LEMA AFUNGUKA AMPASUKIA MAKONDA ACHA UTAPELI KWA WAFANYABIASHARA KISINGIZIO YA MAFUTA YA POLISI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    CZcams : www.youtube.co...
    Tiktok. www.tiktok.com...

Komentáře • 315

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Před 14 dny +10

    Mh. Lema unaumuhimu sana kuongoza mapambano ya kupigania haki, mimi niko tayari kuungana na wewe ktk harakati zote za kupambania haki, ni bora nife nikipigania nchi yangu kuliko kufa kwa unafiki, naipenda nchi yangu, mh. Lema salute kwako mkuu.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 18 dny +5

    JPM without any doubt was a true son of Africa and a true legend. You cant tarnish his name so easily gentleman.
    Dont keep on fighting with a dead person who can't defend himself.....it makes you look bad.

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya Před 19 dny +16

    Watanzania hivi kweli tutafika, kama hatujui haki zetu wenyewe? Loo, kazi ipo!

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 18 dny +6

    Duh siasa jamani?
    Serikali walipanga kukuua walishindwaje? Wakupeleke mbugani wasikuue kweli? Acha porojo hizo. Wala usingekuwa hai leo hii. Acha porojo zako

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 18 dny +7

    Leave JPM alone. He is resting peace. He has done his job wonderfully with great patriotism.
    He is a legendary a true son of Africa.
    Leave him alone. He can't defend himself. Don't talk too much if you don't have positive things to preach.
    We love JPM forever.
    He was a hero.
    Put your personal problems aside....Leave him alone.
    That way we can respect you.

    • @samwelkavwanga4491
      @samwelkavwanga4491 Před 18 dny

      You speak nonsense. Jpm hakuwa malaika aliefanya makosa mengi sana aliumiza watu

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 17 dny +2

      @@samwelkavwanga4491 kwani.nani hana makosa? Tunaangalia mazuri aliyofanya ni mengi sana kuliko aliypkesea....that's all.
      Nani hukosei?

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 17 dny +1

      @@samwelkavwanga4491 aliumiza watu gani? Mafisadi na majambazi sugu? Kwani wote hao nao wameliza na kuumiza watu wangapi wasio na hatia?
      Mafisadi walifilisi nchi ulitaks akae kimya tu.....we vipi?
      Acha hizo. Kama ulikuwa mshirika wa hao basi pole sana.
      Hata kusafisha shamba ili upande mazao mazuri lazima kuna magugu yataumia. Hakuna mabadiliko bila maumovu.
      Acha mawazo ya kizamani wewe...think and rethink again.
      Hatutaki ufisadi urudi.

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Před 17 dny +4

    Wewe ulifanya nini ata kwa wazungu paka wamefika apa walipambana .huna jipya

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 19 dny +7

    Usilete Habari Za Ulaya Wewe Ayo Utokea Wapi Wewe Unakimbiza Familia Yako Ya Wenzio Unaona Awana Faida Maneno Mengi Yamejaa Chuki Lakini Ujawai Wapa Watu Mitaji

  • @fidesndunguru8605
    @fidesndunguru8605 Před 19 dny +6

    Mungu akupe maisha marefu lema nakukubali sana

  • @Venas-uh3wz
    @Venas-uh3wz Před 19 dny +10

    It is very good speech. Watanzania bado ni shida, tunaacha mambo yanayoathiri maisha yetu kwa kukimbilia mipira ya Yanga na Simba. Hivi mpira unatusaidiaje?

    • @zver7342
      @zver7342 Před 10 dny

      dogo unajuwa umuhimu wa michezo?
      Hao wanasiasa wanakula kwa ujinga wenu

    • @zver7342
      @zver7342 Před 10 dny

      kwahio unataka watu wafanye kazi,warudi nyumbani kulea familia halafu wakae wasikilize wabaguzi wa kichaga? kila mtu anahitaji furaha

    • @zver7342
      @zver7342 Před 10 dny

      Huyo alikuwa mbunge kwa miaka mingapi? Alifanya nini? hicho chama hata ofisi hawana

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 18 dny +3

    Lema tunakuheshimu lakini acha kupambana na mzimu wa Magu. Magu hayupo duniani kujitetea.
    Achana naye pambana na mengine ya maana kwa sasa hivi.
    Otherwise tunaanza kuhoji familia yako.iko wapi na kwanini hawarudi nyumbani kama kweli unaipenda hii nchi kama unavyodai. Maneno yaendane na matendo.
    Kama familia yako wamesharudi basi tunafurahi sana.

