ALIYESHUTUMIWA KUWA ASKARI WA SIRI WA CHADEMA (JASUSI) AWEKA KILAKITU WAZI/HAWA WANAMHALIBIA RAIS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 164

  • @agofranco4766
    @agofranco4766 Před měsícem +12

    Huyu jamaa yuko vizuri, anastahili kuwa kiongozi

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Před měsícem +1

    Ukiwa Mwanachadema automatically Kichwani unakuwa vizuri✌️✌️

  • @majaliwasanga1741
    @majaliwasanga1741 Před měsícem +12

    Pia uwezo wa Kijana huyo musandile ni sawa na uwezo wa wabunge mia wa ccm ,inabidi kama taifa limchukue ajenge nchi ashirikiane na mama na sio kumpiga vita , kwenye masuala ya nchi lazima tuondoe siasa,ndo maaana wenzetu kwenye masuala ya kitaifa wanachukua watu wasomi toka tasisi mbalimbali na sio kuchukua machawa wenye njaa ndo wawe waongeaji hawana Cha maana zaidi ya kupongeza ili kulinda tumbo

    • @DiwaniMwafongo
      @DiwaniMwafongo Před měsícem

      Ndile....keep it up you can ba anything you want, dogo!
      You are smart, na maccm hayataki vichwa "vilivyotairiwa" kama chako!

  • @petergabriel4941
    @petergabriel4941 Před měsícem +7

    Ndile Mungu awe nawe nimebarikiwa sana na hekima zako. Mimi niko na wewe tangu Mbozi mission secondary najua tulivyosaidia watu kutkuonewa tukiwa olevel usitishwe na upotoshwaji huyo jamaa kashindwa kwa jina la Yesu

    • @musandile8142
      @musandile8142 Před měsícem +1

      Asante sana Peter Gabriel

    • @gaagwasaugustino2584
      @gaagwasaugustino2584 Před měsícem

      ​@@musandile8142Mussa Ndile; maelezo yako ni mazuri na yanaeleweka vizuri,hebu endelea na msimamo wako wa kutetea haki Katika Taifa letu,waamshe na vijana wengine mtetee haki zenu pia mlikomboe Taifa letu kutoka mikono ya Hawa mafisadi, majizi, manyang'au majangiri, majambazi ya rasilimali zetu, usikubali kununuliwa na ccm ukawa chawa! Nchi inaangamia ndugu! Kutawala huu wa sasa wa ccm ni janga kwa Taifa letu! Wanauza kila kitu! Vijana amkeni tuikatae ccm uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, mitaa, vijiji, madiwani, Wabunge na Rais msiwachague hawa wauza rasilimali zetu ccm! Tusipoikataa ccm sasa hivi huko mbele ni majuto makubwa kwa Wananchi maskini! Asante. Mungu azidi kukulinda daima.

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Před měsícem +16

    Wewe jamaa upo sahihi kabisa hao ma ccm hovyo kabisa chuki ndio kazi zao

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Před měsícem +1

    Akili kubwa sana kaka

  • @skuleetech6896
    @skuleetech6896 Před měsícem +10

    Huyo jamaa ana uwezo sana

  • @TakasiSulle
    @TakasiSulle Před měsícem +9

    Watu aina hii wako vizuri maendeleo hayana vyama

  • @user-zq8vf4kj8b
    @user-zq8vf4kj8b Před měsícem +3

    Hongera Sana kijana

  • @JosephatMathias-t7c
    @JosephatMathias-t7c Před měsícem +6

    Hapana msipindishe ukweli hakuna anae mmharibia rais samia, ila yy mwenyewe Rais ndo tatizo. Yy ana Akili pia ana mamlakka, kama anwaacha akiwa anaona wanacho fanya wakat ana mamlaka ya kuwakemea,
    Inamanisha yy Rais ndo anawatuma
    That is the meaning.
    Hawezi kukwepa kuambiwa hilo
    wakati anawaona na anawaacha waendeleee nayo kama hajalidhika nayo

