LEMA AFUNGUKA AMPASUKIA MAKONDA ACHA UTAPELI KWA WAFANYABIASHARA KISINGIZIO YA MAFUTA YA POLISI
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
CZcams : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Mh. Lema unaumuhimu sana kuongoza mapambano ya kupigania haki, mimi niko tayari kuungana na wewe ktk harakati zote za kupambania haki, ni bora nife nikipigania nchi yangu kuliko kufa kwa unafiki, naipenda nchi yangu, mh. Lema salute kwako mkuu.
JPM without any doubt was a true son of Africa and a true legend. You cant tarnish his name so easily gentleman.
Dont keep on fighting with a dead person who can't defend himself.....it makes you look bad.
Watanzania hivi kweli tutafika, kama hatujui haki zetu wenyewe? Loo, kazi ipo!
Duh siasa jamani?
Serikali walipanga kukuua walishindwaje? Wakupeleke mbugani wasikuue kweli? Acha porojo hizo. Wala usingekuwa hai leo hii. Acha porojo zako
Leave JPM alone. He is resting peace. He has done his job wonderfully with great patriotism.
He is a legendary a true son of Africa.
Leave him alone. He can't defend himself. Don't talk too much if you don't have positive things to preach.
We love JPM forever.
He was a hero.
Put your personal problems aside....Leave him alone.
That way we can respect you.
You speak nonsense. Jpm hakuwa malaika aliefanya makosa mengi sana aliumiza watu
@@samwelkavwanga4491 kwani.nani hana makosa? Tunaangalia mazuri aliyofanya ni mengi sana kuliko aliypkesea....that's all.
Nani hukosei?
@@samwelkavwanga4491 aliumiza watu gani? Mafisadi na majambazi sugu? Kwani wote hao nao wameliza na kuumiza watu wangapi wasio na hatia?
Mafisadi walifilisi nchi ulitaks akae kimya tu.....we vipi?
Acha hizo. Kama ulikuwa mshirika wa hao basi pole sana.
Hata kusafisha shamba ili upande mazao mazuri lazima kuna magugu yataumia. Hakuna mabadiliko bila maumovu.
Acha mawazo ya kizamani wewe...think and rethink again.
Hatutaki ufisadi urudi.
Wewe ulifanya nini ata kwa wazungu paka wamefika apa walipambana .huna jipya
Usilete Habari Za Ulaya Wewe Ayo Utokea Wapi Wewe Unakimbiza Familia Yako Ya Wenzio Unaona Awana Faida Maneno Mengi Yamejaa Chuki Lakini Ujawai Wapa Watu Mitaji
Mungu akupe maisha marefu lema nakukubali sana
It is very good speech. Watanzania bado ni shida, tunaacha mambo yanayoathiri maisha yetu kwa kukimbilia mipira ya Yanga na Simba. Hivi mpira unatusaidiaje?
dogo unajuwa umuhimu wa michezo?
Hao wanasiasa wanakula kwa ujinga wenu
kwahio unataka watu wafanye kazi,warudi nyumbani kulea familia halafu wakae wasikilize wabaguzi wa kichaga? kila mtu anahitaji furaha
Huyo alikuwa mbunge kwa miaka mingapi? Alifanya nini? hicho chama hata ofisi hawana
Lema tunakuheshimu lakini acha kupambana na mzimu wa Magu. Magu hayupo duniani kujitetea.
Achana naye pambana na mengine ya maana kwa sasa hivi.
Otherwise tunaanza kuhoji familia yako.iko wapi na kwanini hawarudi nyumbani kama kweli unaipenda hii nchi kama unavyodai. Maneno yaendane na matendo.
Kama familia yako wamesharudi basi tunafurahi sana.
Mungu Wabariki Watu wa aina ya God bless Lema🙏🙏.