  • @mordekaingamagila5766
    @mordekaingamagila5766 Před 19 dny +4

    Mungu Wabariki Watu wa aina ya God bless Lema🙏🙏.

  • @edwindezidery632
    @edwindezidery632 Před 19 dny +22

    Lema hotuba zako uwa nazikubali nakupenda lema mungu akutangulie

  • @eddytheophil7626
    @eddytheophil7626 Před 12 dny +2

    Huna jipya Dogo.. Makonda chapa kazi

  • @JofreySanga-lu8pn
    @JofreySanga-lu8pn Před 19 dny +37

    Nakuelewa sana kamanda.nikweli kwa vijana wakitanzania waleo wengi hawajitambui pamoja na forrmu for nibule kabisa alipo lala napopote alipo anawaza yanga na Simba nakubeti TU. Mali zauma hawajui kuwa ninawahusu kuzilinda kwanguvu zote nahajui kuwa anahaki nazo

    • @isayakihongile4921
      @isayakihongile4921 Před 19 dny +1

      Ifike muda serikali itafute chanzo kingine Cha mapato iyafute makampuni yote ya kubahatisha yanawaharibu watz asilimia 70 wanawaza kubet

    • @LuciaAgustino-pt5mg
      @LuciaAgustino-pt5mg Před 19 dny +1

      Nikweli watanganyika tujitambueni kwakutunza asilimalizetu ili tujitumie wenyewe

    • @LuciaAgustino-pt5mg
      @LuciaAgustino-pt5mg Před 19 dny

      Nakweli

    • @PhilipoMwita-b2x
      @PhilipoMwita-b2x Před 18 dny +1

      Magufuli ALIKEMEA kamali ila saivi Hadi redion kamali

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 17 dny

      @@PhilipoMwita-b2x shida tupu. Ajira hakuna lakini kazi zipo japo kidogo. Elimu ya ujasiriamali ndiyo mgogoro

  • @Axt45
    @Axt45 Před 19 dny +5

    Hakuna chama cha upinzani chenye vigezo vyakupewa nchi. Wote wanapigania ugali wao tu kwakuwajaza wananchi chuki hata wakipewa nchi shida zitakuwa palepale ..... Hakuna miujiza kwenye siasa

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Před 19 dny +7

    Hutoi ufumbuzi wa matatizo, unayafafanua tu, hiyo Kila mtu anaweza. Mtashindaje sehemu ambayo hata tawi hamna, mgombeaji kapatikana kwa kuombwa agombee. Imarisheni chama chenu kwanza.

  • @FilbertFissoo-pe2xm
    @FilbertFissoo-pe2xm Před 19 dny +9

    Lema unaongea fact lakini hatukuelewi? tukielimika hatutumii elimu tunachagua uchawaa .watu tubadillike tukosoe viongozi wazembe, walarushwa , madikteta ili tuwe na viongozi bora na watakaoleta maendelea kwa maslahi ya nchi

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 19 dny +1

      Tatizo watu wakipata ofisi wanabadilika. Inabidi kutulia sana kwenye kuangalia mtu usoni na kumsoma kabla ya kuchagua viongozi. Muhimu kusoma historia ya mtu ma kulinganisha

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn Před 19 dny +3

    Muhuuuuuuuu! Namshukuru makonda kwa kuanika mwangani Mungu tusaidie mahitaji yetu

  • @HajjMusa-i9v
    @HajjMusa-i9v Před 19 dny +13

    Hapo mkuu nakuunga mkono... Wananch wa Tanzania wanapenda Simba na yanga kuliko hata maisha yao..ifike mahala tujitambue, LemA mungu akulinde

    • @renatuschawangula9928
      @renatuschawangula9928 Před 19 dny +1

      Nakataa uchafuzi katika uchaguzi wa serikali za mitaa

    • @anoldfute117
      @anoldfute117 Před 16 dny +1

      huyo yupo kazini kwake,kwanin nawew usiwe busy na kazi yako, huyo bila siasa maisha yake hayaendi kwahyo ndugu usiingie mkenge kwa mtu alie kazini kwake ukasahau kazi yako

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 15 dny +1

      Kwa sababu hizi siasa zao hazina mvuto. Chuki nyingi hata kwa marehemu, sera hatuzisikii bali hadithi nyiiiiingi. Watu wanataka sera zenye masuluhisho ya changamoto zao na zenye mwelekeo na maono ya mbele siyo habari binafsi zisizo na mashiko. Kila siku ni hayo hayo watu wale wale
      Mvuto hakuna. Yanachosha bora mpira

