MWANAJESHI WA JWTZ ALIETOROKA NA SARE NA SILAHA KAMBINI NA KUAMUA KUWA JAMBAZI ALIETIKISA AFRICA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 89

  • @vitabuvyashuhudazamungu
    @vitabuvyashuhudazamungu Před 10 měsíci +4

    Huyo power iyebaaa! Alikujaga shuleni kwetu enzi hizo 😂😂

  • @user-ps1ph9iv5b
    @user-ps1ph9iv5b Před 10 měsíci +2

    Poti muha mwenzang safi sana endelea kuiwakilisha kigoma yetu
    Japo rafudhi imesha badilika imekua kama ya mpemba

  • @FlorenceNachipyangu
    @FlorenceNachipyangu Před 10 měsíci +4

    Unikumbuka Mimi mwl wako shule ya msingi Uvinza 1979

  • @bobman2237
    @bobman2237 Před 10 měsíci +6

    Rudisheni mahojiano ya CHOGO hewani

  • @SaidSaid-sl8ct
    @SaidSaid-sl8ct Před 10 měsíci +7

    Ni Kwa Nini watu wengi wanafanya mambo mengi ya kishetani na ht mambo ya hivyo. Baada ya yote hayo wanakwenda kua manabii. Kwa Nini wasiwe watu wa Ibada tu kawaida

    • @agnesjohn3125
      @agnesjohn3125 Před 10 měsíci +5

      Shetani Huwa anacheza ma maisha ya watu wenye ukuu ndani yao mana anajua walikua watamletea madhara,,ila watu ambao Wana future ya zawaida Wala Hana shida nao ,,kabisa

  • @franciskobelo
    @franciskobelo Před 9 měsíci

    Bro davista mjomba yuko vizuri anaweza kuhadisia kuna mambo ya kujifunza

  • @sia1net614
    @sia1net614 Před 10 měsíci +1

    Duu huyu jamaa alikuwa akali sana zamani. Jina Lake nilikuwa nadhani ni Paul(Po) mangwana! Kumbe ni power! Udogo mzuri😂

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Před 10 měsíci +4

    Umenikumbusha Sama Ng'wana Mwanamuziki ❤️

  • @sukisa1234
    @sukisa1234 Před 10 měsíci +1

    Karibu power mangwana

  • @afterx3172
    @afterx3172 Před 9 měsíci

    power mangwana

  • @Jumamabela
    @Jumamabela Před 7 měsíci +1

    Poti.safi.sana

  • @sulemanmuyomba3524
    @sulemanmuyomba3524 Před 10 měsíci

    Power mangwana

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 10 měsíci +1

    😂😂Nikajua tumeletewa Supa Mangwana kumbe ni Power Mangwana

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 10 měsíci +1

    Karibu sana

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen Před 10 měsíci +2

    Baba una story nzuri❤😂

  • @johnjoseph1106
    @johnjoseph1106 Před 10 měsíci +2

    Jamaa inaonekana anaishi zanzibar kwa sasa ,hiyo rafudhi na katamka neno skuli yaani shule

  • @rerisamba
    @rerisamba Před 10 měsíci +2

    Mmm mamako alipata shida kweli yani mimi na imagine angekua mtoto wangu zile fimbo ningekucharaza

  • @idrisanarri149
    @idrisanarri149 Před 10 měsíci

    Power mwangwanaa angola

  • @jumaS2tv
    @jumaS2tv Před 10 měsíci +1

    P1 sana

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 10 měsíci +1

    Power mangwana seniour

  • @Magodoro_mix
    @Magodoro_mix Před 9 měsíci +1

    Nilikuwa naitafuta sana simulizi ya huyu jamaa.

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před 10 měsíci

    Huyu jamaa aliwahi kuwa power ...tulikua tukimuita power mangwana..