Lema hotuba zako uwa nazikubali nakupenda lema mungu akutangulie
Kweli ila aache tabia ya kupambana na marehemu JPM anajiharibia wafuasi. Watu ajue wanamkubali sana Magu. Asije alama za nyakati
Upuuzi
@@marieconnect6389kabisa
Pumba
Huna jipya Dogo.. Makonda chapa kazi
Nakuelewa sana kamanda.nikweli kwa vijana wakitanzania waleo wengi hawajitambui pamoja na forrmu for nibule kabisa alipo lala napopote alipo anawaza yanga na Simba nakubeti TU. Mali zauma hawajui kuwa ninawahusu kuzilinda kwanguvu zote nahajui kuwa anahaki nazo
Ifike muda serikali itafute chanzo kingine Cha mapato iyafute makampuni yote ya kubahatisha yanawaharibu watz asilimia 70 wanawaza kubet
Nikweli watanganyika tujitambueni kwakutunza asilimalizetu ili tujitumie wenyewe
Nakweli
Magufuli ALIKEMEA kamali ila saivi Hadi redion kamali
@@PhilipoMwita-b2x shida tupu. Ajira hakuna lakini kazi zipo japo kidogo. Elimu ya ujasiriamali ndiyo mgogoro
Hakuna chama cha upinzani chenye vigezo vyakupewa nchi. Wote wanapigania ugali wao tu kwakuwajaza wananchi chuki hata wakipewa nchi shida zitakuwa palepale ..... Hakuna miujiza kwenye siasa
UPEWE MAUWA YAKO🙏🏾💯💯
Wewe hujui Ana Manishanini
👏👏🙏
Hutoi ufumbuzi wa matatizo, unayafafanua tu, hiyo Kila mtu anaweza. Mtashindaje sehemu ambayo hata tawi hamna, mgombeaji kapatikana kwa kuombwa agombee. Imarisheni chama chenu kwanza.
Tombana
Matusi hayatatujenga.
@@yosephatMasanyiwa-oh1rlSACCOOS 😢😢😢😢
Lema unaongea fact lakini hatukuelewi? tukielimika hatutumii elimu tunachagua uchawaa .watu tubadillike tukosoe viongozi wazembe, walarushwa , madikteta ili tuwe na viongozi bora na watakaoleta maendelea kwa maslahi ya nchi
Tatizo watu wakipata ofisi wanabadilika. Inabidi kutulia sana kwenye kuangalia mtu usoni na kumsoma kabla ya kuchagua viongozi. Muhimu kusoma historia ya mtu ma kulinganisha
Muhuuuuuuuu! Namshukuru makonda kwa kuanika mwangani Mungu tusaidie mahitaji yetu
Hapo mkuu nakuunga mkono... Wananch wa Tanzania wanapenda Simba na yanga kuliko hata maisha yao..ifike mahala tujitambue, LemA mungu akulinde
Nakataa uchafuzi katika uchaguzi wa serikali za mitaa
huyo yupo kazini kwake,kwanin nawew usiwe busy na kazi yako, huyo bila siasa maisha yake hayaendi kwahyo ndugu usiingie mkenge kwa mtu alie kazini kwake ukasahau kazi yako
Kwa sababu hizi siasa zao hazina mvuto. Chuki nyingi hata kwa marehemu, sera hatuzisikii bali hadithi nyiiiiingi. Watu wanataka sera zenye masuluhisho ya changamoto zao na zenye mwelekeo na maono ya mbele siyo habari binafsi zisizo na mashiko. Kila siku ni hayo hayo watu wale wale
Mvuto hakuna. Yanachosha bora mpira
Achana na Makonda na JPM. Kukashifu kazi zao si dalili nzuri hata kidpgo. Hutaeleweka kwa watu. Huu ni ushauri kwa nia njema
Nakuelew sana kamanda.tuwe na upendo ndg zang.tufikilie na kizazi kijacho tusiifikilie leo yetu 2
Mheshimiwa analega heri ya vizazi vijavyo
