![WAKILI TV](/img/default-banner.jpg)
- 1 434
- 1 988 938
WAKILI TV
Tanzania
Registrace 30. 10. 2017
WAKILI TV, ni Television ya mtandaoni (Online TV) inayomilikiwa na Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), kwa lengo la kutumika kama njia ya kutolea elimu, muongozo na tafsri ya sheria kwa wananchi na wadau mbalimbali ili kuwapa uelewa wa sheria katika lugha nyepesi na kuifanya jamii iishi kwa mujibu wa sheria za nchi yetu ya Tanzania.
Uchambuzi: Rais Samia Kumtumbua Nape Kakwepa Mtego wa Ruto na Gen Z
#ijuesheria #democracy #genz
zhlédnutí: 5 186
Video
TARO Watinga Bungeni Kuhimiza Wapiga Picha na Watengeneza Maudhui Mtandaoni Kutambulika
zhlédnutí 75Před 2 hodinami
#ijuesheria
Mwabukusi Kurudi Kinyang'anyiro cha Urais TLS 2024.? Julai 26 Hatma Kujulikana
zhlédnutí 16KPřed 7 hodinami
#ijuesheria #tlsagm2024 #tlselection2024 #mwabukusi #tls
Hali Ilivyo Kesi ya Mwabukusi ya Kuenguliwa Kugombea Urais TLS Ikirindima Mahakamani
zhlédnutí 3,2KPřed 7 hodinami
#ijuesheria #tlsagm2024 #tlselection2024 #mwabukusi #tls
Mahakama Yabariki Uchaguzi TLS, Mwabukusi Afunguka 'Nitashiriki Uchaguzi'
zhlédnutí 32KPřed 19 hodinami
#ijuesheria #tlsagm2024 #tlselection2024 #mwabukusi #tls
Kesi ya Mwabukusi Dhidi ya TLS Kupinga Kuenguliwa Kugombea Urais Ikirindima
zhlédnutí 6KPřed 19 hodinami
#ijuesheria #tlsagm2024 #tlselection2024 #mwabukusi #tls
Sera za Mgombea Nafasi ya Mwenyekiti wa AYL 2024 Wakili Denis Eliasaph
zhlédnutí 285Před 19 hodinami
#ijuesheria #TlsAgm2024 #TlsElection2024 #tls
Sera za Mgombea Nafasi ya Mwenyekiti wa AYL 2024 Wakili Emmanuel Ukashu
zhlédnutí 161Před 19 hodinami
Sera za Mgombea Nafasi ya Mwenyekiti wa AYL 2024 Wakili Emmanuel Ukashu
Hali Ilivyo Mahakamani Kesi ya Mwabukusi Dhidi ya TLS Kupinga Kuenguliwa Kugombea Urais
zhlédnutí 2,2KPřed 19 hodinami
Hali Ilivyo Mahakamani Kesi ya Mwabukusi Dhidi ya TLS Kupinga Kuenguliwa Kugombea Urais
Sera za Mgombea Nafasi ya Urais TLS 2024 Wakili Ibrahim Bendera
zhlédnutí 527Před 21 hodinou
Sera za Mgombea Nafasi ya Urais TLS 2024 Wakili Ibrahim Bendera
Nondo za Fatma Karume Juu ya Utendaji wa Mahakama Dhidi ya Matamko ya Kisiasa
zhlédnutí 6KPřed 21 hodinou
Nondo za Fatma Karume Juu ya Utendaji wa Mahakama Dhidi ya Matamko ya Kisiasa
Nondo za Wakili Madeleka Juu ya Utendaji wa Mahakama Dhidi ya Matamko ya Kisiasa
zhlédnutí 13KPřed dnem
Nondo za Wakili Madeleka Juu ya Utendaji wa Mahakama Dhidi ya Matamko ya Kisiasa
Sera za Mgombea Nafasi ya Urais TLS 2024 Wakili Paul Kaunda
zhlédnutí 780Před dnem
Sera za Mgombea Nafasi ya Urais TLS 2024 Wakili Paul Kaunda
Sera za Mgombea Nafasi ya Urais TLS 2024 Wakili Revocatus Kuuli
zhlédnutí 718Před dnem
Sera za Mgombea Nafasi ya Urais TLS 2024 Wakili Revocatus Kuuli