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 19 dny +3

    Achana na Makonda na JPM. Kukashifu kazi zao si dalili nzuri hata kidpgo. Hutaeleweka kwa watu. Huu ni ushauri kwa nia njema

  • @AugustinoMlwilo
    @AugustinoMlwilo Před 19 dny +8

    Nakuelew sana kamanda.tuwe na upendo ndg zang.tufikilie na kizazi kijacho tusiifikilie leo yetu 2

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Před 19 dny

      Mheshimiwa analega heri ya vizazi vijavyo

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 19 dny +1

      Komaa kamanda...wajinga ndo waliwao...hongera zako msigwa ulikomaa mpaka ukazeeka😎😎

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 Před 19 dny +9

    Kwa comments hizi za watu Hakika bado tuna safari ndefu ya kuelewa Hakuna anayetambua haki yake Sijui hata anaelewa ana comment kuhusu nn Lema endelea tu usivunjike moyo Ndo maana darasani kuna wa kwanza hadi wa mwisho hivo elewa wetu Nako ni hivo hivo

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 19 dny +1

      Ile.aache kumponda JPM na Makonda hata kama ana issue nao binafsi asichsnganye humu.. anatuchanganya hatujui anasimamia nini sasa kama hapendezwi na.kazi nzuri ya JPM na makonda? basi haeleweki

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Před 15 dny +1

    Hayaa majitu ya kaskazini jaribuni kuwapa uongozi mtaonja jotoya jiwe niko pale nimekaa kwa ukabilaa hawa over Kenya

  • @AbisaiMwambene-fo9pt
    @AbisaiMwambene-fo9pt Před 18 dny +3

    Huna lolote wewe ukibahatika kuongoza hii nchi utaifanyia nn? Maana unakazana kuwa sema vibaya wanao kuongoza hutwambii kwamba wewe utaifanyia nn tanzania!! Huna la maana lolote

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 18 dny

      NITAIFANYA BONGO KAMA CANADA 🇨🇦 😢😢😢😢😢😢

  • @axleymbuya761
    @axleymbuya761 Před 18 dny +1

    Arusha ni ya wamasai sasa mkutano wako hauna wenyeji hata mmoja jiulize CHADEMA mmekosea wapi?

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 18 dny +1

    Tumekuelewa sana kama ungeachana na JPM na makonda, it won't do you any good believe me.. tuambie Wewe una sera gani mpya kwani? Kama siyo siasa tu

  • @CDERAJABUSWEDY
    @CDERAJABUSWEDY Před 18 dny +3

    Huna hoja Wacha kulalamika wananchi wakilalamika na wewe ukilalamika nani atamsaidia mwenzake? Halafu Simba na yanga haifi ng'oo

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 Před 18 dny +1

    Hakuna jipya anapoteza muda na energy yake.

  • @user-cu6ol4zb8e
    @user-cu6ol4zb8e Před 19 dny +9

    kumbukeni wakati akiwa mbunge alifanya nini pili nchi ikichafuka wao watakimbia alafu sisi tuta teseka tusipo fikiria kw makini tutakuw km Sudan

    • @gracenchimbi4394
      @gracenchimbi4394 Před 19 dny +2

      Alikua anakosoa nandio kaz yake yeye hana chakufanya zaid yakuikosoa nakuishaur serekali

    • @user-cu6ol4zb8e
      @user-cu6ol4zb8e Před 19 dny +1

      @@gracenchimbi4394 nisaw sijakata ila sisi raiya tuwe makini na wanasiasa wao hujali maslahi yako jamani tujifunze kwa wenzetu hasa Sudan nini kinafanyika huleta machafuko tutakaye pata shida ni sisi na familia zetu wao wataondoka ni ushauri wangu tuu si km na mpinga

    • @c.l.g.mchurch6426
      @c.l.g.mchurch6426 Před 19 dny +1

      @@user-cu6ol4zb8ekula chuma maisha magumu san broo tulia acha mvua inyeshe tuone panapo vujaa 😢

    • @user-cu6ol4zb8e
      @user-cu6ol4zb8e Před 19 dny +2

      @@c.l.g.mchurch6426 ni saw ila maisha haki hiv hivi bila kujituma cha msingi tuwe makini na wana siasa