Komaa kamanda...wajinga ndo waliwao...hongera zako msigwa ulikomaa mpaka ukazeeka😎😎
Kwa comments hizi za watu Hakika bado tuna safari ndefu ya kuelewa Hakuna anayetambua haki yake Sijui hata anaelewa ana comment kuhusu nn Lema endelea tu usivunjike moyo Ndo maana darasani kuna wa kwanza hadi wa mwisho hivo elewa wetu Nako ni hivo hivo
Ile.aache kumponda JPM na Makonda hata kama ana issue nao binafsi asichsnganye humu.. anatuchanganya hatujui anasimamia nini sasa kama hapendezwi na.kazi nzuri ya JPM na makonda? basi haeleweki
Hayaa majitu ya kaskazini jaribuni kuwapa uongozi mtaonja jotoya jiwe niko pale nimekaa kwa ukabilaa hawa over Kenya
Huna lolote wewe ukibahatika kuongoza hii nchi utaifanyia nn? Maana unakazana kuwa sema vibaya wanao kuongoza hutwambii kwamba wewe utaifanyia nn tanzania!! Huna la maana lolote
NITAIFANYA BONGO KAMA CANADA 🇨🇦 😢😢😢😢😢😢
Arusha ni ya wamasai sasa mkutano wako hauna wenyeji hata mmoja jiulize CHADEMA mmekosea wapi?
Tumekuelewa sana kama ungeachana na JPM na makonda, it won't do you any good believe me.. tuambie Wewe una sera gani mpya kwani? Kama siyo siasa tu
Huna hoja Wacha kulalamika wananchi wakilalamika na wewe ukilalamika nani atamsaidia mwenzake? Halafu Simba na yanga haifi ng'oo
Hakuna jipya anapoteza muda na energy yake.
kumbukeni wakati akiwa mbunge alifanya nini pili nchi ikichafuka wao watakimbia alafu sisi tuta teseka tusipo fikiria kw makini tutakuw km Sudan
Alikua anakosoa nandio kaz yake yeye hana chakufanya zaid yakuikosoa nakuishaur serekali
@@gracenchimbi4394 nisaw sijakata ila sisi raiya tuwe makini na wanasiasa wao hujali maslahi yako jamani tujifunze kwa wenzetu hasa Sudan nini kinafanyika huleta machafuko tutakaye pata shida ni sisi na familia zetu wao wataondoka ni ushauri wangu tuu si km na mpinga
@@user-cu6ol4zb8ekula chuma maisha magumu san broo tulia acha mvua inyeshe tuone panapo vujaa 😢
@@c.l.g.mchurch6426 ni saw ila maisha haki hiv hivi bila kujituma cha msingi tuwe makini na wana siasa
Yuko na return tickets 🎫 😢😢😢😢😢😢
Si uachane na biashara ya kupambana na marehemu ambayo hawezi kujitetea? Angalau wao waliamua kuifia nchi yao kishujaa.....wewe uliamua kukimbia na hadi leo familia yako bado inakimbia.
Mnakimbia nini? Huo sio uzalendo.
Familia zingine mbona tuko nazo hapa hapa? Huu ndio uzalendo halisi wa taifa letu.
Sisi nafamilia zetu tuwapiganie nyie mko majuu kwa raha zenu. Tutaungana na waliko hapa hapa
Hali mbaya ni ya Dunia nzima mabadiliko nchi wasikilize sana vyombo vya habari chanzo corona magu alisema limeni chakula Kwa wingi tusiteteleke mkagombana uvivu unachangia Kwa watu wote wajasimali ni vizuri sana
Tumekuelewa tumekubaliana na wewe Ile tunataka kuona familia yako hapa nyumbani kwao kama ya kina Makonda na JPM na wengineo ili tushiriki pamoja kwenye chaguzi na ukombozi wa nchi yetu. Au kuna shida?