  • @babaalex5062
    @babaalex5062 Před 10 měsíci +1

    Huyu mzee Alisha kujaga tarime tena shulen alikua mchawi kweli kweli anazuia piki piki mbili kwa mdomo

  • @frederickokumu2276
    @frederickokumu2276 Před 9 měsíci

    Tumsifu Yesu kristo

  • @nolascochaule9342
    @nolascochaule9342 Před 10 měsíci +2

    Hii story ukiona maneno mengi msimuliaji anambwembwe na mapozi bac jua haina mvuto

  • @remigiusrwechungula7047
    @remigiusrwechungula7047 Před 10 měsíci +1

    Muha gani anaongea Kiswahili cha Zanzibar... Hii simulizi inaweza kuwa poa

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 Před 9 měsíci

    Uyu mwamba kama Dj Mack 😂😂😂😂

  • @Waziri77
    @Waziri77 Před 9 měsíci

    Jamaa wetu kafanana JPM BANA, JOHN POMBE MAGUFULI

  • @salummwakinyuke4301
    @salummwakinyuke4301 Před 10 měsíci

    Dah huyu mwamba mara ya kwanza nilimuonaga shinynga mwaka 2010 wakati anahubiri na kutoa shuhuda yake hii ya ujambazi , na mwaka 2014 nilikuja kukutana nae dar es salaam maeneo ya gongo la mboto karibu na chuo Cha Kampla

  • @user-dx9vl7uv5u
    @user-dx9vl7uv5u Před 9 měsíci

    So fun😂😂😂

  • @user-ff2vz2dy4k
    @user-ff2vz2dy4k Před 10 měsíci

    Mzee vip za myaka naitwa Mathias John mwanza tumepotezana Sana mzee uko wapi?

  • @user-gu1zv2wr3r
    @user-gu1zv2wr3r Před 10 měsíci +1

    Hiyo bwana story zake zinafanana na za kwangu isipokuwa kupelekwa na mto ila mi nilizama kwenye kisima

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 Před 8 měsíci

    Senior

  • @user-uc7eo3wp9o
    @user-uc7eo3wp9o Před 9 měsíci

    Nimpolee.......

  • @tututz100
    @tututz100 Před 10 měsíci +2

    JBOYS 1999

    • @karimreldalaal1387
      @karimreldalaal1387 Před 10 měsíci +2

      Tombwa mbwa wewe..ni vitu gani hizi unaandika kwa kila video..

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Před 10 měsíci

      ​@@karimreldalaal1387usitukane bwana. Pengine anakusudia jang'ombe boys iko zanzibar hiyo shule. Pengine Sina uhakika lakini. Ila kutukana sio vizuri. Sie binaadam wajibu wetu kukumbushana tukiteleza. Sisemi kwa ubaya . Jina Karim, Jina zito haina haja ya matusi. Si sifa ya kiislam. ❤

  • @elishajoseph8291
    @elishajoseph8291 Před 8 měsíci

    alikuja ngudu kwimba miaka fulani iv 2008/2009 akahubiri injili kanisa la pag alikuwa na utisho sana😂

  • @cyantess8423
    @cyantess8423 Před 10 měsíci +1

    ilo jina yebaa🤣🤣🤣

  • @johnkiimbila6799
    @johnkiimbila6799 Před 10 měsíci +1

    Huyu anaogea kiswahili muafaka.

  • @husseinchea5524
    @husseinchea5524 Před 10 měsíci

    Kiswahili kama cha Zanzibar na Mombasa

  • @user-ej4qi4fj5z
    @user-ej4qi4fj5z Před 9 měsíci

    Namkuumbuka nilikuwa nae shinyanga Baptist katunda

  • @user-gn7ke1og4m
    @user-gn7ke1og4m Před 10 měsíci

  • @zulekhasaud483
    @zulekhasaud483 Před 10 měsíci +1

    Mhhh

  • @ranayuhase1405
    @ranayuhase1405 Před 9 měsíci

    Huyu ni mchungaji magwana alitakaga kumuoa dada yangu aiseee alishatangulia mbele za haki my sister alitufundisha kuomba huyu mahali ni bwiru enzi bado niko mdogomdogo nyieee

  • @kigomamaranathagospelchoir2642
    @kigomamaranathagospelchoir2642 Před 10 měsíci +1

    Namfahamu sana story yako ni ya kweli kabisa

  • @LoFi_120
    @LoFi_120 Před 10 měsíci +3

    "Is the above video a good recommendation for you? Help us improve youtube"
    CZcams wamenitumia hii survey,😁 nahisi ni kulingana na title ya ushuhuda wa leo ulivyo kaa.
    (hasa hapo kwenye silaha na ujambazi)🤔
    Anyways nimeipa 5*😅