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 18 dny +1

      Yuko na return tickets 🎫 😢😢😢😢😢😢

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 18 dny +2

    Si uachane na biashara ya kupambana na marehemu ambayo hawezi kujitetea? Angalau wao waliamua kuifia nchi yao kishujaa.....wewe uliamua kukimbia na hadi leo familia yako bado inakimbia.
    Mnakimbia nini? Huo sio uzalendo.
    Familia zingine mbona tuko nazo hapa hapa? Huu ndio uzalendo halisi wa taifa letu.
    Sisi nafamilia zetu tuwapiganie nyie mko majuu kwa raha zenu. Tutaungana na waliko hapa hapa

  • @GamanielKatani-nw8ll
    @GamanielKatani-nw8ll Před 18 dny +1

    Hali mbaya ni ya Dunia nzima mabadiliko nchi wasikilize sana vyombo vya habari chanzo corona magu alisema limeni chakula Kwa wingi tusiteteleke mkagombana uvivu unachangia Kwa watu wote wajasimali ni vizuri sana

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 18 dny +3

    Tumekuelewa tumekubaliana na wewe Ile tunataka kuona familia yako hapa nyumbani kwao kama ya kina Makonda na JPM na wengineo ili tushiriki pamoja kwenye chaguzi na ukombozi wa nchi yetu. Au kuna shida?

  • @gaspermatee3970
    @gaspermatee3970 Před 19 dny +4

    Baba kamanda unafundisha vizuri cjiu kama wanakuelewa hao jamaa

  • @YusuphSanga-j5h
    @YusuphSanga-j5h Před 18 dny +2

    Wanaenda kuangalia mpira kwa sababu wameshiba acha uhuni wewe

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 18 dny

      BAADA YA KAZI BURUDANI AU KUANGALIA SACCOOS 😢😢😢😢😢

  • @IsayaKamomonga
    @IsayaKamomonga Před 19 dny +2

    Godbless Lema, mwamba wa Arusha toto la mjini. Tuko pamoja brother kaka.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 18 dny +2

    Familia yako iko wapi? Au imerudi nyumbani? Kama uliyekuwa unamkimbia umesema hayupo duniani sasa unakimbia nini tena? Si ulete fanilia yako nyumbanj? Au ulikuwa mpango mikakati wa kikimbilia ulaya kwenye maisha bora na elimu nzuri ya bure? Si uwe mkweli tu? UsimchafueJPM wetu tunampenda na kumheshimu sana tena sana kwa kazi zake na uongozi bora. Hakukumbatia mabeberu wala vibaraka au machawa wa wazungu. He was a great hero to us. He is still a ttue son of Africa. He is a legend.
    Hachafuki kirahisi hivyo.
    Usitudanganye bana wakati familia yako umeikimbizia nasikia ni ulaya au Canada wanakula bata na kupata elimu nzuri sisi unatuambia tusiogope.
    Ujanja wa kisiasa huo ila umecheza vizuri....hongera

    • @Juma-e8l
      @Juma-e8l Před 18 dny

      Kwan yeye ndo aliyemuua Jpm?? Af bro yeye ndo aliyewaondoa wanangorongoro yeye ndio ameuza bandari ? Sikiza bro mwaka 1997 Nyerere aliaddress Congress mjin Accra Ghana kwa kutumia microphone 🎤 akasema "AFRICA WITHOUT POLITICAL REVOLUTION/CHANGE HAS NO FUTURE " Em nifollow nikupe fikra pevu 😂😂😂😂

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 17 dny +2

      @@Juma-e8l sina majibu Ila aache kukejeli kifo cha aliyekuwa mkuu wa nchi. Asijifanye yeye ni malaika kwa kuwa bado yuko hai.
      Magu hakuwa mtakatifu lakini alitenda makuu ya kukumbukwa hasa kiuchumi, kijamii na kirasilimali. He was a hero. Akikazana kumkejeli anajipotezea kuungwa mkono...that's the truth.

  • @hajikadoma1652
    @hajikadoma1652 Před 18 dny +1

    mh washauli vijna wakafanye kazi mbona hauelezi chanzo cha umasikini wambie vijana wote wafanye kazi maana hakuna utajili uliopatikana kwa kukaa vijiweni tufanyekazi hauna chama kitakacho kuletea pesa mifukoni acha kupotosha wananchi ww rema😂😂

  • @Whoisthismantalking
    @Whoisthismantalking Před 11 dny +1

    Wanafiki namba moja ni chadema. Walipoona wameaminiwa kwa raia wakaigeuza imani yao biashara.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 18 dny +2

    Mliokimbizia familia zenu ulaya na marekani na Canada msitudanganye ati mna uzalendo na nchi yenu. Leteni familia zenu hapa tuungane tupambane kwa pamoja.....nchi hii si ni yetu sote? Waje hapa.
    Vinginevyo hii ni michezo ya kisiasa tu.... ila wewe umeucheza vizuri sana kwa faida ya familia yako. Sasa wanakula bata na kupata elimu nzuri kwa bure. Hongera sana.

