JAMBAZI SUGU ALIESUMBUA TANZANIA NA KUTEKA WANAJESHI AELEZA SAFARI YAKE/NILIOA JINI ANA VICHWA VINNE

Sdílet
Vložit

Komentáře • 173

  • @rerisamba
    @rerisamba Před 9 měsíci +4

    Wow jamaa ako very handsome halafu neat and smart

  • @patrickmaina5459
    @patrickmaina5459 Před 9 měsíci +4

    Asifiwe YESU KRISTO 🎤

  • @janemwambungu4558
    @janemwambungu4558 Před 7 měsíci +1

    Mtangazi ubishoo mwingi sana , yaani ht mtoto wa la kwanza anmshinda yaani haelewiki na vingereza vyake eti yah yah yah ok,ok, du

  • @MokamiWaryoba
    @MokamiWaryoba Před 7 měsíci +1

    Acha aitwe Mungu, basi Mungu akubadilishe na kukulinda sana make shetani akiingia tena, anaweza kua mbaya zaidi.

  • @logirajacob9369
    @logirajacob9369 Před 9 měsíci +2

    Aliishi na shetani mwenye vichwa nne,hii ni kali

  • @wilbardchuwa8772
    @wilbardchuwa8772 Před 9 měsíci +4

    Wanajeshi ni familia yenye umoja na upendo,mwamajeshi ndugu yake mkuu niwamajeshi mwenzie

  • @ochidovictor9531
    @ochidovictor9531 Před 9 měsíci +5

    Am late but is better than never...God bless you davista Keep up the good work brother

  • @user-in9si1ns2d
    @user-in9si1ns2d Před 6 měsíci

    Kazi nzuri Davista

  • @Evangelism2023
    @Evangelism2023 Před 8 měsíci +4

    Huyu jamaa sio professional kabisa katika kuhoji , ametuharibia story nzur sna

    • @mwebrannia
      @mwebrannia Před 8 měsíci

      Salama Jabir amtafute amwalike kwenye kipindi chake Cha #salamana tutapata story nzur zaidi

  • @flova7022
    @flova7022 Před 8 měsíci

    Complete confession

  • @LEO-uq6el
    @LEO-uq6el Před 9 měsíci

    Nakukubali Afandeee

  • @obizzocj558
    @obizzocj558 Před 9 měsíci +2

    Mtangazi ajui kazi yake yuko na mapepe sana sjui ajawai kohoji mtu simulizi

  • @eliascosmas9421
    @eliascosmas9421 Před 8 měsíci +1

    Mungu ni mwema nyakati zote 🙏

  • @kelvintiba9412
    @kelvintiba9412 Před měsícem

    Mtangazaji hii kazi aache. Au awe anapanga mtiririko wa maswali na aache mapepe mtu akiwa anasimulia. Utulivu unahitajika. Yah yah nyingi sana. 😂😂😂

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Před 7 měsíci

    Noma

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Před 9 měsíci

    Pamoja Sana Mtumishi

  • @sukisa1234
    @sukisa1234 Před 9 měsíci +4

    Sawa kaka jambaz

  • @MariamMsongwe-gc1by
    @MariamMsongwe-gc1by Před 7 měsíci

    Mungu akupe maisha malefu sana mtumishi

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 9 měsíci +1

    Pamoja sana kwa kutuletea story hii

  • @iddykitundu4705
    @iddykitundu4705 Před 7 měsíci

    Mshukuru mungu amekuokoa

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Před 7 měsíci

    Maisha ni mchanganyikok wa matukio tofauti. Bin Adam wanapitia mambo mengi mazuri na mabaya. Unapouumbuka yaliyopita na ukaacha hutakiwi kuyakumbusha kabisa madhali ushatubu na imerudi kwa Mungu wakonilikuwa uayagute kabisa hata usisimulie ni dhambi kukumbuka maisha mabaya. Umetubu basi endelea kufanya mema.

  • @johnkiimbila6799
    @johnkiimbila6799 Před 9 měsíci +2

    Alahuakbar.

  • @yusuphkassimu227
    @yusuphkassimu227 Před 7 měsíci +1

    Askari akiwa peke yake ni raia tu kinachosaidia ni umoja wao .