Sera za Mgombea Nafasi ya Urais TLS 2024 Wakili Sweetbert Nkuba
zhlédnutí 537Před 14 dny
Sera za Mgombea Nafasi ya Urais TLS 2024 Wakili Sweetbert Nkuba
Sera za Mgombea Nafasi ya Urais TLS 2024 Wakili Emmanuel Muga
zhlédnutí 946Před 14 dny
Sera za Mgombea Nafasi ya Urais TLS 2024 Wakili Emmanuel Muga
A-Z Mwabukusi Afunguka Mazito Kuenguliwa Jina Lake Kugombea Urais TLS
zhlédnutí 17KPřed 14 dny
A-Z Mwabukusi Afunguka Mazito Kuenguliwa Jina Lake Kugombea Urais TLS
Wakili Mwabukusi Aenguliwa Kugombea Nafasi ya Urais TLS
zhlédnutí 2,3KPřed 14 dny
Wakili Mwabukusi Aenguliwa Kugombea Nafasi ya Urais TLS
A-Z Afunguka Binti Anayedaiwa Kulawitiwa na Aliyekuwa RC Simiyu, LHRC Yaingilia Kati
zhlédnutí 122KPřed 14 dny
A-Z Afunguka Binti Anayedaiwa Kulawitiwa na Aliyekuwa RC Simiyu, LHRC Yaingilia Kati
Rais Samia Afunguka Sakata la Wafanyabiashara Kariakoo 'Kuna Siasa Kariakoo'
zhlédnutí 274Před 14 dny
Rais Samia Afunguka Sakata la Wafanyabiashara Kariakoo 'Kuna Siasa Kariakoo'
TLS: Wananchi Jitokezeni Sabasaba Mpate Msaada wa Kisheria Bure
zhlédnutí 127Před 14 dny
TLS: Wananchi Jitokezeni Sabasaba Mpate Msaada wa Kisheria Bure
Sakata la Kutekwa Sativa BAVICHA Yataka Rais Samia Amng'oe Waziri Masauni
zhlédnutí 628Před 21 dnem
Sakata la Kutekwa Sativa BAVICHA Yataka Rais Samia Amng'oe Waziri Masauni
Mawakili Wapya Wafunguka Matumizi ya Taaluma Yao Kwa Jamii na Maadili
zhlédnutí 140Před 21 dnem
Mawakili Wapya Wafunguka Matumizi ya Taaluma Yao Kwa Jamii na Maadili
Jaji Mkuu Awa Mbogo Sakata la Maadili ya Mawakili Akiwapokea Wapya 555
zhlédnutí 844Před 21 dnem
Jaji Mkuu Awa Mbogo Sakata la Maadili ya Mawakili Akiwapokea Wapya 555
Rais TLS Afunguka Sakata la Maadili ya Mawakili, 555 Waapishwa
zhlédnutí 815Před 21 dnem
Rais TLS Afunguka Sakata la Maadili ya Mawakili, 555 Waapishwa
Moto Bungeni Sheria ya Sukari, Bashe na Mwanasheria Mkuu Wabanwa Mbavu
zhlédnutí 1,3KPřed 21 dnem
Moto Bungeni Sheria ya Sukari, Bashe na Mwanasheria Mkuu Wabanwa Mbavu
Katiba Mpya Bado Kilio cha Mawakili Uhuru wa Kujieleza
zhlédnutí 322Před měsícem
Katiba Mpya Bado Kilio cha Mawakili Uhuru wa Kujieleza
BASATA Uso kwa Uso na Wasanii Kujadili Suluhu ya Haki za Sanaa Nchini
zhlédnutí 43Před měsícem
BASATA Uso kwa Uso na Wasanii Kujadili Suluhu ya Haki za Sanaa Nchini
Uchechemuzi wa Mjumbe wa Kamati ya Katiba na Sheria TLS Upatikanaji Katiba Mpya
zhlédnutí 357Před měsícem
Uchechemuzi wa Mjumbe wa Kamati ya Katiba na Sheria TLS Upatikanaji Katiba Mpya
Mdau: Tuanze na Nchi Kwanza Ndipo Katiba Ifuate
zhlédnutí 527Před měsícem
Mdau: Tuanze na Nchi Kwanza Ndipo Katiba Ifuate
Kwanza ieleweke,kwanza pamoja na Nape kuropoka, amesema ukweli wa ccem inachofanya;ila ameropoka mapema,amewaharibia siri yao walofundwa na Jiwe!