  • @yassinnabwera4273
    @yassinnabwera4273 Před měsícem +5

    Hii nchi Rais wetu inabidi awe makini na hawa anaowaita chawa wake,hawa vijana kutoka CCM ni watu wasiojitambua na ni hatari sana kwa usalama wa nchi yetu,wao wanadhani hii Tanzania ni Mali yao peke yao,wanafikiri Watanzania wengine hawana haki kwenye hii nchi,ebu fikirieni mtu wala sio Kiongozi,anaitisha mkutano na Waandishi wa Habari ili kumtengenezea mazingira mabaya mtu mwingine achukiwe na Rais na vyombo vya Dola vimwone kama adui mkuu wa hili Taifa,huu ni ujinga mtupu na ni upumbavu kutoka kwa hawa vijana wa CCM,lengo lao kuu ni kumshawishi Rais awateue ktk nafasi za uteuzi alizonazo Rais kwa kuwafanya baadhi ya Watanzania wengine wawe na maisha magumu na ikiwezekana wawe wamefungwa Gerezani na hata kuuwawa ili wao kama machawa wa CCM waishi maisha mazuri wayapendayo kwenye nchi hii ya mfumo wa Vyama vingi vya Siasa,ebu tumwangalie huyo kijana Mussa Ndile,kamaliza chuo Kikuu,hakuna Ajira,anajitafutia maisha yake,Kajiajiri,anatokea kijana mpumbavu wa Iringa anataka kumharibia tu shughuli zake ili akapate taabu huko mitaani,huu ni uchawa kama aliokuwa anaufanya Bwana Msiba kwa Watanzania wenzetu ambao sio maadui wa hili Taifa letu la Tanzania,machawa wa aina hii ni washenzi,hatari na ni wa kuupuzwa tu.

  • @majaliwasanga1741
    @majaliwasanga1741 Před měsícem +6

    Watu hawaelewi wamejawa na uchawa ,wanao mharibia mama ni wanaccm hawezi mtu toka mbali akaja akaiba ndani ya nyumba bila mwenyeji kuhusika walio soma Cuba wanajua

  • @SelemanMagambo
    @SelemanMagambo Před měsícem +5

    🔥🔥🔥jasus Kam kwel gonga likes hpa.,....

  • @tisamokebulemasubugu6222
    @tisamokebulemasubugu6222 Před měsícem +6

    Hizi hoja za kusingizia Siasa hazijaanzaleo na Viongozi wandamizi hutumia neno pale kina Siasa ili kuwadanganya viongozi wakuu wa Nchi

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 Před měsícem

    Uko vizuri kijana wetu. Mungu awasaidie vijana wetu mpate hekima ya kuishi vizuri katika nchi yetu.

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před měsícem +4

    Na jeshi la akiba maana yake ni nini acheni kuzushia watu uongo huna lolote tukutane kwenye serikari xa mtaa chadema inaenda kushinda kwa upepo wa kisulisuli ushindi wa kivumbi myajua hamjui

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před měsícem +4

    Haa wanampiga vita ili aondolewe kwa nafasi hiyo kwa sababu tuu eti ni wa cdm

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před měsícem +1

      Haitakaa itokee kwa huyu kamanda makini hapa kariakoo.

    • @lukomanomaliki5442
      @lukomanomaliki5442 Před měsícem

      CCM chama Cha ovyo sana wanasiasa za kizamani sana.Sijui kwanini wanapenda kudeal na Chadema wakati vyama vya upinzani ni vingi? Kyela Chadema wametoa msaada wa chakula kiongozi wa CCM aliyekipokea katiwa ndani kaambiwa anadhalilisha chama. CCM acheni kunyanyasa watu kama mnaona mnataki kubaki peke yenu,futeni mfumo wa vyama vingi mbaki peke yenu watanzania tujue moja, kwamba hamtaki upinzani.