Baba kamanda unafundisha vizuri cjiu kama wanakuelewa hao jamaa
Wanaenda kuangalia mpira kwa sababu wameshiba acha uhuni wewe
BAADA YA KAZI BURUDANI AU KUANGALIA SACCOOS 😢😢😢😢😢
Godbless Lema, mwamba wa Arusha toto la mjini. Tuko pamoja brother kaka.
Sabaya.....
Familia yako iko wapi? Au imerudi nyumbani? Kama uliyekuwa unamkimbia umesema hayupo duniani sasa unakimbia nini tena? Si ulete fanilia yako nyumbanj? Au ulikuwa mpango mikakati wa kikimbilia ulaya kwenye maisha bora na elimu nzuri ya bure? Si uwe mkweli tu? UsimchafueJPM wetu tunampenda na kumheshimu sana tena sana kwa kazi zake na uongozi bora. Hakukumbatia mabeberu wala vibaraka au machawa wa wazungu. He was a great hero to us. He is still a ttue son of Africa. He is a legend.
Hachafuki kirahisi hivyo.
Usitudanganye bana wakati familia yako umeikimbizia nasikia ni ulaya au Canada wanakula bata na kupata elimu nzuri sisi unatuambia tusiogope.
Ujanja wa kisiasa huo ila umecheza vizuri....hongera
Kwan yeye ndo aliyemuua Jpm?? Af bro yeye ndo aliyewaondoa wanangorongoro yeye ndio ameuza bandari ? Sikiza bro mwaka 1997 Nyerere aliaddress Congress mjin Accra Ghana kwa kutumia microphone 🎤 akasema "AFRICA WITHOUT POLITICAL REVOLUTION/CHANGE HAS NO FUTURE " Em nifollow nikupe fikra pevu 😂😂😂😂
@@Juma-e8l sina majibu Ila aache kukejeli kifo cha aliyekuwa mkuu wa nchi. Asijifanye yeye ni malaika kwa kuwa bado yuko hai.
Magu hakuwa mtakatifu lakini alitenda makuu ya kukumbukwa hasa kiuchumi, kijamii na kirasilimali. He was a hero. Akikazana kumkejeli anajipotezea kuungwa mkono...that's the truth.
mh washauli vijna wakafanye kazi mbona hauelezi chanzo cha umasikini wambie vijana wote wafanye kazi maana hakuna utajili uliopatikana kwa kukaa vijiweni tufanyekazi hauna chama kitakacho kuletea pesa mifukoni acha kupotosha wananchi ww rema😂😂
Wanafiki namba moja ni chadema. Walipoona wameaminiwa kwa raia wakaigeuza imani yao biashara.
Mliokimbizia familia zenu ulaya na marekani na Canada msitudanganye ati mna uzalendo na nchi yenu. Leteni familia zenu hapa tuungane tupambane kwa pamoja.....nchi hii si ni yetu sote? Waje hapa.
Vinginevyo hii ni michezo ya kisiasa tu.... ila wewe umeucheza vizuri sana kwa faida ya familia yako. Sasa wanakula bata na kupata elimu nzuri kwa bure. Hongera sana.
Acha wivu pambana na wewe peleka wa kwako ulaya ...
@@saimonmlay4295 Siyo kwa gharama ya kusema wongo au kutumia jukwaa la kisiasa kulaghai na kukejeli wengine. Huo ni udanganyifu siyo uzalendo. Tusidanganyane hapa. Kama wewe huoni basi pole sana. Kaa huko huko kizani
Wewe umeishiwa na maneno imebaki kudandia matukio fulani kasema unapita mulemule, ni Nchi gani ambayo haina watu wa hali ya chini
Wwndohujitambuinawasiwasinaakiliyako
😢😢😢😢😢😢YEYE NI MCANADA
Wewe huelewi
Lema familia yake ipo canada ikiwa ni wakimbizi huku anawatukana wana wa Arusha kuwa ninyi ni maskini
KAKA. LEMA KIJIJI CHAKWA MSANGA WILAYA YAHANDEN HAINA GAVIYONGOZ. YACHADEMA
Kusaga barikiwa sana. Huwa napenda sana hotuba za Lema
Asante kwa kauli nzuri. Sasa familia yako.iko wapi? Ya Makonda iko hapa nyumbani, ya JPM iko hapa hapa nyumbani huo ndio uzalendo wa kweli. Kupigania nchi hatukimbii vita bali tunakomaa tunapambana. Sasa wewe familia yako iko wapi bwana Lema? Usituingize chaka bwana. Ungepaswa kuwa mfano bora wa uzalendo wa kweli.
