easy target nashangaa jaji mkuu anashindwa kuzungumzia tatizo kubwa la maadili ya mahakimu wazembe na wala rushwa mahakamani na yeye ndio bosi wao mpaka wananchi wanazikimbia mahakama na kukimbilia kwy mikutano ya Makonda kutafuta haki na ukiwauliza wanasema hawana imani na mahakama !!!
Muheshimiwa jaji mkuu watumishi wa maadlii huna hatujawahi kusikia mahamani mufanyakazi au wakili ameajibishwa futeni kamati ya maadili hamuna ni kula pesa za uma tu
Mawakili wanaibia raiya selika ukimupa pesa haji mahamani hawatowi lisiti Kwa wateja afd machine hawana machinga ndie alipe mahakimu kesi myaka naenda ludi mahakimu wako majaji mawakili ndio kabisa ni wapolaji wa haki makarane wa mahakama fukuza kabisa watafute kazi nyingine ni lushwa tu
easy target nashangaa jaji mkuu anashindwa kuzungumzia tatizo kubwa la maadili ya mahakimu wazembe na wala rushwa mahakamani na yeye ndio bosi wao mpaka wananchi wanazikimbia mahakama na kukimbilia kwy mikutano ya Makonda kutafuta haki na ukiwauliza wanasema hawana imani na mahakama !!!
Muheshimiwa jaji mkuu watumishi wa maadlii huna hatujawahi kusikia mahamani mufanyakazi au wakili ameajibishwa futeni kamati ya maadili hamuna ni kula pesa za uma tu
Maadili?
Yazidi kuendelea kuwa jm baada ya muda unaoruhusiwa na sheria au....!
Mawakili wanaibia raiya selika ukimupa pesa haji mahamani hawatowi lisiti Kwa wateja afd machine hawana machinga ndie alipe mahakimu kesi myaka naenda ludi mahakimu wako majaji mawakili ndio kabisa ni wapolaji wa haki makarane wa mahakama fukuza kabisa watafute kazi nyingine ni lushwa tu