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 Před měsícem +3

    Huyu mwanahabari sidhani kama ana nia nzuri ktk kumhoji huyu kijana. Amejibu maswali yote vizuri sana. Musa ni kiongozi mziri sana anayelipenda kazi yake.. Ni watu wabaya wanataka kumchafua tena hawana hoja

    • @simulizizakiswahili
      @simulizizakiswahili Před měsícem

      Jukumu la mwandishi wa habari ni kuhakikisha anauliza kitu ambacho anayeulizwa atatoa majibu ya kina na kumfanya mtazamaji au msikilizaji kupata uelewa kamili juu ya kilchoulizwa.
      Mwanahabari/mwandishi hana jukumu la kupaka mafuta kazi yake ni kumfanya muulizwaji kujipaka mafuta

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před 9 dny

    Wanaomharibia mama Samia ni hao watu wa Ccm wanapenda wapandishwe cheo.Kijana uko kwenye point san.hongera kijana.

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem +3

    Kijana amesoma hamna ajira
    Kahaso na kufungua biashara. Yake sasa mnamletea hujuma za uongo

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 Před měsícem +4

    Huyo aliyezusha ujinga huo ashitakiwe

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Před měsícem

    Mwandishi uko vizuri na mhojiwa ni mzuri sana

  • @ChazGoodluck-g3q
    @ChazGoodluck-g3q Před měsícem +3

    Ndugu zangu watanzania niwaombe kwa moyo wa dhati kabisa tuache kuwalebo watu vibaya.
    Naieleweke kwamba hapa simu 2000 hatuitaji siasa.
    Pia taarifa zinazozagaa mitandaoni kuwa hili jambo Nila siasa naomba nimuombe ndugu patrik ajitathimini kwani haya nimaisha ya watu.
    Pia ingelikuwa ni siasa basi hata wananchi wanaoishi na kupata huduma ndani ya soko hili wasinge tuunga mkono juu ya upazaji sauti.niiombe serekali itutatulie kero zetu pia wapo watu wachache wanao muaribia Rais.

    • @ireneshao7950
      @ireneshao7950 Před měsícem +1

      Poleni sana nasi tunaomba Mungu Ili watu wafanye kazi zao Kwa amani

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 Před měsícem

    Well said Mkuu. Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před měsícem

    Kaka uko vizuri tatizo la wanaccm wengi ni vizabinazabina,bendera fuata upepo,kazi Yao ni uongo kuchonganisha viongozi ,subiri mtaona wakati wa uchaguzi,2025 ccm itakavyogawanyika vibaya baada ya kura za maoni,Sasa hivi Kuna wabunge waliopita wakati wa jpm wengi Hawana amani ,nakuna kundi linasema ni kundi la mama ! Sasa kama halijawekwa sawa hili heeeeee

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp Před měsícem +2

    Kila kitu kipo juu sukari ipo juu mafuta yajuu bidha zote juu mnashindwa kushusha mnahangaika naujasuchadema chadema wa najeshi ujasusi unatoka wapp

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 Před měsícem +3

    Kwanza huyu ni msomi na mjasiliamali alieanzia chini sana, na anamalengo chanya ya kulisaidia Taifa. Achaneni na wapiga ramli, hawalisaidii Taifa.

  • @calystkavishe9670
    @calystkavishe9670 Před měsícem

    Intelligent boy

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 Před měsícem +2

    uyu wa iringa ..akamatwe atoe ushahdi aliyajuwaje hayo na kuthibitisha anayoongea..kwajli anawachafuwa watu..nafki na muongo na uyu ndie anayeandaa..tuache unafiki watanzania

  • @ephraimkalanje7105
    @ephraimkalanje7105 Před měsícem +2

    Sasa mpango huo wa siri ni upi? Maanamano si yanaruhusiwa? Chadema si wanafanya maandamano mengi tu? Shida iko wapi? Hofu iko wapi?