Hapo ntakuelewa kabisa.
Endelea kula kwenu tu wakikufukuza ndio utajua lema
Remaining unao gear sana Lakini vitendo zeero
Maneno Mengi Cha Mana Akuna Acha Kutembea Nyuma Ya Makonda Utachemka Kama Kweli Wewe Ni Mpinzani Simama Na Unachokiamini Nasio Unachokiona Kwa Wenzio Uje Na Oja Zako
Huna akili, Makonda ni anapendwa na wajinga tu
@@erickmsigala138 We Hata Siasa Ujui Sasa Wajinga Kwako Ni Wenye Kupewa Haki Zao Mtu Amezulumiwa Kiwanja Kaenda Mahakamani Na Haki Kapata Lakini Mkodrfu Yuko Na Hela Anatumia Pesa Kuhakikisha Mwenye Haki Asitiziwe Haki Yake Lakini Mahakama Ishatoa Haki Lakini Mtu Apati Uhalali Wake Wa Kitu Chake Ndio Makonda Anadili Na Ayo Mambo Mtu Kama Uyo Ni Azina Ya Taifa Ukoo Wako Wote Masikini Nduguyo Anazulumiwa Mnabaki Kusema Tumuachie Mungu Kwanini Familia Yenu Yote Choka Mbaya Sasa Anaibuka Mtu Aliyeteuliwa Na Raisi Anaweza Hata Kukaa2 Mana Yeye Sio. Mbunge Wala Raisi Aliyechaguliwa Na Wananchi Wananchi Wamechagua Mbunge Na Raisi Na Diwani Ameteuliwa Na Raisi Kuna Kuchaguliwa Na Wengi Na Kuteuliwa Na Mmoja Anapofika Mkoa Wenu Anadili Na Kesi Ambazo Zimetolewa Ukumu Lakini Wenye Haki Wanazungushwa Kila Siku Usiku Na Mchana Mtu Kama Uyo Mpe Eshima Yake Ungekua Wewe Kazi Moja Kuzulula Na Kula Bata Basi
Exactly facts
Badala ya kunadi sera za chama chake anakaa kusema watu. Awaeleze wananchi atawafanyia nn iwapo chadema watafanikiwa kuingia madarakani badala ya kukashifu kazi zinazofanywa na viongozi walioko madarakani.
Yaani huyu jamaa simuelewagi kabisa
Hongera mheshimiwa Lema , wape elimu watawala wenu!!❤
LEMA CHA ARUSHA KWELI KINAKUZINGUA
WEWE ULIKUWA MBUNGE WA ARUSHA UMEWAKWAMUAJE HAO VIJANA
TAJA MRADI ULIOWAPA VIJANA ILI WAJIKWAMUE NA UMASKINI
Mchumia tumbo wewe lema hata ukekuwa nini ungelifanya hakuna Inchi haina umaskini na kwenye Taifa lolote wanaInchi wake haitatokea wote wakawa na maisha yanayolingana .wewe sio mungu
Wewe unachumia wapi Kama siyo tumbo tuambie tujue, hivi yote aliyoyaeleza ubongo wako haujaelewa hata moja kweli au unanufaika na mfumo? Yakikuta utamkumbuka lema
Mnufaika wa mfumo hawezi kumwelesa Lema.