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 Před 7 měsíci

    Eti mtumishi wa Mungu. Aanze kwanza atengeneze hasara za watu aliowadhurumu na hata kuwaua kisha afanye toba waziwazi tuone kisha ndo ajiite mtumishi wa Mungu. Paulo baada ya kuitwa tunaona alivyopata mateso yaliyoruhusiwa na Mungu hata akatakasika. Sa nyie kilahalifu anapohisi kutafuta biashara anajiita mtumishi wa Mungu bila Majuto, haya ni majigambo tu wala hamna lolote!

  • @user-bg1vu8vq7m
    @user-bg1vu8vq7m Před 8 měsíci +1

    Mm nimeupenda huo ukakamavu wako lkn pia anaonekan bado yupo fiti maan Kuna vtu akivionyesha kwa mikona anaonekan mtamu jamaaaaa

  • @cocotz1892
    @cocotz1892 Před 9 měsíci +1

    Wa kwanza 🎉

  • @peterkaili9343
    @peterkaili9343 Před 7 měsíci

    bro una uliza maswali vizuri sanaa

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 Před 9 měsíci +2

    Hawa ni zaidi ya komando

  • @user-uy6jj6cs3r
    @user-uy6jj6cs3r Před 8 měsíci

    Ongera unapambana sana

  • @user-kd9vo3vb6r
    @user-kd9vo3vb6r Před 8 měsíci

    Kweli jamaa alikuwa noma,

  • @user-cw6sp7ju5p
    @user-cw6sp7ju5p Před 8 měsíci +1

    Huyo jamaa mamkumbuka sana wenzake walipigwa pale mlima nyoka , walikuwa nyoka kweli kweli

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 Před 9 měsíci +1

    Yesu anaweza kubadilisha yaani jamaa ni handsome, smart kabisa huwezi kuamini

    • @user-qh8fv7dp6p
      @user-qh8fv7dp6p Před 7 měsíci

      Wew shoga nn mbn wakiume ila unaongea kike kike

  • @josehkibona7565
    @josehkibona7565 Před 9 měsíci

    Pamoja

  • @lizzybeth6344
    @lizzybeth6344 Před 9 měsíci

    Yah yah yah yah yah yah,ni mambo ya yah tu

  • @justinekisumba1695
    @justinekisumba1695 Před 8 měsíci

    Mahujiano safi kabisa

  • @AudaxKami
    @AudaxKami Před 9 měsíci

    Pamoja Sana mwanzo mpaka mwisho wa story hii

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 Před 9 měsíci +2

    Uyu mwamba anaonekana kweli ni mtu wa mazoezi si umeona mwili ulivyo mkavu

  • @sultanmsoloni8635
    @sultanmsoloni8635 Před 9 měsíci +1

    Najiuliza kwann majambaz wengi wanasema wameacha ujambaz then wanakuwa wachungaji nn kipo nyuma yke.

  • @user-kk2ww6tg3l
    @user-kk2ww6tg3l Před 8 měsíci

    Taarifa

  • @laurenttadey1955
    @laurenttadey1955 Před 6 měsíci

    so huyo mbwa anajisifia kafanya matukio na yupo free tu mpk kweny press anazungumza na yuko huru tu hv ina make sense kwel

  • @user-dc5gh1rz9h
    @user-dc5gh1rz9h Před 8 měsíci

    Jeshi husimama ktk tabia nzur na tabia hyo n nidhamu upndo umoja na mshikamano Jeshi n familia 1 huwez mzuru mmoja halafu akaja pke yke tambuwa atakuja na familia yke ...

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 Před 7 měsíci

    Kweli kuna mwka majambazi walipigwa sana na wakafa

  • @korosomatiko3737
    @korosomatiko3737 Před 9 měsíci

    Niwahoga

  • @ramadhanitanganyika9403
    @ramadhanitanganyika9403 Před 9 měsíci

    😂kufanya hivyo kwasababu inapofanyiwa tukio huwezi kujua nani unapofanya ambushi watasema nani amehusika😢

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 9 měsíci

    Angalieni msije mkawa mnajifunza km yeye alivyoanza ukabaji hili ni somo tuu tujifunze hofu ya mungu tuu

  • @user-rc7yt7uo3y
    @user-rc7yt7uo3y Před 6 měsíci

    Hilo swali la kishenz

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 Před 9 měsíci

    Huyu kweli mtu wa kazi mkakamavu

  • @user-rf6ko4dw7w
    @user-rf6ko4dw7w Před 8 měsíci +1

    Inafanyika hivyo ili kutoa onyo lkin poah inafanyika hivyo ili wawwze kutajana feliciani kutok kusin ruvum