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 Před měsícem

    Very good Bwana Musa Ndile

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem

    HONGERA SANA MUSA NDELE UNAFAA KUWA MBUNGE AU UONGOZI WOOWOTE ❤

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Před měsícem +1

    Waliotia hasara nchi katika ripoti ya CAG mnashindwa kudeal nao.Mnadili na watu wa chini.Mnaogopa maandamano wakati hamtekelezi wajibu wenu kutatua kero za wananchi.Maandamano ya wananchi ni ishara kwamba viongozi mmeshindwa kutatua matatizo ya wananchi.

  • @BenardLucumay
    @BenardLucumay Před měsícem +2

    Wezi, mafisadi na Watekaji wanawaharibia raia wa Tanzania

  • @chande2k250
    @chande2k250 Před měsícem +2

    Wapuuzi cku zote hawaishi ukiona Mtu anaita press then anatoa Maneno ya uchawa ni sawa na chawa musiba tu

  • @eunho9529
    @eunho9529 Před měsícem +8

    CHADEMA siku zote ina watu wenye weledi na akili kubwa

  • @ZaitunAbdallah-ol1bb
    @ZaitunAbdallah-ol1bb Před měsícem +1

    Ondoka kwani maandamano ni kosa kikatiba ? Tena unalalamika nini chawa weee

  • @violavicent5162
    @violavicent5162 Před měsícem +2

    Tunatetea ugali wa watoto wetu sisi hatuna siasa kwenye hili soko...huyo musa mnamuonea tuuuu tunasema hatutaki karakana.serikali ielewe hilo

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem +1

    Mmmm uchawa ni shida

  • @faustinecelestine3882
    @faustinecelestine3882 Před měsícem

    Hii "Maslaahi mapana " inatumika Vibayaa sana

  • @fredrickkaaya6287
    @fredrickkaaya6287 Před měsícem +1

    Nawasikitikia sana kwani mnakumbuka shuka wakati kumekucha. Mfumo wowote ukishachoka anguko lake huwa halizuiliki. Jipangeni acheni kutapatapa angalieni kilichotokea kwa ANC. Hata Ile Soviet Union ilisambaratika siyo kwa kupenda Bali ule mfumo wa kikomunist uli - expire na ukasambaratika. Pia kuweni makini na machwawa wenu wanatia madoa kwenye kazi nzuri iliyofanywa na awamu ya sita.

  • @eliasmakoye3939
    @eliasmakoye3939 Před měsícem

    Kwa akiri ya utambuzi huyo kasomea kazi yake vizuri

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před měsícem +2

    Kama hakuna lolote ukionekana mwanaharakati uaitwa jasusi mwacheni kijana wa watu auze mabegi yake kinachowasumbuwa ni chuki wivu na umbea i

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Před měsícem +1

    Lengo lenu ni kumtowa huyo kijana hapo ili muweke kiongozi wa ccm.

    • @helencyprian8745
      @helencyprian8745 Před měsícem

      Aibubyao wanataka kupiga dili wanamuona kama yy ni kuzibe

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před měsícem

    Kijana yupo vizuri, maana soko la wote. Na huyi jamaa wa Iringa atakuwa na pepo

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před měsícem +1

    Hata kama ni Chadema, ila hana Hiyo ya ujajusi

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Před měsícem

    Hao wanafki tu wanapenda kualibia watu kumwambia jasusi

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před měsícem

    CCM fuatilieni 4R zenu msimamie kwa nguvu na kwa umakini zitawapa ushindi mzuri. Msibweteke na wasiyozizingatia 4R.

