URUSI YAILIPUA UKRAINE, ZELENSKY AKIRI NI SHAMBULIO KUBWA ZAIDI, WATU KADHAA WAFARIKI
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►CZcams: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Safi sanaaaaa afe anasikiliza manyang'au
Wewe kiongozi unapigana kutegemeya misaada 😢😢😢😢 inasikitisha roho za watu zinamalizika unataka misaada wewe unakula vizuri unaishikifahari haya subiri misaada upigane
Mara Moja tu unalalamika, ukishambuliwa mfulilizo si utatoa mlio
Zelenskey apunguze kutumia ulevi na bangi atawamaliza watu wake
Wacha wakamuoe tamaaa ya msaada inamponza. Hahurumi hata watuwake zelenk pumbumbuzake.
Safiiiiiiiii
Urusi ndie wa kuzuiwa ila Marekani na washirika wake wao wanaruhusia kufanya chochote Kwa Nchi zozote
Wewe ua roho za watu wako shida muigizaji anaigiza Hadi Vita umeileta nchini ukrein ilipaswa wanajeshi wa ukrein wakukamate ufungwe
Ukifanya wewe ukiua ahaaaaa ni sawa mbwa we ukipigwa kidogo mapovu kibao tuambie silaha zako za kuzuia makombora zilikuwa wapi 😂
Kitu Moto wewe tulia kikaango kikukaange Kwa ujinga wako!! Nenda kaongee na mwamba Putin kilakitu kitakaa sawa
Huyu msanii atulie dawa imuingie
Poutine mnafiki poutine mdawowote poutine atauwa
Una uhakika unacho na kisema???
Wewe ni mjinga raisi wa ucrene akili azifanyi kazi kwanini wewe usihulize kwanini unakataliwa kutumia ? unazani ao ambao wanakukataza niwajinga? wao ndo wanajua sababu ya wewe kutopiga iZo silaha upiga tu basi unaleta vi vya 3 wewe raisi pumbavu 😂😂😂😂😂 akilizina Fanya ujinga.
Ww utauwawa nanyuklia tulia tuu.
Baaaadoooo
Mjingaaaa weeee