  • @user-eb7oi2bx6s
    @user-eb7oi2bx6s Před 7 měsíci

    Mtangazaji amedandia fani za watu😂😂

  • @shamsakibwana2693
    @shamsakibwana2693 Před 9 měsíci

    GOD BLESS YOUR WORK

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 Před 7 měsíci

    Hayo ya kupiga watu wasio na hatia wao wenyewe wanajuwa ni mkosa kwa wakati huu wa utawala sheria wakibainika hawana kibaruwa kwani ule ni ujinga tu waliyonao baadhi ya wanajeshi wetu

  • @LucyWensilauswiliam
    @LucyWensilauswiliam Před 8 měsíci +1

    Kwahiyo unatufunza nini

  • @ElbashilTrust-oo5vq
    @ElbashilTrust-oo5vq Před 8 měsíci

    Mungu mkubwa nimemkumbuka kaka kweli tulikuwa wadogo sana miaka ya 1987-

  • @Micpaul.o
    @Micpaul.o Před 7 měsíci

    Mbona kama bado anatisha hvi😮😮

  • @user-me6yt2cx4g
    @user-me6yt2cx4g Před 9 měsíci

    Mwandishi unaferi unatakiwa umwachie kaka jambaz atililike usichanganye madwa😂

  • @magnusbugingo3684
    @magnusbugingo3684 Před 9 měsíci +3

    Jesheni jambo amabalo huwa linatiliwa mkazo ni unity kwahyo umoja na spirit ya jesh ndo maana huwa ina kuwa hivyo

  • @mathiasgau9493
    @mathiasgau9493 Před 9 měsíci

    Mtumishi anajua ya kwamba Jinai haifi😅

  • @johnchuwa2888
    @johnchuwa2888 Před 7 měsíci

    Nikuvunja sheria tuu.lakini wakifuatiliwa,wanachukuliwa hatua kisheria.

  • @user-cv5df2bw5u
    @user-cv5df2bw5u Před 7 měsíci

    Wanajeshi niwaoga vibaya sana

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Před 9 měsíci

    Mtuheshimu

  • @JohnMusa-rw9kc
    @JohnMusa-rw9kc Před 8 měsíci

    Duuuh!

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 Před 9 měsíci

    Royal Pamodzi ipo town sio soweto Mkuu,

  • @ElbashilTrust-oo5vq
    @ElbashilTrust-oo5vq Před 8 měsíci

    Nawe mtsngazaji unakosea mwache pastar store stori usimkatishekatishe

  • @modernfarming5938
    @modernfarming5938 Před 8 měsíci

    Mwanahabari hajui kuhoji yani anavyoitikia ni ushamba

  • @user-cv5df2bw5u
    @user-cv5df2bw5u Před 7 měsíci

    Ugevunja mgu

  • @user-kv7bo1dc5r
    @user-kv7bo1dc5r Před 6 měsíci

    Ukitaka kujua vcha vibovu angalia comment n ukitaka kuwa bos kuwa mxhugaji 😂😂

  • @jaspermoruri9667
    @jaspermoruri9667 Před 9 měsíci

    Ndio wakiona jeshi anapigwa wanapiga nduru na wakiona jeshi wanawaheahimu

  • @ElbashilTrust-oo5vq
    @ElbashilTrust-oo5vq Před 8 měsíci

    Kaka namkumbuka pastar jina la switi nikama alikuwa anakaa mwanjelwa

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 7 měsíci

    Huyu sio Jambazi ni mtangazaji dini ya X-tian. Hio story za ujambazi ni kusingizio tuu.

  • @user-zm7ih5cm8o
    @user-zm7ih5cm8o Před 7 měsíci

    Niujinga tu

  • @yassinaus6523
    @yassinaus6523 Před 8 měsíci

    Huyu jamaa hajui ethics z uandishi habar n bishoo tu

  • @bahatywasofia4155
    @bahatywasofia4155 Před 9 měsíci

    Wakwanza

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 Před 7 měsíci

    Angekua ni mwislam na anaongea hayo angekua salama?ushahidi umeukamilisha mwenyewe akamatwe afungwe miaka mia7

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 Před 9 měsíci +1

    Davi tutafutie na story za watu wa vijijin kama akina wamayo

  • @MasumbukoKisaduka
    @MasumbukoKisaduka Před 7 měsíci

    Ilitujue kuwa

  • @godymimutye3445
    @godymimutye3445 Před 9 měsíci

    😂

  • @catherinesamky5796
    @catherinesamky5796 Před 9 měsíci +2

    Bado jamaa hatupi yote anatubania

  • @cyantess8423
    @cyantess8423 Před 9 měsíci

    wanajeshi na polisi wan

  • @UsafiMichael-mc8kt
    @UsafiMichael-mc8kt Před 9 měsíci +1

    Simanjiro orkasumet napajua nilishawahi kukaa huko

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 Před 7 měsíci

    Wewe unajigamba Wala l.hauko mtumishi maana hujutii unaonekana unajigamba!

