URUSI YAILIPUA UKRAINE, ZELENSKY AKIRI NI SHAMBULIO KUBWA ZAIDI, WATU KADHAA WAFARIKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 17

  • @morohanmwashiuya
    @morohanmwashiuya Před 17 dny +1

    Safi sanaaaaa afe anasikiliza manyang'au

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před 18 dny +2

    Wewe kiongozi unapigana kutegemeya misaada 😢😢😢😢 inasikitisha roho za watu zinamalizika unataka misaada wewe unakula vizuri unaishikifahari haya subiri misaada upigane

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc Před 18 dny +1

    Mara Moja tu unalalamika, ukishambuliwa mfulilizo si utatoa mlio

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb Před 17 dny

    Zelenskey apunguze kutumia ulevi na bangi atawamaliza watu wake

  • @PotinSoya
    @PotinSoya Před 17 dny

    Wacha wakamuoe tamaaa ya msaada inamponza. Hahurumi hata watuwake zelenk pumbumbuzake.

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 Před 18 dny

    Safiiiiiiiii

  • @thomaschacha6115
    @thomaschacha6115 Před 18 dny

    Urusi ndie wa kuzuiwa ila Marekani na washirika wake wao wanaruhusia kufanya chochote Kwa Nchi zozote

  • @johnkisai4752
    @johnkisai4752 Před 17 dny

    Wewe ua roho za watu wako shida muigizaji anaigiza Hadi Vita umeileta nchini ukrein ilipaswa wanajeshi wa ukrein wakukamate ufungwe

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq Před 17 dny

    Ukifanya wewe ukiua ahaaaaa ni sawa mbwa we ukipigwa kidogo mapovu kibao tuambie silaha zako za kuzuia makombora zilikuwa wapi 😂

  • @clevermgedzi4708
    @clevermgedzi4708 Před 17 dny

    Kitu Moto wewe tulia kikaango kikukaange Kwa ujinga wako!! Nenda kaongee na mwamba Putin kilakitu kitakaa sawa

  • @thomaschacha6115
    @thomaschacha6115 Před 18 dny

    Huyu msanii atulie dawa imuingie

  • @NINFASHAGuyDesire
    @NINFASHAGuyDesire Před 18 dny

    Poutine mnafiki poutine mdawowote poutine atauwa

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 Před 18 dny

    Wewe ni mjinga raisi wa ucrene akili azifanyi kazi kwanini wewe usihulize kwanini unakataliwa kutumia ? unazani ao ambao wanakukataza niwajinga? wao ndo wanajua sababu ya wewe kutopiga iZo silaha upiga tu basi unaleta vi vya 3 wewe raisi pumbavu 😂😂😂😂😂 akilizina Fanya ujinga.

  • @user-mm9qr7em8k
    @user-mm9qr7em8k Před 18 dny

    Ww utauwawa nanyuklia tulia tuu.