Yeye akipewa kuongoza Inchi atakidhi mahitaji ya wanaInchi kwa %100?huo ni unafiki wa wazi Inchi yetu bado imeanza kupanda kiuchumi
Jike dume
HATA MAREKANI WATU WANALALA NJE 😢😢LEMA DANGANYA WALEVI
lema ww hupendi maendeleo acha uongo sb barabara ya kona ya mbauda murombo ww si ndio ulijaza wanachi ujinga baada ya hapo marehemu akapeleka bajeti sanya ww ni muongo sio makonda
We chawa watu wana akili kuliko hii msg yako
Ananiudhi anapowaponda viongozi kama JPM waliofanya kazi zinazoonekana kwa macho, yeye anaziponda.
Nabii Lema hajawahi kuniangusha. ❤
Well said
Ushindi kuwezeshwa na mwenyezi Mungu ushindi unakuja.
Amejuaje kama pisi zinauza K kwa aftatu ama nayeye ananunuaga mara mojamoja et
Usipomuelewa lema piga magoti chumbani jiombee lazima una pepo la kiburi cha kuelewa
Ana nini uyo Hadi tumwelewe
@@user-lv4cx1sc5d hilo ni pepo la uelewa na kiburi huwezi muelewa fanya maombi chapu!
unaongea upumbafu
Strong statement from Kamanda Lema blessed Much
Lema una madini ya kutosha kamanda nakupa mauwa yako
Huna jipya Lema kaa huko yani unajikanyaga
Pole maana hujui maskio hayasikii. Kichwa hakifanyi kanzi
Kabisa simba na yanga tenda wanajadili kuwanzia asbh hadi jioni
Huyu tatizo hajui kazi nyingine ya kufanya kelele tu kawa mbunge hakufanya lolote,siasa za Tanzania shida tu
Tunahitaji Ushindi wa Ngazi zote
Mh Lema Leo umeongea point sana broo Vijana wamekua wehu wanajali mpira kuliko maisha yao ni Aibu wenzao wa Kenya wanatia Nguvu upinzani wasonge mbele sio wa TZ ,
Utafanya nini wewe ukirudii tena madarakani na ulishakuepo ikawa maneno ya kukosoa tu bila ufumbuzi? Sasa hivi tunataka ahadi mbadala sio kuambiwa sisi tumefanywa maskini. Hali zetu tunazijua njoo na Plan B!!!
Logic Hana huyo mtu,analalamika tu kwann asilete hoja ili tuzisikie,Kiukweri haeleweki.
Brother upo makini sana unaongea haki
Ongea hata kama hawapendi maisha ni magumu sana kwani Kila kitu hakiendi sawa biashara,mkulima hatuna maisha
Jitambue,jitathimini,jielewe,jiheshimu,elimika"fikiria kesho yako na kesho kutwa ya watoto wako na wajukuu,uchawa hautakufikisha popote pale.Acha kupinga ukweli unao onekana dhahiri.pigania mama Tanzania,acha kuwa chawa wa mtawala
@@georgedaniel4962Hebu wewe lete hiyo logic uliyonayo tuikague ili tuuone ubaya wa Lema. UKWELI CHADEMA WAKO JUU SANA SHIDA INALETWA NA WALE WANAOJIONA WAKO JUU ZAIDI YA MUNGU.
That is not true!! Wewe utakuja ufanye miujiza gani!! Mungu utunusuru!!
Wachache sana tunaoluelewa,
Machawq wengi wamelogwa
Msaka tonge achoki
Lema sasa acha siasa wenye akili hawakuel
Kuna ikweli ndani yako Mr Lema
Waambie Lena tumechoka mabadiliko muhimu
Lema hana jipya
Fact....