  • @user-pi6oc3pb5l
    @user-pi6oc3pb5l Před 7 měsíci

    Tuna fanya hivyo ili waharifu wajitaje

  • @sukisa1234
    @sukisa1234 Před 9 měsíci +3

    Maeneo yote aliyotaja nayajua sana.na kaka jambazi amecheza karate action zake zinaonyesha mpaka sasa anaonekana Yuko fit

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před 9 měsíci +2

    Hicho ni kichaka tu amejificha, nyoka ni nyoka tu

  • @user-ny6lw8kr9m
    @user-ny6lw8kr9m Před 8 měsíci

    Kwani pastor wote walikuwanga wezi?

  • @user-yq1fh4xn4y
    @user-yq1fh4xn4y Před 9 měsíci +2

    Ana story zuri ya kushuudia lakn hajui kusimulia😢😢😢

  • @user-pe1ze9sw4f
    @user-pe1ze9sw4f Před 9 měsíci +1

    Wa kwanza mimi nimeona sasa naanza na wewe mtangazaji

  • @maulidzagu-gb3mc
    @maulidzagu-gb3mc Před 9 měsíci +1

    Hio tabia ya askari kupigwa ktk eneo Fulani kibano kikitokea sio askari tu hata Mwenyezi Mungu nae pia huchukua hatua kama hizi, ikitokea balaa huwapata wote mfano ukimwi hata usipohusika kufanya zinaa unaweza kuupata pia, nk

    • @mwebrannia
      @mwebrannia Před 8 měsíci +1

      Na Mungu anasema huwa analetaga kipigo mpaka kizazi Cha tatu na Cha nne, baba akikosea anapigwa baba, mtoto, mjukuu, kitukuu, na wasipotubu kipigo kinaendeleaga kizazi hadi kizazi, mfano vita ya middle east ni ya tangu kale lakini haiishagi

  • @dausonkabigumila1992
    @dausonkabigumila1992 Před 7 měsíci

    Lengo kukomesha vitendo km hivyo

  • @user-dk2hz4xk8y
    @user-dk2hz4xk8y Před 7 měsíci

    Huyo hajaacha katafta kichaka chakujificha

  • @sabunitv2121
    @sabunitv2121 Před 7 měsíci

    Siwez kumuamini 100% lolote lawezatokea😂

  • @johnsonlekashu7901
    @johnsonlekashu7901 Před 2 měsíci

    Nadonjuki jirani kabisa

  • @graceshakanyi8784
    @graceshakanyi8784 Před 9 měsíci +2

    mwanaume mzuriii jmn duuu, mungu huyuu

  • @user-kc1ul9kt8s
    @user-kc1ul9kt8s Před 7 měsíci

    Duu kamandaa kwanin aliamua kutubu

  • @mamapeace6730
    @mamapeace6730 Před 9 měsíci

    Kumbe lilikua ni pepo tu make ulikua una kipaji kizuli tu sashetani alitaka tu kukuua tu ongela kwakum shinda shetani

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 Před 7 měsíci

    Mimi naishi sumbawanga mbeya ni balaa

  • @mkanash3144
    @mkanash3144 Před 7 měsíci

    MSHENZI NI MSHENZI TU...NYIE JICHANGANYENI SASA

  • @sabunitv2121
    @sabunitv2121 Před 7 měsíci

    Mtangazaji kuna vitu unakwama....nidhamu ya uandishi unaitumia kwa 75%tu. Unaanzaje kujifutafuta huku unamhoji mtu, anamchukuliaje labda😂😂😂

  • @PascalChiume
    @PascalChiume Před 9 měsíci

    Nadonjokin.

  • @mwadangatv
    @mwadangatv Před 7 měsíci

    Hakuna mwandishi wa habari hapo, hajui kuuliza maswali, anaingilia ingilia mwishowe mlengwa anakosa mtiririko wa story

  • @a2comedy36
    @a2comedy36 Před 8 měsíci

    Simuamini atakuwa Bado anaendelea