BAHARIA ALIYEJITOSA PAKISTAN!/ AFICHUA MASHAMBA YA UNGA/ MAISHA/ MILION 200/ WATU WANAUAWA..PART 07

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 02. 2024
  • MAISHA NI SAFARI ISIYO NA MWISHO, UNAWEZA UKALALA MASIKINI NA UKAAMKA UKIWA TAJIRI. KAMA HUIJUI KESHO YAKO UNAPASWA KUMUOMBA SANA MUNGU ANAYEFAHAMU NINI UTAKACHOKIPATA KWA NAMNA ALIVYOKUPANGIA.
    DAR24 MEDIA TUMEPIGA STORI NA BAHARIA CHAD AMBAYE AMETUMIA MKASA WAKE KAMA FUNDISHO KWA VIJANA WANAOTAMANI KUPITIA NJIA FUPI ILI KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAO YA KILA SIKU.
    INAFURAHISHA KWA UPANDE MMOJA LAKINI KWA UPANDE MWINGINE INAHUZUNISHA SANA KWA SABABU HUENDA LEO ANGEKUWA ANA KAMPUNI KUBWA AMBAYO INGEWEZA KUWAAJIRI VIJANA WENGI, LAKINI HUENDA NJIA HARAMU ALIZOTUMIA NI KAMA MUNGU AMEMUADHIBU NA KUAMUA KUMRUDISHA KATIKA HATUA YA SAHIHI ILI APATE RIZKI YAKE KIHALALI.
    KARIBU UFUATILIE KISA HIKI CHA KUSISIMUA.
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #baharia #mbanga #dupamdupange

Komentáře • 30

  • @dar24media
    @dar24media  Před 4 měsíci +1

    Kama una simulizi/mkasa ungependa kusimulia kwa jamii kwa lengo la kuelimisha na kufundisha, karibu wasiliana nasi kwa namba..#0653127761.
    kwa mahitaji ya nguo nzuri zenye chapa ya KABUNYAU wasiliana nasi kwa mawasiliano ya,...0764368113/0717066207/ 0653127761...Asante

  • @hashimrashid6380
    @hashimrashid6380 Před 4 měsíci +6

    Dupa tatizo lk unasherehesha sanaaaa

  • @lilmg6242
    @lilmg6242 Před 4 měsíci +3

    Punguza kuhoji sana tupe story

  • @mjukuuwamizimu8524
    @mjukuuwamizimu8524 Před 4 měsíci +3

    Story unailudisha nyuma. Tuliishia pale kila MTU amepewa police wake. Wakaanza kuutapa tapa

  • @hamisamadimpozi5923
    @hamisamadimpozi5923 Před 4 měsíci +1

    Story tamu ndio anapoishi duu maisha hayaa pamoja ❤

  • @user-em1tb7tb8s
    @user-em1tb7tb8s Před 4 měsíci +2

    Kaka muwe mnawavalisha T-SHIRT KABUNYAU kwa hao mabahalia mnao waoji itakuwa poa sana,pili ni market strategic kwenu

  • @jooepaullas791
    @jooepaullas791 Před 4 měsíci +2

    Dah hyu Dupa Sikuhiz kipindi kimeshinda maana hata hujui upo episode gan 😅😅

  • @godsonkimaro1440
    @godsonkimaro1440 Před 4 měsíci +1

    Endelea story ilipo ishia unatuchanganya, mbona zingine un piga vizuri sana bro.

  • @francistadayo1569
    @francistadayo1569 Před 4 měsíci +1

  • @topselaz6366
    @topselaz6366 Před 4 měsíci +1

    ✌️

  • @trienette6224
    @trienette6224 Před 4 měsíci +1

    Dupa mjomba Leo kazingua

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 4 měsíci

    Bongo moja la story noma sana 🔥

  • @user-zi6ci9sg8s
    @user-zi6ci9sg8s Před 4 měsíci +1

    Jamaa anazinguwa muendelezo mbovu kabisa

  • @bongomastory791
    @bongomastory791 Před 4 měsíci

    Dupa unazingua huna mwendelezo mzuri wa story muache msimuliaji aendelee alipoishia kama una maswali utamuuliza mwishoni

  • @issaally9403
    @issaally9403 Před 4 měsíci +2

    Bab kubwa

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 Před 4 měsíci

    Dupa mbwembwe nyingi sana adi unaboa

  • @user-dk8dr4kt7r
    @user-dk8dr4kt7r Před 4 měsíci

    Br.Dumpa punguza PRRRRRR.....

  • @user-gz3mh1pu7t
    @user-gz3mh1pu7t Před 3 měsíci

    Bro dupa ni nini maana ya neno kabunyau

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před 4 měsíci +1

    Dupa unafeli kipindi hovyo hovyo siku safari hii, acha jamaa asimulie wewe hauna haja ya kuongea ongea, hayo maswali muulize baada ya kumaliza simulizi

  • @nobamsigala2951
    @nobamsigala2951 Před 4 měsíci

    Ilikuwa hela sh ngp

  • @cchimodzi3858
    @cchimodzi3858 Před 4 měsíci

    Njia ya kwenda Ulaya

  • @sultandihomba4359
    @sultandihomba4359 Před 4 měsíci

    Dupa unataka kulefusha story Sasa matokeoyake unaboa kwenye story

  • @user-vc8bm7zb6o
    @user-vc8bm7zb6o Před 2 měsíci

    Punguza kuhoji unahoji sana nimekifatilia kipindi kwa muda mrefu sana watu tofaut lakini unachosha umuachi mtu adithie story tujifunze lakin unamkatisha kila wakati unaboa kaka

  • @bongomastory791
    @bongomastory791 Před 4 měsíci

    Kati ya dakika 30 mwendelezao ni dakika 10 upuuzi

  • @daudjoseph8513
    @daudjoseph8513 Před 4 měsíci

    Tuliza mdomo basi

  • @jasonsaco5192
    @jasonsaco5192 Před 4 měsíci

    IYO STORY ANGEMPLEKEA DAVISTA MATA