Rais KUKEMEA TU ni ulaghai! Aagize tu. Wala cjui 4 R sio big deal! Kauli mbiu zilikuwepo za ARI,NGUVU,NA KASI MPYA;mpka watendeji wakuu wote walipewa semina-elekezi ngurdoto hotel kwa gharama kubwa-matokeo yake>HEWA! Watekaji wengi ni polisi>>rais akimwambia igP kuwa "SITAKI kusikia utekaji,utekaji utaisha jana yake"!!
Acha kupotosha ndugu baadhi ya maneno yako! Unasema mama ameleta tume huru? Ipi? Wewe unazungumza kwa mlenngo wa kusifia ila unaonekana chawa kama chawa wengine! Wanaopata uongozi kwa njia ya rushwa ni ccm! Acha kudanganya wananchi! Ccm haifai kuendelea kuongoza Taifa hili, ccm ni janga la Taifa! Iknatakiwa wananchi muikatae ccm uchaguzi huu kuanzia wenyeviti wa vitongoji, mitaa, vijiji, madiwani, wabunge na Rais!
TLS ndio professional board iliyosalia strong, wengine ni ma agents kama una D mbili gonga like😂😂
Mungu akubariki wewe nimtetezi wa wanyonge
Una kitu zaid unajua lakn unajitahidi kupunguza makali ya maneno
Kasema ukweli ndiyo maana ccm hawakupenda Msipumbazwe na 4r Kama kweli ana uchungu na hii nchi basi awaondoe hao mawaziri wote wabadhirifu ambao bado kawakumbatia Sasa hivi watanzania wameamuka Nyie ccm mwisho wenu umefika mwisho fungeni virago
Brow sijui hawakuelewi,najua wamekusikia
Congratulations brothers of justice ⚖️
Ukweli wa maamuzi aliyofanya ni mazuri sanaaaa hao Vijana walitaka kumharibia hawafai kabisa
Kutenguliwa kwa nape nisahihi kabisa kwasababu ya kujitapa kama mtoto
Kaongea ukweli wa dhati kabisa kuhusu hujuma ya ccm na utawala wake
Kumkemea hamumtendei haki maana kimtokacho mtu ndicho kilichopo ndani mwake
Kwani kuna ubaya gani kina nape wakionyesha interest kugombea uraisi?
Mporepore arikuwa anasema watu waovyo tunashangaa tumeanza kuwaona
Neno mweshimiwa kwa nape Uitoe Sema Nape
Wacha uongo na uchawa ,UNASEMA RAIS UTEKAJI ANAUKEMEA WAKATI WATU WANATEKWA NA KUTISHIWA UHAI KWA MFANO SATIVA KWANI RAIS HAJUEI HIYO MIPANGO ,HIVI KARIBUNI MASAUNI ULIMSIKIA AKIJIBU TUHUMA ZA UTEKAJI AKASEMAJE, , HAKUNA UTEKAJI CCM LAO NI MOJA HASA UNAPOKARIBIA UCHAGUZI VISA VYA UTEKAJI VINASHAMIRI
Mabinti muwe serious na shule. Hiki ni nini sasa
Makubwa🙌🙌🙌🙌
Nape amejisemea uukweli wa CCM,hatushangai waTanganyika Samia amefanya tu, kufanya Ngoma juani hawana jipya. Wandoke tu tuone na chama kingine.
Kauli ya nape ina tia kichefuchefu aitwe kwenye kamati ya madili
Mawazo ya TLS ni kweli tupu, vuguvugu huwa linaambukiza kwahiyo sio ajabu kuona watu wanaiga jambo la jirani yake endapo hali isiyo nzuri kwa watu kuendelea kukabiliana na magumu yasiyoleta majibu! Kauli ya Nape ni alam ya marudio ya muendelezo wa matamshi ya yaliyopita ya goli la mkono,na hata ya Bashiru Ally ya dola kutumia dola kutwaa dola!, isipuuzwe na serikali hata kidogo, itafutiwe picha tofauti iliyo rafiki mapema!
Then nkarud ostel hahahah jamen yan kshamzoea knamuita nawanda
Wazazi wamasomesha Ng'ombe
Msimlaum huuu binti hata kidogo, apongezwe sana, pamoja na ushawishi wote wa nguvu ya kipesa kuanzia kwenye gari anaambiwa maisha ni kuchagua mwnyewe akiwa anaambiwa achukue pesa ambazo amesema hakujua ni sh ngp ila zilikuwa hela nyingi bado binti wa watu alikataa ht kuzishika tu hakutaka, ninachoweza kusema tu hii nchi haina msimamizi wa kodi za wananchi pesa za wananchi zinachezewa sana, huyo aliyekuwa mkuu wa mkoa alichokipanda ndicho atakachovuna na watoto wake watakuja kufanyiwa hivyo hivyo, Mungu ndo aliyebaki tunaemtegemea angekuwepo anko MAGU huyo mshenzi asingefanya uchafu huo.