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n Před měsícem

    Iv kwa Nn Kwanza Nyinyi. Ccm Mnapenda Kufukuza WANANCHI Mnapenda Kuwatoa Kwenye Maeneo Yao Bila kuwandaria Eneo Jingine

  • @geofreymwanshuli4344
    @geofreymwanshuli4344 Před 11 dny

    Maandamano ameluusu mama huyokipusasa ankeleka nini laisi samia yukopowa shida nihawa machawa

  • @JovianRichard-i5n
    @JovianRichard-i5n Před měsícem

    Hilo swala liko wazi maana chadema wameacha kuongea hoja wanazungumzia maswala ya uzanzibari Kwa mama Samia na tuwaambie hayo maandamano tunajua ajenda zenu Hadi issue za kariakoo Sasa hatutakubali mbuzi wawili waharibu amani ya nchi hii lissu anatoa matusi Kila Leo lakini vyombo vya usalama vinaangalia

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Před měsícem +1

    Sasaaaa,!!

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 Před měsícem +3

    My schoolmate at ifm

  • @adimudachi7984
    @adimudachi7984 Před 24 dny

    Mwalim nyerere avunja uxhawishi waukabila lakini alisahau kuwekasawa itikadi zavyama vyasiasa maanakatikakila fulsa
    Ccm wanataka waongoze wao yaniwatu wasipaze sauti kutetea hakiyeyote Basi nikama umetukana nchi Niya wore cc niwatz nguvumoja

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před měsícem +2

    Agenda hii haina chadema haina ccm

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Před měsícem

    Tunatoa angalizo mapema.Watanzania tusije tukasikia huyu mwamba ametekwa,tutaona mna dhamira mbaya.

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Před měsícem +1

    Ccm awamuitaji huyu mtu

  • @faustinecelestine3882
    @faustinecelestine3882 Před měsícem

    Kwa CCM ndio Wana Hao majasusi 😅😅😅😅 yaaan bhaaana,

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Před měsícem +1

    Mbona maandamano yao ayajareta tatizo naisi wewe unalako jambo nawaliokutima watanganyika tunajielewa achen upuuz

  • @user-uo9tq8cc7q
    @user-uo9tq8cc7q Před měsícem

    Wewe muandishi ni mbabaishaji unajibiwa kitaalamu kavue samaki feli kazi ya muandishi haikufai

  • @user-im4jv9he2t
    @user-im4jv9he2t Před 12 dny

    Kwa hiyo wewe upo mbele nyuma Yako Kuna nani mpango ni WA Siri wewe umejuaje kwani polisi wanashindwa Nini kukukamata uwasaidie?

  • @nzubukamlekwa2831
    @nzubukamlekwa2831 Před měsícem

    Kazi ya kuchunguza mambo ya jinai vyombo vya usalama ndiyo vina wajibu,Kama raia ukiona Kuna hali ya hatari mahali Fulani huna budi kuripoti sehemu husika,na vyombo vya usalama tunaviamini Sana sababu wao wanautaalamu huo.Asa huyo jamaa yeye anakitengo gani kwenye vyombo vya usalama.Tusivishushe hadhi vyombo vyetu vya usalama kwa fitina za masilahi binafasi

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před měsícem

    HAPA WATU WAMESHAANZA KUJAMBISHWA HATA KWA SAUTI ZA PANYA.

  • @eliasmakoye3939
    @eliasmakoye3939 Před měsícem

    Huyo asidanganye mhoji mkiwa wawili atakueleza mengi hata hivyo hawezi kutoa Siri nzima kasomea huyo

  • @user-mo3ik6go6r
    @user-mo3ik6go6r Před měsícem

    Hukiwa chedema razima huwe vizur kichwanii tuwahache hayo mazuzu

  • @ChrisantMujambula
    @ChrisantMujambula Před měsícem

    Hao ma-ccm ni waoga pamoja nakuwa na silaha zote za kivita..Maana ni wakati wa WATANZANIA kuikomboa nchi yao mikononi mwao! Wakitambua hilo woga umewameza!