    • @sweetlisious
      @sweetlisious Před 10 měsíci +1

      utakuwa umedislike baadhi ya clip na ndio maana lazima wakuletee huyo survey..uki like hawakuletei.🤔

    • @LoFi_120
      @LoFi_120 Před 10 měsíci

      @@sweetlisious uko na point 🙄hapo, ila sikuhizi dislike button hai oneshi. kusema kweli kuna clip niki recommendiwa huwa na click 'not interested' 🤭.

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 Před 10 měsíci

    Anaonekana alikuwa Mbogo

  • @allyahmadimbukuli8681
    @allyahmadimbukuli8681 Před 10 měsíci +3

    raiti kama huwo uharifu ungefanywa na muislamu na akaamuwa kacha na kuwa shekhe wa msikiti fulani,sizani kama ange pata nafasi hiyo ya kuwa huru na ww ukamuhoji.angeitwa gahid na kuisaidia polisi kwa tuhuma mbalimbali,kumbe uharari wa kuwamuharifu na kukimbilia uchungaji ndio kunakufanya usamehewe licha kuwa nimuhalifu!

    • @dianangethe7839
      @dianangethe7839 Před 10 měsíci

      😂😂😂😂

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Před 10 měsíci +2

      Mbona wapo waislam wengi tuu wametoa shuhuda zao na wakaokoka mbona hawajaitwa Magaidi? na wanaendelea na maisha kama kawaida

    • @edithaeugeni9695
      @edithaeugeni9695 Před 10 měsíci +1

      Tutajie mmoja alie wahii kuhojiwa hapa na mpaka sasa yupo kwa mikono ya polisi

    • @johnkiimbila6799
      @johnkiimbila6799 Před 10 měsíci +1

      Ni kwasababu hana tabia za ujihadi wa kiislamu.

    • @user-ps1ph9iv5b
      @user-ps1ph9iv5b Před 10 měsíci +1

      Udini na roho mbaya vinakutesa sana poleee

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Před 10 měsíci

    Huyu Magwana hana cha utumishi tapeli

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 8 měsíci

    Unamjua SULEIMAN KUMCHA ?

  • @mensiyamacha961
    @mensiyamacha961 Před 10 měsíci +1

    😂

  • @JosephHaule-yg1cf
    @JosephHaule-yg1cf Před 10 měsíci +1

    Mpuuzi huyu

  • @jessicaesthermakungu1693
    @jessicaesthermakungu1693 Před 10 měsíci +1

    Maradhi ya akili bado yapo

  • @ndenengokimaro4502
    @ndenengokimaro4502 Před 10 měsíci

    Mwongo wewe toka hapo

    • @elochoyakobo7809
      @elochoyakobo7809 Před 10 měsíci

      Wew utakuwa mtoto wa juzi, mbona huyu jamaa ni maarufu sana kanda ya ziwa, we google tu utapata habari zake

    • @clementmahiya409
      @clementmahiya409 Před 8 měsíci

      Una pepo lakurithi,

  • @johnkiimbila6799
    @johnkiimbila6799 Před 10 měsíci +1

    Usitudanganye Waha sio watanzania halisi.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 8 měsíci

    Muongo....miaka hiyo darasa la kwanza walikuwa wanasoma kuanzia miaka 10 kwenda juu , sasa hiyo 9 au 8 ulijianzishia shule yako ?
    Yaani kuna vitu vingi vinavyoashiria mzee anastory za kubumba , mfano hiyo ya kutukanwa na mwqnamke kijijini miaka hiyo 😅😅😅 sio kweli , wasichana wa enzi hizo hawakuwa na akili hizo za kutukana mtu matusi .....😮😮😮😮 . yaan bro nikuache tu nifanye shughuli zangu nikiendelea kukusikiliza nitakutafuta bure maana huwa ninahasira sana na watu waongo waongo .😊😊😊

  • @JosephHaule-yg1cf
    @JosephHaule-yg1cf Před 10 měsíci +1

    Mpuuzi huyu