Huyu binti akapimwe akili yake ni muongoo 🤣😂😅..kuna mtu nyuma yake upelelezi ufanyike pande zote 2 huyu ni muongoo saaana 😃
BAHATI MBAYA SANA WATU MUHIMU WA MANUFAA KWA TZ KAMA MADELEKA MWABUKUSI, DOKTA SLAA NA WAZALENDO WENGINE WENGI ETI NDIYO HAWAPATI NAFASI ZA MAMLAKA KATIKA NCHI HII BALI ASILIMIA KUBWA YA MAGUGU YASIYOFAA YASIYO NA TIJA WALA MSAADA KWA NCHI HII NA TAIFA HILI ETI NDIYO YANAKUWA WATAWALA KATIKA KADA MBALIMBALI DAAAAAH NDIYO MAANA TUMEKWAMA VIBAYA SANA HATA AT THE END OF THE TUNNEL THERE IS NO LIGHT AT ALL SABABU YA MAFISADI NA MAPANDO YA SHETANI MAJITU YENYE HILA DAAAAAH INASIKITISHA SANA MUNGU ATUREHEMU, ATUSAIDIE, ATUAMSHE TULIPOLALA WATANZANIA, ATUPIGANIE NA ATUKOMBOE KWA UWEZA WAKE TOKA MIKONONI MWA PREDATORS WA KISHETANI AMEN
Nmefurahi kwa umoja wenu mungu atafanya kitu jema kwa mwambkusi
Nalimiwani lako ukoapo unaharbu maisha yamtu..
Tukuulize sasa wewe mpuuzii mpaka sasa umelizika kwa huwo upuuziwako unao usema apa...
Csonga mbele tuteteeni tell the audience this is right for u.
Kuongea kwenyewe ujuwi
Muongo
1. Huu mdahalo ulifanyika kwa lugha gani- Kiswahili, au ,kiingereza? Hapa tunadikia ku-renew, kuwa-coordinate, forum.... , ... Hii ni changamoto kwa chombo chenye jukumu la kutoa haki kwa watu wote - wasomi, wasiosoma, wazee, watoto, nk... Hivi hatuna maneno ya Kiswahili mpaka tukafikia kuwa wa-SwaEnglish? 2. Mr. Modulator, Hon. Mr. Jenersli Ulimwengu, you are a long-time and experienced Lawyer, are you satisfied with the capability of expressing themselves in English language? ie grammaticaliy, professionally etc. These are the ones that will represent our nation in international Law practices. They need to be well -equipped in as far as the use of the language will require them to, much as they should also be in the use of Kiswahili..
aonyeshe uwo muamala wa pesa sh 15000 ambazo alitumiwa kama nauli.pili aonyeshi miscol ambayo alipigiwa .tatu gali sio kubwa sdsna kiivyo wewe alimuitia mbele ya gali je aliwezaje yeye kuludi viti vya nyuma ? kama yeye alikuwa ataki mchezo uwo alishindwaji kuvunja ata kioo ili watu wakimbilie? uyu dada ni muongo sana .
Big up mwamb, sheria hazikubaliki, ubabe unatendeka nchi hii.
uyu dada ni muongo sana.autafika kwa mungu.unamsingizia mtu mwenzako kweli
Huko nyuma kafungasha ageuke tumuone
Duuuh..
Nyie mlirushana siyo kweli.