    • @saimonmlay4295
      @saimonmlay4295 Před 16 dny

      Acha wivu pambana na wewe peleka wa kwako ulaya ...

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 15 dny +2

      @@saimonmlay4295 Siyo kwa gharama ya kusema wongo au kutumia jukwaa la kisiasa kulaghai na kukejeli wengine. Huo ni udanganyifu siyo uzalendo. Tusidanganyane hapa. Kama wewe huoni basi pole sana. Kaa huko huko kizani

  • @2003hintay
    @2003hintay Před 19 dny +4

    Wewe umeishiwa na maneno imebaki kudandia matukio fulani kasema unapita mulemule, ni Nchi gani ambayo haina watu wa hali ya chini

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Před 14 dny +1

    Lema familia yake ipo canada ikiwa ni wakimbizi huku anawatukana wana wa Arusha kuwa ninyi ni maskini

  • @ShabaniShebuge
    @ShabaniShebuge Před 7 dny +1

    KAKA. LEMA KIJIJI CHAKWA MSANGA WILAYA YAHANDEN HAINA GAVIYONGOZ. YACHADEMA

  • @charlesmurimi765
    @charlesmurimi765 Před 18 dny +1

    Kusaga barikiwa sana. Huwa napenda sana hotuba za Lema

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 18 dny +2

    Asante kwa kauli nzuri. Sasa familia yako.iko wapi? Ya Makonda iko hapa nyumbani, ya JPM iko hapa hapa nyumbani huo ndio uzalendo wa kweli. Kupigania nchi hatukimbii vita bali tunakomaa tunapambana. Sasa wewe familia yako iko wapi bwana Lema? Usituingize chaka bwana. Ungepaswa kuwa mfano bora wa uzalendo wa kweli.
    Hapo ntakuelewa kabisa.

  • @RubyMasuku-x5r
    @RubyMasuku-x5r Před 9 dny +1

    Remaining unao gear sana Lakini vitendo zeero

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 19 dny +2

    Maneno Mengi Cha Mana Akuna Acha Kutembea Nyuma Ya Makonda Utachemka Kama Kweli Wewe Ni Mpinzani Simama Na Unachokiamini Nasio Unachokiona Kwa Wenzio Uje Na Oja Zako

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 Před 18 dny

      Huna akili, Makonda ni anapendwa na wajinga tu

    • @awadhrajabu1403
      @awadhrajabu1403 Před 18 dny

      @@erickmsigala138 We Hata Siasa Ujui Sasa Wajinga Kwako Ni Wenye Kupewa Haki Zao Mtu Amezulumiwa Kiwanja Kaenda Mahakamani Na Haki Kapata Lakini Mkodrfu Yuko Na Hela Anatumia Pesa Kuhakikisha Mwenye Haki Asitiziwe Haki Yake Lakini Mahakama Ishatoa Haki Lakini Mtu Apati Uhalali Wake Wa Kitu Chake Ndio Makonda Anadili Na Ayo Mambo Mtu Kama Uyo Ni Azina Ya Taifa Ukoo Wako Wote Masikini Nduguyo Anazulumiwa Mnabaki Kusema Tumuachie Mungu Kwanini Familia Yenu Yote Choka Mbaya Sasa Anaibuka Mtu Aliyeteuliwa Na Raisi Anaweza Hata Kukaa2 Mana Yeye Sio. Mbunge Wala Raisi Aliyechaguliwa Na Wananchi Wananchi Wamechagua Mbunge Na Raisi Na Diwani Ameteuliwa Na Raisi Kuna Kuchaguliwa Na Wengi Na Kuteuliwa Na Mmoja Anapofika Mkoa Wenu Anadili Na Kesi Ambazo Zimetolewa Ukumu Lakini Wenye Haki Wanazungushwa Kila Siku Usiku Na Mchana Mtu Kama Uyo Mpe Eshima Yake Ungekua Wewe Kazi Moja Kuzulula Na Kula Bata Basi

  • @juliusryoba3142
    @juliusryoba3142 Před 19 dny +2

    Exactly facts

  • @softrock7155
    @softrock7155 Před 17 dny +1

    Badala ya kunadi sera za chama chake anakaa kusema watu. Awaeleze wananchi atawafanyia nn iwapo chadema watafanikiwa kuingia madarakani badala ya kukashifu kazi zinazofanywa na viongozi walioko madarakani.

