Maisha ni mchanganyikok wa matukio tofauti. Bin Adam wanapitia mambo mengi mazuri na mabaya. Unapouumbuka yaliyopita na ukaacha hutakiwi kuyakumbusha kabisa madhali ushatubu na imerudi kwa Mungu wakonilikuwa uayagute kabisa hata usisimulie ni dhambi kukumbuka maisha mabaya. Umetubu basi endelea kufanya mema.
Eti mtumishi wa Mungu. Aanze kwanza atengeneze hasara za watu aliowadhurumu na hata kuwaua kisha afanye toba waziwazi tuone kisha ndo ajiite mtumishi wa Mungu. Paulo baada ya kuitwa tunaona alivyopata mateso yaliyoruhusiwa na Mungu hata akatakasika. Sa nyie kilahalifu anapohisi kutafuta biashara anajiita mtumishi wa Mungu bila Majuto, haya ni majigambo tu wala hamna lolote!
Jeshi husimama ktk tabia nzur na tabia hyo n nidhamu upndo umoja na mshikamano Jeshi n familia 1 huwez mzuru mmoja halafu akaja pke yke tambuwa atakuja na familia yke ...
Hayo ya kupiga watu wasio na hatia wao wenyewe wanajuwa ni mkosa kwa wakati huu wa utawala sheria wakibainika hawana kibaruwa kwani ule ni ujinga tu waliyonao baadhi ya wanajeshi wetu
Hio tabia ya askari kupigwa ktk eneo Fulani kibano kikitokea sio askari tu hata Mwenyezi Mungu nae pia huchukua hatua kama hizi, ikitokea balaa huwapata wote mfano ukimwi hata usipohusika kufanya zinaa unaweza kuupata pia, nk
Na Mungu anasema huwa analetaga kipigo mpaka kizazi Cha tatu na Cha nne, baba akikosea anapigwa baba, mtoto, mjukuu, kitukuu, na wasipotubu kipigo kinaendeleaga kizazi hadi kizazi, mfano vita ya middle east ni ya tangu kale lakini haiishagi
Wow jamaa ako very handsome halafu neat and smart
Asifiwe YESU KRISTO 🎤
Mtangazi ubishoo mwingi sana , yaani ht mtoto wa la kwanza anmshinda yaani haelewiki na vingereza vyake eti yah yah yah ok,ok, du
Acha aitwe Mungu, basi Mungu akubadilishe na kukulinda sana make shetani akiingia tena, anaweza kua mbaya zaidi.
Aliishi na shetani mwenye vichwa nne,hii ni kali
Wanajeshi ni familia yenye umoja na upendo,mwamajeshi ndugu yake mkuu niwamajeshi mwenzie
Am late but is better than never...God bless you davista Keep up the good work brother
Kazi nzuri Davista
Huyu jamaa sio professional kabisa katika kuhoji , ametuharibia story nzur sna
Salama Jabir amtafute amwalike kwenye kipindi chake Cha #salamana tutapata story nzur zaidi
Complete confession
Nakukubali Afandeee
Mtangazi ajui kazi yake yuko na mapepe sana sjui ajawai kohoji mtu simulizi
Analeta mambo sio saii
Mungu ni mwema nyakati zote 🙏
Mtangazaji hii kazi aache. Au awe anapanga mtiririko wa maswali na aache mapepe mtu akiwa anasimulia. Utulivu unahitajika. Yah yah nyingi sana. 😂😂😂
Noma
Pamoja Sana Mtumishi
Sawa kaka jambaz
😅
Mungu akupe maisha malefu sana mtumishi
Pamoja sana kwa kutuletea story hii
Mshukuru mungu amekuokoa
Maisha ni mchanganyikok wa matukio tofauti. Bin Adam wanapitia mambo mengi mazuri na mabaya. Unapouumbuka yaliyopita na ukaacha hutakiwi kuyakumbusha kabisa madhali ushatubu na imerudi kwa Mungu wakonilikuwa uayagute kabisa hata usisimulie ni dhambi kukumbuka maisha mabaya. Umetubu basi endelea kufanya mema.