Unatakiwa uwe makin na hiyo inshu
Hongera sana Mwabukusi, unatakiwa pia ugombee na usipika wa bunge la Tanzania
HII LAANA SIJUI ITAISHA LINI. NAFIKIRI WANA WAGANGA WAO WAMEWAPA MASHARTI NA VYEO VYAO WASHENZI SAANA
Mungu akusaidie ushinde kesi hii
Safi.sana.umoja.ni.nguvu
Mashaalah
Haleluyaaaaaaaa! To The BLESSED MOST HIGHER HOLY ALMIGHTY MIGHTY IN THE BLESSED YAHWEH TETRA GRAMA ATON HOLY ZODIAC HOLY DIVINE KIND OF MATRIX GOING IN THE UNIVERSE WAY OF DOING MIRACLES FOR INTERLECTUAL HOLY SPIRIT ENLIGHTENMENT THAT SMILE VERY WELL ORDERING THE STEPS OF OUR FEET, Going Before us Making the croocked places Straight Breacking the gates of brass, Cutting in Sunder the bars of iron To Give Us the TREASURES OF DARKNESS, THE RICHES OF HIDDEN IN THE SECRET PLACES For Us to Know The Holy DIVINE KIND OF MATRIX GOING IN THE UNIVERSE WAY OF DOING MIRACLES Of " IS RA EL ". Haleluyaaaaaaaa! AMEN RAAH! AMEN RAAH! Haleluyaaaaaaaa!
Haleluyaaaaaaaa! Haleluyaaaaaaaa! "( Kutoka 18:11 )" Sasa najua ya kuwa MUNGU WA MIUNGU MUWEZA ZAIDI YA KULIKO YOTE ni mkuu kuliko miungu yote; naam, katika jambo hilo walilowatenda kwa unyeti. Haleluyaaaaaaaaaaaaa! "( Zaburi 95:3 )" Kwa kuwa MUNGU WA MIUNGU MUWEZA ZAIDI YA KULIKO YOTE ni Mungu mkuu, Na Mfalme mkuu juu ya miungu yote. Haleluyaaaaaaaa! AMEN RAAH! AMEN RAAH! Haleluyaaaaaaaa! "( Zaburi 82:1 )" Haleluyaaaaaaaa! MUNGU WA MIUNGU MUWEZA ZAIDI YA KULIKO YOTE asimama katika kusanyiko la Mungu; Katikati ya miungu anahukumu. Haleluyaaaaaaaa! AMEN RAAH! AMEN RAAH! Haleluyaaaaaaaa! "( MALAKI. 4:2-3 )" Lakini kwenu ninyi mnaolicha jina langu, JUA la haki litawazukia, lenye kuponya katika mbawa zake; nanyi mtatoka nje, na kucheza-cheza KULIKO ndama wa mazizini. Nanyi mtawakanyaga waovu; maana watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu; katika siku ile niifanyayo, asema MUNGU WA MIUNGU MUWEZA ZAIDI YA KULIKO YOTE wa majeshi. Haleluyaaaaaaaa! ZABURI. "( 84:11-12 )" Kwa kuwa BWANA, Mungu, ni JUA na ngao, BWANA atatoa neema na utukufu. Hatawanyima kitu chema Hao waendao kwa ukamilifu. Ee BWANA wa majeshi, Heri mwanadamu anayekutumaini Wewe. Haleluyaaaaaaaa! AMEN RAAH! AMEN RAAH! Haleluyaaaaaaaa!
Haleluyaaaaaaaa! To The BLESSED MOST HIGHER HOLY ALMIGHTY MIGHTY IN THE BLESSED YAHWEH TETRA GRAMA ATON HOLY ZODIAC HOLY DIVINE KIND OF MATRIX GOING IN THE UNIVERSE WAY OF DOING MIRACLES FOR INTERLECTUAL HOLY SPIRIT ENLIGHTENMENT THAT SMILE VERY WELL ORDERING THE STEPS OF OUR FEET, Going Before us Making the croocked places Straight Breacking the gates of brass, Cutting in Sunder the bars of iron To Give Us the TREASURES OF DARKNESS, THE RICHES OF HIDDEN IN THE SECRET PLACES For Us to Know The Holy DIVINE KIND OF MATRIX GOING IN THE UNIVERSE WAY OF DOING MIRACLES Of " IS RA EL ". Haleluyaaaaaaaa! AMEN RAAH! AMEN RAAH! Haleluyaaaaaaaa!
kwanini alianzisha mahusiano na mume wa mtu? kwanini ulienda kwenye appointment ya mtu ambaye unajua kabisa before mliachana sababu alikutaka kinyume na maumbile???? sawa. uchunguzi ukimalizika unaweza kugundulika kwamba aliyekuwa mkuu wa mkoa alikuwa na makosa, lakini nawewe upande wako unaona upo sahihi??maadi;li ya dini yako yanasemaje kuhusu suala zima la mahusiano?
Wazee mwambukusi vipi jamani mi namkubali sana
😂😂 mm sijui sheria ila huyu mwamba waliona kabisa akigombea lazima ashinde Mungu mpiganie, Amina.