  • @MuyaMndiga-pq2gn
    @MuyaMndiga-pq2gn Před 12 dny +1

    Yaani huyu jamaa simuelewagi kabisa

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před 19 dny +2

    Hongera mheshimiwa Lema , wape elimu watawala wenu!!❤

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Před 14 dny +1

    LEMA CHA ARUSHA KWELI KINAKUZINGUA
    WEWE ULIKUWA MBUNGE WA ARUSHA UMEWAKWAMUAJE HAO VIJANA
    TAJA MRADI ULIOWAPA VIJANA ILI WAJIKWAMUE NA UMASKINI

  • @salimucvales7495
    @salimucvales7495 Před 19 dny +11

    Mchumia tumbo wewe lema hata ukekuwa nini ungelifanya hakuna Inchi haina umaskini na kwenye Taifa lolote wanaInchi wake haitatokea wote wakawa na maisha yanayolingana .wewe sio mungu

    • @isayakihongile4921
      @isayakihongile4921 Před 19 dny +2

      Wewe unachumia wapi Kama siyo tumbo tuambie tujue, hivi yote aliyoyaeleza ubongo wako haujaelewa hata moja kweli au unanufaika na mfumo? Yakikuta utamkumbuka lema

    • @ceciliamagalabajimmy4391
      @ceciliamagalabajimmy4391 Před 19 dny +2

      Mnufaika wa mfumo hawezi kumwelesa Lema.

    • @salimucvales7495
      @salimucvales7495 Před 19 dny +1

      Yeye akipewa kuongoza Inchi atakidhi mahitaji ya wanaInchi kwa %100?huo ni unafiki wa wazi Inchi yetu bado imeanza kupanda kiuchumi

    • @JohnManyilizu-rl5bm
      @JohnManyilizu-rl5bm Před 18 dny +1

      Jike dume

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 18 dny

      HATA MAREKANI WATU WANALALA NJE 😢😢LEMA DANGANYA WALEVI

  • @omigayathuman5662
    @omigayathuman5662 Před 19 dny +7

    lema ww hupendi maendeleo acha uongo sb barabara ya kona ya mbauda murombo ww si ndio ulijaza wanachi ujinga baada ya hapo marehemu akapeleka bajeti sanya ww ni muongo sio makonda

    • @billgussy6099
      @billgussy6099 Před 19 dny +2

      We chawa watu wana akili kuliko hii msg yako

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 18 dny +1

      Ananiudhi anapowaponda viongozi kama JPM waliofanya kazi zinazoonekana kwa macho, yeye anaziponda.

  • @Zanijasy-hy7vm
    @Zanijasy-hy7vm Před 18 dny +1

    Nabii Lema hajawahi kuniangusha. ❤

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 Před 19 dny +2

    Well said

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 19 dny +2

    Ushindi kuwezeshwa na mwenyezi Mungu ushindi unakuja.

  • @SimoniSamson-p3f
    @SimoniSamson-p3f Před 16 dny +1

    Amejuaje kama pisi zinauza K kwa aftatu ama nayeye ananunuaga mara mojamoja et

  • @isayakihongile4921
    @isayakihongile4921 Před 19 dny +7

    Usipomuelewa lema piga magoti chumbani jiombee lazima una pepo la kiburi cha kuelewa

  • @user-sm6sg8ko5j
    @user-sm6sg8ko5j Před 17 dny

    Strong statement from Kamanda Lema blessed Much

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Před 19 dny +3

    Lema una madini ya kutosha kamanda nakupa mauwa yako

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před 19 dny +5

    Huna jipya Lema kaa huko yani unajikanyaga

    • @user-ti8fn1wn1w
      @user-ti8fn1wn1w Před 18 dny

      Pole maana hujui maskio hayasikii. Kichwa hakifanyi kanzi

  • @salama1113
    @salama1113 Před 19 dny +3

    Kabisa simba na yanga tenda wanajadili kuwanzia asbh hadi jioni

  • @ombenipenieli1432
    @ombenipenieli1432 Před dnem

    Huyu tatizo hajui kazi nyingine ya kufanya kelele tu kawa mbunge hakufanya lolote,siasa za Tanzania shida tu