  • @jacksonbalama5990
    @jacksonbalama5990 Před měsícem

    Machawa niwengi kuliko watu maccm waovyo sana

  • @user-ty9yg8fg9g
    @user-ty9yg8fg9g Před měsícem

    Wa Tanzania chonde chonde tusianze kuitana majina ya kutisha kwa kufanya hivyo tunapandikiza dhambi kubwa sana
    Maneno kama gaidi jasusi ni maneno magumu sana
    Tukianza kuitana au kutuhumu kwa staili hii madhara yake ni mabaya na ile misemo ya Wa Tanzania ni wa moja itaondowa dhana hiyo hapo serikali na vyombo vya ulinzi viwe macho na matamko ya mtu mmoja mmoja kwani yanaweza kuleta taharuki katika nchi yetu pendwa Tanzania

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso Před měsícem

    Tatizo ccm wanaposhindwa kuwajibika na kutekeleza wajibu wao wanaungiza siasa tatueni matatizo ya wananchi acheni uoga shindaneni kwa hoja

  • @user-pp1cq9op5y
    @user-pp1cq9op5y Před měsícem +1

    Ccm majasusi wao wako wangapi natunawajua

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem +1

    Huyo jamaa anajitengezea kiki kama kuna kitu kinakuja si utuambie Acha uongo

  • @babukije268
    @babukije268 Před měsícem

    Kwani maandamano siosheria

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 Před měsícem

    Huyo chaliii Wa iringa,kubwaJINGA,Akamatwe kwa kusababisha taharuki,ili atoe maelezo zaidi juu ya hili

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před měsícem

    Anajibunhija kukikomwabunge 290.wa. CCM.

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 Před měsícem

    ila uyu musaa yupo vzuri sanaaa

  • @egfridmkoba4767
    @egfridmkoba4767 Před měsícem +1

    Waweza kukuta huyu ni askari wa siri wa chama tawala.

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 Před měsícem

    jamani uyu musa mkweli ..na anaongea ukweli mtupu kuliko huyo mchochezi wa iringa n muongo..wanasaikolojia naomba msaidie hapa..uyo mnene njaa na mnafki na hana elimu na muongo sanaa ..Police nqomba mumuhoji yule mtoa tarifa za uongo ili kupotosha umma

  • @LeonardNtabwa
    @LeonardNtabwa Před měsícem

    Kijana kaza kamba KAZI unaiweza tunakosa vijana kama ww

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před měsícem

    Niuongo niuongo hakuna kitu kama hicho? Watanzania NI waoga sana hawawezi kufanya hayo unayoongea wewe unasumbuliwana njaa fanya kazi kaka maneno hayata kusaidia

  • @JofreyMfugale
    @JofreyMfugale Před 18 dny

    Kwanini anahisi yy ndy mvunja amani hy jamaa anaye ongea achunguzwe

  • @evelinenzuguma2953
    @evelinenzuguma2953 Před měsícem

    Mhhhhhhh siasa bwana!!

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 Před měsícem

    Duh wewe kijana umetisha upo na uwezo mkubws mno.mno.watu wengine ndo hivyo kichwan nisufuria hipo

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 Před měsícem

    Mpango wa siri mipango gani, hayo masilahi mapana ya nchi upana wake nini wakati watoto wanalipishwa hadi mitihani ya moko. Hospitali dawa hakuna, wazee wanateseka hawatibiwi,wamama wanajifungua kwa gharama kubwa.upana huo wa maslahi ya nchi ni upi?

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před měsícem

    HUYU KWELI MPELELEZI

  • @josephancety1019
    @josephancety1019 Před měsícem

    Huyu muandishi anauwezo mkubwa sana

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před měsícem

    KAMA HUYU ANAEOJI C MKENYA ATA KISWAHILI MKENYA

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje8980 Před měsícem

    Vijana kama hawa wanatakiwa kuwa viongozi wa watu wasikilizwe badala yake wanasikilizwa machawa tena ukiwafuatilia hata shule hawana ila uchawa unawafanya kuteuliwa na kuwa ma-RC/DC😮

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 Před 18 dny

    Mpango UPI huo ?
    Wewe umepataje Taarifa hizo?
    Je kilicho tokea huko nini ?
    Weka wazi evidence zote mhimu.
    Wananchi tujue panapowezeka tahadhari ichukuliwe.