Anaefanya kiongoz kuwa makni NIMWANANHCHI mwenye uelewa
Mungu mlinde mtumishi wako Lema ukamwinulie na wengine WA kuandana naye na kumpa hekima Yako kwa ajili ya Taifa
Mahubiri wa siasa mr lema Well said
Huyu mwamba hua anahotuba flani ambazo wasiomwelewa wanamcharuka sana
Alishawahi kuzungumzia bodaboda
Aisee wakamrarua ila sasa kunapande mbili kunaambao wamejenga kupitia bodaboda ila yeye alibezi upande ambavyo bodaboda wanapata ajali kazi yao inadhauliwa
😅😅 yaan lema siasa uwez broh tulia2 mwachen tundu lisu apge kaz
Hawezi kivipi mbona watu wwngi tunamwelewa vizuri tu
ACHA ujinga unaongea pumba tupu huna lolote
Tunataka sera zenu za maana tuzijue mapema tuzielewe. Hata kama ni kwenye mitandao tunasililiza tutaelewa them tutakuja kwenye mikutano kuunga sera mkono. Sera sera sera please. Siyo kupondana na kukeleliana bila sera maalum za kuvutia na kujenga
Acha unafiki
Siasa zako zimeifikisha hapo Arusha
Dah,,,marehemu hasemwi lkn Maguful alishajiona Mungu mtu yule jamaa,,dah inshu ya lissu alipambana aondoke mwisho wa cku kaondoka yeye,Mungu acha aitwe Mungu🙏🙏🤲😊😊😅😊
Tupo pamoja lema
Ila hspo kwenye boda na bajaj na toyo umesema ukweli. Hii siyo kazi ya kushobokea kwa wasomi.
Wasomi wakatumie elimu
Mwizi huyo mpaka arudi na Vx kwa kuuza kahawa
Umeongea mengi mazuri sana ya kuelimisha na kutia moyo
Lakini Kama wewe familia yako umeipeleka majuu kwa sababu za kisiasa na umesema aliyekuwa anakuwinda hayupo duniani sasa unaogopa nini tena kuwarudishia nyumbani tuje tupige kura pamoja? Familia yako iko salama Ile sisi tuingie chaka? Hapana. Waje tuingie wote. Huko ndiko kupenda nchi yako.
CHADEMA for everyone Nakukubali KAMANDA
Lakini mwache JPM upumzike kwa amani sababu hawezi kujitetea kwa sasa.
Utamheshimu sana Lema kwa hilo
Yani wewe Mzee upo vizuri unjuwa kujipanga
wakati huu wa naisha magumu kwa wananchi upinzani ndio ilikuwa nafasi yao nzuri ya kijupambanua kwenye sera kwamba watafanya nini lakini wao kazi yao ni kutukana na kuwa dharau watu ambao ndio wanaowaomba kuwapigia kura
Upo kwenye mkutano na masarange umepotea kisiasa
WEWE HUFAI KULIANZISHA HARAKATI WEWE NI KUNGURU HUCHEREWI KUWAACHA KWENYE MATATIZO NA KUTIMKIA ULAYA.
makonda nakukubali baba
Kamanda ukweli nikwamba ww nishujaa wa haki
Hakiyamungu nimekuelewa lema ww unafaaa nitafanya juu chini nipigestori na ww siku moja mmmmmmh.
Lema is making a grave mistake. Mtu huwezi kumchagulia mtu maisha. Kwamba sasa watu waachane na yanayowapa furaha. Washauri washiriki pia harakati lakini asidhihaki watu kwa kushabikia timu zao!
Ana maanisha mshikamano unaofanyika kwenye vilabu ungefanyika kwenye siasa watu wangepata haki zao.
kumwelewa. lema mpaka darasa
Tumeshachokanao pelekeni wapinzanipale
Lema .❤.unaongea ukweri sana brother
Yes, kwa kiasi kidogo sana lakini mengi ya maana hajayasema. Tunakata walete mezani SERA sahihi walizo nazo ili tuwalinganishe kwa sera zenye ubora na siyo habari ya siasa tupu na umbea habari binafsi. Tumeshatoka huko tunataka sera zenye mwelekeo wa kujikomboa kiuchumi.