Alahuakbar.
Askari akiwa peke yake ni raia tu kinachosaidia ni umoja wao .
Eti mtumishi wa Mungu. Aanze kwanza atengeneze hasara za watu aliowadhurumu na hata kuwaua kisha afanye toba waziwazi tuone kisha ndo ajiite mtumishi wa Mungu. Paulo baada ya kuitwa tunaona alivyopata mateso yaliyoruhusiwa na Mungu hata akatakasika. Sa nyie kilahalifu anapohisi kutafuta biashara anajiita mtumishi wa Mungu bila Majuto, haya ni majigambo tu wala hamna lolote!
Mm nimeupenda huo ukakamavu wako lkn pia anaonekan bado yupo fiti maan Kuna vtu akivionyesha kwa mikona anaonekan mtamu jamaaaaa
Wa kwanza 🎉
bro una uliza maswali vizuri sanaa
Hawa ni zaidi ya komando
Ongera unapambana sana
Kweli jamaa alikuwa noma,
Huyo jamaa mamkumbuka sana wenzake walipigwa pale mlima nyoka , walikuwa nyoka kweli kweli
Yesu anaweza kubadilisha yaani jamaa ni handsome, smart kabisa huwezi kuamini
Wew shoga nn mbn wakiume ila unaongea kike kike
Pamoja
Yah yah yah yah yah yah,ni mambo ya yah tu
😅😅😅😅😅😅😅😅
Mahujiano safi kabisa
Pamoja Sana mwanzo mpaka mwisho wa story hii
Uyu mwamba anaonekana kweli ni mtu wa mazoezi si umeona mwili ulivyo mkavu
Najiuliza kwann majambaz wengi wanasema wameacha ujambaz then wanakuwa wachungaji nn kipo nyuma yke.
Kazi zinafanana
Taarifa
so huyo mbwa anajisifia kafanya matukio na yupo free tu mpk kweny press anazungumza na yuko huru tu hv ina make sense kwel
Jeshi husimama ktk tabia nzur na tabia hyo n nidhamu upndo umoja na mshikamano Jeshi n familia 1 huwez mzuru mmoja halafu akaja pke yke tambuwa atakuja na familia yke ...
Kweli kuna mwka majambazi walipigwa sana na wakafa
Niwahoga
😂kufanya hivyo kwasababu inapofanyiwa tukio huwezi kujua nani unapofanya ambushi watasema nani amehusika😢
Angalieni msije mkawa mnajifunza km yeye alivyoanza ukabaji hili ni somo tuu tujifunze hofu ya mungu tuu
Hilo swali la kishenz
Huyu kweli mtu wa kazi mkakamavu
Inafanyika hivyo ili kutoa onyo lkin poah inafanyika hivyo ili wawwze kutajana feliciani kutok kusin ruvum
Mtangazaji amedandia fani za watu😂😂
GOD BLESS YOUR WORK
Hayo ya kupiga watu wasio na hatia wao wenyewe wanajuwa ni mkosa kwa wakati huu wa utawala sheria wakibainika hawana kibaruwa kwani ule ni ujinga tu waliyonao baadhi ya wanajeshi wetu
Kwahiyo unatufunza nini
Mungu mkubwa nimemkumbuka kaka kweli tulikuwa wadogo sana miaka ya 1987-
Mbona kama bado anatisha hvi😮😮
Mwandishi unaferi unatakiwa umwachie kaka jambaz atililike usichanganye madwa😂
😂😂😂😂
Jesheni jambo amabalo huwa linatiliwa mkazo ni unity kwahyo umoja na spirit ya jesh ndo maana huwa ina kuwa hivyo
Mtumishi anajua ya kwamba Jinai haifi😅
Nikuvunja sheria tuu.lakini wakifuatiliwa,wanachukuliwa hatua kisheria.
