Ni Kwa Nini watu wengi wanafanya mambo mengi ya kishetani na ht mambo ya hivyo. Baada ya yote hayo wanakwenda kua manabii. Kwa Nini wasiwe watu wa Ibada tu kawaida
Shetani Huwa anacheza ma maisha ya watu wenye ukuu ndani yao mana anajua walikua watamletea madhara,,ila watu ambao Wana future ya zawaida Wala Hana shida nao ,,kabisa
Dah huyu mwamba mara ya kwanza nilimuonaga shinynga mwaka 2010 wakati anahubiri na kutoa shuhuda yake hii ya ujambazi , na mwaka 2014 nilikuja kukutana nae dar es salaam maeneo ya gongo la mboto karibu na chuo Cha Kampla
@@karimreldalaal1387usitukane bwana. Pengine anakusudia jang'ombe boys iko zanzibar hiyo shule. Pengine Sina uhakika lakini. Ila kutukana sio vizuri. Sie binaadam wajibu wetu kukumbushana tukiteleza. Sisemi kwa ubaya . Jina Karim, Jina zito haina haja ya matusi. Si sifa ya kiislam. ❤
Huyu ni mchungaji magwana alitakaga kumuoa dada yangu aiseee alishatangulia mbele za haki my sister alitufundisha kuomba huyu mahali ni bwiru enzi bado niko mdogomdogo nyieee
"Is the above video a good recommendation for you? Help us improve youtube" CZcams wamenitumia hii survey,😁 nahisi ni kulingana na title ya ushuhuda wa leo ulivyo kaa. (hasa hapo kwenye silaha na ujambazi)🤔 Anyways nimeipa 5*😅
raiti kama huwo uharifu ungefanywa na muislamu na akaamuwa kacha na kuwa shekhe wa msikiti fulani,sizani kama ange pata nafasi hiyo ya kuwa huru na ww ukamuhoji.angeitwa gahid na kuisaidia polisi kwa tuhuma mbalimbali,kumbe uharari wa kuwamuharifu na kukimbilia uchungaji ndio kunakufanya usamehewe licha kuwa nimuhalifu!
Muongo....miaka hiyo darasa la kwanza walikuwa wanasoma kuanzia miaka 10 kwenda juu , sasa hiyo 9 au 8 ulijianzishia shule yako ? Yaani kuna vitu vingi vinavyoashiria mzee anastory za kubumba , mfano hiyo ya kutukanwa na mwqnamke kijijini miaka hiyo 😅😅😅 sio kweli , wasichana wa enzi hizo hawakuwa na akili hizo za kutukana mtu matusi .....😮😮😮😮 . yaan bro nikuache tu nifanye shughuli zangu nikiendelea kukusikiliza nitakutafuta bure maana huwa ninahasira sana na watu waongo waongo .😊😊😊
Huyo power iyebaaa! Alikujaga shuleni kwetu enzi hizo 😂😂
Poti muha mwenzang safi sana endelea kuiwakilisha kigoma yetu
Japo rafudhi imesha badilika imekua kama ya mpemba
Hakunaga vya hivyo😂😂😂😂
Unikumbuka Mimi mwl wako shule ya msingi Uvinza 1979
nakukumbuka sana teacher wangu
Rudisheni mahojiano ya CHOGO hewani
Ni Kwa Nini watu wengi wanafanya mambo mengi ya kishetani na ht mambo ya hivyo. Baada ya yote hayo wanakwenda kua manabii. Kwa Nini wasiwe watu wa Ibada tu kawaida
Shetani Huwa anacheza ma maisha ya watu wenye ukuu ndani yao mana anajua walikua watamletea madhara,,ila watu ambao Wana future ya zawaida Wala Hana shida nao ,,kabisa
Bro davista mjomba yuko vizuri anaweza kuhadisia kuna mambo ya kujifunza
Duu huyu jamaa alikuwa akali sana zamani. Jina Lake nilikuwa nadhani ni Paul(Po) mangwana! Kumbe ni power! Udogo mzuri😂
Umenikumbusha Sama Ng'wana Mwanamuziki ❤️
Karibu power mangwana
power mangwana
Poti.safi.sana
Power mangwana
😂😂Nikajua tumeletewa Supa Mangwana kumbe ni Power Mangwana
Karibu sana
Baba una story nzuri❤😂
Jamaa inaonekana anaishi zanzibar kwa sasa ,hiyo rafudhi na katamka neno skuli yaani shule
Mmm mamako alipata shida kweli yani mimi na imagine angekua mtoto wangu zile fimbo ningekucharaza
Ungeniua my
😀
Power mwangwanaa angola
P1 sana
Power mangwana seniour
Nilikuwa naitafuta sana simulizi ya huyu jamaa.
Huyu jamaa aliwahi kuwa power ...tulikua tukimuita power mangwana..