  • @PETERMWANANJELA
    @PETERMWANANJELA Před 3 hodinami

    Tunahitaji Ushindi wa Ngazi zote

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před 17 dny

    Mh Lema Leo umeongea point sana broo Vijana wamekua wehu wanajali mpira kuliko maisha yao ni Aibu wenzao wa Kenya wanatia Nguvu upinzani wasonge mbele sio wa TZ ,

  • @romastasenterprises4447
    @romastasenterprises4447 Před 19 dny +4

    Utafanya nini wewe ukirudii tena madarakani na ulishakuepo ikawa maneno ya kukosoa tu bila ufumbuzi? Sasa hivi tunataka ahadi mbadala sio kuambiwa sisi tumefanywa maskini. Hali zetu tunazijua njoo na Plan B!!!

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 Před 19 dny +1

      Logic Hana huyo mtu,analalamika tu kwann asilete hoja ili tuzisikie,Kiukweri haeleweki.

    • @abubakarimussa1955
      @abubakarimussa1955 Před 19 dny +1

      Brother upo makini sana unaongea haki

    • @abubakarimussa1955
      @abubakarimussa1955 Před 19 dny +1

      Ongea hata kama hawapendi maisha ni magumu sana kwani Kila kitu hakiendi sawa biashara,mkulima hatuna maisha

    • @maryestomini5168
      @maryestomini5168 Před 19 dny +1

      Jitambue,jitathimini,jielewe,jiheshimu,elimika"fikiria kesho yako na kesho kutwa ya watoto wako na wajukuu,uchawa hautakufikisha popote pale.Acha kupinga ukweli unao onekana dhahiri.pigania mama Tanzania,acha kuwa chawa wa mtawala

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 Před 19 dny +1

      ​@@georgedaniel4962Hebu wewe lete hiyo logic uliyonayo tuikague ili tuuone ubaya wa Lema. UKWELI CHADEMA WAKO JUU SANA SHIDA INALETWA NA WALE WANAOJIONA WAKO JUU ZAIDI YA MUNGU.

  • @sophiamorrison6429
    @sophiamorrison6429 Před 5 dny

    That is not true!! Wewe utakuja ufanye miujiza gani!! Mungu utunusuru!!

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Před 18 dny +1

    Wachache sana tunaoluelewa,
    Machawq wengi wamelogwa

  • @salumrashid5329
    @salumrashid5329 Před 16 dny +1

    Msaka tonge achoki

  • @ZahakiMsangi-g8h
    @ZahakiMsangi-g8h Před dnem

    Lema sasa acha siasa wenye akili hawakuel

  • @juliusryoba3142
    @juliusryoba3142 Před 19 dny +1

    Kuna ikweli ndani yako Mr Lema

  • @VidothLema
    @VidothLema Před 19 dny +1

    Waambie Lena tumechoka mabadiliko muhimu

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Před 17 dny

    Lema hana jipya

  • @matalo0551
    @matalo0551 Před 19 dny +1

    Fact....

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct Před 10 dny

    Anaefanya kiongoz kuwa makni NIMWANANHCHI mwenye uelewa

  • @user-sm6sg8ko5j
    @user-sm6sg8ko5j Před 17 dny

    Mungu mlinde mtumishi wako Lema ukamwinulie na wengine WA kuandana naye na kumpa hekima Yako kwa ajili ya Taifa

  • @BensonMpete
    @BensonMpete Před 17 dny

    Mahubiri wa siasa mr lema Well said

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před 19 dny +1

    Huyu mwamba hua anahotuba flani ambazo wasiomwelewa wanamcharuka sana
    Alishawahi kuzungumzia bodaboda
    Aisee wakamrarua ila sasa kunapande mbili kunaambao wamejenga kupitia bodaboda ila yeye alibezi upande ambavyo bodaboda wanapata ajali kazi yao inadhauliwa

  • @ponsianomwakisunga899
    @ponsianomwakisunga899 Před 19 dny +3

    😅😅 yaan lema siasa uwez broh tulia2 mwachen tundu lisu apge kaz

    • @GodfreyMwamaso
      @GodfreyMwamaso Před 18 dny +2

      Hawezi kivipi mbona watu wwngi tunamwelewa vizuri tu

  • @IbrahimuMaduka-k3l
    @IbrahimuMaduka-k3l Před 21 hodinou

    ACHA ujinga unaongea pumba tupu huna lolote

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 18 dny +1

    Tunataka sera zenu za maana tuzijue mapema tuzielewe. Hata kama ni kwenye mitandao tunasililiza tutaelewa them tutakuja kwenye mikutano kuunga sera mkono. Sera sera sera please. Siyo kupondana na kukeleliana bila sera maalum za kuvutia na kujenga

