaji nampendaga sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @zuumlondwa9518
    @zuumlondwa9518 Před 4 měsíci

    Kilichomsaidia ndgu yetu nikumueka mungu mbele

  • @AndrewPaulsr
    @AndrewPaulsr Před rokem

    Noma aseeh 🙌🏻

  • @fadhilimsafiri216
    @fadhilimsafiri216 Před rokem +2

    Stori zinachanganya sana kujua ya kwanza ni ipo hadi ya mwisho ni issue. Wekeni namba

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Před rokem

    Nalikumbuka lile timbwili la viwanja kule wazohill. Balaa halafu sasa ni mji mkubwa tu walishauziana viwanja wale wavamizi. Yule mama aliyeita mabaunsa aliamua tu kusamehe eneo lake licha ya kushinda kesi mahakamani. Kuna mwenyekiti wa mtaa eneo lile alikua akiitwa Deo alikaa ndani muda mrefu kwa kuhamasisha mauaji

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Před rokem

    Mbona hamuonyeshi prt 2

  • @saidmj9213
    @saidmj9213 Před 2 lety +2

    Pole Sana bro

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 Před 2 lety +2

    Polen sana,kaka mkubwa! Mungu Mkubwa kwa kweli. Polen sana!

  • @NoellKomba
    @NoellKomba Před rokem

    Jamani hii stor muipange vizuri basi ni nzuri ila haina mpangilio watu tunaweka mabando kwaajili ya historia kama hizi

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 Před 2 lety

    Pole.. Sana MUNGU anakusudi nawe

  • @devmwalabu3193
    @devmwalabu3193 Před 2 lety

    God bless

  • @meckcassius3983
    @meckcassius3983 Před 2 lety +1

    Duh hatar sana mzee wangu

  • @mustakimibrahimsemindu6807

    Pole sana home boy, pande za kino

  • @daudabdallah7843
    @daudabdallah7843 Před 2 lety +1

    Pole sana, huyo mama na familia yake si wa kuoa hawafai

  • @hermankihwili1095
    @hermankihwili1095 Před rokem +2

    Mbona mpangilio wa hii habarii tofauti hauja pangiliwa?Baunsa wali uwawa na nani na sababu ni nini?Pia una ongelea familia zaidi mi sijaelewa kabisaaaaa!!

  • @boscomwambapa2470
    @boscomwambapa2470 Před rokem

    pole sana bro na pia tumejifunza SoMo mengi tunayapitia na umenikumbusha maumivu

  • @frankfrank2600
    @frankfrank2600 Před 2 lety +1

    Kumbe nawewe ulikuwepo lile tukio lakukwatw mapanga nilishudia mimi pole sana

  • @mbarakmohammed511
    @mbarakmohammed511 Před rokem

    Huyu mshikaji tulikua nae kinondoni biafra

  • @anastaziamathias8861
    @anastaziamathias8861 Před rokem

    Hii story ya kilitengenezea movie Mie nilikuwepo nilishuhudia Kwa macho aseeh ilikuwa patashika

  • @oscarmaulid5906
    @oscarmaulid5906 Před 2 lety

    Daah sio poa

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před 2 lety

    Ooi! Mbanga hatari Sana hii

  • @sirajibakari2336
    @sirajibakari2336 Před 2 lety +1

    Wanaweke wanazingua san da pole san kaka

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban7295 Před 2 lety +2

    Msiweke Picha mbaya hizi haifai

  • @kelvinchuwa2212
    @kelvinchuwa2212 Před 2 lety +1

    Duniani tunapita mengi sana

  • @alexandermilanzi9860
    @alexandermilanzi9860 Před 2 lety

    Duuh! Alikimbia mbali🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 2 lety +1

    Hee

  • @fatmakiruwasha2378
    @fatmakiruwasha2378 Před 2 lety +1

    Kweri kabisa kaka ss wanawake sijui kwani hatuna siri

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 Před rokem

    Daa mtihani huu no 2 pls

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před rokem

    Dah wanawake sisi

  • @claramzuri488
    @claramzuri488 Před 2 lety

    😭😭😭😭😭😭

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před rokem

    Kha omg jamani uchawi tena

  • @samirakiango957
    @samirakiango957 Před rokem

    Pat one iko wap

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 2 lety +1

    Ka mkubwa atari sana

  • @tituschampanda7780
    @tituschampanda7780 Před 2 lety

    Tunashindwa kukufatilia kwasabab unaweka vipolo mda mrefu

  • @shakacharles9634
    @shakacharles9634 Před 2 lety

    Hiyo sitosahau balaa kubwa

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Před 2 lety +1

    Mbona huandiki part one, or two inatuchanganya tuanzie story wapi Kama unaweza ku edit pls tuandikie ipi ni part one, two,three etc.

  • @mussanavas1283
    @mussanavas1283 Před rokem

    Muendelezo upo wap sasa Argh

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před 2 lety +1

    Inaendelea lini?