Wanajeshi niwaoga vibaya sana
Mtuheshimu
Duuuh!
Royal Pamodzi ipo town sio soweto Mkuu,
Hata Soweto ipo
Nawe mtsngazaji unakosea mwache pastar store stori usimkatishekatishe
Mwanahabari hajui kuhoji yani anavyoitikia ni ushamba
Ugevunja mgu
Ukitaka kujua vcha vibovu angalia comment n ukitaka kuwa bos kuwa mxhugaji 😂😂
Ndio wakiona jeshi anapigwa wanapiga nduru na wakiona jeshi wanawaheahimu
Kaka namkumbuka pastar jina la switi nikama alikuwa anakaa mwanjelwa
Huyu sio Jambazi ni mtangazaji dini ya X-tian. Hio story za ujambazi ni kusingizio tuu.
Niujinga tu
Huyu jamaa hajui ethics z uandishi habar n bishoo tu
Wakwanza
Angekua ni mwislam na anaongea hayo angekua salama?ushahidi umeukamilisha mwenyewe akamatwe afungwe miaka mia7
Davi tutafutie na story za watu wa vijijin kama akina wamayo
Ilitujue kuwa
😂
Bado jamaa hatupi yote anatubania
wanajeshi na polisi wan
Simanjiro orkasumet napajua nilishawahi kukaa huko
Huyu ni Nadonjuk
Wewe unajigamba Wala l.hauko mtumishi maana hujutii unaonekana unajigamba!
Tuna fanya hivyo ili waharifu wajitaje
Maeneo yote aliyotaja nayajua sana.na kaka jambazi amecheza karate action zake zinaonyesha mpaka sasa anaonekana Yuko fit
Hicho ni kichaka tu amejificha, nyoka ni nyoka tu
Sahivi ni mjusi sio nyoka tena
Kwani pastor wote walikuwanga wezi?
Ana story zuri ya kushuudia lakn hajui kusimulia😢😢😢
Sema anaogopa kusema ukweli kuhusu yeye
Wa kwanza mimi nimeona sasa naanza na wewe mtangazaji
Hio tabia ya askari kupigwa ktk eneo Fulani kibano kikitokea sio askari tu hata Mwenyezi Mungu nae pia huchukua hatua kama hizi, ikitokea balaa huwapata wote mfano ukimwi hata usipohusika kufanya zinaa unaweza kuupata pia, nk
Na Mungu anasema huwa analetaga kipigo mpaka kizazi Cha tatu na Cha nne, baba akikosea anapigwa baba, mtoto, mjukuu, kitukuu, na wasipotubu kipigo kinaendeleaga kizazi hadi kizazi, mfano vita ya middle east ni ya tangu kale lakini haiishagi
Lengo kukomesha vitendo km hivyo
Huyo hajaacha katafta kichaka chakujificha
Siwez kumuamini 100% lolote lawezatokea😂
Nadonjuki jirani kabisa
mwanaume mzuriii jmn duuu, mungu huyuu
Ni fundi sana
Duu kamandaa kwanin aliamua kutubu
Kumbe lilikua ni pepo tu make ulikua una kipaji kizuli tu sashetani alitaka tu kukuua tu ongela kwakum shinda shetani
Mimi naishi sumbawanga mbeya ni balaa
MSHENZI NI MSHENZI TU...NYIE JICHANGANYENI SASA
Mtangazaji kuna vitu unakwama....nidhamu ya uandishi unaitumia kwa 75%tu. Unaanzaje kujifutafuta huku unamhoji mtu, anamchukuliaje labda😂😂😂
Nadonjokin.
Hakuna mwandishi wa habari hapo, hajui kuuliza maswali, anaingilia ingilia mwishowe mlengwa anakosa mtiririko wa story
Simuamini atakuwa Bado anaendelea