  • @JenithaMligo-kc5uj
    @JenithaMligo-kc5uj Před 3 hodinami

    Acha unafiki

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps

    Siasa zako zimeifikisha hapo Arusha

  • @frankmlalila1705
    @frankmlalila1705 Před 15 dny +1

    Dah,,,marehemu hasemwi lkn Maguful alishajiona Mungu mtu yule jamaa,,dah inshu ya lissu alipambana aondoke mwisho wa cku kaondoka yeye,Mungu acha aitwe Mungu🙏🙏🤲😊😊😅😊

  • @allenmongi4772
    @allenmongi4772 Před 9 dny

    Tupo pamoja lema

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 18 dny +1

    Ila hspo kwenye boda na bajaj na toyo umesema ukweli. Hii siyo kazi ya kushobokea kwa wasomi.
    Wasomi wakatumie elimu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 19 dny +1

    Mwizi huyo mpaka arudi na Vx kwa kuuza kahawa

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 18 dny +1

    Umeongea mengi mazuri sana ya kuelimisha na kutia moyo
    Lakini Kama wewe familia yako umeipeleka majuu kwa sababu za kisiasa na umesema aliyekuwa anakuwinda hayupo duniani sasa unaogopa nini tena kuwarudishia nyumbani tuje tupige kura pamoja? Familia yako iko salama Ile sisi tuingie chaka? Hapana. Waje tuingie wote. Huko ndiko kupenda nchi yako.

  • @GODFREYWilson-p8n
    @GODFREYWilson-p8n Před 19 dny +1

    CHADEMA for everyone Nakukubali KAMANDA

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 18 dny

      Lakini mwache JPM upumzike kwa amani sababu hawezi kujitetea kwa sasa.
      Utamheshimu sana Lema kwa hilo

  • @mohamedsoud3225
    @mohamedsoud3225 Před 19 dny

    Yani wewe Mzee upo vizuri unjuwa kujipanga

  • @issaally8817
    @issaally8817 Před 17 dny

    wakati huu wa naisha magumu kwa wananchi upinzani ndio ilikuwa nafasi yao nzuri ya kijupambanua kwenye sera kwamba watafanya nini lakini wao kazi yao ni kutukana na kuwa dharau watu ambao ndio wanaowaomba kuwapigia kura

  • @ZahakiMsangi-g8h
    @ZahakiMsangi-g8h Před dnem

    Upo kwenye mkutano na masarange umepotea kisiasa

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s Před 17 dny

    WEWE HUFAI KULIANZISHA HARAKATI WEWE NI KUNGURU HUCHEREWI KUWAACHA KWENYE MATATIZO NA KUTIMKIA ULAYA.

  • @NeemaJankey
    @NeemaJankey Před 14 dny

    makonda nakukubali baba

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct Před 10 dny

    Kamanda ukweli nikwamba ww nishujaa wa haki

  • @dismasmasaga.3581
    @dismasmasaga.3581 Před 12 dny

    Hakiyamungu nimekuelewa lema ww unafaaa nitafanya juu chini nipigestori na ww siku moja mmmmmmh.

  • @benny4345
    @benny4345 Před 16 dny

    Lema is making a grave mistake. Mtu huwezi kumchagulia mtu maisha. Kwamba sasa watu waachane na yanayowapa furaha. Washauri washiriki pia harakati lakini asidhihaki watu kwa kushabikia timu zao!

    • @mahingilasambichuma1369
      @mahingilasambichuma1369 Před 16 dny

      Ana maanisha mshikamano unaofanyika kwenye vilabu ungefanyika kwenye siasa watu wangepata haki zao.

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 Před 15 dny

    kumwelewa. lema mpaka darasa

  • @ShabaniShebuge
    @ShabaniShebuge Před 7 dny

    Tumeshachokanao pelekeni wapinzanipale

  • @namaanwilson6467
    @namaanwilson6467 Před 17 dny

    Lema .❤.unaongea ukweri sana brother

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 15 dny

      Yes, kwa kiasi kidogo sana lakini mengi ya maana hajayasema. Tunakata walete mezani SERA sahihi walizo nazo ili tuwalinganishe kwa sera zenye ubora na siyo habari ya siasa tupu na umbea habari binafsi. Tumeshatoka huko tunataka sera zenye mwelekeo wa kujikomboa kiuchumi.