Huyu mzee Alisha kujaga tarime tena shulen alikua mchawi kweli kweli anazuia piki piki mbili kwa mdomo
Tumsifu Yesu kristo
Hii story ukiona maneno mengi msimuliaji anambwembwe na mapozi bac jua haina mvuto
Hujaeleweka
Muha gani anaongea Kiswahili cha Zanzibar... Hii simulizi inaweza kuwa poa
Uyu mwamba kama Dj Mack 😂😂😂😂
Jamaa wetu kafanana JPM BANA, JOHN POMBE MAGUFULI
Dah huyu mwamba mara ya kwanza nilimuonaga shinynga mwaka 2010 wakati anahubiri na kutoa shuhuda yake hii ya ujambazi , na mwaka 2014 nilikuja kukutana nae dar es salaam maeneo ya gongo la mboto karibu na chuo Cha Kampla
So fun😂😂😂
Mzee vip za myaka naitwa Mathias John mwanza tumepotezana Sana mzee uko wapi?
Hiyo bwana story zake zinafanana na za kwangu isipokuwa kupelekwa na mto ila mi nilizama kwenye kisima
Senior
Nimpolee.......
JBOYS 1999
Tombwa mbwa wewe..ni vitu gani hizi unaandika kwa kila video..
@@karimreldalaal1387usitukane bwana. Pengine anakusudia jang'ombe boys iko zanzibar hiyo shule. Pengine Sina uhakika lakini. Ila kutukana sio vizuri. Sie binaadam wajibu wetu kukumbushana tukiteleza. Sisemi kwa ubaya . Jina Karim, Jina zito haina haja ya matusi. Si sifa ya kiislam. ❤
alikuja ngudu kwimba miaka fulani iv 2008/2009 akahubiri injili kanisa la pag alikuwa na utisho sana😂
ilo jina yebaa🤣🤣🤣
Huyu anaogea kiswahili muafaka.
Kiswahili kama cha Zanzibar na Mombasa
Namkuumbuka nilikuwa nae shinyanga Baptist katunda
❤
Mhhh
Huyu ni mchungaji magwana alitakaga kumuoa dada yangu aiseee alishatangulia mbele za haki my sister alitufundisha kuomba huyu mahali ni bwiru enzi bado niko mdogomdogo nyieee
Namfahamu sana story yako ni ya kweli kabisa
"Is the above video a good recommendation for you? Help us improve youtube"
CZcams wamenitumia hii survey,😁 nahisi ni kulingana na title ya ushuhuda wa leo ulivyo kaa.
(hasa hapo kwenye silaha na ujambazi)🤔
Anyways nimeipa 5*😅
utakuwa umedislike baadhi ya clip na ndio maana lazima wakuletee huyo survey..uki like hawakuletei.🤔
@@sweetlisious uko na point 🙄hapo, ila sikuhizi dislike button hai oneshi. kusema kweli kuna clip niki recommendiwa huwa na click 'not interested' 🤭.
Anaonekana alikuwa Mbogo
raiti kama huwo uharifu ungefanywa na muislamu na akaamuwa kacha na kuwa shekhe wa msikiti fulani,sizani kama ange pata nafasi hiyo ya kuwa huru na ww ukamuhoji.angeitwa gahid na kuisaidia polisi kwa tuhuma mbalimbali,kumbe uharari wa kuwamuharifu na kukimbilia uchungaji ndio kunakufanya usamehewe licha kuwa nimuhalifu!
😂😂😂😂
Mbona wapo waislam wengi tuu wametoa shuhuda zao na wakaokoka mbona hawajaitwa Magaidi? na wanaendelea na maisha kama kawaida
Tutajie mmoja alie wahii kuhojiwa hapa na mpaka sasa yupo kwa mikono ya polisi
Ni kwasababu hana tabia za ujihadi wa kiislamu.
Udini na roho mbaya vinakutesa sana poleee
Huyu Magwana hana cha utumishi tapeli
Una akili za kuazima
Unamjua SULEIMAN KUMCHA ?
Yes namjua sana
😂
Mpuuzi huyu
Acha dharau wewe kijana maisha hako hivyo
Wew utakuwa mtoto wa juzi, mbona huyu jamaa ni maarufu sana kanda ya ziwa, we google tu utapata habari zake
Maradhi ya akili bado yapo
Mwongo wewe toka hapo
Wew utakuwa mtoto wa juzi, mbona huyu jamaa ni maarufu sana kanda ya ziwa, we google tu utapata habari zake
Una pepo lakurithi,
Usitudanganye Waha sio watanzania halisi.
Kwanini siowa Tanzania niwawapi
niliona ile eti mimi ni muha mtanzania halisi 🤔 kama hajiamini hivi, au hana uhakika na uhalisia wa uraia
Wana kiimbila ni watu Wa asili ya Nyasa kama ulikuwa hujui
Ukufe sasa Makam wa Rais ni kabila lako
Muongo....miaka hiyo darasa la kwanza walikuwa wanasoma kuanzia miaka 10 kwenda juu , sasa hiyo 9 au 8 ulijianzishia shule yako ?
Yaani kuna vitu vingi vinavyoashiria mzee anastory za kubumba , mfano hiyo ya kutukanwa na mwqnamke kijijini miaka hiyo 😅😅😅 sio kweli , wasichana wa enzi hizo hawakuwa na akili hizo za kutukana mtu matusi .....😮😮😮😮 . yaan bro nikuache tu nifanye shughuli zangu nikiendelea kukusikiliza nitakutafuta bure maana huwa ninahasira sana na watu waongo waongo .😊😊😊
Una maradhi ya kurithi ya akili!
huna fIda kwetu hata ukieendelea kuzikiliza ACHA
Mzee ana vistori vya kweli ila mwongo mwongo sana
Mpuuzi huyu