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Před měsícem

    Haha hivi nchihii hutakiwi kuwakimberebere

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před měsícem

    Uchawa tuu jamani huyu naye anatengeneza mtafaruku kwa maelezo yake na pia huyu mtu Nina wasiwasi anaweza akatengeneza kikundi cha vijana cha aina hiyo na kujifanya ni vijana wa cdm serikali iangalie watu kama huyu ni chanzo cha mtafaruku nchini

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Před měsícem +2

    maCCM wameshidwa kutatua matatizo ya wafanyabiashara wote nchi nzima wamebakia kutafuta excuse za kijinga na kipumbavu.

    • @gaagwasaugustino2584
      @gaagwasaugustino2584 Před měsícem

      Haya mafisadi, majangiri, manyang'au, majizi, majambazi ya rasilimali zetu urithi wetu na watoto wetu,yanyakiwa yanyimwe kura uchaguzi huu 2024/2025 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, mitaa, vijiji, madiwani, Wabunge na Rais, msiwachague hawa wauza rasilimali zetu ccm! Yafute kabisa yasipate hata mwenyekiti wa mtaa! Kijana amesoma/amesomeshwa na wazazi kwa shida na ghalama kubwa amenaliza chuo ajira hakuna amejiajiri lakini bado Hawa mafisadi yanatafuta maneno ya kizushi kwamba ni mambo ya kisiasa! Je wanawatoa hapo waendelee wapi? Wananchi amkeni tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi! Hii Serikali siyo ya kurudisha Madarakani! Ikirudi madarakani Wananchi maskini watajutia zaidi ya hapo! Asante.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před měsícem +1

    Msigwa ndio askari

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje8980 Před měsícem

    Wewe kama uliyoyasema kuwa mtu/watu hasa wanasiasa wanayo haki ya kuandamana na kutoa maoni yao sijui Shida iko wapi?halafu unatumia neno taharuki katika maeneo ambayo hayakuhusu unaogopa kupoteza hiyo nafasi uliyonayo ya viti maalum?maoni ya wapinzani wa chama chako yatapelekea kubadilisha sheria zilizopo ukose hata hako kadogo ulikopewa acha makasriko DC

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 Před měsícem

    Njaa ni mbaya sana, sasa huyu anaedai watu wanataka kupanga maandamano kwani ni maandamano ni halamu? katiba si inaruhusu. Hizi teuzi ni mbaya sana

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Před měsícem +2

    Unapotosha na unajifanya ujuaji una lolote kumbuka mwenzako mjinga kipindi Cha nyuma alijuuta mwana alakati uru kaongea mengi kuibua mengi ya ovyo uyo njita Sasa Yuko wapi muasisi wauchawa Tanzania ujinga akuna taaruki Wala jasusi ajui Nini maana ya ujasusi

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 Před měsícem

    Wasiojulikana ni MAJASUSI?? AU NI MAANA TOFAUTI?

  • @user-oj1cp8xo8k
    @user-oj1cp8xo8k Před měsícem

    kwani kua chadema zambi?.akili ndogo haiwezi tawala akili kubwa.

  • @PatrickPondamali
    @PatrickPondamali Před měsícem

    Musa Akili kubwa Mwandishi nae katumwa Analudia Maswali yaleyale kuuliza

  • @user-oc3jf3ts5i
    @user-oc3jf3ts5i Před měsícem

    Yaani jitu zima na mke na watoto linajipendekeza ili kupata Uteuzi! ni aibu!

  • @muhsinikoki4060
    @muhsinikoki4060 Před měsícem +1

    wefala kweli